ANGALIA Muhammad Bachu AKIJIBU MASWALI KITAALAMU||HUWEZI KUAMINI.
Жүктеу.....
Пікірлер: 280
@maulidmussa89692 жыл бұрын
allah akulipe khery sheikh bachu, inshallah
@abdallahmwakasege5405 Жыл бұрын
Huyu sheikh, naweza pata mawazisiano nae. Amenyooka sana mashallah. Nampenda kwa ajili ya dini
@jkifutu7936
8 ай бұрын
Number zake nenda mbagala uta zipata
@ibrahimabdul82572 жыл бұрын
Wallaah ndugu zangu hizi ni zamaa mbaya sanaa Turudini kwa Allaah na tulazmiane na njia ya salaf katika Aqiyda, katka ibada mbalimbali, na muamalat mbalimbali...Allaah asiwakithirishè hawa kina muhammad bacho...
@djumapiliamina11399 ай бұрын
Barakallahu fikh sheikh Muhammed bachu
@abeliever68232 жыл бұрын
Ndugu yangu mwislamu. Ningependa ungelekea kwa njiya za kunufaisha binadamu na waislamu. Sisi waislamu tuna matatizo mengi sana. Siku zetu duniyani Ni chache. Kesho or baada ya wakati mfupi tutasafiri. Mola amekupa gift ya kuzungumza. MaashaaAllah. Wacha kupoteza wakati wako kwa firaq, Makundi na groups. Sote sisi Ni waislamu. Namuomba Mola akupe elimu yenye baraka
@saidissa8273
Жыл бұрын
Huna HOJA.hivi si ndio kufundisha au afundishe unayoyataka
@nassorkhamis6233
7 ай бұрын
Dawa yako ni mfumo wa kiyahudi
@abeliever6823
7 ай бұрын
Ndugu. Si sawa kuapizana. Allah akupe na atupe hidaaya
@halimamohamed484211 ай бұрын
Shukran sn Shekh Allah akulipe khri❤
@ahmadzubeir26052 жыл бұрын
Sheikh Mohammad! Nimekusikiliza sanaa na vizuuri,nimekupata.
@kassimajmus20102 жыл бұрын
Sh.Muhammad fanya kazi ukiamini Allah yukopamoja na ww
@mkude Жыл бұрын
ALLAH Akulipe kila LA kheir sheikh mohamed Bachu
@ashahassan1877 Жыл бұрын
Muhamed bachu unafahamika Kaka upo vizurii Sana MashaAllah
@ibrahimramadhan60762 жыл бұрын
جزاك الله خيرا يا اخي
@iddimkulu27912 жыл бұрын
بارك الله فيك
@abbaspaziaog21882 жыл бұрын
MASHA'ALLAH ,Sheykh wetu Muhammad bachu
@user-st9yq7bl5c
11 ай бұрын
Naam
@fabiboy40102 жыл бұрын
Mashallah, @mohammed bachu ww ni sheikh ambae unatumia hekma na elimu kwa kadri allah alivokuwezesha lkn kuna watu wengine wanaendekeza jazba kuliko elimu
@abdulmwakubambanya90912 жыл бұрын
Barakh Allah Khair sheikh
@shafially8792 жыл бұрын
Tabia nzuri ni katika uchamungu, mwenye tabia nzuri kakushinda katika dini!
@user-id1me9ve1o2 жыл бұрын
ماشا ء الله ماشا ء الله أمين يا رب العالمين 🤲ansante sana
@salmaalkyumi60302 жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@midahalomwanga93289 ай бұрын
Mashaallah allahumma barik alaihi
@user-st9yq7bl5c11 ай бұрын
Mashallah al akhy
@abdulhamidbakar24612 жыл бұрын
Subhana llah yaaarab naomba utusamehe mazamb yetu kwasababu wakati mwengne hatujui twazungumza nn maswali yanajibiwa kiushabik na hii haifai ktk dini tunajisahihisha ss wenyewe ameshawaona watu wasufi ni watu wa kuabudia makaburi kwavletu hawapo kwenye aliekuwepo yy kijana punguza kiburi na tuna muomba mwenyezimingu akupe hidaya umeenda mbali sana
@husnamohamed9448
2 жыл бұрын
Wewe ni shabiki wa jamii ya wapigaji raddi kimtazamo
@zanzibarspice8686
2 жыл бұрын
Kajibu kisomi hamna lenu
@MALELEMBARIMO
5 күн бұрын
Taannak
@omarbakaralit10872 жыл бұрын
Allah akulipe kher
@user-gt5hx7cz1d10 ай бұрын
Mashallah 🙏🏿
@abeliever68232 жыл бұрын
Assalaam Alaykum Very sad. Extremely sad. We waste energy on fighting each other. We are filled with arrogance. It is as if we are guaranteed to enter Janna. We look down upon anyone with different views. Subhaanallaah. May Allah guide us. I wish we could use our energy into what benefit our fellow Muslims. Instead of fighting each other. Very sad wallahi.
