USHUHUDA WA SHEHE ALIYEOKOKA(Part 1)~Shehe Omary Mnyeshani

Ni mwanzo wa ushuhuda wa aliyekuwa shehe,Omary Mnyeshani,ambapo anaeleza mapito yake kuelekea wokovu

Пікірлер: 157

  • @salimahlokoh9699
    @salimahlokoh96992 жыл бұрын

    Mimi nmekuwa muislamu 42yea nimeokoka huu mwaka

  • @mwanashagladys4581

    @mwanashagladys4581

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @khadijakitsao5451

    @khadijakitsao5451

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @agathendolage1179

    @agathendolage1179

    Жыл бұрын

    Aminaaaaaa,karibu kwa bwana wetu n'a mokozi wetu yesu christu

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Wow Yesu ahimidiwe,Na wewe ulikuwa na majini??

  • @nyambochristelle7640

    @nyambochristelle7640

    Жыл бұрын

    🙏🥰❤

  • @sospetermasanja3224
    @sospetermasanja32244 жыл бұрын

    Huyu jamaa yuko vzr sana!

  • @lilianmugyabuso8908
    @lilianmugyabuso89082 жыл бұрын

    Ubarikiwe Kwa ushuhuda mzuri Mungu akutunze

  • @chancelinechuchu7333
    @chancelinechuchu73334 жыл бұрын

    nimesubiri uyu ushuhuda kwahamu karibu kwake yesu utapata kila kitu

  • @goodlucklendey1722
    @goodlucklendey17223 жыл бұрын

    Ubarikiwe mhombe mungu akujalie uzidi kumjua yesu na kujua mambo ya mpendezayo ili uweze kulithi ufalume wa mungu kaa kwenye maombi na mungu akulinde

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter16613 жыл бұрын

    Mungu akubariki Mtumishi wapendwa tunapaswa kuombea watoto wetu kila wakati

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Saana

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati97924 жыл бұрын

    Yesu akikugusa huta baki kama ulivyo.

  • @mwanashagladys4581

    @mwanashagladys4581

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @masogangemasogange7835
    @masogangemasogange78354 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana: kwa kua Na akili timamu : Tanzania vipindi nyingi vya maojiano Tanzania uwa wanaongea upuzi Na ujinga. Hawana akili ' Na kupenda kuvutilia watu , kuliko wangalie mambo muhimu

  • @edigamashauri7443

    @edigamashauri7443

    2 жыл бұрын

    akika mungu uwa ana makusudi nasa namwana damu

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @richiedexter6302
    @richiedexter63024 жыл бұрын

    Habari kaka...channel yako ni nzur mno. Ila tunaomba uwe unaweka VIDEO kabisa sio audio na picha tu. Lengo ni kuangalia expression ya uso ya mtoa ushuhuda. Jambo hili ni muhimu kulink emotions na feelings za mtoa ushuhuda na sisi watazamaji. Asante sana

  • @ramyramy3455

    @ramyramy3455

    4 жыл бұрын

    Nkweli kbsaa.

  • @marthamilaji9385

    @marthamilaji9385

    2 жыл бұрын

    Muhusika ndo kakataa asioneshwe siyo lazima kujionesha

  • @daudimichael7338
    @daudimichael73384 жыл бұрын

    Shuhuda hizi zinatufunulia mambo ya ulimwengu wa giza (uchawi, majini, kazi za shetani kwa ujumla wake)...zinatusaidia kukaa na Yesu mwokozi wetu wakati wote ili shetani asitupate. JINA LA YESU NI KUU na kiboko ya shetani.

