SHK MSELLEM: KAZI KUTIANA MOTONI TU | HAO SALAFI WENYEWE HAWAKUWA HIVI WALIVYO KUNDI HILI LA SALAFI
#RiyadhTvZnz #Zanzibar
Жүктеу.....
Пікірлер: 344
@omarymnola10112 жыл бұрын
Hakika hekma ni kheriii kubwa I wish nikuone live hakika nakupenda kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi kipenzi chetu
@hemedali49102 жыл бұрын
moja katika masheikh ninaowakubali sana sana,mungu ampe umri,hikma na kheri nyingi!sio vijana wetu wa sasa,kaz kutiana moton tu....
@alhajrahassan892 жыл бұрын
Mashallah. Sheikh wetu kipenzi tunafurahi kila tukikuona na tukisikia darsa zako allah akujaalie afya njema wewe pamoja na familia yako amiin
@idrissajuma73082 жыл бұрын
Ewe M/muungu mjalie Mwisho mwema sheikh Mselem bin Ali amiina🤲🏻
@OusWildChannel
2 жыл бұрын
Allahumma ameen, sote pia
@khadijaali2173
2 жыл бұрын
amin
@LuqmanAndrew-nu9rx
4 ай бұрын
Allahumma Amiina
@anuarhemed47472 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na akupe afya njema
@skjjsj18892 жыл бұрын
Shukran sheikh allah akulipe duniani na akhera Allah akuhifadhi
@basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын
ALLAH AKUBARIKI SHK MSELLEM ALLY MSELLEM.
@abdulkarimmavuo6456 ай бұрын
Kuweka picha ya sheikh fulani haifai watu wa riyadhTvznz ,kazi yenu mulete elimu tu, ushabiki acheni,analofanya Huyo sheikh mlumuweka ni haq na sisi twajua,kwaiyo musifanye sheikh wetu Allah amrehemu Msellem kuonekana kwamba anaongelea mtu fulani (ilhali sio hivyo )hio ni makosa waislam
@makolokatanda4456
3 ай бұрын
Acha ushabiki kwe masuhara ya dini
@marrowog89752 жыл бұрын
Shukran sheikh..mselem... *Hakika ya aliepewa hekma amepewa heri nyingi*
@gonasaidjuma27002 жыл бұрын
Mwenyezi mungu alimwambia muhammad nimekukamilishieni yenu nayo niya uislamu. Na mtume wenu nimuhammad kwahivyo wakina musa issa nuhu lbrahim watahukumiwa tofauti .
@adilhabib89882 жыл бұрын
Alhamdullah Maa shaa allah mwenyezmungu atatufanyia wepesi zaid yaliza nyota ya zanzibar ilipo kua haipo shekh wetu
@makerebul36502 ай бұрын
Allah akuhifadhi ukuengeze busara na hekima,wewe huna kiburi,nakupenda sana.
@sheykhansheykhan Жыл бұрын
Allah akuhifadhi na kila shari shekh wetu tuendelee kunufaika kwako.
@user-qz5yu1ud3l4 ай бұрын
Shekh asalaam alaykum hyo ndo mitihan kupimwa allah kaahidi nusra kwa wanaoinusuru din tambua nusra ya allah i kariib akujaalie miongon mw mashahid wa din hii tukufu
@salimaljahwari1 Жыл бұрын
Shukran Skh Mseleem. Allah ijaziik milion kheir. Tumefaidika. Allah akupe umri na afya.
@tumajunior60802 жыл бұрын
Usimdharau kiumbe yeyote wa Allah huenda akawa bora zaidi mbele ya Allah
@kanaanrajab1102
2 жыл бұрын
Fact ukhty
@basakimnguuchannel34022 жыл бұрын
Mashaallah shekhe mselem
@ibugharib3892 жыл бұрын
MASHAALLAH, jazzakallah kheir sheikh Bega kwa bega mpaka Firdaus
@ababukarlinus9355 Жыл бұрын
Shekhe Allah amuongoze na ampe umri mrefu sana Inshallah.
@nurasalimu2403 Жыл бұрын
Nampe shekhe mselem maana anatafsir Quruan kwa vizury kwa utaratibu bila ya papala Allah akuhifadhi shekhe
@gyeong5972 Жыл бұрын
Nampenda sana Kwa ajili ya Allah Sheikh Mselemu Bin Ally
@suleimankhalid5978 Жыл бұрын
Alhamdullah tumelia tumekesha kumuomba Allah awatoe masheh wetu jela leo Alhamdullah
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
Ila nyinyi watu wa Media si vyema kuweka picha ya kumlenga mtu kama hivi - ujumbe utamgusa anayehusika lakini mnavyofanya basi sdhani kuwa ni busara.
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
Huyo bachu mwenyewe hana busara hata moja
@alhilaltvonline
2 жыл бұрын
@@shamimnassor6192 Mimi sijauzungumza upande wowote Ila hoja ni kuwa Sheikh Mselem hakumtaja mtu, Bali amezngumza kwa ujumla wake - hivyo aliyemo yumo. Lakini kwanini hii channel iweke picha ya Mtu fulani?
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
@@alhilaltvonline huwenda Kuna ujumbe utakao mfaa kwenye khutba hii
@alhilaltvonline
2 жыл бұрын
@@shamimnassor6192 InshaaAllah kheri akhuy. Allah atuhifadhi. Atuongoe na kutuondoshea kibri.
