SHEIKH MSELEM ASIKITISHWA NA WANAO MRAD MITANDAONI"MIMI YANANIFIKA MENGI SIMJIBU MTU NAKAA KIMYA TU"
#AdilTV
Жүктеу.....
Пікірлер: 62
@sharaful-anaam1382 ай бұрын
Wallahi katika nchi hii tungekuwa na ma sheikh kama hawa wallahi nchi ingekuwa na neema za kutosha ALLAH AKUHIFADHI MAALIM
@sharifuburuhani19692 ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya ALLAH sheikh Msellem Bin Ally, wewe ni Roll modell wangu!
@kondomrisho87762 ай бұрын
Safi sana uchamungu huwa daima kujishusha Allah (sw) akuhifadhi mzee wangu na hasad za mwana wa adamu
@saidimdoe52462 ай бұрын
Huyu shekhe hajikwezi ingekuwa wengine maneno mengi
@ramadhanmbarak39792 ай бұрын
Allah akuhifadh sheikh tunakuelewa Sana MaashaAllah
@jumagora34622 ай бұрын
Asante mungu akulinde na shari pamoja na ss kibabu kimamaliza kila kitu
@suleim5052 ай бұрын
HAYA NDIYO MANENO YA KUJIBU MTU MWENYE ELIMU NA KUJUA NAMNA YA KUITUMIA: KWA HAKIKA UMETOA MAJIBU MAZURI MNO ALLAH AKULIPE KWA UVUMILIVUWAKO.
@makerebul36502 ай бұрын
Allah akuhifadhi unaeleweka sana Mashallah.
@bakarfaki-vb8kv2 ай бұрын
Hivi ndio watu wema wanavyokuwa katika maisha yao si kijana mwenzangu Haji upepo na niendelee kusema kuwa Haji mm ni mwanafunzi Lakn sijafikia kuwaradd masheikh kwa sababu wao ni binaadamu Kama ulivo ww Haji upepo. Hebu tuwe na aadab kwa hawa masheikh watupe like walichonacho 😢
@mhusinigau3231
2 ай бұрын
Yeye Haji kamvunjia adabu shehe mselemu kwani km hao wengine wamevunjiwa adabu basi hao waliovunjiwa adabu walivunja adabu za watu pia
@sharaful-anaam138
2 ай бұрын
Kosa la haji upepo lipo wapi kwa sheikh mselem mbona hao masheikh wenu wanaomradd sheikh mselem hamuwataji sheikh haji upepo amemsifu sheikh mselem ijapo kuwa watofautiana kiaqida lkn anampenda na anamsikiliza ndo alivyo sema Sasa hao masheikh zenu wanao mponda sheikh mselem hajui kutafsri Quran hamuwataji wacheni ushabiki usio na maana sote ni ndugu wa nyumba moja
@azizayassin3623
2 ай бұрын
Mtihani haswa kuna vitu vya muhimu mno vya kufanya lkn sasa weee😢😢
@aliabdalla9297
2 ай бұрын
Kwahiyo ww mwenyewe ushajitoa katika hao waja wema tayari maanayule mtoto wa Bachu na kina Abdalla Humeid huwaoni wala huwasikii wanayosema
@sharaful-anaam138
2 ай бұрын
@@aliabdalla9297 kwa khabari zenu hata nyinyi mukifa Nazo sio katika watu wema
@ahmedabry293Ай бұрын
Allah akuhifadhi sh msellem bin ally.. Tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤
@musasefu60922 ай бұрын
May Almighty Allah guide you my mostly favorite shekhe
@PeacefulSoccerGoal-ki7td2 ай бұрын
Alikua ana tafuta kk na shk wetu ALLAH akujalie umri na afya njema
@mchinaaanavoijuwaadiniikiu782320 күн бұрын
Mashaallah Allah ambarkii shkhee watu
@noorsa88dАй бұрын
Allah akuhifadh Sheikh Mselem
@user-rh7lj1lo5x2 ай бұрын
Nimekukubali sheikh Mselem Allah akuhifadhi من تواضع رفعه الله Somesha sheikh kwa mujibu Allah alichokupa na akujalie na msimamo huo huo wa kutokumjibu mtu.
