𝗗𝗷 𝗦𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗔𝘀𝗼𝗺𝗲𝘀𝗵𝘄𝗮 𝗨𝗵𝗮𝗿𝗮𝗺𝘂 𝗪𝗮 𝗗𝘂𝗳𝘂 | Aʙᴜᴜ Uᴍᴀʀ Qᴀꜱɪᴍ حفظه الله
Ойын-сауық
𝗖𝗵𝗮𝗻𝗻𝗲𝗹 𝗵𝗶𝗶 𝗶𝗻𝗮𝗵𝘂𝘀𝗶𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝘂𝘁𝗼𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝘇𝗼 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝗶𝘀𝗹𝗮𝗺𝘂 𝗶𝗸𝗶𝘄𝗲𝗺𝗼 𝗗𝗮𝗿𝗮𝘀𝗮(𝗗𝘂𝗿𝘂𝘀) 𝘇𝗮 𝗺𝗮𝘀𝗵𝗲𝗶𝗸𝗵 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝗻𝗱𝗮𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗲𝗻𝘆𝗮 𝗻𝗮 𝗻𝗷𝗲 𝘆𝗮𝗸𝗲 ,𝗺𝗮𝘄𝗮𝗶𝗱𝗵𝗮, 𝗸𝗵𝘂𝘁𝗯𝗮𝗵, 𝗳𝗮𝘁𝗮𝘄𝗮 𝘇𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗰𝗵𝘂𝗼𝗻𝗶, 𝗤𝘂𝗿𝗮𝗻, 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝘀𝗵𝗮𝗶𝗿𝗶 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶
𝑻𝒉𝒊𝒔 𝒄𝒉𝒂𝒏𝒏𝒆𝒍 𝒆𝒏𝒈𝒂𝒈𝒆𝒔 𝒊𝒏 𝒕𝒉𝒆 𝒅𝒆𝒍𝒊𝒗𝒆𝒓𝒚 𝒐𝒇 𝒗𝒂𝒓𝒊𝒐𝒖𝒔 𝒕𝒓𝒂𝒊𝒏𝒊𝒏𝒈𝒔 𝒊𝒏 𝒕𝒉𝒆 𝑰𝒔𝒍𝒂𝒎𝒊𝒄 𝒓𝒆𝒍𝒊𝒈𝒊𝒐𝒏, 𝒊𝒏𝒄𝒍𝒖𝒅𝒊𝒏𝒈 𝑪𝒍𝒂𝒔𝒔𝒆𝒔 (𝑫𝒖𝒓𝒖𝒖𝒔) 𝒐𝒇 𝒗𝒂𝒓𝒊𝒐𝒖𝒔 𝒔𝒉𝒆𝒊𝒌𝒉𝒔 𝒊𝒏 𝑲𝒆𝒏𝒚𝒂 𝒂𝒏𝒅 𝒊𝒕𝒔 𝒐𝒖𝒕𝒔𝒌𝒊𝒓𝒕𝒔, 𝒔𝒆𝒓𝒎𝒐𝒏𝒔, 𝒍𝒆𝒄𝒕𝒖𝒓𝒆𝒔, 𝒇𝒂𝒕𝒘𝒂𝒔 𝒐𝒇 𝒔𝒄𝒉𝒐𝒍𝒂𝒓𝒔, 𝑸𝒖𝒓𝒂𝒏, 𝒂𝒏𝒅 𝒊𝒔𝒍𝒂𝒎𝒊𝒄 𝒆𝒅𝒖𝒄𝒂𝒕𝒊𝒐𝒏𝒂𝒍 𝒑𝒐𝒆𝒎𝒔
🪩EMAIL:
𝗌𝖺𝗅𝖺𝖿𝗂𝗒𝖺𝗁.𝗍𝗏@𝗀𝗆𝖺𝗂𝗅.𝖼𝗈𝗆
Пікірлер: 332
Allah amuongoz huyu jamaa, maan anawapoteza weng sana
@KomoraMohamed
19 күн бұрын
Wacha ujinga ww katili wa kumwaga damu za w2
DJ saidi huwezi kutuhadaa na kufata uzushi na uharamu, utawapata wenye matamanio ya dunia
@saba-gv3mj
6 ай бұрын
Ww Huna matamanio ya dunia wataka kusema ww mkamilifu
Maalim said wahalalisha mziki sasa innaalillah wanna ilaihi raajeuun
Ukifa katika mila hiyo bwanamkubwa umeangamia vibaya mbele ya Allah, Bwanamtume anasema sauti mbili zimelaaniwa duniani na Akhera, sauti ya kwanza ni Zumari na magitaa, nasauti ya pili nivilio vyakuombeleza katika mazishi, asa apo penye dufuu hapana Zumari apo na magitaa.