  • @flavianimtewele5178

    @flavianimtewele5178

    3 жыл бұрын

    Jina la yesu ni kiboko Cha nguvu za giza

  • @mrsnzilomgisha2687

    @mrsnzilomgisha2687

    3 жыл бұрын

    Yesu ni mwema sana cd yake ninayo anamengi sana huyu ya kushuhudia

  • @mrsnzilomgisha2687

    @mrsnzilomgisha2687

    3 жыл бұрын

    Ubarikiwe promover tv

  • @mrsnzilomgisha2687

    @mrsnzilomgisha2687

    3 жыл бұрын

    Ameruka vitu vingi sana mpaka hapo msituni kuna mambo ambayo akihadithia itagharimu wiki3

  • @colinharper5147

    @colinharper5147

    2 жыл бұрын

    I guess it is kind of off topic but do anybody know of a good place to watch new movies online?

  • @navokisembo
    @navokisembo4 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi kwa hii kazi ya ushuhuda

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Жыл бұрын

    Yesu nimzur sana Aisee

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga53353 жыл бұрын

    Utukufu naheshima na nguvu na enzi unamunguwetu milele na milele amina

  • @barakajuma2085
    @barakajuma20854 жыл бұрын

    Yesu ni Bwana

  • @masogangemasogange7835
    @masogangemasogange78354 жыл бұрын

    God bless you' jacktan 'kwa hekima Na marifa' tunakueshimu'

  • @benjaminkabebo6581
    @benjaminkabebo65812 жыл бұрын

    Mtoto wa mwalimu nauliza huyu shehe omary yupo wapi kwa sasa na anafanya kazi gani kwa sasa.Pia naomba mawasiliano yake ikiwezekana mtu wa Mungu

  • @barick
    @barick4 жыл бұрын

    Asante kwa kazi nzuri unazofanya

  • @verosanga4477

    @verosanga4477

    2 жыл бұрын

    Kwakweri nimejifunza mengi sana,kwa shuhuda hizi zimenifanya nijue YESU ni mzuri mmmmmmnnnnnoooo.utukufu kwa MUNGU yeye anaye tawala na kumiliki yote.

  • @gizzoforshizzo
    @gizzoforshizzo4 жыл бұрын

    Ushuhuda Mkubwa sana hongera sana Jacktan Msafiri

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    4 жыл бұрын

    Asante

  • @salmamrisho3330

    @salmamrisho3330

    Ай бұрын

    Huyu mtumish kama anahudumu tabora naomba mawasiliano nae mimi nipo Tabora na natafuta kanisa zuri lenye nguvu za Mungu ili kuabudu kwa wakat huu ambao nipo huku

  • @charlesmavika2575
    @charlesmavika25754 жыл бұрын

    Mungu akubariki ndugu msafiri, kuna Mengi binafsi najifunza na youtube channel za design kama yako ni chache.

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily42624 жыл бұрын

    Mungu wetu Ainuliwe Mara dufu nilitamani unioe lakn bado Nina hofu. Barikiwa Sana umari

  • @messimessi7255

    @messimessi7255

    4 жыл бұрын

    Are you sure Nyamoga

  • @blessedlovedandfavoured4129

    @blessedlovedandfavoured4129

    4 жыл бұрын

    😀😀😀😀

  • @nyamogafamily4262

    @nyamogafamily4262

    4 жыл бұрын

    @@messimessi7255 Yes dear

  • @messimessi7255

    @messimessi7255

    4 жыл бұрын

    @@nyamogafamily4262 ooh thats good🙏

  • @ramyramy3455

    @ramyramy3455

    4 жыл бұрын

    😄😄😄😄

  • @daudimpulumba6742
    @daudimpulumba67424 жыл бұрын

    Nmeipenda hii stori

  • @juvenalymwanalyela4448
    @juvenalymwanalyela44483 жыл бұрын

    Asante kwakumpa BwaYesu maisha

  • @user-pr6nl7bo4w
    @user-pr6nl7bo4w2 ай бұрын

    Ushuhuda,huonilishausikia,miakaishilini,iliopota,kumbendiowewe,mdogowangu,polesana,kwayesu,umefika,kilakitu,kilikwisha,pale,msalabani,Yesundionjiayakweli,nauzima,