@fahimkarama93412 ай бұрын
mungu akulinde shekhe wangu
@rayaalhabsi17252 ай бұрын
Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab
@HusseinAbdul-is9xq2 ай бұрын
Naam jazzakallahkhery 🎉
@husseinhaji95502 ай бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh wetu
@samiruiddi20772 ай бұрын
Allah akuhidhi shekh mselem hakika mti wenye matunda ndio hupigwa mawe huwezi kukaa chini ya mjohoro akauchucha mawe bali ss tunakuerewa
@jumamohamed48082 ай бұрын
MashaAllah Allah azidi kupa sbra
@ShekhKhamisi2 ай бұрын
جزاك الله الخير
@RamadhaniShabani-nc5ve2 ай бұрын
Sheikh mselem mungu akupe kilalakheri
@khamisrubea50832 ай бұрын
Haji upepo alimtetea sheikh mselem kwa nlivofahamu mm
@sama-_8368
2 ай бұрын
Ni kweli
@SoudShuraim2 ай бұрын
Kwanza hakuna mtu wakumradi huyu simba wa masimba..na ukimradi ni mjinga mkubwa..tunampenda kwaiyo komeni musimradi
@azizayassin36232 ай бұрын
Huu ndio mfano wa wanaume bacho muamsheni
@user-ru1xm6og4j2 ай бұрын
ما شاء الله
@saidrakwe87272 ай бұрын
shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka ........tatizo kuu ni watu kuisoma dini bila kuwa na adabu
@jumagora34622 ай бұрын
Asante kitabu kimemaliza kila kitu
@user-ks4hh8jb6k2 ай бұрын
Huyu ndio shekh sio kujikweza
@saidrakwe87272 ай бұрын
shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka
@SalimAbdulla-gw5rq2 ай бұрын
Wewe ni fundi tunakuombea dua uwe na msimamo huo huo wachamungu huwa wanajitambua pia huwa Allah hawapi ukubwa wa kujipandisha wenyewe Ila Allah huwapandisha mwenyewe na c hapa duniani Bali ni Akhera na ndo hapo kufudhu Tena. Hawa wengine wanaotupiana madongo katika dini moja huwa hamna kitu .
@HasanatAli-de3bf2 ай бұрын
Alie pewa hikma amepewa kheri kubwa sana na naiyona hapa
@rushu12322 ай бұрын
Endelea na daawa sheikh Msellem wachana na vibaraka ya mayahudi kazi yao nikudhalilisha masheikh wenye bidii kama wewe.
@RamadhaniShabani-nc5ve2 ай бұрын
Haowànokutuka achananao watoto wadogo achananao wanata kiki
@saidhassan-xg2uo2 ай бұрын
Yule kijana ashike adabu yake
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Haji upepe huyo hule jamaa bwana
@ahmedbadi58222 ай бұрын
Tatizo ni wewe wataka kuraddi wengine watu wasomeshe Tu kila MTU ashike pa kushika.
@SoudShuraim2 ай бұрын
Haji upepo shika adabu yako..
@mhusinigau3231
2 ай бұрын
Kwani Haji upepo alisema mselemu ni khawaarij punguza ujinga kichwani mwako
Upepo hajakosea amesema huyu Sheikh ni mfano wa kuigwa hilo ni kosa kwan ndugu?
@khamisfarouk94932 ай бұрын
Mawahabi waige mfano wa sheikh Msellem
@rayisadesigns2646
2 ай бұрын
Sheikh sio wahabi ingawa watu wengi wanadhani hivyo
@HamadaZubeirTahir
2 ай бұрын
Kwani huyu sheikh ni Muwahabbi?
@ramadhankheir4793
2 ай бұрын
Acha zako ww mzushi
@abdulabdulathumani5992
2 ай бұрын
Wewe je huna chakuiga
@Grataaaaa
2 ай бұрын
Mselem hana kund mnajifanya kumradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi hmna ata hekma usomi gani kubishana wakati kuna watu hawamuelewi ata ALLAH wengine hawaswali nendeni mkawafikishie mnaradi mnaradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi
@MdNasr-jm8pj2 ай бұрын
😢Bora mwenzangu usije sema ukaoza jela kukaa kimya si kilema
@JamesMakes-rn6kz2 ай бұрын
haji upepo acha kiburi ungali mtoto ktk elimu, wew mwnyewe apo una makos tele
Пікірлер: 62
Wallahi katika nchi hii tungekuwa na ma sheikh kama hawa wallahi nchi ingekuwa na neema za kutosha ALLAH AKUHIFADHI MAALIM
Nakupenda kwa ajili ya ALLAH sheikh Msellem Bin Ally, wewe ni Roll modell wangu!
Safi sana uchamungu huwa daima kujishusha Allah (sw) akuhifadhi mzee wangu na hasad za mwana wa adamu
Huyu shekhe hajikwezi ingekuwa wengine maneno mengi
Allah akuhifadh sheikh tunakuelewa Sana MaashaAllah
Asante mungu akulinde na shari pamoja na ss kibabu kimamaliza kila kitu
HAYA NDIYO MANENO YA KUJIBU MTU MWENYE ELIMU NA KUJUA NAMNA YA KUITUMIA: KWA HAKIKA UMETOA MAJIBU MAZURI MNO ALLAH AKULIPE KWA UVUMILIVUWAKO.
Allah akuhifadhi unaeleweka sana Mashallah.
