FUNGUO ZA USHINDI KATIKA MAOMBI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 25/08/2022
Ойын-сауық
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz
Пікірлер: 160
Piga makofi kwa Yesu kristo kama mnamuelewa huyu mtumishi wa MUNGU,,,,,mimi anafanyika baraka Sana ,, barikiwa mtumishi wa MUNGU
@sherryfuraha3076
7 ай бұрын
Ywafundisha vizuri Sana waelewa
@EmiliaAggrey
7 ай бұрын
Ninabarikiwaa sana
@aminakabuka8700
6 ай бұрын
Mhhh makofi ayatoshi na vigelegele, nampenda mnooooooo aaah yesu mnunu jama
@carolinederi5690
Ай бұрын
Ni mwalimu huyu kama Christopher Mwakasege.. Mungu aendlee kuwatunza
Pasta mungu akubaliki sana katika mkoa huu wa mwanza wewe ni mwalimu mzuri kabisa mafundisho kama haya ni adimu sana Mungu akupe mafunuo zaidi ili utupe madini ya mbinguni Amen 🙏🙏🙏
haleluya!ukweli nimetiwa moyo nakuongezewa imani kwa neno hili,umefanyika kuwa daraja kwangu nifike ninakokwenda,ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu aliye hai,umeitwa vizuri na Bwana.🎉🎉❤❤
🎉hakika mungu hutumia mtumishi wake kama huyu ilitupate kujifunza elimu ya kimungu
Bwana asifiwe sana mtumishi wa mungu mafundisho yako yanijenga sana Mungu azidi kukupa hekima
God bless u you pastor u have real moved me to the next level
@aminakabuka8700
6 ай бұрын
❤🎉
Asante Mwl kwa darasa zuri.Mungu akubariki
Umekua wa baraka sana mtumishi wa Mungu;Mungu aendelee kukujaza neema zake. Ubarikiwe sana.
Pastor umenibariki Sana Na mahubiri yako,Mungu akubariki sana
Mungu akubariki baba yangu hakika nainuliwa🙏🙏🙏
Kwakweli Mungu wape. Ufunuo zaidi watumishi kama hawa
Amen 🙏 Mungu akubariki sana mtumishi kwanzia leo nimejifunza moyo wangu ndiyo madhibahu ya Bwana 🙌
Nampenda sana uyu baba asantee yesu kwa ajili yakeeee oooh Lord am so grateful for your love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙏
Barikiwa mtumish wa Mungu kwa mafundisho yako nabarikiwa xana nkiwa Kenya
Naamini ipo siku mungu ataniwezesha kufika kwenye hili kanisa.nimuone huyu mtumishi kwa macho mawili.
God bless you pastor you always speak facts
Ameen! Glory to God! Neno hili limeniponya Moyo wangu mtumishi. Ubarikiwe sana
Mchungaji mungu akubariki chapa injili Kuna thawabu bwana anakuandalia🙏🙏🙏
Kuna neno la huyu baba ctakuja kusahau liliniponya na kifo nililisikiliza hilo neno nikalifanyia kazi kesho yake lilituokoa na kifo sitakaa nisahau namna Mungu alivyo mtumia mtumishi wake mana tulikua tunakufa walimu naa watoto wote shule nzima , Utukufu nakurudishia Mungu hakika nimeuona mkono wako ,Mungu akuweke baba untundisha neno na linatubadilisha
Tunamwerewa vizuri mtumichi mungu amtunze miaka mingi kwa huduma hii 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mze Niko nakufata sana.nasikiya raha kukusikiya ukofundi kimaisha yangu ya ki roho.uko mwalimu muzuri sana.Mungu ananipenda kukusikiliza n'a sikiya moto kwenye moyo wangu ninapo kufata sana.ubarikiye sana.unipe naomba zako.
Hallelujah glory to God nabarikiwa Kila siku mungu akuongeze miaka mingi zaidi🙏🙏🙏🙏
Nakuelewa sana pastor,Bwana akijaze zaidi ili tupate siri hizi kupitia watumishi wake aliowapaka Mafuta kufundisha,ubarikiwe!