@user-xh4ym6ik2h
4 ай бұрын
Kweli akhy allah akulipe kher huyu said anakoenda Allah amuongoze ahalalisha vilivyoharamishwa na sharia tukufu
Al rajuli yadhrib dufufu wahuwa makhnuth!
Huyu Said ana balaa sana wallah.. Allah amuongoze kama hana kusudi. Ikiwa anafanya kisudi Allah amlipe na ailinde dini yake.
@saba-gv3mj
6 ай бұрын
Ww kasome mwanzo
Hakika wanaomuelewa sheikh said ni watu wasio na ilmu ambao hawajasoma dini yao wakaielewa,
Hujuw kitu wewe sheikh kaaa kimya kwa dufu hilo na vinanda hivyo kuna tofaut gani na nyimbo
@musakibindo6345
5 ай бұрын
Tafauti ni usasa na ukale. Je wakati wa Mtume microphone na mixer zilikuweko. Na mbona mwazitumia.
Mbabaishaji sana dj Allah amwongoe
@Silay1034
6 ай бұрын
Ninyi mnaona hayo yakupiga dufu lkn hamujioni ninyi mnakufuru katika Aqiidah Mara Allah anamiguu anamikono miwili
@Silay1034
6 ай бұрын
Masalafy wakosoaji wakat kihakika wao ndowamepotea Zaid Aqiidiyah
@mafiatv5479
6 ай бұрын
wewe umeongoka? km mwajipa kazi ya uungu, hy aswali afunga mwata aongoke vp? au kafiri huyo? acheni usenge mbwa nyie
@IbrahimRamadhan-nc6hu
6 ай бұрын
@@mafiatv5479 hakuna mwenye kupinga kama sala yakataza maovu. Vp kwa mwanaume mwenye kupambania mambo ya wanawake kisha akadai anasal je sala yake itakua iko sawa ???
@user-bp6fb6wo5u
6 ай бұрын
@mafiatv5479 ndugu kwa kweli unafuatilia sanaa darasa za masalafy kisha ukishasikia hoja za nguvu unaanza kutusi vibaya sana, kumbuka tu kila Unachoandika kitabaki baada ya kuondoka duniani, na kila atakae soma utabeba madhambi kaka, nasaha kwako hupungui kitu kutumia lugha nzuri hata ukiwa mpinzani wa haki basi kuwa na adabu.
Wewe mpuuzi HIVYO unaona DUFU (ngoma) ipigwe KWENYE shughuli.wewe kwa upotoshaji huu.Mwenyezi Mungu akulipe
ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO YOOKA ILA TUWE MAKINI TUSIMSINGIZIE MTUME SWA JAMANIIIII
@saba-gv3mj
6 ай бұрын
Sasa mtume s a w hajasingiziwa na hadithi mumepatiwa subhanallah wale wanawake pia walimpokea mtume s a w kwa twari
Allah akulipe kheri zote ❤
Kimi namkubali sana shekhe saidi yeye anaelimisha kwa wanaopiga dufu na wasiopiga wasipige watulia watu waendelee kumsifu mtume muhammad ( s.a.w)
@thabitimkufi7388
5 ай бұрын
Hoja ya kusema anaepga apge asiepga akae kmya hyo maanake hana hoja rasmi ya kuhalalisha dufu ktk uislam
Mashaallah doctor wa bacho ustadh said
@saidimkwinzu9106
5 ай бұрын
Doctor wa dj saidi ni bacho
Dufu la Vinanda Dufu La Diamond Platnumz hilo hawa Mashekhe wa mchongo wanazingua sana
Una sema sawa sawa ila kuna dunia iko mbali jaribu kufanya vitu vye maslahi makubwa kwa Uma
Mwendawazimu huyu. Ana unga unga ili kuhalalisha upuuzi na jambo ambalo halipo kisheria katika Islam.
