SHK OTHMAN MAALIM AFAFANUA KUHUSU SALAFI | KEJELI KWA WANACHUONI | MTU MPUUZI NDO ANASAUTI LEO
#RiyadhTvZnz #Zanzibar #Salafiyyah
Жүктеу.....
Пікірлер: 274
@mwanakheri28802 жыл бұрын
Maa shaa allah Tabaarakallah Mngu akuhifadhi Ustaadh. Maelezo yakufahamika kabisa. Siku hizi kumekuwa na waalimu wengi. Wakisoma kidogo washakuwa maulamaa
@apangomombasa92302 жыл бұрын
Ma Sha Allah sheik Othman Maalim, Allah akulinde na Hasidi
@latifaseif8265
Жыл бұрын
aamiin
@jumamzee69992 жыл бұрын
MashaAllah. Waambie ukweli hao wanaojifanya kusoma sasa hivi kuona wamesoma zaidi kuliko Mashekhe waliopita
@saidmwakulika9945
2 жыл бұрын
Huu ni mti watu hutumia maneno haya hikma na busara kuwafahamisha watu hapa sira huyo kijana anaejifanya kasoma wacha asomeshwe
@abdulwahababdulkadir99652 жыл бұрын
Maalim othman kwa hakika ww ni mti wenye matunda na hawa watu shida yao ni kukutoa ktk mstari,si kweli kwamba kila kitu utapatia lakini nakupenda kwanza ni muungwana na nakuelewa sana unapotuawidh,waislam tuwe na tabia ya kuheshimiana sana na hasa walimu wetu hawa
@saidmwakulika9945
2 жыл бұрын
Allah ampe umri shekh langu
@abdulrahma300
Жыл бұрын
Amiin
@safiasaidi3280 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akulinde na Shari za masalafi wasiojielewa , endelea kutupa daawah tunakupenda sana
@adensir6302 жыл бұрын
Allah akulipe Kheri sheikh othuman....Na amuhifadhi mommed bachu ampe umri mrefu wenye manufaa na amdumishe ktk kazi ya dawa
Boa palestra, k allah abençoes sheikh otman maalim
@safinabakari9140
2 жыл бұрын
Meu irmão o que achas se encontrarem shaikh Saide Abibo e Shaikh Othman Maalim. São super para me!
@mahfoudhcalender2747
Жыл бұрын
مبتدعون
@smshukairi7238
11 ай бұрын
Maneno Yako nisawa kabisa maalim Othman
@smshukairi7238
11 ай бұрын
Maneno Yako sawa kabisa Allah akujalie kheri kwa kutuelimisha.
@AllyHilal2 жыл бұрын
Allah akuweke sheikh. Tunakupenda kwa ajili ya Allah.
@habibasaleh88702 жыл бұрын
Masha Allah mwalim Mungu akupe kila LA kheri, daawa imefika
@umazza22742 жыл бұрын
بارك الله فيك
@BaitoSiddiq-cs1dt10 ай бұрын
Allahumma ya rabbila álamin mjalye humri mrefo na mjalye Maísha mema dun Yan na kheira na mjalye muicho mwema Amin ya rabbila álamin
@ibrahimmsabah4402 жыл бұрын
Hutba nzuri,Allah azidi kukupa elimu sheikh wetu.
@shariffhabshy67702 жыл бұрын
Mwenyeezi Mngu akuhifadhi sh. Uthman bin Maalim kwa bayana ilio wazi.
@rotalyrotaly92302 жыл бұрын
ALLAH akuhifadhi
@uweyssjawhary5587 Жыл бұрын
mashallah nimefarjika sana Alhabyb Sheikh Uthmaan Allah akuhifadhi na akuweke kwa hakika Elimu ni nuru tutapata mwangaza huko daaral aakhira
@yahyaothman26
Жыл бұрын
twayb
@zainulabideen69552 жыл бұрын
Suadakta ya SHEIKH .....😍😍😍
@jimjam41482 жыл бұрын
MASHAA ALLAH.
@shaabanabdalaah94222 жыл бұрын
ALLAH akbar akulinde namahasidi shekhe Othman nimekuelewa sannna ila simimi tu ujumbe umewafika wanojiita waislam
@minaziparasu33522 жыл бұрын
Mashallah. Tunamuomba Allah akulipeni kheiry mashekh wenyekuelewa naakupeni umri mrefu ili dini yetu ipate Nuru
@mohammedkimanga8960
2 жыл бұрын
Allahuma ameen ya rabbali alameen
@jailaniramadhan17882 жыл бұрын
Duh. Mawlana umeongea maneno kwa mwenye akili amekuelewa Sana ( أحسنت)
@aliabeid2653 Жыл бұрын
Allah akupe maish mareef maaalim no comment na majungu ww anaejua hupendw ila cc tunakupend mashaallah
@saidihaji37392 жыл бұрын
Jamaniii ukweli usemwe tu . Unapomsikiliza sheikh Othman moyo unatulia saana .. Mungu azidi kumpa elimu na amhifadhi na mahasidi na wenye chuki zao binafsi .
@husseinabdul79482 жыл бұрын
Jaazakallahkhery .Allah s.w.t atuhifadhi nahya makundi yanayo taka kutupeleka pabaya makafiri wanazo mbinu ata za kutumia ktk sisi kuaribu din yetu umakin unaitajika
@MuyaDadirri-mw1rt Жыл бұрын
Mungu akuhifadhi
@abdallahally8422 жыл бұрын
Mashallah nimekuelewa shekh othman maalim Allah akuhifadhi
@HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын
Mashaallaah ustadh mola akulinde na maadui hii inatosha kwa mwenye akili timamu miongon mwa wenye akili darsa hii au khutubah
@jamalbahdela5242 жыл бұрын
Maashaallah, Umeeleweka shekh, mawahabi ni waropokaji wasio na adabu
@amsiabbas38092 жыл бұрын
Kwakweli Shekhe nimekuelewa sana hakika umenipa kitu ambacho nilikua nakikosa katika maisha yakiimani katika dini yangu yakiislamu Asante sana
@temitemimramifamili3682 жыл бұрын
Haswa mawahabi wa kwenye mitandaoni tunawaona sio kama hatuwaoni tunawaona daah Tena hata elmu ya hekma hawana Bora wewe Sheikh Othma maalim Mashallah Mungu akupe long life IN SHAA ALLAH.
