Muhammad Bachu||MANENO MABAYA YA QASSIM MAFUTA NA ABDALLAH HUMEID
Жүктеу.....
Пікірлер: 470
@salehjuma39262 жыл бұрын
Shekh muhammad umetupitisha vizur allah akujalie hekma katka umri wko wa daawaa
@user-ik8xv2rl9f
2 жыл бұрын
امين 🤲
@LuqmanAndrew-nu9rxАй бұрын
Leo nmekuelewa Bachu Allah akulipe kheri na akuepushie Kila la sharri
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Mqshaallah mwenyezi mungu akuongoze zaidi nazaidi naakukinge nakilashari juuyako sheikh wetu kipenzi
@muhammadkhamis85002 жыл бұрын
AHSANT JAZZAKALLAHU KHEYR SHEIKH MUHAMMAD BACHU AMA KWA HAKIKA UMEBAINISHA HAKI NA BATIL WAZI WAZI NA KILAKITU KINAELEWEKA. WALE WALIO MPIGA RADDI DR.ISLAM NI WAZI KWAMBA DR.ISLAM HAYUPO KWENYE MRENGO WAO LKN ALIPOKOSEA MWENZAO ABDALLAH HUMEID AKASEMA MANENO YA KUFRU YALE...NA PAKA LEO KINA KASSIM MAFUTA WAMENYAMAZA KIMYA KISA NI MWENZAO.ALLAH AWAONGOZE WAO NA SISI SOTE.AMIIN.
@dilipdab37142 жыл бұрын
Mashallah.shekh.wetu.mohammedi.nasoro.bachuu
@bilalomar11855 ай бұрын
jazakallah kher Sheikh. Wallahi najifunza kwako na nimefaidika Sana tena Sanaaa.❤❤❤
@abeliever68232 жыл бұрын
Naseeha kutoka moyoni. Ndugu yangu. Wewe MaashaaAllah ni barobaro mwenye energy na mahaba ya diini. Ni vizuri zaidi kutumia hii energy kwa njiya za kheri, njiya za kusaidia watu wajuwe dini yawo. Wengi wetu hatujuwi hata kutawadhi vizuri. Si sawa kujifanya kama judge. Judge ni Mungu pekee. Leo Sisi waislamu tuna shida mbali mbali. Si vizuri kumaliza energy zetu kutukanana. Mola akuhifadhi. Mola akuzidishie elimu yenye baraka. Mola atupe akhlaaq kama za mtumme wetu. صلى الله عليه وسلم
@Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын
ALLAH akuhifadhi na akuzidishie ilmu na akubariki
@lutasitafasi9627
2 жыл бұрын
Na amuongoze
@rahimmbezi99364 ай бұрын
Maa Sha Allah... Tunamuomba Allaah akuhifadh Sheikh wetu... Akuzidishie Ilmu na Hikma, Barakallahu Fiyk wa Jazaakallahu Khayrah
@aishaalizubeir79642 жыл бұрын
Allah akuhifadhi kaka yetu..sheikh wetu allah akupe taufiq ww na masheikh wngn.amiin
@Is-hakaAbass10 ай бұрын
Allah amuongoze, Shekhe wetu Qassim mafuta na Muhammad mafuta pamoja na mashekhe wetu wa kisalafy
@saidmohammed28302 жыл бұрын
ليس الإنسان إن حرست مسليما حلق الإنسان عداوة أحرار mungu akuhifadhi shekh Mohammed bachu
@nadyanassor6440
2 жыл бұрын
Mashallah 👌
@achooda40782 жыл бұрын
Sheghe Mohammad uko sawa Allah akuwafikishe katika kila kheri inshaallah.
@user-us8jz9yk9e4 ай бұрын
ALLAH akuongoze shekh bachu
@msabahaali7582 жыл бұрын
Mashalla sheikh naomba nijue utaratibu wa darasa zko msikiti wa masingin nije inshallah
@andallaathman38562 жыл бұрын
Wallah sheikh Mohammed bachu mungu akubariki hili Jambo la abdallah humeid liliniudhi nilikosa Raha siku mzima niliposikia na nilipo comment wakaja wafuasi wake Fulani ati hatuna elimu jamani hivi mwenye elimu hua hivi kweli mm nilimtoa thamani kabisa kuanzia hio siku subhana llah munggu awape uongofu masheikh msikizane
@jamilashabani85802 жыл бұрын
Maa shaa Allah Shukran Wajazaukum llahu khayra
@skozamsai26542 жыл бұрын
Sasa hivi dini inafanyika youtube sana kwa kuwa mwapata pesa kuliko kwenda vijijini kuwalingania watu waingie kwenye dini ya haqi. Allah atuongoze inshallah
@shabanimdimu27472 жыл бұрын
Shekhe umemzungumzia shkh Aboud rogo rahimahullaah , tunampenda sana na daawa zake tunazipenda sana ta mpaka mpaka qiama tutazpenda
@maryamtanzania9743
11 ай бұрын
Sijaelewa amemzungumzia kwa heri au kwa shari manake kasema fitina za abdu rogwa kidogo niache kumsikiliza manake dawa za abdu rogwa zilikuwa si mchezo na waliomuua ni watu wa suna allah amrehemu shehe wetu abdu rogwa
@amirmape6474
2 ай бұрын
Masalafi wa mchongo wana chuki na shekhe abud rogo
@abeliever68232 жыл бұрын
My dear brother. You are young, enthusiastic and energetic MaashaaAllah. You love your deen. Please let us use our talent and resources to what will benefit us and benefit fellow Muslims and mankind. Life is too short. Please don’t loose manners towards fellow Muslims. Try to do what is beneficial. May Allah guide you and me and all humanity
@omarahmad7561
2 жыл бұрын
Oiuii
@omarahmad7561
2 жыл бұрын
I'm I getting this email
@artanahm3389
Жыл бұрын
Its a delicate balance if all ahlu sunnah sheikhs are the polite ones that dont answer back on the evils of ahlu bidah, how will the mass know? we need his style to balance the bulk of our ulama's. Someone has to answer back with enthusiasm. I dont see any problem. Allahu yaalam
@allymahaba3425
Жыл бұрын
You are very right brother. This young man is wasting time in arguments and accusations against Muslims. What he is saying here in the internet has nothing to with Islam. May he tries to boast himself Infront us through media.