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
They are not fighting each other, but they debate and from their debate we get Islamic knowledges, so don't worry @A Believer
@selemanmartin
Жыл бұрын
Sisi ni waswahili kiingereza hakina sababu hapa
@omarysalum67542 жыл бұрын
Mashallah Allah akuhifadhi kw kufuata nyayo za baba
@canoksancomprehensivelearn71822 жыл бұрын
Ni kweli hatupaswi kabisa kuhukumiana kwa maneno maana mtu anaweza akasema kitu kwa nia nzur lakin kwa jazba zetu tukapokea kivingine, na kiukweli manhaj ya sunnah waljamaa ndio pekee ya kufuatwa na masuala ya jazba na kukatana na kudhalilishana kwenye mitandao ni mabaya sana na ndio yaloenea sana.
@alves_photo53462 жыл бұрын
Maashallah
@hassanbakar92782 жыл бұрын
Baaraq Allah Sheikh Allah akulipe Ujira Stahili
@sarahhashim62982 жыл бұрын
mungu akulipe heli wambie aho tumekuelewa sana mr yani usiache
@Zanzibar-LandOfBlacks2 жыл бұрын
Nimetatizika kuona uwepo wa ndimi mbili. naomba ufafanuzi. vipi kuhusu maneno ya Shaykh Albusiri aliposema katika shairi lake qaswida burdah aliposema mathalan " sina wa kumkimbilia ispokuwa ww(Nabii Muhammad (s.a.w), wakati wa kutokezea matatizo makubwa" tukisema kwa mfano wa matatizo hayo makubwa ni kule kuhitaji kufanyiwa hisabu siku ya kiyama baada ya kusubiri mda mrefu katika uwanja wa hesabu kama alivyojaribu kutoa maana hiyo sheikh shaarani, basi hatutokuta shirki katika maneno hayo, bilashaka tutakimbilia kuleta maana hiyo kwa kuwa tunamfahamu Albusiri alkuwa ni katika ahlusunna wala hatukuti popote alipoandika maneno ya wazi ya shirki kiasi kwamba tuilazimishe kauli kama hii kuwa ni ya shiriki ifinane na hiyo! nilichokifahamu, ili iletwe maana yenye shirki katika baadhi ya mistari ya shairi la shaykh Al busiri, imma kwa kuulizwa yeye mwenyewe albusuri amekusudia maana gani katika maneno hayo au paletwe ushahidi kwamba aliwahi kusema maneno ya wazi yenye shirki yanayofanana na hayo. Swali. Ikiwa vitakosekana vyote viwili hivyo, ni kwann tunakimbilia kutoa maana yenye shirki katika maneno ya albusiri? N.B: sikuwa nalijua hilo shairi la albusiri mpaka nilpokusikia wwe ukisema kuna shirki ndani yake. nimelipitia, sijakuta isipokuwa mistari yenye utata, ambayo mwenye kutaka maana isiyo na shirki atapata, bali na mwenye kutaka maana yenye shirki atapata. Assalaam alaikum.
@jumakingambe4323
10 ай бұрын
KAMA KUNA USHAHIDI WA HADITHI KAMA SIKU YA QIAMA KUNA WATU WATAMFUATA MTUME AWASAIDIE NA ATAWASAIDIA HILO LITAKUWA SI SHIRKI. ILA KAMA HAKUNA HII NI SHIRKI
@abuudhilqarnayn51802 жыл бұрын
Akh punguza Riyaa, halafu umejawah na kutaka umaarufu na baba ako hakuwa hivo, MCHE ALLAH
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
2 жыл бұрын
Ikiwa mtu anaweza kuiona Riyaa ya mtu basi watu wataiona kwako, maana hii comment yako huenda ni Riyaa😎
@ibrahimpande7052
2 жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Swadaqta Akhy
@sadatlucas4045
2 жыл бұрын
Allah amuongoze huyu jamaa
@abuudhilqarnayn5180
2 жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Una mtihan sana, wewe kiboko yako ni al akh Abul Abbas Muhammad Rashid, NDIE ANAKUTWANGA TWANGA NYUNDO
@abdulkareemseif1892
2 жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. wewe huna isipokua riaa tu ..mm naamini sh bachu ingekuepo engekutwanga makofi kwa upuuxi wako huu
@khadijasaid50652 жыл бұрын
Mashaallah shekhe wetu Muhammad bachu Mungu akuzishiye ilmu zaidi inshaallah kutoka kenya khadija said Nahdi mld
@asifznz2 жыл бұрын
Barak Allahu alayk
@saadmbaraqa52722 жыл бұрын
Duh mtihani
@abuusalafy79562 жыл бұрын
We Ni mgonjwa
@fawaaidzakielimu4858 Жыл бұрын
Usiseme kitaalamu Bali SEMA Kielmu, Hvo
@TawfiqHaji
4 ай бұрын
Kitaalamu na kielimu si ndo hivohivo kaka angu,mbona unamkosoa bure ilhali yuko sawa,taalamu maana kiujuzi ,kiufundi,kielimu zaidi,elimu ndo hivohivo ni neno la kiarabu tuu,usikosowe km hujui na muangalie nani unamkosowa insha,allah.🙏🤫🤫🤐
@saadmbaraqa52722 жыл бұрын
Kwani kuna ulazima wa kuendelea kujadili masaala ya ikhtilafah hamuoni mnaikuza fitnaaa
@neemafatu4712 жыл бұрын
Nimependa wallahi majibu yako
@abuuabdillahsalafimhapa38392 жыл бұрын
huyu kijana kapinda vibaya allah amuongoze
@hadijajumangangua9075
2 жыл бұрын
Niukweli kabisa Yuko vibaya huyu shekhe
@haidaribakari68172 жыл бұрын
Kama nihivyo mbona unawaradi mashekh wenzio wanapo kosea bila kuwauliza makusdio ?
