WAPALESTINA (WAISLAM) KWA MUJIBU WA QUR'AN NI WAKATI WA KUONDOKA KUWAPISHA WAISRAEL JERUSALEM
Жүктеу.....
Пікірлер: 579
@user-gg4ho7tw2u8 ай бұрын
Kama wewe ni Mkristo like button hiii❤❤❤
@seiflugendo7141
8 ай бұрын
Sijui umemuelewa huyu sheikh au umekurupuka.
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
umeelewa au
@hassanmkangwa2062
8 ай бұрын
Sasa wewe unayesema kama wewe ni Mkiristo weka alama ya kopa ❤. Unafikiri ISRAEL inautambua Ukiristo. Subiri sisi waislamu watatuuwa tutakwisha, unafikiri kina nani watafuata ?
@seiflugendo7141
8 ай бұрын
@@hassanmkangwa2062 Hao Hawajitambui wanadhani eti mayahudi ni wakristo wenzao🤣🤣🤣🤣.
@HamisiR
4 ай бұрын
Akili huna wewe
@angelsulle71778 ай бұрын
Naupenda UKRISTU kwa moyo wangu wote.Asantee Bwana Yesu sofa kwako❤❤❤
@karemera_jr6371
8 ай бұрын
Uyaudi sio Ukristo
@sokakilumbi9293
8 ай бұрын
MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!! 👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze. na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa. ... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!! na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini ➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇 1 Wakorintho 11:3 Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. ➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇 Mwanzo 32:24 Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri. ➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu. ... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu). 👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo. soma👇 Matendo ya Mitume 22:28 ... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa. Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu. ...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina). kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa. Uislamu unapiga vita * ushoga(ndoa za jinsiamoja) * kubadili jinsia * midoli ya kufanyia mapenzi * kamari * riba * pombe * Uzinifu * mitandao ya picha za utupu ... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)
@seiflugendo7141
8 ай бұрын
@@karemera_jr6371 Hawa wakristu washamezeshwa ujinga.
@martinisadru9899
8 ай бұрын
@@karemera_jr6371wayahudi wapo wengine wakristo, na wengine waislamu wapo, mfano,,, nabii daudi alikua mkristo kabisa, na mtoto wake sulemani alikua muislamu. Hii inatokana na maamuzi ya mtu mwenyewe na vile MUNGU alivopanga.
@martinisadru9899
8 ай бұрын
@@karemera_jr6371wayahudi wapo wengine wakristo, na wengine waislamu wapo, mfano,,, nabii daudi alikua mkristo kabisa, na mtoto wake sulemani alikua muislamu. Hii inatokana na maamuzi ya mtu mwenyewe na vile MUNGU alivopanga.
@peacemwesiga8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤karibu kwa Yesu kriso shehe akupe maisha ya ukweli daima
@seiflugendo7141
8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣sijui kama unajielewa kweli maana unacoment bilahata kuelewa maelezo uliopewa.
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
bibilia inasema aliyelala katika kiristo amepotea au huoni maandiko sasa kwa nini aje kupotea
@ShamsaniOthuman-sr7kh8 ай бұрын
Mtumishi nakuelewa Sana Mungu akubariki usichoke kutufundisha sisi wanafunz wako.
@joycekoech82778 ай бұрын
Leo ni mara yangu ya kwanza kusikiliza mahubiri ya kiislamu...huwa tu naskia Allahuakbar
@khalidabas252
8 ай бұрын
Hhhh pole sana. Hayo sio mahubiri ya kuislamu. Huyo ni pasta isaya uislamu ni yeye wapi na wapi?
@user-ez1hb8ze3p8 ай бұрын
Mungu wangu hii ni ile ya Balamu na balaki mpanka punda kusema hooo haleluya kila goti litapigwa Mungu lbariki lsrael Mungu lbariki Tanzania Amina
@saphinalutaha9077
8 ай бұрын
😂😂😂maskin elim ni bora mgeelewa Mana ya ajuja wama ajuja msgesema haleluya 😂😂😂daaaa polen
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
@@saphinalutaha9077hawana akili weshapotezwa
@jah9janine9948 ай бұрын
From Kenya.... nakusikiza rabbi .....tufunze Mwalimu mwema
@fahadhilal16118 ай бұрын
Subhanallah Huna lolote unalolijua Subhanallah
@UzalendoNaUtu
8 ай бұрын
Mwenzio anaongea kwa hoja na anataja maandiko
@NATACIARAPHAEL-iz8kr8 ай бұрын
Sema kweli tupu na Mungu Akubariki
@olaismollel71628 ай бұрын
Nimekuelewa sana kwakua nilishajifunza vitabu vya unabii Hakika Yesu anarudi eeeeMungu utusamehe na maovu yetu😢😢
@frankmwakalinga74558 ай бұрын
Mungu akuinue kwa elimu hii , nafuatilia darasa zako ni ukweli mtupu❤❤
@abdallahhamisi67213 ай бұрын
Jazakallah khayr,Allah akuongoze na sote kwa ujumla
@medyproductionTz8 ай бұрын
Mungu Akuongoze ❤🙏
@jessicajoel64108 ай бұрын
People of Israel and Palestine they will not have peace until both kumkubali YESU kwamba ndie Masihi
@shenjamamzingi7950
8 ай бұрын
it sound great but no evidence
@mugemanadjafar9118 ай бұрын
Mimi niko kigali lakini mwanzo wa unaabii wako feki umetuchanganya lakini leo kama umeurudiya u islamu upya na kuyasadiki ariyokuja nayo khatamu al'ambiya a wal mur'saliina nabi Muhamad صل الله عليه وسلم Naomba ALLAH atuhidi kwenye njia yake iliyotoka.Amiina
@annasolomon9855
8 ай бұрын
Muongo wew huyu shehe anaongozwa na Quran 😅
@NATACIARAPHAEL-iz8kr8 ай бұрын
Mambo yote yatapita lakini Neno litasimama
@hafidhumawimbi79728 ай бұрын
Waa'laykum ssalam wa rahma tullah wa barakatuh!!