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
@@alhilaltvonline amin amin ALLAH atuongoze sote mm nachukia sana haya malumbano ya viongozi wa dini na ndio makafiri wanatembelea madhaifu haya na kupata nafasi kuwahadaa waislam wenye elimu ndogo..angalia yule mchungaji WA kenya ndacha anavoyouchafuwa uislam na vitabu zake za uongo na kuna watu wanamuamini,so watu wale ndio wakupigana nao sio sisi twapigana wenyewe kwa wenyewe
@LuqmanAndrew-nu9rx4 ай бұрын
Allah akulipe kila la kheri na akuepushie kila la sharri na atujaalie sote mwisho mwema Inshallah 🙏
@salmaalisalim2462 Жыл бұрын
Sheikh Allah akuhifadhi akulilpe kheri duniani na akhera
@jamalmohamed34002 жыл бұрын
Jazakllahu khairan... Sheikh
@nuramoboy2 жыл бұрын
Alhamdulilah maalim wetu ,wewe ndio tumekuelewa
@samwelbunzali19142 жыл бұрын
Kisiwa cha maalifa shekh: mselem Ally. Nasaha zako ni nuru kwa wamchao Allah:
@samwelbunzali19142 жыл бұрын
Nyie Riyadhtv znz mnazingua mamb ya din msifananishe na udaku achen kuchonganisha mashekh kwa mashekh: hapo anasoma Qur'an itakayomgusa ndo huyo huyo msilazimishe aonekane kamuongelea mtu huo ni ichochez ambao Allah amekataa
@ashrafseif9460
2 жыл бұрын
Swadakta
@mrfauzy8226
2 жыл бұрын
Wanataka followers kwa kivuli cha dini
@abasmuniru1422 жыл бұрын
Assalamualaiku alykm warahmatullaah, naamshekh jazaaka ALLAH khaira, Ila Nina uwelewa tofauti kidg kwamba hao mayahudi manasara walio tajwa niwale walio amini kabla ya MUHAMMAD SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA, walio muamini issa kisawa sawa na musa kabla ya mtume MUHAMMAD, lakini baada ya kuja mtume hawatakubaliwa Imani zao kulingana na tafsiri ya ibnu kathiir na wengine na ushahidi Ni aya hii :- وَمَنْ يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَنْ يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri. Pili hadithi ya mtume والرسول صلى الله عليه وسلم يقول : " لو كان موسى حياً ما وسعه إلا اتباعي " . Kwa mba hata Kama nabii Musa angekua hai Ange mfuaata MTUME SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA kwasababu sheria zake zimeshapia. Pia ANASEMA :- وعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَنْ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم أَنَّهُ قَالَ: "وَالَّذِي نَفْسُ مُحَمَّدٍ بِيَدِهِ لاَ يَسْمَعُ بِي أَحَدٌ مِنْ هذِهِ الأُمَّةِ يَهُودِيٌّ وَلاَ نَصْرَانِيٌّ، ثُمَّ يَمُوتُ وَلَمْ يُؤْمِنْ بِالَّذِي أُرْسِلْتُ بِهِ، إِلاَّ كَانَ مِنْ أَصْحَابِ النَّارِ". رواه مسلم. Kwamba hato nisikiliza Mimi yahudi Wala nasara katika umahuu na Kisha asiniami kwa Yale niliotumilizwa ila atakua nimiongoni mwa watu wa motoni. Kuonesha kwamba lazima mtu awe muislamu kwaanza kwa kupiga shahada ya kumuamini ALLAH na MTUME.
@mouzamohmad8743
2 жыл бұрын
Sahihi 👌
@mouzamohmad8743
2 жыл бұрын
Sahihi 👍
@mohamedmkami7017
Жыл бұрын
Nasubilia majibu ya hii comment.
@abasmadodo99642 жыл бұрын
Allah akupe pepo inshaallah
@twalibuabdallah6243
5 ай бұрын
❤❤❤aamin
@kimedyrashad9271 Жыл бұрын
Napenda san kumskiiza huy sheikh wng mselem bin ally... Allah ukujaalie mwish mwema
@yusuphkombo84232 жыл бұрын
Shekh mungu akulinde
@khamisrubea50832 жыл бұрын
Sheikh mselem na muhammad bachu wanafahamiana viziri msiweke picha za uchochezi mnaharibu
@sleemhamoud4394
2 жыл бұрын
Mbona Mohd BACHU kasema yeye akiwapinga muamsho na kuwachukia sana kwa sababu akifanya maandamano lakin walipo weka jela akiwaombea duwa walipo toka akatowa hutba kuwa makhawareej ni wafanyao maandamano ktk nchi vp ?
@takdirmahmoud2 жыл бұрын
Shukran Sheikh
@user-ov4js4sw5w3 ай бұрын
ALLAH akuhufadh shekh
@omarkhamis15392 жыл бұрын
Maashallah
@hawahassan16232 жыл бұрын
Alafu nyie Riyadh mtafute heading nzuri kama waislam mnaweka heading za ajabuajabu muwe makini
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Subhanaallah kumbe mashekhe watazania dini mmeifanya kama watu wasiasa wanavyo pigana vita ya inchini na nyinyi ndio mnaelimisha dini kwa watu na ndio mnao leta picha mbaya ya dini 💔💔Inalilah wainalillah rajuuni mwenyezi mungu amjalie mpatane nampendane muache chuki binafsi
@humuodkindi4926
Жыл бұрын
Mijadala na hikma kama hizi ndio sahihi, sio yule kijana mdogo aliekosa heshima.
@abdullahmasakata170
5 ай бұрын
@@humuodkindi4926 Hakika na huo ndio uislam na ndio hekima na busara za kulingania uislam. Sio matusi au dharau au chuki. Tanzania hii kwetu ni hazina kubwa.
@user-ec9dn5mp8y4 ай бұрын
Masha Allah shekhe
@Kimochatv4 ай бұрын
Allah akupe mwisho mwema
@ayoubsadi51862 жыл бұрын
Sharti hapo ni kumuamini Allah. Ni wazi kuwa ukimuamini Allah ni lazima umkubali mtume S. A. W, ndio kusema hao Mayahudi, Waswabiin na Naswara ili wapate kuingia Peponi ni lazima wamkubali Mtume S.A.W na Manabii wote wa Allah. Na ndio Uislamu.
@DreamGirl-xn7ce
2 жыл бұрын
👍
@abdurahimnassoro1667
2 жыл бұрын
Uko sawa sheikh
@tumajunior60802 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekh mselem kwa kuwa ukweli wauma usihofu Allah humpenda msema mkweli
@yussufsaid6542 жыл бұрын
Basi yule ambaye Allaah Anataka kumhidi, Humfungulia kifua chake kwa Uislamu. Na yule ambaye Anataka kumpotoa, Hufanya kifua chake kuwa na dhiki chenye kubana kama kwamba anapanda kwa tabu mbinguni…[Al-An’aam: 125]
@anuarhemed47472 жыл бұрын
Shekh mselem sema kwel japo kua chungu
@user-eg2cg3ts2d2 жыл бұрын
Mashallah sheikh wetu
@cashewnutboardtz7325 Жыл бұрын
Islam Eliasi,Allah akubarik shekh mselem Ally
@khamisrubea50832 жыл бұрын
Ukiwa pocho huwezi kumfahamu sheikh mselem ila ss tunamuelewa sana
@khamishamad5044
2 жыл бұрын
Pocho
@willajr9513
2 жыл бұрын
@@khamishamad5044 pocho ni nini? 🤣
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Shekh mselem basi ijumaa itaekewa hutba usemwe
@user-fq6iw1pb7q
2 жыл бұрын
Hahahahahaahhahaa sasa ah hahaaa
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Watu wa vitabu walioamini wakatenda mema wataingia peponi ikiwa hawatomshirikisha Allah. Tena wale waliopita nasi hawa walokwisha birua Injil na Tawrat na wasioitaka kabisa Qur-an. Qur-an 3:199
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Qur-an 6:21 Na nani dhalimu zaidi kuliko anayemzulia uwongo Mwenyeezi Mungu, na akazikanusha ishara zake? Hakika madhalimu hawafanikiwi.