@shekhmansoor54212 жыл бұрын
Ila shekh mimi ninge furahi saana ungekuja huku kwetu kenya kambini Turkana count. Japo kwa siku chache
@godfreywasike16872 жыл бұрын
Ustadh Njoo Kenya Nairobi Kuna baadh ya mitaa Majadida wamejaa
@abuutamliikhaothmaan72442 жыл бұрын
Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu hii tunaomba itengenezwe short clip ili ienee kweny magroup yawasap
@shekhmansoor54212 жыл бұрын
Mimi hatakama iwe nini sisomi kwa jadida yeyote wataniambukiza chuki zao
@thulaniduku3218
2 жыл бұрын
Kweli kabisa akhy Majadih wana chuki sana
@mkude
Жыл бұрын
Kweli kabisa hawana adabu na wanakauli chafu sanaaaa
@azizabakari51372 жыл бұрын
Hakik shekh bachu upo vzr
@abuuqatada97912 жыл бұрын
Ujidanganya nafc kaka wwe wew ni hizb tu
@yussufmimi4464
Жыл бұрын
unauhakika mbona unasema tu
@MALELEMBARIMO
5 күн бұрын
Punguza mihemko
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
Majadida hawana hekma ktika kulingalia Da3wa.
@mohdaliothman174
2 жыл бұрын
Nini maana ya hekima
@mkude
Жыл бұрын
Kweli kabisa hawana hekma wala adabu,wallahi wanakauli chafu sanaaaa.
@kalumboukororo55052 жыл бұрын
Ninachokijua mimi mtume wetu akuwa shia wala sarafi wala suni ninachojua alikua muislamu tu hayo ni mambo yenu tu Allah atujaalie umoja amina nakama kunayeyote anajua. Mtume wetu alikua sarafi au shia au sarafi anambie aliacha sunna wajukuu zake hassani na hussen na uislamu salama kbsa
@nassirquran2988
7 ай бұрын
Unajua maana ya salaf?
@ahmadzubeir26052 жыл бұрын
Tobbaaaaa
@issahrashid63192 жыл бұрын
Shekh apo ulisema Uvundo umekosea ucseme maneno km hayo tumia hekma na waombe radhi km waislam wenzako
@MohammedSaid-qr1zn
Жыл бұрын
Allah amrehem shekhe nasoro Bachu bado tunapata manfaa kupia yeye kwa rehma za Allah.
@hassanjuma869
Жыл бұрын
Kwanini aombe radhi
@salehsuleiman1218 Жыл бұрын
Allah amesema Waislam sote ni ndugu lkn Leo tunabaguana kwa usalaf na madheheb mengine wakat sote ni laailaha illa llah Muhammad rasoulullah bado tunaitaj jitihada sana ktk kusoma Dini .
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Km huyu ingeeishika sunna kweli Basi wengi wengekubeza
@HudaOnlinetv Жыл бұрын
Makafiri
@OmarOmar-wx9zg2 жыл бұрын
Hahahahahahaha Maashaa Allaah
@lyzoel-suleiman67462 жыл бұрын
shekh nan amsema swarf na nahwu haidhuru katika aqida ?
@ramadhanmakame13282 жыл бұрын
Makundi ni bid'a, kumbe nyinyi mna taasisi, ilikuwa sijawaelewa
@sadatlucas40452 жыл бұрын
Unatakiw kuwa Humble Bachu...
@ramadhanmakame13282 жыл бұрын
Dah, dini mnaifanya ushabiki, kuingizana na kutoana kwenye sunna na usalafi kwa matakwa yenu.hahahah
@user-qk8bs3sz3h
9 ай бұрын
Vita ni vyema tuambiiane ukweli maulidi ni bidhaa uzushi ulio wazi
@jamalsalum87262 жыл бұрын
Mawahabi shida sana,mbona wanaoenda kuwaombea dua maiti makaburini mnawalazimisha kuwa wanawaomba maiti,bila ya kuwauliza na mkasikiliza ukweli wao au uwahabi ndio kuwazushia watu tu.
@abdallahjuma43972 жыл бұрын
Ama kweli Allah humuongoza amtakae pamoja na baba yake kuwa katuka haq lakin Allah hajamkadiria ndugu yetu yapasa tumubee.. Sasa hata ukimsikiliza hupat maelezo ya kielimu..Nasaha zangu Soma ndugu Yangu mambo ya kutafsri kiarabu sio Dini ya akhy..Waarabu wanajua kiarabu lakin pia wanasoma soma ndugu bado kijana mdogo soma soma soma soma Allah akuongoze katika haq
@abuudhilqarnayn5180
2 жыл бұрын
Ni kwel akh, huyu jamaa ana mtihani sana
@salimabdallah51769 ай бұрын
Wapi Bwana MTUME alipanda azam marine
@abuurayyaan43062 жыл бұрын
Unatumia nguvu kubwa sana kutetetea baathwil
@allybobsaith
9 ай бұрын
Mbona hueleweki kutetea haki au batil 😕😕😕😕
@abuusamuhath4872 жыл бұрын
Asalam alaikum, sheikh naomba ni. Yako
@faidamuhamed3011 Жыл бұрын
Ktk siku nilizuelewa shkh mhmd Bach basi nikupitia hii kalma
@mohamedhaji22002 жыл бұрын
Sheikh Mohammmad Bachu nakuelewa sana kwa uwazi wako na ukweli. Ndio maana hawakupendi.