@user-zn6jp6ym4e2 жыл бұрын
Muhammad bachu uwe na adabu uache kujionaona.. Huna adabu..
@azizashaaban8702 жыл бұрын
Subhanallah.allah akuhifadhi
@abdul-azeezmagram49732 жыл бұрын
Wallah sheikh Mohammad imefika wakati mashekhe sasa imekuwa km wanaimba taarab mtu anasubiri sheikh flan akosee wamkosoe kwenye media sio sawa mashekh tafuteni mpango mzuri wakukosoana sio kilakitu kwenye media munatueka wakati mgumu sisi wanafunzi wenu au waislam kwa jumla
@fatmamuhammad7642
2 жыл бұрын
My thoughts exactly. Wamekua mina maulidi sijui na bhalo. Msiba mkubwa
@khalidhaji8570
2 жыл бұрын
Msiba mkubwa.
@abuuqatada97912 жыл бұрын
Wallah thumma wallah unanisikitisha sannna nikikuona unaupumbavu kma huu Ila ALLAH akuongoze INSHAALLAH
@Nuru_ya_sunnah.official
Жыл бұрын
We vepeee
@user-ng7fi7nl2r
Ай бұрын
Upumbavu wake nini apo unaona tatizo ulilokuwanalo ww nawenzio anachozungumza apo akuna ubaya wowote lakini ww unaona ubaya uwoni nia mzuri aliyokuwanayo uwoni shari iliyokuwepo kwasasa?
@abujamalaalghammawiy74702 жыл бұрын
Jifunze kutulia katika mada moja sheikh Naona maneno mengi sanaaaaaaa, mara historia, mara fiqhi, mara hadithi, mara Qur'an, yaani kimsingi hueleweki unachosomesha hasa ni kipi na kwa ushahidi upi
@abubakarihussen8852
2 жыл бұрын
Abu jamala we ndo haueleweki ila alicho ongea watu wameelewa
@abubakarihussen8852
2 жыл бұрын
Au nawe niwatu wa vikundi
@abujamalaalghammawiy7470
2 жыл бұрын
@@abubakarihussen8852 Haya sawa kama watu mwameelewa, labda mimi sio mtu ndiomaana sijaelewa
@abubakarihussen8852
2 жыл бұрын
Abu jamala sio kwamba we sio mtu nimemanisha hivi huenda hukuelewa mada yake haswah alikua anamanisha nn katika jamii sawa mana kusikiza sio kuelewa unaweza sikiliza lkn usielewe mana halis upande wangu na wengine ninavyo ona sms zao naona tumeelewa mana halisi ya kuhus sarafi na makundi makundi yaliyopo kwenye dini kwa ss sawa ndugu ila sio kua ww sio mtu kama ulivyo sema ww
@abujamalaalghammawiy7470
2 жыл бұрын
@@abubakarihussen8852 Anhaaaa sawa, nikweli mimi sijamuelewa pamoja na kuwa nimemsikiliza, maana hatulii na jambo moja, kwahiyo ni ngumu kupata hasa kile kilichokuwa kinazungumzwa, na hasa watu wenye uwelewa mdogo kama kina sie.
