Maelezo yamejitosheleza ..Asante Dr Sule, na Ahsanteni presentors
@user-em8ff3ot1h2 ай бұрын
Dkt sule Allah akupe umri mrefu tuzidi kustafidi inshallah
@igurusitv6553
2 ай бұрын
Huyu ni mshirikina tu
@user-vq9xw3qr7k
2 ай бұрын
Nivigumu kuherewa matendo ya Mungu kwasababu, wengeni wanajipandisha kuwa wana elimu, ila mungu kachaguwa watu ambao walie chini ili aka wahaibishe awo wanaojiwona kuwa wana akili, mungu anacho hitaji nikuwa kwamba mtu abadilike menendo yake mawovu nakumtumikia bwana, mengine yote yaku bishana hayana maana kwasababu kwenye hoja lazima mwingine aseme vibaya kuhusu mwingina, na kwasehu kama izo Mungu hapatikani, auwezi kumuuliza mungu kwa jambo alililufanya kutaka kuhepusha wamcha Mungu juu yama huwaji yaliyokuwa yanafanyika kipindi kile, Mungu akitaka kuokuwa ajali akili za mtu,
@user-vq9xw3qr7k
2 ай бұрын
Mtu auwezi kutenganisha maisha yawatu walio tumwa na Mungu kwasababu mtu ili awoneshe kazi njema nikwamba watu walio mzunguka washuhudie kazi zake, sasa injili alio kuja nayo Yesu ilikuwa inahusu maisha yake yaku stajabisha, sasa utangenishaje kwasababu hakuwe injili tu ila nguvu za miujiza ili waliofungwa na matatizo mbali mbali waponywe. Kitu ambacho unahandika mwenyewe auwezi kufanya kosa ila mambo yakwamba mtu anaperereza yanakuwa na exaggeration, lakini nikwa mtu ku amini juu ya hayo au kuhasha
@halidimgonza59452 ай бұрын
Dr. Sulley akil nyingi sn MashALLAHu
@user-oh1cy6iv2r2 ай бұрын
I say. The case is closed, thanks, Doc
@iddisalimu50282 ай бұрын
Hatari sana hii amesema kweli maana mkiambiwa ukweli hamtaki maana wakiristo mmeparaganyika hamueleweki
@luganomwaisumo1938
2 ай бұрын
Sasa si baki na dini yako 😂😂😂,wakristo wanawasumbua sana
@@yasiniselemani8672 wewe koma kabisa,nina amani na dini yangu.
@user-ih7nl5nv3c2 ай бұрын
Intervew yakisom sio zile zawalio feli maisha wanakuja kutoa ushuuda wa uwongo mala nilikua jambaz mala nilikua mchawi awaeleweki kabisa apa sule nimekuelewa
@dsgroup6093
2 ай бұрын
Basi ile ndio injili bora kuliko hata hizi za kusimuliwa kwenye vitabu maana ile ansesomulia ndio muhusika
@jesusislord9190
2 ай бұрын
Kamuulize huyu sule alisomea wapi?? Kaulizwa elimu yake alafu kashindwa kuielezea kwasababu anajua ataumbuka
@igurusitv6553
2 ай бұрын
@@jesusislord9190mshirikina tu huyo, we muulize kuhusu hio Pete aliyovaa
@Irenes_Kitchen
2 ай бұрын
Nimeshindwa kukujibu maana hutofautiani tu na Chizi wengine
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
2 ай бұрын
@@Irenes_Kitchen 😂😂😂
@harunaabu30832 ай бұрын
Doctor nakupenda kwaajili ya allha Allah akupe umlii mrefu 2zidi kupata dalasa inshallah
@mwanaikaomar86282 ай бұрын
Kikubwa tunachokuombea sisi dr.sule.tunamuomba Allah akupe umri mreefu wenye heri nawe.na afya njema ili uzidi kutoa madini kwetu .waskia raha wallah mtu akikuskiliza unavyonguruma na kumpwekesha Allah.kwenye ufalme wake na dini yake.na kuichambua vyema dini fake.Allah akupe mwisho mwema wa shahada yaa Rabby🤲🤲.adi raha
@swafiirbulbul8192 ай бұрын
MAASHAA ALLAH Dr. SULE ❤
@Kuminamoja19952 ай бұрын
Acheni kulalamika wakristo Dr sule ananukuu kwenye Biblia yenu
@sultanaswaleh78132 ай бұрын
MASHAA - ALLAH !.👋👋👋. MU'NGU ! .AKU FADHI NA AKUZIDISHIE ELMU ZAIDI. DR SULE.MIMI NI SHABIKI WAKO MKUBWA !NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH !.🇰🇪
@noahwamalwa4385
2 ай бұрын
Yesu ni Mungu.. Sule amepotea
@angle36002 ай бұрын
Mashallah sheikh Mungu amekujalia,kipaji cha ufahamu
@othmanhamad78872 ай бұрын
Dah nimependa sana maneno aliyamalizia Dr.Sule,ALLAH akupe kila la kheri na akuepushe na kila la shari Dr.Sule kwa elimu bora unazotupatia ambazo hazina jazba wala papara yyt anatulia na kukuckiliza wala hazikeri maskioni mwa yyt yule.Jazaakallaahu lkhayr wabaa'adal khayr jannaatu nnai'iim.Aamiin
@sultanaswaleh7813
2 ай бұрын
🙏🙏🙏
@Khalidmohammed-qv8qh2 ай бұрын
Maashaa allah mungu akupe uhai mrefu alie kuwa na hakili atakuwa amejifunza kwa kuwa maneno yote ulio ongea ni maandiko sio maneno yako binafsi
@jesusislord91902 ай бұрын
Marko 16;14) inasema baada ya kufufuka haleluya kumbe alifufuka kuongea koote umethibitisha
@aloycembaruku2 ай бұрын
Dr.Umejibu maswali yote vyema.Big up
@williamgabrielmassawe36542 ай бұрын
Paulo na petro walishiriki kumfunga yohana 😂, elimu mpya hii
@saumodzumbo96712 ай бұрын
Nichekee miyee 😂😂😂😂😂😂😂 shekhe Allah akulipe janna ishaallah maana watufurahisha sana 😂😂😂😂😂
@JonasDogsinatas2 ай бұрын
Kweli
@zawyakonyo98802 ай бұрын
Umri with afya dr Sule
@uwesusaid53342 ай бұрын
Mashaalah Dr Sule
@enockyangazakaduduye58972 ай бұрын
Siku nyingine mwandishi wa habari ukitaka kuwa balanced kwenye interview zako hakikisha unajua context ya story ili umuulize muhojiwa Hard questions, Mwandishi Hujui Biblia Akikupotosha hata huelewi chochote. Wewe na Huyo Shekhe wako wote Hamjielewi. Hii sio interview ni mtu anajisafisha kama amekukodi vileee
@Naw89
2 ай бұрын
Wewe ndio hujielewi mana unaambiwa lakin haukuingii akilini
@hanifa9153
2 ай бұрын
Hakna mungu wa 3 mungu ni 1 acheni kumpakazia Issa mwana wa mariam uongo hyo ni mtume wa mungu
@enockyangazakaduduye5897
2 ай бұрын
@@Naw89 Tunaongea kutoka kwenye nchi mbili tofauti ni ngumu kuelewa nilichomaanisha. Nakuombea Yesu aliyemtokea Paul akutokee na wewe ili awe ushuhuda kwako na ndugu zako wotee
@AhmadSalim-dm4uk
2 ай бұрын
Twambie ww uijuaye bibilia wapi kapotosha?😅😅😅
@masindemagee96032 ай бұрын
Mtume Mohamed kafa hadi leo anasubili kufufuliwa lakini yesu kristo yu hai milele na milele
@hanifa9153
2 ай бұрын
Icho ndo akili yenu huwadanganya kama ni mungu😢 weee hamtatuingiza hko cc tunajua mungu ni 1 na hana wakufanana nae na wala hana mshirika... yesu ni muujiza wa mungu kataa uende motoni
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@hanifa9153ELIMU Yako ya UISILAM ni ndogo. SOMA BIBLE UWE NA ELIMU PANA
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Yesu ni mtume alietumwa kuja kuokoa wana wa Israel mengineyo yaweza kua porojo za waandishi wa vile vitabu zaidi ya 66 vilivyotumika kuandika Biblia
@mahimbomichael1082
Ай бұрын
Sawa mtume Muhammad kafa huyo aliekuwa wahai yupo wapi
@user-pv2qn8qh9w2 ай бұрын
Mashaallah
@Yusufu9402 ай бұрын
Petro alipewa funguo ya kanisa la kwanza na roho mtakatifu. Paulo alitenda injili km mchanguliwa kwa mahana alikuwa apiga kanisa vita akuna na Mungu aka mugeuza toka Sauli na kuitwa Paulo aka hanza injili🎉
@zaidiissa3714
2 ай бұрын
Kwahiyo yesu hahusiki na ukristo maana muanzirishi ni Paulo??