@mjaaliakhalfan90308 ай бұрын
{فبما نقضهم ميثاقهم لعناهم وجعلنا قلوبهم قاسية يحرفون الكلم عن مواضعه ونسوا حضا مما ذكروا به ولا تزال تطلع على خآئنة منهم إلا قليلا منهم فاعف عنهم واصفح إن الله يحب المحسنين}
@silanleon97558 ай бұрын
Aliwahi kusema Yesu.wakinyamaza hawa,mawe yatashangilia. Kuna wakati Mungu anainua watu tusiowatarajia,kufanya mambo tunayotarajia
@joashwambua9988
8 ай бұрын
Kweli kabisa
@gilliansiara33248 ай бұрын
Salaam,kumbe msema kweli yupo,tena with evidence,shukrani sana,lah ingeruhusiwa kufundiswa tuwaache kudanganya Asante sana mtumishi,tuombe yaishe,Palestine wateseka sana wale viumbe wa Mungu
@dottosweetbert88798 ай бұрын
Huwa nakufuatilia sana masomo yako. Kwa sehemu kubwa umenena sawa ISIPOKUWA kuhusu kurejeshwa Wana wa Israel kwenye ardhi yao SIYO suala la Quran, bali ni la Mungu mwenyewe ALIWAAMURU kurudi Kwa kuwapa ardhi ambayo HAKUNA MTU DUNIANI atawanyanganya kamwe. Soma AMOSI 9:15 ipo wazi na ni kabla ya kuibuka Kwa huyo kiongozi wa dini ya waarabu (Islam) miaka lukuki huko nyuma.
@chancekambale34988 ай бұрын
Asante kwa somo nzuri Nakuelewa sana.
@FeisalDoctor
8 ай бұрын
Lazma umuelew kafir mwenzak
@preciouslissahparis13528 ай бұрын
Nampenda saana,huyu Shehe, Huwa anaongea UKWELI ambao upo katika Quran,unaofichwa,yeye huufunua Tena Kwa aya.
@ahmedzahor2975
8 ай бұрын
Aya gani alotoka katika Quruan huyu km wewe hajui Quruan na huyu ni Mwenzenu
@annasolomon9855
8 ай бұрын
@@ahmedzahor2975Quran ameitunga yeye? Au hapo antumia Bible ! Waislamu mnashida Sana nyie Magaidi 😅😅😅
@preciouslissahparis1352
8 ай бұрын
@@ahmedzahor2975 wewe ndio hujui ndio maana hujaona aya alizosoma.
@abdallahjuma43978 ай бұрын
Aliyeongozwa na Allah hakuna wakumpoteza, na Aliyepotezwa na Allah hakuna wa kumuongoza
@aggreyomusikoyo8 ай бұрын
❤❤❤❤ nashukuru kwa mafundisho yako
@Tianwang1238 ай бұрын
Upo vizuri
@MathewNathan-yb2bz8 ай бұрын
Hongera sana kwa ujumbe mzuri bila shaka walimwengu wamesikia kuwa eneo lile ni Taifa teule la Mungu alilowapa wana wa Israel.
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
si waliikataa neema wakalaaniwa kwani ukipewa utajiri halafu ukavuuka mipaka ukafilisiwa utakuwa bado ni tajiri au ilikuwa tu hamuelewi munachoelezwa
@heliudjulias77488 ай бұрын
Asante nabii eliyasa nakupata vizuri sana unaijua kurahan hadi biblia na histiria ya utume na unabii
@KhadijaKipua-dw7yz8 ай бұрын
Waislam tumrudieni Allah mwisho wa dunia umefika tukae tayari sasa
@MichaelMathew-ke6bi8 ай бұрын
Uko sawa kabisa. Umesema kweli kabisaaa. Labda niseme tu Mungu akubariki sana ndugu. Endelea kusema kweli.
@sokakilumbi9293
8 ай бұрын
MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!! 👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze. na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa. ... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!! na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini ➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇 1 Wakorintho 11:3 Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. ➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇 Mwanzo 32:24 Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri. ➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu. ... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu). 👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo. soma👇 Matendo ya Mitume 22:28 ... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa. Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu. ...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina). kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa. Uislamu unapiga vita * ushoga(ndoa za jinsiamoja) * kubadili jinsia * midoli ya kufanyia mapenzi * kamari * riba * pombe * Uzinifu * mitandao ya picha za utupu ... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)
@user-je2cr9su8q8 ай бұрын
Nyie hangaikeni mwisho wa siku anayehukumu ni YESU kristo
@benignajosephwatendewao2065
8 ай бұрын
HAPO NDIPO WATAELEWA UKRISTO NI NINI.
@beyondsavanna60288 ай бұрын
Nuru ya yesu inaonekana kwenye uso wako
@vinny.morales
8 ай бұрын
Ataokoka siku si nyingi
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
ukweli tunaujua waliinuliwa na wakalaaniwa kwa kupinga kila kitu na amri za mungu halafu kafiri kumbe kweli hana uwelewa ivi unajua juja wa maajuja tafuta mtu akueleweshe ukiijua utalia
@martinmkoba3618 ай бұрын
Ndio maana waislamu wenzio wanakuchukia kwaajili yakutoboa siri mashekh hawasemi ukweli wao kazi ya kupotosha tu😢😢
@aziziatumanially424
8 ай бұрын
Pengine nao wanapata some hapo pengine hawajui maana wanakimbiliaga kutoa kauri
@salehkhamis9994
8 ай бұрын
Huyu sio muislam ndio maana tumemkataa alishatoka uislam huyu ni kafiri kama ww
@meisanmariah89938 ай бұрын
Amen Umebarikiwa Sana Baba 🙏
@KhadijaKipua-dw7yz8 ай бұрын
Mashallah
@user-eu7wc4yv3p8 ай бұрын
Aamina
@AdnanMbaehmahmoud8 ай бұрын
Jamaa halina nuru maskini! Allah akuongoze
@annasolomon9855
8 ай бұрын
Mtu akiongea tu ukweli ni kosa kwa Waislamu 😅
@seiflugendo71418 ай бұрын
Ahsante ustadh.