  • @farajirashid8859
    @farajirashid8859 Жыл бұрын

    Wewe mwongo sana

  • @jersonmpeka4984
    @jersonmpeka49843 ай бұрын

    Lulu wanasema ina majini 99 na majina ya Allah ni 99 hili linafikilisha sana

  • @tedynotes6148
    @tedynotes61484 жыл бұрын

    Ubalikiwe sana

  • @costanciasimon2076
    @costanciasimon20762 жыл бұрын

    TangA shikamoo tarafa ya MADANGA

  • @dafrosamonko8254

    @dafrosamonko8254

    4 ай бұрын

    Hahahaaaa nimekuelewa

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi97614 жыл бұрын

    Simulizi inasisimua.asante

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Okoka kama bado,kumbe majini yameenda chuo cha madrasa haa ila hayajui Wokovu tu

  • @mutonyipros1293
    @mutonyipros12932 жыл бұрын

    I was married to amuslim 10yrs.what I learnt and I saw.what I went through, I will never leave Jesus Christ. Damu ya yesu almost 99 % of all shekhs Ni wachachawi.hao wanaohubiri..

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Amen,speak out all

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Asante saana eti ndio wanaoongoza

  • @patsonkyando1732

    @patsonkyando1732

    Жыл бұрын

    Asilimia 100 ya sheikhs Ni wachawi wa kusomea majini na kuyatumia

  • @patsonkyando1732

    @patsonkyando1732

    Жыл бұрын

    EXACTLY, Kweli kabisa

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper52354 жыл бұрын

    Goood

  • @benedictmango9561
    @benedictmango95614 жыл бұрын

    Safi sana

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Жыл бұрын

    Naomba nmba mishi

  • @paskalmichael6658
    @paskalmichael66583 жыл бұрын

    Tuchukue ushuhuda huu tupate kutubu. Bwana apewe sofa.

  • @YahayaRashid-w2f
    @YahayaRashid-w2f5 күн бұрын

    Ebuachen uongo

  • @sakisfidmasho6393
    @sakisfidmasho63934 жыл бұрын

    yesu ni hatari wachawi wana sumbuka kufanya uchawi rakini yesu anaondoa uchawi huo mara moja tu

  • @sarahmichael7538

    @sarahmichael7538

    3 жыл бұрын

    Yesu haandikwi kwa kuanza na herufi ndogo, tfdhl sn

  • @magrethmollel1078

    @magrethmollel1078

    2 жыл бұрын

    Jitahidi kumuheshimu Mungu kwa kuandika kwa herufi kubwa Yesu,Mungu,Roho Mtakatifu

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati97924 жыл бұрын

    Jamani ushuhuda wa nguvu, ulipitia mengi mtumishi lakini hakika hakuna kama Yesu.

  • @halfaniland3850

    @halfaniland3850

    4 жыл бұрын

    We acha kukufuru. Soma Luka 6:12,13) Huyo aliyekuwa akiomba Mungu kwenye mkesha ni nani? Maana we umesema hakuna kama Yesu. Halafu kingine, si bora ungesema; hakuna kama Mama wa Yesu. Maana Maryamu ndiye kamzaa huyo Yesu. Soma acha kuropoka ndugu. Luka 1:30,31)

  • @mussaabobakar7537

    @mussaabobakar7537

    4 жыл бұрын

    @@halfaniland3850 jaman naona kuulza mm mungu wa wakrsto ndojup asa plz nisaidie mana mm yesu najua binaadam hawez kuwa mungu mana kazaliwa et na maryam binaadam hawez kuwa mungu

  • @gladnesssidiu8945

    @gladnesssidiu8945

    4 жыл бұрын

    @@mussaabobakar7537 bakini na iman zenu ila Yesu ni Bwana hata mkatae ....af kimewaleta nini huku kusikiliza shuhuda za kikiristo kama haziwavutii

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    @@halfaniland3850 hata Mama wa Yesu anamnyenyekea Yesu

