Nilikuwa Sangoma mashuhuri Tabora msanii wa ngoma za kichawi za"Waswezi"USHUHUDA MCH.JOSEPH SILBERT
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 22
Kwa kweli Promover TV inatufundisha mengi. Kwamba waganga wachawi wanatesa wat u mno. Mchj HUYU amejieleza vya kutosha. Uchawi ni mbaya Mwinamila! Mchawi aliyeokoka na leo ni mchungaji. Barikiwa MTUMISHI.
Mwina mila namjua uyu mzee kitambo sana alikuwa mganga mkubwa sana tabola isevya iyo
Nimefurahi sana mimi ni askofu Rev, David Samson ndaki, Huyu ni baba yangu wa kiroho na kimwili maana amenifikisha hapa nilipofikia
Aminaaa Sanaaa Yesu ni mkuu mno hajawahi kushindwa
Mungu kaokota chombo chafu kasafisha kabisa, Mungu akutumie sana ewe chombo, uingie kule gizani, upokonye na kuteka upesi watakatifu walioibiwa na kufungiwa kwenyemashimo uko ulikokua awali, maana nuru uimekuanaza walelete nuruni kwa jina la yesu, aammeenn , Mungu bariki sana promova. ❤❤❤much love, from Kenya
Yesu wangu nakupenda sana. Kama sio wewe nisingekuwepo
Mchungaji ameeleza vizuri sana kwenye mambo ya nyota mtu ukitoka nyota yako hata kama iliibiwa ina achiwa kwakuwa upo na YESU kritor aliye hai ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
@aimemuharabu3003
Жыл бұрын
😊😊
Amin Mungu ni mwema kweli ubarkiwe sana
Amina Yesu ndiye njia nakweli nauzima
Yesu kristo ni mueza Amen
Nasubiri muendelezo, hii ni kali 🇰🇪 YESU kristo anaweza🙏.
Amen Mungu apewesifa kwa wokovuwake
Yani wasaidizi wa mganga wa kiyenyeji na wanamajina ya kikristo , Paulo na Emmanuel. Kweli shetani ni mbaya
Hakika Mungu akubariki mtumish wa Mungu,
😂😂😂😂 huu ushuhuda umenichekesha sana yani nimegalagala chini na umenifanya nimpende Yesu zaidi.
@UsafiMichael-mc8kt
Жыл бұрын
Hakika halafu ni mzee kabisa ungekuta ni kijana wangesema anadanganya
Amen Amen
Mwendelezo uko wapi?
Amen
Vp kuhusu mtumishi Adam hajj amjamfikia !
Mika 3:3