Maashaa Allaah umeongea maneno mazima sana, khususan kuqnzia dkk yq 40 hadi 43❤❤❤❤
Ustadh said acha kupoteza w2 muogope mungu
@KomoraMohamed
19 күн бұрын
Alimfanya bachu akakojoa kwnye kiti
Assalam alaykum sheik wangu.Allah azidi kukuongoza katika dini.InshaaAllah.Piga dufu kaka usiumize sana sauti we ukipiga tarajia kheri kama ni kheri utaikuta hata uzani wa mdudu chungu na kama sharri pia Allah haghafiliki.Ikhlass fanyeni kwa iqhlas.
Mawahabi mumejaa husda
@mohamedturanardan8871
6 ай бұрын
Tupo mbali na uzushi
@issahabdallah9018
5 ай бұрын
Haya maelezo ya abu hawla mbona yako wazi sana. Wala hayahitaji kuwa wahabi wala tariqa. Bali yanahitaji uwe mfuasi wa Muhammad bin abi talib kuyaelewa
Swadakta Abu umar ❤
Allah akuongoze said Bado hujasoma
@saba-gv3mj
6 ай бұрын
Ndio kamyamazisha bachu
@mzeerajab9154
6 ай бұрын
Wewe je?
Dufu Haina tafauti na mziki wa tarab jmn hamjiulizi nyinyi Allah amekemea Katia Qur'an suratatu zinaeleza uharam wangoma kwann ss tunahalalisha tuacheni ujinga tusomeni kwanza tuache kufata mkumbo utatupotea
Allah akuhifadhi ....gusa point tu mwenye akili anaelewa vzr
جزاك الله خيرا
Mbona masheikh wa twariqa mnawachukulia Maswaaba za Mtume wetu MUHAMMAD sala na salamu zimfikie ki raisi raisi tu kama mm n ww
@user-bo1ew3xq6w
5 ай бұрын
Kwa maana hio nyinyi mawahabi mukipeleka salamu huwa munapaa mbinguni sio?
HAWA WANAO JIITA MASALAFI,, WALLAH NIWAPUMBAVU UFASWAHA HAMUMUWEZI ELIMU HAMUMUWEZI MMEBAKIZA MIPASHO NAKUTOA MAJINA YAKEJELI
@IbrahimRamadhan-nc6hu
6 ай бұрын
Eeeee mbona huuu upumbav makuraf pia wanao tafuta hoja elimu usipende ushabiki
@ashrafuyusufu9344
6 ай бұрын
ha ha mbona umepaniki kweli ukhuraf mzigo mtu anaongea kama mtoto anajifunza kuongea halafu unasema ni fasaha halafu avae rinda bas apige dufu ili tumwelewe
@BashiruDigital
6 ай бұрын
Kinachotakiwa,, Ajibiwe kwa HOJA sio kumpa MAJINA ya ajabu NIMFASWAHA narudia Tena,
@IbrahimRamadhan-nc6hu
6 ай бұрын
Kwaio alivyo jibiwa imetumika gazzet
@khamiisabubakar412
6 ай бұрын
Masalafi wanaotetea sunna za mtume swallaahu alaihi wassalaam ni wapumbavu na huyu anayelingania kucheza na kukata viuno msikitini ndo mwerevu siyo? Tumieni akili enyi makhraafi na masuufi watu wa twariiqa
Mzushiii
Allaah azibaarik zaidi jitihada hizi za kuuhifadhi uislamu sahihi aliotuachia mtume wetu muhammad (swalla Llaahu alayhi wasallam) na amlipe kila mwenye kushiriki ndani yake ujira mkubwa utakao mfaa siku ya hisaab. Angalizo langu kwa ndugu zangu waisilam na hasa vipenzi vyangu masalafi Baada ya tawfeeq ya Allaah juu yetu kutupa hidaya na kutuongoza ktk kujenga imani na misimamo yetu juu ya hoja sahihi za kisheria ndugu, zangu kisha adabu nzuri imekuwa ni sababu kubwa ya kuipamba haqqi tuliyoafkishwa juu yake na kupendeza ktk nyoyo za watu hata wasio kuwa waislaam Allaaha Allaaha ndugu zangu, wallaah tujitaahid kujichunga