@user-uv8lo5jo3s8 ай бұрын
Leo nimekuelewa nimekuskiza niishie kusema mungu ni mjuzi zaidi
@YohanaJoshua-g3p9 күн бұрын
Muhammad alikuwa hanithi
@wellahsuleiman78818 ай бұрын
MASHALLAH
@mjaaliakhalfan90308 ай бұрын
Allah "Na tumewahukumia Wana wa Israil ktk kitabu yavkwamba watafanya uharibifu mara mbili n watapanda kibur kikubwa" Quran Suratu Israa
@odhiaodhia98988 ай бұрын
Nakuelewa nabii Eliya
@Juniorjacob-le1rr8 ай бұрын
Shindwa pepo
@devotakamala98628 ай бұрын
Mungu akubariki ukweli mchungu
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
mungeelewa musingeshangiria makafiri bwanaa
@merrymerry51998 ай бұрын
Yes waelese.. Hawa watu wenye wanapiga BIBLE
@ahmedzahor2975
8 ай бұрын
Hakuna kitabu Cha Mungu kinaitwa biblia Vitabu ni Taurati Zaburi Injili na Quran
@annasolomon9855
8 ай бұрын
@@ahmedzahor2975wew ndio unalijua Hilo na ubaki na msimamo wako lakini pia usitake watu kusimama upande wako Bali na hao wengine wanamafundisho Yao uelewe hivyo😅😅
@Filleduvillage99998 ай бұрын
Pole kwa kuwapoteza wenzako. Kama hauna elimu bora uliza wanao juwa zaidi yako.Unayo yasema ni upotofu mtupu. Usifasiri maneno ya ALLAH unavyo taka mwenyewe.
@chalokalunde94298 ай бұрын
Huwa mm ni mmoja wa wanao kupinga mara nyingi,lakini Leo kidogo umefuata maandiko matakatifu.
@jamesraphaelmdima47298 ай бұрын
Maandiko yanasema siku za mwisho Bwana Mungu aseme atawakumbuka na kuwarudia.
@allenshetuli91008 ай бұрын
Apo sawa shekh
@Chris-in1vc8 ай бұрын
Na kweli, Mimi nasema asilimia 100 ya manabii wametokana na Israeli kwa mujibu wa Quran ( Koran) . Ukisoma kwa makini au peruzi au google Quran 29:27 Iko wazi kabisa kua kwa kiuno Cha isaka pekee ndipo wanatoka manabii na ufunuo ( revelation auaandiko matakatifu), hata Ishmael hapo Allah kamtoa, ingawa ni mtoto safi mbele yake.ina maana Yakobo ndie aliyekamilisha ahadi ya Mungu na baraka za Mungu katika dunia hii. Hii ni kwa mujibu wa biblia na korani.
Nakukubali unasema na kufundlsha ukweli mtupu ardhi ya Israel...
@janeobure30068 ай бұрын
Mimi nilijua tu huyu siyo mkiristo ni mwislamu.
@user-fu7mw3jo6r
8 ай бұрын
Huyu ni mkristo sio muislam
@user-fi1mj1rh5s8 ай бұрын
Walianzisha vita wakidhani jamii zao zita ishi wapi?na bado wasubili wataona mavumbi
@nicksonlyimo1562
8 ай бұрын
Kawaida ya hii jamii wakianzisha mambo yakiwalemea utasikia oo tunaonewa oo tunauwawa oo tuna dhulumiwa,oo makafiri wabaya ,Sasa usie kafiri we SI una haki ? Mwombe Mungu wako awaangamize makafiri , mtu anajiona mcha Mungu halafu Mungu mwenyewe hamsaidii amenyamaza kimya ,mwenye haki Daima hata akionewa anashinda ,sio Kila siku nenda rudi tunaonewa , Kuna haja ya kumtafuta Mungu wa kweli anae watetea watu kwa dhahiri tuache story hadithi za kizee.
@BalekechKarafura-yj9qf8 ай бұрын
From congo 🇨🇩🇨🇩nakupata kabisa.tatizo watu weusi awana muelekeo katika ulimwengu utakuta mutu anashabikia uislam ao ukristo bika kujua chimbuko n'a mila na desturi n'a sili ya watu wamashariki yakati, njomana unaona ata maendeleo barani afrika aipo
@mbarakaubuguyu7448
8 ай бұрын
Poleni congo kwa vita tz tunamiombea
@JumahAShabani8 ай бұрын
Fact
@user-je2cr9su8q8 ай бұрын
Kafiri ni mtu yoyote asiyemkubali YESU kristo
@annasolomon9855
8 ай бұрын
Upo sahihi😅
@user-rg5sg1xz8p8 ай бұрын
Wana jua ilo sema wabishi tiu
@charlesboniphace22498 ай бұрын
Waislamu Kila CK huwa mnapanga kulifuta taifa la Israel Ila Mungu alishaandika zamani sana zaburi 83:1-7, Hapo wametajwa Waishmaeli na mataifa yote ya uarabu lkn Mungu atmesema atawaangamiza na Israel itabaki salama Ezekiel 39:25-29
@shady-on4jx
8 ай бұрын
It will go down ilishabarikiwa wakakaidi,wakabarikiwa tena wakakaidi hivo watakua kwenye hasira ya mungu na watapigwa siku moja tho bado muda huo...haiwez kubak salama
@JdTarzan7 ай бұрын
❤
@mabadamabada86318 ай бұрын
Mtumishi nakuelewa sana, Piga naya kikristo pia video.
