KISA CHA KIJANA ALIYE TUMIKA KUMROGA MTUME MUHAMMAD S.A.W HII NI HUZUNI ILIYOJE | SHK MSELEM
#AdilTV #sheikhmselembinaly • KISA CHA KIJANA ALIYE ...
Жүктеу.....
Пікірлер: 102
@allyjumarashid6095 Жыл бұрын
JAZAQALAHU HAIRA SHEIKH MSELEM SHUKRAN KWAKISA.HIKI KWANI SIMULIZI ZA KUROGWA KIPENZI CHETU MTUME MUHAMMAD SWALALAHU ALAY WASALAM TULIKUWA TWAJUA KAROGWA TUU BILA KUJUA ALIYEHUSIKA NA NJAMA HIZO ALLAH AZIDI KUTUPA SIHA NA AFYA. SOTE PAMOJA UZIDI KUTULETEA VISA ZAID
@salummzee9739 Жыл бұрын
Allah akbar ,Hasida huwa karibu yk huwa hatoki mbali, mfano huu Allah amrehemu Mtume Muhammad s a w na wazee wetu waliotangulia
@saidkitula4982 Жыл бұрын
Shekh mselem Allah akuifadhi
@SalfaniMimi2 ай бұрын
Mashalwah Alwah Akuhifadhi
@abdulhida8291 Жыл бұрын
Masha Allah shekhe, Jazzaka Allah kheri. Darsa zuri mno
@yunussalim265 Жыл бұрын
بسم الله أرقيك من كل شيئٍ يأذيك من حاسدٍ وعينٍ الله يشفيك
@user-rt5vq5vc3k2 ай бұрын
Mashallah
@ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын
MASHALLAH SHEKHE SUBHANA LLA WALIHAMDULIL LAILA HAILLAH ALLAH AKBAR KWA UWEZO WAKE MTUME WETU AKAPOA 🤲
@husseinkazungu5101 Жыл бұрын
MashaAllah shukran sheikh
@saidkitula4982 Жыл бұрын
Allah akuifadhi shekh mselem tupate elimu
@shamesalimsita2456 Жыл бұрын
Aslm.alkm naam swali langu Inshallah Huyo kijana sliyemtumikia.Mtume aitwaje...?
@millenniumoiltanzanialimit1265 Жыл бұрын
Rabbana nfaana bimaa allamtana
@tindambaraka2357 Жыл бұрын
JAZAAKALLAH KHEYR SHK MUSSELEM,NAKIPENDA KWA AJILI YA ALLAH S.W
@masoudiddytoto4537 Жыл бұрын
Shekhe hotuba mzuri sana maashaallah
@MuhabeshUbwaali5 ай бұрын
Masha allh
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Subhaanallaah! Subhaanallaah!
@kizzstarnly1302 Жыл бұрын
Jazakallahufih ya shekhe.
@leylaamour9804 Жыл бұрын
Subhaanallah
@mwemeziernest5195 Жыл бұрын
Hata mkimuunga vipi mudy hawezi kuungika
@masoudiddytoto4537 Жыл бұрын
Maashaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@erickmaisha4773 Жыл бұрын
Mtume wa mungu harogwi bn huyo nimwongo hakuna uchawi juu ya yakobo🥱🤣🤣
@khamiskhamis3165
11 ай бұрын
Wew una ukweli gani juu ya hili tulia bwege wew dawa ikuingiye sio sheikh wa mchongo uyo
@user-bg5sg6kh9q
11 ай бұрын
Ww mjinga kwenda zako
@allybin08 Жыл бұрын
Subhanallah
@idrisaomari434 Жыл бұрын
Shida yetu ni uelewa wetu wengi ni mchache,mtume alipewa mtihani na akaletewa tiba ili tujifunze kitu hebu tuwe waelewa
@abuukabanga3793 Жыл бұрын
Mikataba ya makubaliano aliyo fanya mtume wetu s.a.w na wasiyo waislam aifanani na hii katiba ya Tanzania
@jamilahkatib9342 Жыл бұрын
Shukran
@drmussa1220 Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO *#*#*#*# kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html
@kasimmohamed8225 Жыл бұрын
Tumepata mafunzo inshaallah
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Machozi yangu jamani! Walimroga Rasuulallaah!!
