𝗗𝗷 𝗦𝗮𝗶𝗱𝗶 𝗔𝘀𝗼𝗺𝗲𝘀𝗵𝘄𝗮 𝗨𝗵𝗮𝗿𝗮𝗺𝘂 𝗪𝗮 𝗗𝘂𝗳𝘂 | Aʙᴜᴜ Uᴍᴀʀ Qᴀꜱɪᴍ حفظه الله

Ойын-сауық

𝗖𝗵𝗮𝗻𝗻𝗲𝗹 𝗵𝗶𝗶 𝗶𝗻𝗮𝗵𝘂𝘀𝗶𝗸𝗮 𝗻𝗮 𝘂𝘁𝗼𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝘇𝗼 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝗶𝘀𝗹𝗮𝗺𝘂 𝗶𝗸𝗶𝘄𝗲𝗺𝗼 𝗗𝗮𝗿𝗮𝘀𝗮(𝗗𝘂𝗿𝘂𝘀) 𝘇𝗮 𝗺𝗮𝘀𝗵𝗲𝗶𝗸𝗵 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝗻𝗱𝗮𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗲𝗻𝘆𝗮 𝗻𝗮 𝗻𝗷𝗲 𝘆𝗮𝗸𝗲 ,𝗺𝗮𝘄𝗮𝗶𝗱𝗵𝗮, 𝗸𝗵𝘂𝘁𝗯𝗮𝗵, 𝗳𝗮𝘁𝗮𝘄𝗮 𝘇𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗰𝗵𝘂𝗼𝗻𝗶, 𝗤𝘂𝗿𝗮𝗻, 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝘀𝗵𝗮𝗶𝗿𝗶 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶
𝑻𝒉𝒊𝒔 𝒄𝒉𝒂𝒏𝒏𝒆𝒍 𝒆𝒏𝒈𝒂𝒈𝒆𝒔 𝒊𝒏 𝒕𝒉𝒆 𝒅𝒆𝒍𝒊𝒗𝒆𝒓𝒚 𝒐𝒇 𝒗𝒂𝒓𝒊𝒐𝒖𝒔 𝒕𝒓𝒂𝒊𝒏𝒊𝒏𝒈𝒔 𝒊𝒏 𝒕𝒉𝒆 𝑰𝒔𝒍𝒂𝒎𝒊𝒄 𝒓𝒆𝒍𝒊𝒈𝒊𝒐𝒏, 𝒊𝒏𝒄𝒍𝒖𝒅𝒊𝒏𝒈 𝑪𝒍𝒂𝒔𝒔𝒆𝒔 (𝑫𝒖𝒓𝒖𝒖𝒔) 𝒐𝒇 𝒗𝒂𝒓𝒊𝒐𝒖𝒔 𝒔𝒉𝒆𝒊𝒌𝒉𝒔 𝒊𝒏 𝑲𝒆𝒏𝒚𝒂 𝒂𝒏𝒅 𝒊𝒕𝒔 𝒐𝒖𝒕𝒔𝒌𝒊𝒓𝒕𝒔, 𝒔𝒆𝒓𝒎𝒐𝒏𝒔, 𝒍𝒆𝒄𝒕𝒖𝒓𝒆𝒔, 𝒇𝒂𝒕𝒘𝒂𝒔 𝒐𝒇 𝒔𝒄𝒉𝒐𝒍𝒂𝒓𝒔, 𝑸𝒖𝒓𝒂𝒏, 𝒂𝒏𝒅 𝒊𝒔𝒍𝒂𝒎𝒊𝒄 𝒆𝒅𝒖𝒄𝒂𝒕𝒊𝒐𝒏𝒂𝒍 𝒑𝒐𝒆𝒎𝒔
🪩EMAIL:
𝗌𝖺𝗅𝖺𝖿𝗂𝗒𝖺𝗁.𝗍𝗏@𝗀𝗆𝖺𝗂𝗅.𝖼𝗈𝗆

