SHEIKH MSELEM ASIKITISHWA NA WANAO MRAD MITANDAONI"MIMI YANANIFIKA MENGI SIMJIBU MTU NAKAA KIMYA TU"

#AdilTV

Пікірлер: 62

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam1382 ай бұрын

    Wallahi katika nchi hii tungekuwa na ma sheikh kama hawa wallahi nchi ingekuwa na neema za kutosha ALLAH AKUHIFADHI MAALIM

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani19692 ай бұрын

    Nakupenda kwa ajili ya ALLAH sheikh Msellem Bin Ally, wewe ni Roll modell wangu!

  • @kondomrisho8776
    @kondomrisho87762 ай бұрын

    Safi sana uchamungu huwa daima kujishusha Allah (sw) akuhifadhi mzee wangu na hasad za mwana wa adamu

  • @saidimdoe5246
    @saidimdoe52462 ай бұрын

    Huyu shekhe hajikwezi ingekuwa wengine maneno mengi

  • @ramadhanmbarak3979
    @ramadhanmbarak39792 ай бұрын

    Allah akuhifadh sheikh tunakuelewa Sana MaashaAllah

  • @jumagora3462
    @jumagora34622 ай бұрын

    Asante mungu akulinde na shari pamoja na ss kibabu kimamaliza kila kitu

  • @suleim505
    @suleim5052 ай бұрын

    HAYA NDIYO MANENO YA KUJIBU MTU MWENYE ELIMU NA KUJUA NAMNA YA KUITUMIA: KWA HAKIKA UMETOA MAJIBU MAZURI MNO ALLAH AKULIPE KWA UVUMILIVUWAKO.

  • @makerebul3650
    @makerebul36502 ай бұрын

    Allah akuhifadhi unaeleweka sana Mashallah.

  • @bakarfaki-vb8kv
    @bakarfaki-vb8kv2 ай бұрын

    Hivi ndio watu wema wanavyokuwa katika maisha yao si kijana mwenzangu Haji upepo na niendelee kusema kuwa Haji mm ni mwanafunzi Lakn sijafikia kuwaradd masheikh kwa sababu wao ni binaadamu Kama ulivo ww Haji upepo. Hebu tuwe na aadab kwa hawa masheikh watupe like walichonacho 😢

  • @mhusinigau3231

    @mhusinigau3231

    2 ай бұрын

    Yeye Haji kamvunjia adabu shehe mselemu kwani km hao wengine wamevunjiwa adabu basi hao waliovunjiwa adabu walivunja adabu za watu pia

  • @sharaful-anaam138

    @sharaful-anaam138

    2 ай бұрын

    Kosa la haji upepo lipo wapi kwa sheikh mselem mbona hao masheikh wenu wanaomradd sheikh mselem hamuwataji sheikh haji upepo amemsifu sheikh mselem ijapo kuwa watofautiana kiaqida lkn anampenda na anamsikiliza ndo alivyo sema Sasa hao masheikh zenu wanao mponda sheikh mselem hajui kutafsri Quran hamuwataji wacheni ushabiki usio na maana sote ni ndugu wa nyumba moja

  • @azizayassin3623

    @azizayassin3623

    2 ай бұрын

    Mtihani haswa kuna vitu vya muhimu mno vya kufanya lkn sasa weee😢😢

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    2 ай бұрын

    Kwahiyo ww mwenyewe ushajitoa katika hao waja wema tayari maanayule mtoto wa Bachu na kina Abdalla Humeid huwaoni wala huwasikii wanayosema

  • @sharaful-anaam138

    @sharaful-anaam138

    2 ай бұрын

    @@aliabdalla9297 kwa khabari zenu hata nyinyi mukifa Nazo sio katika watu wema

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293Ай бұрын

    Allah akuhifadhi sh msellem bin ally.. Tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤

  • @musasefu6092
    @musasefu60922 ай бұрын

    May Almighty Allah guide you my mostly favorite shekhe

  • @PeacefulSoccerGoal-ki7td
    @PeacefulSoccerGoal-ki7td2 ай бұрын

    Alikua ana tafuta kk na shk wetu ALLAH akujalie umri na afya njema

  • @mchinaaanavoijuwaadiniikiu7823
    @mchinaaanavoijuwaadiniikiu782320 күн бұрын

    Mashaallah Allah ambarkii shkhee watu

  • @noorsa88d
    @noorsa88dАй бұрын

    Allah akuhifadh Sheikh Mselem

  • @user-rh7lj1lo5x
    @user-rh7lj1lo5x2 ай бұрын

    Nimekukubali sheikh Mselem Allah akuhifadhi من تواضع رفعه الله Somesha sheikh kwa mujibu Allah alichokupa na akujalie na msimamo huo huo wa kutokumjibu mtu.

