Pt3_Madhara ya kutumia Vipodozi vya kuzimu hata kama hukujua|USHUHUDA WA ALIYEKUWA WAKALA WA KUZIMU

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 53

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven463411 ай бұрын

    Naomba ulinzi wa malaika wa Bwana yesu kristo ailinde promova tv isishambuliwe na nguvu ya ibilisi amina

  • @jesusgirl9416

    @jesusgirl9416

    11 ай бұрын

    Aamen

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven463411 ай бұрын

    Kaka jackitani kazi nzuri MUNGU BWANA YESU KRISTO MWOKOZI AMEKUANDALIA MEMA USIPOZIMIA MOYO

  • @angelibrahim5539

    @angelibrahim5539

    11 ай бұрын

    Amena

  • @mauwasafi3430
    @mauwasafi34306 күн бұрын

    Asante sana promova tv basi mungu walinde sana ili tuzindi kajifunza nakubadilika na kumutafuta mungu sana tena kwa bindi sana Asante

  • @felesianyangasi
    @felesianyangasi11 ай бұрын

    Kuokoka na kukombolewa ni kuachana na vyote vya kichawi na kuzimu. Iweje bado anataza sinema za kichawi huyu???

  • @theodosiasangka183
    @theodosiasangka18311 ай бұрын

    Huyo binti nimemsikiliza si mara ya kwanza namwona amejifunga kitambaa chekundu au cheusi KWA NINI ? Anaonesha ishara gani au basi mazoea yake au ndicho alicho nacho!!

  • @user-28Gerardineakimana
    @user-28Gerardineakimana11 ай бұрын

    Mungu mwema kbsa

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa273611 ай бұрын

    Vipodozi vitatuingiza wengi kuzim, maana wengi husema sara alijipamba kwa vito vya thamani hivyo husema vipodoz ni ruksa hivyo Yesu atusaidie wanawake.

  • @chrisdeoglatias8665

    @chrisdeoglatias8665

    11 ай бұрын

    Sara hkutumia vpodoz popote,kweny nyaraka wanaposema KUJIPAMBA KWENU KUWE KM WAKRISTO W/ KE WA ZAMANI ndio wanammaanisha Sara! Mwanzilishi ni YEZEBERI 2WAF9:30 na HAKIKA NGUV YA HATI MILIKI ITAWAHUKUM W/ KE WATUMIA USURI WA KIDUNIA maana WTE watakuw nyuma ya huyo mama Yao KAHABA YEZEBERI!

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht11 ай бұрын

    DUH ,BARIKIWA SANAA

  • @SelestinaJoshua-pn4zv
    @SelestinaJoshua-pn4zv11 ай бұрын

    Kila wakikuona wanakukemea😂😂😂😂pole aisee

  • @LOGOSNew
    @LOGOSNew11 ай бұрын

    Mbona huyu vitambaa vyake ni red na black???????Si ajabu bado anapenda sinema za kichawi. Yafaa avitupe!

  • @Patience.67

    @Patience.67

    11 ай бұрын

    Yea black and red are not good

  • @user-zv2kr1jg4b
    @user-zv2kr1jg4b11 ай бұрын

    NILITAKA KUJUA HUKO KUZIMU MISUKULE INA KUFA AMA NA KAMA INA KUFA WANAIPELEKA WAPI?SWAL LA2 JE NI KWELI LUGHA INAYOTUMIKA NI KIARABU AMA?

  • @isabellarkageha7707

    @isabellarkageha7707

    11 ай бұрын

    Good question

  • @mediakatan

    @mediakatan

    11 ай бұрын

    Misukule inakufa pia.

  • @flm1530
    @flm153011 ай бұрын

    Amen

  • @pablovicpabloski7929
    @pablovicpabloski792911 ай бұрын

    NILIPANDA GARI SUNDAY NIASIIA KICHWA INAUMA SANA .

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei900711 ай бұрын

    Mtuonyeshe hiyo hereni thafathali

  • @byesigwafabian9255
    @byesigwafabian92558 ай бұрын

    Bado anahitaji maombi sana kusudi nafsi yake ikombolewe! Bado kuna shida hapo. Maana lazima mzigo wake uondoke begani mwake bado kuna mzigo ulibakia.

  • @neemamsalege6325
    @neemamsalege632511 ай бұрын

    Mimi naomba namba zake Kuna vitu nataka kumuuliza please!!!!

  • @user-ts3gz3qh4x
    @user-ts3gz3qh4x11 ай бұрын

    Sante kwaneno

  • @mikerutto8164
    @mikerutto816411 ай бұрын

    Jacktan , muhulize hiyo kuzimu alikua anafanana aje? Je nikama ile ya mchungaji katekela ama inatafauitiana??

  • @happyhousekeeper
    @happyhousekeeper11 ай бұрын

    12:55 King of kings anakuja kulichukua kanisa na shetani na muda tena 13:22

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace737611 ай бұрын

    HATARI SAAAANAAAAA!!!!!!