@Yusufu940
2 ай бұрын
@@zaidiissa3714 Yesu Christo ndo wazilishi wa Ukristo. Ana jina ni Yesu Kristo
@faudhiasaidi3669
2 ай бұрын
@@Yusufu940 Yesu anajijua kwa jina la Masihi sio kristo
@Yusufu9402 ай бұрын
Sio Marko miujiza ni Luka 5.
@suleimankhamisi65502 ай бұрын
Sulle simuongo anasoma vitabu pengine izo ndo zauongo
@JonasDogsinatas2 ай бұрын
❤
@Yusufu9402 ай бұрын
Sauli alikutuna na Mungu kwa nn wani tesa macho yake alipa tatizo yakuona.
@Yusufu9402 ай бұрын
Kuna injili moja sio moja ni Yesu Christo akuna mbili.
@MpateOmari2 ай бұрын
Upo vizuri Dr sure wewe ni mjuzi haswaa mungu akulipe zaidi
@rafiaahmad1682 ай бұрын
Mbona mnaandika kichwa cha habari tofauti
@masindemagee96032 ай бұрын
Ukiona kule Israeli Kuna misikiti mahali lililokuepo hekalu enyi wakristo hmjasoma muone unabii wa Daniel umetimia mpinga kristo annabudiwa mahali patakatifu patakatifu pa hekalu ambapo sehem io aliabudiwa mungu yahweah bwana mungu was majeshi !!?
@nourdinpro2 ай бұрын
Asante sana Dr sule
@Mwajumasaid-lv4xf2 ай бұрын
Nahiyo ana iyo ngelea Bible lakini bado wanaona anatunga hata maa ndiko yao wana yakana
@loner_wolf2 ай бұрын
Quran ina sura 114 dr sule..... Mark that as you teach😅😅😅
@Mahershalalhashbazi-kf6xi2 ай бұрын
Mpunga pepo acha kudanganya uma;Injili ni uwezo wa Mungu uletao waokovu kwa kila aaminiye👉Rumi 1:16
@Hussein-gx4qu
2 ай бұрын
Sasa wewe unasomea barua za Paulo hapa ?
@mwanaidiissa10
2 ай бұрын
Sasa tunaitaka hiyo injili
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
2 ай бұрын
@@mwanaidiissa10 Kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi 👉Ndiyo hatua ya kwanza ya udhihirisho wa Injili ✍️Mathayo 28:19. Amua kuwa mwanafunzi(Mkristo) upokee Injili 👉 & Isaya Isaya 61:1-4. Mathayo 10:8. Zaburi 34:8
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
2 ай бұрын
@@Hussein-gx4qu Ukipiga ngumi ya jicho;unapiga ngumi ya sikio;ukiuliza unaonaje ,twauliza unasikiaje? Je! ni sura za Kitabu kipi BIBLIA au Quran zinazofaa kwa matumizi ya kuwafundisha,kuwaasha watu wenye akili timamu njia za Mungu? {1.} Quran👉Surat ankarabut (Sura ya Bui Bui) Surat Al baqara(Sura ya ng'ombe jike wa njano). Surat Jin(Sura ya majini). V/S {2}BIBLIA👉Waraka wa Paul kwa Wakorintho, Waefeso,Wathesalonike ,Wagalatia,Warumi nk. Swali langu kwako Hussein👇 Je!Sura za wadudu ,wanyama,majini wanazosomewa maamuma na Nyaraka za Rasul Bullus(mtume Paul) zipi zinafaa kusomewa au kufundishia watu wenye akili wamjuwe Mungu? 👌👌👌👌👌👌👌
@tahirnephessalum36782 ай бұрын
Shebby mtafute Dr sulle aelezee vzur kwa undani na kwa ushahid wa biblia na Quran:Kuwa aliyesubiliwa msalabani sio yesu ni huyo aliyemtaja kakene...
@user-ih7nl5nv3c2 ай бұрын
Wanaosema wamemuona yesu jamani mmeskia somo ilo talatibu jamami elimu ndo iyo somen
@masindemagee9603
2 ай бұрын
Elimu yake ni ya uongo akawadanganye waislam kwenye biblia hakuna jina la issa Kama anavyosema
@user-ih7nl5nv3c
2 ай бұрын
@@masindemagee9603 au kuambiwa jina la isa mzee soma kwanza uelewe umeshazoea miujiza yakinafki imani na akili ndugu
@enockyangazakaduduye5897
2 ай бұрын
Huwez ielewa Biblia kama Huna Roho Mtakatifu, Huo ufafanuzi wa Shekhe hauna tofauti na stori za Kutiana kamba vijiweni
@rajabumbendenga5480
2 ай бұрын
@@enockyangazakaduduye5897 Fafanua wewe mwenye roho mtakavitu
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Hayo ni maneno ya watu tu biblia anaielewa mtu yeyote tu mwenye akili na kuona mapungufu yake. Kuna watu wamesomea elimu ya dini zote katika viwango vya digrii hata PhD ndio hao madokta na mitihani wamefanya na kupita na resechi au tafiti wamefanya Dr Selle anaeleza ya kweli ya vitabuni na kufafanua ukweli. Wengi tu wanangangania na kubisha tu. Wanangangania tu eti Yesu ni Mungu wakati iko wazi kwamba Mungu hakuzaa hakuzaliwa hana jinsia hakutahiriwa wala kufa na kufufuka. Yesu mwemyewe alisema baba mbona unaniacha wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu na pale alipoomba kwa Mungu kucha nzima. Yote hayo yanaonyesha kwamba yeye si Mungu lakini watu wanangangania tu Mungu Mungu yaano Mungu alibebwa Mimba na binadamu kwa amri yake mwenyewe halafu aliuawa na binadamu aliowaumba mtu anaamini tu mambo ya ajabu yasiyowezekans na kuniita anaelewa ana roho mtakatifu. Huyo roho mtakatifu ni nani na anakaa w api nadhani hata wayahudi hawamkubali. Sijui wayahudi walioletewa Yesu kama wana biblia yao na sijui imeandikwa nini kwani walimkataa Yesu
@user-cz7yn8ct5r2 ай бұрын
Jamani si Uislamu ulianzishwa na Mtume Muhammad,Sasa Bwana YESU alikuwaje mwislamu na wakati haukuwepo kipindi cha Bwana YESU
@amoursaid4569
2 ай бұрын
Soma ndugu yangu uislam upo kabla haijambwa dunia
@FatumaNasibu-cl2yn
2 ай бұрын
Uislam ulianza tangu zama za nabii Adam a.s
@aobasha1
Ай бұрын
Mtume Muhammad (SAW) hakuanzisha uislamu. Neno Islam ni unyenyekevu wa moyo kwa Mungu. Mitume (AS) wote waliokuja kabla ya mtume Muhammad (SAW) walikuwa ni wanyenyekevu wa moyo kwa Mungu.
@network-connectionАй бұрын
Huyu ni Dr. mwongo, anaongeza vitu ambazo haziko. Ingekua kweli kama angefungua Biblia, asome moja kwa moja.
@IssaAlly-lj3iq2 ай бұрын
Kama ww unajitia mkirsto bas omba mdaharo na sule tuwasikize na tuone nani bora
@hemedimuna14002 ай бұрын
Kwaiyo sure ukristo ni dini ya kweli kama ulivyo uislam tatizo ni mafundisho tu
@AhmadSalim-dm4uk
2 ай бұрын
Hakuna Dini ya ucristo 😅😅😅
@rashidally8632 ай бұрын
Toeni hoja sio kulaumu nyingi wavivu wa kosoma mandiko
@nourdinpro
2 ай бұрын
Umebabaika
@gisellamkama3785Ай бұрын
Upo bize na kusema watu. Tumia muda huo kuhubiri watu waache dhambi na wafanye toba ya kweli
@user-le4wr7mq6v6 күн бұрын
Nyie waislam hamuijui ukristo kamwe dini yenu imeanzishwa juz juzi na muhamed angalia sule wenu anavyowadanga eti ukristo umeanzia etyokia poleni sana na dini yenu ya uwongo
@hancymachibbula43552 ай бұрын
Kumbe wanakubali Yesu alipaa Mbiguni
@loner_wolf
2 ай бұрын
True , na atarudi , tatzo mnadai aliuawa kisha akazikwa badae akafufuka alafu akapaa......lkn waislam tunaamini alinyakuliwa na mungu akuwa hai ,wala hakuwahi kufa . thats why atarudi . thats islam
@michaelbengesi98382 ай бұрын
Sheby haelewi anaitikia tu 😂😂😅
@jumaahmadi2 ай бұрын
Mashallah leteni muendelezo watu waendelee kuemika
@Yusufu9402 ай бұрын
Muhulize km ana kaa Yesu Christo sio Mungu vp mahana Ya emaueli au Christo
@Elybwayz
2 ай бұрын
Mungu pamoja nasi swali yesu tangu kuishi kwake ashawai kuitwa MUNGU ila wakiristo wasas awaelewek mala mwana mala mungu kwan huu Ukristo uko mala mbili au😅😅😅😅
@Naw89
2 ай бұрын
Ni zaidi ya mara mbili Mungu mwana Mungu Roho mtaka vitu 😂
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@ElybwayzTAFUTA KANISA LA KWELI UFUNDISHE NI ELIMU PANA, SULE ANAJUA ILA HAWEZI KUONGEA UKWELI,AMEFUNDISHWA KUPOTOSHA.