@karimdaud3993
9 ай бұрын
Huyu ni fitina wa kugawa watu oogomvi ugomvi kila. Siku hana hata ilimu ya kuwafahamisha
@abuurayaan39022 жыл бұрын
Ndio utaalamu huu au utumbo
@ibrahimseif7859 Жыл бұрын
Mashee wenge wanapenda sana pesa ndio maana wanazalishana
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Uyu jamaaa muongo huyu Yani kusema Ivo tu imam ndo ukaacha hao masalafy hili Ni vundo kweli
@mohamedmnango36602 жыл бұрын
Fasiri uliyotoa kuhusu Ahlusunna Waljamaa inapatikana kitabu gani
@hamadibausi95439 ай бұрын
Nilichokigundua kutoka kwa huyu sheikh Bachu ni kwamba: 1. Ni mtu wa kujifakharisha 2. Ni mtu wa ria ktk elimu 3. Anaongozwa na kibri 4. Ni mtu mwenye dharau sana. Namuombea kwa ALLAH amuondoshee hiv vitu basi atakuwa mtu mzuri sana wa da'awa km alivyo sheikh Kishki
@MALELEMBARIMO
4 күн бұрын
Punguza mihemko
@HudaOnlinetv Жыл бұрын
Sasa wafundisha kitu gan
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Misufi kwwli inauzi maana hapa mtaani wapo kila siku wanaswali swala za tasbihi na mania
@kassimajmus2010
2 жыл бұрын
Mtaani wapi
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Hahaa misufi
@kassimajmus2010
2 жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 naona umefrahi
@omarimamboleo6990
2 жыл бұрын
kuwa naadabu misufi kina nani angemuuliza babaake kilichomfanya atolewe mlango wa nyuma br 19 nikitu gani?
@hassanmsangi41492 жыл бұрын
kwa vigezo vya shehe hao waisilamu wa pongwe ni kama mahawarij hamna tofauti kabisa.
@SHEIKHMWAIPOPOTV
2 жыл бұрын
Inaonekana waislamu wengi uwezo wetu ni mdogo Sana wa kufikiri ukweli tubadilike tumebeba chuki Sana kuliko uhalisia
@abdulkareemseif18922 жыл бұрын
Anao wenzake anawaondosha njiani
@ibrahimabdul82572 жыл бұрын
kwamba kuna jitihad ya taasisi..na jitihadi za nurdin kishki...sasa Allaahul mustaanu ...jithd gan ndio raajih kwako kulingana na dalili wabanishie watu kwan haiwezkn haqq zikawa mbili ... ihurumie nafsi yko
@user-hw5zu2vc3m11 ай бұрын
kwani al imaam Ahmad alipoulizwa kuhusu husain Alkaraabisy alisemaje ?
@AbdlyhajLuhondo-id7zi8 ай бұрын
Hamnakazi nyinyi kwa nyinyi
@jaffersimba85667 ай бұрын
Bachu ulishawahi kumfuata Sheikh wa Kisufi ukamuuliza kama anaabudu kaburi akakujibu nfio anaabudu Mkaburi...!!?
@abdallahbahry65832 жыл бұрын
Huyu kijaana kwa kutafta umaarufu tu mejitahid amefanikiwa
@HudaOnlinetv Жыл бұрын
Wewe ni mgonjwa
@HudaOnlinetv Жыл бұрын
Usifabye upu mbavu
@MALELEMBARIMO
4 күн бұрын
Mihemko punguza 😂
@HudaOnlinetv Жыл бұрын
Wewe unaumwa towa mawaidha acha hayo hasidiyi kitu katika uwisilamu
Wewe ulikua HAJAWIRA hujawahi kua SALAFI baada ya kukushinda uhajawira ukaamua kurudi kwenye uhizbi
@ibrahimabdul82572 жыл бұрын
Mtu ambaye anafitra sahihi hawez kumuelewa huyu mtu kama atamsikilza vzuri...anafanya fanya talbsi talbsi ktk mazngzo yake....
@hassanmsangi41492 жыл бұрын
hamna salafi mwenye kuuwezakuwaelezea mashia kwakuwa hata ushia ithnaashari hawajausoma na kuuelewa
@seanmurray651611 ай бұрын
Huyu mtoto wa bachu hana hikma zaidi ya utovu wa adabu
@munyanezaismail76422 жыл бұрын
Sasa mbona naona unamtetea kishki na huku ukijisahaulisha mawqif ya maulamaa ya waliotangulia kuhusiana na watu wa bidaa? Na ili hali Imaamu Ahmad ameulizwa ukiona mtu anatembea na mtu wa bidaa ufanyeje? Akasema mnasihi, wakasema je ikiwa hakumuacha ? Akajibu: muunganishe nae ( yaani na mtu wa bidaa ).