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Maashallah Allah akutimizie hazimayako mpendane na msameeaane mnatuyumbisha sisi tusiejua Namuomba Allah awakutanishe mashehe woote mumalize tofauti zenu lnshaallah 🤲
Shekh Mohammad Allah akuhifafhi,,umezungumza ukweli tupu
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakunusuru na kilashari yaarab
@issaally79282 жыл бұрын
Mashallah
@abuuhandhalah49542 жыл бұрын
Allah akuzidishie hirsa na atufanyie weoesi
@omarishaq61832 жыл бұрын
Sheikh Ahmad Muhammad Msallam wa kenya alifariki mwaka 2020 mwezi wa tisa..Allah amrahamu
@jumamohamed52292 жыл бұрын
Asnt sana al akh ujumbe umefika ALLAH akujaalie upunguze misimamo na uongee hakki kma hivo
@shanimpenike7568 Жыл бұрын
جزاك الله خير
@user-ik8xv2rl9f2 жыл бұрын
ماشاء الله يا محمد ❤❤❤
@saidihamisi98232 жыл бұрын
barakkkallahu fika
@jumakumala13372 жыл бұрын
Hali hiyo masheikh mtatuchanyanya na kutuvuruga ht sisi mahamuma ambao ALLAH akutujalia na kuwa na Elimu
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Hawa sio masheikh ni mabangi tu Hawa masheikh haswa waliokuwa wachamungu hawalumbani hata kwa bahati mbaya
@jumakumala1337
2 жыл бұрын
@@maryamalli9090 lkn hatushangaa kwa haya mn Rassullullaih aliyatabiri yt hya akisema nyakati za ulimwengu kuelekea kuisha dalili hizi zitatokea , Mashee kugombana , Dini kuonekana mapya , inchi kwa inchi kupigana , watoto wa zinaa kukithiri , watu kula riba sn na kadhali , la msingi nikusimama tu ktk SUNNA na QUR'ANI tu
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
BACHU UNATABIA YA KUJICHANGA SANA, ABDALLAH HUMEID YUPO SAHIHI SHIDA ILM YAKO KTKT JERH WATAADIL IPO KUSHOTO!! ACHA KUWATETEA WATU WA BID'A! ETI MAULIDI BID'A NDOGO!!UNAJIDANGANYA,, RUDI DARASANI!!
@zubeiramlanzi2480
2 жыл бұрын
Hana tamiyiiz..
@omarishaq61832 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@Kapunyu2 жыл бұрын
Asalamu aleikum Sheikh mimi naona kwa maoni yangu binafsi japo mimi sio shekh lakini naona haya mambo ya ubishano wa mashekhe wetu mwishowe yataleta mfarakano na hata kufikia mambo ya visasi au kutumiana ugomvi wa kivutana,wazo langu ni kwamba inhekuwa ubora kuwe na maelezo ya fatwah kutoka dar al ifta iliyoundwa huko saudi arabia iwe ndio marja3iya ya mambo mengi yanayoleta ubishi huku kwetu,nina hakika itasaidia sana. Wa Jazaak Allah Kheir.
@alfajahussein90742 жыл бұрын
Shekh kwamaneno yako ya Imani mashaallh
@abdallasaid93482 жыл бұрын
Umaarufu utaupata Muhammad bachu...
@isackwsmithwsmith90272 жыл бұрын
Mashaallah sheikh ❤️❤️❤️🇲🇿
@khalfanibona312011 ай бұрын
Tumekuelewa sana ALLAH AKULINDE na kila SHALI
@mutomubaya2 жыл бұрын
Hakuna mwanadamu ambaye hakosei. Wanadamu tuheshimiane na tujiepusheni kutukana Waislamu kwa kuwa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametufahamisha kwamba ni ufasiki. Na Allah ndiye anayejua zaidi.
@lutasitafasi96272 жыл бұрын
Kaka Bachu.. hhh. Allaah akusaidie.. na akuongoze.
@HamdaniMmbaga2 ай бұрын
Masha Allah nimekuelewa vizuri sa na sheikh
@misbahmagezi30832 жыл бұрын
أحسنت قولا
@rajabusaidi93432 жыл бұрын
Mbn katika maimamu wa nne walitofautiana lakin hawajafanya kama wanavyofanya mashekh zetu tatizo nn
@swalehjamal4867
Жыл бұрын
Tatizo tunazua mambo ambayo hayapo katika dini ndio unaona mitihani ya kujibizana hayaishi
@maalimjaffar5563
Жыл бұрын
Ttzo ni hawa masheikh wapya,mabaleghe.
@amerwelder7786
Жыл бұрын
Mashekh wa saiv wanajuwa sana na wachamungu sana
@asalafiyahhussein7767
Жыл бұрын
Hao ma imam wanne tofauti zao hazikuwa katika bidaaah ,usieke sheria katika dini ya Allah ni uzushi
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Dahh kwa kweli shekh muhammad bwana unaonekana unasoma sana saiv ni mjuz wa mambo Mungu atakuhifadh inshaaalah
@chanchubasammy45622 жыл бұрын
Allah akuongoze maan
@alimasoudali82732 жыл бұрын
Maashallah sh.muhammad naomba unielekeze hiyo hadithi iko ktk kitabu gani ktk hivi vidogo ninashida nayo
@mohamadmaulidngava15102 жыл бұрын
Hafidhahulwaahu Shekh.
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Wewe mwenyewe tunahisi unavuta bangi. Tunapima maneno yako ni bangi bangi. Hiyo ndio da'waa gani Kwa Waislam!!!! Subhaanallah!!!!
@kulthumabdulrahman29152 жыл бұрын
Mashaallah
@abuuqatada97912 жыл бұрын
Barahiyani c nnd mmoja ktka vijoho wenzio
@abdallahkambangwa721510 ай бұрын
MashaAllah
@uptop00182 жыл бұрын
Watu hawapendi Salaf na ndo haqq ndo njia yako ya kuingia peponi Allah atujaalie tukuwe masalaf alathar Ameen ya rabb my brother fil islam my advice for you is to stick with sunnah and people of sunnah Allah akuongoze wewe ndugu Muhammad bachu na wenzako Allah awaongoze kwenye haqq
@abubakarmgaza9270
2 жыл бұрын
ustadh Allah na mtume wake wanakutaka kuwa muislamu sio salaf acheni makundi na kujiona bora kuliko wengine hivi mnajua mnachokifanya ni ubaguzi ambao mtume alituhusia sana juu yake na kuupiga vita??
