MAJUMUISHO NASAHA ZA MWISHO KWA NABII FEKI..NA MASWAHABA FEKI WAKE
Жүктеу.....
Пікірлер: 503
@freddymello32275 жыл бұрын
Asante Shekh Jalala kwa nasaha nzuri kwa Ustaadhi Hamza,uislam ni Bahari kubwa anatakiwa asipime kina kwa macho. suala la Kumsomesha zaidi ni jambo la hekima.na la msingi!! Suala jingine ni kuhusu Watu wanaoweka maoni yao hapa.Hawazingatii maneno ya viongozi hawa wa dini. hivyo wao kujikuta wakitoa kauli zinazokinzana na matamko ya mashekh na wanazuoni waliopo katika jopo hili. Nimefuatilia kwa kina mjadala huu.hakuna kiongozi hata mmoja aliyemuita Hamza Kafirii. masheikh wote wameendesha mjadala pasipo neno kama hilo.sasa hawa wanaoandika huyu ni kafiri elimu zao zimewazidi viongozi hawa waliofanya kazi hii kwa hekima kubwa au? Nadhani tunatakiwa kuheshimu kauli za viongozi wetu,na kauli ya Muumin haiwezi kuwa ya mbele kisha ikafuata ya kiongozi. Tuheshimu na kutanguliza hekima hizi. na pia tujifunze ustaarabu huu wa kuheshimu hata watu wenye mwelekeo wa aina hii wa imani.wanachohitaji ni kuelimishwa na sio kutukanwa,au kubaguliwa. Hongera shekh Jallala kwa Hekima Nzuri sana.Mwenyezi Mungu akuongezee Busara na hekima.
@mwenemaseko49215 жыл бұрын
angalia matusi ya waislam, wakristo hata umtukane yesu wala hawatukani au kukuombea mabaya wao wanaamini mungu ndiyo mwenye nguvu ya kuadhibu wenye kukufuru,hou ndo ucha Mungu,Mungu wabariki wakristo.
@salimmauly13072 жыл бұрын
Ahsante Sheikh Basaleh Allah akugifadhi
@salumuhafidhimtabe4204 жыл бұрын
Masheikh wetu wote mlioshughulikia jambo hili, nawapenda kwaajili ya Allah nimejifunza dini inahitaji kusoma kwanza. Allah atuongoze katika kheri In sha Allah
@harrishussein69924 жыл бұрын
Shekhe jalala nimekupenda kwa ajili ya Allah uko vizuri sana alhamndulillah
@pungopungo4112 жыл бұрын
Hili neno la mwagizwa kusema ngoja nikamulize mungu .limewakwaza mashehe. Swali langu ni hili wao wakiwa viongozi wa jamii. Wanamuuliza nani kuongoza umati. Kama sio mungu? Kichekesho. Hamza sio wakwanza kuchukia na roho ya Eliasa. Eliya alivyonyakuliwa toho yake ilimwingia Elisha. Kwahiyo mungu bado anafanya kazi zake na wanadamu. Acheni husda. Aliepewa kapewa
@salmafaraj92936 жыл бұрын
Kwa mtizamo wangu hamza atakua amejisahau km kuna majini yanajua dini kwelkwel na yanasoma quran hasa mpk unashangaa na yakamvaa mtu yakamsemesha asiyoyajua mpk akaamini kua anachoambiwa ni wahi kumbe ni majini tu..wangapi wanaenda kwa waganga wanaambiwa unahv unavile na mtu akijitizama akamini ni kwel anavo hv vitu kwaivo huenda na yy akawa ana jini linampa hy maneno..maskini akajua ni wahi ktk kwa Allah kumbe ni majini..Allah anajua zaidi..kwa shauri tu akubali ende akasome kwa wasomi khasa..ili anusurike na hasira za Allah.
@alhamdulillah57966 жыл бұрын
ATI YEYE NI NABII. HIYO NI ALAMA MOJA WAPO ALLAH ALOKUFEDHEHI.
@drimazonechoice98226 жыл бұрын
Bangi na iman ukiviweka pamoja hilo ndo jibu lake huyo amekula dawa yaan bangiiiiii ni bangue mara paaa mimi nabiii...weee unabii na utume uko hukooo sio kwa waislam
Innaa lillahi wainnaa ilaihi raajiun, huu munaqasha pande zote hazijielewi, kama masheikh wanaojiita ahl Sunnah wal jamaa wanajumuika na mashia'(makafiri) kiitikadi wanakaa pamoja kama wote ni waislam, ni mtihani mkubwa kupata uongofu, nasaha zangu watu wajitahidi kuisoma elimu ya kisheria lakini pia hao masheikh wakae darasani waisome aqidah, tawhid na Sunnah kwa ufahamu wa maswahaba, Allah awaongoze hao masheikh lakini pia amwongoze Hamza na vijana wake katika njia ya sawa, Allah mustaa'nu..
SOMENI DINI KWA MAPANA YAKE. BADO HAMJAWA WASOMI, USALAFI NI UGONJWA.
@shebyabdullahzenjibary2584
5 жыл бұрын
@@mailacamillius saf sana
@rahmashaban86937 жыл бұрын
Yaani linakera hili jibaba na ho wapumbavu wajiitao maswahaba yanachefua kama nini. Ushauri wangu wa bure yaangalieni hayo yasitoke yakaenda vijijini yakaenda kupotosha watu.
@alexjackson9236
5 жыл бұрын
Matusi siyo hekima.....kasome adabu
@dinocastico84957 жыл бұрын
Huyu hamza yupo katika walio teuliwa katika kusambaza dini mseto. Kufuru ni tendo mtendandaji ni kafiri
@yassindeffu886 жыл бұрын
hamza itakua alipata laana Siku ile kanisan alipo udhalilisha uislam amesahau kua kila mwenye kuichezea din ya Allah Allah hakumuacha salam
@davidmbilinyi4198
5 жыл бұрын
Yassin Deffu hata Paulo mtume alipookoka waislamu waliona Kama ni kichaa
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
@@davidmbilinyi4198 ww na Amza yote bangi ilo
@othmanmuna3115
4 жыл бұрын
@@davidmbilinyi4198 we ni kafiri lazima ufikirie kikafiri
@allyabdallaally68536 жыл бұрын
Haa, sikusoma ila kwa elimu yangu ndogo najua katika uislamu mfumo wa maisha ya mwaadamu ulikamilika na Qur ani ilishaweka wazi kila kitu. Maoni yangu waislam tusome tusibabaishwe na wapuuzi hawa wanaohadaliwa na maisha ya dunia. Ndoto ni msitu wao tu. Lakini ukifuatilia vizuri maelezo ya ndoto zao ni uongo tu na zina mtiririko wa kishetani naomba sana tuwe makini hii ni dunia ya mwisho.
@rahmashaban86937 жыл бұрын
Poleni Masheikh wa Tanzania kazi mnayo ya kutosha.
@raziaali5337
7 жыл бұрын
Rahma Shaban in Sha Allah Allah atawawezesha .
@alialamoudi9729
4 жыл бұрын
Wa tanzania wa najua dini sana hataweza kuongopa huyo mtoto hana kitu baada ya mtume mohamed mtume amesema stop dini lmekamilika NA nimekubali kua dini yenu uslamu sisi tunafata kitab NA suna ya mtume mohamed huyo kama yule snaitwa mussilma alkthab kuna moja habo zamani alidai kwa yeye ni mtume hiyo sio mara ya kuanza tanzania wanaelewa uslamu vizuri sana sana mashallah kuna sahwa kwa kwa dini sio mbali NA mashekhe ya alazhar huko misri ou maka msehangaika naye hajui kitu basi mfahmishe pole pole madam anamjua mungu NA mtume mohamed inshalla mungu atamuokowa
@myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын
MashaAllah barakat
@pungopungo4112 жыл бұрын
Shikeni moja acheni kuchambuachambua Yesu kristo ni hakimu kila goti litapigwa. Haijalishi umekaa kwenye mkeka miaka mingapi
@saidmajeba97916 жыл бұрын
Huyu jamaa,mleteni hospitali apumzike.Si njaa tu,bali njaa hii imeingia kwenye ubongo.