@ukhtyrayyan7884
Жыл бұрын
Ndokwanza leo mujue eeee tatizo hamsomi historia ya mtume wenu watu husoma maulidi
@abubakarnassor82807 ай бұрын
Qur'Inasema tumekumbeni mkae Je!mnadhani hatutakupeni Mitiani ilo ni somo wazee Shida yetu ni uelewa wetu wengi ni mchache, mtume alipewa mtihani na akaletewa tiba ili tujifunze kitu hebu tuwe waelewa.
@hawahassan1623 Жыл бұрын
I missed him
@allyjumarashid6095 Жыл бұрын
ALLAH KAREEM
@prochesernest5439 Жыл бұрын
Duuuu kurogwa kubaya anaulizwa VP wakezako akajibu nimeisha waingilia wote wachawi walimkata Network akawa asomeki anywhere zikanyonyoka shekhe hii usingeiweka kwenye mtandao mbaya hiyo Allah akuwaona wakati wanapanganga kumlonga kipenzi wake mbora Asante sana shekhe m
@allymussa7869 Жыл бұрын
Wewe unauliza mtume Gani anarogwa na mm nakuliza mungu ga ni anatundikwa msalabani?
@paulmushi2428 Жыл бұрын
Wakati Muhamad ameathilika na nguvu ya uchawi kiasi alikuwa hajui vitendo alivyokuwa anavitenda zilishuka Aya ngapi na zipi katika Quran yake?
@paulmushi2428 Жыл бұрын
Kwani Muhamadi hakufunuliwa na Mwenyezi Mungu kuwa huyo kijana anatumiwa na Mayahudi? Mbona kuna Aya zinasema wakeze hata wakimsema katika jambo lolote Mwenyezi Mungu atamjulisha!!
@theanonymous.6741
Жыл бұрын
Angejuzwa hili jambo lisingetokea, nasi wafuasi wake tusingepata Funzo na pia ilikua ishaandikwa litokee ili hizi Sura zishuke. Allah ndie mjuzi zaidi.
@yusuphj2357
Жыл бұрын
@@theanonymous.6741 umejibu vzr
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Umejibiwa naww tunakuluza... Yesu nae hakujifunulia akamjua yule msaliti alimbusu kweny paji la uso..
@kidumikarenga7667
Жыл бұрын
Yanayofanyika kwa muhammad ndio tunayoishi nayo sisi. Ulozi upo na Tiba zipo. La kujifunza ni je tujikingeje, pia tunapopatwa na ulozi tujitibieje nk. Hayo ni muhimu kwa kuwa itatuepusha na shirki
@MuhammadALI-uc4jg
Жыл бұрын
HUYU ANAPEWA MITIHANI KAMA BINAADAM NAVILEVILE LIMEKUJA HILI KUNA SABABU MAALUM MBELE LENGO LAKE PIA KULETWA HIZI AYA ZA KUJIKINGA NAUCHAWI
@bonnymwajombe779 Жыл бұрын
Shekh Muhammad àlikuwa mtume wa mungu, swali nguvu za gizi zilimwingiaje?
@abdulnaseermrisho4342
Жыл бұрын
Manabii wote walipatwa na Mitihani kama namna nyie mnavyo amini Yesu alipigwa Misumali kisa zambi zenu na alichezea kipigo cha mawe
@shaibhasan9233
Жыл бұрын
Nikwer ni mtume wa mungu,, lakin ni binadamu kama mim na wew, ndio maan waliweza kumloga,, hapa tunafundishwa kua mtume hakuwa malaika Wala hakua na nguvu za kiungu,,
@MuhammadALI-uc4jg
Жыл бұрын
MITUME YOTE AKIWEMO MTUME MUHAMMAD LAZIMA WAPEWE MITIHANI KWA SABABU UYO NI BINAADAM NAKINA POTEKEA KITU KAMA ICHO TUNAPATA FAIDA .BAADAE NAFAIDA ILOPATIKANA NIKUJA KWA IZO AYA ZA KUJIKINGA NAUCHAWI.
@abubakarikisuju80 Жыл бұрын
Huyu mbona ni professor musa asad
@fratelltutiilaudatosi4153 Жыл бұрын
Huyo muyahudi angefaa ndiyo akawa mtume
@mohamedhamismagoraonlinetv459
Жыл бұрын
Kafiri mkubwa wewe.
@omarbilali9529
Жыл бұрын
Kwa kipi ambacho unaona kingemfanya akawa mtume?
