MWL C. MWAKASEGE: MAOMBI YA KUONDOA ZUIO LINALOKUZUIA USITAMBUE ZUIO LILILOKO JUU YA KIPATO CHAKO.
SIKU YA 3 YA KONGAMANO LA 15 LA MAOMBI KITAIFA 2023.
Жүктеу.....
Пікірлер: 33
@innocentmushi795911 ай бұрын
Eee h mugu nakuomba uni hongoze maisha yangu apa dunian
@ojokfredrickrichard303911 ай бұрын
Live from Uganda. Bwana Yesu asifiwe sana!!!
@wemawestern19715 ай бұрын
Kila zuio linalozuia me kufanikiwa kwenye Kila kitu changu nayaondolewe Kwa Damu ya Yesu kiristo Amen
@gertrudemosangamabusipaul407811 ай бұрын
Bwana Yesu nionyeshe zuio linalozuia nisijue zuio lauponyaji wangu na uchumi wangu
@theresiamichael664111 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu Mwalimu na azidi kukutumia!
@janetjanet866911 ай бұрын
Amen tuko pamoja wapendwa wa Mungu na wasalim Mungu kwa kunaungansha na wewe mwalim hakika Mungu wako ananfandisha
@astridathadei870011 ай бұрын
Mbarkiwe sana watumishi
@paulpeter724411 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe , Nabarikiwa sana na mafundisho yako Mtumishi wa Mungu
@allthingdranabeauty11 ай бұрын
Amen thanks Jesus thanks for pray for us,very powerful
@kyalagwamaka155011 ай бұрын
Eeeh Mungu nikumbuke uniponye namimi nimechoka kwa mateso haya ya afya nataman niwe kama wenzangu nikutumie kwa nguvu na uwezo wangu wote. Naomba maombi yetu wapendwa ndugu katika Kristo
@stellanjella5790
11 ай бұрын
Mungu akumbuke maombi yako na akuponye sawasawa na mapenzi yake. Kwa jina la Yesu
@carolinemtulo7607
11 ай бұрын
Mungu akukumbuke katika siku ya taabu yako mpendwa sawa na zaburi 41:2, 3 Mungu asikie maombi yako sawa na uombavyo
@namsifubwana215211 ай бұрын
Wenzetu hao wanabudu mizimu hawezi kuisikia roho wa Bwana na kutambua vizuio. Labda upande mwingine waombe Mungu awaonyeshe vizuio
@aidanfelson838310 ай бұрын
Barikiwa Mtumishi 🙏
@AgnesMgina-ud6ho10 ай бұрын
Ameni mungu akutunze mtumishi
@WinnieJohaness-io5co11 ай бұрын
Shalom shalom momumwwe
@tuchannyitike11 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe
@paulaugustino324211 ай бұрын
Amen I receive all blessing
@christinakiula374311 ай бұрын
Mungu wa mbingunii nakuomba utondolee zuio linalozuia kutokusonga mbele kiroho na kimwili. (Kiuchumi) kuanzia familia yangu, ukoo wangu, kabila langu, na makabila yote na Tanzania kwa ujumla ili neno lako liendelee kushuhudiwa Tanzania na dunia nzima. Ulituombea kupitia waraka wa Yohana3, 1:2 “Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo. ” - 3 Yohana 1:2 (Biblia Takatifu) ikawe hivyo katika jina la Yesu. Wakumbuke watoto wangu wa kiroho wakafanikiwe kimwili na kiroho. Ili wawezevkukutymikia vyema. Tuondolee zuio linalozuioa tusisonge mbele kiroho na kiuchumi. Tupe macho ya rohoni. Zikumbuke sadaka zetu katika jina la Yesu. Amen
@mankakunda422411 ай бұрын
AMEN😊
@adelinatraseas709711 ай бұрын
Glory to God 🙏
@namsifubwana215211 ай бұрын
Ameen ameen
@christinewomanoffaith547911 ай бұрын
Amen
@kamikazineema195711 ай бұрын
Amen tuko wote from Rwanda
@jonathansimbeye724810 ай бұрын
Blessed
@kulwashimiyu11 ай бұрын
Very powerful session🔥🔥🔥
@aidanongole934111 ай бұрын
amen
@user-lx3zz2zu4e11 ай бұрын
❤
@namsifubwana215211 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu nakutafuta nitoe shuhuda zangu uliniombea kabla ya kuruka kuja Ulaya. Nimekutafuta hata nitoe fungu langu la kumi sikupati kwa whatsapp
@jenniferemmanuel72968 ай бұрын
Naomba mwenye namba ya mtumishi WA mwakasege
@namsifubwana215211 ай бұрын
Naomba sana whatsup no niongee na Mtumishi wa Mungu nimpe shuhuda
Пікірлер: 33
Eee h mugu nakuomba uni hongoze maisha yangu apa dunian
Live from Uganda. Bwana Yesu asifiwe sana!!!