Amen pastor umefanya nimejua kuomba nashukuru sana mungu akuinue saidi👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Leo nmepona,kufunguka macho ya ndani na kuhimizwa sana❤❤❤❤Mungu n mwaminifu sana
Amen Ubarikiwe baba
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU kwa fundisho zuri lenye uponyaji MUNGU aendelee kukutumia kuliponya kanisa lake
Ameen mtumishi unazidi fungua kichwa changu ktk kusamehe ilimaombi yangu yaweze kujibiwa asante mtumishi wa mungu
Amen,yo have come my my teacher have learned many things from you through God
Amen mtumishi umenifunua akili Asante Sana barikiwa Sana 🙏🙏
Bwana Yesu asifiwe pastor mafundisho haya yananipa hatuwa kiroho
Be blessed pastor nimejua jinsi ya kuomba kupitia mahubiri yako
Hallelujah!! Mungu akubariki saaan mtumishi wa Mungu🎉🎉
Man of God am sharpened any time I letsen to you
@Ndamaje
9 ай бұрын
❤
Hili neno ni langu, pastor God bless you so much 🙏🙏
🙏 NAMSHUKURU MUNGU KWA VILE NIMEPATANA HII MAFUNDUSHO YAKO,,,KWA HUU MTANDAOO,,,UMEKUWA WA MSAADA TENA SANA.EEE MUNGU AKUNEHEMESHE MWALIMU,
Ahsantee kwa injili inayotupa ujasiri Ubarikiwe sanaaa:
Nabarikiwa snaa na mafundisho yako naenjoy mno mungu akubariki sna mtumishi
Baba barikiwa sana
Neema ya mungu izidi kuwa kuu katika maisha yako mtumishi
Be blessed
Amen mungu azidi kukupaka mafuta mtumishi na baraka za mungu ziwe pamoja nawe juu ya utumishi wako
Very powerful message pastor barikiwa sana kwa kunijenga na neno lako
Asante baba hli neno ni langu kbsa nashukuru kwa uponyaji
Asante pasta kwamafundisho
Ubarikiwe mtu wangu kweli uko naneno ya Mungu
Amina i have learned something be blessed more pastor
mtumish wa mungu mungu akubarki napenda sana mafundisho yako
Ameen mtumishi asante sana umeniponya sana ubarikiwe na sikiza kutoka Jordan 🇯🇴
Mungu amtunze sana huyu mtumishi ni nadra kuwapata watumishi kama kama hawa
Paster unanijenga rohoni sana aah ubarikiwe sana baba
Mungu nisamee kwa makosa yesterday nimefanya
Amina MUNGU nifungue nipone ktk jina la YESU
Mungu nipe moyo wakuwatosha watu niliyo fungi ya moyoni mwangu
Amina natamani kutoa machozi nikimsikiliza mtumishi namna navyo tufundisha
God! This manis qualified in your word...bless you God for him
Nampenda sana huyu pastor lazima uelewe hata kama ulikuwa na akili nzito sijui kwanini hakuja dar
asante mungu nmepokea ushindi mkubwa kupitia neno lake la uzima
Namshukuru mungu kwa ajili ya huyu . Mtumishi . Wake Kani fungua macho
Amen hakika kila atakayesikia na kuyatendea kazi mafundisho haya, kwa hakika atakuwa na ushuhuda, maisha yangu yamebadilika kwa kiwango kikubwa sana, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, 🙌
@user-mo8on5ll7e
8 ай бұрын
😊😊
Real moved my faith to next level
Ameni God bless you pastor 🙏🙏🙏
Ninakuekewa mtumishi Mungu akubariki sana.
❤❤❤❤Aleluya sipiti siku bila kula chakula Cha bwana Toka kwa mchungaji joji
Amen Mungu mzuri nmepokea shuhuda wakati nikiendelea kupokea na kusikiliza neno 🙏
Ameni na Asante kwa neno safi la Mungu baba.
Ameeeen Asante sana mutumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏
Mimi namuelewa sana huyu mtumishi wa Bwana,
Amen, Asante sana kwa mafundisho mazuri,hakika umeniponya. Barikiwa mtumishi wa Mungu.
@margrethemanuel7501
Жыл бұрын
Hutu pastor anafundisha hadi bongo unayeyuka, unajiunda upya. Mwenyenz Mungu ainuliwe Kwa ajili yake
Amen Asante mtumishi baraka
Hakika somo zuri mno,
Amen praise the lord 🙏🙏🙏
Ameen Ameen 🙏🙏 god bless U forever
Amen man of God
Amen mtumishi kweli unanibariki
Asante kwa mafundisho
UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU SOMO NI NZURI SANA HILI
Amen Amen pasteur
Amina mtumishi barikiwa sana
Ubarikiwe Sana Pastor
Ameni man of God.
Amen Glory to God
51 year waiting God 🙏
Nimepona ktk jina la yesu
Vinavyoaribu madhabahu/ maombi- bio for 1.Makwazo/ lawama 2. Uchungu moyoni (kaka wa Makwazo) 3. Wasiwasi ( tafuta amani kwanza) 4.Mashaka - Doubt B. UNganisha maombi na neno la Mungu
Nina barikiwa sana today Kyela
Amen n Amen 💘🙏 N AMEN 💟🙏.
Ameeen Ameeen
Amen asifiwe mungu
Nabarikiwa sana
Amen 🙏🙏🙏
Amen pastor
Jina laYESU litukuzweeee
Kwakweli nimeguswa sana na mafundisho yako Pastor George u are the Oracle of God Mungu azidi kukupa mafunuo tuzidi kukua kiroho ...Watching from zambia
Na barikiwa sana
Asante sanaaa
Amina sana
Amen Asante
Amen Amen Amen