@07851162232 жыл бұрын
Like Father like son
@mwasemajuma71712 жыл бұрын
Allah akuongoze katika njia ya sawasawa, ufuate sunna ya sawasawa sio hiyo ya kina Barahiani
@mkude
Жыл бұрын
ALLAH AMLINDE NA AMPE UMRI MREFU SHEIKH SALIM BARAHIYAN
@Dr.SheikhIBRAHIMSAID8 ай бұрын
Dr. Khamis Imam ni mwanafunzi wangu...😨 Subhana Allah twamombea Mungu Hidaya..
@AbulBarakaat-d4x
18 күн бұрын
Amen ili inakuhusu zaidi wew Dua hii
@samiraomar87432 жыл бұрын
Kuwa na subra sheikh wetu Wal uskubal kuxhindwa mung akupe nguv na uvumiliv kwn ata mtume wetu alipata vikwazo vingi
@feisalfarsy65622 жыл бұрын
Gonga nondo sheikh mashallah
@saidali59642 жыл бұрын
Mimi namshuru Allah kikao Cha kufikiria masher wanavo lumbana nimuhimu kuelewana dini yetu haitaki farka masher mwapoteya na Moto unawasubir badilikeni
@mercyngo1154 Жыл бұрын
Masala
@abuutamiimattanzaaniy86762 жыл бұрын
لا هلك من هلك إلا بحب الرياسة "hakuangamia aliyeangamia, isipokuwa (ameangamia) kwa KUPENDA KUWA JUU (KUPENDA UKUBWA) ibn Bachu kiti ulichokalia kimekuzidi, waache wanaostahili wakae
@deathrow80042 жыл бұрын
Nimekupenda kwa ajili ya ALLAH AKHIYL KARIM..ALLAH AKUAFIKISHE KTK NIA & ADHIMA YAKO☝🏻
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Allah akulipe heri kuwambia ukweli hawo masalafiya jadih
@abynduwimana1767 Жыл бұрын
Naaama kila lakheri akhe
@shabanihassan86782 жыл бұрын
Alhamdulillah!!! Allah akuhifadhi
@MohamedHassan-xp5uw2 жыл бұрын
Kijana mwanafunzi Muhammad bachu zidisha kutafuta elimu…bado sana
@shariffahmad7880 Жыл бұрын
wewe ustadhi umri wako mdoo sana usijiingize kwenye laana ikawa umepotea sana mswalie sana mtume kisha muombe allah akupe njia sahihi kwa baraka ya sheikh muhammad nassor ambaye jina lake kama lako allah atakuhifadhi inshaallah
@twaibumikidadi73772 жыл бұрын
Allah akuhifadh kwa jitihad zako Mohammad Bachu Ww n shekh kijana pambana na usawa Hakkı! Allah hamlet 3alim ila kwa makusudıo maalum
@user-bp6fb6wo5u
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/f32lpa2af5PKqbg.html
@allyally4228
2 жыл бұрын
Bahamad
@allyally4228
2 жыл бұрын
Bahamad wasemaje Jiangalie usije ukachagawa
@dilipdab37142 жыл бұрын
Shekh.upo.vizuri
@zaharahassan78732 жыл бұрын
Na wewe pia uache upuuzi Ilo neno wachana nalo ujadidaujadida wachana nao Wallah humfikii Qasim mafuta kiilimu ww Hata Robo
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Hatujaja kushindana elimu,m/mungu ndie anaemjua nani yuko juu kielimu lakini kinachotakia kua haki iwe juu kuliko mapenzi ya mtu.
@saidikhamis9747
Жыл бұрын
Zahara wewee.
@abdilahiriyami Жыл бұрын
Asalamu alaikum shehee munawapa nguvuu makafirii tujiheshimu na dini yetuu
@sokakilumbi9293 Жыл бұрын
shukran!!
@muhyidinalinoor6249 Жыл бұрын
KAA NA ADABU NA UHESHIMU MAULAMAA.......
@abuuqatada97912 жыл бұрын
Mhmmm ALLAH akuonyeshe Haji maana kwkwel UENDAKO c kuzur
@allymbarouk5362 Жыл бұрын
Naam mwendo wa kupigana madongo, Allah atuongoze ktk hakki
@ibrahimabdul82572 жыл бұрын
Asiyeshirikiano nao hawamtaki sasa kama wao wako na haqq kwanin usishirikiane nao wakutake....Allaahul mustaanu.....
@saidwawa51582 жыл бұрын
Una majungu sana sana
@user-ck6lf9gg6v9 ай бұрын
Hizi tofauti zetu zitatuchelewesha sana hiyo mafuta mwenyewe unaemtaja kasoma tamta karibu masheikh wote was kisunna wamesoma kwa Hawa masheikh Hawa Hawa wa dufu
@AthumanJuma-hg2cl11 ай бұрын
MUNGU MKUBWA akurind
@khamisalimohamad830811 ай бұрын
aibu iyo kama imefikia apo ila inshaallah Allah awajalie umoja.