@khamisjihadi9833 Жыл бұрын
Ikesha watu wengne hawaamini kuepo kwa uchawi wakat ushahidi kama huo
@ukhtyrayyan7884
Жыл бұрын
Naaam uchawi upo ila hukupati ila Allah akundikie ila uchawi upo ndomaa zikaja aya zakubadilisha uchswi nahasadi
@mohamedsleman3137 Жыл бұрын
P
@daudimichael7338 Жыл бұрын
Mbona Allah aliahidi kumlinda mtume? Ilikuwaje sasa akalogeka kirahisi?
@MuhammadALI-uc4jg
Жыл бұрын
AHADI YAKE YA KUMLINDA IKO PALEPALE VIKO VIKO VITU LAKINI KAMA BINAADAM LAZIMA APEWE MITIHANI ILI KIONEKEKANE KIWANGO CHA IMANIYAKE NAPIA HUA NISOMO KWETU NAMNA GANI UISHI YANAPOKUTOKEA MATATIZO KAMA AYO NA UYATATUE VIPI NA KULINDWA KUKUBWA NIKULINDWA NAKUEPUSHWA NA MADHAMBI ASIFANYE NA PIA KUEPUSHWA NA ADHABU YA MOTO HUKO AKHERA.
@MuhammadALI-uc4jg
Жыл бұрын
MIMI NAULIZA HIVI INAKUAJE KWA WAKRISTO HUENDA KANISANI NAHUJA WAACHUNGAJI MBALIMBALI PAMOJA NA AO MNOWAITA MITUME .HUJAKUKUOMBEENI MADHAMBI YENU DHAMB GANII HIZO TENA WAKATI YESU KAONDOKA NA DHAMBI ZENU
@deathrow8004
Жыл бұрын
KUNA KULINDA KWA WATU WASIKUDHURU NA KUNAKUPEWA MTIHANI MOLA MUUMBA ILI IPATIKANE SABABU NA MAFUNDISHO KWA WAHUSIKA. ➡IKIWA YESU ALIWAULIZA WATU WA HERODE MBONA MTAKA KUNIUA MIM MTU NA WAKRISTO WANAAMINI YESU NI MUNGU KWANIN YESU ASINGEWAVURUGA WALE ASKARI WA HEROD? WAKATI YEYE NI MUNGU?👂🏻
@ukhtyrayyan7884
Жыл бұрын
Naaa Alimlinda nasi pia Allah anstukinda nahalitupati hadi yeye atake but pia kuna majiaribu au mithani kama nimuislam au binadamu lazma utajaribia tu pia hapo pamepita hekma kuwa nasie pia tuamini shirk zipo mahasidi wapo nawabaya wapo il nakinga zipo jamani kwani kila ugojwa unadawa zake
@nyehungeitsupportltd8546 Жыл бұрын
Mtume wa Allah arogwe?! Mtume anaeshushiwa wahy arogwe?! Mm nafsi yangu inakataa. Angerogwa nabii Mussa kwanza na hao hao mayahudi.
@ramamtanga3482
Жыл бұрын
Na mimi nakuuliza ni mungu gani anatundwikwa msalabani na kugongwa misumari
@allymussa7869 Жыл бұрын
Hakuna watu wapumbavu kama nyinyi wakiristo
@fratelltutiilaudatosi4153 Жыл бұрын
Mtume gani anarogwa
@hajimasoud7210
Жыл бұрын
Je mungu wenu mbona aliuliwa
@alimohamed4712
Жыл бұрын
Kurogwa na kuuliwa Bora yupi
@ahmadmzoa74
Жыл бұрын
Mnaswara.
@ahmadmzoa74
Жыл бұрын
Kama mna itakidi kuuwawa Yesu. Vipi ushangae kurogwa.
@fratelltutiilaudatosi4153
Жыл бұрын
Yesu aliuuwa ili Mimi na ww tupate kuokolewa halafu baada ya kuuwawa siku ya tatu akafufuka
@vintandaudi1891 Жыл бұрын
Inasikitisha het mtume korogwa, huu ni msiba
@ukhtyrayyan7884
Жыл бұрын
Msiba gani hapo usojua dini
@nassorsharifu9837
Жыл бұрын
Msiba mkubwa ilikuwa siku mungu yesu alipouawa msalabani
@prochesernest5439 Жыл бұрын
Duuuu karogwa mtume je wahaiy ulikuwaje Sasa au ndo hiyo sura ya majini ikasuka akakutanao wakasilimu majini wakawa wakawa ndugu zake mtume haya bwana
@erastomushi6525 Жыл бұрын
Mtume wa uongo huyo. Anarogwaje kizembe hivyo,,. Hapana uchawi juu ya manabii wa Mungu aliye hai.