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Qur-an 6:22 Siku tutakapowakusanya wote pamoja. Kisha tuwaambie walioshirikisha. Wapo wapi washirikishwa wenu mliokua mnadai?
@DreamGirl-xn7ce
2 жыл бұрын
Na watu wa kitabu wanaomuamini Allah (s.w) , na ulichoteremshiwa wewe na walichoteremshiwa wao, na wakatenda mema na wasimshirikishe Allah (s.w). .. 3.199
@shabaniali9825
2 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 ahsante sn
@salummazurui32702 жыл бұрын
Mashaallah sheikh
@user-dr2cq4md8g6 ай бұрын
Dini hii kuna wanachuoni,wenye maarifa zaidi na wanaojua tafsiri zaidi,wala si dini yakuzungumza tu watu wakusifu.wanachuoni ndio dira ya uislamu.
@mahirkombo5352 жыл бұрын
Masalaf wafitin tu hapa kwetu zanzibar
@loveofficial742 жыл бұрын
Hii Aya naona haijapata mfafanuzi wa kina utende mema unavyotenda na unajua Mungu yupo na hauximamixhi xwala 5 bc ujue n bure kabixa.
@nassirali7499
2 жыл бұрын
Kijana una pupa huna skills za kisikiliza, umefika darasa la ngapi? Hebu msikilize vizuri
@saidmaulid44782 жыл бұрын
MashaAllah
@jumaabdurahmani27333 ай бұрын
Huyu shekh inabidi umsikilize kiupole ndio utamuelewa. Na mimi namuelewa kila wakati
@ramadhankheir47932 жыл бұрын
Shukran kwamba umewakubali wema waliotangulia
@husnamohamed9448
2 жыл бұрын
Hata mimi nimewakubali sana hao wema waliotangulia ila hawa wema walioko wallahi ni tafauti kabisaaaa.Maneno yao wallahi hayaniingii akilini kabisaaaa
@ramadhankheir4793
2 жыл бұрын
@@husnamohamed9448 ayo matamanio yako tu
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Kama ingekua nchi zetu ziuadilifu mselem aliy engekua kadhi lakini sii nchi hizi zinekosa uadilifu
@ziadamtebwa37122 жыл бұрын
Allah akulipe hakika umefikisha.
@selemankishema57802 жыл бұрын
Wewe ni zaidi ya dhahabu laiti watu wangejua thamani yako basi ungenunuliwa zaidi ya wacheza mpira lakini mpaka media za kidini siku hizi dili hawana mpaka ubunifu wa kazi
@yussufsaid6542 жыл бұрын
Na kama ukiwatii wengi walioko ulimwenguni, watakupoteza na njia ya Allaah. [Al-An’aam: 116] Na Allaah Anajua zaidi
@alindaro7978
Жыл бұрын
As long as watakuwa wanaamini Allah yupo na wanafanya amal njema.....hawatojutia mwisho wao. Hizi Aya usipokuwa mankini utajitatza bure. Be positive hakuna mkamilifu katika dini na dunia na hakuna anaejua hukmu isipokuwa Allah.
@mussaathumani981410 ай бұрын
Shekhe wewe Allah atu patie umuri mlefu napenda sana kuskia mawaiza yako
@khadijasaidi4834 Жыл бұрын
Allah akulipe Kila la kheri shekhe wetu hao masalfi waliwacheka walokole wa kikiristo sijui wenyewe ni kinanani?Kwa hakika Wana KERA sana kuvaa ngozi ya kondoo wakat ni chui
@abdulrahimsalim88092 жыл бұрын
Alhamdu lillah
@user-fq6iw1pb7q2 жыл бұрын
We riadhi tv wewe usiweke picha kama ivoo hio unayofanya ni firn kaka
@allysuleiman5172 жыл бұрын
Usibabaishe watu sheikh zungumza inavotakiwa kuzungumza
@fadhilimussa50672 жыл бұрын
Shekh kaeleza vzri lakin sjaskia kama kmtaja mwanachuon gani au swahaba gani alitafsriii hivo hiyo aya ya 62 suurat bakaara.kwamba wanao abudu viumbe watalipwa ujira kwa Allah. Naomba ufafanuzi kidg hapo Samahan kwa usumbufu
Enyi walioamini! Tubieni kwa Allaah tawbah ya nasuha (kwelikweli); asaa Rabb wenu Akakufutieni maovu yenu, na Akakuingizeni Jannaat zipitazo chini yake mito. Siku ambayo Allaah Hatomfedhehesha Nabiy (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) na wale walioamini pamoja naye. Nuru yao itatembea mbele yao na kuliani mwao, watasema: “Rabb wetu! Tutimizie Nuru yetu, na Tughufurie, hakika Wewe juu ya kila kitu ni Muweza. [At-Tahriym: 8]
@AbdullBakari
Жыл бұрын
mashallah ni shekh mwenye elmu ya juu Allah amuhifadhi aendelee nadaawa kutumbusha amin
@alisalimhamad35502 жыл бұрын
Mashallah umefafanua vzr shekh ila nashkuri kwakua sote ni waislam basi tusinyoosheane vdole hasa kwakueka picha zidi ya wengne maana lengo ni kufanikiwa siku ya mwsho
@ridhwaniyassir35792 жыл бұрын
Allah atuhifadh
@fadhilimusa9732Ай бұрын
Nadhani bachu amekuskia maana baleghe haijamuishia
@abusumayyah23382 жыл бұрын
Tubieni Enyi waja wa Allaah acheni ukhawaarij
@tibakisunnahnaasili6250
2 жыл бұрын
Khawarij Yuko wapi hapa sasa😂
@burhanhaji769
2 жыл бұрын
Kwani Ili watubie waje kukwambia wewe au we ndo mwenye daftari la watu wanotubia unaandika?