@sabraham53082 жыл бұрын
Sheikh Mohammed niko pamoja na wewe,Suluhu ni jambo analolipenda Allah,ikiwa Lina Radhi za Allah,kuna mambo ya heri nilikuwa nataka nikufuate tuyazungumze,sijui nitakuonea wapi?,Barakallahu feek,Amin
@mtotowalindichinga44182 жыл бұрын
Nakukubali shekhe Ila umeniboa kusema fitina ya aboud logo aboud logo.akuwa fitina yupo.katika haki kabisa
@zuenabakari84842 жыл бұрын
Katangazeni dini vijijini kusikokua na muamko wa dini kuliko kupigana vijembe mitandaoni maana nyie mashekhe wote mnaotukanana mitandaoni ni kwasababu haki na batili mnazijua laakin kama kuna watu vijijini haki haijawafikia vipi nyie mnaoijua haki na batili kazi ni kutukanana tu angalieni saana juu ya hilo lnshaa Allah
@ibrahimabdi35592 жыл бұрын
Maashalah, may Allah grant your father highest, heaven.....please endeleya kufundisha umma mambo ya dini, na inshaalah Allah will grant you the highest honor, na mungu akulinde.
Пікірлер: 470
Shekh muhammad umetupitisha vizur allah akujalie hekma katka umri wko wa daawaa
@user-ik8xv2rl9f
2 жыл бұрын
امين 🤲
Leo nmekuelewa Bachu Allah akulipe kheri na akuepushie Kila la sharri
Mqshaallah mwenyezi mungu akuongoze zaidi nazaidi naakukinge nakilashari juuyako sheikh wetu kipenzi
AHSANT JAZZAKALLAHU KHEYR SHEIKH MUHAMMAD BACHU AMA KWA HAKIKA UMEBAINISHA HAKI NA BATIL WAZI WAZI NA KILAKITU KINAELEWEKA. WALE WALIO MPIGA RADDI DR.ISLAM NI WAZI KWAMBA DR.ISLAM HAYUPO KWENYE MRENGO WAO LKN ALIPOKOSEA MWENZAO ABDALLAH HUMEID AKASEMA MANENO YA KUFRU YALE...NA PAKA LEO KINA KASSIM MAFUTA WAMENYAMAZA KIMYA KISA NI MWENZAO.ALLAH AWAONGOZE WAO NA SISI SOTE.AMIIN.
Mashallah.shekh.wetu.mohammedi.nasoro.bachuu
jazakallah kher Sheikh. Wallahi najifunza kwako na nimefaidika Sana tena Sanaaa.❤❤❤
Naseeha kutoka moyoni. Ndugu yangu. Wewe MaashaaAllah ni barobaro mwenye energy na mahaba ya diini. Ni vizuri zaidi kutumia hii energy kwa njiya za kheri, njiya za kusaidia watu wajuwe dini yawo. Wengi wetu hatujuwi hata kutawadhi vizuri. Si sawa kujifanya kama judge. Judge ni Mungu pekee. Leo Sisi waislamu tuna shida mbali mbali. Si vizuri kumaliza energy zetu kutukanana. Mola akuhifadhi. Mola akuzidishie elimu yenye baraka. Mola atupe akhlaaq kama za mtumme wetu. صلى الله عليه وسلم
ALLAH akuhifadhi na akuzidishie ilmu na akubariki
@lutasitafasi9627
2 жыл бұрын
Na amuongoze
Maa Sha Allah... Tunamuomba Allaah akuhifadh Sheikh wetu... Akuzidishie Ilmu na Hikma, Barakallahu Fiyk wa Jazaakallahu Khayrah
Allah akuhifadhi kaka yetu..sheikh wetu allah akupe taufiq ww na masheikh wngn.amiin
Allah amuongoze, Shekhe wetu Qassim mafuta na Muhammad mafuta pamoja na mashekhe wetu wa kisalafy
ليس الإنسان إن حرست مسليما حلق الإنسان عداوة أحرار mungu akuhifadhi shekh Mohammed bachu
@nadyanassor6440
2 жыл бұрын
Mashallah 👌
Sheghe Mohammad uko sawa Allah akuwafikishe katika kila kheri inshaallah.
ALLAH akuongoze shekh bachu
Mashalla sheikh naomba nijue utaratibu wa darasa zko msikiti wa masingin nije inshallah
Wallah sheikh Mohammed bachu mungu akubariki hili Jambo la abdallah humeid liliniudhi nilikosa Raha siku mzima niliposikia na nilipo comment wakaja wafuasi wake Fulani ati hatuna elimu jamani hivi mwenye elimu hua hivi kweli mm nilimtoa thamani kabisa kuanzia hio siku subhana llah munggu awape uongofu masheikh msikizane
Maa shaa Allah Shukran Wajazaukum llahu khayra
Sasa hivi dini inafanyika youtube sana kwa kuwa mwapata pesa kuliko kwenda vijijini kuwalingania watu waingie kwenye dini ya haqi. Allah atuongoze inshallah
Shekhe umemzungumzia shkh Aboud rogo rahimahullaah , tunampenda sana na daawa zake tunazipenda sana ta mpaka mpaka qiama tutazpenda
@maryamtanzania9743
11 ай бұрын
Sijaelewa amemzungumzia kwa heri au kwa shari manake kasema fitina za abdu rogwa kidogo niache kumsikiliza manake dawa za abdu rogwa zilikuwa si mchezo na waliomuua ni watu wa suna allah amrehemu shehe wetu abdu rogwa
@amirmape6474
2 ай бұрын
Masalafi wa mchongo wana chuki na shekhe abud rogo
My dear brother. You are young, enthusiastic and energetic MaashaaAllah. You love your deen. Please let us use our talent and resources to what will benefit us and benefit fellow Muslims and mankind. Life is too short. Please don’t loose manners towards fellow Muslims. Try to do what is beneficial. May Allah guide you and me and all humanity
@omarahmad7561
2 жыл бұрын
Oiuii
@omarahmad7561
2 жыл бұрын
I'm I getting this email
@artanahm3389
Жыл бұрын
Its a delicate balance if all ahlu sunnah sheikhs are the polite ones that dont answer back on the evils of ahlu bidah, how will the mass know? we need his style to balance the bulk of our ulama's. Someone has to answer back with enthusiasm. I dont see any problem. Allahu yaalam
@allymahaba3425
Жыл бұрын
You are very right brother. This young man is wasting time in arguments and accusations against Muslims. What he is saying here in the internet has nothing to with Islam. May he tries to boast himself Infront us through media.