@user-yw3hz5df6w
8 ай бұрын
Pia ni nafikiri ivyo na wakristo wa kweli wakati huu inakuje
@ziakaitala22218 ай бұрын
Nimekuelewa sana
@lizzybrownlizzy60944 ай бұрын
Wee hujui kitu
@mosessimkonda68948 ай бұрын
Hogera sana mkuu
@husseinibrahim54388 ай бұрын
JAZAKA ALLAH KHAIR SHEIKH MA SHA ALLAH NICE LECTURE BUT THE THE BACK GROUND IS VERY NOISY .
@mwingwasolozi86518 ай бұрын
Palestina hawaondoki ila patakuwa na two states solution.
@robertsazi64868 ай бұрын
Waislam hii mnaifuatilia au bado mmelala Masjid
@hilalkhalfan1452
8 ай бұрын
Ungejiuliza weye, aya iliposema, ARDHI ITARITHIWA, SUALI 1, WAPI IMETAJWA KUWA ARDHI ILIOKUSUDIWA HAPO NI PALESTINA AU MASJID AQSWA? 2) NI WAPI PAMETAJWA KUWA WAJA WEMA NI IZIRAILI WATARITHI ARDHI? ☝️kwahio uo ni ujanja wa upotoshaji wa nabii feki. Utakuta hata nabii Musa as (moses) ALIRITHI ARDHI YA FIRAUNI. NA MANABII WENGI WAMEANDIKWA BAADA YA KUANGAMIZWA WATU WAO WACHAFU. HIO HAIONGELEWI KABISAA KUHUSU KUPIGANA VITA WATU WAKAUWA WENZAO ILI WAKAE WAO. HIO HAKUNA KIANA USIIDANGANYE NA NABIY FEKI. UNGEJIULIZA KWANZA, HUYU ELIYA KAPEWA UNABII NA NANI NA LINI NA UPI USHAHIDI WAKE?, KINACHONISHANFAZA KWENU WAKIRISTO NI KUJIFANYA MAZUZU YAANI MTU AKIJIITA NABIY TU MAJAA TELE😂, MMESAHAU KUWA YESU ALISEMA NABIY ATAKUJA MMOJA TU (UFUNUO JUU YA ARABUNI), NA WENGINE NI MANABII WA UONGO
@salehkhamis99948 ай бұрын
Nabii wa michongo
@user-de6le3tu2d8 ай бұрын
Ukweli mtupu sheh
@yohana12428 ай бұрын
Shekh umeleweka
@yohanasemwenda79198 ай бұрын
Nimekuelewa haya mambo mazinge anayajua ? Muweke kwenye wanafunzi wako nakukubali sana
@alfredmnazareth8987 ай бұрын
Ivi kweli we mkristu ao muislam
@user-cw3vu8mu3k8 ай бұрын
Ndugu napenda maneno yako japo si kila kitu
@neemamajana30788 ай бұрын
Waislam walilaaaniwa na nan?
@wiza23098 ай бұрын
Leo umejipambanua vizuri, Yesu unamkiri kuwa atakuja kuhukumu, badala ya kuwaambia ukweli ndugu zako kumkiri Yesu na kumpokea maana unajua atakuja kuhukumu, wewe unawaambia wakimbie wakajipange na vita.... sidhani kama uko sahihi
@WAKRISTOKANISALAMUNGU8 ай бұрын
Leo angalau
@ibrahimjuma97098 ай бұрын
Ata waislael walikuwa na sura mbili kwa Mwenyezi mungu wanataka nauku kwa shetani wanataka ndiyo sababu ya kulaniwa ata wewe usipo kuwa na msimamo wayakini utapata hasara juu wanafiki tu ndiyo wanasura mbili 😢😢pole sana
@annasolomon9855
8 ай бұрын
Haya maneno hajayatunga Bali anaongea kupitia Quran na anasoma kabisa 😅
@ibrahimjuma9709
8 ай бұрын
@@annasolomon9855 hana yakini moyoni ajielewi yuko wapi na anapunguza tafadhari za maneno tambua si bina damu tuko makundi 4.( muminuna Islam). (wanafiki) (mushikuna) (kafiri mwenye kupinga)
@mjaaliakhalfan9030
8 ай бұрын
Hata hiyo Quran haijui,n huyu c muislamu ameekti tu n kanzu hiyo n kofia,muislamu wa kweli popote anajulikana,wenye akili ndio wanaozingatia,huyu anapotosha tu
@mrafm72858 ай бұрын
Mbona walikakataa kwenda kupigana na ndio mungu akawalaani
@azizimasenga38938 ай бұрын
Tangulia sasa!!.,Eti muislaamu!!!.
@user-fu7mw3jo6r
8 ай бұрын
Ndo nashangaa
@shady-on4jx
8 ай бұрын
Nlijua nashangaa pekeangu kama imeandikwa itaenda kama ilivopangwa
@imranjuma11978 ай бұрын
Ukweli ndio huu🙌
@bmtv1118 ай бұрын
Shekhe nimeogopa😢
@AW-vt9pw8 ай бұрын
Huyu anaonekana kaacha ukiristo kaingia Ushia
@paschalcosmas60938 ай бұрын
Ikiwa wayahudi walifukuzwa Kwa kosa la kutomwamini Yesu Kristo, je waislamu wanamwani Yesu Kristo kuw ni Mwana wa Mungu na ndiye aliye mkombozi wa ulimwengu?..Amosi 9:14-15" Nami nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa, nao wataijenga miji iliyoachwa maganjo, nao watapanda mizabibu ktk mashamba na kunywa divai yake. Nao watafanyiza bustani na kula matunda yake, nami nitawapanda ktk nchi yao, nao hawatang'olewa tena watoke ktk nchi yao niliyowapa, asema Bwana Mungu wako"......Ikiwa Mungu mwenyewe ameahidi kuwa waisraeli wakiirejea tena nchi Yao hakuna mtu atakayewang'oa, kwann wewe unahalamisha uwepo wao pale kwenye nchi Yao, tena Kwa kutumia kitabu ambacho kinapinga ukweli wa ahadi ya milele ya Mungu na kuwapa haki waislamu wakati wao pia wanampinga Yesu Kristo tena Kwa kumtukana waz waz?