@sadahgullam82282 жыл бұрын
Ila iyo ya kukufulisha watu mi nashangaaga sana kuna watu wanapenda sana kukufulisha wenzao utadhani wao wamejihakikishia kuwa wao ni wapeponi
@shafikakrabi84902 жыл бұрын
Al habib nakukubaki kwa elimu yako, asilimia miamoja. Hivi ndio wanatakiwa maulamaa wetu. Naonba uwaelimishe hao wasiojua kutowa elimi waache kuwakhofishe wasikilizaji. Nungu akuhifadhi
@abumussabnassor61412 жыл бұрын
Hawa riyaztv wakajifunze dini Co kugombanisha mashekh mselem jee alimtaja mtuu waache ujinga hao
@khatibrashid172
Жыл бұрын
Allah atuongoze sote tuliotoa michangio tofaut
@khamisrubea50832 жыл бұрын
Dini lazima uguse engo zote endelea kutupa daawa sheikh mselem wanobweka waache wabweke
@jumahamadomar9124
2 жыл бұрын
Nakukubali kaka,lkni samahani usitumie lugha ya kubweka anaebweka ni mbwa so nimakosa kumfananisha mwanadamu mwenzako na mbwa
@khamisrubea5083
2 жыл бұрын
Wanakera sana lkn nashkuru kwa kunikumbusha
@abdulhamidhaji5056
Жыл бұрын
@@khamisrubea5083 na ukweli unakera eti
@mansoormannix175310 ай бұрын
Lakini tuseme ukweli salafi hawana kheri na uislamu, wameacha hata kusoma bismillahi Rrahmani Rraheem kwa sala, kato hawasomi moyoni wala kwa siri, wamefanya msikiti kuwa nyumba za ukimya na ubinafsi na wala hawataki dua kamwe. Dua ni miongoni mwa vitu Allah anapenda sana na dua especially kwa sala na baada ya sala. Tuzingatie sana kuhusu dua za jamaa na tuzingatie sana umuhimu wa bismillahi kwa kusoma Qur'an aidha kwa sala ama qiraha. Bismillahi Rrahmani Rrahim ni neno sheitan yuaogopa sana na hakuna fatiha bila Bismillahi Rrahmani Rraheem.
@adamnguvu10202 жыл бұрын
*HIYO Aya Ni MANSUHU Sheikh mselem ebu angalia vizuri*
@AliHassan-oe8sy
2 жыл бұрын
Mbona ameiweka sawa hayo makundi 4 wakimuamini Mtumme Muhammad s a w na kuikubali Qur an hao ndio wamafaulu
@nassirali7499
2 жыл бұрын
Hebu na ww msikilize vizuri usikurupuke ku comments
@coyancodavao4004
Жыл бұрын
@@AliHassan-oe8sy Acha kukurupuka
@abdurahimnassoro16672 жыл бұрын
Ukisoma sura al imran aya 19 na 85 utajiuliza je sheikh ndo hakuelewa tafseer vizuri au quran inapingana yenyewe kwa yenyewe ?? Naombeni mnisaidie hapo waislam wenzangu siyo malumbano ila tuelimishane maana sheikh nae ni binadam
@hafanabdallah31122 жыл бұрын
Shekhe aya hii ipo ila ulivyo fafanuwa sivyo ama umesahau allah kasema wan yabtakhii khairal islaami dina falan yuqbalu minhu wahuwa fil akherati minal khasiriin kwa sababu huu wakati dini ni uislaaamu tu.
@harithnyara1948
Жыл бұрын
Hukumfaham sheikh usitoe hukumu tu.. Mwanzo kaanza kutafsiri kama aya ilivo kawapa challenge kisha ndio katoa maana ilivokusudiwa ..
@youssouphsalum7862 жыл бұрын
Allah humma amin
@ummatul-islam9615 Жыл бұрын
Wewe mwenywe unacheka malumbano ni miongoni mwa wanawo chocheya malumbano muogope Allah unachokifanya kinafidhiwa na utaenda kulipwa
@anuarhemed47472 жыл бұрын
Unajua hawa salaf wakiambiwa ukwel wanachukiwa
@abdullahalbalushi38562 жыл бұрын
💯 💯 sheikh
@abumussabnassor6141
2 жыл бұрын
Kawa munguu? Hata umpe uhakiwa wa 100%%
@user-rb8ir9co9k
2 жыл бұрын
Usimpe asilimia zote hizo hakuna Mwanaadam mkamilifu
@abdullahalbalushi3856
2 жыл бұрын
@@user-rb8ir9co9k Kuna point kuzungumza ndio nimemuga mkono 💯 💯.sio kma ni mkamilifu
@user-rb8ir9co9k
2 жыл бұрын
@@abdullahalbalushi3856 sawa Muhimu Point imezingatia Qur-an ama Sunna basi hakuna shida
@uledihassan60652 жыл бұрын
Hili genge linalojiita Salafy ni wahuni watupu
@user-fq6iw1pb7q
2 жыл бұрын
Wewe je hahhaahaah
@basharahamtzhalisi6871
2 жыл бұрын
Ni kweli ndg yangu Uledi, wanaojiita salaf ni hovyo tu.
@yakobomkristo8722 жыл бұрын
Kama Ningekuwa Mwislamu Kabla Ya Ukristo, Basi Shekhe Pekee Ambaye Angenifanya Nibaki Kwenye Uislamu Ni Huyu, Vinginevyo Ningesharitadi.
@mustamimmushajara8992
Жыл бұрын
Allah akfnyie wepes
@islammutware23112 жыл бұрын
Sasa ukristu upi unae kubali Allah? mbona mwapotosha jami labda hiyo pepo unayo wabashiriya ya kwako.
@suleymansalim57322 жыл бұрын
Sasa hizi p8cha mbona zimewekwa hivi yani makusudio niyepi???
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Picha hazijaendana labda alieweka hajui anachokifanya
@nasramkwega Жыл бұрын
Jamani nahitaji mawasiliano ya shehe uyu mwenye nazo anisaidie
@abubakarimussa91312 жыл бұрын
Dodoma pale nihatari wagombanishi baadhi miroho yakugombanishana hao halafi ndio dhehebu gani tena
@Maajidabdillah Жыл бұрын
naomba namba ya sh mselem nataka nimuulize suali lang
Shekh mserem umeeleweka uliobaki ni ubishi tu hamna lolote
@nassorali40912 жыл бұрын
Shekh wetu amefafanua kua huyo mkiristo , muislamu,muyahudi yoyote atakaye fanya alivotaka Allah ndio watakao faulu
@allysuleiman5172 жыл бұрын
Sasa wewe ukivyochanganya dini na siasa ilikuwa sahihi na kama si sahihi mbona hukubainisha kwa watu kama yale ni makosa hiyo ndo tabia zenu munababaisha watu wasijue basi kama makundi yapo kwa sababu hadithi inasema ktk umma wangu yatakuja makundi 73 je ni ya uongo
@mohdhaji2186
2 жыл бұрын
Shekhe ujuwe kwamba dini ya kiislamu haikugawa vitu mafungu mambo yote kesho kwa mungu yatakuwa na malipo. Hiyo nyimbo ya kuchanganya dini na siasa imetungwa na makafiri na sie WAISLAMU tusiojielewa tunaiimba na kuicheza. Lazima tuwe makini sana. Ni vyema tukavijua vitu kwa undani kabla ya kutuma comment. Au unadhani wanasiasa hawataulizwa kwa mungu juu ya nyadhifa zao?