@user-qe8xp6ii1u
2 жыл бұрын
Wew huoni unamtukana Sheikh Mohammad bin Abdul wahab.? Tatzo lenu Masufi ni waongo na mna Talbisi sana.
@aliyahya5785
2 жыл бұрын
Masalaf ili wakukubali lazima uwatukane wanazuoni. .na uwaseme ovyo ..... ndio mafunzo yao hawajamaa hatar sana
@AbdulrazakKachibo Жыл бұрын
Mashallah sheikh othamn malim unatufumbua waislamu wenye elmu ndogo
@soudbako59252 жыл бұрын
Alkhamdulillah bora umeongea shekh maana siku hizi hawa watoto wanavyotupiana maneno mitandaoni kama simba na yanga kwa kujiona wamesoma ipo siku watawakosoa mpaka maswahaba
@AHMEDAli-mu7me
2 жыл бұрын
Kma ynga na simba
@salimdibundile4872 Жыл бұрын
Ah Shekh Othman Maalim Allah akujaalie neema na baraka tele InshaAllah Wallah anaejua anajua tu na hawezi kufanana na asiejua
@iddyhsingano24632 жыл бұрын
Alla akuhifazi shekhe
@mohammedkimanga89602 жыл бұрын
Shukrni sna sheikh uthman maalim tuko pamja kutoka Kenya
@sabriyasuluh30022 жыл бұрын
Mashaallah shukran sana tunakupenda mno shekhe wetu😘😘
@hakimkombo2 жыл бұрын
Baaraka Allah fiih
@salhaabdulkariym8792 Жыл бұрын
Allah akuhifadh ....unaongea kwa hekima sana sana Wewe umawasilimisha watu wengi bila wewe kutambua ....Allah akulipe mwalim wetu mwenye hekima
@aminamhina91292 жыл бұрын
Masha Allah shukran sheikh
@alimuchiri61512 жыл бұрын
Unafafanua vizuri sheikh...lakini wale watu wakupiga Radi wanapachika pachika tu. Hawana la msingi.
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Ahahahahahahahaha pole Sana
@salumjabir813
2 жыл бұрын
Hahahahahahahahahahahahahaha...asante sana.
@sadikfarhansadik6096 Жыл бұрын
MashaAllah
@khelefali24382 жыл бұрын
Mashallah
@jamalbahdela5242 жыл бұрын
Hakika uliyoyazungumza Shehk Othmani Maalim ni uhakika wa mambo yalivyo hivi sasa.
@tajirbarua32792 жыл бұрын
Nimekuelewa shekhe othmani ilimisha waislaam
@adijarashidswedi6979 Жыл бұрын
Allah akuzidishie umri mrefu ukiwatizama kwa undani utakuta wenye kubeza viongozi hawana wajualo
@Heiswatching.2 жыл бұрын
HHH ALLAAH ATUONGOZE (AMIIN).
@nassorbinfundi11962 жыл бұрын
Wallahi salafia hawa niafitna twamuomba Allah Kama nikwelo wafitni katika tumain letu yani uislam Basi awafishe wote fitna hawa
@yahyarashid8038 Жыл бұрын
Kwan imamu shafi hajasema kuwa ikienda kombo kauli yangu na hadith bas iyacheni kauli yangu chukuweni hadith ss twasema kusoma bismillah ipo lakin sunna ni kusoma kwa siri na kunut kwa swala ya alfajir ni bid ghaa ikiwa kuna hadith tupeni ushahid wa kusoma kunut katika swala ya alfajir tupeni t
@salmaalisalim2462 Жыл бұрын
Allah akuzidishie hekma na uongofu sheikh
@hassanbukengu10752 жыл бұрын
Il est musulman digne de ce nom insha Allah
@saidrakwe87277 ай бұрын
Maalim Othman nakukubali sana
@vitalcool92662 жыл бұрын
Hawa jamaa wanaojiita Salafy wakati hata harufu ya hao Salafy hawana,wamekuja kuleta vurugu tu katika UISILAMU..
@SKY-fk3fz2 жыл бұрын
Allah Skype subra
@shaibhasan9233 Жыл бұрын
Sheikh Wang Allah akulinde
@feisal6592 Жыл бұрын
Jana ana Leo niliwachirea plass gas's. Negative gas's sababu kubwa ni haturuhusiwi kutumita solar nihatari kwa jamii baadaa ya miyaka Miya tuakuwa na shida ya mvua rein sababu kubwa ni solar inavuta juwa karibu Kisha inaharibu rain ☔ sawa ikshindika tumiyenii laboralaty tutegezee gassa ntv or gas's positiv
@abuuzakariyya8630 Жыл бұрын
Al Akh nakuomba ulifafanue hili kundi la Ashaa'irah na wala usiwaweke watu katika njia panda ...........
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
KILA MMOJA HUPATIA NA HUKOSEA, ILA SWAHIBU HADHAA LQABRI.. NYIE MASUFI MASHEIKH WENU HAWAKOSEI MANZIL YAO YA ELMU SAWA NA رسول الله صلى الله عليه وسلم، NA WENGINE WAMEMZIDI MTUME,.NDIYO SABABU MMEZUA IBADA NYINGI KTK DINI YA UISILAM,.!!
@saidrakwe87277 ай бұрын
Watu wengine vichwamaji hawana elimu! Huwezi kuwa umezaliwa 1950 au 1960 kisha ukawakosewe au uwe unajua kuliko maimamu 😢😢😢 watu sasa hivi ni wahuni tu
@AyubuYasini11 ай бұрын
ماشاءالله
@saidrakwe87277 ай бұрын
Elimu msingi wake ni heshima….ukimuona mtu anasema watu na anakosowa wanadhuoni hamna kitu………na aina ya watu hawa hawathubutu kumsema kiongozi wa kisissa hata siku moja!
@nadalibrahim12612 жыл бұрын
huu ndo ueledi na ukomavu wa kidaawa kwa shekh othman maalim.....hawa wengine wana baleghe ya elimu tu...
@nurdin.mndeme3447 Жыл бұрын
Ma shaa Allah
@hamzakimaro37642 жыл бұрын
MCHE ALLAH,ACHA KUWAFUNIKA WASIO NA ELIMU NA DINI YAO. MANENO YAKO NI KIJELI KWA UISILAM,. BILA RADD NYIE MNGEUGEUZA UISILAMU KAMA UNASWARA, KILA MTU NA LAKE!!