@mohamedhamismagoraonlinetv459
Жыл бұрын
yamefanyika ili kutufunza sisi. kwani Ayubu aliumwa Mungu alikuwa hawezi kumponya? na ile hadithi yenu feki issa kutundikwa msalabani hata tukisema tuwakubalie kuwa ni kweli je Mungu hakuweza kumchomoa kwenye hiyo misalaba mnayosema.
@kibwanasuleiman8325 Жыл бұрын
kisa cha uongo wa dhahiri..mtume hakua dhaifu kiac kwamba uchawi uwe na nguvu kumliko..hali hio inadhihirisha nn
@shafiiismail1185
Жыл бұрын
Kasome hacha ubishi
@samxx411
Жыл бұрын
Asirogwe kwani mbona kafa, hayo ni mafunzo sheikh, Kuna vitu Mungu anatufunza kupitia mitihani iliyompata mtume, mbona alipigana vitani na alipigwa, alipigwa mawe na kadha wa kadha. Unajuwa wenzetu walijasahau kama hivyo hadi kumwita Mungu kwa kuona hana udhaifu. Soma kaka elimu ya qurani na hadithi
@abdulnaseermrisho4342
Жыл бұрын
Sikia hii kilaza,uwongo gani sasa hapo umesemwa,Rudi kasome Majinun mkubwa
@fratelltutiilaudatosi4153 Жыл бұрын
Kuna haja gani ya kuwa mtume kama mtume analogeka
@makysonshirazy88
Жыл бұрын
Kwani mtume ni nani? Tuanzie hapo kwanza.
@ngushy8798
Жыл бұрын
Sbri ufe utaend kumjua uko unakokwenda
@mirajisalehe742 Жыл бұрын
Ina maana huyu nabii alikuwa hajui kuomba Kwa jina la Yesu Kiristo mwana wa Mungu aliye hai? Bora tumfuate tu Bwana Yesu masihi aliye mkuu.
@abdulwahidkhamis6684
Жыл бұрын
Kwan uyo bwan wenu nae alkwa hajui kuomb ata akaekwa msalabani na kuuliwa(kwa imani yenu)
@yusuphj2357
Жыл бұрын
@@abdulwahidkhamis6684 nakunywa chai nasubr ajibu
@yusuphj2357
Жыл бұрын
@@abdulwahidkhamis6684 umejibu vzr
@nailamohd7693
Жыл бұрын
@@abdulwahidkhamis6684 😃
@haridyhillaryndembo1946
Жыл бұрын
Yesu hakujua hata msimu WA matunda aliwahi kuulani mti mtini wakati Wa kiangazi kisa alikua na njaa alipoutikisa mti na haukudondosha tunda Ata moja akatoa laana ya Bure mti ukalaaniwa mkuu gani huyu hajui msimu WA matunda ubao ukimkaba😀😀
@SalfaniMimi2 ай бұрын
Mashalwah Alwah Akuhifadhi
@tasnimoman2046 Жыл бұрын
Shukran
@drmussa1220 Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO *#*#*#*# kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html
Пікірлер: 102
JAZAQALAHU HAIRA SHEIKH MSELEM SHUKRAN KWAKISA.HIKI KWANI SIMULIZI ZA KUROGWA KIPENZI CHETU MTUME MUHAMMAD SWALALAHU ALAY WASALAM TULIKUWA TWAJUA KAROGWA TUU BILA KUJUA ALIYEHUSIKA NA NJAMA HIZO ALLAH AZIDI KUTUPA SIHA NA AFYA. SOTE PAMOJA UZIDI KUTULETEA VISA ZAID
Allah akbar ,Hasida huwa karibu yk huwa hatoki mbali, mfano huu Allah amrehemu Mtume Muhammad s a w na wazee wetu waliotangulia
Shekh mselem Allah akuifadhi
Mashalwah Alwah Akuhifadhi
Masha Allah shekhe, Jazzaka Allah kheri. Darsa zuri mno
بسم الله أرقيك من كل شيئٍ يأذيك من حاسدٍ وعينٍ الله يشفيك
Mashallah
MASHALLAH SHEKHE SUBHANA LLA WALIHAMDULIL LAILA HAILLAH ALLAH AKBAR KWA UWEZO WAKE MTUME WETU AKAPOA 🤲
MashaAllah shukran sheikh
Allah akuifadhi shekh mselem tupate elimu
Aslm.alkm naam swali langu Inshallah Huyo kijana sliyemtumikia.Mtume aitwaje...?