@shabanijmrisho47152 ай бұрын
Nakupenda kwaajili ya Allah
@IssaAlly-lj3iq2 ай бұрын
Acheni matusi wakirsto au ukweli unaumaaa
@mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын
Dk sule hana elimu ya kuita. Viumbe lakini. Anatakiwa afundishwe lakini elimu hiyo ni ipo
@bajuncreativity78182 ай бұрын
Mbona mmekata kipande cha mwisho cha part 2
@usrahismail3196
2 ай бұрын
Labda umeme na si kimeendelea part 3 au hujui kuendeleza kwa simu yako
@Yusufu9402 ай бұрын
Akuna urafiki kt ya nuru na giza
@lifezest62742 ай бұрын
DR SULLE akutanishwe na Omary Mnyeshani au Meshack
@dorcaskarago28762 ай бұрын
Dr Sule tusomee Yohana sura ya 14:6 to 16 na utufafanulie ayo maneno ya Yesu please
@MuuYascohy-oc7os
2 ай бұрын
Uyo Yohana ndo Yesu au na yeye anasimulia habar za Yesu kwa ajuavyo ??
@dorcaskarago2876
2 ай бұрын
@@MuuYascohy-oc7os muulize dr sule uyo anajuwa ukweli wote
@tututz1002 ай бұрын
J.B.B.1999
@aishahazary40972 ай бұрын
Aje hapa IPM amjibu doctor Sulle ili aonekane kweli kafuata haki na latokewa na Yesu.
@noahwamalwa4385
2 ай бұрын
Yesu ni Mungu.. Sule amepotea
@aishahazary4097
2 ай бұрын
@@noahwamalwa4385 Yaan nyie mmepotea karibu kumfikia Firaun..Mpaka umri huo bado hujajua tu kama Yesu ni kiumbe kama mimi na wewe.Mtachomwa kama ibilis.
@noahwamalwa4385
2 ай бұрын
Yesu ni Neno la Mungu.. Na Dunia imeumbwa kwa Hilo Neno...Mohammed aliumbwa na Yesu. Yesu anakuja kumhukumu Mohammed
@noahwamalwa4385
2 ай бұрын
@@aishahazary4097 kama ALAA si binadamu kwa nini ako na macho, mikono na miguu??
@masindemagee96032 ай бұрын
Uyo sule ni mwongo sana !!!we mwandishi jiepushe nae uyo jamii lini injili ikabadilika! Hao watu si ndo wapinga kristo Kama yesu alivosema uliona lini uislam dini yao inakubali yesu mwana wa mungu si wapinga kristo hao
@nourdinpro
2 ай бұрын
Katika biblia yesu anasema yéyé ni kristo
@daudhabona88972 ай бұрын
Anae hoji kaloowaaa. Maana anapata majibu yoote ila anakomaa na imani yake.
@jumaahmadi2 ай бұрын
Kwel docter ww unaweza
@andrewmhagama98162 ай бұрын
Hizo ni Hadithi Kwa maana Yesu Kristo yupo wewe kwa maana ajakuitaji utapinga mpaka unaingia kaburini. Ukitaka kujua nguvu za Yesu Kristo nenda kwa waganga wanapo pandisha mashetani yao na uwaambie walitaje jina la Yesu Kristo wa Nazareti au mapepo yoyote yanapo wapanda watu hakuna atakae weza litaja jina la Yesu hapo ndio utakapo jua jina lililo kuu ni lipi.
@AhmadSalim-dm4uk
2 ай бұрын
Maskini weee 😅😅😅
@shabanijmrisho4715
2 ай бұрын
Someni wakristo mfungue ufahamu
@Mahershalalhashbazi-kf6xi2 ай бұрын
Quran3:54 Wamakaruu wamakaraaa ailah;wallah qaitor makhiriinah. [Walisema uongo,Allah akasema uongo,Allah ni mbora wa kusema uongo] Allah ni champion wa kamba aka baba wa uongo{mbora wa kusemauongo}Allah makir ....Mungu asemaye uongo 👌;na ninyi kina herbalist Sule watoto wake ndio mnaopenda kuutenda👉Yohana 8:44
@user-xz8mm5kt5m
2 ай бұрын
Hiki ndo mnachokijua nyie, kudanganya watu kwa tafsiri za uongo! hakuna neno "uongo" katika hiyo aya ndugu acha kudanganya watu! Tafsiri sahihi ni "Walipanga na Allah alipanga, na Allah ni mmbora wa kupanga" Acha kupindisha maneno na kudanganya watu!
@SamirAhmedSultan
2 ай бұрын
Aaah ndivyo mlivyomezeshwa huko makanisani kwenu ?😆😆😆 msiwe wavivu someni BIBILIA na QUR'AN nyinyi wenywe usisubiri usomewe utamezeshwa matango pori kama ulivyomezeshwa hapo 😆, hakuna TAFSRI hiyo, kwani nini mnapenda kumezeshwa vitu vya uongo? Mara ooh WAISLAMU wanafuga majini mara sijui nini yaani niuongo mtupu suala la USHIRIKINA ni suala la mtu binafsi na watu hao wapo pande zote yaani kwenye UISLAMU NA UKIRISTO watu hao hawawezi kukosekana........kwahiyo ndugu yangu kaachini USOME.....
@AnzaleoAfrica2 ай бұрын
Sijaelewa kwahiyo wakati yesu feki ananyongwa uyu yesu original alikuwa wapi😂
@jesusislord91902 ай бұрын
Mueleweni huyu miaka 40 baada ya YESU kupaa huyu amekubali kuwa Peter alieishi na YESU aliishi na Paul..wakati huu Paul alikuwa na miaka 50 so anasema Paul alimuona YESU..sasa kati ya Muhammad na Paul nani?? Anaweza kuwa mkweli?? Cha tatu huyu ni mwehu wapi imeandikwa Paul alikuwa mrumi Paul alikuwa myahudi aliefanya kazi chini ya dola ya kiislam.. Paul alikuwa muasi mala ya kwanza baadae akaokoka kwahiyo unasema mtu akiwa muuwaji leo akisilimu anakuwa muongo?? Imekula kwako Paul mwenyewe alikaa jela baada ya kuanza kumtangaza kristo alibebwa kama mtumwa kwenda rumi Paul hakuwa mlumi someni waislam hawa mashekh wenu wanawadanganya
@shabanijmrisho4715
2 ай бұрын
Someni wakristo mfungue ufahamu sio kubisha tu
@ZuhuraHamimu-iu1sc2 ай бұрын
Quran wamakaruu wamakaraaa ailah, wallah qaitor makhiriinah.
@GODFREYSABAYO-yz4qx2 ай бұрын
Tusomee mahali palipo andikwa muhamadi alipaa kwenda mbinguni
@andrewmhagama9816
2 ай бұрын
Muhammad ni marehemu
@msemakweli2432 ай бұрын
Duh hatari lkn hipo siku utaumbuka
@4karimu_
2 ай бұрын
FUNGUA ubongo ujifunze
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Wanasikia na kusoma kwamba Yesu ni mtume aliyetumwa kuja kukomboa wana wa Isrsel na mahubiri yske yote alionyesha kwamba kuna baba yake ndie mwenye uwezo lakini watu hawaelewi au wanajifanya hawaelewi na kutunga yao
@shabanijmrisho4715
2 ай бұрын
Duh mpaka hapa mnakataa maandiko yenu
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
@@shabanijmrisho4715 Hivi unaamini miaka hii kuna Prophet? Mtume kaoa anavaa anakula anakunywa kwa sadaka za waumini maskini. Huyo ni dini ya kulaghai watu wakiwemo maskini na kujinufaisha kama ilivyokua Shakahola. Dini iliyojaa makanisa na manabii wa uongo wakijitajirisha kwa sadaka.Upande mwingine hakuna ataedanganya eti yeye ni prophet kama hajapigwa mawe. Huko hakuna cha kudanganya nor ani haikuchakachuliwa na masahafu hazutofautiani wala hakijaongezwa chochote cha kuhubiri
@GiliardKashimba2 ай бұрын
Wewe mtoto wa mama mdogo ulie fukuzwa na mama nyumbani kwasababu yajehuli ya mama yako ukakimbilia jangwani malaika akamtokia yule kijakazi kamwambia aludi nyumbani kijakazi akaogopa atahuwawa baba
Wakristo mbona mapovu mengi acheni dr sulle awapeni dozi Alafu acheni kumfundisha kazi mtangazaji hamumlipi nyie kazi ya channel yake ni yake nyie andaeni yenu
@HassanLimbwenda2 ай бұрын
Sule salute 🫡 huna baya
@pascalvitalis2 ай бұрын
Oyah 😂😂 huko kwa mungu jaman sipati picha watu tutajibu nini... Jamaa yupo serious anapotosha watu😮 yan anachukua mstar mmoja anatafsir anavyotaka yy ili ifananie na anachokisema😂
@jumaissa542
2 ай бұрын
Toa mfano wa alichokisema cha uongo
@pascalvitalis
2 ай бұрын
@@jumaissa542 Nahc hapatosh nikupe namba unichek
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Huyo ni msomi katika mambo ya dini yote assmayo si yake binafsi bali ni ya kweli toka vitabuni. Huyo ni dokta wa usomi katika madigrii na PhD katika mambo ha dini zote
@ackimackim18802 ай бұрын
KUNA MAPEPO UKIFYATULIWA NDUGU SULE UTAOKOKA NA UTAKUWA HURU,MAANA NAHISI YALE MADUDE YALO MMINYA MUHAMADI MPAKA AKASOMA,YANAKUBINYA NA WEWE UONGEE HISTORIA YA ELIMU YA UONGO INAYO PINGA BIBLE,MUNGU AKUSAIDIE UPONE MZEE.