@faiditv5535
2 жыл бұрын
Acha husda
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
MASHAA ALLAAH. SAFI SANA KAKA. HAWA LAZMA WAPIGWE RADDI.
@ramadhanirama6636
2 жыл бұрын
@@Heiswatching. Zitawafikisha wap hzo rad???
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
@@ramadhanirama6636tushafika.. na Allaah)(عز وجل) atuthibitishe zaidi tufikie mbali zaidi,katika kheri zaidi ya hizi,wewe kaangalie maana ya radd. angalia,uwajibu wake, halafu, jiulize zitawafikisha wapi waislamu hizi RADDI.
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
@@ramadhanirama6636 kwa ufupi, ntasema mtu mwenye kukataa raddi manaake ni kua Anasema,. "" msikatazane maovu wala msifundishane mema""
@husseinabdul79482 жыл бұрын
Ndugu zangu vijana wenzangu tuwe makini kuna watu wametumwa kuja kutuvulugia din yetu ya haki uislam tuwe makini .
@twahakibole9480
Жыл бұрын
Wewe dini ya haki ya maulid
@salahhddindasuvic6447 Жыл бұрын
Noted
@iginassales3433 Жыл бұрын
mwenyezimungu akuhifadhi shehe mm nimekuerewa unamaanisha nn ukweli Allah amekupa kitu kikubwa hapa dunia
@munirsmith29382 жыл бұрын
MashaAllah leo umewapiga na kitu kizito kichwani vibaraka wa mayahudi na manaswara 😂😂😂
@habibrwegoshora66242 жыл бұрын
Alhamdu bila Bismillah ni SIFURI KABISAA..mm mtu akiiruka Bismillah basi huwa namhalif imama ..usiposoma Bismillah basi sulatlifatiha itabaki na aya 6 kwssb itakuwa aikukamilika Bismillah ktk sulatlifatiha ni aya ya kwanza ktk sulatlifatiha..na aikukamilika sulatlifatiha basi apo amna swala na lengo lao ni kualibu swala ukaswali swala ambayo aikubaliki
@nassorothabiti7237 Жыл бұрын
namuomba alla atuhifadhie shekh letu huyu hataki kumuongelea mtu fulani aniongeleatu din sio saw na kijana wangu wa hovyo anapenda sana llderbiy na wenzake mwenye elmu utamjuatuu ana hekma pia hana hasira alla ammpe umri mrefu sheikh othman
@dokadoka94262 жыл бұрын
🙏🤲
@yahayaali79702 жыл бұрын
Ukwel mtupu ukitaka kubishana na mtu au ukitaka kumbeza MTU kwanza ujue historia yake ( usimzarau usiyemjua)
@Heiswatching.2 жыл бұрын
we mtu wa talbisi tu.. hao maimamu.. si ashaa'ira MUONGO ..
@hamisisekidende5365
2 жыл бұрын
Ww ni mpumbafu kbs acha chuki zako cheikh uthman maalim siyo mwenzako we rofa yule ni cheikh tunamkubali sana Allah amuhifadhi na fitna zenu
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
@@hamisisekidende5365 hhhmmh fitnah sio.. wewe baki na othmaan maallim wako anotukuza kina ashaa'irah halafu tutakuona wewe na wenzako ATAKUFAA NINI WEWE 'UTHMAAN MAALLIM WAKO na sisi tutabaki na kitaab chetu na sunnah tena kwa ufahamu wa salaf... HIVI HIVI TUNAMUOMBA ALLAAH (JALLA WA' ALAA) ATUTHIBITISHE MPK MWISHO WA UHAI WETU, NAMPK KATIKA MKUTANO WETU. ((YASSARALLAAH 'ALAYNAA WA' ALAKUM..)) AMIIN.
@jamalbahdela5242 жыл бұрын
Ilmu ndogo ya mawahabi ni msiba mkubwa kw zama hizi.
@habibrwegoshora66242 жыл бұрын
Sheikh awa watoto awana adabu kwa MASHEIKH..awana adabu hata chembe mpaka chefu
@omarjuma1867 Жыл бұрын
A alaikum ,mm madhehebu yangu ni shafi ,laknini thamani ya maulamaa wengine kwangu ni kama shafi tu , kiukweli tusipo waheshimu maulamaa wetu hatutoingia ktk pepo ya Allah
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Mtihani inasikitisha sana waisilamu kukuta tuavyo vutana
@mussamussa28812 жыл бұрын
Hakika manenobora ni kitabu Cha all na muongozo uiliobora ni mtume Muhammad s na ubaya ulioje kuzua nakila kinachozusha ni upotofu na Kila upotofu ni motoni ..... . Sheh hii hadithi vipi unaifaham ? Kua muwazi usijichanganye sema kweli Kama huwezi kusema kweli nyamaza wewe so mwanaharakati baki hukohuko katika kuburudisha katika Visa vya mswahaba na katika maulidi
@ramadhanirama6636
2 жыл бұрын
Alkamaalu lillah! km hauto isoma dini unakaz sana!
@abdulwahabbakar86772 жыл бұрын
Nashangaa watu wanamsifu Othman maalim hapa anasema kuhusu Qunut atwambie sala imo katika mambo haya Nguzo, Wajib na Sunna sasa Qunut nini katika hizo na ukiisahau kwenye sala. Ni muongo Othman maalim Salafy hawajawakataa hao na wanachukua reference kutoka kwao
@skozamsai2654
2 жыл бұрын
Ushapotea wewe kurudi ni kazi . Endelea tu kujiona bora
@suleshaziz9841
2 жыл бұрын
swali li qunuti muulize annawawi ibnu hajar kina suyutwi na kina shsfiii kunuti ni nini maana hao ndio waliotwambia qunut inafaa sio uthman maalim
@matumlamwenyesuyo4273
Жыл бұрын
@@suleshaziz9841 Masha Allah
@halidijuma18842 жыл бұрын
Wenye fikra za yaki yahudihawawezi kukuelewa SHEIKH WETU
@hasanisaidishabani3879 Жыл бұрын
Allah mpe umri mrefu shekh othmani wewe ndyo ulamaa na allah amekupa hekma
Sheikh wetu Uthmaan tunakupenda kama ndugu yetu Muislamu na Allah amekujaalia kufahamu lugha ya Kiarabu na Dini ilivyo. Umetueleza Kwamba Ma imaam wale wanne ni miongoni mwa Salafu. Na umesema ni maneno mazuri kusema Tunaamini Kitabu na Sunnah na uelewa wa Salafu. Sasa kuna ubaya gani kuhubiri Dini hivyo? Kwa nini wanakejeliwa wale wanaosema hao ma Imaam hawakuhusika na Sherehe za Maulidi.....tunahimiza tufuateni Sunnah ya Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ili tushikamane na kamba ya Allah sote na tuache kufarikiana....