Rabbana nfaana bimaa allamtana
JAZAAKALLAH KHEYR SHK MUSSELEM,NAKIPENDA KWA AJILI YA ALLAH S.W
Shekhe hotuba mzuri sana maashaallah
Masha allh
Subhaanallaah! Subhaanallaah!
Jazakallahufih ya shekhe.
Subhaanallah
Hata mkimuunga vipi mudy hawezi kuungika
Maashaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mtume wa mungu harogwi bn huyo nimwongo hakuna uchawi juu ya yakobo🥱🤣🤣
@khamiskhamis3165
11 ай бұрын
Wew una ukweli gani juu ya hili tulia bwege wew dawa ikuingiye sio sheikh wa mchongo uyo
@user-bg5sg6kh9q
11 ай бұрын
Ww mjinga kwenda zako
Subhanallah
Shida yetu ni uelewa wetu wengi ni mchache,mtume alipewa mtihani na akaletewa tiba ili tujifunze kitu hebu tuwe waelewa
Mikataba ya makubaliano aliyo fanya mtume wetu s.a.w na wasiyo waislam aifanani na hii katiba ya Tanzania
Shukran
kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO *#*#*#*# kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html
Tumepata mafunzo inshaallah
Machozi yangu jamani! Walimroga Rasuulallaah!!
@ukhtyrayyan7884
Жыл бұрын
Ndokwanza leo mujue eeee tatizo hamsomi historia ya mtume wenu watu husoma maulidi
Qur'Inasema tumekumbeni mkae Je!mnadhani hatutakupeni Mitiani ilo ni somo wazee Shida yetu ni uelewa wetu wengi ni mchache, mtume alipewa mtihani na akaletewa tiba ili tujifunze kitu hebu tuwe waelewa.
I missed him
ALLAH KAREEM
Duuuu kurogwa kubaya anaulizwa VP wakezako akajibu nimeisha waingilia wote wachawi walimkata Network akawa asomeki anywhere zikanyonyoka shekhe hii usingeiweka kwenye mtandao mbaya hiyo Allah akuwaona wakati wanapanganga kumlonga kipenzi wake mbora Asante sana shekhe m
Wewe unauliza mtume Gani anarogwa na mm nakuliza mungu ga ni anatundikwa msalabani?
Wakati Muhamad ameathilika na nguvu ya uchawi kiasi alikuwa hajui vitendo alivyokuwa anavitenda zilishuka Aya ngapi na zipi katika Quran yake?
Kwani Muhamadi hakufunuliwa na Mwenyezi Mungu kuwa huyo kijana anatumiwa na Mayahudi? Mbona kuna Aya zinasema wakeze hata wakimsema katika jambo lolote Mwenyezi Mungu atamjulisha!!
@theanonymous.6741
Жыл бұрын
Angejuzwa hili jambo lisingetokea, nasi wafuasi wake tusingepata Funzo na pia ilikua ishaandikwa litokee ili hizi Sura zishuke. Allah ndie mjuzi zaidi.
@yusuphj2357
Жыл бұрын
@@theanonymous.6741 umejibu vzr
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Umejibiwa naww tunakuluza... Yesu nae hakujifunulia akamjua yule msaliti alimbusu kweny paji la uso..
@kidumikarenga7667
Жыл бұрын
Yanayofanyika kwa muhammad ndio tunayoishi nayo sisi. Ulozi upo na Tiba zipo. La kujifunza ni je tujikingeje, pia tunapopatwa na ulozi tujitibieje nk. Hayo ni muhimu kwa kuwa itatuepusha na shirki
@MuhammadALI-uc4jg
Жыл бұрын
HUYU ANAPEWA MITIHANI KAMA BINAADAM NAVILEVILE LIMEKUJA HILI KUNA SABABU MAALUM MBELE LENGO LAKE PIA KULETWA HIZI AYA ZA KUJIKINGA NAUCHAWI
Shekh Muhammad àlikuwa mtume wa mungu, swali nguvu za gizi zilimwingiaje?