Kila zuio linalozuia me kufanikiwa kwenye Kila kitu changu nayaondolewe Kwa Damu ya Yesu kiristo Amen
Bwana Yesu nionyeshe zuio linalozuia nisijue zuio lauponyaji wangu na uchumi wangu
Mungu akupe maisha marefu Mwalimu na azidi kukutumia!
Amen tuko pamoja wapendwa wa Mungu na wasalim Mungu kwa kunaungansha na wewe mwalim hakika Mungu wako ananfandisha
Mbarkiwe sana watumishi
Bwana Yesu asifiwe , Nabarikiwa sana na mafundisho yako Mtumishi wa Mungu
Amen thanks Jesus thanks for pray for us,very powerful
Eeeh Mungu nikumbuke uniponye namimi nimechoka kwa mateso haya ya afya nataman niwe kama wenzangu nikutumie kwa nguvu na uwezo wangu wote. Naomba maombi yetu wapendwa ndugu katika Kristo
@stellanjella5790
11 ай бұрын
Mungu akumbuke maombi yako na akuponye sawasawa na mapenzi yake. Kwa jina la Yesu
@carolinemtulo7607
11 ай бұрын
Mungu akukumbuke katika siku ya taabu yako mpendwa sawa na zaburi 41:2, 3 Mungu asikie maombi yako sawa na uombavyo
Wenzetu hao wanabudu mizimu hawezi kuisikia roho wa Bwana na kutambua vizuio. Labda upande mwingine waombe Mungu awaonyeshe vizuio
Barikiwa Mtumishi 🙏
Ameni mungu akutunze mtumishi
Shalom shalom momumwwe
Bwana Yesu asifiwe
Amen I receive all blessing
Mungu wa mbingunii nakuomba utondolee zuio linalozuia kutokusonga mbele kiroho na kimwili. (Kiuchumi) kuanzia familia yangu, ukoo wangu, kabila langu, na makabila yote na Tanzania kwa ujumla ili neno lako liendelee kushuhudiwa Tanzania na dunia nzima. Ulituombea kupitia waraka wa Yohana3, 1:2 “Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo. ” - 3 Yohana 1:2 (Biblia Takatifu) ikawe hivyo katika jina la Yesu. Wakumbuke watoto wangu wa kiroho wakafanikiwe kimwili na kiroho. Ili wawezevkukutymikia vyema. Tuondolee zuio linalozuioa tusisonge mbele kiroho na kiuchumi. Tupe macho ya rohoni. Zikumbuke sadaka zetu katika jina la Yesu. Amen
AMEN😊
Glory to God 🙏
Ameen ameen
Amen
Amen tuko wote from Rwanda
Blessed
Very powerful session🔥🔥🔥
amen
❤
Mtumishi wa Mungu nakutafuta nitoe shuhuda zangu uliniombea kabla ya kuruka kuja Ulaya. Nimekutafuta hata nitoe fungu langu la kumi sikupati kwa whatsapp
Naomba mwenye namba ya mtumishi WA mwakasege
Naomba sana whatsup no niongee na Mtumishi wa Mungu nimpe shuhuda
@RoseUrio-bl3dm
11 ай бұрын
Tuandikie nasisi tuusikie ushuuda
Mchungaji kabisa lako liko wap nataka kuja