Hivi ndio watu wema wanavyokuwa katika maisha yao si kijana mwenzangu Haji upepo na niendelee kusema kuwa Haji mm ni mwanafunzi Lakn sijafikia kuwaradd masheikh kwa sababu wao ni binaadamu Kama ulivo ww Haji upepo. Hebu tuwe na aadab kwa hawa masheikh watupe like walichonacho 😢
@mhusinigau3231
2 ай бұрын
Yeye Haji kamvunjia adabu shehe mselemu kwani km hao wengine wamevunjiwa adabu basi hao waliovunjiwa adabu walivunja adabu za watu pia
@sharaful-anaam138
2 ай бұрын
Kosa la haji upepo lipo wapi kwa sheikh mselem mbona hao masheikh wenu wanaomradd sheikh mselem hamuwataji sheikh haji upepo amemsifu sheikh mselem ijapo kuwa watofautiana kiaqida lkn anampenda na anamsikiliza ndo alivyo sema Sasa hao masheikh zenu wanao mponda sheikh mselem hajui kutafsri Quran hamuwataji wacheni ushabiki usio na maana sote ni ndugu wa nyumba moja
@azizayassin3623
2 ай бұрын
Mtihani haswa kuna vitu vya muhimu mno vya kufanya lkn sasa weee😢😢
@aliabdalla9297
2 ай бұрын
Kwahiyo ww mwenyewe ushajitoa katika hao waja wema tayari maanayule mtoto wa Bachu na kina Abdalla Humeid huwaoni wala huwasikii wanayosema
@sharaful-anaam138
2 ай бұрын
@@aliabdalla9297 kwa khabari zenu hata nyinyi mukifa Nazo sio katika watu wema
Allah akuhifadhi sh msellem bin ally.. Tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤
May Almighty Allah guide you my mostly favorite shekhe
Alikua ana tafuta kk na shk wetu ALLAH akujalie umri na afya njema
Mashaallah Allah ambarkii shkhee watu
Allah akuhifadh Sheikh Mselem
Nimekukubali sheikh Mselem Allah akuhifadhi من تواضع رفعه الله Somesha sheikh kwa mujibu Allah alichokupa na akujalie na msimamo huo huo wa kutokumjibu mtu.
mungu akulinde shekhe wangu
Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab
Naam jazzakallahkhery 🎉
Allah akuhifadhi Sheikh wetu
Allah akuhidhi shekh mselem hakika mti wenye matunda ndio hupigwa mawe huwezi kukaa chini ya mjohoro akauchucha mawe bali ss tunakuerewa
MashaAllah Allah azidi kupa sbra
جزاك الله الخير
Sheikh mselem mungu akupe kilalakheri
Haji upepo alimtetea sheikh mselem kwa nlivofahamu mm
@sama-_8368
2 ай бұрын
Ni kweli
Kwanza hakuna mtu wakumradi huyu simba wa masimba..na ukimradi ni mjinga mkubwa..tunampenda kwaiyo komeni musimradi
Huu ndio mfano wa wanaume bacho muamsheni
ما شاء الله
shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka ........tatizo kuu ni watu kuisoma dini bila kuwa na adabu
Asante kitabu kimemaliza kila kitu
Huyu ndio shekh sio kujikweza
shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka
Wewe ni fundi tunakuombea dua uwe na msimamo huo huo wachamungu huwa wanajitambua pia huwa Allah hawapi ukubwa wa kujipandisha wenyewe Ila Allah huwapandisha mwenyewe na c hapa duniani Bali ni Akhera na ndo hapo kufudhu Tena. Hawa wengine wanaotupiana madongo katika dini moja huwa hamna kitu .
Alie pewa hikma amepewa kheri kubwa sana na naiyona hapa
Endelea na daawa sheikh Msellem wachana na vibaraka ya mayahudi kazi yao nikudhalilisha masheikh wenye bidii kama wewe.
Haowànokutuka achananao watoto wadogo achananao wanata kiki
Yule kijana ashike adabu yake
Haji upepe huyo hule jamaa bwana
Tatizo ni wewe wataka kuraddi wengine watu wasomeshe Tu kila MTU ashike pa kushika.
Haji upepo shika adabu yako..
@mhusinigau3231
2 ай бұрын
Kwani Haji upepo alisema mselemu ni khawaarij punguza ujinga kichwani mwako
@sharaful-anaam138
2 ай бұрын
Setup hiyo NA WEWE USHIKE ADABU YAKO MWEHU WW
Yulekijana yule upepo yule dawayake inachemka yule
@sama-_8368
2 ай бұрын
Upepo hajakosea amesema huyu Sheikh ni mfano wa kuigwa hilo ni kosa kwan ndugu?
Mawahabi waige mfano wa sheikh Msellem
@rayisadesigns2646
2 ай бұрын
Sheikh sio wahabi ingawa watu wengi wanadhani hivyo
@HamadaZubeirTahir
2 ай бұрын
Kwani huyu sheikh ni Muwahabbi?
@ramadhankheir4793
2 ай бұрын
Acha zako ww mzushi
@abdulabdulathumani5992
2 ай бұрын
Wewe je huna chakuiga
@Grataaaaa
2 ай бұрын
Mselem hana kund mnajifanya kumradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi hmna ata hekma usomi gani kubishana wakati kuna watu hawamuelewi ata ALLAH wengine hawaswali nendeni mkawafikishie mnaradi mnaradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi
😢Bora mwenzangu usije sema ukaoza jela kukaa kimya si kilema
haji upepo acha kiburi ungali mtoto ktk elimu, wew mwnyewe apo una makos tele
Zanzibar hakuna shekh kwa ajili ya dini
@sharaful-anaam138
2 ай бұрын
Mlete baba yako
@AliSalim-yu4mo
Ай бұрын
Kuna Sheikh kwa ajili ya nini?