@abdulnaseermrisho4342
Жыл бұрын
Manabii wote walipatwa na Mitihani kama namna nyie mnavyo amini Yesu alipigwa Misumali kisa zambi zenu na alichezea kipigo cha mawe
@shaibhasan9233
Жыл бұрын
Nikwer ni mtume wa mungu,, lakin ni binadamu kama mim na wew, ndio maan waliweza kumloga,, hapa tunafundishwa kua mtume hakuwa malaika Wala hakua na nguvu za kiungu,,
@MuhammadALI-uc4jg
Жыл бұрын
MITUME YOTE AKIWEMO MTUME MUHAMMAD LAZIMA WAPEWE MITIHANI KWA SABABU UYO NI BINAADAM NAKINA POTEKEA KITU KAMA ICHO TUNAPATA FAIDA .BAADAE NAFAIDA ILOPATIKANA NIKUJA KWA IZO AYA ZA KUJIKINGA NAUCHAWI.
Huyu mbona ni professor musa asad
Huyo muyahudi angefaa ndiyo akawa mtume
@mohamedhamismagoraonlinetv459
Жыл бұрын
Kafiri mkubwa wewe.
@omarbilali9529
Жыл бұрын
Kwa kipi ambacho unaona kingemfanya akawa mtume?
Ikesha watu wengne hawaamini kuepo kwa uchawi wakat ushahidi kama huo
@ukhtyrayyan7884
Жыл бұрын
Naaam uchawi upo ila hukupati ila Allah akundikie ila uchawi upo ndomaa zikaja aya zakubadilisha uchswi nahasadi
P
Mbona Allah aliahidi kumlinda mtume? Ilikuwaje sasa akalogeka kirahisi?
@MuhammadALI-uc4jg
Жыл бұрын
AHADI YAKE YA KUMLINDA IKO PALEPALE VIKO VIKO VITU LAKINI KAMA BINAADAM LAZIMA APEWE MITIHANI ILI KIONEKEKANE KIWANGO CHA IMANIYAKE NAPIA HUA NISOMO KWETU NAMNA GANI UISHI YANAPOKUTOKEA MATATIZO KAMA AYO NA UYATATUE VIPI NA KULINDWA KUKUBWA NIKULINDWA NAKUEPUSHWA NA MADHAMBI ASIFANYE NA PIA KUEPUSHWA NA ADHABU YA MOTO HUKO AKHERA.
@MuhammadALI-uc4jg
Жыл бұрын
MIMI NAULIZA HIVI INAKUAJE KWA WAKRISTO HUENDA KANISANI NAHUJA WAACHUNGAJI MBALIMBALI PAMOJA NA AO MNOWAITA MITUME .HUJAKUKUOMBEENI MADHAMBI YENU DHAMB GANII HIZO TENA WAKATI YESU KAONDOKA NA DHAMBI ZENU
@deathrow8004
Жыл бұрын
KUNA KULINDA KWA WATU WASIKUDHURU NA KUNAKUPEWA MTIHANI MOLA MUUMBA ILI IPATIKANE SABABU NA MAFUNDISHO KWA WAHUSIKA. ➡IKIWA YESU ALIWAULIZA WATU WA HERODE MBONA MTAKA KUNIUA MIM MTU NA WAKRISTO WANAAMINI YESU NI MUNGU KWANIN YESU ASINGEWAVURUGA WALE ASKARI WA HEROD? WAKATI YEYE NI MUNGU?👂🏻
@ukhtyrayyan7884
Жыл бұрын
Naaa Alimlinda nasi pia Allah anstukinda nahalitupati hadi yeye atake but pia kuna majiaribu au mithani kama nimuislam au binadamu lazma utajaribia tu pia hapo pamepita hekma kuwa nasie pia tuamini shirk zipo mahasidi wapo nawabaya wapo il nakinga zipo jamani kwani kila ugojwa unadawa zake
Mtume wa Allah arogwe?! Mtume anaeshushiwa wahy arogwe?! Mm nafsi yangu inakataa. Angerogwa nabii Mussa kwanza na hao hao mayahudi.
