HISTORIA YA SHEIKH KASSIM MAFUTA -ALLAH AMUHIFADHI

Пікірлер: 211

  • @user-zz7ox6iq9m
    @user-zz7ox6iq9m4 ай бұрын

    MashaAllah nimepata kujifunza kitu Alhamdulillah 🤲🏿 niingie mzigoni sasa InshaAllah ✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️

  • @abuushaymaatz
    @abuushaymaatz2 жыл бұрын

    Mashekh wetu Allah awahifadhi biidhinih, kweli mlitutoa kwenye jaa, tulikaa Sana na masufi na mahizibi wakatupotezea umri na mda wetu, hatukusoma kwao uislam wa sawa, walillahi lihamdu mmetutua mzigo wa viza. Namuomba Allah ajaalie jitihada zenu hizi ktk mizani ya mema yenu siku ya qiyama.

  • @kassimkilwiye4742

    @kassimkilwiye4742

    2 жыл бұрын

    Jazakallahu khairan

  • @abuushaymaatz

    @abuushaymaatz

    2 жыл бұрын

    @@kassimkilwiye4742 amiin wa iyyaka

  • @muhidinizuberi2726
    @muhidinizuberi27262 жыл бұрын

    Jaman mim natangaza hadharani mim nampenda sana shekhe wangu huyu allah amuifadhi tuzid kustafidi

  • @nabillkhamis8188

    @nabillkhamis8188

    2 жыл бұрын

    Ww tangaza ila uyo si shekhe

  • @mbanga6759

    @mbanga6759

    2 жыл бұрын

    @@nabillkhamis8188 Ninani .?

  • @suleimanabdul-karim1212
    @suleimanabdul-karim12126 ай бұрын

    Allah akubarik sheikh QASSIM Mafuta Allah akupe umri na afiya njema akupe mwisho mwema YaaRab

  • @KassimBakari-mw8ey
    @KassimBakari-mw8ey4 ай бұрын

    Sheikh kassim mafutaa " mashallah " , sijamsahau Babu yangu sheikh twaha pongwe , wako kassim Bakari Bindo kutoka kigamboni dar es salaam.

  • @alimasigasaleh8530
    @alimasigasaleh85303 жыл бұрын

    Sheikh kuelezea kusoma kwake lengo ni kututia jazba na hamu ya kutafuta ilm. Allah amhifadhi

  • @muniratalal8418
    @muniratalal84183 жыл бұрын

    Tafadhali Twaomba mwisho wa kisa Chako chakusoma eilm. ALLAH AKUHIFADHI

  • @swalehfarid5466
    @swalehfarid54663 жыл бұрын

    Utamu Umekatika Njiani Haikuisha Mpaka Mwisho...ALLAH Akuhifadhi Sheikh Qasim Na Akupe Umri Wa Kheri

  • @tawfiqathman2045

    @tawfiqathman2045

    3 жыл бұрын

    Aamin yaa rabbal aalamiin

  • @tawfiqathman2045

    @tawfiqathman2045

    3 жыл бұрын

    Allah atujaalie na ss wengine tuwe mfano wake na ss

  • @user-cy6lm2xi7b
    @user-cy6lm2xi7b2 ай бұрын

    allah akuhifadhi sana maasha Allah nakupenda sana kwa ajili ya allah

  • @meriamumeriamu9015
    @meriamumeriamu9015 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @abuuhudhayfa1838
    @abuuhudhayfa18382 жыл бұрын

    Mashaallah Allah amekuhifadhi akhyy

  • @fadhiliramadhani7758
    @fadhiliramadhani77585 ай бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh wetu,Na baada ya Tawfyq ya Allah tumeijua haqq kupitia ww

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Жыл бұрын

    Naam very good mafuta allah akuhifadhe

  • @abuushaymaatz
    @abuushaymaatz2 жыл бұрын

    Baaraka Allah fiyka wa jazaka Allah khayran sheikhanaa Abul Fadhwil.

  • @hilmialiomar1983
    @hilmialiomar19832 жыл бұрын

    Mashallah, kwa wale hawakusoma muda bado upo tusikate tamaa.

  • @wskn9061
    @wskn90613 жыл бұрын

    JazakAllahu Khairan

  • @user-ok2uh1su6n
    @user-ok2uh1su6n10 ай бұрын

    Mashallah, Allah akuhifadhi sheikh wetu Qasim mafuta na akuzidishie ilm

  • @mbarakassa4347
    @mbarakassa4347 Жыл бұрын

    Mashaallah sheikh Qaaim Mafuta Allah Akuifadhi

  • @muniratalal8418
    @muniratalal84183 жыл бұрын

    Very beneficial may Allah reward you jannatalfirdaus Al Aalaa. Shekhe qasim mafuta and all salafy brothers

  • @azizaj776

    @azizaj776

    2 жыл бұрын

    Yes May Allah reward him JAHANAMA

  • @abuushaymaatz

    @abuushaymaatz

    2 жыл бұрын

    Allahuma amiin, My Allah reward you the same also.

  • @MasoudMasoud-mt9bz
    @MasoudMasoud-mt9bz4 ай бұрын

    Mimi napenda kumuita Gogo la Tanzania Allah akuhifadhi Sana kama Kuna mtu ana namba zake nahitaji kumsalimia tu!