@zumbeshauri81146 жыл бұрын
shekhe alihadi umevulia sana nakujitahidi kuuelekeza sana na kumtetea ila nilipenda kukushauri shekhe alhadi tumsaidie kumtibia shetani huyu ana jini msukule au maiti huyu atibiwe wallah huyu mgonjwa
@adijarashidi14263 жыл бұрын
Subhana Allah Allah anakuwa mawakristo mara yesu ni mungu mara ni mtoto wa mungu mara ni mtume wa mungu
@pungopungo4112 жыл бұрын
Elimu ya mungu si sawa na elimu ya kusoma. Ni vitu viwili tofauti
@ukhtyheriethsylvester20447 жыл бұрын
Unataka dunia nzima waje waiishi Tz una chakula cha kuwapa sisi wenyewe maisha magumu vichwa vina moto kutafuta pesa ya kukidhi mahitaji yetu ya kila cku. Naomba apelekwe hospital hana akili timamu huyu jamani msaidieni tafadhali.
@ramadhanishaibu7788
6 жыл бұрын
hahahaa
@aishadamla1822
5 жыл бұрын
UKHTY HERIETH SYLVESTER mshenzi mmoja anawaumiza vichwa sana wana wa zuoni mkateni kichwa !huyo
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
@@aishadamla1822 😅😅
@demankidu_0093
4 жыл бұрын
@@aishadamla1822 aloh wanamuachaje uyuu
@TeamKRX7 жыл бұрын
Akapimwe mwehu huyu jamaani nilikuwa nasikia jamani kuna nabii loo akapimwee huyu sie yule aliye shikishwa adabu huyu a si danganya watu eee fanyeni mpigeni mawe asijeakatuletea nakama ya allah subhanallah
@pungopungo4112 жыл бұрын
Mungu kamchagua Hamza mnaemuita haelewi ili awaibishe nyinyi mnaeelewa. Mungu hampi mjuaji neno lake(. Mafalisayo
@khudheifamohamad14756 жыл бұрын
Subhanallah mungu ainusuru dini yake ya uisilamu na waislamu wote kwa jumla, nawasihi waislamu wenzangu tujichungeni kwa mtu huyu asije kuwapotosha vizazi vyetu.SUBHANALLAH SUBHANALLAH SUBHANALLAH
@hassanilaki68996 жыл бұрын
Imani bila elimu in hatari sana, huyu kazoea utabiri wa hali ya hewa sasa anavamia anga zisizomuhusu, yeye na swahaba zake wote wana asili ya ubishi, nyoyo zao zimejaa kutu. Kutubu si ujinga, watubu kabla saa haijafika.
@user-fw7yr7yo2x
5 жыл бұрын
"ha ha"!!! Allah atuhifadhi Yaa Rabbi.
@davidmbilinyi4198
5 жыл бұрын
HASSANI LAKI ndugu waislamu mutaangamia Kama mwakataa ufunuo huo
@halimahalim38167 жыл бұрын
Hiyo ni nabii wa manaswala na makafiri
@wechemakambo2182
7 жыл бұрын
Kasema yeye ni Nabii wa Waislam na maagizo aliyopewa ni kuwaleta Tanzania Waislam wanaouana ili waje kwenye Amani kwa mujibu wa Dini yake na siyo Manaswara..Ikumbukwe hata Muislam asiyeswali swala 5,na kutofuata mafundisho ya Mtume wake kama kuzini,kuzaa nje ya ndoa nk ni Kafiri pia.
@zahaljamal4520
5 жыл бұрын
Ww ndio kafiri mkubwa yesu ndiye mungu wa kweli kwa taarifa yenu waislam
@mussajangwa9106
5 жыл бұрын
Kichwa chake ni muhimu sana Why mnakichelewesha??????
@mfaumejuma84
5 жыл бұрын
Ww Hamza kaa chini fikiria Tena Hilo Jambo Kisha ufanye toba Mimi kwa upande wangu naona unakufu na sikushangai kwa kujipa wadhfa huo maana hata firauun alijipa wadhfa na mwisho wake unaujua ushauri wangu kwako fanya toba ama hamis upande was pili maana usiwe mafik Leo kanisani kesho mskitin ama hakika utakua unapata dhambi kwa kupunguza imani ambazo waumini wamezipigania wahadhaa salaam aleykum
@lusekelomwinsasu318
4 жыл бұрын
@@mussajangwa9106 je huyo wamuue kwa kutenda hayo je wewe ni mwema sana kuliko huyo unayetaka auwawe?
@hassanmohdallyally95527 жыл бұрын
Sisi wenyewe hatunaa sehemu yakukaaa halafu yeye anatakaa watu wote wajee hapaa tz watakaa wapi unaletaa ujingaa hapaa
@raziaali5337
7 жыл бұрын
Hassan Mohd Ally Ally wengine twajiandaa kuja Tz😂😂😂😂😂
@fatmaally714
7 жыл бұрын
kweli jamani mambo mengine sio yakumaliza miaka angepigwa angalau bakora 50 ngekua na adabu huyu shenzi.
@hassanmohdallyally9552
7 жыл бұрын
Fatma Ally hahahaha kibisaa maana fedhuli kwelikweli nabii anajazbaa uliona wapi mm ningekuwepo kweny hicho kikaoo nishampigaa makofii pumbavu huyo
Wachina peke yao ALLAH atuepushe wakimiminika Tz sisi ndio tutakuwa wachache na tutaonekana wageni.
@massawejacob4 жыл бұрын
Mashekh kweli kweli mmechambua na kupata majibu toka kwa mwenye we. ....haya mim mtazamji na msikilizaji ..
@fatmashabani66285 жыл бұрын
Jamani polen sana mashekh wetu mmechoshwa na kiumbe kisicho jitambua namuona kwanza asilimu upya alafu ndo aingie kuswali
@rodagop91806 жыл бұрын
Waislamu mpaka lini nyinyi ubishi tu,Yesu ndiye njia na kweli na uzima.
@tysonsamamba1593
5 жыл бұрын
Kama yesu amekufa wew uzima unautowa wapi
@mtanzaniahalisivideo24634 жыл бұрын
SHIA SIO WAISLAM
@domykimata57684 жыл бұрын
Nabii hamza aisee katisha sana inabidi ageuze mawe yawe mikate maana unabii sio mchezo sema hamza kwa uo unabii wako wa ulongo Allah anakuona
@shabanigwasa556 жыл бұрын
mashekhe hamza ni mwehu ,tena halimashauri take kichwa haiko sawa.
@pungopungo4112 жыл бұрын
Mungu anampa neno lake ampendae
@pungopungo4112 жыл бұрын
Huyo muulize maswali ana hasira ya kutekwa yesu hatutoboi shehe
@peterpeterthomas1565 жыл бұрын
uko sawa Askofu Hamza, mungu akukumbuke na simamia neno la Mungu litokalo ndani ya biblia
@Alkaburu
5 жыл бұрын
Peter wewe ni mnafiki hata yesu angekuepo asinge mkubali huyu jamaa hata biblia pia haijui
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Nyie ndowale wale wakupelekwa na akili za watu....
@seifmatimbwa43797 жыл бұрын
Viongozi wetu wa dini msaidieni huyu jamaa ana matatizo ya kisaikolojia
@raziaali5337
7 жыл бұрын
Seif Matimbwa mwenyewe mkaidi atasaidiwa vipi😢😢😢
@mudhihirinjonjolo56202 жыл бұрын
Khalafu Bwana Hamza akakosea khadithi na akakiri mwenyewe kwamba "Mimi si mjuzi sana wa Kiarabu".
@imamumponda2767 жыл бұрын
ndugu zangu mm nawaomba tuwe na subra huyu ana matatizo ya kishetani wa kijinni akisomewa ruqya atapona in shaa allah
@mumewangu7162
6 жыл бұрын
imamu mponda ana akili zake ni mpotoshaji tu huyu.
@furahinimbise1804
4 жыл бұрын
Waislam mnakwama wapii? Quran 4;171, na 43;61...63, hii Quran ina wachanganya, Quran ni kitabu cha uongo.