  • @fahimkarama9341
    @fahimkarama93412 ай бұрын

    mungu akulinde shekhe wangu

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17252 ай бұрын

    Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab

  • @HusseinAbdul-is9xq
    @HusseinAbdul-is9xq2 ай бұрын

    Naam jazzakallahkhery 🎉

  • @husseinhaji9550
    @husseinhaji95502 ай бұрын

    Allah akuhifadhi Sheikh wetu

  • @samiruiddi2077
    @samiruiddi20772 ай бұрын

    Allah akuhidhi shekh mselem hakika mti wenye matunda ndio hupigwa mawe huwezi kukaa chini ya mjohoro akauchucha mawe bali ss tunakuerewa

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed48082 ай бұрын

    MashaAllah Allah azidi kupa sbra

  • @ShekhKhamisi
    @ShekhKhamisi2 ай бұрын

    جزاك الله الخير

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve2 ай бұрын

    Sheikh mselem mungu akupe kilalakheri

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50832 ай бұрын

    Haji upepo alimtetea sheikh mselem kwa nlivofahamu mm

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    2 ай бұрын

    Ni kweli

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim2 ай бұрын

    Kwanza hakuna mtu wakumradi huyu simba wa masimba..na ukimradi ni mjinga mkubwa..tunampenda kwaiyo komeni musimradi

  • @azizayassin3623
    @azizayassin36232 ай бұрын

    Huu ndio mfano wa wanaume bacho muamsheni

  • @user-ru1xm6og4j
    @user-ru1xm6og4j2 ай бұрын

    ما شاء الله

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe87272 ай бұрын

    shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka ........tatizo kuu ni watu kuisoma dini bila kuwa na adabu

  • @jumagora3462
    @jumagora34622 ай бұрын

    Asante kitabu kimemaliza kila kitu

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k2 ай бұрын

    Huyu ndio shekh sio kujikweza

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe87272 ай бұрын

    shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka

  • @SalimAbdulla-gw5rq
    @SalimAbdulla-gw5rq2 ай бұрын

    Wewe ni fundi tunakuombea dua uwe na msimamo huo huo wachamungu huwa wanajitambua pia huwa Allah hawapi ukubwa wa kujipandisha wenyewe Ila Allah huwapandisha mwenyewe na c hapa duniani Bali ni Akhera na ndo hapo kufudhu Tena. Hawa wengine wanaotupiana madongo katika dini moja huwa hamna kitu .

  • @HasanatAli-de3bf
    @HasanatAli-de3bf2 ай бұрын

    Alie pewa hikma amepewa kheri kubwa sana na naiyona hapa

  • @rushu1232
    @rushu12322 ай бұрын

    Endelea na daawa sheikh Msellem wachana na vibaraka ya mayahudi kazi yao nikudhalilisha masheikh wenye bidii kama wewe.

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve2 ай бұрын

    Haowànokutuka achananao watoto wadogo achananao wanata kiki

  • @saidhassan-xg2uo
    @saidhassan-xg2uo2 ай бұрын

    Yule kijana ashike adabu yake

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын

    Haji upepe huyo hule jamaa bwana

  • @ahmedbadi5822
    @ahmedbadi58222 ай бұрын

    Tatizo ni wewe wataka kuraddi wengine watu wasomeshe Tu kila MTU ashike pa kushika.

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim2 ай бұрын

    Haji upepo shika adabu yako..

  • @mhusinigau3231

    @mhusinigau3231

    2 ай бұрын

    Kwani Haji upepo alisema mselemu ni khawaarij punguza ujinga kichwani mwako

  • @sharaful-anaam138

    @sharaful-anaam138

    2 ай бұрын

    Setup hiyo NA WEWE USHIKE ADABU YAKO MWEHU WW

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve2 ай бұрын

    Yulekijana yule upepo yule dawayake inachemka yule

  • @sama-_8368

    @sama-_8368

    2 ай бұрын

    Upepo hajakosea amesema huyu Sheikh ni mfano wa kuigwa hilo ni kosa kwan ndugu?

  • @khamisfarouk9493
    @khamisfarouk94932 ай бұрын

    Mawahabi waige mfano wa sheikh Msellem

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    2 ай бұрын

    Sheikh sio wahabi ingawa watu wengi wanadhani hivyo

  • @HamadaZubeirTahir

    @HamadaZubeirTahir

    2 ай бұрын

    Kwani huyu sheikh ni Muwahabbi?

  • @ramadhankheir4793

    @ramadhankheir4793

    2 ай бұрын

    Acha zako ww mzushi

  • @abdulabdulathumani5992

    @abdulabdulathumani5992

    2 ай бұрын

    Wewe je huna chakuiga

  • @Grataaaaa

    @Grataaaaa

    2 ай бұрын

    Mselem hana kund mnajifanya kumradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi hmna ata hekma usomi gani kubishana wakati kuna watu hawamuelewi ata ALLAH wengine hawaswali nendeni mkawafikishie mnaradi mnaradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj2 ай бұрын

    😢Bora mwenzangu usije sema ukaoza jela kukaa kimya si kilema

  • @JamesMakes-rn6kz
    @JamesMakes-rn6kz2 ай бұрын

    haji upepo acha kiburi ungali mtoto ktk elimu, wew mwnyewe apo una makos tele

  • @JandaalHaqeem
    @JandaalHaqeem2 ай бұрын

    Zanzibar hakuna shekh kwa ajili ya dini

  • @sharaful-anaam138

    @sharaful-anaam138

    2 ай бұрын

    Mlete baba yako

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    Ай бұрын

    Kuna Sheikh kwa ajili ya nini?