KISA CHA KIJANA ALIYE TUMIKA KUMROGA MTUME MUHAMMAD S.A.W HII NI HUZUNI ILIYOJE | SHK MSELEM

#AdilTV #sheikhmselembinaly
• KISA CHA KIJANA ALIYE ...

Пікірлер: 102

  • @allyjumarashid6095
    @allyjumarashid6095 Жыл бұрын

    JAZAQALAHU HAIRA SHEIKH MSELEM SHUKRAN KWAKISA.HIKI KWANI SIMULIZI ZA KUROGWA KIPENZI CHETU MTUME MUHAMMAD SWALALAHU ALAY WASALAM TULIKUWA TWAJUA KAROGWA TUU BILA KUJUA ALIYEHUSIKA NA NJAMA HIZO ALLAH AZIDI KUTUPA SIHA NA AFYA. SOTE PAMOJA UZIDI KUTULETEA VISA ZAID

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Жыл бұрын

    Allah akbar ,Hasida huwa karibu yk huwa hatoki mbali, mfano huu Allah amrehemu Mtume Muhammad s a w na wazee wetu waliotangulia

  • @saidkitula4982
    @saidkitula4982 Жыл бұрын

    Shekh mselem Allah akuifadhi

  • @SalfaniMimi
    @SalfaniMimi2 ай бұрын

    Mashalwah Alwah Akuhifadhi

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Жыл бұрын

    Masha Allah shekhe, Jazzaka Allah kheri. Darsa zuri mno

  • @yunussalim265
    @yunussalim265 Жыл бұрын

    بسم الله أرقيك من كل شيئٍ يأذيك من حاسدٍ وعينٍ الله يشفيك

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k2 ай бұрын

    Mashallah

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын

    MASHALLAH SHEKHE SUBHANA LLA WALIHAMDULIL LAILA HAILLAH ALLAH AKBAR KWA UWEZO WAKE MTUME WETU AKAPOA 🤲

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 Жыл бұрын

    MashaAllah shukran sheikh

  • @saidkitula4982
    @saidkitula4982 Жыл бұрын

    Allah akuifadhi shekh mselem tupate elimu

  • @shamesalimsita2456
    @shamesalimsita2456 Жыл бұрын

    Aslm.alkm naam swali langu Inshallah Huyo kijana sliyemtumikia.Mtume aitwaje...?

  • @millenniumoiltanzanialimit1265
    @millenniumoiltanzanialimit1265 Жыл бұрын

    Rabbana nfaana bimaa allamtana

  • @tindambaraka2357
    @tindambaraka2357 Жыл бұрын

    JAZAAKALLAH KHEYR SHK MUSSELEM,NAKIPENDA KWA AJILI YA ALLAH S.W

  • @masoudiddytoto4537
    @masoudiddytoto4537 Жыл бұрын

    Shekhe hotuba mzuri sana maashaallah

  • @MuhabeshUbwaali
    @MuhabeshUbwaali5 ай бұрын

    Masha allh

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 Жыл бұрын

    Subhaanallaah! Subhaanallaah!

  • @kizzstarnly1302
    @kizzstarnly1302 Жыл бұрын

    Jazakallahufih ya shekhe.

  • @leylaamour9804
    @leylaamour9804 Жыл бұрын

    Subhaanallah

  • @mwemeziernest5195
    @mwemeziernest5195 Жыл бұрын

    Hata mkimuunga vipi mudy hawezi kuungika

  • @masoudiddytoto4537
    @masoudiddytoto4537 Жыл бұрын

    Maashaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @erickmaisha4773
    @erickmaisha4773 Жыл бұрын

    Mtume wa mungu harogwi bn huyo nimwongo hakuna uchawi juu ya yakobo🥱🤣🤣

  • @khamiskhamis3165

    @khamiskhamis3165

    11 ай бұрын

    Wew una ukweli gani juu ya hili tulia bwege wew dawa ikuingiye sio sheikh wa mchongo uyo

  • @user-bg5sg6kh9q

    @user-bg5sg6kh9q

    11 ай бұрын

    Ww mjinga kwenda zako

  • @allybin08
    @allybin08 Жыл бұрын

    Subhanallah

  • @idrisaomari434
    @idrisaomari434 Жыл бұрын

    Shida yetu ni uelewa wetu wengi ni mchache,mtume alipewa mtihani na akaletewa tiba ili tujifunze kitu hebu tuwe waelewa

  • @abuukabanga3793
    @abuukabanga3793 Жыл бұрын

    Mikataba ya makubaliano aliyo fanya mtume wetu s.a.w na wasiyo waislam aifanani na hii katiba ya Tanzania

  • @jamilahkatib9342
    @jamilahkatib9342 Жыл бұрын

    Shukran

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO *#*#*#*# kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html

  • @kasimmohamed8225
    @kasimmohamed8225 Жыл бұрын

    Tumepata mafunzo inshaallah

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir3363 Жыл бұрын

    Machozi yangu jamani! Walimroga Rasuulallaah!!