@thamiyuucute7098
4 жыл бұрын
@@furahinimbise1804 jamaza kimyaa kitabu chenu mnoshika huku mnauchafu ndo kiongoo
@aishaothmanothman9486
4 жыл бұрын
@@furahinimbise1804 muokope mungu wewe Bible nikitabu chauongo kabisa niliwahi kukichukuwa nikakikanyaga nasikudhurika wewe subutu sasa ukikanyage kitabu chamwenyezimungu ambacho niqur'an alafu uwone matukioyake
@furahinimbise1804
4 жыл бұрын
@@aishaothmanothman9486 Quran ni kitabu cha Majini, huwazi kukilinganisha na Bible ambavyo ni Thorat Injili na Zaburi haya ndio maandiko Matakatifu hakijawepo kaajili ya kuwaletea wana wa Mungu mathara, Kama Quran
@ludacrissrangiyabank37375 жыл бұрын
Ww unajifananisha na nabii ilyas duh shetani mbaya kweli mwisho atasema yy ni mungu
@devidmagigejoseph385
5 жыл бұрын
Ludacriss Rangi Ya Bank amini anayo sema yuko sawa na yatawahukumu ninyi wenyewe
@mirajisalehe2706 жыл бұрын
Eliya Na Elisha .ila wao walifanya miujiza mikuu toka kwa Yehova mungu wa Mungu wa mbinguni .
@jimmyhabarugira42327 жыл бұрын
Huyu jama wakampime inawezekana anamatatizo ya akili
@salimakida95
6 жыл бұрын
Jimmy Habarugira nakuunga mkono kabisa ..simzima
@hawawezidianakukushusha7567 жыл бұрын
Mimi kwa jikivomuelewa huyu jamaa anatumika na dini nyingne ili alete mambo ambayo hatuna ktk uislam huko alikotumwa ndio kuna mitume na manabii kibao sio huku aache kupotosha umma wa waislam
@enockkaitila4681
6 жыл бұрын
she he uko vzuri songambele mwenyez mungu you pamoja nawe, usiogope mwanadamu. (Amza)she he.
@nooor1120
3 жыл бұрын
Umeona eee Mitume na manabii kibao kanisani huko na nguvu za giza
@munguaibarikitanzanianawat92545 жыл бұрын
Asante kumpa kukweli
@danpalmer36504 жыл бұрын
Asulubishwe uyu ni Crazy
@pettermasika91206 жыл бұрын
Mungu amekujalia kusema Ukweli usio pingika, kipaji ulicho pewa kimetoka kwa baba Mbinguni Shehe Hamza, haki ya Mwenyezi Mungu ambaye amini ulicho sema huyo ni wa shetani, Natambuwa Mungu muweza wa kila kitu yuko Ndani yako
@yahayasaidi3951
2 жыл бұрын
Mitume wengi wapo kwenye ukirto uku mtume mmoja tu mohamad
@jumaomarjumaomar22525 жыл бұрын
Wallai huyu akiniubiria namjibu kwa mangumi👊👊👊 tu hiyo ndio lugha ataelewa yeye sio Nabii
@kinyagajr23995 жыл бұрын
uchache wa elimu unachangia sana kwa wengi ila ijulikane kwamba Mungu hufanya jambo kubwa mbele ya wanadamu kwa kutumia kitu kidogo sana.......
@govinsonlugano92265 жыл бұрын
Mungu ni Roho.mko mwilini sana ndiposa hamwezi kumwelewa Nabii Hamza amepewa unabii wa nyakati za Mwisho.na akili ya dunia kwa Mungu ni ujinga acheni mambo yakusoma sijui nini.Mungu anauwezo wakutumia hata mawe! Miti,samaki...Mungu mwenyewe akikuchagua ni Mwalimu atakufunza.Mnazingatia Dini dini.ubishi hamtaki kufanya utafiti.pia mjue utafiti bila Neema ni Bure.uyo ndugu Hamza Mtu wa Mungu amepata Neema kubwa.na hata tishika sababu amepewa Nguvu ambayo hamna macho yakuona.vitisho vyenu havita mgeuza msimamo anayo apo sababu ni Mungu amemchagua.
@hamisimwaksei3931
5 жыл бұрын
bac ww ueswahaba wake
@oscarharagakiza39222 жыл бұрын
Asalam alaikum!inamaa askof hamza ,anajifanya anajua coraon,je?anajua tafsri ya kul ya hayul hayul kafirini?
@dulaabdallah6127Ай бұрын
Aliyedai kasoma sayansi hajui kuwa mwanzo wa nambari kihesabu ni sufuri ( zero-0) na SI moja😂😂😂😂
@athumanisuleiman6864 жыл бұрын
Dunia inamambo jamaani mungu atupe mwisho mwema
@Frankgamanuel6 жыл бұрын
Mimi sitaki kuukumu lakini ni vyema mkasawazishana kupitia maandiko yanasema nini na yanataka nini. mnatakiwa kujua nani yuko sahii? maana Mungu ndie anajua kilicho chema maana kila Mmoja atapata hukumu yake siku ya mwisho.
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Frank Gamanueli, Qur-an na sunna imeshaeka sawa kwa dalili zilizowazi. Hana elm na hataki kusoma. Mtu anaesoma Qur-an km anasoma nn sijui hana hukm yeyote anaeitumia ktk usomaji wake. Vp ataeza kuitafsir kwa tafsir fasaha.
@lusekelomwinsasu318
4 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 waislamu jitathiminini sana msiwe wenye matusi tu huyo anasoma aya za quran bado mnampinga na kumtukana dini ya Mungu haiko hivyo kama unaijua kweli mfundishe maandiko ya quran au ndo dini kutukana matusi
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
@@lusekelomwinsasu318, Acha kujitia wazim ww kafiri mkubwa huyajui matusi nn? Au ulikua unataka asome anavyojua yy na afanye anavyotaka yy mitandaoni atizamwe tu asikosolewe? Na pia huyo kishaitwa mpaka na masheikh kufahamishwa na kuongozwa kwa dalili. Nyinyi makafiri mnaojitathmini mbona mlishindwa kumuita Mfalme Zumaridi na kumueka sawa mlipopaona anakosea na baada yake matusi haswa yalikua yakikutokeni mitandaoni na kumtukana na huku wakuu wenu pamoja na nyie mkiililia serikali imchukulie hatua za kumfungia?
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
@@lusekelomwinsasu318, Na nyie km mnaijua kweli hiyo dini yenu mlishindiwa nn kumfahamisha Mfalme Zumaridi akafaham yy na wafuasi wake wote wanaomsikiliza mitandaoni na kanisani kwake ili wakaujua ukweli na uongo. Ikiwa Mungu wenu ni mtu na yy Mfalme Zumaridi ni mtu vile vile. Kaa mbali na uisilam ww na kama unataka cha ku deal nacho kwa wakati huu basi deal na mfalme Zumaridi na sio yenu muyazime mbio mbio kwa mkono wa serikali na sio kiungu na busara halafu mtafute ya waisilam muanze kuyapigia kelele na kujifanya wasafi kwenye imani yenu.
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
@@lusekelomwinsasu318, Au na nyinyi dini yenu ni kutukana matusi (mana na nyinyi hayo matusi mnatukana muangalie mfalme zumaridi, Nabii Tito, yule pastor alooa wake 3 nawengineo walivyotukanwa) na mnatukana na huku mkiililia Serikali kumfungia baada ya kumwita na kumueka sawa.
@dismassamwel71303 жыл бұрын
Amza amekuwa shujaa kukaa mbele ya wengi wanazuoni wasio amini ila ukweli kwa mimi Amza mimi nimemuelewa na nakubali kuwa yeye ni nabii ila kwa kuwa neno Nabii ndani ya uislamu ulifungwa mjadala waka kwa kujua kuwa Mohamad ndio Nabii wa mwisho kwa hiyo ni kazi ngumu sana waislamu kumuelewa Amza ila nawasifu kwa mjadala mzuri wa utulivu kwa kweli kwa ustaarabu nawasifu
@mtanzaniahalisivideo24634 жыл бұрын
HAMZA AACHANE NA KAZI HII AACHE KUMSINGIZIA ALLAH KUWA KAPEWA UTUME NJAA ZAKO ZITAKUANGAMIZA ACHANA NA HIYO KAZI QURAN YENYEWE HUIJUI
@ellydarasy20604 жыл бұрын
Hawa watu chimbuko lao ni uislam wote hawa ama inakuaje. Mtihani.