@abdulkareemseif1892
2 жыл бұрын
Huyu Ni mbabaishaji tu Wala usipoteze mda wako
@user-iu1dt1xg3k10 ай бұрын
Mbona kama wame edit
@salumyakubu69362 жыл бұрын
jadida maana yake ni nini ?
@thulaniduku3218
2 жыл бұрын
Nikundi linatowa fatwa ya kurizisha wafalme yani watawala madhalimu
@sheikhfirdaus98572 жыл бұрын
Haaaah kijanna wewe unatabu sana unajikanyaga wewe mwenyewe
@mkude
Жыл бұрын
Iyakuwa unatabu ya uelewa kama hujamwelewa, au kapiga pale kwenye kundi lako
@jumamussa55802 жыл бұрын
mm anapenda mutuekee wazi zaidi hivi hao Salafi waliotangulia waligawana makundi iweje leo Salafi wako makundi pana nini hapa ?
@neemafatu471
2 жыл бұрын
Umaarufu na maslahi hakuna jengine ndugu yangu.
@ahmadzubeir26052 жыл бұрын
Sasa kujinasibisha au kundi?
@ibrahimseif7859 Жыл бұрын
Na tatizo Tanzania akuna amili kila mtu anasematu
@selemanmartin
Жыл бұрын
Kiswahili kibov
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de11 ай бұрын
Huna elimu yoyote umejawa kibuli na huna adabu kwa wakubwa zako,kwa usheh wako ni bora niikose hiyo elimu,huna adabu huna hekima Tanzania mzima hupendwi kwa tabia zako mbaya,unakokwenda kubaya...
Пікірлер: 280
allah akulipe khery sheikh bachu, inshallah
Huyu sheikh, naweza pata mawazisiano nae. Amenyooka sana mashallah. Nampenda kwa ajili ya dini
@jkifutu7936
8 ай бұрын
Number zake nenda mbagala uta zipata
Wallaah ndugu zangu hizi ni zamaa mbaya sanaa Turudini kwa Allaah na tulazmiane na njia ya salaf katika Aqiyda, katka ibada mbalimbali, na muamalat mbalimbali...Allaah asiwakithirishè hawa kina muhammad bacho...
Barakallahu fikh sheikh Muhammed bachu
Ndugu yangu mwislamu. Ningependa ungelekea kwa njiya za kunufaisha binadamu na waislamu. Sisi waislamu tuna matatizo mengi sana. Siku zetu duniyani Ni chache. Kesho or baada ya wakati mfupi tutasafiri. Mola amekupa gift ya kuzungumza. MaashaaAllah. Wacha kupoteza wakati wako kwa firaq, Makundi na groups. Sote sisi Ni waislamu. Namuomba Mola akupe elimu yenye baraka
@saidissa8273
Жыл бұрын
Huna HOJA.hivi si ndio kufundisha au afundishe unayoyataka
@nassorkhamis6233
7 ай бұрын
Dawa yako ni mfumo wa kiyahudi
@abeliever6823
7 ай бұрын
Ndugu. Si sawa kuapizana. Allah akupe na atupe hidaaya
Shukran sn Shekh Allah akulipe khri❤
Sheikh Mohammad! Nimekusikiliza sanaa na vizuuri,nimekupata.
Sh.Muhammad fanya kazi ukiamini Allah yukopamoja na ww
ALLAH Akulipe kila LA kheir sheikh mohamed Bachu
Muhamed bachu unafahamika Kaka upo vizurii Sana MashaAllah
جزاك الله خيرا يا اخي
بارك الله فيك
MASHA'ALLAH ,Sheykh wetu Muhammad bachu
@user-st9yq7bl5c
11 ай бұрын
Naam
Mashallah, @mohammed bachu ww ni sheikh ambae unatumia hekma na elimu kwa kadri allah alivokuwezesha lkn kuna watu wengine wanaendekeza jazba kuliko elimu
Barakh Allah Khair sheikh
Tabia nzuri ni katika uchamungu, mwenye tabia nzuri kakushinda katika dini!
ماشا ء الله ماشا ء الله أمين يا رب العالمين 🤲ansante sana
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Mashaallah allahumma barik alaihi
Mashallah al akhy
Subhana llah yaaarab naomba utusamehe mazamb yetu kwasababu wakati mwengne hatujui twazungumza nn maswali yanajibiwa kiushabik na hii haifai ktk dini tunajisahihisha ss wenyewe ameshawaona watu wasufi ni watu wa kuabudia makaburi kwavletu hawapo kwenye aliekuwepo yy kijana punguza kiburi na tuna muomba mwenyezimingu akupe hidaya umeenda mbali sana
@husnamohamed9448
2 жыл бұрын
Wewe ni shabiki wa jamii ya wapigaji raddi kimtazamo
@zanzibarspice8686
2 жыл бұрын
Kajibu kisomi hamna lenu
@MALELEMBARIMO
5 күн бұрын
Taannak
Allah akulipe kher
Mashallah 🙏🏿
Assalaam Alaykum Very sad. Extremely sad. We waste energy on fighting each other. We are filled with arrogance. It is as if we are guaranteed to enter Janna. We look down upon anyone with different views. Subhaanallaah. May Allah guide us. I wish we could use our energy into what benefit our fellow Muslims. Instead of fighting each other. Very sad wallahi.