@mchajuma4271
2 жыл бұрын
Kwan unaijua tasfri ya dini na hiyo siasa au ukereketwa umekupanda kichwani maana maajabu kwa muislam mpaka Leo bado Hana utambuzi juu ya mambo Kama haya ila shu hatutaki kusoma tusomeni hii hatari et ulipo changanya dini na siasa shida kwelo
@sharriffcharo19152 жыл бұрын
Kwa hili huyu sheikh sija muelewa
@khaalidal-esry2211
2 жыл бұрын
Sheikh alianza na tafsiri ya neno kwa neno ndiyo ikakuchanganya. Kisha akafafanua kuwa waumini(yaani waislamu), mayahudi, manasara na maswaabii hawa wote hawa km watarekebisha mapungufu yao wakaacha wanapokosea yaani wakimuamini mungu inavyotakiwa( yaani waislamu wasimame ktk uislamu ipasavyo na wasiokuwa waislamu wawe waislamu sawasawa) na siku ya mwisho, kisha watende mema hao ndiyo hawatapata khofu. Msikilize tena kwa makini sheikh utaelewa ndugu yangu
@saadmohammed36402 жыл бұрын
Darsa za sheikh msellem inakua ni wapi na muda gan ?? Naomba niambiwe
@mustamimmushajara8992
Жыл бұрын
Kabla hajaekwa mahabusu ilkua jumatatu masjid nour ila kwa sasa sielewi
Пікірлер: 344
Hakika hekma ni kheriii kubwa I wish nikuone live hakika nakupenda kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi kipenzi chetu
moja katika masheikh ninaowakubali sana sana,mungu ampe umri,hikma na kheri nyingi!sio vijana wetu wa sasa,kaz kutiana moton tu....
Mashallah. Sheikh wetu kipenzi tunafurahi kila tukikuona na tukisikia darsa zako allah akujaalie afya njema wewe pamoja na familia yako amiin
Ewe M/muungu mjalie Mwisho mwema sheikh Mselem bin Ali amiina🤲🏻
@OusWildChannel
2 жыл бұрын
Allahumma ameen, sote pia
@khadijaali2173
2 жыл бұрын
amin
@LuqmanAndrew-nu9rx
4 ай бұрын
Allahumma Amiina
Allah akupe umri mrefu na akupe afya njema
Shukran sheikh allah akulipe duniani na akhera Allah akuhifadhi
ALLAH AKUBARIKI SHK MSELLEM ALLY MSELLEM.
Kuweka picha ya sheikh fulani haifai watu wa riyadhTvznz ,kazi yenu mulete elimu tu, ushabiki acheni,analofanya Huyo sheikh mlumuweka ni haq na sisi twajua,kwaiyo musifanye sheikh wetu Allah amrehemu Msellem kuonekana kwamba anaongelea mtu fulani (ilhali sio hivyo )hio ni makosa waislam
@makolokatanda4456
3 ай бұрын
Acha ushabiki kwe masuhara ya dini
Shukran sheikh..mselem... *Hakika ya aliepewa hekma amepewa heri nyingi*
Mwenyezi mungu alimwambia muhammad nimekukamilishieni yenu nayo niya uislamu. Na mtume wenu nimuhammad kwahivyo wakina musa issa nuhu lbrahim watahukumiwa tofauti .
Alhamdullah Maa shaa allah mwenyezmungu atatufanyia wepesi zaid yaliza nyota ya zanzibar ilipo kua haipo shekh wetu
Allah akuhifadhi ukuengeze busara na hekima,wewe huna kiburi,nakupenda sana.
Allah akuhifadhi na kila shari shekh wetu tuendelee kunufaika kwako.
Shekh asalaam alaykum hyo ndo mitihan kupimwa allah kaahidi nusra kwa wanaoinusuru din tambua nusra ya allah i kariib akujaalie miongon mw mashahid wa din hii tukufu
Shukran Skh Mseleem. Allah ijaziik milion kheir. Tumefaidika. Allah akupe umri na afya.
Usimdharau kiumbe yeyote wa Allah huenda akawa bora zaidi mbele ya Allah
@kanaanrajab1102
2 жыл бұрын
Fact ukhty
Mashaallah shekhe mselem
MASHAALLAH, jazzakallah kheir sheikh Bega kwa bega mpaka Firdaus
Shekhe Allah amuongoze na ampe umri mrefu sana Inshallah.
Nampe shekhe mselem maana anatafsir Quruan kwa vizury kwa utaratibu bila ya papala Allah akuhifadhi shekhe
Nampenda sana Kwa ajili ya Allah Sheikh Mselemu Bin Ally
Alhamdullah tumelia tumekesha kumuomba Allah awatoe masheh wetu jela leo Alhamdullah
Ila nyinyi watu wa Media si vyema kuweka picha ya kumlenga mtu kama hivi - ujumbe utamgusa anayehusika lakini mnavyofanya basi sdhani kuwa ni busara.
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
Huyo bachu mwenyewe hana busara hata moja
@alhilaltvonline
2 жыл бұрын
@@shamimnassor6192 Mimi sijauzungumza upande wowote Ila hoja ni kuwa Sheikh Mselem hakumtaja mtu, Bali amezngumza kwa ujumla wake - hivyo aliyemo yumo. Lakini kwanini hii channel iweke picha ya Mtu fulani?
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
@@alhilaltvonline huwenda Kuna ujumbe utakao mfaa kwenye khutba hii
@alhilaltvonline
2 жыл бұрын
@@shamimnassor6192 InshaaAllah kheri akhuy. Allah atuhifadhi. Atuongoe na kutuondoshea kibri.