@presenterkabuma16468 ай бұрын
Acha usenge kuma weee
@rosekemunto22568 ай бұрын
Sijasikia Islam msema kweli kama huyu.ni sawa sawa na unabii wa bibilia, Thank you for speaking the truth, Yeshua is coming again as a King,and Israel will confess that indeed was the son of God.
@hassanbakari45258 ай бұрын
UMERUDI
@clarencehilary55888 ай бұрын
Qruan ni rugha ya mearabu sio kitabu cha mungu
@vinny.morales
8 ай бұрын
Sahihi. Ni neno la Allah kwa Waarabu sio Wamakonde
@FRANKJOSEPH-ui1if8 ай бұрын
Mungu yuko na wewe msema kweli
@mbarakaubuguyu7448
8 ай бұрын
pia maana ya jina lako kikamusi frank-ni msema kweli
@charlesnassary66898 ай бұрын
Kama kweli
@UzalendoNaUtu8 ай бұрын
Ahahah sema Shekhe upo Nondo sana 😂😂
@ObeidAbdalla8 ай бұрын
Uyu Muislam au mkristo
@mustaphahassan589
8 ай бұрын
Huyu mkristo
@mustaphahassan5898 ай бұрын
We mbwa
@mangashajunior2428 ай бұрын
Waambie ukweli wengi hawajui...
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
😂😂makafiri hamuna uwelewa
@bmtv1118 ай бұрын
Allah akirudishe zaidi Mashallah😢 mana umebarikiwa sana elimu
Пікірлер: 579
Kama wewe ni Mkristo like button hiii❤❤❤
@seiflugendo7141
8 ай бұрын
Sijui umemuelewa huyu sheikh au umekurupuka.
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
umeelewa au
@hassanmkangwa2062
8 ай бұрын
Sasa wewe unayesema kama wewe ni Mkiristo weka alama ya kopa ❤. Unafikiri ISRAEL inautambua Ukiristo. Subiri sisi waislamu watatuuwa tutakwisha, unafikiri kina nani watafuata ?
@seiflugendo7141
8 ай бұрын
@@hassanmkangwa2062 Hao Hawajitambui wanadhani eti mayahudi ni wakristo wenzao🤣🤣🤣🤣.
@HamisiR
4 ай бұрын
Akili huna wewe
Naupenda UKRISTU kwa moyo wangu wote.Asantee Bwana Yesu sofa kwako❤❤❤
@karemera_jr6371
8 ай бұрын
Uyaudi sio Ukristo
@sokakilumbi9293
8 ай бұрын
MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!! 👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze. na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa. ... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!! na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini ➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇 1 Wakorintho 11:3 Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. ➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇 Mwanzo 32:24 Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri. ➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu. ... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu). 👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo. soma👇 Matendo ya Mitume 22:28 ... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa. Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu. ...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina). kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa. Uislamu unapiga vita * ushoga(ndoa za jinsiamoja) * kubadili jinsia * midoli ya kufanyia mapenzi * kamari * riba * pombe * Uzinifu * mitandao ya picha za utupu ... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)
@seiflugendo7141
8 ай бұрын
@@karemera_jr6371 Hawa wakristu washamezeshwa ujinga.
@martinisadru9899
8 ай бұрын
@@karemera_jr6371wayahudi wapo wengine wakristo, na wengine waislamu wapo, mfano,,, nabii daudi alikua mkristo kabisa, na mtoto wake sulemani alikua muislamu. Hii inatokana na maamuzi ya mtu mwenyewe na vile MUNGU alivopanga.
@martinisadru9899
8 ай бұрын
@@karemera_jr6371wayahudi wapo wengine wakristo, na wengine waislamu wapo, mfano,,, nabii daudi alikua mkristo kabisa, na mtoto wake sulemani alikua muislamu. Hii inatokana na maamuzi ya mtu mwenyewe na vile MUNGU alivopanga.
❤❤❤❤❤❤❤karibu kwa Yesu kriso shehe akupe maisha ya ukweli daima
@seiflugendo7141
8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣sijui kama unajielewa kweli maana unacoment bilahata kuelewa maelezo uliopewa.
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
bibilia inasema aliyelala katika kiristo amepotea au huoni maandiko sasa kwa nini aje kupotea
Mtumishi nakuelewa Sana Mungu akubariki usichoke kutufundisha sisi wanafunz wako.
Leo ni mara yangu ya kwanza kusikiliza mahubiri ya kiislamu...huwa tu naskia Allahuakbar
@khalidabas252
8 ай бұрын
Hhhh pole sana. Hayo sio mahubiri ya kuislamu. Huyo ni pasta isaya uislamu ni yeye wapi na wapi?