@sayman158
2 жыл бұрын
Manenoo meengii lakini hauelewekiii,,,hao wanaojiita Masalafi ndo waovu zaidi ktk uislamu sasa ivi,,wanaharibu dini tu...Nawachukiaa sanaaa na Allah anisamehe kama kuna kosa,,nahisi hawa watakuwa na akili za kiyahudi...Masalafi wa kweli ni wale waliopita kabla yetu hizo karne za nyuma bora...lakin hawa wa kujiita masalafi wa leo ni Mayagudi tu hata maneno yao ya kishenzi shenzi tu
@almadrasatsamiul-aliimkili557 Жыл бұрын
Watu wanajitangaza mwenye mitandao sababu wanataka umaarufu na hela tu hiisalaf ndio imezidi Hawa nahisi itakua wametumwa kitu
@Zeituna302 жыл бұрын
enda usomi dini wacha kurukaruka
@eng.saalim86462 жыл бұрын
Othmaan ww ni jitu ongooo. Na utaulizwa juu ya uongo wakoo huuu siku ya kiama ikiwa hautatubia na kutaraajaa hadharan
@shariffjuma7974
2 жыл бұрын
Wewe inaonyesha hujui chochote ktk dini
@omarsakawa2070
2 жыл бұрын
Hana ajualo huyo ni shabiki kichwa kitupu
@AbdulHakeem-eo9ep
2 жыл бұрын
We Una elimu gani mpaka umuite muongo?
@gharibmuhsin2450
2 жыл бұрын
Wewe jitu ongooo. Na utaulizwa juu ya uongo wako huu siku ya kiama kama hutamuomba radhi shekh othman na hautatubia hadharani .
@eng.saalim8646
2 жыл бұрын
@@gharibmuhsin2450 mashekh wameshabainisha uongo wake kwa hoja za waziwazi. Na haezi jibu mpk leo kmyaaaa
@Heiswatching.2 жыл бұрын
Wamefunzwa nakufunzika, HAWAONI, KUPOTOSHWA WAKAPOTOKA, munir,umesoma sana,, inavyoonesha.., hhmm wewe, ushakua unajua lipi ndilo lipi silo,,,.. kwani umesoma wapi???,, Ya'ni watu wooooote duniani waikatae manhaj ya salaf,, illa mmoja au wawili au watatu.., Basi Allaah ((عز وجل)) Atawasaidia na da'wah itafika tu, kwa watu wa haqqi.. mim sioni kwa watuwanoiponda hii manhaj, ila sifa zaokubwa ni mbili na ni kuuu. 1=>Kwanza ni ujahil(kutokujua/ujinga) 2=>Kufuata matamanio yao((Bas)). HEM,ASEME YOYOTE MAKOSA YALIOKUEPO KWENYE MANHAJ YA SALAF, YOYOTE YULE, HALAF TUCHAMBUE MOJA BAADA YA JINGINE.
@salumjabir813
2 жыл бұрын
Hamna kosa hata moja...mko sawa kuliko kiumbe chochote kilichopo ulimwenguni...hata maikah wakasubir kwa masalafi..mko sawa kupindukia
@gharibmuhsin2450
2 жыл бұрын
Naaam nyie ni malaika hamna kosa asaa nyie. Si unauliza kuhusu kosa lolote basi jua hivo nyie mmekamilika .باعتبار اللجك
@gharibmuhsin2450
2 жыл бұрын
@@salumjabir813 😀😀😀😀 twayyib twayyib hawa ni walimu hasa wa mpaka malaika katika ukamilifu hahahaah.
@omarmuhammed89872 жыл бұрын
Na hivyo vitabu vya swalawat alanabi vipo kabla ya wao kuzaliwa
@hatibuahmadi7237
2 жыл бұрын
Ache upumbavu wewe
@omarsakawa2070
2 жыл бұрын
@@hatibuahmadi7237 mungu auhifadhi ulimi wako utoe maneno mazuri badili ya maharo.
@allylwanda7872 Жыл бұрын
Othuman Maalim ni mzushi masheik wa kisalafi wanalingania kwenye haki zaidi
@salimtanzania2088
Жыл бұрын
Fitna imeshakuingia ndani ya damu yako ndugu yangu ....Allah akuongoze
@aliyahya57852 жыл бұрын
Yupo salafi mmoja kutoka Tanga anasema hata shekh nasor bachu ilikuwa mtu wa batili wamekuja kumlingaania wao kutoka tanga kitandani ndio amekubali sunnaa ...... Habar sana.
@elbattawy28649 ай бұрын
Ataupata ujumbe huu muhamedi bachu
@allyjaffar70722 жыл бұрын
سوفي حصافي...
@asaduzamanalmaxmud7671
2 жыл бұрын
Kwa na adabu kaka yangu mupenduwa
@allyjaffar7072
2 жыл бұрын
@@asaduzamanalmaxmud7671 ALLAH AKUREHEMU
@ramiahassani56032 жыл бұрын
Neno la wanachuoni ni warithi wa Mtume hio ni sawa, Lakini ni lazima wathibitishe hicho wanacho kifundisha hao wanachuoni kua kimetoka kwa Mtume MUHAMMAD صَلَى اللّٰهُ عليه سلم kinyume na hivyo SHEKH tuwiane radhi
@medimisi6930
2 жыл бұрын
Sa hihi broo na huko ni kutetea BIDAA ambazo zimekemewa vkali ktk uislamu..huyo mwanachuoni atakua hafai na sio mrithi wa MTUME maana mtume alikua sio mtu wa kueleza ambalo hajapewa wahyi
@hilalalhabsi2047
2 жыл бұрын
Basi soma mpaka uwazidi elimu kina imam shafy NA imam Alghazali. Ukimaliza ukavuka elimu yao ni ruhusa kuwakosoa.
@ahz6907
2 жыл бұрын
Yapi yapo kinyume na ya mtume muhammad na yamefundishwa na wanachuoni?