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
@@alhilaltvonline amin amin ALLAH atuongoze sote mm nachukia sana haya malumbano ya viongozi wa dini na ndio makafiri wanatembelea madhaifu haya na kupata nafasi kuwahadaa waislam wenye elimu ndogo..angalia yule mchungaji WA kenya ndacha anavoyouchafuwa uislam na vitabu zake za uongo na kuna watu wanamuamini,so watu wale ndio wakupigana nao sio sisi twapigana wenyewe kwa wenyewe
Allah akulipe kila la kheri na akuepushie kila la sharri na atujaalie sote mwisho mwema Inshallah 🙏
Sheikh Allah akuhifadhi akulilpe kheri duniani na akhera
Jazakllahu khairan... Sheikh
Alhamdulilah maalim wetu ,wewe ndio tumekuelewa
Kisiwa cha maalifa shekh: mselem Ally. Nasaha zako ni nuru kwa wamchao Allah:
Nyie Riyadhtv znz mnazingua mamb ya din msifananishe na udaku achen kuchonganisha mashekh kwa mashekh: hapo anasoma Qur'an itakayomgusa ndo huyo huyo msilazimishe aonekane kamuongelea mtu huo ni ichochez ambao Allah amekataa
@ashrafseif9460
2 жыл бұрын
Swadakta
@mrfauzy8226
2 жыл бұрын
Wanataka followers kwa kivuli cha dini
Assalamualaiku alykm warahmatullaah, naamshekh jazaaka ALLAH khaira, Ila Nina uwelewa tofauti kidg kwamba hao mayahudi manasara walio tajwa niwale walio amini kabla ya MUHAMMAD SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA, walio muamini issa kisawa sawa na musa kabla ya mtume MUHAMMAD, lakini baada ya kuja mtume hawatakubaliwa Imani zao kulingana na tafsiri ya ibnu kathiir na wengine na ushahidi Ni aya hii :- وَمَنْ يَبْتَغِ غَيْرَ الْإِسْلَامِ دِينًا فَلَنْ يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِي الْآخِرَةِ مِنَ الْخَاسِرِينَ Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri. Pili hadithi ya mtume والرسول صلى الله عليه وسلم يقول : " لو كان موسى حياً ما وسعه إلا اتباعي " . Kwa mba hata Kama nabii Musa angekua hai Ange mfuaata MTUME SWALLALLAAH ALAIHI WASALLAMA kwasababu sheria zake zimeshapia. Pia ANASEMA :- وعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ عَنْ رَسُولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم أَنَّهُ قَالَ: "وَالَّذِي نَفْسُ مُحَمَّدٍ بِيَدِهِ لاَ يَسْمَعُ بِي أَحَدٌ مِنْ هذِهِ الأُمَّةِ يَهُودِيٌّ وَلاَ نَصْرَانِيٌّ، ثُمَّ يَمُوتُ وَلَمْ يُؤْمِنْ بِالَّذِي أُرْسِلْتُ بِهِ، إِلاَّ كَانَ مِنْ أَصْحَابِ النَّارِ". رواه مسلم. Kwamba hato nisikiliza Mimi yahudi Wala nasara katika umahuu na Kisha asiniami kwa Yale niliotumilizwa ila atakua nimiongoni mwa watu wa motoni. Kuonesha kwamba lazima mtu awe muislamu kwaanza kwa kupiga shahada ya kumuamini ALLAH na MTUME.
@mouzamohmad8743
2 жыл бұрын
Sahihi 👌
@mouzamohmad8743
2 жыл бұрын
Sahihi 👍
@mohamedmkami7017
Жыл бұрын
Nasubilia majibu ya hii comment.
Allah akupe pepo inshaallah
@twalibuabdallah6243
5 ай бұрын
❤❤❤aamin
Napenda san kumskiiza huy sheikh wng mselem bin ally... Allah ukujaalie mwish mwema
Shekh mungu akulinde
Sheikh mselem na muhammad bachu wanafahamiana viziri msiweke picha za uchochezi mnaharibu
@sleemhamoud4394
2 жыл бұрын
Mbona Mohd BACHU kasema yeye akiwapinga muamsho na kuwachukia sana kwa sababu akifanya maandamano lakin walipo weka jela akiwaombea duwa walipo toka akatowa hutba kuwa makhawareej ni wafanyao maandamano ktk nchi vp ?
Shukran Sheikh
ALLAH akuhufadh shekh
Maashallah
Alafu nyie Riyadh mtafute heading nzuri kama waislam mnaweka heading za ajabuajabu muwe makini
Subhanaallah kumbe mashekhe watazania dini mmeifanya kama watu wasiasa wanavyo pigana vita ya inchini na nyinyi ndio mnaelimisha dini kwa watu na ndio mnao leta picha mbaya ya dini 💔💔Inalilah wainalillah rajuuni mwenyezi mungu amjalie mpatane nampendane muache chuki binafsi
@humuodkindi4926
Жыл бұрын
Mijadala na hikma kama hizi ndio sahihi, sio yule kijana mdogo aliekosa heshima.
@abdullahmasakata170
5 ай бұрын
@@humuodkindi4926 Hakika na huo ndio uislam na ndio hekima na busara za kulingania uislam. Sio matusi au dharau au chuki. Tanzania hii kwetu ni hazina kubwa.
Masha Allah shekhe
Allah akupe mwisho mwema
Sharti hapo ni kumuamini Allah. Ni wazi kuwa ukimuamini Allah ni lazima umkubali mtume S. A. W, ndio kusema hao Mayahudi, Waswabiin na Naswara ili wapate kuingia Peponi ni lazima wamkubali Mtume S.A.W na Manabii wote wa Allah. Na ndio Uislamu.
@DreamGirl-xn7ce
2 жыл бұрын
👍
@abdurahimnassoro1667
2 жыл бұрын
Uko sawa sheikh
Allah akuhifadhi shekh mselem kwa kuwa ukweli wauma usihofu Allah humpenda msema mkweli
Basi yule ambaye Allaah Anataka kumhidi, Humfungulia kifua chake kwa Uislamu. Na yule ambaye Anataka kumpotoa, Hufanya kifua chake kuwa na dhiki chenye kubana kama kwamba anapanda kwa tabu mbinguni…[Al-An’aam: 125]
Shekh mselem sema kwel japo kua chungu
Mashallah sheikh wetu
Islam Eliasi,Allah akubarik shekh mselem Ally
Ukiwa pocho huwezi kumfahamu sheikh mselem ila ss tunamuelewa sana
@khamishamad5044
2 жыл бұрын
Pocho
@willajr9513
2 жыл бұрын
@@khamishamad5044 pocho ni nini? 🤣
Shekh mselem basi ijumaa itaekewa hutba usemwe
@user-fq6iw1pb7q
2 жыл бұрын
Hahahahahaahhahaa sasa ah hahaaa
Watu wa vitabu walioamini wakatenda mema wataingia peponi ikiwa hawatomshirikisha Allah. Tena wale waliopita nasi hawa walokwisha birua Injil na Tawrat na wasioitaka kabisa Qur-an. Qur-an 3:199
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Qur-an 6:21 Na nani dhalimu zaidi kuliko anayemzulia uwongo Mwenyeezi Mungu, na akazikanusha ishara zake? Hakika madhalimu hawafanikiwi.
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Qur-an 6:22 Siku tutakapowakusanya wote pamoja. Kisha tuwaambie walioshirikisha. Wapo wapi washirikishwa wenu mliokua mnadai?