ktk maneno Huenda mtu akaikataa haqqi kutokana na namna alivyosemeshwa Ni kweli watu huudhi, kwani huzama ktk ubishani wa mambo wasiyo na ilmu nayo, tena wakti mwingine kwa kuwatusi watu wa haqqi na vipenzi vyetu, laakin sisi tuna kigezo kwa wema tunaojinasibisha kwao, na litutoshe somo la vitendo kwa mtume(swalla Llaahualayhiwasallam) kwa wapinzani wake kwani yeye himma yake kuu ilikuwa ni kuongozwa wao pia ktk haqqi aliyonayo, hakuwatusi wala kuwaanza ubaya. Allaah atuhifadhi sote ktk njia hii ya haqq na awabaarik mashekhe zetu wote walio ktk haqq na awaongoze ndugu zetu wote ktk njia ya sawa ili tupate sote ujira wa kumpenda mtume (swallaLlaahualayhiwasallam) siku ya kukutana na Allaah mwepesi na mwadilifu wa hisabu. Allaah awa
Yaani ni hatari analolipigania hapo ni waislam wapige ngoma wacheze sasa hao akina kiba diamond na wasanii mbalimbali ni halali wanachokifanya DJ Said haelewi maneno yake yanatoa ruhusa watu kuimba kucheza na kupiga ngoma
@saba-gv3mj
6 ай бұрын
Sasa ww utakua huelewi ama ni kibri asema dufu sasa diamond kiba wao wapija dufu ama ni bongo flever
@user-jp8lf7dy5z
6 ай бұрын
Izo dufu zinazopigwa hapo na za diamond zinatofautiana au?
@saba-gv3mj
6 ай бұрын
@@user-jp8lf7dy5z diamond yuwapija dufu ama mziki jibu unalo ila chuki punguzeni
Hao watu ambao wanakuskiliza akili zao ziko vp jamanj لا يكادون يفقهون حديثا
بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا
Huo ni ukhurafitu hiyo ngoma kama ngoma zingine acheni kubabahisha sugu ni ngoma tena ni ktk ujahiliya munachanyika na wanawake pia nina rukaruka huku mukimtaja mungu na MTUME wake ng'oma hikipigwa
@muniraally4091
5 ай бұрын
Said ni moja wa sikio la kufa tena kwa kusudi
aasant abuu umar nimekuelewa san chapa waazushi awo
Wallah mitihan dunia imeisha hatar Mtume Muhammad s a w alitabiri mwisho watu wataipenda dunia kuliko Akheir muda umefika Allah atujaliye khatima njema na kizazi jema
As/aleykm Abuu umaira kaa usome ndugu yangu
@ummohammed8380
6 ай бұрын
Asallam aleikum Ndugu yangu ukiandika Asallam aleikum ikamilishe Asallam ni jina la Allah usilifupishe Shukran
@forgames6425
4 ай бұрын
M. A we ndo umesoma sana😂
Mtume Muhammad swalallahu Alaihi wasalama tayari aalisha sema zama zamwisho patakuwa washeikh wengi alakini maulama nikidogo
Uzuri wa wasiosoma hawana wasilojua. UST SAIDI endelea na elimu zenye tabia njema
سئل القرطبي عن الامام الطرطوسي في مكان يقرؤون شيئا من القران ثم ينشد لهم منشد شيئا من الشعر فيتواجدون ويضربون بالدف والشباب هل الحضور معهم حلال ام لا فاجاب مذهب الساده الصوفيه بطاله وظلاله وجهاله وما الاسلام الا كتاب الله وسنته فاما القضيب فاول من اتخذ به الزنادقه ليشغل به المسلمين عن كتاب الله
Please nitumie hiyo video ya hao wenye kupiga dufu, nawakubali sana
Huyo ni mwanamke je nyinyi ni wanawake
Abuu umaira hatuna elimu ya kumsomesha sheikh ,Dj,Saidi.kumuita dj si matusi ni kivumishi .