@abuumkota5505
2 ай бұрын
we mjinga kweli nyie ndio mashabiki wa dini ambae hamtaki kuelewa huu sio mpira kashabikie mpira
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@abuumkota5505 POLE NDUGU MAMBO HAYA HAYAHITAJI HASIRA
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Huyo ni dokta wa PhD aliesoma madigrii na falsafa katika mambo ya dini.Asemayo yote ni ya kweli toka vitabuni.Wengi wanamchukulia Poa huyu Daktari. Vitabu vyote viko kichwani mwake hayo si yake binafsi
@shabanijmrisho4715
2 ай бұрын
Someni wakristo mfungue ufahamu sio kubisha tu yan bible Bado mnaikataa
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@shabanijmrisho4715 Shabani tunaelewa bible,uko msikitini mmepotoshwa kuhusu bible tangu utotoni, njoo KANISANI tukufunze umjue vizur YESU,na maisha Yako yatabadilika.
@ugazosimba75812 ай бұрын
Hivi presenter bado huhasilimu tu mpaka sasa?
@johson5752 ай бұрын
Petero 😂😂😂
@hadijamohamed623
2 ай бұрын
Jiwe 😂😂😂
@wakeshojana2 ай бұрын
SHEBBY ULIAMBIWA HII TOPIC YA DINI NI NZITO KWAKO HUWEZANI NAYO HUYU MGANGA AKIKUDANGANYA HUTAJUA KAZI YAKO NIKUITIKA TU....HUJUI MASWALI YA KUUMULIZA....HUJUI BIBLIA NA HUJUI KORAN.... WAITE SHEHE OMAR AU HASSAN SALUM WAKUSAIDIE!! AMA MMELIPWA NA HUYU MGANGA AJE KUSAFISHA DINI YAKE??
@mussamohammedy8014
2 ай бұрын
Kinacho takiwa ni matumizi bora ya akili
@wakeshojana
2 ай бұрын
@@mussamohammedy8014 Tatizo matumizi bora ya akili ndio Shebby hana uwezo huo kwenye hii mada!!
@Naw89
2 ай бұрын
Akili yako ni finyu huwezi elewa hadi siku ukifika kwa mungu hapo kiburi chako utakuja kujutia
@wakeshojana
2 ай бұрын
@@Naw89 akili ya nani....na sababu????
@azizabuyonde83682 ай бұрын
Utabakiliya uongo na kuwapotosha wapumbafu, ukitaka debate kuna kiboko yenu waislamu, anaitwa kwa youtube tafuta, Christian Prince.
@freedommusumbi9134Ай бұрын
Huyu mtu ni muogo sana
@jesusislord91902 ай бұрын
YESU hana uwezo wa kumyokea mtu yupo hai Muhammad amekufa anawatokea watu tupe anawayokea akiwa kama jini au mzimu malaika au Allah tuelezee
@usrahismail3196
2 ай бұрын
Hapa ni andiko tu toa andiko ya madai yako
@jesusislord9190
2 ай бұрын
@@usrahismail3196 YESU yupo hai hawezi kumtokea mtu Muhammad kafa anaenda maulidini
@rahelfocus93852 ай бұрын
BIBLE. Sio kama gazette kusoma kama hadithi..... bible kwenye kila neno ndani yake kuna neno..... bible nikama kitendawili yani bila kua na roho mtakatifi huwezi kuelewa kamwe...... bible nifumbo..... Sulle aache kusoma kama gazette
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Biblia ni mkusanyiko wa zaidi ya vitabu 66 vikiwemo vya uongo na kichakachua. Injili tu ndio maneno ya Mungu na ndio Yesu alikua akifundisha. Vitabu vya uhakika ni Zaburi torati na Injili vinginevyo vingi ni chomeka chomeka na kuchakachua
@daslamonline46652 ай бұрын
Wewe ni mwalimu wafundishe kitabu chao makolo hao
@davidominde22662 ай бұрын
Hambia huyo backslaida atumie koran awachane na Biblia takatifu au aokoke tu maramoja
@ackimackim18802 ай бұрын
SULE HUWA ANAFATILIA ELIMU YA WAONGO WA KALE,AMECHAGUA NJIA YA IBILISI BABA WA WAONGO.
@zenahussein2242
2 ай бұрын
😂😂😂 we Acha uziba, sikiliza maandiko hayo
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@zenahussein2242 Karibu Kanisani
@GODFREYSABAYO-yz4qx2 ай бұрын
Acha kudanganya watu unapo soma bibilia soma histolia nzima usitumie misitali michache kupotosha watu mwisilamu hamwamini yesu kuwa nimokozi bali mnamsomatu
@user-ry2yr8pd2r
2 ай бұрын
Yesu si mwokozi,yesu n mtume wa 24 ktk mitume 25 mwokozi ni Allah pekee yesu n mtu Kama ssi kaka,wachungaj wenu n watu wa seraa,waulizen maswal magumu..Leo ukimuulz mchungaj atakwambia una mapepo hapana ndugu zangu msikubal kuitwa wanakondooo ,hmu amkeni waulizen maswal so wachungaj,kaka kabisa n takatif kuliko kitanda unacho lalia,lkn hujawah lla na viatu coz unaogopa kuchafua kitanda lkn always unaingia Kansan na viatu..amkeni ndugu zangu
@khalfansaid47562 ай бұрын
Mikondoo iliyopotea utayaona tu hawaelewi hata uwafanyenn
@samwelsimon68422 ай бұрын
Muulize Dr Sulle kuhusu mkiristo kuoa mke mmoja ilitokea wapi hii ?
@zaidiissa3714
2 ай бұрын
Kwanza swali tukuulize wewe imekatwazwa wapi katika bibilia???kabla yakujua imetoka wapi nana kaanzisha ??
@Yusufu9402 ай бұрын
Kwa mulikopi vita vya Biblia km sio wizi na Biblia ipo tangulia. Kwa nn muna chukuwa historia ya ki Biblia kuwa ya wa harabu
@Shilangadi
2 ай бұрын
Huna elimu bali makasiliko
@safiam533820 күн бұрын
Aliye bambwa msarabani mtu mwingine
@Yusufu9402 ай бұрын
Jibu ili kwa nn Mohammed akufanya okowa watu na miujiza na kuhumu watu wasio waisilamu ni makari.
@Shilangadi
2 ай бұрын
Miujizia ni mungu kupitia mikono ya manabii
@LispafulgenceSimon-rs1zg2 ай бұрын
Kumbe waisam ninmbwa
@slymsameer5415
2 ай бұрын
Ilaumu akiliyako ambayo imekariri haitaki kujifunza 😂😂😂 kwani anasema huongo kama anasema uongo milango anayosoma si uifuatishe halafu kosoa
@masindemagee96032 ай бұрын
Sisi wakristo tunamwamin yesu kristo sio issa bin maryiam wewe unaemjua kwenye injili hakuna jina Hilo acha kupotosha watu wanaokusikiliza!
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Ni huyo huyo mmoja Emmanuel Imma Yesu na Isa na majina mengineyo .
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Ni huyo huyo waislam wanamwita Issa bin Maryam kwani kiukweli hakua na Baba kwani Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa ni ilikua vigumu kuitwa Issa bin Mungu
@Yusufu9402 ай бұрын
Kwa nn waisalmu muna Mchukia Mtume Paulo
@wakeshojana
2 ай бұрын
kWA SABABU ALIKUWA MPINGA KRISTO KAMA WAO LAKINI BAADAYE AKA-RITADI!!