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh28812 жыл бұрын

    May Allah bless you always Ameen Yarrab

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya4633 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi

  • @jumadou8418
    @jumadou84183 жыл бұрын

    Barakallah fikum wajazakallah khaira shykhe wangu

  • @abuunajat4450
    @abuunajat44503 жыл бұрын

    Maashaallah good massage my brother kassim mafuta

  • @hashimiddi4789
    @hashimiddi4789 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi shekhe

  • @umulkulthumabdallasaid8520
    @umulkulthumabdallasaid85209 ай бұрын

    ماشاءالله تبارك الله... الله يحفظك

  • @mustafahkapopwa-bi7yb
    @mustafahkapopwa-bi7yb2 ай бұрын

    Wewe ume acha nuru na kufwata jiza za Muhammad abdul wahabu mwenyezi mungu akuongoze katika kupotea kwako.

  • @rizikishekh7639
    @rizikishekh76392 жыл бұрын

    Allah amzidishie elim shekhe wet

  • @amenakenya7993
    @amenakenya79933 жыл бұрын

    Ma shaa Allah shekh wangu tunaomba muendelezaa shaa Allah Allah akuifadhi Amiyn

  • @faizhassan8423
    @faizhassan84237 ай бұрын

    Mashallah Elmu, kajifuze kuwa na thawaadhu, pamoja kuwa na Hikima na Busara.

  • @muhammadabdallah5304
    @muhammadabdallah5304 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Inshaaaalah na mie nitakuwa zaid yako

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    Allah atulinde na Shari za mawahabi na hao waliopandikizwa mbegu za chuki dhidi ya waislamu

  • @abdulraheemhussein1832

    @abdulraheemhussein1832

    7 ай бұрын

    Kufa na chuki Yako!!!

  • @user-zx5fl5di2x
    @user-zx5fl5di2x5 ай бұрын

    Ummjua mwenyezmungu kupitia mashekhe wa kisufi sai unwatukana n haki kweli

  • @AbuuSumayyah-rh7oi

    @AbuuSumayyah-rh7oi

    Ай бұрын

    Wahiyo ulutaka abaki kwenye batili kwakuwa ndio walio msomesha ?

  • @selemanishabani463
    @selemanishabani4637 ай бұрын

    Huna shukran na mashekh zako walokusomesha kwakutaka ukubwa nyinyi mawahabi ni walokole ktk din hii kila jambo mwajiona mko Sawa kuliko wengine

  • @user-nv3pp3st3f
    @user-nv3pp3st3f8 ай бұрын

    Alla amuhifadhi

  • @Dawah99
    @Dawah993 жыл бұрын

    Our beloved brother, Shaykh Kassim Mafuta حفظه الله

  • @mudarisuburhan3702
    @mudarisuburhan37023 жыл бұрын

    Upo vzr

  • @faatwimahwazir4871
    @faatwimahwazir48713 жыл бұрын

    Allah ambaarik sheikh wet

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy88888 ай бұрын

    لا يجرمنكم شنآن قوم على ان لا تعدلوا اعدلوا هو اقرب للتقوى

  • @ismailkasim979
    @ismailkasim9793 жыл бұрын

    Mm nampenda shekh wangu huyu Allah amuhifadh na mahasidi

  • @saamiaabdallah2160

    @saamiaabdallah2160

    2 жыл бұрын

    Aamiin

  • @abdulkarimmohamed5494
    @abdulkarimmohamed54942 жыл бұрын

    Hata shukran huna .ngojea hisabu yko.من لا يشكر الناس لا يشكر الله

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    Abdulkareem:Ulitaka awe na Shukran kwa nani zaidi ya kwa Allah. Unapogundua njia potofu mahali lazima uhame kwa ajili ya kumhofu Allah: We vipi bwana!

  • @mohamedasaid7910

    @mohamedasaid7910

    2 жыл бұрын

    @@selemanimartin1081 Kwa hivo Sufi ni wapotofu kwa hivo siwaislamu.?

  • @abuuayoubayoub9260

    @abuuayoubayoub9260

    2 жыл бұрын

    @@mohamedasaid7910 hawana jambo hawa mawahabi ndo maana kila siku wako mbali na Allah

  • @abuushaymaatz

    @abuushaymaatz

    2 жыл бұрын

    @@abuuayoubayoub9260 ahahaha ety mbali na Allah, jahil wewe, wewe ni nani kwa Allah mpaka ujue watu wako mbali naye?, Wewe una haki ipi kwa Allah mpaka ujue walio karibu au mbali naye?, Au una dalili ya Hilo? Itaqillah yaa Abuu Jahli

  • @abuushaymaatz

    @abuushaymaatz

    2 жыл бұрын

    @@mohamedasaid7910 nani kasema sio waislamu?, Wana makosa sio kufru, Sasa kwanini wasijirekebishe?