jaman angalie kwakuchukua elimu hilo dufu au gitaa
Mashaalah sheikh Said jazakallah kher
Abu umair soma vizuri hiyo hadithi ya aalinuu
Mimi ni Ahlultwariqa wallahi nakwambieni,lakini kwa dufu hili ni ujahili,hili dufu au rusharoho,huyu anajua kua huu ni ujahili lakini anawarizisha walimu wake. Sheikh saidi ninakukubalisana shekhwangu lakini kwadufu hili navinanda vyaMuziki tumuogope Allah,musilichafue dufu hili sio dufu letu Ahlultwariqa.
@alihabib7640
6 ай бұрын
Dah hatari kweli dufu ndo kijikirubisha kwa Allah??? Wewe wacha upotofu huo
@user-mr1sl6dd7g
5 ай бұрын
Hujui chochote wewe
@NadharMohd-ek8wl
5 ай бұрын
Mimi sijui chochote lakini dufu musilitie vinanda na muziki mukalishabihisha na rusharoho,tofauti iko wapi wakati ala za muziki ndo zilezile,Kila siku mwaongeza maajabu katika dufu,Shetani anawavuta darja kwa darja mwisho atawapoteza
@user-wc5sj2oc6v
5 ай бұрын
Dufu libaki kwa akinamamatu maanahiyo c ibada tumche allah
@user-vb6vm6hc6g
5 ай бұрын
Una simamiawapi
hyu ni sheikh au dj
Hilo jina ulilompa Muislamu mwenzako si sahihiii kwa muita Dj😢 Pili hiyo picha uliyoiunganishaa kwa pembeni si dufu hizo ni hala za zumari miziki ya ki Zanzibar si madufu😢
@khamiisabubakar412
5 ай бұрын
Wacha hata eti imeunganishwa...yeye anapiga kinanda na ngitaa haswaa
@musabomar661
3 ай бұрын
We huoni hiyo video ilounganishwa ya vinanda na huyohuyo Dj ndio bendi yake na yeye ndio anayepiga guitar hapo? Au unajitoa fahamu na wewe?
Mungu akupe elimu wapenda kuwa maarufu ila rudi darasani ajabu wapinga hadithi dhaifu kwakutumia dhaifu kueni wakweli
@KomoraMohamed
19 күн бұрын
Ww unayo
Mungu akuzidishie ufaswaha ktk kuongea, na ukuzidishie elimu❤❤❤
@AliSalim-yu4mo
5 ай бұрын
Amzidishie elimu ya madufu?