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
They are not fighting each other, but they debate and from their debate we get Islamic knowledges, so don't worry @A Believer
@selemanmartin
Жыл бұрын
Sisi ni waswahili kiingereza hakina sababu hapa
Mashallah Allah akuhifadhi kw kufuata nyayo za baba
Ni kweli hatupaswi kabisa kuhukumiana kwa maneno maana mtu anaweza akasema kitu kwa nia nzur lakin kwa jazba zetu tukapokea kivingine, na kiukweli manhaj ya sunnah waljamaa ndio pekee ya kufuatwa na masuala ya jazba na kukatana na kudhalilishana kwenye mitandao ni mabaya sana na ndio yaloenea sana.
Maashallah
Baaraq Allah Sheikh Allah akulipe Ujira Stahili
mungu akulipe heli wambie aho tumekuelewa sana mr yani usiache
Nimetatizika kuona uwepo wa ndimi mbili. naomba ufafanuzi. vipi kuhusu maneno ya Shaykh Albusiri aliposema katika shairi lake qaswida burdah aliposema mathalan " sina wa kumkimbilia ispokuwa ww(Nabii Muhammad (s.a.w), wakati wa kutokezea matatizo makubwa" tukisema kwa mfano wa matatizo hayo makubwa ni kule kuhitaji kufanyiwa hisabu siku ya kiyama baada ya kusubiri mda mrefu katika uwanja wa hesabu kama alivyojaribu kutoa maana hiyo sheikh shaarani, basi hatutokuta shirki katika maneno hayo, bilashaka tutakimbilia kuleta maana hiyo kwa kuwa tunamfahamu Albusiri alkuwa ni katika ahlusunna wala hatukuti popote alipoandika maneno ya wazi ya shirki kiasi kwamba tuilazimishe kauli kama hii kuwa ni ya shiriki ifinane na hiyo! nilichokifahamu, ili iletwe maana yenye shirki katika baadhi ya mistari ya shairi la shaykh Al busiri, imma kwa kuulizwa yeye mwenyewe albusuri amekusudia maana gani katika maneno hayo au paletwe ushahidi kwamba aliwahi kusema maneno ya wazi yenye shirki yanayofanana na hayo. Swali. Ikiwa vitakosekana vyote viwili hivyo, ni kwann tunakimbilia kutoa maana yenye shirki katika maneno ya albusiri? N.B: sikuwa nalijua hilo shairi la albusiri mpaka nilpokusikia wwe ukisema kuna shirki ndani yake. nimelipitia, sijakuta isipokuwa mistari yenye utata, ambayo mwenye kutaka maana isiyo na shirki atapata, bali na mwenye kutaka maana yenye shirki atapata. Assalaam alaikum.
@jumakingambe4323
10 ай бұрын
KAMA KUNA USHAHIDI WA HADITHI KAMA SIKU YA QIAMA KUNA WATU WATAMFUATA MTUME AWASAIDIE NA ATAWASAIDIA HILO LITAKUWA SI SHIRKI. ILA KAMA HAKUNA HII NI SHIRKI
Akh punguza Riyaa, halafu umejawah na kutaka umaarufu na baba ako hakuwa hivo, MCHE ALLAH
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
2 жыл бұрын
Ikiwa mtu anaweza kuiona Riyaa ya mtu basi watu wataiona kwako, maana hii comment yako huenda ni Riyaa😎
@ibrahimpande7052
2 жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Swadaqta Akhy
@sadatlucas4045
2 жыл бұрын
Allah amuongoze huyu jamaa
@abuudhilqarnayn5180
2 жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Una mtihan sana, wewe kiboko yako ni al akh Abul Abbas Muhammad Rashid, NDIE ANAKUTWANGA TWANGA NYUNDO
@abdulkareemseif1892
2 жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. wewe huna isipokua riaa tu ..mm naamini sh bachu ingekuepo engekutwanga makofi kwa upuuxi wako huu
Mashaallah shekhe wetu Muhammad bachu Mungu akuzishiye ilmu zaidi inshaallah kutoka kenya khadija said Nahdi mld
Barak Allahu alayk
Duh mtihani
We Ni mgonjwa
Usiseme kitaalamu Bali SEMA Kielmu, Hvo
@TawfiqHaji
4 ай бұрын
Kitaalamu na kielimu si ndo hivohivo kaka angu,mbona unamkosoa bure ilhali yuko sawa,taalamu maana kiujuzi ,kiufundi,kielimu zaidi,elimu ndo hivohivo ni neno la kiarabu tuu,usikosowe km hujui na muangalie nani unamkosowa insha,allah.🙏🤫🤫🤐
Kwani kuna ulazima wa kuendelea kujadili masaala ya ikhtilafah hamuoni mnaikuza fitnaaa
Nimependa wallahi majibu yako
huyu kijana kapinda vibaya allah amuongoze
@hadijajumangangua9075
2 жыл бұрын
Niukweli kabisa Yuko vibaya huyu shekhe
Kama nihivyo mbona unawaradi mashekh wenzio wanapo kosea bila kuwauliza makusdio ?