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    @@mussaabobakar7537 Yesu alizaliwa kama Binadamu tu ili tusimuogope,Lakini alikuja akitoka Mbinguni aligeuka tu kuwa binadamu ili tumsogelee bila woga,Nafikiri Unahitaji kufundishwa Biblia au kuisoma ili Uielewe vizuri na Kwa Nini tunasema Yesu ni Mwana wa Mungu au ni Mungu

  • @abedichande2497
    @abedichande24974 жыл бұрын

    zamn nilikuwa mpenz sana wa hiz shuuda baada ya kujua tu kuwa amuelezi vitu kwa uwazi nimekuwa mvivu sana wa kusikiliza..mtu umeokoka na umempokea yesu na ulinzi kwa mungu unachoficha nn mpaka napata hata mashaka kutaka kuamini kuwa hz shuuda ni kwel au la

  • @jovithashayo4197

    @jovithashayo4197

    4 жыл бұрын

    Abedi Chande i

  • @mussaabobakar7537

    @mussaabobakar7537

    4 жыл бұрын

    Hamna wanatengeza izo sio kwel et ww umesikia wap asa shehe kasoma kuruan anahofu ya mungu alf akaokoke hahahaha jan akamuabudu mtu jan yesu binaaadam

  • @mussaabobakar7537

    @mussaabobakar7537

    4 жыл бұрын

    Ww watu kama wanategeza viwete alf wanaombea nakanisan alf wananyuka watashindwa kutengeza iyo ya shehe

  • @MishiPapalan

    @MishiPapalan

    3 жыл бұрын

    Huyu jamaa muongo mimi nimesha mzalau siku nyingi kwanza uchawi tuu ndio ulomtawala hana ndini yoyote

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Wewe kumbuka wako Duniani,Si vizuri kutaja majina ya watu au vitu vyoote waazi,Wewe kama huamini basi endelea na mambo yako,Sie tutamfuata,Tunajua mengi Duniani,Sikujua kama Waislamu ambao ni waganga wanakubalika ndani ya dini,Maana wakikujua ukiwa mkristo huruhusiwi tena,Sasaasingeshuhudia ningejuaje??na Muslamu kuokoka ni issue mpaka Nguvu fulani ije ndani ya mtu huyo

  • @mwambakamata2030
    @mwambakamata203010 ай бұрын

    😅😅

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Жыл бұрын

    Naomb Namba z mtumsh

  • @Summertm
    @Summertm2 ай бұрын

    1 John 3:8: Jesus came to destroy the works of the devil.

  • @mwambakamata2030
    @mwambakamata203010 ай бұрын

    😅😅😅

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Жыл бұрын

    Naomb Namba mtumshi

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p5 ай бұрын

    Makafiri wote wanadai ushahidi wao wa kuritadi watakwambia uchawi hawana ushahidi wa maandiko waongo sana hizi kuni za motoni

  • @evalinekitomary4307

    @evalinekitomary4307

    11 күн бұрын

    Hivi kwanini wapinga kristo na wafuga majininahasira sana Yesu kristo awaokoe

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    11 күн бұрын

    @evalinekitomary4307 tatizo makafiri wanatumia uongo wewe kila anaetaka Kiki anasema alikua sheikh sijawahi kuona sheikh alieritadi wengi elimu yao hata mimi hawanifikii na mimi sio hata mwalimu

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Жыл бұрын

    BAsi kama uli fundishwa uchawi huujuwi uslamu ndipo ukamfuwata pawulo ukawa mkiristo

  • @nassorsalehsalum8852
    @nassorsalehsalum88523 жыл бұрын

    😠😠😠 jinga sana

  • @edigamashauri7443
    @edigamashauri74432 жыл бұрын

    kaka kuna watu wanafura iya uchawi mm ninaushuda kuna mwana mke uku niriko nimutu muzuri sana kwamaneno pena mucheshi rakini niatari sana kwauchawi namakafara