Muhammad bachu uwe na adabu uache kujionaona.. Huna adabu..
Subhanallah.allah akuhifadhi
Wallah sheikh Mohammad imefika wakati mashekhe sasa imekuwa km wanaimba taarab mtu anasubiri sheikh flan akosee wamkosoe kwenye media sio sawa mashekh tafuteni mpango mzuri wakukosoana sio kilakitu kwenye media munatueka wakati mgumu sisi wanafunzi wenu au waislam kwa jumla
@fatmamuhammad7642
2 жыл бұрын
My thoughts exactly. Wamekua mina maulidi sijui na bhalo. Msiba mkubwa
@khalidhaji8570
2 жыл бұрын
Msiba mkubwa.
Wallah thumma wallah unanisikitisha sannna nikikuona unaupumbavu kma huu Ila ALLAH akuongoze INSHAALLAH
@Nuru_ya_sunnah.official
Жыл бұрын
We vepeee
@user-ng7fi7nl2r
Ай бұрын
Upumbavu wake nini apo unaona tatizo ulilokuwanalo ww nawenzio anachozungumza apo akuna ubaya wowote lakini ww unaona ubaya uwoni nia mzuri aliyokuwanayo uwoni shari iliyokuwepo kwasasa?
Jifunze kutulia katika mada moja sheikh Naona maneno mengi sanaaaaaaa, mara historia, mara fiqhi, mara hadithi, mara Qur'an, yaani kimsingi hueleweki unachosomesha hasa ni kipi na kwa ushahidi upi
@abubakarihussen8852
2 жыл бұрын
Abu jamala we ndo haueleweki ila alicho ongea watu wameelewa
@abubakarihussen8852
2 жыл бұрын
Au nawe niwatu wa vikundi
@abujamalaalghammawiy7470
2 жыл бұрын
@@abubakarihussen8852 Haya sawa kama watu mwameelewa, labda mimi sio mtu ndiomaana sijaelewa
@abubakarihussen8852
2 жыл бұрын
Abu jamala sio kwamba we sio mtu nimemanisha hivi huenda hukuelewa mada yake haswah alikua anamanisha nn katika jamii sawa mana kusikiza sio kuelewa unaweza sikiliza lkn usielewe mana halis upande wangu na wengine ninavyo ona sms zao naona tumeelewa mana halisi ya kuhus sarafi na makundi makundi yaliyopo kwenye dini kwa ss sawa ndugu ila sio kua ww sio mtu kama ulivyo sema ww
@abujamalaalghammawiy7470
2 жыл бұрын
@@abubakarihussen8852 Anhaaaa sawa, nikweli mimi sijamuelewa pamoja na kuwa nimemsikiliza, maana hatulii na jambo moja, kwahiyo ni ngumu kupata hasa kile kilichokuwa kinazungumzwa, na hasa watu wenye uwelewa mdogo kama kina sie.
Maashallah Allah akutimizie hazimayako mpendane na msameeaane mnatuyumbisha sisi tusiejua Namuomba Allah awakutanishe mashehe woote mumalize tofauti zenu lnshaallah 🤲
Sheh bachu ALLAH akuweke inshaaallah
@DaniDani-v3w
Ай бұрын
Mtoto wake sio yeye
brother👍
Allah akuhifadhi sheikh
Umezungumza vizur Allah akuhifadhi
Mashaallah m/mungu akujaalie uwe mrithi wa marhoom shekh Nassor Bacho Rahimahullah
Shekh Mohammad Allah akuhifafhi,,umezungumza ukweli tupu
Mwenyezi mungu atakunusuru na kilashari yaarab
Mashallah
Allah akuzidishie hirsa na atufanyie weoesi
Sheikh Ahmad Muhammad Msallam wa kenya alifariki mwaka 2020 mwezi wa tisa..Allah amrahamu
Asnt sana al akh ujumbe umefika ALLAH akujaalie upunguze misimamo na uongee hakki kma hivo
جزاك الله خير
ماشاء الله يا محمد ❤❤❤
barakkkallahu fika
Hali hiyo masheikh mtatuchanyanya na kutuvuruga ht sisi mahamuma ambao ALLAH akutujalia na kuwa na Elimu
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Hawa sio masheikh ni mabangi tu Hawa masheikh haswa waliokuwa wachamungu hawalumbani hata kwa bahati mbaya
@jumakumala1337
2 жыл бұрын
@@maryamalli9090 lkn hatushangaa kwa haya mn Rassullullaih aliyatabiri yt hya akisema nyakati za ulimwengu kuelekea kuisha dalili hizi zitatokea , Mashee kugombana , Dini kuonekana mapya , inchi kwa inchi kupigana , watoto wa zinaa kukithiri , watu kula riba sn na kadhali , la msingi nikusimama tu ktk SUNNA na QUR'ANI tu
BACHU UNATABIA YA KUJICHANGA SANA, ABDALLAH HUMEID YUPO SAHIHI SHIDA ILM YAKO KTKT JERH WATAADIL IPO KUSHOTO!! ACHA KUWATETEA WATU WA BID'A! ETI MAULIDI BID'A NDOGO!!UNAJIDANGANYA,, RUDI DARASANI!!