@hilalalhabsi2047
2 жыл бұрын
@@ahz6907 hawa hujawafahamu ndugu yangu. Hawa watu kwao wanamuona muhammad bachu ana elimu kuliko kina imam shafy, imam lghazali, imam AHMAD bin hamali, imam Malik, imam hanafy wote hao waliosoma kwa maswahaba hawajui kuliko muhammad nasor bachu NA Muhammad ibn abdul wahabi😂. Kwani hujawafahamu tuu?!. Sasa muhammad n bachu ndio aaminiwe kwao kuliko hao maimamu. Ati wanachuoni wakubwa wote kina ibn hajar NA wenzake hawa kuona makosa ya wanachuoni wenzao bali kaanza kuona makosa muhammad n bachu NA Muhammad ibn abdul wahabi😂😂😂.
@hilalalhabsi2047
2 жыл бұрын
@@ahz6907 ati muhammad bachu leo tunaambiwa kaizidi ilimu ya imam Alghazali 🤔kweli kakojoa baharini huyu😂. Shekh Othman anankosha moyo wangu haswaa
@nassormohamed25802 жыл бұрын
Tuwe tunaelewa mada kisha ndo tukoment mm binafsi Othman maalim upo sahihi
@alimzee73972 жыл бұрын
Sheikh othman niyakwel unayoongea ila tu hapo kwny kunuti kwny sala y alfajiri haina shaka nibid aa ymezushw maan uzush ulianz kabl y awo maulamaa wao allah awalipe kw jitihad yao
@abubakarymaulidy56812 жыл бұрын
Muhaamad nasoro bachu asiwatyukane wana wa zuoni
@ismailhassan52092 жыл бұрын
Funguka sheikh onya
@anuaryamisi2031 Жыл бұрын
Kaeni meza moja mashekh wote mpambane kufungua vitabi tujue hakk iko wap msituchanganye sisi
@raymondmalindi7090
Жыл бұрын
Soma
@AyubuYasini
11 ай бұрын
We kama hujui nyamaza
@w40589 ай бұрын
Hawajui salafi nini wala sufi nini wamo tu kujiropokea
Пікірлер: 274
Maa shaa allah Tabaarakallah Mngu akuhifadhi Ustaadh. Maelezo yakufahamika kabisa. Siku hizi kumekuwa na waalimu wengi. Wakisoma kidogo washakuwa maulamaa
Ma Sha Allah sheik Othman Maalim, Allah akulinde na Hasidi
@latifaseif8265
Жыл бұрын
aamiin
MashaAllah. Waambie ukweli hao wanaojifanya kusoma sasa hivi kuona wamesoma zaidi kuliko Mashekhe waliopita
@saidmwakulika9945
2 жыл бұрын
Huu ni mti watu hutumia maneno haya hikma na busara kuwafahamisha watu hapa sira huyo kijana anaejifanya kasoma wacha asomeshwe
Maalim othman kwa hakika ww ni mti wenye matunda na hawa watu shida yao ni kukutoa ktk mstari,si kweli kwamba kila kitu utapatia lakini nakupenda kwanza ni muungwana na nakuelewa sana unapotuawidh,waislam tuwe na tabia ya kuheshimiana sana na hasa walimu wetu hawa
@saidmwakulika9945
2 жыл бұрын
Allah ampe umri shekh langu
@abdulrahma300
Жыл бұрын
Amiin
Mashaallah Allah akulinde na Shari za masalafi wasiojielewa , endelea kutupa daawah tunakupenda sana
Allah akulipe Kheri sheikh othuman....Na amuhifadhi mommed bachu ampe umri mrefu wenye manufaa na amdumishe ktk kazi ya dawa
Mashaallaah ustadh othuman jazakumullah kheir wabaadalikhair jaannaatul naaiim
Boa palestra, k allah abençoes sheikh otman maalim
@safinabakari9140
2 жыл бұрын
Meu irmão o que achas se encontrarem shaikh Saide Abibo e Shaikh Othman Maalim. São super para me!
@mahfoudhcalender2747
Жыл бұрын
مبتدعون
@smshukairi7238
11 ай бұрын
Maneno Yako nisawa kabisa maalim Othman
@smshukairi7238
11 ай бұрын
Maneno Yako sawa kabisa Allah akujalie kheri kwa kutuelimisha.
Allah akuweke sheikh. Tunakupenda kwa ajili ya Allah.
Masha Allah mwalim Mungu akupe kila LA kheri, daawa imefika
بارك الله فيك
Allahumma ya rabbila álamin mjalye humri mrefo na mjalye Maísha mema dun Yan na kheira na mjalye muicho mwema Amin ya rabbila álamin
Hutba nzuri,Allah azidi kukupa elimu sheikh wetu.
Mwenyeezi Mngu akuhifadhi sh. Uthman bin Maalim kwa bayana ilio wazi.
ALLAH akuhifadhi
mashallah nimefarjika sana Alhabyb Sheikh Uthmaan Allah akuhifadhi na akuweke kwa hakika Elimu ni nuru tutapata mwangaza huko daaral aakhira
@yahyaothman26
Жыл бұрын
twayb
Suadakta ya SHEIKH .....😍😍😍
MASHAA ALLAH.
ALLAH akbar akulinde namahasidi shekhe Othman nimekuelewa sannna ila simimi tu ujumbe umewafika wanojiita waislam
Mashallah. Tunamuomba Allah akulipeni kheiry mashekh wenyekuelewa naakupeni umri mrefu ili dini yetu ipate Nuru
@mohammedkimanga8960
2 жыл бұрын
Allahuma ameen ya rabbali alameen
Duh. Mawlana umeongea maneno kwa mwenye akili amekuelewa Sana ( أحسنت)
Allah akupe maish mareef maaalim no comment na majungu ww anaejua hupendw ila cc tunakupend mashaallah
Jamaniii ukweli usemwe tu . Unapomsikiliza sheikh Othman moyo unatulia saana .. Mungu azidi kumpa elimu na amhifadhi na mahasidi na wenye chuki zao binafsi .