@@hadijamohamed623UNAMJUA ROHO MTAKATIFU???? Msikitini huko ayupo,ukitaka umjue njoo KANISANI
@hadijamohamed623
2 ай бұрын
Mmmh mfyuuu.. msojua kuchamba eti mna roho mtakatifu... hahahahahaha
@hamidudigogo58632 ай бұрын
KUNA MPUUZI MMOJA ALISEMA ALIMWONA MUNGU NA NYERERE NA SUFURIA YA MAJI IKACHEMKA MAJI MBAKA MAJI YAKA KAUKA 😂😂😂 ANAKWAMBIA ILIKUA TAREHE 14 HII NDINI YAO NDIO WENGI WAO WALIMWONA MINGU NA YESU
@wesakawesaka35162 ай бұрын
Doctor sulle dini yake yeye mwenyewe imemshinda alafu anakuja kuzungumzy ukirsto yaan uyu jamaa anajua vitabu ila Hana upendo ni kupiga hela tyu .na anatumy dini kupotosha watu na hatufai huyu muwakilishi
@abdallahzongo387
2 ай бұрын
Hasira za nini kula ayaa na pia usiweke mipaka ya kujifunza soma biblia dk sulle ni zaidi ya askofu
@wesakawesaka3516
2 ай бұрын
Nletee HIVYO alafu sikiliza anavyopotosha
@IddyAdam-ww1mq
2 ай бұрын
Ninyi ntaendlea kupelekwapelekwa mpka mwsho
@zaidiissa3714
2 ай бұрын
Sasa hapo kupotosha Nini?
@wesakawesaka3516
2 ай бұрын
@@zaidiissa3714 ndgu yangu soma biblia matendo nane na Yuko tofaut anavyovisema Kwa sababu ya kutokusoma maandiko Kila kinachosemwa na mtu ni amen tyu wakat mnapitezwa Kwa kukosa maalifa
Пікірлер: 279
Maelezo yamejitosheleza ..Asante Dr Sule, na Ahsanteni presentors
Dkt sule Allah akupe umri mrefu tuzidi kustafidi inshallah
@igurusitv6553
2 ай бұрын
Huyu ni mshirikina tu
@user-vq9xw3qr7k
2 ай бұрын
Nivigumu kuherewa matendo ya Mungu kwasababu, wengeni wanajipandisha kuwa wana elimu, ila mungu kachaguwa watu ambao walie chini ili aka wahaibishe awo wanaojiwona kuwa wana akili, mungu anacho hitaji nikuwa kwamba mtu abadilike menendo yake mawovu nakumtumikia bwana, mengine yote yaku bishana hayana maana kwasababu kwenye hoja lazima mwingine aseme vibaya kuhusu mwingina, na kwasehu kama izo Mungu hapatikani, auwezi kumuuliza mungu kwa jambo alililufanya kutaka kuhepusha wamcha Mungu juu yama huwaji yaliyokuwa yanafanyika kipindi kile, Mungu akitaka kuokuwa ajali akili za mtu,
@user-vq9xw3qr7k
2 ай бұрын
Mtu auwezi kutenganisha maisha yawatu walio tumwa na Mungu kwasababu mtu ili awoneshe kazi njema nikwamba watu walio mzunguka washuhudie kazi zake, sasa injili alio kuja nayo Yesu ilikuwa inahusu maisha yake yaku stajabisha, sasa utangenishaje kwasababu hakuwe injili tu ila nguvu za miujiza ili waliofungwa na matatizo mbali mbali waponywe. Kitu ambacho unahandika mwenyewe auwezi kufanya kosa ila mambo yakwamba mtu anaperereza yanakuwa na exaggeration, lakini nikwa mtu ku amini juu ya hayo au kuhasha
Dr. Sulley akil nyingi sn MashALLAHu
I say. The case is closed, thanks, Doc
Hatari sana hii amesema kweli maana mkiambiwa ukweli hamtaki maana wakiristo mmeparaganyika hamueleweki
@luganomwaisumo1938
2 ай бұрын
Sasa si baki na dini yako 😂😂😂,wakristo wanawasumbua sana
@andrewmhagama9816
2 ай бұрын
@luganomwaisumo1938 Yaaani wanapata taabu kweli kweli
@yasiniselemani8672
2 ай бұрын
@@luganomwaisumo1938😅😅😅kuja kwenye uislamu wewe
@luganomwaisumo1938
2 ай бұрын
@@yasiniselemani8672 wewe koma kabisa,nina amani na dini yangu.
Intervew yakisom sio zile zawalio feli maisha wanakuja kutoa ushuuda wa uwongo mala nilikua jambaz mala nilikua mchawi awaeleweki kabisa apa sule nimekuelewa
@dsgroup6093
2 ай бұрын
Basi ile ndio injili bora kuliko hata hizi za kusimuliwa kwenye vitabu maana ile ansesomulia ndio muhusika
@jesusislord9190
2 ай бұрын
Kamuulize huyu sule alisomea wapi?? Kaulizwa elimu yake alafu kashindwa kuielezea kwasababu anajua ataumbuka
@igurusitv6553
2 ай бұрын
@@jesusislord9190mshirikina tu huyo, we muulize kuhusu hio Pete aliyovaa
@Irenes_Kitchen
2 ай бұрын
Nimeshindwa kukujibu maana hutofautiani tu na Chizi wengine
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
2 ай бұрын
@@Irenes_Kitchen 😂😂😂
Doctor nakupenda kwaajili ya allha Allah akupe umlii mrefu 2zidi kupata dalasa inshallah
Kikubwa tunachokuombea sisi dr.sule.tunamuomba Allah akupe umri mreefu wenye heri nawe.na afya njema ili uzidi kutoa madini kwetu .waskia raha wallah mtu akikuskiliza unavyonguruma na kumpwekesha Allah.kwenye ufalme wake na dini yake.na kuichambua vyema dini fake.Allah akupe mwisho mwema wa shahada yaa Rabby🤲🤲.adi raha
MAASHAA ALLAH Dr. SULE ❤
Acheni kulalamika wakristo Dr sule ananukuu kwenye Biblia yenu
MASHAA - ALLAH !.👋👋👋. MU'NGU ! .AKU FADHI NA AKUZIDISHIE ELMU ZAIDI. DR SULE.MIMI NI SHABIKI WAKO MKUBWA !NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH !.🇰🇪
@noahwamalwa4385
2 ай бұрын
Yesu ni Mungu.. Sule amepotea
Mashallah sheikh Mungu amekujalia,kipaji cha ufahamu
Dah nimependa sana maneno aliyamalizia Dr.Sule,ALLAH akupe kila la kheri na akuepushe na kila la shari Dr.Sule kwa elimu bora unazotupatia ambazo hazina jazba wala papara yyt anatulia na kukuckiliza wala hazikeri maskioni mwa yyt yule.Jazaakallaahu lkhayr wabaa'adal khayr jannaatu nnai'iim.Aamiin
@sultanaswaleh7813
2 ай бұрын
🙏🙏🙏
Maashaa allah mungu akupe uhai mrefu alie kuwa na hakili atakuwa amejifunza kwa kuwa maneno yote ulio ongea ni maandiko sio maneno yako binafsi
Marko 16;14) inasema baada ya kufufuka haleluya kumbe alifufuka kuongea koote umethibitisha
Dr.Umejibu maswali yote vyema.Big up
Paulo na petro walishiriki kumfunga yohana 😂, elimu mpya hii
Nichekee miyee 😂😂😂😂😂😂😂 shekhe Allah akulipe janna ishaallah maana watufurahisha sana 😂😂😂😂😂
Kweli
Umri with afya dr Sule
Mashaalah Dr Sule
Siku nyingine mwandishi wa habari ukitaka kuwa balanced kwenye interview zako hakikisha unajua context ya story ili umuulize muhojiwa Hard questions, Mwandishi Hujui Biblia Akikupotosha hata huelewi chochote. Wewe na Huyo Shekhe wako wote Hamjielewi. Hii sio interview ni mtu anajisafisha kama amekukodi vileee
@Naw89
2 ай бұрын
Wewe ndio hujielewi mana unaambiwa lakin haukuingii akilini
@hanifa9153
2 ай бұрын
Hakna mungu wa 3 mungu ni 1 acheni kumpakazia Issa mwana wa mariam uongo hyo ni mtume wa mungu
@enockyangazakaduduye5897
2 ай бұрын
@@Naw89 Tunaongea kutoka kwenye nchi mbili tofauti ni ngumu kuelewa nilichomaanisha. Nakuombea Yesu aliyemtokea Paul akutokee na wewe ili awe ushuhuda kwako na ndugu zako wotee
@AhmadSalim-dm4uk
2 ай бұрын
Twambie ww uijuaye bibilia wapi kapotosha?😅😅😅
Mtume Mohamed kafa hadi leo anasubili kufufuliwa lakini yesu kristo yu hai milele na milele
@hanifa9153
2 ай бұрын
Icho ndo akili yenu huwadanganya kama ni mungu😢 weee hamtatuingiza hko cc tunajua mungu ni 1 na hana wakufanana nae na wala hana mshirika... yesu ni muujiza wa mungu kataa uende motoni
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@hanifa9153ELIMU Yako ya UISILAM ni ndogo. SOMA BIBLE UWE NA ELIMU PANA
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Yesu ni mtume alietumwa kuja kuokoa wana wa Israel mengineyo yaweza kua porojo za waandishi wa vile vitabu zaidi ya 66 vilivyotumika kuandika Biblia
@mahimbomichael1082
Ай бұрын
Sawa mtume Muhammad kafa huyo aliekuwa wahai yupo wapi
Mashaallah
Petro alipewa funguo ya kanisa la kwanza na roho mtakatifu. Paulo alitenda injili km mchanguliwa kwa mahana alikuwa apiga kanisa vita akuna na Mungu aka mugeuza toka Sauli na kuitwa Paulo aka hanza injili🎉
@zaidiissa3714
2 ай бұрын
Kwahiyo yesu hahusiki na ukristo maana muanzirishi ni Paulo??
