REV. DR. ELIONA KIMARO: KUNGOJA KWENYE KIMYA/ TO WAIT IN SILENCE

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA JUMAPILI YA PASAKA
31/ 03/ 2024
UJUMBE WA LEO: KUNGOJA KWENYE KIMYA/TO WAIT IN SILENCE
Mathayo 20 : 1 - 18
1 Kwa maana ufalme wa mbinguni umefanana na mtu mwenye nyumba aliyetoka alfajiri kwenda kuajiri wakulima awapeleke katika shamba lake la mizabibu.
2 Naye alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu.
3 Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;
4 na hao nao akawaambia, Enendeni nanyi katika shamba langu la mizabibu, na iliyo haki nitawapa. Wakaenda.
5 Akatoka tena mnamo saa sita na saa kenda, akafanya vile vile.
6 Hata kama saa kumi na moja akatoka, akakuta wengine wamesimama, akawaambia, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?
7 Wakamwambia, Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Akawaambia, enendeni nanyi katika shamba la mizabibu.
8 Kulipokuchwa, yule bwana wa shamba akamwambia msimamizi wake, Waite wakulima, uwalipe ujira wao, ukianzia wa mwisho hata wa kwanza.
9 Na walipokuja wale wa saa kumi na moja, walipokea kila mtu dinari.
10 Na wale wa kwanza walipokuja, walidhani kwamba watapokea zaidi; na hao pia wakapokea kila mtu dinari.
11 Basi wakiisha kuipokea, wakamnung'unikia mwenye nyumba,
12 wakisema, Hao wa mwisho wametenda kazi saa moja tu, nawe umewasawazisha na sisi tuliostahimili taabu na hari za mchana kutwa.
13 Naye akamjibu mmoja wao, akamwambia, Rafiki, sikudhulumu; hukupatana nami kwa dinari?
14 Chukua iliyo yako, uende zako; napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.
15 Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?
16 Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.
17 Hata Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani; na njiani akawaambia,
18 Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi; nao watamhukumu afe;
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Пікірлер: 57

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan203 ай бұрын

    Powerful message indeed, unatupa nguvu wanawake ambao tunafanya kazi uarabuni kusomesha watoto wetu, kama uko gulf na unaona hii comment mpe huyu mchungaji like.

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8uiАй бұрын

    Naam Baba , ndivyo ilivyompendeza Mungu utuambie haya. Mungu akubariki tena na tena.

  • @user-rc3uv9ll4k
    @user-rc3uv9ll4k3 ай бұрын

    Mafundisho haya yanaingiia ndan ya moyo Yan ni Moto ulao❤❤

  • @HappinessAhia-ey1lq
    @HappinessAhia-ey1lq28 күн бұрын

    Amen baba mchungaji. Nakupata kwa kuzuri nikiwa Texas.

  • @nellylewa4457
    @nellylewa4457Ай бұрын

    Amen 🙏 🙏 nimebarikiwa sana tena sana 👏

  • @petermushi8266
    @petermushi8266Ай бұрын

    Mungu ananibariki kupitia mafundisho yako

  • @neemayonerick77
    @neemayonerick773 ай бұрын

    Mungu aendelee kukuinua kwaviwango vya juu sana neno lako linaponya mioyo iliyokata tamaa😢😢😢🙏

  • @amanyajonathan4433
    @amanyajonathan44333 ай бұрын

    Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ipo siku ya Bwana 🗣️🗣️🗣️🗣️🥰🥰

  • @marymalongo6855
    @marymalongo68553 ай бұрын

    Mungu wa mbinguni azidi kukubariki, roho wa Mungu akae ndani yako uzidi kutulisha neno la Mungu, ili tupone mioyo yetu.

  • @user-xe3lm5wl6y
    @user-xe3lm5wl6y3 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwani mafundisho yako yananibariki mnooo Mungu azidi kukubariki ili tuzidi kuona uso wa Mungu Amina na amina

  • @marymalongo6855
    @marymalongo68553 ай бұрын

    Ktk teso langu la kutokupata mtoto ninamgoja bwana kwa ukimya, nae atafuta machozi nakunipa kicheko ktk jina la Yesu

  • @atuganile08

    @atuganile08

    3 ай бұрын

    Amen , Mungu akupe haja ya moyo wako dear

  • @fatumasaid4770

    @fatumasaid4770

    3 ай бұрын

    Yesu akutendee miujiza ya Hanna na Sara...nawe utaitwa kicheko.