  • @muhidinizuberi2726
    @muhidinizuberi27263 жыл бұрын

    Penda sana shekh wangu ..allah akuifadhi

  • @margayibrahimu4607
    @margayibrahimu46072 жыл бұрын

    Nakupenda kwaajili ya allah Allah akuhifadhi shekh wetu mlezi

  • @abdulazizmsonde985
    @abdulazizmsonde9853 жыл бұрын

    جفظه الله تعا لى

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl6 ай бұрын

    Na hii dhimma uliojibebesha na izi fitna na ubaguzi ulizo zianzishaa ukasababisha waislamu leo kutengana ipoo siku zitakutokea puwani 😢

  • @muslihharith3692
    @muslihharith36923 жыл бұрын

    Allah akuhifadhi shaykh..

  • @yahyamohamed4862
    @yahyamohamed48622 жыл бұрын

    mimi niko nairobi napennda kumsiakiza sheikh hafidhahullah

  • @Heiswatching.

    @Heiswatching.

    2 жыл бұрын

    Allaah akuhifadhi akufanyie wepesi

  • @yahyamohamed4862

    @yahyamohamed4862

    2 жыл бұрын

    @@Heiswatching. amiin ndugu yangu tuko wengi tunataka tuje tusome uko inshaallah

  • @Heiswatching.

    @Heiswatching.

    2 жыл бұрын

    @@yahyamohamed4862 Allaah عز وجل , atawatakieni kheri tu.

  • @Heiswatching.

    @Heiswatching.

    2 жыл бұрын

    @@yahyamohamed4862 dua

  • @yahyamohamed4862

    @yahyamohamed4862

    2 жыл бұрын

    @@Heiswatching. amiin ndugu yangu Allaah akuhifadhi nawewe

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl6 ай бұрын

    Umesoma dini lakini Allah s.w hajakupa takwa huna uchaamungu kazi yako kubwa ni kujisifiaa na kuwachafua waislamu wenzio ambao wanamtazamo mwengine ,na kuleta vurugu basi huna jengine 😢

  • @assayyidaydaruus181
    @assayyidaydaruus1812 жыл бұрын

    Mafuta ya taa haya

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    Wivu wakusumbua

  • @ibrahimracho2357
    @ibrahimracho23573 жыл бұрын

    Ma Sha ALLAH umejaaliwa ilmu, shida ni umenyimwa hikma,faman utal hikma faqad uutiya khairan kathira,sasa huko kujisifu ndio kukosa hikma

  • @fadhilimussa5067

    @fadhilimussa5067

    3 жыл бұрын

    Hajisifu Bali anaelezeaa history ili watu waige mema ..mkasome na nyie

  • @abuhafswin2686

    @abuhafswin2686

    3 жыл бұрын

    Hujui maana yahikma ndo maana ukasema hayo,Allah atuongoze

  • @HamkingCompanyLimited2023

    @HamkingCompanyLimited2023

    2 жыл бұрын

    Huelew unachoongea! Na kla unaloongea ujue wapo malaika juu yako wanadhibiti. Usimuongelee mtu usiyo mjua.

  • @makadac
    @makadac Жыл бұрын

    Nami natamani niwe kama uyu sheikh hapa qasim mafuta

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    Hukwenda kusoma umeenda kutembea tu.Miezi sita unasoma nini?wenzio kima Cha chini ni miaka miwili.

  • @muhammadochenje4610
    @muhammadochenje46102 жыл бұрын

    Zamani wanazuoni wengi waafrika wa mashariki walisoma hapa hapa Africa ya mashariki na kisha kuenda kusoma Arabuni mfano wao ni kina sheikh abdallah bin Muhammad bakathir mwanafunzi wa baba wa harakati za elimu Africa ya mashariki Al habib swaleh bin alwiy Jamalullayl,kina sheikh Abubakar bin Muhammad al maawiy,kina al habib Abubakar bin abdrahman manswab,kina al habib alwy bin Abubakar ashaatwiry na wengineo wengi tu katika mabingwa wa kiilimu wa Africa ya mashariki,hawa walisoma makkah kwa mufti wa makkah wa wakati huo assayyid ahmad zain dahlan, mwenye kitabu maarufu cha dahlan,kina sheikh Muhammad bin said babsweyl alikuwa pia mufti wa makkah kina asayyid Abubakar bin Muhammad shattwa mwenye إعانة الطالبين na vitabu vingine hawa ni baadhi tu ya wanazuoni wa makkah walowahi kuwasomesha wanazuoni wetu hao wakubwa tulowataja,upande wa yemen ni kina al habib Ali bin Muhammad al habshy,kina al imam asayyid Aydarus bin umar,kina al habib abdrahman bin Muhammad al mash-hur.hawa walikuwa wanazuoni walokubalika ulimwengu wa kiisilamu wakati ilmu ilikuwa imezagaa.licha ya yote hayo,wanazuoni wetu wa Africa ya mashariki wengi wao kutoka kisiwa cha lamu kenya na wengine unguja waliporudi kutoka arabuni hawakuwadharau walimu zao wala kujiona eti wao ndio wanajuwa sana,bali heshima yao ilizidi kwa walimu zao na walielimisha jamii toka miaka hiyo mpaka sasa ilmu ya afrika ya mashariki yatoka kwao na makkah na yemen.leo akija mtu kama kassim mafuta na mfano wao na madai eti masalafi mara ilmu swahihi,ni fujo tu kwa jamii na utovu wa nidhamu.Afrika ya mashariki ilmu na uisilamu sahihi uko toka zamani huu upuzi awababaishe wasojuwa na wahabi wenziye,kama ni kusoma njee walitangulia zamani wanazuoni wengi waafrika wa mashariki,eti historia ya kusoma kwake!!lipya ni lipi hapo?au cha ajabu?bali kuonesha utovu wa adabu miaka nyingi amesomeshwa na mashekhe wa kisufi kisha hawaombei rahma akiwataja na kuwashutumu kila wakati,toka kuanza kusoma kwake mbona hasipelekwe kwa masalafi?walikuwa wapi?