Jaazakallahkhery .Allah s.w.t atuhifadhi nahya makundi yanayo taka kutupeleka pabaya makafiri wanazo mbinu ata za kutumia ktk sisi kuaribu din yetu umakin unaitajika
Mungu akuhifadhi
Mashallah nimekuelewa shekh othman maalim Allah akuhifadhi
Mashaallaah ustadh mola akulinde na maadui hii inatosha kwa mwenye akili timamu miongon mwa wenye akili darsa hii au khutubah
Maashaallah, Umeeleweka shekh, mawahabi ni waropokaji wasio na adabu
Kwakweli Shekhe nimekuelewa sana hakika umenipa kitu ambacho nilikua nakikosa katika maisha yakiimani katika dini yangu yakiislamu Asante sana
Haswa mawahabi wa kwenye mitandaoni tunawaona sio kama hatuwaoni tunawaona daah Tena hata elmu ya hekma hawana Bora wewe Sheikh Othma maalim Mashallah Mungu akupe long life IN SHAA ALLAH.
@user-qe8xp6ii1u
2 жыл бұрын
Wew huoni unamtukana Sheikh Mohammad bin Abdul wahab.? Tatzo lenu Masufi ni waongo na mna Talbisi sana.
@aliyahya5785
2 жыл бұрын
Masalaf ili wakukubali lazima uwatukane wanazuoni. .na uwaseme ovyo ..... ndio mafunzo yao hawajamaa hatar sana
Mashallah sheikh othamn malim unatufumbua waislamu wenye elmu ndogo
Alkhamdulillah bora umeongea shekh maana siku hizi hawa watoto wanavyotupiana maneno mitandaoni kama simba na yanga kwa kujiona wamesoma ipo siku watawakosoa mpaka maswahaba
@AHMEDAli-mu7me
2 жыл бұрын
Kma ynga na simba
Ah Shekh Othman Maalim Allah akujaalie neema na baraka tele InshaAllah Wallah anaejua anajua tu na hawezi kufanana na asiejua
Alla akuhifazi shekhe
Shukrni sna sheikh uthman maalim tuko pamja kutoka Kenya
Mashaallah shukran sana tunakupenda mno shekhe wetu😘😘
Baaraka Allah fiih
Allah akuhifadh ....unaongea kwa hekima sana sana Wewe umawasilimisha watu wengi bila wewe kutambua ....Allah akulipe mwalim wetu mwenye hekima
Masha Allah shukran sheikh
Unafafanua vizuri sheikh...lakini wale watu wakupiga Radi wanapachika pachika tu. Hawana la msingi.
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Ahahahahahahahaha pole Sana
@salumjabir813
2 жыл бұрын
Hahahahahahahahahahahahahaha...asante sana.
MashaAllah
Mashallah
Hakika uliyoyazungumza Shehk Othmani Maalim ni uhakika wa mambo yalivyo hivi sasa.
Nimekuelewa shekhe othmani ilimisha waislaam
Allah akuzidishie umri mrefu ukiwatizama kwa undani utakuta wenye kubeza viongozi hawana wajualo
HHH ALLAAH ATUONGOZE (AMIIN).
Wallahi salafia hawa niafitna twamuomba Allah Kama nikwelo wafitni katika tumain letu yani uislam Basi awafishe wote fitna hawa
Kwan imamu shafi hajasema kuwa ikienda kombo kauli yangu na hadith bas iyacheni kauli yangu chukuweni hadith ss twasema kusoma bismillah ipo lakin sunna ni kusoma kwa siri na kunut kwa swala ya alfajir ni bid ghaa ikiwa kuna hadith tupeni ushahid wa kusoma kunut katika swala ya alfajir tupeni t
Allah akuzidishie hekma na uongofu sheikh
Il est musulman digne de ce nom insha Allah
Maalim Othman nakukubali sana
Hawa jamaa wanaojiita Salafy wakati hata harufu ya hao Salafy hawana,wamekuja kuleta vurugu tu katika UISILAMU..
Allah Skype subra
Sheikh Wang Allah akulinde
Jana ana Leo niliwachirea plass gas's. Negative gas's sababu kubwa ni haturuhusiwi kutumita solar nihatari kwa jamii baadaa ya miyaka Miya tuakuwa na shida ya mvua rein sababu kubwa ni solar inavuta juwa karibu Kisha inaharibu rain ☔ sawa ikshindika tumiyenii laboralaty tutegezee gassa ntv or gas's positiv
Al Akh nakuomba ulifafanue hili kundi la Ashaa'irah na wala usiwaweke watu katika njia panda ...........
KILA MMOJA HUPATIA NA HUKOSEA, ILA SWAHIBU HADHAA LQABRI.. NYIE MASUFI MASHEIKH WENU HAWAKOSEI MANZIL YAO YA ELMU SAWA NA رسول الله صلى الله عليه وسلم، NA WENGINE WAMEMZIDI MTUME,.NDIYO SABABU MMEZUA IBADA NYINGI KTK DINI YA UISILAM,.!!
Watu wengine vichwamaji hawana elimu! Huwezi kuwa umezaliwa 1950 au 1960 kisha ukawakosewe au uwe unajua kuliko maimamu 😢😢😢 watu sasa hivi ni wahuni tu
ماشاءالله
Elimu msingi wake ni heshima….ukimuona mtu anasema watu na anakosowa wanadhuoni hamna kitu………na aina ya watu hawa hawathubutu kumsema kiongozi wa kisissa hata siku moja!
huu ndo ueledi na ukomavu wa kidaawa kwa shekh othman maalim.....hawa wengine wana baleghe ya elimu tu...
Ma shaa Allah
MCHE ALLAH,ACHA KUWAFUNIKA WASIO NA ELIMU NA DINI YAO. MANENO YAKO NI KIJELI KWA UISILAM,. BILA RADD NYIE MNGEUGEUZA UISILAMU KAMA UNASWARA, KILA MTU NA LAKE!!
@faiditv5535
2 жыл бұрын
Acha husda
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
MASHAA ALLAAH. SAFI SANA KAKA. HAWA LAZMA WAPIGWE RADDI.
@ramadhanirama6636
2 жыл бұрын
@@Heiswatching. Zitawafikisha wap hzo rad???
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
@@ramadhanirama6636tushafika.. na Allaah)(عز وجل) atuthibitishe zaidi tufikie mbali zaidi,katika kheri zaidi ya hizi,wewe kaangalie maana ya radd. angalia,uwajibu wake, halafu, jiulize zitawafikisha wapi waislamu hizi RADDI.
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
@@ramadhanirama6636 kwa ufupi, ntasema mtu mwenye kukataa raddi manaake ni kua Anasema,. "" msikatazane maovu wala msifundishane mema""
Ndugu zangu vijana wenzangu tuwe makini kuna watu wametumwa kuja kutuvulugia din yetu ya haki uislam tuwe makini .