  • @ukhtyrayyan7884

    @ukhtyrayyan7884

    Жыл бұрын

    Ndokwanza leo mujue eeee tatizo hamsomi historia ya mtume wenu watu husoma maulidi

  • @abubakarnassor8280
    @abubakarnassor82807 ай бұрын

    Qur'Inasema tumekumbeni mkae Je!mnadhani hatutakupeni Mitiani ilo ni somo wazee Shida yetu ni uelewa wetu wengi ni mchache, mtume alipewa mtihani na akaletewa tiba ili tujifunze kitu hebu tuwe waelewa.

  • @hawahassan1623
    @hawahassan1623 Жыл бұрын

    I missed him

  • @allyjumarashid6095
    @allyjumarashid6095 Жыл бұрын

    ALLAH KAREEM

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Жыл бұрын

    Duuuu kurogwa kubaya anaulizwa VP wakezako akajibu nimeisha waingilia wote wachawi walimkata Network akawa asomeki anywhere zikanyonyoka shekhe hii usingeiweka kwenye mtandao mbaya hiyo Allah akuwaona wakati wanapanganga kumlonga kipenzi wake mbora Asante sana shekhe m

  • @allymussa7869
    @allymussa7869 Жыл бұрын

    Wewe unauliza mtume Gani anarogwa na mm nakuliza mungu ga ni anatundikwa msalabani?

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Жыл бұрын

    Wakati Muhamad ameathilika na nguvu ya uchawi kiasi alikuwa hajui vitendo alivyokuwa anavitenda zilishuka Aya ngapi na zipi katika Quran yake?

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Жыл бұрын

    Kwani Muhamadi hakufunuliwa na Mwenyezi Mungu kuwa huyo kijana anatumiwa na Mayahudi? Mbona kuna Aya zinasema wakeze hata wakimsema katika jambo lolote Mwenyezi Mungu atamjulisha!!

  • @theanonymous.6741

    @theanonymous.6741

    Жыл бұрын

    Angejuzwa hili jambo lisingetokea, nasi wafuasi wake tusingepata Funzo na pia ilikua ishaandikwa litokee ili hizi Sura zishuke. Allah ndie mjuzi zaidi.

  • @yusuphj2357

    @yusuphj2357

    Жыл бұрын

    @@theanonymous.6741 umejibu vzr

  • @sultansallah8772

    @sultansallah8772

    Жыл бұрын

    Umejibiwa naww tunakuluza... Yesu nae hakujifunulia akamjua yule msaliti alimbusu kweny paji la uso..

  • @kidumikarenga7667

    @kidumikarenga7667

    Жыл бұрын

    Yanayofanyika kwa muhammad ndio tunayoishi nayo sisi. Ulozi upo na Tiba zipo. La kujifunza ni je tujikingeje, pia tunapopatwa na ulozi tujitibieje nk. Hayo ni muhimu kwa kuwa itatuepusha na shirki

  • @MuhammadALI-uc4jg

    @MuhammadALI-uc4jg

    Жыл бұрын

    HUYU ANAPEWA MITIHANI KAMA BINAADAM NAVILEVILE LIMEKUJA HILI KUNA SABABU MAALUM MBELE LENGO LAKE PIA KULETWA HIZI AYA ZA KUJIKINGA NAUCHAWI

  • @bonnymwajombe779
    @bonnymwajombe779 Жыл бұрын

    Shekh Muhammad àlikuwa mtume wa mungu, swali nguvu za gizi zilimwingiaje?

  • @abdulnaseermrisho4342

    @abdulnaseermrisho4342

    Жыл бұрын

    Manabii wote walipatwa na Mitihani kama namna nyie mnavyo amini Yesu alipigwa Misumali kisa zambi zenu na alichezea kipigo cha mawe

  • @shaibhasan9233

    @shaibhasan9233

    Жыл бұрын

    Nikwer ni mtume wa mungu,, lakin ni binadamu kama mim na wew, ndio maan waliweza kumloga,, hapa tunafundishwa kua mtume hakuwa malaika Wala hakua na nguvu za kiungu,,

  • @MuhammadALI-uc4jg

    @MuhammadALI-uc4jg

    Жыл бұрын

    MITUME YOTE AKIWEMO MTUME MUHAMMAD LAZIMA WAPEWE MITIHANI KWA SABABU UYO NI BINAADAM NAKINA POTEKEA KITU KAMA ICHO TUNAPATA FAIDA .BAADAE NAFAIDA ILOPATIKANA NIKUJA KWA IZO AYA ZA KUJIKINGA NAUCHAWI.