  • @mkundevincent-uz7qn

    @mkundevincent-uz7qn

    2 ай бұрын

    Utapata in Jesus name

  • @georgenahpeter4757

    @georgenahpeter4757

    2 ай бұрын

    Keep trusting in GOD....will be called the mother of children very soon....in JESUS NAME 🙏

  • @LiserichMwepu
    @LiserichMwepu3 ай бұрын

    Haleluya Baba, Mungu akutumie tena Na tena ili kuifariji mioyo yetu

  • @aishahaisha4941
    @aishahaisha49413 ай бұрын

    Mungu akubariki Sana Man of God Kwa fundisho hili umenena Nami I'll never be the same again

  • @FrackZebedayo
    @FrackZebedayo3 ай бұрын

    Asante sana mtumshi mungu akutunze

  • @rebeccadotto7611
    @rebeccadotto76113 ай бұрын

    Amen amen mtumishi mungu akubariki ah somo zurii

  • @user-em5dq3dl1k
    @user-em5dq3dl1k3 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi nazidi kuimarika kila iitwapo leo ameen

  • @user-rc3uv9ll4k
    @user-rc3uv9ll4k3 ай бұрын

    Wah Mungu akubarik mchungaji umekua ukinibarik kila itwapo leo

  • @veronicasarita8422
    @veronicasarita84223 ай бұрын

    Amen neno hili likawe kwangu katika jina la Yesu

  • @rosekalu5848
    @rosekalu58483 ай бұрын

    Thanks mchungaji God bless

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro45233 ай бұрын

    Eeeenjiwa fikishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa salaams zimefikaaa sasa!!!!!!

  • @cplusfilm6942
    @cplusfilm69423 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi

  • @user-fm6le7hz5k
    @user-fm6le7hz5k3 ай бұрын

    Mungu akubariki baba

  • @renatuskanuthy5743
    @renatuskanuthy57433 ай бұрын

    Ujumbe mzuri sanaaaa

  • @violetludovick5382
    @violetludovick53823 ай бұрын

    Ubarikiwe muchungaji Violet Babati

  • @jecintakurraru472
    @jecintakurraru4723 ай бұрын

    Kweli Kuna siku ya Bwana

  • @joyceallan2758
    @joyceallan27583 ай бұрын

    Hakika nimestailishwa na Bwana Yesu

  • @rebeccadotto7611
    @rebeccadotto76113 ай бұрын

    Kuna siku ya bwana ,, familia yangu inakuja AMEN

  • @atuganile08
    @atuganile083 ай бұрын

    Thanks Mchungaji

  • @happyvalence5352
    @happyvalence53523 ай бұрын

    Asante mama mchungaji 😢😢😢❤

  • @JenifaAbasi
    @JenifaAbasi2 ай бұрын

    Ameen

  • @brainyieldschools
    @brainyieldschools3 ай бұрын

    Umenena vema mtumishi wa Bwana

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent98362 ай бұрын

    Kuna siku ya bwana,NAMI nitakumbukwa

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro45233 ай бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro45233 ай бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @joycebujiku2747
    @joycebujiku27473 ай бұрын

    Naitarajia siku ya Bwana

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro45233 ай бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro45233 ай бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro45233 ай бұрын

    Ngojaaa kwenye see kimyaaaa

  • @miriamalute1540
    @miriamalute15403 ай бұрын

    Ubarikiwe sanaa mchungaji kula mara nasikiliza huu ujumbe Mungu akufiche kwenye mbawa zake tuzidi kupata mafundisho yanayokaa mioyoni mwetu

  • @miriamalute1540

    @miriamalute1540

    3 ай бұрын

    Ameen

  • @joyceallan2758
    @joyceallan27583 ай бұрын

    Nifundishe Mfalme nipo tayari

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro45233 ай бұрын

    Eeeenjiwa fikisha salaammmmsss Kwa keyssssss Jokesters anything okaysssssssssssssssssssssssssss ndo ndoaa of ours Mr Jerald Lazaro Based mkulimaaaaaaa kutoka and ms Jerald as wellsssssssssssszssssss SD cards for meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerreeeeeeee VB vibe ex Dar Es Salaams zimefikaaa Kwako keyssssss Jokesters

  • @geraldlazaro4523
    @geraldlazaro45233 ай бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 ай бұрын

    Ni kweli Dada Zawadi Madawali tulisoma naye Chuo cha utumishi wa Serkali CSTC DSM 1971.BAADAYE 1972 AKAINGIA JESHINI JWTZ

  • @michaelmusyoki1838
    @michaelmusyoki18383 ай бұрын

    Mchungaji mafundisho yako ni ya hali ya kipekee

  • @furahafuraha9760
    @furahafuraha97602 ай бұрын

    Jamani maombi mna kata kwanin

  • @deborahfredrick1819
    @deborahfredrick18193 ай бұрын

    Kusubiri kwenye kimya Cha umaskini

  • @brainyieldschools
    @brainyieldschools3 ай бұрын

    🧏

  • @Jeremiamathias
    @Jeremiamathias2 ай бұрын

    Nimebarikiwa san a namahubiri ya leo mudguard kumuinua mchungaji na apate Maisha marefu

  • @leahwambui5608
    @leahwambui56083 ай бұрын

    Niko kenya naweza pata aje huyu muchungaji nani ana number zake

  • @user-rd7so8ee2j
    @user-rd7so8ee2j3 ай бұрын

    Hakika mungu atukuzwe na tumbo la mama alie kuzaa

  • @judithminja6386
    @judithminja63863 ай бұрын

    Mchungaji nashida na ww naomba ujibu sms zangu wasph

  • @deborahfredrick1819

    @deborahfredrick1819

    3 ай бұрын

    Wasap hawez kukujibu labda tafuta njia nyingine wasiliana kwakupiga.