@zubeiramlanzi2480
2 жыл бұрын
Hana tamiyiiz..
Maa shaa Allah
Asalamu aleikum Sheikh mimi naona kwa maoni yangu binafsi japo mimi sio shekh lakini naona haya mambo ya ubishano wa mashekhe wetu mwishowe yataleta mfarakano na hata kufikia mambo ya visasi au kutumiana ugomvi wa kivutana,wazo langu ni kwamba inhekuwa ubora kuwe na maelezo ya fatwah kutoka dar al ifta iliyoundwa huko saudi arabia iwe ndio marja3iya ya mambo mengi yanayoleta ubishi huku kwetu,nina hakika itasaidia sana. Wa Jazaak Allah Kheir.
Shekh kwamaneno yako ya Imani mashaallh
Umaarufu utaupata Muhammad bachu...
Mashaallah sheikh ❤️❤️❤️🇲🇿
Tumekuelewa sana ALLAH AKULINDE na kila SHALI
Hakuna mwanadamu ambaye hakosei. Wanadamu tuheshimiane na tujiepusheni kutukana Waislamu kwa kuwa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametufahamisha kwamba ni ufasiki. Na Allah ndiye anayejua zaidi.
Kaka Bachu.. hhh. Allaah akusaidie.. na akuongoze.
Masha Allah nimekuelewa vizuri sa na sheikh
أحسنت قولا
Mbn katika maimamu wa nne walitofautiana lakin hawajafanya kama wanavyofanya mashekh zetu tatizo nn
@swalehjamal4867
Жыл бұрын
Tatizo tunazua mambo ambayo hayapo katika dini ndio unaona mitihani ya kujibizana hayaishi
@maalimjaffar5563
Жыл бұрын
Ttzo ni hawa masheikh wapya,mabaleghe.
@amerwelder7786
Жыл бұрын
Mashekh wa saiv wanajuwa sana na wachamungu sana
@asalafiyahhussein7767
Жыл бұрын
Hao ma imam wanne tofauti zao hazikuwa katika bidaaah ,usieke sheria katika dini ya Allah ni uzushi
Dahh kwa kweli shekh muhammad bwana unaonekana unasoma sana saiv ni mjuz wa mambo Mungu atakuhifadh inshaaalah
Allah akuongoze maan
Maashallah sh.muhammad naomba unielekeze hiyo hadithi iko ktk kitabu gani ktk hivi vidogo ninashida nayo
Hafidhahulwaahu Shekh.
Wewe mwenyewe tunahisi unavuta bangi. Tunapima maneno yako ni bangi bangi. Hiyo ndio da'waa gani Kwa Waislam!!!! Subhaanallah!!!!
Mashaallah
Barahiyani c nnd mmoja ktka vijoho wenzio
MashaAllah
Watu hawapendi Salaf na ndo haqq ndo njia yako ya kuingia peponi Allah atujaalie tukuwe masalaf alathar Ameen ya rabb my brother fil islam my advice for you is to stick with sunnah and people of sunnah Allah akuongoze wewe ndugu Muhammad bachu na wenzako Allah awaongoze kwenye haqq
@abubakarmgaza9270
2 жыл бұрын
ustadh Allah na mtume wake wanakutaka kuwa muislamu sio salaf acheni makundi na kujiona bora kuliko wengine hivi mnajua mnachokifanya ni ubaguzi ambao mtume alituhusia sana juu yake na kuupiga vita??
Like Father like son
Allah akuongoze katika njia ya sawasawa, ufuate sunna ya sawasawa sio hiyo ya kina Barahiani
@mkude
Жыл бұрын
ALLAH AMLINDE NA AMPE UMRI MREFU SHEIKH SALIM BARAHIYAN
Dr. Khamis Imam ni mwanafunzi wangu...😨 Subhana Allah twamombea Mungu Hidaya..