@twahakibole9480
Жыл бұрын
Wewe dini ya haki ya maulid
Noted
mwenyezimungu akuhifadhi shehe mm nimekuerewa unamaanisha nn ukweli Allah amekupa kitu kikubwa hapa dunia
MashaAllah leo umewapiga na kitu kizito kichwani vibaraka wa mayahudi na manaswara 😂😂😂
Alhamdu bila Bismillah ni SIFURI KABISAA..mm mtu akiiruka Bismillah basi huwa namhalif imama ..usiposoma Bismillah basi sulatlifatiha itabaki na aya 6 kwssb itakuwa aikukamilika Bismillah ktk sulatlifatiha ni aya ya kwanza ktk sulatlifatiha..na aikukamilika sulatlifatiha basi apo amna swala na lengo lao ni kualibu swala ukaswali swala ambayo aikubaliki
namuomba alla atuhifadhie shekh letu huyu hataki kumuongelea mtu fulani aniongeleatu din sio saw na kijana wangu wa hovyo anapenda sana llderbiy na wenzake mwenye elmu utamjuatuu ana hekma pia hana hasira alla ammpe umri mrefu sheikh othman
🙏🤲
Ukwel mtupu ukitaka kubishana na mtu au ukitaka kumbeza MTU kwanza ujue historia yake ( usimzarau usiyemjua)
we mtu wa talbisi tu.. hao maimamu.. si ashaa'ira MUONGO ..
@hamisisekidende5365
2 жыл бұрын
Ww ni mpumbafu kbs acha chuki zako cheikh uthman maalim siyo mwenzako we rofa yule ni cheikh tunamkubali sana Allah amuhifadhi na fitna zenu
@Heiswatching.
2 жыл бұрын
@@hamisisekidende5365 hhhmmh fitnah sio.. wewe baki na othmaan maallim wako anotukuza kina ashaa'irah halafu tutakuona wewe na wenzako ATAKUFAA NINI WEWE 'UTHMAAN MAALLIM WAKO na sisi tutabaki na kitaab chetu na sunnah tena kwa ufahamu wa salaf... HIVI HIVI TUNAMUOMBA ALLAAH (JALLA WA' ALAA) ATUTHIBITISHE MPK MWISHO WA UHAI WETU, NAMPK KATIKA MKUTANO WETU. ((YASSARALLAAH 'ALAYNAA WA' ALAKUM..)) AMIIN.
Ilmu ndogo ya mawahabi ni msiba mkubwa kw zama hizi.
Sheikh awa watoto awana adabu kwa MASHEIKH..awana adabu hata chembe mpaka chefu
A alaikum ,mm madhehebu yangu ni shafi ,laknini thamani ya maulamaa wengine kwangu ni kama shafi tu , kiukweli tusipo waheshimu maulamaa wetu hatutoingia ktk pepo ya Allah
Mtihani inasikitisha sana waisilamu kukuta tuavyo vutana
Hakika manenobora ni kitabu Cha all na muongozo uiliobora ni mtume Muhammad s na ubaya ulioje kuzua nakila kinachozusha ni upotofu na Kila upotofu ni motoni ..... . Sheh hii hadithi vipi unaifaham ? Kua muwazi usijichanganye sema kweli Kama huwezi kusema kweli nyamaza wewe so mwanaharakati baki hukohuko katika kuburudisha katika Visa vya mswahaba na katika maulidi
@ramadhanirama6636
2 жыл бұрын
Alkamaalu lillah! km hauto isoma dini unakaz sana!
Nashangaa watu wanamsifu Othman maalim hapa anasema kuhusu Qunut atwambie sala imo katika mambo haya Nguzo, Wajib na Sunna sasa Qunut nini katika hizo na ukiisahau kwenye sala. Ni muongo Othman maalim Salafy hawajawakataa hao na wanachukua reference kutoka kwao
@skozamsai2654
2 жыл бұрын
Ushapotea wewe kurudi ni kazi . Endelea tu kujiona bora
@suleshaziz9841
2 жыл бұрын
swali li qunuti muulize annawawi ibnu hajar kina suyutwi na kina shsfiii kunuti ni nini maana hao ndio waliotwambia qunut inafaa sio uthman maalim
@matumlamwenyesuyo4273
Жыл бұрын
@@suleshaziz9841 Masha Allah
Wenye fikra za yaki yahudihawawezi kukuelewa SHEIKH WETU
Allah mpe umri mrefu shekh othmani wewe ndyo ulamaa na allah amekupa hekma
@hasanisaidishabani3879
Жыл бұрын
Nakupenda shekh othman maalim kwaajili ya allah
wembie hao mashekhe wamitandaoni2 km kuradiana tuu....wewe OTHMAN ndo Zanzibar one......
Sheikh wetu Uthmaan tunakupenda kama ndugu yetu Muislamu na Allah amekujaalia kufahamu lugha ya Kiarabu na Dini ilivyo. Umetueleza Kwamba Ma imaam wale wanne ni miongoni mwa Salafu. Na umesema ni maneno mazuri kusema Tunaamini Kitabu na Sunnah na uelewa wa Salafu. Sasa kuna ubaya gani kuhubiri Dini hivyo? Kwa nini wanakejeliwa wale wanaosema hao ma Imaam hawakuhusika na Sherehe za Maulidi.....tunahimiza tufuateni Sunnah ya Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ili tushikamane na kamba ya Allah sote na tuache kufarikiana....
@sayman158
2 жыл бұрын
Manenoo meengii lakini hauelewekiii,,,hao wanaojiita Masalafi ndo waovu zaidi ktk uislamu sasa ivi,,wanaharibu dini tu...Nawachukiaa sanaaa na Allah anisamehe kama kuna kosa,,nahisi hawa watakuwa na akili za kiyahudi...Masalafi wa kweli ni wale waliopita kabla yetu hizo karne za nyuma bora...lakin hawa wa kujiita masalafi wa leo ni Mayagudi tu hata maneno yao ya kishenzi shenzi tu
Watu wanajitangaza mwenye mitandao sababu wanataka umaarufu na hela tu hiisalaf ndio imezidi Hawa nahisi itakua wametumwa kitu
enda usomi dini wacha kurukaruka
Othmaan ww ni jitu ongooo. Na utaulizwa juu ya uongo wakoo huuu siku ya kiama ikiwa hautatubia na kutaraajaa hadharan
@shariffjuma7974
2 жыл бұрын
Wewe inaonyesha hujui chochote ktk dini
@omarsakawa2070
2 жыл бұрын
Hana ajualo huyo ni shabiki kichwa kitupu
@AbdulHakeem-eo9ep
2 жыл бұрын
We Una elimu gani mpaka umuite muongo?