@davidmbilinyi41985 жыл бұрын
Mungu hawezi kuwahukumu kwanza mpaka awaambie kweli huyu kweli katumwa. imeandikwa kila goti litapigwa kwa Yesu
@machakugeni8088
4 жыл бұрын
We nawe ujielewiii
@absameosman91133 жыл бұрын
ManshaAllah hyu sheikh alinifurahisha saxa mungu awalinde ma ustadhi wetu.... Bila nynyi kila mtu angekuja na ujinga wake.... Eti nn hukumu ya mtu anayepinga utume wako? Eti Hamza anasema Allahu Akbar nn unacheka sasa
@user-sz6kx7zd7x3 ай бұрын
Hamza ametumwa kupotesho watu.. waislamu tusomeni sana maana hawa makafiri wanakuja nakila aina njia kupoteza ummah wakiislamu
@pungopungo4112 жыл бұрын
Mungu huchagua vile
@josephkiswili19556 жыл бұрын
Mtume Mohammed alipo waendea wayahudi,wayahudi walimwambia .ututhibitishie.utume wako.Mohammed hakuthibitisha .
@user-fw7yr7yo2x
5 жыл бұрын
Alithubitisha kupitia mti.alipoulizwa mti ukitembea na mizizi yake hadi sehemu nyingine.
@tysonsamamba1593
5 жыл бұрын
Soma kwanza kaka
@lusekelomwinsasu318
4 жыл бұрын
@@user-fw7yr7yo2x haahaaaa mti ulikuwa ukitembea na mizizi yake Kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine aya gani inasema hilo katika quran naomba andiko
@shahidhassani59864 жыл бұрын
Aende akawambie waarabu aone😂😂😂😂ww kama hatujakusahau...
@halimahalim38167 жыл бұрын
Huyo bwana hamza mumpige marufuku asije haribu vizazi vyetu maana hajui chochote anabwabwaja akasome
@laythatoman39457 жыл бұрын
Wew ayo yote unayo sema yalisha sema tangu mwanzo kur-ani haijaaacha kitu wew unaungaunga vipande vya maneno tu nenda uko kwaiyo
@deathrow80045 жыл бұрын
YALE YALE YA PAULO KAWAUA WANAFUNZI WA IYSA IBN MARIAM KAKIMBIA MJI KISHA KADONDOKA KUTOKA JUU YA KIPANDO CHAKE ..AKADAI IYSA KAMTOKEA KTK NDOTO NA KAMPA UTUME..NDIO ALIYEKUA WA KWANZA KUIHARIBU INJIYL YA IYSA ALEYHI SALAM...
@geraldluiso67924 жыл бұрын
Aliyekufa kimwili hata rudi na mwili kwa sababu mwili ni materialistic ila roho haifi unaitwa existence. Na ndio ya chanzo ya kila kitu. Spiritual or soul or Existence is equal to GOD, more than everything than universe, Education is acquired knowledge and skills through study
@hatibuulotu19186 жыл бұрын
We acha ujinga bwana,ww hujui dini,masheikh wanakufundisha unabishana, unajua mtume alisema utume umekoma ila munashiratun.....
@AmCool_7 жыл бұрын
Huyu Hamza si mzima.
@omanfox5762
6 жыл бұрын
The Prince Huoni hata haya kusema uongo huo ni uongo uliokidhiri
@davidmbilinyi4198
5 жыл бұрын
Ibbu Daud huyu hamza waislaamu Hamna uwezo wa kumuelewa mpaka mkimkubari yesu
@nooor1120
3 жыл бұрын
@@davidmbilinyi4198 yesu tunamuamini km ni mtume lkn hatuwez kuamini km ni mungu Yeye mwenyewe kishakiri ni mja wa mungu sasa nyie mnamngangania nini lazima awe mungu?
@husseinomary44665 жыл бұрын
Huyu jamaa nichizi yaani vichwa vyote hivyo bado halielewi, halafu hako kajamaa kengine ndo kamenikosha ety kamempokea Hamza kisayansi nanamba 😂😂
@pungopungo4112 жыл бұрын
Msikuze mambo utume ni kutumwa au kuagizwa. Nyinyi ni nani na wakati mtapiga goti mbele ya Yesu
@jumanjenga76823 жыл бұрын
Fisi amevaa ngozi ya kondoo. Yafaa avae msalaba.
@fatmaally7147 жыл бұрын
yaani ww hamza Issa nnahsira na ww kwanidhalilishia dini yangu na kunichelewesha kulala half umeshinda kutoa ushahid wa madai yako
@mtanzaniamzalendo7001
6 жыл бұрын
Fatma Ally jamani mwacheni amesema yeye ni nabii,
@zahaljamal4520
5 жыл бұрын
Nenda huko na ww kafiri usiyemtambua yesu
@vanlago75804 жыл бұрын
Jamani nduguzanguni dini isambazwe vijijini maake watapotoshwa na huyu hamza issa mimi siwezi kumuita nabii kabisa maake huko vijijini kuna wengine hawajasoma dini mskini ya mungu
@yasmensalko75357 жыл бұрын
ukapimwe mbwa wew unanichefua
@hajimohamed9711
4 жыл бұрын
Yasmen Salko 😂kweli kabisa wakuchinjwa huyu kama kuku hii zaidi ya shirk
@shahidhassani5986
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂litakupa tuh kesi achana nalo Allah atajua chakulifanya
@hassanally94686 жыл бұрын
Innalillah wainnailayhi raajiun,huyu alikua auliwe t akatwe kichwa uyo mshenzi
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Yani ushawai sikia mtume Quran yenyewe haijui....Huu ni mtihani mkubwa....nahao maswahaba wake....jamani ndo kabisa maswali yenyewe hawajui kuuliza...
@burhanishariff83447 жыл бұрын
Nabii gani hata kusoma qoran hajui huyo ni kafili katumwa na makafili wenzie
@drraizkidume8677 жыл бұрын
Assalam Aleiqum ndugu zangu. dunia inafikia mwisho kweli, jinsi ninavyo mchukia huyu jamah yaani simpendi hata kidogo
@jonathanbrightness3668
4 жыл бұрын
Acha kufuru wewe
@fatumashabanfatumawawapimy11574 жыл бұрын
Mtihan kweli mwisho wa Dunia huu
@aishathabit37322 жыл бұрын
#masheikh wenyewe wapo njama moja na #kafiri huyu wamempa jukwaa la kujitangaza tu wala hawana haja ya kutangaza ukafiri wake'#masheikh wote wamwshindwa kutumia kauli moja tu kuwa #WEWE_NIKAFIRI
@aishaabubakary32713 жыл бұрын
Mm naangalia hii mwaka 2021tangu2017 mbn hatujaangamizwa
@fatmaally7147 жыл бұрын
na mhurumia mwanamke mwenzangu aliejaaliwa mtoto huyu.
@zumbeshauri8114
2 жыл бұрын
Hahahahaaaaaa hakika
@pungopungo4112 жыл бұрын
Wana hasira kweli na Hamza kumtaja hakimu wa ulimwengu
@onlyeyes54715 жыл бұрын
Huyu akatwe kichwa wallahy Kama angekuwa enzi za Omar bin khattab kashamkata kichwa zamaniii
@pungopungo4112 жыл бұрын
Ana hasira ya kutajwa yesu.kila got litapigwa mbele ya Yesu
@nuhusalimu39657 жыл бұрын
Hamza Issa kichwa kibovu na kupitia kichwa chake hicho maadui wanamtumia kwa hiyo yote mawili anayo.
@wechemakambo21827 жыл бұрын
Nabii Ilyasa kajibu Swali kuwa je,ni nini hukumu yetu tunaokukataa juu ya unabii wako? Jibu lake limeniacha hoi kwamba "Nitaenda kuongea na Allah naye atanipa majibu juu yenu"...masheikh wakacheka.