@DreamGirl-xn7ce
2 жыл бұрын
Na watu wa kitabu wanaomuamini Allah (s.w) , na ulichoteremshiwa wewe na walichoteremshiwa wao, na wakatenda mema na wasimshirikishe Allah (s.w). .. 3.199
@shabaniali9825
2 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 ahsante sn
Mashaallah sheikh
Dini hii kuna wanachuoni,wenye maarifa zaidi na wanaojua tafsiri zaidi,wala si dini yakuzungumza tu watu wakusifu.wanachuoni ndio dira ya uislamu.
Masalaf wafitin tu hapa kwetu zanzibar
Hii Aya naona haijapata mfafanuzi wa kina utende mema unavyotenda na unajua Mungu yupo na hauximamixhi xwala 5 bc ujue n bure kabixa.
@nassirali7499
2 жыл бұрын
Kijana una pupa huna skills za kisikiliza, umefika darasa la ngapi? Hebu msikilize vizuri
MashaAllah
Huyu shekh inabidi umsikilize kiupole ndio utamuelewa. Na mimi namuelewa kila wakati
Shukran kwamba umewakubali wema waliotangulia
@husnamohamed9448
2 жыл бұрын
Hata mimi nimewakubali sana hao wema waliotangulia ila hawa wema walioko wallahi ni tafauti kabisaaaa.Maneno yao wallahi hayaniingii akilini kabisaaaa
@ramadhankheir4793
2 жыл бұрын
@@husnamohamed9448 ayo matamanio yako tu
Kama ingekua nchi zetu ziuadilifu mselem aliy engekua kadhi lakini sii nchi hizi zinekosa uadilifu
Allah akulipe hakika umefikisha.
Wewe ni zaidi ya dhahabu laiti watu wangejua thamani yako basi ungenunuliwa zaidi ya wacheza mpira lakini mpaka media za kidini siku hizi dili hawana mpaka ubunifu wa kazi
Na kama ukiwatii wengi walioko ulimwenguni, watakupoteza na njia ya Allaah. [Al-An’aam: 116] Na Allaah Anajua zaidi
@alindaro7978
Жыл бұрын
As long as watakuwa wanaamini Allah yupo na wanafanya amal njema.....hawatojutia mwisho wao. Hizi Aya usipokuwa mankini utajitatza bure. Be positive hakuna mkamilifu katika dini na dunia na hakuna anaejua hukmu isipokuwa Allah.
Shekhe wewe Allah atu patie umuri mlefu napenda sana kuskia mawaiza yako
Allah akulipe Kila la kheri shekhe wetu hao masalfi waliwacheka walokole wa kikiristo sijui wenyewe ni kinanani?Kwa hakika Wana KERA sana kuvaa ngozi ya kondoo wakat ni chui
Alhamdu lillah
We riadhi tv wewe usiweke picha kama ivoo hio unayofanya ni firn kaka
Usibabaishe watu sheikh zungumza inavotakiwa kuzungumza
Shekh kaeleza vzri lakin sjaskia kama kmtaja mwanachuon gani au swahaba gani alitafsriii hivo hiyo aya ya 62 suurat bakaara.kwamba wanao abudu viumbe watalipwa ujira kwa Allah. Naomba ufafanuzi kidg hapo Samahan kwa usumbufu
Sawa kabisa
Mashaallah
@babaajnaty8629
2 жыл бұрын
Hujmb ww
Assalam Alykm warahmatullah wabarakatuh. Hii Anatumia tafsiri ipi? Naomba kujua tafadhal. Jazaakallahu khayran Sheikh
@habibuchipeka7934
2 жыл бұрын
Swifiwatu ttafaaasiir cha mwanazuoni ally swaabuni
@nurdinmfamau3493
2 жыл бұрын
Taabu Kubwa Iliyopo Kwasasa Tunajisomea Wenyewe. Twende Tukasomeshe Kwawanaostahiki Kutusomesha. Tusijisomee Tu.
@user-lb2lx5bq6e
2 жыл бұрын
صفوة التفاسير - الشيخ محمد بن علي الصابوني
Enyi walioamini! Tubieni kwa Allaah tawbah ya nasuha (kwelikweli); asaa Rabb wenu Akakufutieni maovu yenu, na Akakuingizeni Jannaat zipitazo chini yake mito. Siku ambayo Allaah Hatomfedhehesha Nabiy (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) na wale walioamini pamoja naye. Nuru yao itatembea mbele yao na kuliani mwao, watasema: “Rabb wetu! Tutimizie Nuru yetu, na Tughufurie, hakika Wewe juu ya kila kitu ni Muweza. [At-Tahriym: 8]
@AbdullBakari
Жыл бұрын
mashallah ni shekh mwenye elmu ya juu Allah amuhifadhi aendelee nadaawa kutumbusha amin
Mashallah umefafanua vzr shekh ila nashkuri kwakua sote ni waislam basi tusinyoosheane vdole hasa kwakueka picha zidi ya wengne maana lengo ni kufanikiwa siku ya mwsho
Allah atuhifadh
Nadhani bachu amekuskia maana baleghe haijamuishia
Tubieni Enyi waja wa Allaah acheni ukhawaarij
@tibakisunnahnaasili6250
2 жыл бұрын
Khawarij Yuko wapi hapa sasa😂
@burhanhaji769
2 жыл бұрын
Kwani Ili watubie waje kukwambia wewe au we ndo mwenye daftari la watu wanotubia unaandika?
Ila iyo ya kukufulisha watu mi nashangaaga sana kuna watu wanapenda sana kukufulisha wenzao utadhani wao wamejihakikishia kuwa wao ni wapeponi
Al habib nakukubaki kwa elimu yako, asilimia miamoja. Hivi ndio wanatakiwa maulamaa wetu. Naonba uwaelimishe hao wasiojua kutowa elimi waache kuwakhofishe wasikilizaji. Nungu akuhifadhi
Hawa riyaztv wakajifunze dini Co kugombanisha mashekh mselem jee alimtaja mtuu waache ujinga hao
@khatibrashid172
Жыл бұрын
Allah atuongoze sote tuliotoa michangio tofaut
Dini lazima uguse engo zote endelea kutupa daawa sheikh mselem wanobweka waache wabweke
@jumahamadomar9124
2 жыл бұрын
Nakukubali kaka,lkni samahani usitumie lugha ya kubweka anaebweka ni mbwa so nimakosa kumfananisha mwanadamu mwenzako na mbwa
@khamisrubea5083
2 жыл бұрын
Wanakera sana lkn nashkuru kwa kunikumbusha
@abdulhamidhaji5056
Жыл бұрын
@@khamisrubea5083 na ukweli unakera eti
Lakini tuseme ukweli salafi hawana kheri na uislamu, wameacha hata kusoma bismillahi Rrahmani Rraheem kwa sala, kato hawasomi moyoni wala kwa siri, wamefanya msikiti kuwa nyumba za ukimya na ubinafsi na wala hawataki dua kamwe. Dua ni miongoni mwa vitu Allah anapenda sana na dua especially kwa sala na baada ya sala. Tuzingatie sana kuhusu dua za jamaa na tuzingatie sana umuhimu wa bismillahi kwa kusoma Qur'an aidha kwa sala ama qiraha. Bismillahi Rrahmani Rrahim ni neno sheitan yuaogopa sana na hakuna fatiha bila Bismillahi Rrahmani Rraheem.