Mungu wangu hii ni ile ya Balamu na balaki mpanka punda kusema hooo haleluya kila goti litapigwa Mungu lbariki lsrael Mungu lbariki Tanzania Amina
@saphinalutaha9077
8 ай бұрын
😂😂😂maskin elim ni bora mgeelewa Mana ya ajuja wama ajuja msgesema haleluya 😂😂😂daaaa polen
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
@@saphinalutaha9077hawana akili weshapotezwa
From Kenya.... nakusikiza rabbi .....tufunze Mwalimu mwema
Subhanallah Huna lolote unalolijua Subhanallah
@UzalendoNaUtu
8 ай бұрын
Mwenzio anaongea kwa hoja na anataja maandiko
Sema kweli tupu na Mungu Akubariki
Nimekuelewa sana kwakua nilishajifunza vitabu vya unabii Hakika Yesu anarudi eeeeMungu utusamehe na maovu yetu😢😢
Mungu akuinue kwa elimu hii , nafuatilia darasa zako ni ukweli mtupu❤❤
Jazakallah khayr,Allah akuongoze na sote kwa ujumla
Mungu Akuongoze ❤🙏
People of Israel and Palestine they will not have peace until both kumkubali YESU kwamba ndie Masihi
@shenjamamzingi7950
8 ай бұрын
it sound great but no evidence
Mimi niko kigali lakini mwanzo wa unaabii wako feki umetuchanganya lakini leo kama umeurudiya u islamu upya na kuyasadiki ariyokuja nayo khatamu al'ambiya a wal mur'saliina nabi Muhamad صل الله عليه وسلم Naomba ALLAH atuhidi kwenye njia yake iliyotoka.Amiina
@annasolomon9855
8 ай бұрын
Muongo wew huyu shehe anaongozwa na Quran 😅
Mambo yote yatapita lakini Neno litasimama
Waa'laykum ssalam wa rahma tullah wa barakatuh!!
{فبما نقضهم ميثاقهم لعناهم وجعلنا قلوبهم قاسية يحرفون الكلم عن مواضعه ونسوا حضا مما ذكروا به ولا تزال تطلع على خآئنة منهم إلا قليلا منهم فاعف عنهم واصفح إن الله يحب المحسنين}
Aliwahi kusema Yesu.wakinyamaza hawa,mawe yatashangilia. Kuna wakati Mungu anainua watu tusiowatarajia,kufanya mambo tunayotarajia
@joashwambua9988
8 ай бұрын
Kweli kabisa
Salaam,kumbe msema kweli yupo,tena with evidence,shukrani sana,lah ingeruhusiwa kufundiswa tuwaache kudanganya Asante sana mtumishi,tuombe yaishe,Palestine wateseka sana wale viumbe wa Mungu
Huwa nakufuatilia sana masomo yako. Kwa sehemu kubwa umenena sawa ISIPOKUWA kuhusu kurejeshwa Wana wa Israel kwenye ardhi yao SIYO suala la Quran, bali ni la Mungu mwenyewe ALIWAAMURU kurudi Kwa kuwapa ardhi ambayo HAKUNA MTU DUNIANI atawanyanganya kamwe. Soma AMOSI 9:15 ipo wazi na ni kabla ya kuibuka Kwa huyo kiongozi wa dini ya waarabu (Islam) miaka lukuki huko nyuma.
Asante kwa somo nzuri Nakuelewa sana.
@FeisalDoctor
8 ай бұрын
Lazma umuelew kafir mwenzak
Nampenda saana,huyu Shehe, Huwa anaongea UKWELI ambao upo katika Quran,unaofichwa,yeye huufunua Tena Kwa aya.
@ahmedzahor2975
8 ай бұрын
Aya gani alotoka katika Quruan huyu km wewe hajui Quruan na huyu ni Mwenzenu
@annasolomon9855
8 ай бұрын
@@ahmedzahor2975Quran ameitunga yeye? Au hapo antumia Bible ! Waislamu mnashida Sana nyie Magaidi 😅😅😅
@preciouslissahparis1352
8 ай бұрын
@@ahmedzahor2975 wewe ndio hujui ndio maana hujaona aya alizosoma.
Aliyeongozwa na Allah hakuna wakumpoteza, na Aliyepotezwa na Allah hakuna wa kumuongoza
❤❤❤❤ nashukuru kwa mafundisho yako
Upo vizuri
Hongera sana kwa ujumbe mzuri bila shaka walimwengu wamesikia kuwa eneo lile ni Taifa teule la Mungu alilowapa wana wa Israel.
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
si waliikataa neema wakalaaniwa kwani ukipewa utajiri halafu ukavuuka mipaka ukafilisiwa utakuwa bado ni tajiri au ilikuwa tu hamuelewi munachoelezwa
Asante nabii eliyasa nakupata vizuri sana unaijua kurahan hadi biblia na histiria ya utume na unabii
Waislam tumrudieni Allah mwisho wa dunia umefika tukae tayari sasa
Uko sawa kabisa. Umesema kweli kabisaaa. Labda niseme tu Mungu akubariki sana ndugu. Endelea kusema kweli.
@sokakilumbi9293
8 ай бұрын
MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!! 👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze. na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa. ... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!! na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini ➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇 1 Wakorintho 11:3 Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. ➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇 Mwanzo 32:24 Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri. ➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu. ... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu). 👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo. soma👇 Matendo ya Mitume 22:28 ... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa. Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu. ...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina). kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa. Uislamu unapiga vita * ushoga(ndoa za jinsiamoja) * kubadili jinsia * midoli ya kufanyia mapenzi * kamari * riba * pombe * Uzinifu * mitandao ya picha za utupu ... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)
Nyie hangaikeni mwisho wa siku anayehukumu ni YESU kristo
@benignajosephwatendewao2065
8 ай бұрын
HAPO NDIPO WATAELEWA UKRISTO NI NINI.
Nuru ya yesu inaonekana kwenye uso wako
@vinny.morales
8 ай бұрын
Ataokoka siku si nyingi
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
ukweli tunaujua waliinuliwa na wakalaaniwa kwa kupinga kila kitu na amri za mungu halafu kafiri kumbe kweli hana uwelewa ivi unajua juja wa maajuja tafuta mtu akueleweshe ukiijua utalia
Ndio maana waislamu wenzio wanakuchukia kwaajili yakutoboa siri mashekh hawasemi ukweli wao kazi ya kupotosha tu😢😢
@aziziatumanially424
8 ай бұрын
Pengine nao wanapata some hapo pengine hawajui maana wanakimbiliaga kutoa kauri
@salehkhamis9994
8 ай бұрын
Huyu sio muislam ndio maana tumemkataa alishatoka uislam huyu ni kafiri kama ww
Amen Umebarikiwa Sana Baba 🙏
Mashallah
Aamina
Jamaa halina nuru maskini! Allah akuongoze
@annasolomon9855
8 ай бұрын
Mtu akiongea tu ukweli ni kosa kwa Waislamu 😅
Ahsante ustadh.