@gharibmuhsin2450
2 жыл бұрын
Wewe jitu ongooo. Na utaulizwa juu ya uongo wako huu siku ya kiama kama hutamuomba radhi shekh othman na hautatubia hadharani .
@eng.saalim8646
2 жыл бұрын
@@gharibmuhsin2450 mashekh wameshabainisha uongo wake kwa hoja za waziwazi. Na haezi jibu mpk leo kmyaaaa
Wamefunzwa nakufunzika, HAWAONI, KUPOTOSHWA WAKAPOTOKA, munir,umesoma sana,, inavyoonesha.., hhmm wewe, ushakua unajua lipi ndilo lipi silo,,,.. kwani umesoma wapi???,, Ya'ni watu wooooote duniani waikatae manhaj ya salaf,, illa mmoja au wawili au watatu.., Basi Allaah ((عز وجل)) Atawasaidia na da'wah itafika tu, kwa watu wa haqqi.. mim sioni kwa watuwanoiponda hii manhaj, ila sifa zaokubwa ni mbili na ni kuuu. 1=>Kwanza ni ujahil(kutokujua/ujinga) 2=>Kufuata matamanio yao((Bas)). HEM,ASEME YOYOTE MAKOSA YALIOKUEPO KWENYE MANHAJ YA SALAF, YOYOTE YULE, HALAF TUCHAMBUE MOJA BAADA YA JINGINE.
@salumjabir813
2 жыл бұрын
Hamna kosa hata moja...mko sawa kuliko kiumbe chochote kilichopo ulimwenguni...hata maikah wakasubir kwa masalafi..mko sawa kupindukia
@gharibmuhsin2450
2 жыл бұрын
Naaam nyie ni malaika hamna kosa asaa nyie. Si unauliza kuhusu kosa lolote basi jua hivo nyie mmekamilika .باعتبار اللجك
@gharibmuhsin2450
2 жыл бұрын
@@salumjabir813 😀😀😀😀 twayyib twayyib hawa ni walimu hasa wa mpaka malaika katika ukamilifu hahahaah.
Na hivyo vitabu vya swalawat alanabi vipo kabla ya wao kuzaliwa
@hatibuahmadi7237
2 жыл бұрын
Ache upumbavu wewe
@omarsakawa2070
2 жыл бұрын
@@hatibuahmadi7237 mungu auhifadhi ulimi wako utoe maneno mazuri badili ya maharo.
Othuman Maalim ni mzushi masheik wa kisalafi wanalingania kwenye haki zaidi
@salimtanzania2088
Жыл бұрын
Fitna imeshakuingia ndani ya damu yako ndugu yangu ....Allah akuongoze
Yupo salafi mmoja kutoka Tanga anasema hata shekh nasor bachu ilikuwa mtu wa batili wamekuja kumlingaania wao kutoka tanga kitandani ndio amekubali sunnaa ...... Habar sana.
Ataupata ujumbe huu muhamedi bachu
سوفي حصافي...
@asaduzamanalmaxmud7671
2 жыл бұрын
Kwa na adabu kaka yangu mupenduwa
@allyjaffar7072
2 жыл бұрын
@@asaduzamanalmaxmud7671 ALLAH AKUREHEMU
Neno la wanachuoni ni warithi wa Mtume hio ni sawa, Lakini ni lazima wathibitishe hicho wanacho kifundisha hao wanachuoni kua kimetoka kwa Mtume MUHAMMAD صَلَى اللّٰهُ عليه سلم kinyume na hivyo SHEKH tuwiane radhi
@medimisi6930
2 жыл бұрын
Sa hihi broo na huko ni kutetea BIDAA ambazo zimekemewa vkali ktk uislamu..huyo mwanachuoni atakua hafai na sio mrithi wa MTUME maana mtume alikua sio mtu wa kueleza ambalo hajapewa wahyi
@hilalalhabsi2047
2 жыл бұрын
Basi soma mpaka uwazidi elimu kina imam shafy NA imam Alghazali. Ukimaliza ukavuka elimu yao ni ruhusa kuwakosoa.
@ahz6907
2 жыл бұрын
Yapi yapo kinyume na ya mtume muhammad na yamefundishwa na wanachuoni?
@hilalalhabsi2047
2 жыл бұрын
@@ahz6907 hawa hujawafahamu ndugu yangu. Hawa watu kwao wanamuona muhammad bachu ana elimu kuliko kina imam shafy, imam lghazali, imam AHMAD bin hamali, imam Malik, imam hanafy wote hao waliosoma kwa maswahaba hawajui kuliko muhammad nasor bachu NA Muhammad ibn abdul wahabi😂. Kwani hujawafahamu tuu?!. Sasa muhammad n bachu ndio aaminiwe kwao kuliko hao maimamu. Ati wanachuoni wakubwa wote kina ibn hajar NA wenzake hawa kuona makosa ya wanachuoni wenzao bali kaanza kuona makosa muhammad n bachu NA Muhammad ibn abdul wahabi😂😂😂.
@hilalalhabsi2047
2 жыл бұрын
@@ahz6907 ati muhammad bachu leo tunaambiwa kaizidi ilimu ya imam Alghazali 🤔kweli kakojoa baharini huyu😂. Shekh Othman anankosha moyo wangu haswaa
Tuwe tunaelewa mada kisha ndo tukoment mm binafsi Othman maalim upo sahihi
Sheikh othman niyakwel unayoongea ila tu hapo kwny kunuti kwny sala y alfajiri haina shaka nibid aa ymezushw maan uzush ulianz kabl y awo maulamaa wao allah awalipe kw jitihad yao
Muhaamad nasoro bachu asiwatyukane wana wa zuoni
Funguka sheikh onya
Kaeni meza moja mashekh wote mpambane kufungua vitabi tujue hakk iko wap msituchanganye sisi
@raymondmalindi7090
Жыл бұрын
Soma
@AyubuYasini
11 ай бұрын
We kama hujui nyamaza
Hawajui salafi nini wala sufi nini wamo tu kujiropokea
Myahud ndo kaazisha hawa jamaa
@abuarkam6276
2 жыл бұрын
Huko sahii
إنّا للّه وإنّا إليه راجعون