Mmeingia kwenye kutukana sasa😅😅
بارك الله فيك وجزاك الله خيرا وزادك الله علم
@fikratulmuhibbonlinetvismail
6 ай бұрын
Mwaongeleaga jikoni
@abdulfatahumarsaideazamo2654
6 ай бұрын
زاده الله علما لا ينفعه؟
@abdulrazakmansur4938
5 ай бұрын
Wewe jahil mzuka acha kelele katafute Elimu acha kupoteza ummah dufu maulidi samai haviko katika mafundisho ya dini yetu dini yetu si dini ya kucheza cheza 😅
Dj.said nna kikao na ww siku ukijaaliwa kuja Zanzibar tukutane inshallah...😢😮
@KomoraMohamed
19 күн бұрын
Bachu ywamjuwa huyo alijikojolea
we unaumwa kazi za wanana wake
Kwa hivyo sheikh wetu unatuambia kwamba jambo la dhambi wameruhusowa kufanya watoto wadogo tu? Wao wakifanya mambo yaliyoharamishwa ni ruhusa na wengine ndio katazo? Tafadhali elimu sheikh wangu
kwahiyo mnavyopiga na nyiye mmeweka nadhiri ?pia aliyepiga ni mwanamke. sasa nyiye mnapiga ni wanawake ?
Shukran Sana sheikh Said nakuelewa sana
Mimi na me kwenye duffu hapana silitaki
Nyinyi ni wapotevu saidi na watu wake,weye ni msanii
Sheikh said ni msomi isipokuwa nyie mawahabi mnaelimu ya kiwahabi ndio shida kubwa mliyonayo vichwani,hapo ametoa ushahidi wa hadithi bado hamkubali?,
Jee mtume aliwahi kupiga twariii jee katika makhalifa wa nne waliwahi kupiga twarii twarii la wanawake wanaume walikua hawapigi twariii mtume alipokufa Nana aisha aliishi zaidi ya miaka ishirini jee Nana Aisha aliwahi kufanya maulidi au kupiga twarii
Usiseme wew ni mwanatwarika tu Kila Mmoja ni mwana twarika awe salafi awe muhabi awe Sufi awe shia wote ni wanatwarika
Kiti kulitoa maji Mombasa
shekhe yu tube hujasema kweli wasema sana na waunga unga hakika.................. wewe yani mwanamke hakuogopa kufanya dhambi mbele ya mtume n sayyidina abu bakr lakn akahofia dhambi kwa kuja Umar............weeeeh kuwa na insaf huoni wamtukana mtume kuwa ameruhusu ushetani mpaka kuja kwa umar.... na mtumi aruhusu ushetani siku ya eidi mambo gani hayo shekheee.................. na mtumi atuambia man aswallahu fii yawmi eid kaman aswaahu fii yawmil waiid shekhe yu tube chunga maneno unayosema.... na nyny wenye account za youtube mwaziskiza hizi vtu au ni kazi tu mwapewa ogopeni dhimma hini madhambi haya ni jaariya nayo shauri zenu,.................
Vaa rinda basi
Naili mtume alisema zitangazeni ndoazenu mkazifunge msikitini nampige difuhuko je kulemskitiniwalopiga matari nakufungishandoa niwanawake? Achenikuwapotoshawatu nyisarafi mayahudi wakubwatunajua mmeyumwa mayahudi kuipotosha wiisolamu
Nyinyi ni makafiri no 2 baada ya hao makafiri no 1.