  • @abdallahrajabu4401

    @abdallahrajabu4401

    2 жыл бұрын

    Nimekukubali ndugu yangu wewe sio elimu wewe umepata elimu ya hufahamu kutoka kwa Hawa masalafy wasaka tonge...

  • @ismailmsangule1380

    @ismailmsangule1380

    2 жыл бұрын

    Allah atunufaishe kwa barka zao aamin aaamin aaamin aaamin

  • @abdulraheemhussein1832

    @abdulraheemhussein1832

    7 ай бұрын

    Kufa na chuki zako!!! Maulamaa wa Yemen wanajulikana Wacha kutaja wanazuoni masufi na makhurafi!

  • @idrisshogobe6424
    @idrisshogobe64243 жыл бұрын

    Naomba yote, imekatika

  • @user-kq8lk1cx8g
    @user-kq8lk1cx8g7 ай бұрын

    Mbonaa masheikh zako unawaita vijana???

  • @abdallahrajabu4401
    @abdallahrajabu44012 жыл бұрын

    Tatizo kasoma lkn hakupewa hufahamu wa alichokisoma......

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    Abdallah; Hiyo chuki binafsi kwa Sheikh wetu, kakuzidi ki-Elimu wewe na wenzako:

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    We Muongo, wivu unakusumbua kakuzidi sana ki-elimu

  • @abdallahrajabu4401

    @abdallahrajabu4401

    2 жыл бұрын

    Hivi nimeonee wivi mtu anaeshindana na salum Barahiyan kuwa Nani kaleta ulokole ( manhaj ya kisalafy) tz...ndio dini imetufundisha upuhuzi labda kwanyinyi viraza sio mimi

  • @ramadhanmbwana5718

    @ramadhanmbwana5718

    Жыл бұрын

    @@abdallahrajabu4401 Wewe hujielewi ungejielewa usinge sema maneno hayo allah akuongoze

  • @ABUUALLY-tv8rl

    @ABUUALLY-tv8rl

    6 ай бұрын

    😂😂😂 Hana elimu Moja acha kumsifia ,angekuwa anaelimu kweli basi asingesubutu kuwachafua waislamu wenzake ili apate kusifiwa yeye na angeheshimu khilafu za wanachuoni ambao wakubwa ambao hata robo za elimu zao hawezi kuwafikia alafu munamsifia anaelimu 😂😂 ni mpuuzi tu Hana elimu Moja kazi sifa nyinyi basi hamna kitu

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl6 ай бұрын

    Wewe hujasoma kwaajili ya kupata radhi za Allah s.w bali umesoma ili tu kupata sifaa kwa watu basi hunajengine na ndio masalafi mulivyoo sifa nyinyi na kibrii basi hamuna jengine

  • @zahirmahir6965
    @zahirmahir69652 жыл бұрын

    Alosoma hajisifu wala hasemi kama kasoma Ila anajulikana na watu kama msomi.ww mafuta inaonesha kichwa cheupee hata mungu humjui unasema Allah anamikono miguu vidolee Kakaaa kitako mbingunii hayo si maneno yakisomi.

  • @saamiaabdallah2160

    @saamiaabdallah2160

    2 жыл бұрын

    Ila mungu katuchoka no sawa iyooo we nyamaza hujui kitu

  • @murshidhajji4715

    @murshidhajji4715

    2 жыл бұрын

    Allah amuhifadhi sheikh wetu sisi twampenda sana kwa maana anaongea kutoka kwenye kitabu na sunna hatutaki chuki za watu binafsi

  • @ummuzubayr2759
    @ummuzubayr27592 жыл бұрын

    yaan tunauumiwa ni ss tunaoanza kufata quran na sunna,,,,za kisalafi ilaa sasa ndo unakuta hawa masheh ndo wanatoleani tofauti kabisa na kuzihirisha kama wana ugomvi kabisa,allah awajalie waweze kujua jinsi gani wanatuvuruga sisi beginers,,allah awalipeni heri sababu wote mnfanya hayo kwa ajili ya allah.hapa wengine hatujui tushike lipi.anyways :namuomba allah aniongoze kwenye njia ilio sahihi...na hii haihusiani na hio video hapo juu

  • @user-es3kb5ou6r
    @user-es3kb5ou6r3 ай бұрын

    Hivi nikitaka niwe kama sheikh Qasim Mafuta nitakuwa?