  • @sukumaganga2613
    @sukumaganga26132 жыл бұрын

    Huo ni uwongo mkubwa sana pia kama. Itakuwa kweli bc uislam hauruhusu mtu kuwa mchawi Wala wachawi kuwa ndo marafiki zetu wamelaaniwa wote wanafanya UCHAWI Ila sio dini ndio iinayoruhusu ni matakwa ya ya mtu binafs hata mm nilikuwa mkristo Leo mwislam nashukuru mungu kwa kuniongoa kila moja achek na nafs yake Ila awadanganye hao wa shetan wa mungu hatudanganyiki kwani mkristo akiwa mwizi ndo wakristo wote wezi? Tumieni akili

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Nakuelewa ila Waislamu wengi wakiwa wachawi wanaruhusiwa kufunga na kufanya Ibada zote za uislamu,Mkristo ukijulikana ni mchawi huruhusiwi kuwa kiongozi wa Dini fulani ya kikiristo,Amka

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Hee pole saana umechagua fungu lako maana jehanamu inakusubiri

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Жыл бұрын

    Kwani huyo mungu wa Waislamu asingekusaidia kuondokana na hiyo hali??mbona wanamuamini saana??

  • @patsonkyando1732

    @patsonkyando1732

    Жыл бұрын

    Mungu hakai katika dini

  • @mamafloraofficial4315
    @mamafloraofficial43159 ай бұрын

    Nasikia huyu karudia uganga

  • @DIGNAJASTIN-dl8yj

    @DIGNAJASTIN-dl8yj

    4 ай бұрын

    Wew mama flora amekuambia kwamba amerudia uganga?

  • @wanyooshetv9987
    @wanyooshetv99872 жыл бұрын

    ILI NI IGIZO TU HAKUNA MUISLAMU MWENYE MUONEKANO WA KIKAFIRI NAMNA HIYO

  • @fatmakhamis8605
    @fatmakhamis86053 жыл бұрын

    Unajuwa wakristo munachekesha nyinyi munsema kwmba quran ni uchwi eti kwa kuw munziona kw waganga lkn leo ukiangalia gesti zote zimejaa bibilia hivi Ina maana mtu anapozini anapata ham ya kusoma

  • @ludovickharsonharson3564

    @ludovickharsonharson3564

    3 жыл бұрын

    Hahahaaaaaaaa mbavu zangu jamn hahahahaaaaa umekosa cha kuandika duuuuh,, umekuwa malaya mpaka gest zote unazijua

  • @jamesautomajorjimmy7895

    @jamesautomajorjimmy7895

    3 жыл бұрын

    Check mi nimetoka kenya saa si matusi au dharau wote hawa wanaotoa ushuhuda wengi ni waislamu na si vibaya lakini ukiangalia alishababu wote ni waislamu wanapigania Mungu wao badala Mungu wao awapiganie angalia kwa pande zote mbili yaani umbaya na uzuri wa kitu

  • @marselinadena7618

    @marselinadena7618

    3 жыл бұрын

    Gesti ziliwekwa kwa ajili ya nini? Ashukuriwe Mungu uliingia gesti na ukakuta biblia sasa kazi kwako siku ya hukumu hhuna namna ya kumwambia Mungu kwamba hukupata neno lake. Maana ushamaliza Gesti zote

  • @ramadhanwilbard8196

    @ramadhanwilbard8196

    2 жыл бұрын

    @@jamesautomajorjimmy7895 Shangaa kwanza wanaoabudia masanamu ya kuchonga heti ni mfano wa Mungu!

  • @lilianmugyabuso8908

    @lilianmugyabuso8908

    2 жыл бұрын

    @@marselinadena7618 Hahahaha umeongea vyema Siku ya hukumu asitoe sababu!umenichekesha sanaa

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar75374 жыл бұрын

    Ila nakwambia tena mnajitahid kutuga vzr mana mnavo wafanya watu wawe viwete alf unamuombea et anapoa hahahahahaha

  • @sambajohn5015

    @sambajohn5015

    4 жыл бұрын

    OK je yesu akumpa uhai ndege

  • @sarahmichael7538

    @sarahmichael7538

    3 жыл бұрын

    Yesu anakupenda ndg krb kwa Yesu!