Leo nimekuelewa nimekuskiza niishie kusema mungu ni mjuzi zaidi
Muhammad alikuwa hanithi
MASHALLAH
Allah "Na tumewahukumia Wana wa Israil ktk kitabu yavkwamba watafanya uharibifu mara mbili n watapanda kibur kikubwa" Quran Suratu Israa
Nakuelewa nabii Eliya
Shindwa pepo
Mungu akubariki ukweli mchungu
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
mungeelewa musingeshangiria makafiri bwanaa
Yes waelese.. Hawa watu wenye wanapiga BIBLE
@ahmedzahor2975
8 ай бұрын
Hakuna kitabu Cha Mungu kinaitwa biblia Vitabu ni Taurati Zaburi Injili na Quran
@annasolomon9855
8 ай бұрын
@@ahmedzahor2975wew ndio unalijua Hilo na ubaki na msimamo wako lakini pia usitake watu kusimama upande wako Bali na hao wengine wanamafundisho Yao uelewe hivyo😅😅
Pole kwa kuwapoteza wenzako. Kama hauna elimu bora uliza wanao juwa zaidi yako.Unayo yasema ni upotofu mtupu. Usifasiri maneno ya ALLAH unavyo taka mwenyewe.
Huwa mm ni mmoja wa wanao kupinga mara nyingi,lakini Leo kidogo umefuata maandiko matakatifu.
Maandiko yanasema siku za mwisho Bwana Mungu aseme atawakumbuka na kuwarudia.
Apo sawa shekh
Na kweli, Mimi nasema asilimia 100 ya manabii wametokana na Israeli kwa mujibu wa Quran ( Koran) . Ukisoma kwa makini au peruzi au google Quran 29:27 Iko wazi kabisa kua kwa kiuno Cha isaka pekee ndipo wanatoka manabii na ufunuo ( revelation auaandiko matakatifu), hata Ishmael hapo Allah kamtoa, ingawa ni mtoto safi mbele yake.ina maana Yakobo ndie aliyekamilisha ahadi ya Mungu na baraka za Mungu katika dunia hii. Hii ni kwa mujibu wa biblia na korani.
Tillmaaidaah
Waambie hao ambao hawajui😊
Sina Cha kuandika,
Nakuelewa
Nibora waondoke kweli lkn nani atawafikishia ujumbe
@veronicanestory1662
8 ай бұрын
Dah inauma saana, Natamani wajue ukwel
Dhambi ya kibri ni sawa na shirk
Nakukubali unasema na kufundlsha ukweli mtupu ardhi ya Israel...
Mimi nilijua tu huyu siyo mkiristo ni mwislamu.
@user-fu7mw3jo6r
8 ай бұрын
Huyu ni mkristo sio muislam
Walianzisha vita wakidhani jamii zao zita ishi wapi?na bado wasubili wataona mavumbi
@nicksonlyimo1562
8 ай бұрын
Kawaida ya hii jamii wakianzisha mambo yakiwalemea utasikia oo tunaonewa oo tunauwawa oo tuna dhulumiwa,oo makafiri wabaya ,Sasa usie kafiri we SI una haki ? Mwombe Mungu wako awaangamize makafiri , mtu anajiona mcha Mungu halafu Mungu mwenyewe hamsaidii amenyamaza kimya ,mwenye haki Daima hata akionewa anashinda ,sio Kila siku nenda rudi tunaonewa , Kuna haja ya kumtafuta Mungu wa kweli anae watetea watu kwa dhahiri tuache story hadithi za kizee.
From congo 🇨🇩🇨🇩nakupata kabisa.tatizo watu weusi awana muelekeo katika ulimwengu utakuta mutu anashabikia uislam ao ukristo bika kujua chimbuko n'a mila na desturi n'a sili ya watu wamashariki yakati, njomana unaona ata maendeleo barani afrika aipo
@mbarakaubuguyu7448
8 ай бұрын
Poleni congo kwa vita tz tunamiombea
Fact
Kafiri ni mtu yoyote asiyemkubali YESU kristo
@annasolomon9855
8 ай бұрын
Upo sahihi😅
Wana jua ilo sema wabishi tiu
Waislamu Kila CK huwa mnapanga kulifuta taifa la Israel Ila Mungu alishaandika zamani sana zaburi 83:1-7, Hapo wametajwa Waishmaeli na mataifa yote ya uarabu lkn Mungu atmesema atawaangamiza na Israel itabaki salama Ezekiel 39:25-29
@shady-on4jx
8 ай бұрын
It will go down ilishabarikiwa wakakaidi,wakabarikiwa tena wakakaidi hivo watakua kwenye hasira ya mungu na watapigwa siku moja tho bado muda huo...haiwez kubak salama
❤
Mtumishi nakuelewa sana, Piga naya kikristo pia video.
@user-yw3hz5df6w
8 ай бұрын
Pia ni nafikiri ivyo na wakristo wa kweli wakati huu inakuje
Nimekuelewa sana
Wee hujui kitu
Hogera sana mkuu
JAZAKA ALLAH KHAIR SHEIKH MA SHA ALLAH NICE LECTURE BUT THE THE BACK GROUND IS VERY NOISY .
Palestina hawaondoki ila patakuwa na two states solution.