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud81386 ай бұрын

    HUNA LOLOTE WEWEEE

  • @jumamzee6999
    @jumamzee69992 жыл бұрын

    Huna mpango hata mmoja zaidi ya kujisifu. Kazi yako fitna mara useme maibadhi uwatukane kwa sababu hawafungi mikono .sasa sisi tuweke mikono wapi karibu ya shingo kwrnye kifua .juu ya kitovu au chini ya kitovu maana ukiingia msikitini kila mmoja kaweka mikono srhemu mbali mbali

  • @hafidhsalum9149

    @hafidhsalum9149

    Жыл бұрын

    Na wewe jisifu tuone basi au ni chuki tuu

  • @leonardmbonea4117
    @leonardmbonea41172 жыл бұрын

    Allah akuongoze au akuvunje mgongo tubia uongo wako dhidi ya watu wa haki

  • @JumaabedNzota

    @JumaabedNzota

    8 ай бұрын

    Hapa shekhe anaongea nawatu wenye ajili haongei na machiz

  • @mahammoudhaji
    @mahammoudhaji2 жыл бұрын

    Hio ni ria tu

  • @khamisptrany9393
    @khamisptrany93933 жыл бұрын

    Subhanalah anawatharau na kuwakejeli maulamaa wakubwa kama abdulmajid zindani na yusuf alqarthawi na sleman al udah na nabil alawadhi na........ Ni Nani weye na muruwsibitha wenzako

  • @user-pk8dn9lv7s

    @user-pk8dn9lv7s

    3 жыл бұрын

    Wewe unawkubali makhawariji hujielewi

  • @khamisptrany9393

    @khamisptrany9393

    3 жыл бұрын

    @@user-pk8dn9lv7s Ni nani makhawarij?

  • @user-pk8dn9lv7s

    @user-pk8dn9lv7s

    3 жыл бұрын

    @@khamisptrany9393 yusufu qardhawi salmanil,auda

  • @khamisptrany9393

    @khamisptrany9393

    3 жыл бұрын

    @@user-pk8dn9lv7s Nipe dalili kwenye qurani na sunah kuwa salman al udah na yusuf alqardhawi na abdul majid zindani na......... ni makhawarij Na ikiwa hukupata dalili kwenye qurani na sunah niambie ni kitu gani kilichokufanya wewe uwaeke kwenye kundi la khawarij?

  • @khamisptrany9393

    @khamisptrany9393

    3 жыл бұрын

    @@aidathsued9938 Nakushukuru sana kwa nasiha yako lakini mpaka sasa sijapata dalili kwenye qurani aw sunah kuwa mashekhe hao ni makhawarij, na wala sijapata vipimo ambavyo vilikufanyeni muwaeke kwenye ukhawarij Nakilini nami nakunasihini sana sana kuwa neno khawarij kihistoria lilitumika kisiasa, kila mpinzani anamtuhumu mpinzani wake kuwa ni makhawarij ili kumpaka matope na kumuondolea sapoti kwa waisilam. Kama leyo linavyo tumika neno ugaidi ( irhab) Ukhawarij ni sifa fulani zikiwepo ndio unaweza kusema kuwa fulani ni kharijiy, sasa je nisifa gani za kikhawarij zilizopo kwa mashekhe hao? Mfano selmani al audah yupo jela, je alie mfunga ni mcha mungu? Aw ni mwanasiasa mpotofu? Ndio maana nakunasihini kuwa tujaribu kuchambuwa baina ya aqidah na siasa, kwani upotofu wa siasa umefekenyezwa kwenye dini, na hicho kitu kimeanza tokea enzi za bani umeya

  • @khamisptrany9393
    @khamisptrany93933 жыл бұрын

    Kujisifu tu hata mashekhe walio msomesha hivisasa anawakufurisha Bado anakiri hata kwenye masomo alikuwa anapigana na wenzake tena ugenini

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    3 жыл бұрын

    Kama ni mjinga si unyamaze tu, una ruhusa kuwa mjinga wakati mwengine lakini usitumie vibaya ruhusa hiyo, ukawa mjinga kila jambo wataka kutia lako.

  • @khamisptrany9393

    @khamisptrany9393

    3 жыл бұрын

    @@user-bp6fb6wo5u Mjinga ni weye ulio tiwa ujamu ukawa unabururwa na mijitu ya fitna iliyo kuwa haina elimu , Na kujipa ruhusa ya kufanya ujinga badhi ya wakati, hiyo ni dalili tosha ya kubobea ujinga wako Hata honi haya

  • @hijjafadhili8873

    @hijjafadhili8873

    3 жыл бұрын

    Kwani wewe una elmu kiasi gani mbona kina siku mnaawambia watu hawana elmu jiangalie maana miongoni mwa kibli mtu kujiona yeye Ana elmu kuliko wezake

  • @khamisptrany9393

    @khamisptrany9393

    3 жыл бұрын

    @@hijjafadhili8873 Unajuwa sisi wale wajinga ambao wanabakia na ujinga wao kwa nafsi zao tu sisi hatwaulizi, lakini wajinga hao wakatumia ujinga wao wakanza kuwashambulia wengine huwa tunawabainishia watu kuwa hao ni wajinga, kwani wenye elimu huwa wanaheshimu rai za wengine na hujiepusha na kujenga fitna kwa hoja za kusema kubadilisha munkar