  • @sarahmichael7538

    @sarahmichael7538

    3 жыл бұрын

    Ila hakuna watu wabishi kama hiki kizazi cha 6...mnabisha kwasababu hamumjui Mungu wala uweza wake. Mwapotea kwa sababu hamumjui Mungu wa kweli

  • @marselinadena7618

    @marselinadena7618

    3 жыл бұрын

    Yesu anakupenda

  • @bundamara8035

    @bundamara8035

    3 жыл бұрын

    hata mim nilikuwa mbishi na mgumu kuelew km ww mussa lkn ipo siku yesu atakupa neem ya kumjua kwa maan ni kw neem tuu kumjua yy haswa ukiwa huko ulikoooo.

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p5 ай бұрын

    Huko upande wa pili nasikia papa kawaamuru waoane mpeni mume huo alikua na jini mahaba huyo

  • @evalinekitomary4307

    @evalinekitomary4307

    11 күн бұрын

    Nikwambie tu kuwa papa sio Yesu kristo na sio kila mkristo ni mkatoliki

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    9 күн бұрын

    @@evalinekitomary4307 wakristo wote wapo katika upotezvu ndio mana mpaka leo mungu hawamjui wengine wanakwambia baba wengine baba ndio huyo huyo yesu yani mgongano balaa maandiko ya bibilia yana migongano hasa hizi barua za paulo ndio zinapoteza balaa

  • @abedichande2497
    @abedichande24974 жыл бұрын

    hapo ndyo me uwa nachoka ..sa kwa nn msiwe wazi kabsa mnaogopa nn wakati mmeisha okoka jaman

  • @sakisfidmasho6393

    @sakisfidmasho6393

    4 жыл бұрын

    Abedi Chande anatumia hekima mana sio wote wana hekima na imani kama mimi na wewe na yeye .

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Ndugu Tumia hekima

  • @mahshamwidaawaonlinetv4261
    @mahshamwidaawaonlinetv42612 жыл бұрын

    Ushuhuda fake, mbona anaficha sura yake? Anwani ya ushuhuda ni MCHAWI ALIYEOKOKA sio SHEHE ALIYEOKOKA

  • @charlesmapunda5905

    @charlesmapunda5905

    2 жыл бұрын

    Ushuhuda sio feki ukitaka kumshuhudia vizuri huyu bwana mcheki kwenye channel ya Davista Mata utafuatilia mwanzo mwisho sio audio ni video

  • @shafymtupili1075

    @shafymtupili1075

    2 жыл бұрын

    Mchawi huyo

  • @patsonkyando1732

    @patsonkyando1732

    Жыл бұрын

    Kwani kuwa sheikh maana yake Nini?

  • @mahshamwidaawaonlinetv4261

    @mahshamwidaawaonlinetv4261

    Жыл бұрын

    @@patsonkyando1732 Bwana Patason natumai umesikiliza ushuhuda alotoa huyo bwana, kwa madai yake na majina aliyoyatoa yeye amezaliwa katika dini ya Kiislamu lakini alipokuwa mdogo aliidhi uchawi na mtu mwenye kupewa mikoba ya uchawi huyo si mwingine ila ni mchawi. Ikiwa kaokoka na kumpokea yesu itakuwa ni mchawi kaokoka na kumpokea yesu sio shekhe kama anuani ya video hii ilivyo nakiliwa, ushuhuda wake nikuwa amekuwa mchawi na akajifunza mengi kuhusu uchawi , mfano mkristo anapoitwa kwenda kanisani hutumia kengel, muislamu hutumia mwadhini na wachawi kama alivyosimulia jamaa huyu alifundishwa kutumia aina fulani ya sauti. la muhimu adai kuwa amemupokea Bwana yesu akaokoka bila ya kujua kuwa ujumbe alopewa bwana yesu haukuwa ujumbe kwa watu wote ila ilikuwa ni ujumbe kwa makabila kumi na mbili za wana wa israeli, adai anamfuata yesu lakini kwa bahati mbaya Yesu atamkana siku ya kiyama.