@AbulBarakaat-d4x
18 күн бұрын
Amen ili inakuhusu zaidi wew Dua hii
Kuwa na subra sheikh wetu Wal uskubal kuxhindwa mung akupe nguv na uvumiliv kwn ata mtume wetu alipata vikwazo vingi
Gonga nondo sheikh mashallah
Mimi namshuru Allah kikao Cha kufikiria masher wanavo lumbana nimuhimu kuelewana dini yetu haitaki farka masher mwapoteya na Moto unawasubir badilikeni
Masala
لا هلك من هلك إلا بحب الرياسة "hakuangamia aliyeangamia, isipokuwa (ameangamia) kwa KUPENDA KUWA JUU (KUPENDA UKUBWA) ibn Bachu kiti ulichokalia kimekuzidi, waache wanaostahili wakae
Nimekupenda kwa ajili ya ALLAH AKHIYL KARIM..ALLAH AKUAFIKISHE KTK NIA & ADHIMA YAKO☝🏻
Allah akulipe heri kuwambia ukweli hawo masalafiya jadih
Naaama kila lakheri akhe
Alhamdulillah!!! Allah akuhifadhi
Kijana mwanafunzi Muhammad bachu zidisha kutafuta elimu…bado sana
wewe ustadhi umri wako mdoo sana usijiingize kwenye laana ikawa umepotea sana mswalie sana mtume kisha muombe allah akupe njia sahihi kwa baraka ya sheikh muhammad nassor ambaye jina lake kama lako allah atakuhifadhi inshaallah
Allah akuhifadh kwa jitihad zako Mohammad Bachu Ww n shekh kijana pambana na usawa Hakkı! Allah hamlet 3alim ila kwa makusudıo maalum
@user-bp6fb6wo5u
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/f32lpa2af5PKqbg.html
@allyally4228
2 жыл бұрын
Bahamad
@allyally4228
2 жыл бұрын
Bahamad wasemaje Jiangalie usije ukachagawa
Shekh.upo.vizuri
Na wewe pia uache upuuzi Ilo neno wachana nalo ujadidaujadida wachana nao Wallah humfikii Qasim mafuta kiilimu ww Hata Robo
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Hatujaja kushindana elimu,m/mungu ndie anaemjua nani yuko juu kielimu lakini kinachotakia kua haki iwe juu kuliko mapenzi ya mtu.
@saidikhamis9747
Жыл бұрын
Zahara wewee.
Asalamu alaikum shehee munawapa nguvuu makafirii tujiheshimu na dini yetuu
shukran!!
KAA NA ADABU NA UHESHIMU MAULAMAA.......
Mhmmm ALLAH akuonyeshe Haji maana kwkwel UENDAKO c kuzur
Naam mwendo wa kupigana madongo, Allah atuongoze ktk hakki
Asiyeshirikiano nao hawamtaki sasa kama wao wako na haqq kwanin usishirikiane nao wakutake....Allaahul mustaanu.....
Una majungu sana sana
Hizi tofauti zetu zitatuchelewesha sana hiyo mafuta mwenyewe unaemtaja kasoma tamta karibu masheikh wote was kisunna wamesoma kwa Hawa masheikh Hawa Hawa wa dufu
MUNGU MKUBWA akurind
aibu iyo kama imefikia apo ila inshaallah Allah awajalie umoja.
Sheikh Mohammed niko pamoja na wewe,Suluhu ni jambo analolipenda Allah,ikiwa Lina Radhi za Allah,kuna mambo ya heri nilikuwa nataka nikufuate tuyazungumze,sijui nitakuonea wapi?,Barakallahu feek,Amin
Nakukubali shekhe Ila umeniboa kusema fitina ya aboud logo aboud logo.akuwa fitina yupo.katika haki kabisa
Katangazeni dini vijijini kusikokua na muamko wa dini kuliko kupigana vijembe mitandaoni maana nyie mashekhe wote mnaotukanana mitandaoni ni kwasababu haki na batili mnazijua laakin kama kuna watu vijijini haki haijawafikia vipi nyie mnaoijua haki na batili kazi ni kutukanana tu angalieni saana juu ya hilo lnshaa Allah
Maashalah, may Allah grant your father highest, heaven.....please endeleya kufundisha umma mambo ya dini, na inshaalah Allah will grant you the highest honor, na mungu akulinde.
Sheigh moh'h bachu mashaallah unajitahidi kuchambua deeply
MSEMO WASEMA ALLAH HASHUKI HUSHUKA REHMA ZAKE MNAGOMBANA NYINYI KWA NYINYI SASA MNAOJIITA MASALAFI
ماشاء الله عليك أتمنى أن أكن مثلك يا شيخ... فأسأل الله العظيم ان يرزقني وإياكم توفيق في القول والعمل..آمين
@arafaissa8885
2 жыл бұрын
سبحناالله
@abuuayman804
2 жыл бұрын
ماشاالله يا عيشا
@yusufusultani8308
Жыл бұрын
😊جط
@aishaalizubeir7964
Жыл бұрын
@@omarsakawa2070 فلحمد لله على ذلك 🤲🤲🤲 حمد كثيرا أسالك سؤالا واحدا فقط....هل كلامك يصلح أو ينفع؟؟؟ فالجواب عندك
Hivi mtume s.a.w alikua kundi lipi na sisi tumfuate.? Assalam alayqum
@abdul-qadirkhamis2518
Ай бұрын
الذين آمنوا وتطمإن قلوبوهم
Usimwingile ustadh mafuta sisi niwanafunzi wake fanya hishima nayeye
Shk tendeee 😮😮😮
اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ
@Nurul_Kitab_Wa_Sunnah
Жыл бұрын
و عليكم السلام ورحمة الله وبركاته