  • @user-xg2uj3wf3e
    @user-xg2uj3wf3e2 ай бұрын

    Mpofu ww kaa chni usome tena kwa masuf

  • @rashid3562
    @rashid3562 Жыл бұрын

    Kwhyo usalafi umeanza juzi tu afu mnaona ndio dini pumbavu

  • @zahirmahir6965
    @zahirmahir69652 жыл бұрын

    Mtu hajisifu mwenyewe Bali husifika ukimuona mtu ajisifu mwenyewe ujue hamna kitu kichwani inawezekana umesoma sana lkn hujafahamu kitu kwani kusoma na kufahamu ni vitu tofauti

  • @saamiaabdallah2160

    @saamiaabdallah2160

    2 жыл бұрын

    Alhamdulillah twamsifu shekhe wetu mpka bac Yani adi raha Allah amuhifadhi na husda za makhawaarij

  • @mohamedkijuu9675

    @mohamedkijuu9675

    6 ай бұрын

    Yaani had raha nikustafid tu elimu ya qasim bin mafuta Allah akihifadhi shekh let la nguvu afu na nyie washamb kama hamjui ki2 kuhusu din fungen midomo yenu so kutoa maneno ya kashfa

  • @ramadhanimussa9324
    @ramadhanimussa93243 жыл бұрын

    Shukra mkuu

  • @rashid3562
    @rashid3562 Жыл бұрын

    Kwhyo usalafi umeanza juzi tu afu mnaona ndio dini

  • @fikafikan8484
    @fikafikan84842 жыл бұрын

    Asalam alekum warahmatullah wabarakatu ustadh mwenye ilimu hajisifu husifiwa pili mwenye elimu hakosowi watu mitandaoni sasa mm sina ilimu lakini mafuta wanitia wasi wasi elimu yako ndogo

  • @abuushakiraddausiy8666

    @abuushakiraddausiy8666

    Жыл бұрын

    Kasome ili asijutie waswas man kukosa elmu pia nitatizo mana lazima Ibliis akutie waswas

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud81386 ай бұрын

    wee punguza kuvuta Bamgi ukubwani

  • @khamisptrany9393
    @khamisptrany93933 жыл бұрын

    mtu ambae ni wafitna huyo bado hajasoma kitu wala hana elimu yoyote

  • @tawfiqathman2045

    @tawfiqathman2045

    3 жыл бұрын

    Naomba nambar yako habiib

  • @khamisptrany9393

    @khamisptrany9393

    3 жыл бұрын

    @@tawfiqathman2045 تفضل karibu

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    3 жыл бұрын

    Duh na wewe umesomea wapi kaka? Ingawa comment zako ni kama wewe ni guta kiasi.

  • @khamisptrany9393

    @khamisptrany9393

    3 жыл бұрын

    @@user-bp6fb6wo5u Mimi mijitu ya fitna kama hiyi huwa ninaichukia sana, na sichiki kwa upotofu wa manhaji aw aqida zao lakini naichukia kwa fitna zao, kwani kazi yao ni kufuatilia mitelezo ya wengine na wasipo pata hujitungia

  • @khamisptrany9393

    @khamisptrany9393

    3 жыл бұрын

    Alie kuwa nyuba yake mi yakiyoo hawalengi wengine mawe

  • @JumaMsangaziMsangazi-nq1ru
    @JumaMsangaziMsangazi-nq1ru6 ай бұрын

    Upo sahihi uliyetoa maoni yako...Mafuta shida yake kubwa kanyimwa HIKMA,NA BUSARA...nahisi ujana bado unsumbua

  • @maryamshuraim4163
    @maryamshuraim41633 жыл бұрын

    kwan ukisoma kwa masufi wanasomesha dini gani ?

  • @mahengomwenyewe4204

    @mahengomwenyewe4204

    3 жыл бұрын

    Mariam unauliza ukisoma kwa masufi unasoma dini gani ?? Marima uko mbali kweli na mambo ya kielim hiv ujui kuna ushia kuna ukadiani ulshabab ambao ni ukhawariji kuna ujahmiyya kuna uashaira hayo yote ni makundi katika dini ya uislam je we wasoma uislam wa kikadiani au upi ?? Lazima ujue baada ya mtume صلى الله عليه وسلم Kufariki waislam waliingia kwenye fitna wakauliwa baadhi ya makhalifa kama vile Othman na waislam wakasambalatika wakaingia watu wa ovu ndani ya dini yetu kwa kupitia mwanya uo na wakaweka myenendo ndani ya dini yetu tukufu ambayo si myenendo ya mtume na maswahaba wake wakaanzisha fikra ndani ya dini zinakwenda kinyume na dini ya mtume na maswahaba wake kama vile kadariyya khawariji murjiya shia wote hawa wamezua mambo kwenye dini maswahaba hawakuridhia walipingana nao lkn wapi moto ulishawaka wakapata nafasi na wao hivyo uislam una njia sahihi na mbovu kwenye kuusoma .

  • @salamakhamis8092

    @salamakhamis8092

    3 жыл бұрын

    @@mahengomwenyewe4204 Sasa ya Masufi ndio umehakikisha wewe ndio miongoni mwao hizo elimu zisizofaa? Uko tayari ukawe shahidi wa hili mbele ya Alla?