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Жыл бұрын

    Huyu mbona ni professor musa asad

  • @fratelltutiilaudatosi4153
    @fratelltutiilaudatosi4153 Жыл бұрын

    Huyo muyahudi angefaa ndiyo akawa mtume

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459

    @mohamedhamismagoraonlinetv459

    Жыл бұрын

    Kafiri mkubwa wewe.

  • @omarbilali9529

    @omarbilali9529

    Жыл бұрын

    Kwa kipi ambacho unaona kingemfanya akawa mtume?

  • @khamisjihadi9833
    @khamisjihadi9833 Жыл бұрын

    Ikesha watu wengne hawaamini kuepo kwa uchawi wakat ushahidi kama huo

  • @ukhtyrayyan7884

    @ukhtyrayyan7884

    Жыл бұрын

    Naaam uchawi upo ila hukupati ila Allah akundikie ila uchawi upo ndomaa zikaja aya zakubadilisha uchswi nahasadi

  • @mohamedsleman3137
    @mohamedsleman3137 Жыл бұрын

    P

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Жыл бұрын

    Mbona Allah aliahidi kumlinda mtume? Ilikuwaje sasa akalogeka kirahisi?

  • @MuhammadALI-uc4jg

    @MuhammadALI-uc4jg

    Жыл бұрын

    AHADI YAKE YA KUMLINDA IKO PALEPALE VIKO VIKO VITU LAKINI KAMA BINAADAM LAZIMA APEWE MITIHANI ILI KIONEKEKANE KIWANGO CHA IMANIYAKE NAPIA HUA NISOMO KWETU NAMNA GANI UISHI YANAPOKUTOKEA MATATIZO KAMA AYO NA UYATATUE VIPI NA KULINDWA KUKUBWA NIKULINDWA NAKUEPUSHWA NA MADHAMBI ASIFANYE NA PIA KUEPUSHWA NA ADHABU YA MOTO HUKO AKHERA.

  • @MuhammadALI-uc4jg

    @MuhammadALI-uc4jg

    Жыл бұрын

    MIMI NAULIZA HIVI INAKUAJE KWA WAKRISTO HUENDA KANISANI NAHUJA WAACHUNGAJI MBALIMBALI PAMOJA NA AO MNOWAITA MITUME .HUJAKUKUOMBEENI MADHAMBI YENU DHAMB GANII HIZO TENA WAKATI YESU KAONDOKA NA DHAMBI ZENU

  • @deathrow8004

    @deathrow8004

    Жыл бұрын

    KUNA KULINDA KWA WATU WASIKUDHURU NA KUNAKUPEWA MTIHANI MOLA MUUMBA ILI IPATIKANE SABABU NA MAFUNDISHO KWA WAHUSIKA. ➡IKIWA YESU ALIWAULIZA WATU WA HERODE MBONA MTAKA KUNIUA MIM MTU NA WAKRISTO WANAAMINI YESU NI MUNGU KWANIN YESU ASINGEWAVURUGA WALE ASKARI WA HEROD? WAKATI YEYE NI MUNGU?👂🏻

  • @ukhtyrayyan7884

    @ukhtyrayyan7884

    Жыл бұрын

    Naaa Alimlinda nasi pia Allah anstukinda nahalitupati hadi yeye atake but pia kuna majiaribu au mithani kama nimuislam au binadamu lazma utajaribia tu pia hapo pamepita hekma kuwa nasie pia tuamini shirk zipo mahasidi wapo nawabaya wapo il nakinga zipo jamani kwani kila ugojwa unadawa zake

  • @nyehungeitsupportltd8546
    @nyehungeitsupportltd8546 Жыл бұрын

    Mtume wa Allah arogwe?! Mtume anaeshushiwa wahy arogwe?! Mm nafsi yangu inakataa. Angerogwa nabii Mussa kwanza na hao hao mayahudi.

  • @ramamtanga3482

    @ramamtanga3482

    Жыл бұрын

    Na mimi nakuuliza ni mungu gani anatundwikwa msalabani na kugongwa misumari

  • @allymussa7869
    @allymussa7869 Жыл бұрын

    Hakuna watu wapumbavu kama nyinyi wakiristo

  • @fratelltutiilaudatosi4153
    @fratelltutiilaudatosi4153 Жыл бұрын

    Mtume gani anarogwa

  • @hajimasoud7210

    @hajimasoud7210

    Жыл бұрын

    Je mungu wenu mbona aliuliwa

  • @alimohamed4712

    @alimohamed4712

    Жыл бұрын

    Kurogwa na kuuliwa Bora yupi

  • @ahmadmzoa74

    @ahmadmzoa74

    Жыл бұрын

    Mnaswara.

  • @ahmadmzoa74

    @ahmadmzoa74

    Жыл бұрын

    Kama mna itakidi kuuwawa Yesu. Vipi ushangae kurogwa.

