5 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA
Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 5 || Tarehe 07 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Пікірлер: 42
Nimekuona Bwana Yesu Kristo, kupitia Mtumishi wako Christopher Mwakasege. Ee Mungu wangu, tutunzie Mtumishi wako hata ukamilifu wa Dahari.😭😭😭🙏🙏🙏❤️
Mungu akupe mwiaka yote Ya watu wabaya ,Uwe na mwiaka 120 an ukiwa unatembeya vizuri sana .mungu aku bariki sana.maisha yangu Ya nabadilika kila Siku Jua neno la mungu aliye kuwekeya
MUNGU wa mbinguni akubariki pamoja na wote huduma ya mana, awape moyo wa huduma na mwisho mwema
Mtumishi Wa Mungu naomba Mungu akuongezee miaka mingi uishi mtumishi
Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi kutufundisha hichi kwa imani mm nimewekwa huru kwa damu ya Yesu NA kwajina la Yesu. Amen ❤Jesus
Amina, baba umenibariki sana yaan napenda unavyo fundisha umenibariki sasa baba nimesikia kusamehewa na bwana asante sana.
Amen 🙏🏾🙏🏾
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Bwana. Mungu azidi kukupa ufunuo (Mwana wa Isakari wetu 1Nyaka 12:32)
Bwana Yesu asifiwe sana ubarikiwe sana ni wachache sana wenye ufunuo wa kazi ya Msalaba Mungu ktk Kristo Yesu akutunze sana akupe miaka mingi zaidi ya uliyonao sasa
Jeova awabariki mwalimu somo hii imeshanifanikisha somo LA week yote ni LA kwangu ushuuda wangu ipo soon nafanyiakazi kwa nguvu za Roho mtakatifu na neno la msalaba na damu ya Yesu kutoka UAE Dubai 🇦🇪
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa Mafundisho ya leo.
Shalom,hili la leo ni kubwa sana. Uzidi kubarikiwa Mwl...
Asante Yesu neno lako ni kuu,kupitia Mwalimu Mwakasege
Mwalimu na Mtumishi wa Mungu Kwa kweli Mungu akubariki sana maana ninabarikiwa sana. Ee Bwana usiniache.
Mungu azidi kukubariki baba na huduma yote ya mana Yesu awafunike
Mungu wa mbinguni akubariki baba,neema ya yesu izidi sana kwako
Amen Baba nimepokea neno na maneno yote mabaya yamefutika kwenye mioyo ya watu na Mimi Niko huru kwenda huru
🙏🙏
You are a blessing baba ❤🇸🇦🇰🇪Hivi kongamano ni July ya mwaka huu ety🤔
God's hand stay with you man of God
Ubarikiwe sana
Nabarikiw na we mtumishi wa Mungu
Mungu akupe Miaka yote unayostahili
❤❤ utukufu kwa Mungu baba muumba wa mbingu na nchi.
asante yesu kwa kweli
Amen.
Amen
Amen ❤
Pointi no 5: Barua imendikwa katika mioyo ya watu.
Hiyo lead guitar
2:02:22 mungu wa mbinguni aendelee kuwaonekania watu wa huduma ya mana..
MUNGU AKUBARIKI KWA SOMO HILI MWALIMU
Mungu akubariki
Amen baba
AMEN
Amina
Ameeeen 🙏💯
Ubarikiwe mtumishi wa mungu akulinde daima
Ameen
Mbarikiwe sn
Baba wa mbinguni awabariki sana na awape maisha marefu mama tunakupenda sana
Amen