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    Wanasomesha Usufi! Tatizo hamtaki kusoma, tutawajibu hivihivi

  • @adamhashim3352
    @adamhashim33523 жыл бұрын

    Hahaaaa mafuta kweli haya

  • @abufatmawario6299
    @abufatmawario62992 жыл бұрын

    Allah akuongoze uwe hizbih!!!

  • @user-kc9ku6vt3g
    @user-kc9ku6vt3g6 ай бұрын

    Allah akupe hekima katika elim yako

  • @salimakida95
    @salimakida953 ай бұрын

    Nini faida ya kutaja ilmu yako?

  • @maryamshuraim4163
    @maryamshuraim41633 жыл бұрын

    Imamu wa mtoro huyu

  • @mahengomwenyewe4204

    @mahengomwenyewe4204

    3 жыл бұрын

    Uyu sio imam wa mtoro ni kassim mafuta yupo pongwe tanga ndio markazi yake ilipo uyu ni salafi sio sufi wa kwa mtoro

  • @sadambakari2579
    @sadambakari25795 ай бұрын

    Allah atupe ilimu na ufahamu tusiwe kama kina hawa masheikh wanaowadharau waliowasomesha

  • @MuhammadHamisi
    @MuhammadHamisi3 ай бұрын

    We ni mjinga Kama akili yako

  • @mohamedsalim972
    @mohamedsalim9723 жыл бұрын

    We Endelea kudharau Watu ndio ushehehe

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    Kamdharau nani,kumrudisha mtu mstarini ndo kumdharau?

  • @ibbutv4275
    @ibbutv42753 жыл бұрын

    Sheikh anajisifu Sana na anakufurisha mpka walimu wake duh hatari hiii

  • @mohdali2408

    @mohdali2408

    3 жыл бұрын

    Anatia moyo watu wajitume sio kucheza pia kwenye elimu Allah ndie mjuz zaid

  • @taturamadhan5940

    @taturamadhan5940

    3 жыл бұрын

    Anwajibu waona kazuka tu

  • @jumanasoro8903
    @jumanasoro89032 жыл бұрын

    Bingwa wa kuwafanyie waislam wenzake kiburi, madharau, kejeli na kufuatilia aibu zao Mafuta hanaa adabu hata chembe

  • @omadal1

    @omadal1

    2 жыл бұрын

    @Juma Naso kwani huo uislamu unao utaja umetufunza kukashifiana from ur comments?

  • @jumanasoro8903

    @jumanasoro8903

    2 жыл бұрын

    @@omadal1 الجزاء من جنس العمل وكما تدين تدان

  • @yaziduhamisi4096
    @yaziduhamisi40962 жыл бұрын

    Ulisilim kabla ya kuwa salafi

  • @ibnayub2374
    @ibnayub23743 жыл бұрын

    Kila nikikaa muda natamani kusikiliza hii historia ya Sheikh Allah amuhifadh

  • @hassanmati4861
    @hassanmati48613 жыл бұрын

    Umeelimika na chochote au umekusanya mielimu tu

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17532 жыл бұрын

    Kumbe ndio huyu Sheikh anaetukana watu, embu wekeni picha yake tumuone

  • @saamiaabdallah2160

    @saamiaabdallah2160

    2 жыл бұрын

    Alafu inasaidia nn ukimuona

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    2 жыл бұрын

    @@saamiaabdallah2160 mimi najua nini itabisaidia ntumie tu picha yake nimuone

  • @saamiaabdallah2160

    @saamiaabdallah2160

    2 жыл бұрын

    @@saidsuleiman1753 كل تسوير حرام Picha haramu

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    2 жыл бұрын

    @@saamiaabdallah2160 kumbe

  • @saamiaabdallah2160

    @saamiaabdallah2160

    2 жыл бұрын

    @@saidsuleiman1753 ndy Kaka

  • @hassanmati4861
    @hassanmati48613 жыл бұрын

    Unaweza ukasoma sana lakin huku elimika hivi leo mnawalingania watu waingie katika kundi na mnasema kua kundi fulani ndo lilo ongoka umeona wapi mambo ayo walinganieni watu waingie kwenye dini sio kuwaita watu katika makundi

  • @mahengomwenyewe4204

    @mahengomwenyewe4204

    3 жыл бұрын

    Hassan wewe mbumbumbu kaa kimya wenzio tulivyokua wajinga tulisema kama wewe lkn baada ya kujitambua tumejua makundi yapo na haya kayasema mtume kama ujui kaa kimya. Utatukana bure kwa ujinga mwisho udhurike

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    Muongo mkubwa, acha kijicho

  • @hashimal-ahdal1210
    @hashimal-ahdal12103 жыл бұрын

    ww kasim mafuta kwangu si shk kabisa

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @khamiskhamis5098

    @khamiskhamis5098

    3 жыл бұрын

    Bade tusome shekh mafuta

  • @yusufodhiambo9623

    @yusufodhiambo9623

    3 жыл бұрын

    wacha kwa na hasid

  • @salimhassan1874

    @salimhassan1874

    2 жыл бұрын

    Mashallah jazzakallah khair.