Ila shekh mimi ninge furahi saana ungekuja huku kwetu kenya kambini Turkana count. Japo kwa siku chache
Ustadh Njoo Kenya Nairobi Kuna baadh ya mitaa Majadida wamejaa
Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu hii tunaomba itengenezwe short clip ili ienee kweny magroup yawasap
Mimi hatakama iwe nini sisomi kwa jadida yeyote wataniambukiza chuki zao
@thulaniduku3218
2 жыл бұрын
Kweli kabisa akhy Majadih wana chuki sana
@mkude
Жыл бұрын
Kweli kabisa hawana adabu na wanakauli chafu sanaaaa
Hakik shekh bachu upo vzr
Ujidanganya nafc kaka wwe wew ni hizb tu
@yussufmimi4464
Жыл бұрын
unauhakika mbona unasema tu
@MALELEMBARIMO
5 күн бұрын
Punguza mihemko
Majadida hawana hekma ktika kulingalia Da3wa.
@mohdaliothman174
2 жыл бұрын
Nini maana ya hekima
@mkude
Жыл бұрын
Kweli kabisa hawana hekma wala adabu,wallahi wanakauli chafu sanaaaa.
Ninachokijua mimi mtume wetu akuwa shia wala sarafi wala suni ninachojua alikua muislamu tu hayo ni mambo yenu tu Allah atujaalie umoja amina nakama kunayeyote anajua. Mtume wetu alikua sarafi au shia au sarafi anambie aliacha sunna wajukuu zake hassani na hussen na uislamu salama kbsa
@nassirquran2988
7 ай бұрын
Unajua maana ya salaf?
Tobbaaaaa
Shekh apo ulisema Uvundo umekosea ucseme maneno km hayo tumia hekma na waombe radhi km waislam wenzako
@MohammedSaid-qr1zn
Жыл бұрын
Allah amrehem shekhe nasoro Bachu bado tunapata manfaa kupia yeye kwa rehma za Allah.
@hassanjuma869
Жыл бұрын
Kwanini aombe radhi
Allah amesema Waislam sote ni ndugu lkn Leo tunabaguana kwa usalaf na madheheb mengine wakat sote ni laailaha illa llah Muhammad rasoulullah bado tunaitaj jitihada sana ktk kusoma Dini .
Km huyu ingeeishika sunna kweli Basi wengi wengekubeza
Makafiri
Hahahahahahaha Maashaa Allaah
shekh nan amsema swarf na nahwu haidhuru katika aqida ?
Makundi ni bid'a, kumbe nyinyi mna taasisi, ilikuwa sijawaelewa
Unatakiw kuwa Humble Bachu...
Dah, dini mnaifanya ushabiki, kuingizana na kutoana kwenye sunna na usalafi kwa matakwa yenu.hahahah
@user-qk8bs3sz3h
9 ай бұрын
Vita ni vyema tuambiiane ukweli maulidi ni bidhaa uzushi ulio wazi
Mawahabi shida sana,mbona wanaoenda kuwaombea dua maiti makaburini mnawalazimisha kuwa wanawaomba maiti,bila ya kuwauliza na mkasikiliza ukweli wao au uwahabi ndio kuwazushia watu tu.
Ama kweli Allah humuongoza amtakae pamoja na baba yake kuwa katuka haq lakin Allah hajamkadiria ndugu yetu yapasa tumubee.. Sasa hata ukimsikiliza hupat maelezo ya kielimu..Nasaha zangu Soma ndugu Yangu mambo ya kutafsri kiarabu sio Dini ya akhy..Waarabu wanajua kiarabu lakin pia wanasoma soma ndugu bado kijana mdogo soma soma soma soma Allah akuongoze katika haq
@abuudhilqarnayn5180
2 жыл бұрын
Ni kwel akh, huyu jamaa ana mtihani sana
Wapi Bwana MTUME alipanda azam marine
Unatumia nguvu kubwa sana kutetetea baathwil
@allybobsaith
9 ай бұрын
Mbona hueleweki kutetea haki au batil 😕😕😕😕
Asalam alaikum, sheikh naomba ni. Yako
Ktk siku nilizuelewa shkh mhmd Bach basi nikupitia hii kalma
Sheikh Mohammmad Bachu nakuelewa sana kwa uwazi wako na ukweli. Ndio maana hawakupendi.