  • @happyhousekeeper
    @happyhousekeeper11 ай бұрын

    Wapendwa tujiweke tayari 13:16

  • @FestoJemsi-lr8pw
    @FestoJemsi-lr8pw11 ай бұрын

    Je sisi wauzaji inakuwaje mbona haitokei kitu chocho au sio urembo wote

  • @user-28Gerardineakimana

    @user-28Gerardineakimana

    11 ай бұрын

    Utajuwa kwenye maombi utaanza kuwa nauzaifu kwenye maombi unajihisi kuomba ila inakataa apo Sasa nikwako kujirekebisha

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha770711 ай бұрын

    Hivyo vitu vya kutoka kuzimu amesema ata uombe haviezi kutakasika.......hapa tunaitaji ufafanuzi juu amesema kuna wale wanaenda kukupi halafu wanatengeneza hapa duniani .plz we need help ya mtumishi atuelemushe jinzi ya kufanya

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    11 ай бұрын

    Ukielewa acha

  • @kapingalucy2707

    @kapingalucy2707

    11 ай бұрын

    Zile Zina Lodi Namba Zao Kuzimu Soo Zina connect,pia sikuzote Mali ya shetani niyashetani tyuu atautakase Bado nitatizo Kwa Siku ya unyakuo Maana inafahamika kuwa unamiliki vityu vya shetani. Maana Ata Baba Ana Andiko mkipenda ya Duniani na Vityu ningumu Kumpenda Bwana MUNGU wetyuu so Ata tutakase Lakin Sii vyake MUNGU anafurahishwa na Uhalisia Wetyu ,tuziache fashion zitupitie pembeni tuki kazana kuomba Na Kusoma Biblia Rohomtakatifu anatuongoza Na Kutuonya nin tuache Nini tuchukue.

  • @kapingalucy2707

    @kapingalucy2707

    11 ай бұрын

    Ndio maana inatupasa tuziache Maana Ni Saini Za Shetani mapambo vivutio Hivyoo tuzijue mbinu Za Shetani tumshinde

  • @kimsi682

    @kimsi682

    11 ай бұрын

    Kuna vitu zingine huwezi kuombea. Dawa ni kuziacha kabisa unapozitambua, kuzichoma ama uziingiliane nazo kabisa. Na pia uwe na discernment ya kuzitambua.

  • @giftstarmwanri

    @giftstarmwanri

    11 ай бұрын

    Mbona kasema kabisa. Kua ki vinavyotengenezwa kule na Kuna wanaochukua sample na kuja kutengeneza Ila vina izo nguvu. Vinavyotoka dierect huezi ombea

  • @mikerutto8164
    @mikerutto816411 ай бұрын

    Lile joka aliloliona linatoshana aje? Ni kama gari, meli, ama jumba ndefu ??

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    11 ай бұрын

    WEWE JUA ALIONA JOKA UKUBWA MWACHIE ALIYEONA

  • @jackympangile-nt3js

    @jackympangile-nt3js

    11 ай бұрын

    ​@@trophywilson7211😅

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    11 ай бұрын

    🤣🤣🤣

  • @marthaochieng1340
    @marthaochieng134011 ай бұрын

    When she says hata sasa, anapenda video za kichawi ina maana gani? Does it means she is still not delivered?

  • @JeniferJohn-en4op

    @JeniferJohn-en4op

    11 ай бұрын

    Inabidi ajitahid sana kusoma neno..kuomba kumtumikia Mungu kwa bidii ili aweze kutoka kabisa..ni taratibu taratibu anapona!

  • @valentinanduku8718

    @valentinanduku8718

    11 ай бұрын

    Anamanisha bado Hajaokoka kabisa kuna mguu mmoja kwa shetoo na mmoja kwa Yesu taratibu ataweza kutoka juu sio rahisi kutoka rasmi hadi atie bidii kwa uokovu na kusoma neno

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    11 ай бұрын

    Nahisi ni Lugha tu anayotumia ameshaacha

  • @kapingalucy2707

    @kapingalucy2707

    11 ай бұрын

    ​@@trophywilson7211haswaa atamimi na naliona

  • @FestoJemsi-lr8pw
    @FestoJemsi-lr8pw11 ай бұрын

    Wauzaji na wavaaji tunaomba utofauti kwenye urembo

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    11 ай бұрын

    Wote Kuzimu inawatafuta ya Moto wa Jehanamu

  • @kapingalucy2707

    @kapingalucy2707

    11 ай бұрын

    Tatizo muuzaji Ni Wakaka na Mtumiaji nitatizo pia Wotekuzimu

  • @patricianyale

    @patricianyale

    11 ай бұрын

    Kuna wengine Bwana zao hawajaokoka na wanamaduka na hivi vitu wanawalazimisha o wake zao wauze Hawa wanawake wafanyeje?

  • @kapingalucy2707

    @kapingalucy2707

    11 ай бұрын

    @@patricianyale Noo !Una Muomba MUNGU Atende Jambo abadilishe Mawazo Kwa Mwanamme kuhusuu Biashara hiyo,Napia umuombe Mungu akufunulie nin chakufanya Ndipo Muambizane na kushauriana ,hata uyo Bwana unapaswa kuombewa Sana ili aingie kwenye Wokovu u

  • @patricianyale

    @patricianyale

    11 ай бұрын

    @@kapingalucy2707 na Kama habadikiki ata ndo anazidi afanyeje

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709Ай бұрын

    Ashukuriwe Mungu

Келесі