@Yusufu940
2 ай бұрын
@@zaidiissa3714 Yesu Christo ndo wazilishi wa Ukristo. Ana jina ni Yesu Kristo
@faudhiasaidi3669
2 ай бұрын
@@Yusufu940 Yesu anajijua kwa jina la Masihi sio kristo
Sio Marko miujiza ni Luka 5.
Sulle simuongo anasoma vitabu pengine izo ndo zauongo
❤
Sauli alikutuna na Mungu kwa nn wani tesa macho yake alipa tatizo yakuona.
Kuna injili moja sio moja ni Yesu Christo akuna mbili.
Upo vizuri Dr sure wewe ni mjuzi haswaa mungu akulipe zaidi
Mbona mnaandika kichwa cha habari tofauti
Ukiona kule Israeli Kuna misikiti mahali lililokuepo hekalu enyi wakristo hmjasoma muone unabii wa Daniel umetimia mpinga kristo annabudiwa mahali patakatifu patakatifu pa hekalu ambapo sehem io aliabudiwa mungu yahweah bwana mungu was majeshi !!?
Asante sana Dr sule
Nahiyo ana iyo ngelea Bible lakini bado wanaona anatunga hata maa ndiko yao wana yakana
Quran ina sura 114 dr sule..... Mark that as you teach😅😅😅
Mpunga pepo acha kudanganya uma;Injili ni uwezo wa Mungu uletao waokovu kwa kila aaminiye👉Rumi 1:16
@Hussein-gx4qu
2 ай бұрын
Sasa wewe unasomea barua za Paulo hapa ?
@mwanaidiissa10
2 ай бұрын
Sasa tunaitaka hiyo injili
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
2 ай бұрын
@@mwanaidiissa10 Kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi 👉Ndiyo hatua ya kwanza ya udhihirisho wa Injili ✍️Mathayo 28:19. Amua kuwa mwanafunzi(Mkristo) upokee Injili 👉 & Isaya Isaya 61:1-4. Mathayo 10:8. Zaburi 34:8
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
2 ай бұрын
@@Hussein-gx4qu Ukipiga ngumi ya jicho;unapiga ngumi ya sikio;ukiuliza unaonaje ,twauliza unasikiaje? Je! ni sura za Kitabu kipi BIBLIA au Quran zinazofaa kwa matumizi ya kuwafundisha,kuwaasha watu wenye akili timamu njia za Mungu? {1.} Quran👉Surat ankarabut (Sura ya Bui Bui) Surat Al baqara(Sura ya ng'ombe jike wa njano). Surat Jin(Sura ya majini). V/S {2}BIBLIA👉Waraka wa Paul kwa Wakorintho, Waefeso,Wathesalonike ,Wagalatia,Warumi nk. Swali langu kwako Hussein👇 Je!Sura za wadudu ,wanyama,majini wanazosomewa maamuma na Nyaraka za Rasul Bullus(mtume Paul) zipi zinafaa kusomewa au kufundishia watu wenye akili wamjuwe Mungu? 👌👌👌👌👌👌👌
Shebby mtafute Dr sulle aelezee vzur kwa undani na kwa ushahid wa biblia na Quran:Kuwa aliyesubiliwa msalabani sio yesu ni huyo aliyemtaja kakene...
Wanaosema wamemuona yesu jamani mmeskia somo ilo talatibu jamami elimu ndo iyo somen
@masindemagee9603
2 ай бұрын
Elimu yake ni ya uongo akawadanganye waislam kwenye biblia hakuna jina la issa Kama anavyosema
@user-ih7nl5nv3c
2 ай бұрын
@@masindemagee9603 au kuambiwa jina la isa mzee soma kwanza uelewe umeshazoea miujiza yakinafki imani na akili ndugu
@enockyangazakaduduye5897
2 ай бұрын
Huwez ielewa Biblia kama Huna Roho Mtakatifu, Huo ufafanuzi wa Shekhe hauna tofauti na stori za Kutiana kamba vijiweni
@rajabumbendenga5480
2 ай бұрын
@@enockyangazakaduduye5897 Fafanua wewe mwenye roho mtakavitu
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Hayo ni maneno ya watu tu biblia anaielewa mtu yeyote tu mwenye akili na kuona mapungufu yake. Kuna watu wamesomea elimu ya dini zote katika viwango vya digrii hata PhD ndio hao madokta na mitihani wamefanya na kupita na resechi au tafiti wamefanya Dr Selle anaeleza ya kweli ya vitabuni na kufafanua ukweli. Wengi tu wanangangania na kubisha tu. Wanangangania tu eti Yesu ni Mungu wakati iko wazi kwamba Mungu hakuzaa hakuzaliwa hana jinsia hakutahiriwa wala kufa na kufufuka. Yesu mwemyewe alisema baba mbona unaniacha wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu na pale alipoomba kwa Mungu kucha nzima. Yote hayo yanaonyesha kwamba yeye si Mungu lakini watu wanangangania tu Mungu Mungu yaano Mungu alibebwa Mimba na binadamu kwa amri yake mwenyewe halafu aliuawa na binadamu aliowaumba mtu anaamini tu mambo ya ajabu yasiyowezekans na kuniita anaelewa ana roho mtakatifu. Huyo roho mtakatifu ni nani na anakaa w api nadhani hata wayahudi hawamkubali. Sijui wayahudi walioletewa Yesu kama wana biblia yao na sijui imeandikwa nini kwani walimkataa Yesu
Jamani si Uislamu ulianzishwa na Mtume Muhammad,Sasa Bwana YESU alikuwaje mwislamu na wakati haukuwepo kipindi cha Bwana YESU
@amoursaid4569
2 ай бұрын
Soma ndugu yangu uislam upo kabla haijambwa dunia
@FatumaNasibu-cl2yn
2 ай бұрын
Uislam ulianza tangu zama za nabii Adam a.s
@aobasha1
Ай бұрын
Mtume Muhammad (SAW) hakuanzisha uislamu. Neno Islam ni unyenyekevu wa moyo kwa Mungu. Mitume (AS) wote waliokuja kabla ya mtume Muhammad (SAW) walikuwa ni wanyenyekevu wa moyo kwa Mungu.
Huyu ni Dr. mwongo, anaongeza vitu ambazo haziko. Ingekua kweli kama angefungua Biblia, asome moja kwa moja.
Kama ww unajitia mkirsto bas omba mdaharo na sule tuwasikize na tuone nani bora
Kwaiyo sure ukristo ni dini ya kweli kama ulivyo uislam tatizo ni mafundisho tu
@AhmadSalim-dm4uk
2 ай бұрын
Hakuna Dini ya ucristo 😅😅😅
Toeni hoja sio kulaumu nyingi wavivu wa kosoma mandiko
@nourdinpro
2 ай бұрын
Umebabaika
Upo bize na kusema watu. Tumia muda huo kuhubiri watu waache dhambi na wafanye toba ya kweli
Nyie waislam hamuijui ukristo kamwe dini yenu imeanzishwa juz juzi na muhamed angalia sule wenu anavyowadanga eti ukristo umeanzia etyokia poleni sana na dini yenu ya uwongo
Kumbe wanakubali Yesu alipaa Mbiguni
@loner_wolf
2 ай бұрын
True , na atarudi , tatzo mnadai aliuawa kisha akazikwa badae akafufuka alafu akapaa......lkn waislam tunaamini alinyakuliwa na mungu akuwa hai ,wala hakuwahi kufa . thats why atarudi . thats islam
Sheby haelewi anaitikia tu 😂😂😅
Mashallah leteni muendelezo watu waendelee kuemika
Muhulize km ana kaa Yesu Christo sio Mungu vp mahana Ya emaueli au Christo
@Elybwayz
2 ай бұрын
Mungu pamoja nasi swali yesu tangu kuishi kwake ashawai kuitwa MUNGU ila wakiristo wasas awaelewek mala mwana mala mungu kwan huu Ukristo uko mala mbili au😅😅😅😅
@Naw89
2 ай бұрын
Ni zaidi ya mara mbili Mungu mwana Mungu Roho mtaka vitu 😂
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@ElybwayzTAFUTA KANISA LA KWELI UFUNDISHE NI ELIMU PANA, SULE ANAJUA ILA HAWEZI KUONGEA UKWELI,AMEFUNDISHWA KUPOTOSHA.