@shahidhassani5986
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌🏻
@mamuuomar25967 жыл бұрын
Naende akajifunze Tena hamza tul - kadhab
@domykimata57684 жыл бұрын
Atakuwa uyu shekh hamza kavuta bangi mbichi aisee
@abuumahemba30375 жыл бұрын
Nabii anafanya reseach Allah amtoeuko aliko
@zahaljamal45205 жыл бұрын
Hata mukihukumu MTU duniani munajisumbua muogopeni yesu anae uwezo ukifa anauwezo wakuangamiza roho na nafsi jehanam
@zubedadaudi2054 жыл бұрын
Duuu jamani mpaka hapo uyo sio nabii ila tu... inawezekana aikuwa na pepo inabini tu..mmombee arudi kwenye mstali wa dini ya ukweli kwake ....🙏
@mhoogooalhpsi96567 жыл бұрын
hahahah jamani Nabii mwenyewe hata kusoma Qur'an hajui
@abyolafadhili57346 жыл бұрын
Ninacho jua mm katika uislamu Maswahaba wamtume walijifunza elimu ya dini kupitia Mtume husika, sasa mbona hao maswahaba wa Hamza wamejifunza elimu ya din kupitia tafsiri za mashekh wengine na nyongeza ya utashi wa elimu zao za sayansi na namba. Hivi kweli mathematics ndio njia ya kuchambulia au kutoa udhibitisho wa unabii?
@nooor11203 жыл бұрын
Hana unabii wala nini huyu ni mvurugaji tu Huenda wanafanya hivo ili kuachana kutoa daawa na kuslimisha makafiri ndio wanakuwekeni busy na wapumbavu km hawa
@mohamedbinyusuff10076 жыл бұрын
Inalillahi waina aleihi rajium
@amenaallahawazidishieumrin62353 жыл бұрын
Ina lilahi wa Ina alai rajiun Yarabb tuepushe na ushawishi wa shetani
@abdallaaly15464 жыл бұрын
yan ww ukija Zanzibar wa wallah me nakuuwa tu moja kwa moja paka wee kafiri ww mungu akuuwe uko uko kwenye upotofu asikuongowe
@PhilipobonifacSado2 ай бұрын
Kwan vp mnatakaje kwahamza mlogeni muone nguvu yakrsto mnamuona akili hana sio
Пікірлер: 503
Asante Shekh Jalala kwa nasaha nzuri kwa Ustaadhi Hamza,uislam ni Bahari kubwa anatakiwa asipime kina kwa macho. suala la Kumsomesha zaidi ni jambo la hekima.na la msingi!! Suala jingine ni kuhusu Watu wanaoweka maoni yao hapa.Hawazingatii maneno ya viongozi hawa wa dini. hivyo wao kujikuta wakitoa kauli zinazokinzana na matamko ya mashekh na wanazuoni waliopo katika jopo hili. Nimefuatilia kwa kina mjadala huu.hakuna kiongozi hata mmoja aliyemuita Hamza Kafirii. masheikh wote wameendesha mjadala pasipo neno kama hilo.sasa hawa wanaoandika huyu ni kafiri elimu zao zimewazidi viongozi hawa waliofanya kazi hii kwa hekima kubwa au? Nadhani tunatakiwa kuheshimu kauli za viongozi wetu,na kauli ya Muumin haiwezi kuwa ya mbele kisha ikafuata ya kiongozi. Tuheshimu na kutanguliza hekima hizi. na pia tujifunze ustaarabu huu wa kuheshimu hata watu wenye mwelekeo wa aina hii wa imani.wanachohitaji ni kuelimishwa na sio kutukanwa,au kubaguliwa. Hongera shekh Jallala kwa Hekima Nzuri sana.Mwenyezi Mungu akuongezee Busara na hekima.
angalia matusi ya waislam, wakristo hata umtukane yesu wala hawatukani au kukuombea mabaya wao wanaamini mungu ndiyo mwenye nguvu ya kuadhibu wenye kukufuru,hou ndo ucha Mungu,Mungu wabariki wakristo.
Ahsante Sheikh Basaleh Allah akugifadhi
Masheikh wetu wote mlioshughulikia jambo hili, nawapenda kwaajili ya Allah nimejifunza dini inahitaji kusoma kwanza. Allah atuongoze katika kheri In sha Allah
Shekhe jalala nimekupenda kwa ajili ya Allah uko vizuri sana alhamndulillah
Hili neno la mwagizwa kusema ngoja nikamulize mungu .limewakwaza mashehe. Swali langu ni hili wao wakiwa viongozi wa jamii. Wanamuuliza nani kuongoza umati. Kama sio mungu? Kichekesho. Hamza sio wakwanza kuchukia na roho ya Eliasa. Eliya alivyonyakuliwa toho yake ilimwingia Elisha. Kwahiyo mungu bado anafanya kazi zake na wanadamu. Acheni husda. Aliepewa kapewa
Kwa mtizamo wangu hamza atakua amejisahau km kuna majini yanajua dini kwelkwel na yanasoma quran hasa mpk unashangaa na yakamvaa mtu yakamsemesha asiyoyajua mpk akaamini kua anachoambiwa ni wahi kumbe ni majini tu..wangapi wanaenda kwa waganga wanaambiwa unahv unavile na mtu akijitizama akamini ni kwel anavo hv vitu kwaivo huenda na yy akawa ana jini linampa hy maneno..maskini akajua ni wahi ktk kwa Allah kumbe ni majini..Allah anajua zaidi..kwa shauri tu akubali ende akasome kwa wasomi khasa..ili anusurike na hasira za Allah.
ATI YEYE NI NABII. HIYO NI ALAMA MOJA WAPO ALLAH ALOKUFEDHEHI.
Bangi na iman ukiviweka pamoja hilo ndo jibu lake huyo amekula dawa yaan bangiiiiii ni bangue mara paaa mimi nabiii...weee unabii na utume uko hukooo sio kwa waislam
@aminmohammed4249
4 жыл бұрын
Huyu inatakiwa apigwe kichapo cha mbwa mwizi kumfanya ubongo ukae sawa😂
@shahidhassani5986
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
Innaa lillahi wainnaa ilaihi raajiun, huu munaqasha pande zote hazijielewi, kama masheikh wanaojiita ahl Sunnah wal jamaa wanajumuika na mashia'(makafiri) kiitikadi wanakaa pamoja kama wote ni waislam, ni mtihani mkubwa kupata uongofu, nasaha zangu watu wajitahidi kuisoma elimu ya kisheria lakini pia hao masheikh wakae darasani waisome aqidah, tawhid na Sunnah kwa ufahamu wa maswahaba, Allah awaongoze hao masheikh lakini pia amwongoze Hamza na vijana wake katika njia ya sawa, Allah mustaa'nu..
@ramadhansuleymani2236
7 жыл бұрын
Duh! huyo shetani anatisha.mashekh msiendelee kukaa nae mungu anaweza kuwashushia adhabu mkiwa woote hapo.
@mailacamillius
6 жыл бұрын
SOMENI DINI KWA MAPANA YAKE. BADO HAMJAWA WASOMI, USALAFI NI UGONJWA.
@shebyabdullahzenjibary2584
5 жыл бұрын
@@mailacamillius saf sana
Yaani linakera hili jibaba na ho wapumbavu wajiitao maswahaba yanachefua kama nini. Ushauri wangu wa bure yaangalieni hayo yasitoke yakaenda vijijini yakaenda kupotosha watu.
@alexjackson9236
5 жыл бұрын
Matusi siyo hekima.....kasome adabu
Huyu hamza yupo katika walio teuliwa katika kusambaza dini mseto. Kufuru ni tendo mtendandaji ni kafiri
hamza itakua alipata laana Siku ile kanisan alipo udhalilisha uislam amesahau kua kila mwenye kuichezea din ya Allah Allah hakumuacha salam
@davidmbilinyi4198
5 жыл бұрын
Yassin Deffu hata Paulo mtume alipookoka waislamu waliona Kama ni kichaa
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
@@davidmbilinyi4198 ww na Amza yote bangi ilo
@othmanmuna3115
4 жыл бұрын
@@davidmbilinyi4198 we ni kafiri lazima ufikirie kikafiri
Haa, sikusoma ila kwa elimu yangu ndogo najua katika uislamu mfumo wa maisha ya mwaadamu ulikamilika na Qur ani ilishaweka wazi kila kitu. Maoni yangu waislam tusome tusibabaishwe na wapuuzi hawa wanaohadaliwa na maisha ya dunia. Ndoto ni msitu wao tu. Lakini ukifuatilia vizuri maelezo ya ndoto zao ni uongo tu na zina mtiririko wa kishetani naomba sana tuwe makini hii ni dunia ya mwisho.