@ramamtanga3482
Жыл бұрын
Na mimi nakuuliza ni mungu gani anatundwikwa msalabani na kugongwa misumari
Hakuna watu wapumbavu kama nyinyi wakiristo
Mtume gani anarogwa
@hajimasoud7210
Жыл бұрын
Je mungu wenu mbona aliuliwa
@alimohamed4712
Жыл бұрын
Kurogwa na kuuliwa Bora yupi
@ahmadmzoa74
Жыл бұрын
Mnaswara.
@ahmadmzoa74
Жыл бұрын
Kama mna itakidi kuuwawa Yesu. Vipi ushangae kurogwa.
@fratelltutiilaudatosi4153
Жыл бұрын
Yesu aliuuwa ili Mimi na ww tupate kuokolewa halafu baada ya kuuwawa siku ya tatu akafufuka
Inasikitisha het mtume korogwa, huu ni msiba
@ukhtyrayyan7884
Жыл бұрын
Msiba gani hapo usojua dini
@nassorsharifu9837
Жыл бұрын
Msiba mkubwa ilikuwa siku mungu yesu alipouawa msalabani
Duuuu karogwa mtume je wahaiy ulikuwaje Sasa au ndo hiyo sura ya majini ikasuka akakutanao wakasilimu majini wakawa wakawa ndugu zake mtume haya bwana
Mtume wa uongo huyo. Anarogwaje kizembe hivyo,,. Hapana uchawi juu ya manabii wa Mungu aliye hai.
@mohamedhamismagoraonlinetv459
Жыл бұрын
yamefanyika ili kutufunza sisi. kwani Ayubu aliumwa Mungu alikuwa hawezi kumponya? na ile hadithi yenu feki issa kutundikwa msalabani hata tukisema tuwakubalie kuwa ni kweli je Mungu hakuweza kumchomoa kwenye hiyo misalaba mnayosema.
kisa cha uongo wa dhahiri..mtume hakua dhaifu kiac kwamba uchawi uwe na nguvu kumliko..hali hio inadhihirisha nn
@shafiiismail1185
Жыл бұрын
Kasome hacha ubishi
@samxx411
Жыл бұрын
Asirogwe kwani mbona kafa, hayo ni mafunzo sheikh, Kuna vitu Mungu anatufunza kupitia mitihani iliyompata mtume, mbona alipigana vitani na alipigwa, alipigwa mawe na kadha wa kadha. Unajuwa wenzetu walijasahau kama hivyo hadi kumwita Mungu kwa kuona hana udhaifu. Soma kaka elimu ya qurani na hadithi
@abdulnaseermrisho4342
Жыл бұрын
Sikia hii kilaza,uwongo gani sasa hapo umesemwa,Rudi kasome Majinun mkubwa
Kuna haja gani ya kuwa mtume kama mtume analogeka
@makysonshirazy88
Жыл бұрын
Kwani mtume ni nani? Tuanzie hapo kwanza.
@ngushy8798
Жыл бұрын
Sbri ufe utaend kumjua uko unakokwenda
Ina maana huyu nabii alikuwa hajui kuomba Kwa jina la Yesu Kiristo mwana wa Mungu aliye hai? Bora tumfuate tu Bwana Yesu masihi aliye mkuu.
@abdulwahidkhamis6684
Жыл бұрын
Kwan uyo bwan wenu nae alkwa hajui kuomb ata akaekwa msalabani na kuuliwa(kwa imani yenu)
@yusuphj2357
Жыл бұрын
@@abdulwahidkhamis6684 nakunywa chai nasubr ajibu
@yusuphj2357
Жыл бұрын
@@abdulwahidkhamis6684 umejibu vzr
@nailamohd7693
Жыл бұрын
@@abdulwahidkhamis6684 😃
@haridyhillaryndembo1946
Жыл бұрын
Yesu hakujua hata msimu WA matunda aliwahi kuulani mti mtini wakati Wa kiangazi kisa alikua na njaa alipoutikisa mti na haukudondosha tunda Ata moja akatoa laana ya Bure mti ukalaaniwa mkuu gani huyu hajui msimu WA matunda ubao ukimkaba😀😀
Mashalwah Alwah Akuhifadhi
Shukran
kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO *#*#*#*# kzread.info/dash/bejne/on6Vp6-zccufl9Y.html