Aliepiga dufu ni mwanamke wewe mwanaume dufu ni la nn
Sasa ww unasema kmwanamke alifanya kwajili ya nadhir sasa jee hizi dufu za sasa zinapigwa kwajili ya nadhiri mie sikubali hata kidogo munaoitosha umma kuhalalisha maovu sasa hakuna tena nadhiri ila maasi mwanamke atie lipstik wanja kuonesha kwenye hadhar watu wanacheza wanawake na wanaume usimtumie mtume kupotosha waumini inamaana hizo dufu zote hisasa zinazopigwa ni kwajili ya nadhiri ? Hustadhi huna elimu
Sheikh Said Allah akuhifadhi mi naangalia comment za Hawa waimba taarabu mawahabi 🤣🤣🤣
@user-uj7vm4pg2e
6 ай бұрын
Wakiongozwa na bba yako
@IbrahimRamadhan-nc6hu
6 ай бұрын
Huyo Dj ndo kaz yake na hilo liko wazz
@saba-gv3mj
6 ай бұрын
@@user-uj7vm4pg2eww wahabi tu utabaki kuwa wahabi matusi ndio munayo ilimu hamuna
@Abdulwaheedomar
6 ай бұрын
Si DJ wenu ndio wakwanza kukatisha mauno
@Abdulwaheedomar
6 ай бұрын
@@saba-gv3mjukiwa nayo ww hio elimu yatosha
Fanyeni adabu zenu mwasema shekh said avaae rindaa hiyo ndio dini matari tuta piga museme musiseme wacheni upuzi nakama hamunyamazi tutawakomesha kwa bunduki endeleeni tu sauti kama demu ww
ACHENI UPUMBAFU WAKUTUMIA MANENO MAKALI WALLAHI HUYU JAMAA ATAWATESA,, ANAELIMU NA NIMFASWAHA KATIKA MAZUNGUMZU WEKENI HOJA MSI WEKE HEADING ZAKUVUTIA WATAZAMAJI.
Mimi nashindwa kuwaelewa hawa jamaa mtume akisifiwa hawataki kwaniniwasipammbane na hawawanaomtukana mtume wanapambana na waisilamu wenzao
Cc ww nimwana mke au imeweka nadhiri gani ww she said vp mbona unazingua mambo . Au ndo.unataka umaarufu naww
Mwenye kutaka kuelewa ataelewa. Sheikh umeeleza, vizuri mno
Mashetwani ni mawahabi kwa hadithi ya mtume kuwa watoka najdi
@saidimkwinzu9106
5 ай бұрын
Hujui lolote
Ndugi yangu wacha kidogo nikunyoshe. Nimesikiliza hii stori yako yote ila haina msingi wala mashiko. Siwezi kuiita khutba kwasababu haikutimiza vigezo vyake. Na kama hujui kiarabu mwanzo kajifunze ndio uje kufundisha watu. Kwanzia mwanzo mpaka mwisho haukutolea aya wala hadithi ila umetoa stori kichwani kwako. Sisi hadithi tunayo ila na wewe lete hadithi ya kupinga. Kiarabu chenyewe chakupinga chenga.
Sasa kwa Nini akaogopa wakati alifanya jambo zuri?tafakari we kijana mpenda ngoma ibnu omar alikua akisikia zumari TU ya kuitia mbuzi au aliziba masikio halafu alisema hivi ndio alifanya mtume sikwambii hizo ngoma zenu mnaita dufu
Mbona hampigi dufu mwezi wa Ramadhaan? Maana ibada ya sunna mwezi huu ni kama faradhi miezi mingine
Nanyie ni mademuu eti wapiga dufuu!!!!!!
huyo kasimu mafuta hana hoja na kama anajiweza kielimu naandae mjadala wakutane ana kw ana kama hatokimbia kama mtoto wa bachu .......
dalili zote za dufu ni zinawahusu wanawake nyie wanaume dufu la nn?????
Bahari yako ni neema kwa wenye macho
kijana amewashinda kielimu , hata ukucha wake hamumfiki, na bado ni kijana mdogo sana, tarajieni vitabu vya dini kutoka kwa huyu kijana, waheni hasad na hiqd.
@personunknown7413
6 ай бұрын
Ile hadithi alivyoiboronga ndo elimu hiyo?...
@adammuhidin3016
6 ай бұрын
pengine elimu uloikusudia ww co hii aloileta mtume s.a.w kwaio upo sawa mann yko
@MordiySB
5 ай бұрын
@@abdullahisiasa7861 Ukosefu wa ilimu wako wajulishwa na alfadh zako , siku zote sema " ALLAH akuongoze na atuongoze na sisi sote" ama "ALLAH atuongoze sote" watu wenye ELIMU ndio husema hivi kulingana na sunnah.