Poleni Masheikh wa Tanzania kazi mnayo ya kutosha.
@raziaali5337
7 жыл бұрын
Rahma Shaban in Sha Allah Allah atawawezesha .
@alialamoudi9729
4 жыл бұрын
Wa tanzania wa najua dini sana hataweza kuongopa huyo mtoto hana kitu baada ya mtume mohamed mtume amesema stop dini lmekamilika NA nimekubali kua dini yenu uslamu sisi tunafata kitab NA suna ya mtume mohamed huyo kama yule snaitwa mussilma alkthab kuna moja habo zamani alidai kwa yeye ni mtume hiyo sio mara ya kuanza tanzania wanaelewa uslamu vizuri sana sana mashallah kuna sahwa kwa kwa dini sio mbali NA mashekhe ya alazhar huko misri ou maka msehangaika naye hajui kitu basi mfahmishe pole pole madam anamjua mungu NA mtume mohamed inshalla mungu atamuokowa
MashaAllah barakat
Shikeni moja acheni kuchambuachambua Yesu kristo ni hakimu kila goti litapigwa. Haijalishi umekaa kwenye mkeka miaka mingapi
Huyu jamaa,mleteni hospitali apumzike.Si njaa tu,bali njaa hii imeingia kwenye ubongo.
shekhe alihadi umevulia sana nakujitahidi kuuelekeza sana na kumtetea ila nilipenda kukushauri shekhe alhadi tumsaidie kumtibia shetani huyu ana jini msukule au maiti huyu atibiwe wallah huyu mgonjwa
Subhana Allah Allah anakuwa mawakristo mara yesu ni mungu mara ni mtoto wa mungu mara ni mtume wa mungu
Elimu ya mungu si sawa na elimu ya kusoma. Ni vitu viwili tofauti
Unataka dunia nzima waje waiishi Tz una chakula cha kuwapa sisi wenyewe maisha magumu vichwa vina moto kutafuta pesa ya kukidhi mahitaji yetu ya kila cku. Naomba apelekwe hospital hana akili timamu huyu jamani msaidieni tafadhali.
@ramadhanishaibu7788
6 жыл бұрын
hahahaa
@aishadamla1822
5 жыл бұрын
UKHTY HERIETH SYLVESTER mshenzi mmoja anawaumiza vichwa sana wana wa zuoni mkateni kichwa !huyo
@mgeniali1768
5 жыл бұрын
@@aishadamla1822 😅😅
@demankidu_0093
4 жыл бұрын
@@aishadamla1822 aloh wanamuachaje uyuu
Akapimwe mwehu huyu jamaani nilikuwa nasikia jamani kuna nabii loo akapimwee huyu sie yule aliye shikishwa adabu huyu a si danganya watu eee fanyeni mpigeni mawe asijeakatuletea nakama ya allah subhanallah
Mungu kamchagua Hamza mnaemuita haelewi ili awaibishe nyinyi mnaeelewa. Mungu hampi mjuaji neno lake(. Mafalisayo
Subhanallah mungu ainusuru dini yake ya uisilamu na waislamu wote kwa jumla, nawasihi waislamu wenzangu tujichungeni kwa mtu huyu asije kuwapotosha vizazi vyetu.SUBHANALLAH SUBHANALLAH SUBHANALLAH
Imani bila elimu in hatari sana, huyu kazoea utabiri wa hali ya hewa sasa anavamia anga zisizomuhusu, yeye na swahaba zake wote wana asili ya ubishi, nyoyo zao zimejaa kutu. Kutubu si ujinga, watubu kabla saa haijafika.
@user-fw7yr7yo2x
5 жыл бұрын
"ha ha"!!! Allah atuhifadhi Yaa Rabbi.
@davidmbilinyi4198
5 жыл бұрын
HASSANI LAKI ndugu waislamu mutaangamia Kama mwakataa ufunuo huo
Hiyo ni nabii wa manaswala na makafiri
@wechemakambo2182
7 жыл бұрын
Kasema yeye ni Nabii wa Waislam na maagizo aliyopewa ni kuwaleta Tanzania Waislam wanaouana ili waje kwenye Amani kwa mujibu wa Dini yake na siyo Manaswara..Ikumbukwe hata Muislam asiyeswali swala 5,na kutofuata mafundisho ya Mtume wake kama kuzini,kuzaa nje ya ndoa nk ni Kafiri pia.
@zahaljamal4520
5 жыл бұрын
Ww ndio kafiri mkubwa yesu ndiye mungu wa kweli kwa taarifa yenu waislam
@mussajangwa9106
5 жыл бұрын
Kichwa chake ni muhimu sana Why mnakichelewesha??????
@mfaumejuma84
5 жыл бұрын
Ww Hamza kaa chini fikiria Tena Hilo Jambo Kisha ufanye toba Mimi kwa upande wangu naona unakufu na sikushangai kwa kujipa wadhfa huo maana hata firauun alijipa wadhfa na mwisho wake unaujua ushauri wangu kwako fanya toba ama hamis upande was pili maana usiwe mafik Leo kanisani kesho mskitin ama hakika utakua unapata dhambi kwa kupunguza imani ambazo waumini wamezipigania wahadhaa salaam aleykum
@lusekelomwinsasu318
4 жыл бұрын
@@mussajangwa9106 je huyo wamuue kwa kutenda hayo je wewe ni mwema sana kuliko huyo unayetaka auwawe?
Sisi wenyewe hatunaa sehemu yakukaaa halafu yeye anatakaa watu wote wajee hapaa tz watakaa wapi unaletaa ujingaa hapaa
@raziaali5337
7 жыл бұрын
Hassan Mohd Ally Ally wengine twajiandaa kuja Tz😂😂😂😂😂
@fatmaally714
7 жыл бұрын
kweli jamani mambo mengine sio yakumaliza miaka angepigwa angalau bakora 50 ngekua na adabu huyu shenzi.
@hassanmohdallyally9552
7 жыл бұрын
Fatma Ally hahahaha kibisaa maana fedhuli kwelikweli nabii anajazbaa uliona wapi mm ningekuwepo kweny hicho kikaoo nishampigaa makofii pumbavu huyo
@mwaijaelias4446
6 жыл бұрын
wewe kweli nitatizo hunasehem yakukaa wapi?wewe nafasi zipo kibao tutoke mjini!!!
@issaabdi9129
6 жыл бұрын
Wachina peke yao ALLAH atuepushe wakimiminika Tz sisi ndio tutakuwa wachache na tutaonekana wageni.
Mashekh kweli kweli mmechambua na kupata majibu toka kwa mwenye we. ....haya mim mtazamji na msikilizaji ..
Jamani polen sana mashekh wetu mmechoshwa na kiumbe kisicho jitambua namuona kwanza asilimu upya alafu ndo aingie kuswali
Waislamu mpaka lini nyinyi ubishi tu,Yesu ndiye njia na kweli na uzima.
@tysonsamamba1593
5 жыл бұрын
Kama yesu amekufa wew uzima unautowa wapi
SHIA SIO WAISLAM
Nabii hamza aisee katisha sana inabidi ageuze mawe yawe mikate maana unabii sio mchezo sema hamza kwa uo unabii wako wa ulongo Allah anakuona
mashekhe hamza ni mwehu ,tena halimashauri take kichwa haiko sawa.
Mungu anampa neno lake ampendae
Huyo muulize maswali ana hasira ya kutekwa yesu hatutoboi shehe
uko sawa Askofu Hamza, mungu akukumbuke na simamia neno la Mungu litokalo ndani ya biblia
@Alkaburu
5 жыл бұрын
Peter wewe ni mnafiki hata yesu angekuepo asinge mkubali huyu jamaa hata biblia pia haijui
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Nyie ndowale wale wakupelekwa na akili za watu....