Waislam hii mnaifuatilia au bado mmelala Masjid
@hilalkhalfan1452
8 ай бұрын
Ungejiuliza weye, aya iliposema, ARDHI ITARITHIWA, SUALI 1, WAPI IMETAJWA KUWA ARDHI ILIOKUSUDIWA HAPO NI PALESTINA AU MASJID AQSWA? 2) NI WAPI PAMETAJWA KUWA WAJA WEMA NI IZIRAILI WATARITHI ARDHI? ☝️kwahio uo ni ujanja wa upotoshaji wa nabii feki. Utakuta hata nabii Musa as (moses) ALIRITHI ARDHI YA FIRAUNI. NA MANABII WENGI WAMEANDIKWA BAADA YA KUANGAMIZWA WATU WAO WACHAFU. HIO HAIONGELEWI KABISAA KUHUSU KUPIGANA VITA WATU WAKAUWA WENZAO ILI WAKAE WAO. HIO HAKUNA KIANA USIIDANGANYE NA NABIY FEKI. UNGEJIULIZA KWANZA, HUYU ELIYA KAPEWA UNABII NA NANI NA LINI NA UPI USHAHIDI WAKE?, KINACHONISHANFAZA KWENU WAKIRISTO NI KUJIFANYA MAZUZU YAANI MTU AKIJIITA NABIY TU MAJAA TELE😂, MMESAHAU KUWA YESU ALISEMA NABIY ATAKUJA MMOJA TU (UFUNUO JUU YA ARABUNI), NA WENGINE NI MANABII WA UONGO
Nabii wa michongo
Ukweli mtupu sheh
Shekh umeleweka
Nimekuelewa haya mambo mazinge anayajua ? Muweke kwenye wanafunzi wako nakukubali sana
Ivi kweli we mkristu ao muislam
Ndugu napenda maneno yako japo si kila kitu
Waislam walilaaaniwa na nan?
Leo umejipambanua vizuri, Yesu unamkiri kuwa atakuja kuhukumu, badala ya kuwaambia ukweli ndugu zako kumkiri Yesu na kumpokea maana unajua atakuja kuhukumu, wewe unawaambia wakimbie wakajipange na vita.... sidhani kama uko sahihi
Leo angalau
Ata waislael walikuwa na sura mbili kwa Mwenyezi mungu wanataka nauku kwa shetani wanataka ndiyo sababu ya kulaniwa ata wewe usipo kuwa na msimamo wayakini utapata hasara juu wanafiki tu ndiyo wanasura mbili 😢😢pole sana
@annasolomon9855
8 ай бұрын
Haya maneno hajayatunga Bali anaongea kupitia Quran na anasoma kabisa 😅
@ibrahimjuma9709
8 ай бұрын
@@annasolomon9855 hana yakini moyoni ajielewi yuko wapi na anapunguza tafadhari za maneno tambua si bina damu tuko makundi 4.( muminuna Islam). (wanafiki) (mushikuna) (kafiri mwenye kupinga)
@mjaaliakhalfan9030
8 ай бұрын
Hata hiyo Quran haijui,n huyu c muislamu ameekti tu n kanzu hiyo n kofia,muislamu wa kweli popote anajulikana,wenye akili ndio wanaozingatia,huyu anapotosha tu
Mbona walikakataa kwenda kupigana na ndio mungu akawalaani
Tangulia sasa!!.,Eti muislaamu!!!.
@user-fu7mw3jo6r
8 ай бұрын
Ndo nashangaa
@shady-on4jx
8 ай бұрын
Nlijua nashangaa pekeangu kama imeandikwa itaenda kama ilivopangwa
Ukweli ndio huu🙌
Shekhe nimeogopa😢
Huyu anaonekana kaacha ukiristo kaingia Ushia
Ikiwa wayahudi walifukuzwa Kwa kosa la kutomwamini Yesu Kristo, je waislamu wanamwani Yesu Kristo kuw ni Mwana wa Mungu na ndiye aliye mkombozi wa ulimwengu?..Amosi 9:14-15" Nami nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa, nao wataijenga miji iliyoachwa maganjo, nao watapanda mizabibu ktk mashamba na kunywa divai yake. Nao watafanyiza bustani na kula matunda yake, nami nitawapanda ktk nchi yao, nao hawatang'olewa tena watoke ktk nchi yao niliyowapa, asema Bwana Mungu wako"......Ikiwa Mungu mwenyewe ameahidi kuwa waisraeli wakiirejea tena nchi Yao hakuna mtu atakayewang'oa, kwann wewe unahalamisha uwepo wao pale kwenye nchi Yao, tena Kwa kutumia kitabu ambacho kinapinga ukweli wa ahadi ya milele ya Mungu na kuwapa haki waislamu wakati wao pia wanampinga Yesu Kristo tena Kwa kumtukana waz waz?
Acha usenge kuma weee
Sijasikia Islam msema kweli kama huyu.ni sawa sawa na unabii wa bibilia, Thank you for speaking the truth, Yeshua is coming again as a King,and Israel will confess that indeed was the son of God.
UMERUDI
Qruan ni rugha ya mearabu sio kitabu cha mungu
@vinny.morales
8 ай бұрын
Sahihi. Ni neno la Allah kwa Waarabu sio Wamakonde
Mungu yuko na wewe msema kweli
@mbarakaubuguyu7448
8 ай бұрын
pia maana ya jina lako kikamusi frank-ni msema kweli
Kama kweli
Ahahah sema Shekhe upo Nondo sana 😂😂
Uyu Muislam au mkristo
@mustaphahassan589
8 ай бұрын
Huyu mkristo
We mbwa
Waambie ukweli wengi hawajui...
@sabihaibrahim143
8 ай бұрын
😂😂makafiri hamuna uwelewa
Allah akirudishe zaidi Mashallah😢 mana umebarikiwa sana elimu
@khaalidcheo5383
8 ай бұрын
Kwa erimu gani apo anayokufundisha?
@annasolomon9855
8 ай бұрын
@@khaalidcheo5383Sasa pole kama hujaelewa 😅