هل انت امرات بيضاء ? Mwanaume gani aliruhusiwa kupiga dufu ..waloruhusiwa kupiga dufu
Je kuna pahali wanaume wamekatazwa kupiga dufu?
@khamiisabubakar412
5 ай бұрын
We nawe jielewe....kwani yule aliyekuwa anapigia mtume dufu(vile Dj wenu anaeleza) alikuwa mwanamme?
Hakuna sheikh somavizuri
Mimba za zinaa za mikesha ya maulidi mtaenda kujibu
@saba-gv3mj
6 ай бұрын
Na ww utajibu kwa Allah ni nani alitiwa mimba kwenye maulid ambao wamezini utajibu insha Allah
Unajiita salifi kisha unamuita muislamu mwenzako kwajina asilo lipenda, sijui haya ni mafundisho ya Mtume gani? Ukweli siku zote utabakia kuwa ukweli tu, ukitaka amini hutaki basi.
Sema sijui😂😂😂😂
Shekh wangu kwel ila mpaka vinanda bc
Ndo maana hawa masufi huwa na tabia mbaya sana yaani humo katika mikusanyiko yao hamukosi uchafu hasa wa zinaa.
Hao maswahanba waliendelea???
Saidi aliwapiga kwa kitu Kizito ...😂
@hafidhseif9638
6 ай бұрын
Kizito kipi soma kwanza uwelewe usiwe kama wakiristo na akili zao,muislam hua anatumia akili za kutosha, mtume alimruhusu kwa kuweka nadhir na kua hujaweka usipige je huoni hapo karuhusiwa kwa dharura tu,je hao je wanaopiga wana dharura gani .sijui kua wewe ni msomi wa Quran nisije kupa aya kumbe hujui kitu kuhusu nadhiri laki hata hivyo nenda kasome kisa cha nabii ayubu kuhusu nadhiri ya kumpiga mke wake bakora mia halafu uwone nini Allah alihukumu kuhusu tukio hilo?
@khamiisabubakar412
6 ай бұрын
Huyu ni msaniii Dj Said hadi na kinanda baba....halafu mwamtetea... Acha kinanda hadi ngitaa Dj Said anapiga...halaf bado mwamtetea ..,..ehhh enyi ? masufiiii>iiiiii
Salafi wajakazi wa mayahayudi tusomeni taarikh zenu. Chuki ndio mfunzo yenu bila shaka.
Mombasa SS hatuna walimu SS hakuna kufundisha mambo muhimu NI kushindana na maulidi au hiyo dufu yaamanisha hakuna lakutufundisha na kama hamuna c mutafutee lakufanya wacheni kutuchokesha akili kuna mambo mengi yakutujuuzaa tumechooooka na nyinyi maslahi na pia naona SS NI kama NI biashara SS Aka BACHUCHU Mombasa 001
Basi waacheni wanawake wapige mana hakuna hadith wamekuja wanaume kupiga dufu sasa haya ni mafunzo au kuharibu umma wa kiislam
Mawahabi wafundiaheni masufi kwa vitendo waambini mwanake wenu wapige dufu ili watu waeoewe sio mapovu tu
@abuurayaan3902
6 ай бұрын
Sisi sio madayuthi kama nyie munao achia wake zenu waonekane Alhamdhulilah wake zetu dufu wanalipiga kama vile sheria imefundisha Wala hutawaona mitandaoni kama Wanawake wakisufi wanavyo kata mauno Hadharani
Sema huyu mwamba DJ kawapiga sana mpaka mmejinyea huko Kenya na bado tu anawapelekea moto😅😅
@IbrahimRamadhan-nc6hu
6 ай бұрын
Ajabu yan mtu ywa furahia maovu bali kuutetea tumche Allah
@IbrahimRamadhan-nc6hu
6 ай бұрын
Kujinyea huenda likawa na afadhali lakini hili la wanaume kuvaa marinda cjui wewe walionaje