Viongozi wetu wa dini msaidieni huyu jamaa ana matatizo ya kisaikolojia
@raziaali5337
7 жыл бұрын
Seif Matimbwa mwenyewe mkaidi atasaidiwa vipi😢😢😢
Khalafu Bwana Hamza akakosea khadithi na akakiri mwenyewe kwamba "Mimi si mjuzi sana wa Kiarabu".
ndugu zangu mm nawaomba tuwe na subra huyu ana matatizo ya kishetani wa kijinni akisomewa ruqya atapona in shaa allah
@mumewangu7162
6 жыл бұрын
imamu mponda ana akili zake ni mpotoshaji tu huyu.
@furahinimbise1804
4 жыл бұрын
Waislam mnakwama wapii? Quran 4;171, na 43;61...63, hii Quran ina wachanganya, Quran ni kitabu cha uongo.
@thamiyuucute7098
4 жыл бұрын
@@furahinimbise1804 jamaza kimyaa kitabu chenu mnoshika huku mnauchafu ndo kiongoo
@aishaothmanothman9486
4 жыл бұрын
@@furahinimbise1804 muokope mungu wewe Bible nikitabu chauongo kabisa niliwahi kukichukuwa nikakikanyaga nasikudhurika wewe subutu sasa ukikanyage kitabu chamwenyezimungu ambacho niqur'an alafu uwone matukioyake
@furahinimbise1804
4 жыл бұрын
@@aishaothmanothman9486 Quran ni kitabu cha Majini, huwazi kukilinganisha na Bible ambavyo ni Thorat Injili na Zaburi haya ndio maandiko Matakatifu hakijawepo kaajili ya kuwaletea wana wa Mungu mathara, Kama Quran
Ww unajifananisha na nabii ilyas duh shetani mbaya kweli mwisho atasema yy ni mungu
@devidmagigejoseph385
5 жыл бұрын
Ludacriss Rangi Ya Bank amini anayo sema yuko sawa na yatawahukumu ninyi wenyewe
Eliya Na Elisha .ila wao walifanya miujiza mikuu toka kwa Yehova mungu wa Mungu wa mbinguni .
Huyu jama wakampime inawezekana anamatatizo ya akili
@salimakida95
6 жыл бұрын
Jimmy Habarugira nakuunga mkono kabisa ..simzima
Mimi kwa jikivomuelewa huyu jamaa anatumika na dini nyingne ili alete mambo ambayo hatuna ktk uislam huko alikotumwa ndio kuna mitume na manabii kibao sio huku aache kupotosha umma wa waislam
@enockkaitila4681
6 жыл бұрын
she he uko vzuri songambele mwenyez mungu you pamoja nawe, usiogope mwanadamu. (Amza)she he.
@nooor1120
3 жыл бұрын
Umeona eee Mitume na manabii kibao kanisani huko na nguvu za giza
Asante kumpa kukweli
Asulubishwe uyu ni Crazy
Mungu amekujalia kusema Ukweli usio pingika, kipaji ulicho pewa kimetoka kwa baba Mbinguni Shehe Hamza, haki ya Mwenyezi Mungu ambaye amini ulicho sema huyo ni wa shetani, Natambuwa Mungu muweza wa kila kitu yuko Ndani yako
@yahayasaidi3951
2 жыл бұрын
Mitume wengi wapo kwenye ukirto uku mtume mmoja tu mohamad
Wallai huyu akiniubiria namjibu kwa mangumi👊👊👊 tu hiyo ndio lugha ataelewa yeye sio Nabii
uchache wa elimu unachangia sana kwa wengi ila ijulikane kwamba Mungu hufanya jambo kubwa mbele ya wanadamu kwa kutumia kitu kidogo sana.......
Mungu ni Roho.mko mwilini sana ndiposa hamwezi kumwelewa Nabii Hamza amepewa unabii wa nyakati za Mwisho.na akili ya dunia kwa Mungu ni ujinga acheni mambo yakusoma sijui nini.Mungu anauwezo wakutumia hata mawe! Miti,samaki...Mungu mwenyewe akikuchagua ni Mwalimu atakufunza.Mnazingatia Dini dini.ubishi hamtaki kufanya utafiti.pia mjue utafiti bila Neema ni Bure.uyo ndugu Hamza Mtu wa Mungu amepata Neema kubwa.na hata tishika sababu amepewa Nguvu ambayo hamna macho yakuona.vitisho vyenu havita mgeuza msimamo anayo apo sababu ni Mungu amemchagua.
@hamisimwaksei3931
5 жыл бұрын
bac ww ueswahaba wake
Asalam alaikum!inamaa askof hamza ,anajifanya anajua coraon,je?anajua tafsri ya kul ya hayul hayul kafirini?
Aliyedai kasoma sayansi hajui kuwa mwanzo wa nambari kihesabu ni sufuri ( zero-0) na SI moja😂😂😂😂
Dunia inamambo jamaani mungu atupe mwisho mwema
Mimi sitaki kuukumu lakini ni vyema mkasawazishana kupitia maandiko yanasema nini na yanataka nini. mnatakiwa kujua nani yuko sahii? maana Mungu ndie anajua kilicho chema maana kila Mmoja atapata hukumu yake siku ya mwisho.
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Frank Gamanueli, Qur-an na sunna imeshaeka sawa kwa dalili zilizowazi. Hana elm na hataki kusoma. Mtu anaesoma Qur-an km anasoma nn sijui hana hukm yeyote anaeitumia ktk usomaji wake. Vp ataeza kuitafsir kwa tafsir fasaha.
@lusekelomwinsasu318
4 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 waislamu jitathiminini sana msiwe wenye matusi tu huyo anasoma aya za quran bado mnampinga na kumtukana dini ya Mungu haiko hivyo kama unaijua kweli mfundishe maandiko ya quran au ndo dini kutukana matusi
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
@@lusekelomwinsasu318, Acha kujitia wazim ww kafiri mkubwa huyajui matusi nn? Au ulikua unataka asome anavyojua yy na afanye anavyotaka yy mitandaoni atizamwe tu asikosolewe? Na pia huyo kishaitwa mpaka na masheikh kufahamishwa na kuongozwa kwa dalili. Nyinyi makafiri mnaojitathmini mbona mlishindwa kumuita Mfalme Zumaridi na kumueka sawa mlipopaona anakosea na baada yake matusi haswa yalikua yakikutokeni mitandaoni na kumtukana na huku wakuu wenu pamoja na nyie mkiililia serikali imchukulie hatua za kumfungia?
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
@@lusekelomwinsasu318, Na nyie km mnaijua kweli hiyo dini yenu mlishindiwa nn kumfahamisha Mfalme Zumaridi akafaham yy na wafuasi wake wote wanaomsikiliza mitandaoni na kanisani kwake ili wakaujua ukweli na uongo. Ikiwa Mungu wenu ni mtu na yy Mfalme Zumaridi ni mtu vile vile. Kaa mbali na uisilam ww na kama unataka cha ku deal nacho kwa wakati huu basi deal na mfalme Zumaridi na sio yenu muyazime mbio mbio kwa mkono wa serikali na sio kiungu na busara halafu mtafute ya waisilam muanze kuyapigia kelele na kujifanya wasafi kwenye imani yenu.
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
@@lusekelomwinsasu318, Au na nyinyi dini yenu ni kutukana matusi (mana na nyinyi hayo matusi mnatukana muangalie mfalme zumaridi, Nabii Tito, yule pastor alooa wake 3 nawengineo walivyotukanwa) na mnatukana na huku mkiililia Serikali kumfungia baada ya kumwita na kumueka sawa.
Amza amekuwa shujaa kukaa mbele ya wengi wanazuoni wasio amini ila ukweli kwa mimi Amza mimi nimemuelewa na nakubali kuwa yeye ni nabii ila kwa kuwa neno Nabii ndani ya uislamu ulifungwa mjadala waka kwa kujua kuwa Mohamad ndio Nabii wa mwisho kwa hiyo ni kazi ngumu sana waislamu kumuelewa Amza ila nawasifu kwa mjadala mzuri wa utulivu kwa kweli kwa ustaarabu nawasifu
HAMZA AACHANE NA KAZI HII AACHE KUMSINGIZIA ALLAH KUWA KAPEWA UTUME NJAA ZAKO ZITAKUANGAMIZA ACHANA NA HIYO KAZI QURAN YENYEWE HUIJUI
Hawa watu chimbuko lao ni uislam wote hawa ama inakuaje. Mtihani.