  • @abuushakiraddausiy8666

    @abuushakiraddausiy8666

    Жыл бұрын

    Hata Mimi ntashangaa ukisema nishekh wako twakuona umepinda hivyoo...wanafunz wakasimu mafuta Allah amuhifadhi wote wamwnyooka maashaallah.....

  • @kassimualli1600
    @kassimualli16002 жыл бұрын

    Wakati umeanza kusoma ulikuwa dhehebu gani?tatizo lenu wote mlikuwa njia iliyonyoka ilipofika miaka ya tisini na ndo yameibuka hayo madhehebu yenu ya kuzusha eti salafii,Salafi wa ukweli washapita zama hizo nyinyi wa Leo ni njaa na jeuri tu na mmezusha mambo mapya ktk dini ndo mnaleta habari zenu za usarafi

  • @AbdulkarimMohamed-og7mx
    @AbdulkarimMohamed-og7mx8 ай бұрын

    Nashangaa ma huyu kijamaa .ndio ahsantae ya punda ni mateke .eeeeeer kweli

  • @azizaj776
    @azizaj7762 жыл бұрын

    Muongo , Jamani acheni kuwaongopea watu , wewe Mafutaa wewe uongo huu wewe PEPO uipate wake , wewe Mafutaa weweeeeeeeeee ACHA KUWAONGOPEA WASIOKUJUA WEWEWEWE KUWA NA KHOFU WEWEWEWEWEWEWE

  • @abuuuthaymeen7049

    @abuuuthaymeen7049

    2 жыл бұрын

    uongo wake ni jambo gan hapo??

  • @abuushakiraddausiy8666

    @abuushakiraddausiy8666

    Жыл бұрын

    Nanini!!!!!!

  • @abusultanzimbawy501
    @abusultanzimbawy5013 жыл бұрын

    Sifa zako za riyaa

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    Muongo

  • @slimshariff1096
    @slimshariff1096 Жыл бұрын

    Hakuna lolote yote ni maslahi. Siku hizi dini umekua ni fashion

  • @Jureyji
    @Jureyji3 жыл бұрын

    ety Shekh Khamis Ame mwanafunzi wako hahahaha unajitetea kisa anakukosoa mienendo yako?

  • @moussamohammad5073

    @moussamohammad5073

    3 жыл бұрын

    Allah Amuhifadhi Sheikh Wetu Abuu Usaamah Khamiys Ibn Ame.

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    3 жыл бұрын

    Hakuna hatia kuwa mwanafunzi wake, pia ukimsikia shkh khamis anakaa ni mwanafunzi wake.

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    Kakuzidi wewe na Huyu umpendae

  • @Jureyji

    @Jureyji

    2 жыл бұрын

    @@selemanimartin1081 katuzidi nini? na ww ndio mtoaji mpaka useme katuzidi?? Nyie baraamika mtihani sana na oftenly huwa hamjielewi mnacho kiongea

  • @omarbuya4520
    @omarbuya45203 жыл бұрын

    Kumbe kujigamba kwote huko ulisoma kwa ahlu twariqa, kisha leo unawaponda.kiukweli twariqa ndio walioeneza dini khususan katika Africa mashariki ukiwemo wewe qassim mafuta.nahakuna mtu ovyo kama wewe.

  • @mahengomwenyewe4204

    @mahengomwenyewe4204

    3 жыл бұрын

    Moja ya matatizo ya usufi unaweza kusoma mda mrefu lkn maarifa ukawa hauna sasa hata tofaut ujaiyona kua kuna vitu kavijua haviko sahihi kaviacha ? Ili ujalisikia kama vile akida ya kiashaira maulid nk unaoneaje ivyo sasa kama unazoakili za kuelewa ?? Inaonesha hata maneno uyaelewi sasa uwo ndio usufi unamsikiliza mtu mwanzo mwisho lkn huelewi kitu.msiba kweli wallahi nami nilikua ivyo ivyo zamani Allah atuongoze

  • @saidibaraza1379

    @saidibaraza1379

    3 жыл бұрын

    إنه من جهلاء الأمة الإسلامية في زمننا هذا ومثله يتشابه بالعالم بل إنه رجل بليد

  • @mahengomwenyewe4204

    @mahengomwenyewe4204

    3 жыл бұрын

    @@saidibaraza1379 Kwavile anakunyosheni lazima mumchukie walillahi Lhamdu tumewagundua waislam walio na fikra za kikhawariji za kishia za kijahmiyya za kimuutazila tumewajua makadiyani na tumewajua Ahlu Sunnah wa kweli na wanaharakat we baki ivyo ivyo kua kama mwehu hata ujijui manhaji gani ukisema uislam hauna makundi tunakuambia makundi yapo yalitabiliwa na mtume na yalishatokea kitambo kirefu tangu kuuliwa kwa Othman ibn Affaan kama unaporojo zako lete nakusubir najua makhurafi hanaga hoja mnaporojo za namrudh

  • @selemanimartin1081

    @selemanimartin1081

    2 жыл бұрын

    Omar: majigambo hayapo ila kakuzidi sana ki-elimu kikusumbuacho ni Husda-roho yskuuma sana, halafu mi nakufahamu toka shuleni,uwezo wako ulikuwa chini sana

Келесі