Nakupenda kwaajili ya Allah
Acheni matusi wakirsto au ukweli unaumaaa
Dk sule hana elimu ya kuita. Viumbe lakini. Anatakiwa afundishwe lakini elimu hiyo ni ipo
Mbona mmekata kipande cha mwisho cha part 2
@usrahismail3196
2 ай бұрын
Labda umeme na si kimeendelea part 3 au hujui kuendeleza kwa simu yako
Akuna urafiki kt ya nuru na giza
DR SULLE akutanishwe na Omary Mnyeshani au Meshack
Dr Sule tusomee Yohana sura ya 14:6 to 16 na utufafanulie ayo maneno ya Yesu please
@MuuYascohy-oc7os
2 ай бұрын
Uyo Yohana ndo Yesu au na yeye anasimulia habar za Yesu kwa ajuavyo ??
@dorcaskarago2876
2 ай бұрын
@@MuuYascohy-oc7os muulize dr sule uyo anajuwa ukweli wote
J.B.B.1999
Aje hapa IPM amjibu doctor Sulle ili aonekane kweli kafuata haki na latokewa na Yesu.
@noahwamalwa4385
2 ай бұрын
Yesu ni Mungu.. Sule amepotea
@aishahazary4097
2 ай бұрын
@@noahwamalwa4385 Yaan nyie mmepotea karibu kumfikia Firaun..Mpaka umri huo bado hujajua tu kama Yesu ni kiumbe kama mimi na wewe.Mtachomwa kama ibilis.
@noahwamalwa4385
2 ай бұрын
Yesu ni Neno la Mungu.. Na Dunia imeumbwa kwa Hilo Neno...Mohammed aliumbwa na Yesu. Yesu anakuja kumhukumu Mohammed
@noahwamalwa4385
2 ай бұрын
@@aishahazary4097 kama ALAA si binadamu kwa nini ako na macho, mikono na miguu??
Uyo sule ni mwongo sana !!!we mwandishi jiepushe nae uyo jamii lini injili ikabadilika! Hao watu si ndo wapinga kristo Kama yesu alivosema uliona lini uislam dini yao inakubali yesu mwana wa mungu si wapinga kristo hao
@nourdinpro
2 ай бұрын
Katika biblia yesu anasema yéyé ni kristo
Anae hoji kaloowaaa. Maana anapata majibu yoote ila anakomaa na imani yake.
Kwel docter ww unaweza
Hizo ni Hadithi Kwa maana Yesu Kristo yupo wewe kwa maana ajakuitaji utapinga mpaka unaingia kaburini. Ukitaka kujua nguvu za Yesu Kristo nenda kwa waganga wanapo pandisha mashetani yao na uwaambie walitaje jina la Yesu Kristo wa Nazareti au mapepo yoyote yanapo wapanda watu hakuna atakae weza litaja jina la Yesu hapo ndio utakapo jua jina lililo kuu ni lipi.
@AhmadSalim-dm4uk
2 ай бұрын
Maskini weee 😅😅😅
@shabanijmrisho4715
2 ай бұрын
Someni wakristo mfungue ufahamu
Quran3:54 Wamakaruu wamakaraaa ailah;wallah qaitor makhiriinah. [Walisema uongo,Allah akasema uongo,Allah ni mbora wa kusema uongo] Allah ni champion wa kamba aka baba wa uongo{mbora wa kusemauongo}Allah makir ....Mungu asemaye uongo 👌;na ninyi kina herbalist Sule watoto wake ndio mnaopenda kuutenda👉Yohana 8:44
@user-xz8mm5kt5m
2 ай бұрын
Hiki ndo mnachokijua nyie, kudanganya watu kwa tafsiri za uongo! hakuna neno "uongo" katika hiyo aya ndugu acha kudanganya watu! Tafsiri sahihi ni "Walipanga na Allah alipanga, na Allah ni mmbora wa kupanga" Acha kupindisha maneno na kudanganya watu!
@SamirAhmedSultan
2 ай бұрын
Aaah ndivyo mlivyomezeshwa huko makanisani kwenu ?😆😆😆 msiwe wavivu someni BIBILIA na QUR'AN nyinyi wenywe usisubiri usomewe utamezeshwa matango pori kama ulivyomezeshwa hapo 😆, hakuna TAFSRI hiyo, kwani nini mnapenda kumezeshwa vitu vya uongo? Mara ooh WAISLAMU wanafuga majini mara sijui nini yaani niuongo mtupu suala la USHIRIKINA ni suala la mtu binafsi na watu hao wapo pande zote yaani kwenye UISLAMU NA UKIRISTO watu hao hawawezi kukosekana........kwahiyo ndugu yangu kaachini USOME.....
Sijaelewa kwahiyo wakati yesu feki ananyongwa uyu yesu original alikuwa wapi😂
Mueleweni huyu miaka 40 baada ya YESU kupaa huyu amekubali kuwa Peter alieishi na YESU aliishi na Paul..wakati huu Paul alikuwa na miaka 50 so anasema Paul alimuona YESU..sasa kati ya Muhammad na Paul nani?? Anaweza kuwa mkweli?? Cha tatu huyu ni mwehu wapi imeandikwa Paul alikuwa mrumi Paul alikuwa myahudi aliefanya kazi chini ya dola ya kiislam.. Paul alikuwa muasi mala ya kwanza baadae akaokoka kwahiyo unasema mtu akiwa muuwaji leo akisilimu anakuwa muongo?? Imekula kwako Paul mwenyewe alikaa jela baada ya kuanza kumtangaza kristo alibebwa kama mtumwa kwenda rumi Paul hakuwa mlumi someni waislam hawa mashekh wenu wanawadanganya
@shabanijmrisho4715
2 ай бұрын
Someni wakristo mfungue ufahamu sio kubisha tu
Quran wamakaruu wamakaraaa ailah, wallah qaitor makhiriinah.
Tusomee mahali palipo andikwa muhamadi alipaa kwenda mbinguni
@andrewmhagama9816
2 ай бұрын
Muhammad ni marehemu
Duh hatari lkn hipo siku utaumbuka
@4karimu_
2 ай бұрын
FUNGUA ubongo ujifunze
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Wanasikia na kusoma kwamba Yesu ni mtume aliyetumwa kuja kukomboa wana wa Isrsel na mahubiri yske yote alionyesha kwamba kuna baba yake ndie mwenye uwezo lakini watu hawaelewi au wanajifanya hawaelewi na kutunga yao
@shabanijmrisho4715
2 ай бұрын
Duh mpaka hapa mnakataa maandiko yenu
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
@@shabanijmrisho4715 Hivi unaamini miaka hii kuna Prophet? Mtume kaoa anavaa anakula anakunywa kwa sadaka za waumini maskini. Huyo ni dini ya kulaghai watu wakiwemo maskini na kujinufaisha kama ilivyokua Shakahola. Dini iliyojaa makanisa na manabii wa uongo wakijitajirisha kwa sadaka.Upande mwingine hakuna ataedanganya eti yeye ni prophet kama hajapigwa mawe. Huko hakuna cha kudanganya nor ani haikuchakachuliwa na masahafu hazutofautiani wala hakijaongezwa chochote cha kuhubiri
Wewe mtoto wa mama mdogo ulie fukuzwa na mama nyumbani kwasababu yajehuli ya mama yako ukakimbilia jangwani malaika akamtokia yule kijakazi kamwambia aludi nyumbani kijakazi akaogopa atahuwawa baba
@shabanijmrisho4715
2 ай бұрын
Mbona hueleweki
Uyo ipm yupo wapi unazingua mkuu
Mbona unasema uongo wewe,, huyo IPM yuko wapi sasa🤔🤔🤔
Uislam nidini ya kweli naya pekee
Wakristo mbona mapovu mengi acheni dr sulle awapeni dozi Alafu acheni kumfundisha kazi mtangazaji hamumlipi nyie kazi ya channel yake ni yake nyie andaeni yenu
Sule salute 🫡 huna baya
Oyah 😂😂 huko kwa mungu jaman sipati picha watu tutajibu nini... Jamaa yupo serious anapotosha watu😮 yan anachukua mstar mmoja anatafsir anavyotaka yy ili ifananie na anachokisema😂
@jumaissa542
2 ай бұрын
Toa mfano wa alichokisema cha uongo
@pascalvitalis
2 ай бұрын
@@jumaissa542 Nahc hapatosh nikupe namba unichek
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Huyo ni msomi katika mambo ya dini yote assmayo si yake binafsi bali ni ya kweli toka vitabuni. Huyo ni dokta wa usomi katika madigrii na PhD katika mambo ha dini zote
KUNA MAPEPO UKIFYATULIWA NDUGU SULE UTAOKOKA NA UTAKUWA HURU,MAANA NAHISI YALE MADUDE YALO MMINYA MUHAMADI MPAKA AKASOMA,YANAKUBINYA NA WEWE UONGEE HISTORIA YA ELIMU YA UONGO INAYO PINGA BIBLE,MUNGU AKUSAIDIE UPONE MZEE.