Mungu hawezi kuwahukumu kwanza mpaka awaambie kweli huyu kweli katumwa. imeandikwa kila goti litapigwa kwa Yesu
@machakugeni8088
4 жыл бұрын
We nawe ujielewiii
ManshaAllah hyu sheikh alinifurahisha saxa mungu awalinde ma ustadhi wetu.... Bila nynyi kila mtu angekuja na ujinga wake.... Eti nn hukumu ya mtu anayepinga utume wako? Eti Hamza anasema Allahu Akbar nn unacheka sasa
Hamza ametumwa kupotesho watu.. waislamu tusomeni sana maana hawa makafiri wanakuja nakila aina njia kupoteza ummah wakiislamu
Mungu huchagua vile
Mtume Mohammed alipo waendea wayahudi,wayahudi walimwambia .ututhibitishie.utume wako.Mohammed hakuthibitisha .
@user-fw7yr7yo2x
5 жыл бұрын
Alithubitisha kupitia mti.alipoulizwa mti ukitembea na mizizi yake hadi sehemu nyingine.
@tysonsamamba1593
5 жыл бұрын
Soma kwanza kaka
@lusekelomwinsasu318
4 жыл бұрын
@@user-fw7yr7yo2x haahaaaa mti ulikuwa ukitembea na mizizi yake Kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine aya gani inasema hilo katika quran naomba andiko
Aende akawambie waarabu aone😂😂😂😂ww kama hatujakusahau...
Huyo bwana hamza mumpige marufuku asije haribu vizazi vyetu maana hajui chochote anabwabwaja akasome
Wew ayo yote unayo sema yalisha sema tangu mwanzo kur-ani haijaaacha kitu wew unaungaunga vipande vya maneno tu nenda uko kwaiyo
YALE YALE YA PAULO KAWAUA WANAFUNZI WA IYSA IBN MARIAM KAKIMBIA MJI KISHA KADONDOKA KUTOKA JUU YA KIPANDO CHAKE ..AKADAI IYSA KAMTOKEA KTK NDOTO NA KAMPA UTUME..NDIO ALIYEKUA WA KWANZA KUIHARIBU INJIYL YA IYSA ALEYHI SALAM...
Aliyekufa kimwili hata rudi na mwili kwa sababu mwili ni materialistic ila roho haifi unaitwa existence. Na ndio ya chanzo ya kila kitu. Spiritual or soul or Existence is equal to GOD, more than everything than universe, Education is acquired knowledge and skills through study
We acha ujinga bwana,ww hujui dini,masheikh wanakufundisha unabishana, unajua mtume alisema utume umekoma ila munashiratun.....
Huyu Hamza si mzima.
@omanfox5762
6 жыл бұрын
The Prince Huoni hata haya kusema uongo huo ni uongo uliokidhiri
@davidmbilinyi4198
5 жыл бұрын
Ibbu Daud huyu hamza waislaamu Hamna uwezo wa kumuelewa mpaka mkimkubari yesu
@nooor1120
3 жыл бұрын
@@davidmbilinyi4198 yesu tunamuamini km ni mtume lkn hatuwez kuamini km ni mungu Yeye mwenyewe kishakiri ni mja wa mungu sasa nyie mnamngangania nini lazima awe mungu?
Huyu jamaa nichizi yaani vichwa vyote hivyo bado halielewi, halafu hako kajamaa kengine ndo kamenikosha ety kamempokea Hamza kisayansi nanamba 😂😂
Msikuze mambo utume ni kutumwa au kuagizwa. Nyinyi ni nani na wakati mtapiga goti mbele ya Yesu
Fisi amevaa ngozi ya kondoo. Yafaa avae msalaba.
yaani ww hamza Issa nnahsira na ww kwanidhalilishia dini yangu na kunichelewesha kulala half umeshinda kutoa ushahid wa madai yako
@mtanzaniamzalendo7001
6 жыл бұрын
Fatma Ally jamani mwacheni amesema yeye ni nabii,
@zahaljamal4520
5 жыл бұрын
Nenda huko na ww kafiri usiyemtambua yesu
Jamani nduguzanguni dini isambazwe vijijini maake watapotoshwa na huyu hamza issa mimi siwezi kumuita nabii kabisa maake huko vijijini kuna wengine hawajasoma dini mskini ya mungu
ukapimwe mbwa wew unanichefua
@hajimohamed9711
4 жыл бұрын
Yasmen Salko 😂kweli kabisa wakuchinjwa huyu kama kuku hii zaidi ya shirk
@shahidhassani5986
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂litakupa tuh kesi achana nalo Allah atajua chakulifanya
Innalillah wainnailayhi raajiun,huyu alikua auliwe t akatwe kichwa uyo mshenzi
Yani ushawai sikia mtume Quran yenyewe haijui....Huu ni mtihani mkubwa....nahao maswahaba wake....jamani ndo kabisa maswali yenyewe hawajui kuuliza...
Nabii gani hata kusoma qoran hajui huyo ni kafili katumwa na makafili wenzie
Assalam Aleiqum ndugu zangu. dunia inafikia mwisho kweli, jinsi ninavyo mchukia huyu jamah yaani simpendi hata kidogo
@jonathanbrightness3668
4 жыл бұрын
Acha kufuru wewe
Mtihan kweli mwisho wa Dunia huu
#masheikh wenyewe wapo njama moja na #kafiri huyu wamempa jukwaa la kujitangaza tu wala hawana haja ya kutangaza ukafiri wake'#masheikh wote wamwshindwa kutumia kauli moja tu kuwa #WEWE_NIKAFIRI
Mm naangalia hii mwaka 2021tangu2017 mbn hatujaangamizwa
na mhurumia mwanamke mwenzangu aliejaaliwa mtoto huyu.
@zumbeshauri8114
2 жыл бұрын
Hahahahaaaaaa hakika
Wana hasira kweli na Hamza kumtaja hakimu wa ulimwengu
Huyu akatwe kichwa wallahy Kama angekuwa enzi za Omar bin khattab kashamkata kichwa zamaniii
Ana hasira ya kutajwa yesu.kila got litapigwa mbele ya Yesu
Hamza Issa kichwa kibovu na kupitia kichwa chake hicho maadui wanamtumia kwa hiyo yote mawili anayo.
Nabii Ilyasa kajibu Swali kuwa je,ni nini hukumu yetu tunaokukataa juu ya unabii wako? Jibu lake limeniacha hoi kwamba "Nitaenda kuongea na Allah naye atanipa majibu juu yenu"...masheikh wakacheka.
@shahidhassani5986
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌🏻
Naende akajifunze Tena hamza tul - kadhab
Atakuwa uyu shekh hamza kavuta bangi mbichi aisee
Nabii anafanya reseach Allah amtoeuko aliko
Hata mukihukumu MTU duniani munajisumbua muogopeni yesu anae uwezo ukifa anauwezo wakuangamiza roho na nafsi jehanam
Duuu jamani mpaka hapo uyo sio nabii ila tu... inawezekana aikuwa na pepo inabini tu..mmombee arudi kwenye mstali wa dini ya ukweli kwake ....🙏
hahahah jamani Nabii mwenyewe hata kusoma Qur'an hajui
Ninacho jua mm katika uislamu Maswahaba wamtume walijifunza elimu ya dini kupitia Mtume husika, sasa mbona hao maswahaba wa Hamza wamejifunza elimu ya din kupitia tafsiri za mashekh wengine na nyongeza ya utashi wa elimu zao za sayansi na namba. Hivi kweli mathematics ndio njia ya kuchambulia au kutoa udhibitisho wa unabii?
Hana unabii wala nini huyu ni mvurugaji tu Huenda wanafanya hivo ili kuachana kutoa daawa na kuslimisha makafiri ndio wanakuwekeni busy na wapumbavu km hawa
Inalillahi waina aleihi rajium
Ina lilahi wa Ina alai rajiun Yarabb tuepushe na ushawishi wa shetani
yan ww ukija Zanzibar wa wallah me nakuuwa tu moja kwa moja paka wee kafiri ww mungu akuuwe uko uko kwenye upotofu asikuongowe
Kwan vp mnatakaje kwahamza mlogeni muone nguvu yakrsto mnamuona akili hana sio