@karimdaud3993
9 ай бұрын
Huyu ni fitina wa kugawa watu oogomvi ugomvi kila. Siku hana hata ilimu ya kuwafahamisha
Ndio utaalamu huu au utumbo
Mashee wenge wanapenda sana pesa ndio maana wanazalishana
Uyu jamaaa muongo huyu Yani kusema Ivo tu imam ndo ukaacha hao masalafy hili Ni vundo kweli
Fasiri uliyotoa kuhusu Ahlusunna Waljamaa inapatikana kitabu gani
Nilichokigundua kutoka kwa huyu sheikh Bachu ni kwamba: 1. Ni mtu wa kujifakharisha 2. Ni mtu wa ria ktk elimu 3. Anaongozwa na kibri 4. Ni mtu mwenye dharau sana. Namuombea kwa ALLAH amuondoshee hiv vitu basi atakuwa mtu mzuri sana wa da'awa km alivyo sheikh Kishki
@MALELEMBARIMO
4 күн бұрын
Punguza mihemko
Sasa wafundisha kitu gan
Misufi kwwli inauzi maana hapa mtaani wapo kila siku wanaswali swala za tasbihi na mania
@kassimajmus2010
2 жыл бұрын
Mtaani wapi
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Hahaa misufi
@kassimajmus2010
2 жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 naona umefrahi
@omarimamboleo6990
2 жыл бұрын
kuwa naadabu misufi kina nani angemuuliza babaake kilichomfanya atolewe mlango wa nyuma br 19 nikitu gani?
kwa vigezo vya shehe hao waisilamu wa pongwe ni kama mahawarij hamna tofauti kabisa.
@SHEIKHMWAIPOPOTV
2 жыл бұрын
Inaonekana waislamu wengi uwezo wetu ni mdogo Sana wa kufikiri ukweli tubadilike tumebeba chuki Sana kuliko uhalisia
Anao wenzake anawaondosha njiani
kwamba kuna jitihad ya taasisi..na jitihadi za nurdin kishki...sasa Allaahul mustaanu ...jithd gan ndio raajih kwako kulingana na dalili wabanishie watu kwan haiwezkn haqq zikawa mbili ... ihurumie nafsi yko
kwani al imaam Ahmad alipoulizwa kuhusu husain Alkaraabisy alisemaje ?
Hamnakazi nyinyi kwa nyinyi
Bachu ulishawahi kumfuata Sheikh wa Kisufi ukamuuliza kama anaabudu kaburi akakujibu nfio anaabudu Mkaburi...!!?
Huyu kijaana kwa kutafta umaarufu tu mejitahid amefanikiwa
Wewe ni mgonjwa
Usifabye upu mbavu
@MALELEMBARIMO
4 күн бұрын
Mihemko punguza 😂
Wewe unaumwa towa mawaidha acha hayo hasidiyi kitu katika uwisilamu
Suala unasema maulidi hayakuwepo Enzi za Bwana MTUME wala MASAHABA..JE UROJO ULIKUWEPO Tunaula sio bidaa.
Sasa huyo kishki anahusika nn hapo?
We hujitambui bado ama unafanya kibri wala bado huujui usalafi
Duh yani ukimuuliza mtu tu akikubali unamkufurisha ni mwanachuoni gani alisema hivyo ,, Kuna kitu kinaitwa موانع التكفير sasa chunga sana usikurupuke
Shekhe ww niwamchongo hujuwe unacho kisema swali majibu nivitu viweli tafauti
@MALELEMBARIMO
4 күн бұрын
Punguza mihemko
Wewe ulikua HAJAWIRA hujawahi kua SALAFI baada ya kukushinda uhajawira ukaamua kurudi kwenye uhizbi
Mtu ambaye anafitra sahihi hawez kumuelewa huyu mtu kama atamsikilza vzuri...anafanya fanya talbsi talbsi ktk mazngzo yake....
hamna salafi mwenye kuuwezakuwaelezea mashia kwakuwa hata ushia ithnaashari hawajausoma na kuuelewa
Huyu mtoto wa bachu hana hikma zaidi ya utovu wa adabu
Sasa mbona naona unamtetea kishki na huku ukijisahaulisha mawqif ya maulamaa ya waliotangulia kuhusiana na watu wa bidaa? Na ili hali Imaamu Ahmad ameulizwa ukiona mtu anatembea na mtu wa bidaa ufanyeje? Akasema mnasihi, wakasema je ikiwa hakumuacha ? Akajibu: muunganishe nae ( yaani na mtu wa bidaa ).
@abdulkareemseif1892
2 жыл бұрын
Huyu Ni mbabaishaji tu Wala usipoteze mda wako
Mbona kama wame edit
jadida maana yake ni nini ?
@thulaniduku3218
2 жыл бұрын
Nikundi linatowa fatwa ya kurizisha wafalme yani watawala madhalimu
Haaaah kijanna wewe unatabu sana unajikanyaga wewe mwenyewe
@mkude
Жыл бұрын
Iyakuwa unatabu ya uelewa kama hujamwelewa, au kapiga pale kwenye kundi lako
mm anapenda mutuekee wazi zaidi hivi hao Salafi waliotangulia waligawana makundi iweje leo Salafi wako makundi pana nini hapa ?
@neemafatu471
2 жыл бұрын
Umaarufu na maslahi hakuna jengine ndugu yangu.
Sasa kujinasibisha au kundi?
Na tatizo Tanzania akuna amili kila mtu anasematu
@selemanmartin
Жыл бұрын
Kiswahili kibov
Huna elimu yoyote umejawa kibuli na huna adabu kwa wakubwa zako,kwa usheh wako ni bora niikose hiyo elimu,huna adabu huna hekima Tanzania mzima hupendwi kwa tabia zako mbaya,unakokwenda kubaya...
Bora nikae kimya kwanza