  • @fratelltutiilaudatosi4153

    @fratelltutiilaudatosi4153

    Жыл бұрын

    Yesu aliuuwa ili Mimi na ww tupate kuokolewa halafu baada ya kuuwawa siku ya tatu akafufuka

  • @vintandaudi1891
    @vintandaudi1891 Жыл бұрын

    Inasikitisha het mtume korogwa, huu ni msiba

  • @ukhtyrayyan7884

    @ukhtyrayyan7884

    Жыл бұрын

    Msiba gani hapo usojua dini

  • @nassorsharifu9837

    @nassorsharifu9837

    Жыл бұрын

    Msiba mkubwa ilikuwa siku mungu yesu alipouawa msalabani

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Жыл бұрын

    Duuuu karogwa mtume je wahaiy ulikuwaje Sasa au ndo hiyo sura ya majini ikasuka akakutanao wakasilimu majini wakawa wakawa ndugu zake mtume haya bwana

  • @erastomushi6525
    @erastomushi6525 Жыл бұрын

    Mtume wa uongo huyo. Anarogwaje kizembe hivyo,,. Hapana uchawi juu ya manabii wa Mungu aliye hai.

  • @mohamedhamismagoraonlinetv459

    @mohamedhamismagoraonlinetv459

    Жыл бұрын

    yamefanyika ili kutufunza sisi. kwani Ayubu aliumwa Mungu alikuwa hawezi kumponya? na ile hadithi yenu feki issa kutundikwa msalabani hata tukisema tuwakubalie kuwa ni kweli je Mungu hakuweza kumchomoa kwenye hiyo misalaba mnayosema.

  • @kibwanasuleiman8325
    @kibwanasuleiman8325 Жыл бұрын

    kisa cha uongo wa dhahiri..mtume hakua dhaifu kiac kwamba uchawi uwe na nguvu kumliko..hali hio inadhihirisha nn

  • @shafiiismail1185

    @shafiiismail1185

    Жыл бұрын

    Kasome hacha ubishi

  • @samxx411

    @samxx411

    Жыл бұрын

    Asirogwe kwani mbona kafa, hayo ni mafunzo sheikh, Kuna vitu Mungu anatufunza kupitia mitihani iliyompata mtume, mbona alipigana vitani na alipigwa, alipigwa mawe na kadha wa kadha. Unajuwa wenzetu walijasahau kama hivyo hadi kumwita Mungu kwa kuona hana udhaifu. Soma kaka elimu ya qurani na hadithi

  • @abdulnaseermrisho4342

    @abdulnaseermrisho4342

    Жыл бұрын

    Sikia hii kilaza,uwongo gani sasa hapo umesemwa,Rudi kasome Majinun mkubwa

  • @fratelltutiilaudatosi4153
    @fratelltutiilaudatosi4153 Жыл бұрын

    Kuna haja gani ya kuwa mtume kama mtume analogeka

  • @makysonshirazy88

    @makysonshirazy88

    Жыл бұрын

    Kwani mtume ni nani? Tuanzie hapo kwanza.

  • @ngushy8798

    @ngushy8798

    Жыл бұрын

    Sbri ufe utaend kumjua uko unakokwenda

  • @mirajisalehe742
    @mirajisalehe742 Жыл бұрын

    Ina maana huyu nabii alikuwa hajui kuomba Kwa jina la Yesu Kiristo mwana wa Mungu aliye hai? Bora tumfuate tu Bwana Yesu masihi aliye mkuu.

  • @abdulwahidkhamis6684

    @abdulwahidkhamis6684

    Жыл бұрын

    Kwan uyo bwan wenu nae alkwa hajui kuomb ata akaekwa msalabani na kuuliwa(kwa imani yenu)

  • @yusuphj2357

    @yusuphj2357

    Жыл бұрын

    @@abdulwahidkhamis6684 nakunywa chai nasubr ajibu

  • @yusuphj2357

    @yusuphj2357

    Жыл бұрын

    @@abdulwahidkhamis6684 umejibu vzr

  • @nailamohd7693

    @nailamohd7693

    Жыл бұрын

    @@abdulwahidkhamis6684 😃

  • @haridyhillaryndembo1946

    @haridyhillaryndembo1946

    Жыл бұрын

    Yesu hakujua hata msimu WA matunda aliwahi kuulani mti mtini wakati Wa kiangazi kisa alikua na njaa alipoutikisa mti na haukudondosha tunda Ata moja akatoa laana ya Bure mti ukalaaniwa mkuu gani huyu hajui msimu WA matunda ubao ukimkaba😀😀

  • @SalfaniMimi
    @SalfaniMimi2 ай бұрын

    Mashalwah Alwah Akuhifadhi

  • @tasnimoman2046
    @tasnimoman2046 Жыл бұрын

    Shukran

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO *#*#*#*# kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html