  • @patsonkyando1732

    @patsonkyando1732

    Жыл бұрын

    @@mahshamwidaawaonlinetv4261Brother ,Muabudu Mungu wa mbinguni siyo Dini , Duniani Dini Ni nyingi sana,Wengi tunashika dini tukidhani tunampendeza Mungu , ukweli Dini zote Ni za shetani Wanadamu siyo Mungu,Watu leo wamefundishwa na kushika Mambo ya Dini zao,Moja ya Jambo shetani anafanya Ni kuufunga ufahamu wa watu ili wasimjue MunguSo kumuelewa Mungu Ni ngumu sana unahitaji Neema ya Mungu ili umuelewe na kumjua, ndio Mana wengine Ni wachawi washirikina waganga wa kienyeji,wafuga majini ,wanaoa wake wengi na walozi lakini wanaenda misikitini na makanisani na diniwanazo kwani Ni rahisi kuwa na dini

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar75374 жыл бұрын

    Tatzo lenu wakrsto jambo moja tu mnakosea mnapo tunga izo str zenu alokwambia uislam kufuga majini nan mana naona yote mmeshikilia ivo tu 🤣🤣🤣🤣 na awo wachugaji wanao fanya muijiza wao wann mashetan au hahahahaha

  • @hopedigitalmedia34

    @hopedigitalmedia34

    3 жыл бұрын

    Mbona unateseka

  • @jamesautomajorjimmy7895

    @jamesautomajorjimmy7895

    3 жыл бұрын

    Ukisikia ulizia ukisikia mara moja ya pili fikiria mara mbili juu ukiona wenzio anyolewa makasi yale yale ita kupitia mombasani hizo vitu ni kama kawaida kwa nini jiulize kwa nini dugu yangu sikiza ukaelewe

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Жыл бұрын

    Pole saana mfuate nyumbani umkataze kuongea hayo

  • @patsonkyando1732

    @patsonkyando1732

    Жыл бұрын

    Mungu Ni Mkuu sana, mpokeeni Yesu Kristo Waislam na Wakatoliki mnapotea sana,hammuabudu wa mbinguni mnaabudu Dini,Dini siyo njia ya kwenda mbinguni ,Yesu Ni NJIA na KWELI na UZIMA Hakuna awezaye kumcha MUNGU bilà Yesu Kristo

  • @salimahlokoh9699
    @salimahlokoh96992 жыл бұрын

    Mimi nmekuwa muislamu 42yea nimeokoka huu mwaka

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    2 жыл бұрын

    Barikiwa sana

  • @sukumaganga2613

    @sukumaganga2613

    Жыл бұрын

    Yaan makafiri mnajitahidi sana kuua uislam ila hamtaweza Kwa sababu alieileta hiyo Dini ni Mungu mwenyewe sasa ww mwanadamu utawesaje kuuzima thubutu ndo kwanza ulaya wanasilim kama mvua na makanisa kugeuzwa kuwa misikiti hafu wale mnaosema.yesu anawajua dozi yangu Luka 13:25-30 zawadi yenu pitia hiyo Aya karibu ktk Islamic utaenjoy mwenyewe maana Kila mtu atabeba furushinlake mwenyewe hakuna Cha yesu kubeba dhambi zako Wala nn achani ujinga huo kama yesu amebeba dhambi Kila jumapili mnaendaga kulilia Nini makanisan mbona waajabu hivi nyie duh

  • @bamanyasalvius123

    @bamanyasalvius123

    Жыл бұрын

    ​@@sukumaganga2613 Kaffir wa nyoko

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    5 ай бұрын

    Huyu anataka mume huko kwa papa ruhusa kuolewa mpeni mume huyo

  • @barakampunga8121
    @barakampunga8121Ай бұрын

    Waislamu achen matus na makasrko nyie mnaslrimisha wakriso wa kawaida Sisi wanartadi mashehe Kimberly inawaume Eeeh