*HIYO Aya Ni MANSUHU Sheikh mselem ebu angalia vizuri*
@AliHassan-oe8sy
2 жыл бұрын
Mbona ameiweka sawa hayo makundi 4 wakimuamini Mtumme Muhammad s a w na kuikubali Qur an hao ndio wamafaulu
@nassirali7499
2 жыл бұрын
Hebu na ww msikilize vizuri usikurupuke ku comments
@coyancodavao4004
Жыл бұрын
@@AliHassan-oe8sy Acha kukurupuka
Ukisoma sura al imran aya 19 na 85 utajiuliza je sheikh ndo hakuelewa tafseer vizuri au quran inapingana yenyewe kwa yenyewe ?? Naombeni mnisaidie hapo waislam wenzangu siyo malumbano ila tuelimishane maana sheikh nae ni binadam
Shekhe aya hii ipo ila ulivyo fafanuwa sivyo ama umesahau allah kasema wan yabtakhii khairal islaami dina falan yuqbalu minhu wahuwa fil akherati minal khasiriin kwa sababu huu wakati dini ni uislaaamu tu.
@harithnyara1948
Жыл бұрын
Hukumfaham sheikh usitoe hukumu tu.. Mwanzo kaanza kutafsiri kama aya ilivo kawapa challenge kisha ndio katoa maana ilivokusudiwa ..
Allah humma amin
Wewe mwenywe unacheka malumbano ni miongoni mwa wanawo chocheya malumbano muogope Allah unachokifanya kinafidhiwa na utaenda kulipwa
Unajua hawa salaf wakiambiwa ukwel wanachukiwa
💯 💯 sheikh
@abumussabnassor6141
2 жыл бұрын
Kawa munguu? Hata umpe uhakiwa wa 100%%
@user-rb8ir9co9k
2 жыл бұрын
Usimpe asilimia zote hizo hakuna Mwanaadam mkamilifu
@abdullahalbalushi3856
2 жыл бұрын
@@user-rb8ir9co9k Kuna point kuzungumza ndio nimemuga mkono 💯 💯.sio kma ni mkamilifu
@user-rb8ir9co9k
2 жыл бұрын
@@abdullahalbalushi3856 sawa Muhimu Point imezingatia Qur-an ama Sunna basi hakuna shida
Hili genge linalojiita Salafy ni wahuni watupu
@user-fq6iw1pb7q
2 жыл бұрын
Wewe je hahhaahaah
@basharahamtzhalisi6871
2 жыл бұрын
Ni kweli ndg yangu Uledi, wanaojiita salaf ni hovyo tu.
Kama Ningekuwa Mwislamu Kabla Ya Ukristo, Basi Shekhe Pekee Ambaye Angenifanya Nibaki Kwenye Uislamu Ni Huyu, Vinginevyo Ningesharitadi.
@mustamimmushajara8992
Жыл бұрын
Allah akfnyie wepes
Sasa ukristu upi unae kubali Allah? mbona mwapotosha jami labda hiyo pepo unayo wabashiriya ya kwako.
Sasa hizi p8cha mbona zimewekwa hivi yani makusudio niyepi???
@jumamahmoud9271
2 жыл бұрын
Picha hazijaendana labda alieweka hajui anachokifanya
Jamani nahitaji mawasiliano ya shehe uyu mwenye nazo anisaidie
Dodoma pale nihatari wagombanishi baadhi miroho yakugombanishana hao halafi ndio dhehebu gani tena
naomba namba ya sh mselem nataka nimuulize suali lang
Duuuu!! maskin shekh kunawatu hawajakuelewa sjui wanausingiz
Shekh mserem umeeleweka uliobaki ni ubishi tu hamna lolote
Shekh wetu amefafanua kua huyo mkiristo , muislamu,muyahudi yoyote atakaye fanya alivotaka Allah ndio watakao faulu
Sasa wewe ukivyochanganya dini na siasa ilikuwa sahihi na kama si sahihi mbona hukubainisha kwa watu kama yale ni makosa hiyo ndo tabia zenu munababaisha watu wasijue basi kama makundi yapo kwa sababu hadithi inasema ktk umma wangu yatakuja makundi 73 je ni ya uongo
@mohdhaji2186
2 жыл бұрын
Shekhe ujuwe kwamba dini ya kiislamu haikugawa vitu mafungu mambo yote kesho kwa mungu yatakuwa na malipo. Hiyo nyimbo ya kuchanganya dini na siasa imetungwa na makafiri na sie WAISLAMU tusiojielewa tunaiimba na kuicheza. Lazima tuwe makini sana. Ni vyema tukavijua vitu kwa undani kabla ya kutuma comment. Au unadhani wanasiasa hawataulizwa kwa mungu juu ya nyadhifa zao?
@mchajuma4271
2 жыл бұрын
Kwan unaijua tasfri ya dini na hiyo siasa au ukereketwa umekupanda kichwani maana maajabu kwa muislam mpaka Leo bado Hana utambuzi juu ya mambo Kama haya ila shu hatutaki kusoma tusomeni hii hatari et ulipo changanya dini na siasa shida kwelo
Kwa hili huyu sheikh sija muelewa
@khaalidal-esry2211
2 жыл бұрын
Sheikh alianza na tafsiri ya neno kwa neno ndiyo ikakuchanganya. Kisha akafafanua kuwa waumini(yaani waislamu), mayahudi, manasara na maswaabii hawa wote hawa km watarekebisha mapungufu yao wakaacha wanapokosea yaani wakimuamini mungu inavyotakiwa( yaani waislamu wasimame ktk uislamu ipasavyo na wasiokuwa waislamu wawe waislamu sawasawa) na siku ya mwisho, kisha watende mema hao ndiyo hawatapata khofu. Msikilize tena kwa makini sheikh utaelewa ndugu yangu
Darsa za sheikh msellem inakua ni wapi na muda gan ?? Naomba niambiwe
@mustamimmushajara8992
Жыл бұрын
Kabla hajaekwa mahabusu ilkua jumatatu masjid nour ila kwa sasa sielewi