@abuumkota5505
2 ай бұрын
we mjinga kweli nyie ndio mashabiki wa dini ambae hamtaki kuelewa huu sio mpira kashabikie mpira
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@abuumkota5505 POLE NDUGU MAMBO HAYA HAYAHITAJI HASIRA
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Huyo ni dokta wa PhD aliesoma madigrii na falsafa katika mambo ya dini.Asemayo yote ni ya kweli toka vitabuni.Wengi wanamchukulia Poa huyu Daktari. Vitabu vyote viko kichwani mwake hayo si yake binafsi
@shabanijmrisho4715
2 ай бұрын
Someni wakristo mfungue ufahamu sio kubisha tu yan bible Bado mnaikataa
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@shabanijmrisho4715 Shabani tunaelewa bible,uko msikitini mmepotoshwa kuhusu bible tangu utotoni, njoo KANISANI tukufunze umjue vizur YESU,na maisha Yako yatabadilika.
Hivi presenter bado huhasilimu tu mpaka sasa?
Petero 😂😂😂
@hadijamohamed623
2 ай бұрын
Jiwe 😂😂😂
SHEBBY ULIAMBIWA HII TOPIC YA DINI NI NZITO KWAKO HUWEZANI NAYO HUYU MGANGA AKIKUDANGANYA HUTAJUA KAZI YAKO NIKUITIKA TU....HUJUI MASWALI YA KUUMULIZA....HUJUI BIBLIA NA HUJUI KORAN.... WAITE SHEHE OMAR AU HASSAN SALUM WAKUSAIDIE!! AMA MMELIPWA NA HUYU MGANGA AJE KUSAFISHA DINI YAKE??
@mussamohammedy8014
2 ай бұрын
Kinacho takiwa ni matumizi bora ya akili
@wakeshojana
2 ай бұрын
@@mussamohammedy8014 Tatizo matumizi bora ya akili ndio Shebby hana uwezo huo kwenye hii mada!!
@Naw89
2 ай бұрын
Akili yako ni finyu huwezi elewa hadi siku ukifika kwa mungu hapo kiburi chako utakuja kujutia
@wakeshojana
2 ай бұрын
@@Naw89 akili ya nani....na sababu????
Utabakiliya uongo na kuwapotosha wapumbafu, ukitaka debate kuna kiboko yenu waislamu, anaitwa kwa youtube tafuta, Christian Prince.
Huyu mtu ni muogo sana
YESU hana uwezo wa kumyokea mtu yupo hai Muhammad amekufa anawatokea watu tupe anawayokea akiwa kama jini au mzimu malaika au Allah tuelezee
@usrahismail3196
2 ай бұрын
Hapa ni andiko tu toa andiko ya madai yako
@jesusislord9190
2 ай бұрын
@@usrahismail3196 YESU yupo hai hawezi kumtokea mtu Muhammad kafa anaenda maulidini
BIBLE. Sio kama gazette kusoma kama hadithi..... bible kwenye kila neno ndani yake kuna neno..... bible nikama kitendawili yani bila kua na roho mtakatifi huwezi kuelewa kamwe...... bible nifumbo..... Sulle aache kusoma kama gazette
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Biblia ni mkusanyiko wa zaidi ya vitabu 66 vikiwemo vya uongo na kichakachua. Injili tu ndio maneno ya Mungu na ndio Yesu alikua akifundisha. Vitabu vya uhakika ni Zaburi torati na Injili vinginevyo vingi ni chomeka chomeka na kuchakachua
Wewe ni mwalimu wafundishe kitabu chao makolo hao
Hambia huyo backslaida atumie koran awachane na Biblia takatifu au aokoke tu maramoja
SULE HUWA ANAFATILIA ELIMU YA WAONGO WA KALE,AMECHAGUA NJIA YA IBILISI BABA WA WAONGO.
@zenahussein2242
2 ай бұрын
😂😂😂 we Acha uziba, sikiliza maandiko hayo
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@zenahussein2242 Karibu Kanisani
Acha kudanganya watu unapo soma bibilia soma histolia nzima usitumie misitali michache kupotosha watu mwisilamu hamwamini yesu kuwa nimokozi bali mnamsomatu
@user-ry2yr8pd2r
2 ай бұрын
Yesu si mwokozi,yesu n mtume wa 24 ktk mitume 25 mwokozi ni Allah pekee yesu n mtu Kama ssi kaka,wachungaj wenu n watu wa seraa,waulizen maswal magumu..Leo ukimuulz mchungaj atakwambia una mapepo hapana ndugu zangu msikubal kuitwa wanakondooo ,hmu amkeni waulizen maswal so wachungaj,kaka kabisa n takatif kuliko kitanda unacho lalia,lkn hujawah lla na viatu coz unaogopa kuchafua kitanda lkn always unaingia Kansan na viatu..amkeni ndugu zangu
Mikondoo iliyopotea utayaona tu hawaelewi hata uwafanyenn
Muulize Dr Sulle kuhusu mkiristo kuoa mke mmoja ilitokea wapi hii ?
@zaidiissa3714
2 ай бұрын
Kwanza swali tukuulize wewe imekatwazwa wapi katika bibilia???kabla yakujua imetoka wapi nana kaanzisha ??
Kwa mulikopi vita vya Biblia km sio wizi na Biblia ipo tangulia. Kwa nn muna chukuwa historia ya ki Biblia kuwa ya wa harabu
@Shilangadi
2 ай бұрын
Huna elimu bali makasiliko
Aliye bambwa msarabani mtu mwingine
Jibu ili kwa nn Mohammed akufanya okowa watu na miujiza na kuhumu watu wasio waisilamu ni makari.
@Shilangadi
2 ай бұрын
Miujizia ni mungu kupitia mikono ya manabii
Kumbe waisam ninmbwa
@slymsameer5415
2 ай бұрын
Ilaumu akiliyako ambayo imekariri haitaki kujifunza 😂😂😂 kwani anasema huongo kama anasema uongo milango anayosoma si uifuatishe halafu kosoa
Sisi wakristo tunamwamin yesu kristo sio issa bin maryiam wewe unaemjua kwenye injili hakuna jina Hilo acha kupotosha watu wanaokusikiliza!
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Ni huyo huyo mmoja Emmanuel Imma Yesu na Isa na majina mengineyo .
@hashimchaoga9566
2 ай бұрын
Ni huyo huyo waislam wanamwita Issa bin Maryam kwani kiukweli hakua na Baba kwani Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa ni ilikua vigumu kuitwa Issa bin Mungu
Kwa nn waisalmu muna Mchukia Mtume Paulo
@wakeshojana
2 ай бұрын
kWA SABABU ALIKUWA MPINGA KRISTO KAMA WAO LAKINI BAADAYE AKA-RITADI!!
@SalmanMughal-lq5lt
2 ай бұрын
SiyoMtumeWamungu..tenaAshindweKabisa.kwJinaLaAllah
@omaryalhaj3139
2 ай бұрын
paulo hajawahi kuwa mtume na utume alipewa na nani?
@wakeshojana
2 ай бұрын
@@omaryalhaj3139 Waislamu ndo humuita Paulo mtume ...Yeye mwenyewe hajawahi jiita mtume bali mtumishi!!
@wakeshojana
2 ай бұрын
@@omaryalhaj3139 muhammad hajawahi kuwa mtume na utume alipewa na nani?
Doctor piga neno unaelezea uhalisia anaye kupinga Ni Tahira jinga pumbavu zoba
Waliandika kwa uwezo wa roho takatifu acha kudanganya watu
@hadijamohamed623
2 ай бұрын
😢😢.. unatia huruma jamani, roho mtakatifu yupi jamani nyie watembea uchi
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@hadijamohamed623UNAMJUA ROHO MTAKATIFU???? Msikitini huko ayupo,ukitaka umjue njoo KANISANI
@hadijamohamed623
2 ай бұрын
Mmmh mfyuuu.. msojua kuchamba eti mna roho mtakatifu... hahahahahaha
KUNA MPUUZI MMOJA ALISEMA ALIMWONA MUNGU NA NYERERE NA SUFURIA YA MAJI IKACHEMKA MAJI MBAKA MAJI YAKA KAUKA 😂😂😂 ANAKWAMBIA ILIKUA TAREHE 14 HII NDINI YAO NDIO WENGI WAO WALIMWONA MINGU NA YESU
Doctor sulle dini yake yeye mwenyewe imemshinda alafu anakuja kuzungumzy ukirsto yaan uyu jamaa anajua vitabu ila Hana upendo ni kupiga hela tyu .na anatumy dini kupotosha watu na hatufai huyu muwakilishi
@abdallahzongo387
2 ай бұрын
Hasira za nini kula ayaa na pia usiweke mipaka ya kujifunza soma biblia dk sulle ni zaidi ya askofu
@wesakawesaka3516
2 ай бұрын
Nletee HIVYO alafu sikiliza anavyopotosha
@IddyAdam-ww1mq
2 ай бұрын
Ninyi ntaendlea kupelekwapelekwa mpka mwsho
@zaidiissa3714
2 ай бұрын
Sasa hapo kupotosha Nini?
@wesakawesaka3516
2 ай бұрын
@@zaidiissa3714 ndgu yangu soma biblia matendo nane na Yuko tofaut anavyovisema Kwa sababu ya kutokusoma maandiko Kila kinachosemwa na mtu ni amen tyu wakat mnapitezwa Kwa kukosa maalifa