Пікірлер: 332

  • @seifsalum3018
    @seifsalum30186 ай бұрын

    Allah amuongoz huyu jamaa, maan anawapoteza weng sana

  • @KomoraMohamed

    @KomoraMohamed

    19 күн бұрын

    Wacha ujinga ww katili wa kumwaga damu za w2

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan88716 ай бұрын

    DJ saidi huwezi kutuhadaa na kufata uzushi na uharamu, utawapata wenye matamanio ya dunia

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    6 ай бұрын

    Ww Huna matamanio ya dunia wataka kusema ww mkamilifu

  • @adamabubakar7569
    @adamabubakar75696 ай бұрын

    Maalim said wahalalisha mziki sasa innaalillah wanna ilaihi raajeuun

  • @MohammedAlnabakhany
    @MohammedAlnabakhany5 ай бұрын

    Ukifa katika mila hiyo bwanamkubwa umeangamia vibaya mbele ya Allah, Bwanamtume anasema sauti mbili zimelaaniwa duniani na Akhera, sauti ya kwanza ni Zumari na magitaa, nasauti ya pili nivilio vyakuombeleza katika mazishi, asa apo penye dufuu hapana Zumari apo na magitaa.

  • @user-xh4ym6ik2h

    @user-xh4ym6ik2h

    4 ай бұрын

    Kweli akhy allah akulipe kher huyu said anakoenda Allah amuongoze ahalalisha vilivyoharamishwa na sharia tukufu

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo5 ай бұрын

    Al rajuli yadhrib dufufu wahuwa makhnuth!

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya23796 ай бұрын

    Huyu Said ana balaa sana wallah.. Allah amuongoze kama hana kusudi. Ikiwa anafanya kisudi Allah amlipe na ailinde dini yake.

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    6 ай бұрын

    Ww kasome mwanzo

  • @user-rf2zs4kk1v
    @user-rf2zs4kk1v5 ай бұрын

    Hakika wanaomuelewa sheikh said ni watu wasio na ilmu ambao hawajasoma dini yao wakaielewa,

  • @mussajuma7460
    @mussajuma74605 ай бұрын

    Hujuw kitu wewe sheikh kaaa kimya kwa dufu hilo na vinanda hivyo kuna tofaut gani na nyimbo

  • @musakibindo6345

    @musakibindo6345

    5 ай бұрын

    Tafauti ni usasa na ukale. Je wakati wa Mtume microphone na mixer zilikuweko. Na mbona mwazitumia.

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf24016 ай бұрын

    Mbabaishaji sana dj Allah amwongoe

  • @Silay1034

    @Silay1034

    6 ай бұрын

    Ninyi mnaona hayo yakupiga dufu lkn hamujioni ninyi mnakufuru katika Aqiidah Mara Allah anamiguu anamikono miwili

  • @Silay1034

    @Silay1034

    6 ай бұрын

    Masalafy wakosoaji wakat kihakika wao ndowamepotea Zaid Aqiidiyah

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    6 ай бұрын

    wewe umeongoka? km mwajipa kazi ya uungu, hy aswali afunga mwata aongoke vp? au kafiri huyo? acheni usenge mbwa nyie

  • @IbrahimRamadhan-nc6hu

    @IbrahimRamadhan-nc6hu

    6 ай бұрын

    ​​@@mafiatv5479 hakuna mwenye kupinga kama sala yakataza maovu. Vp kwa mwanaume mwenye kupambania mambo ya wanawake kisha akadai anasal je sala yake itakua iko sawa ???

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    6 ай бұрын

    ​@mafiatv5479 ndugu kwa kweli unafuatilia sanaa darasa za masalafy kisha ukishasikia hoja za nguvu unaanza kutusi vibaya sana, kumbuka tu kila Unachoandika kitabaki baada ya kuondoka duniani, na kila atakae soma utabeba madhambi kaka, nasaha kwako hupungui kitu kutumia lugha nzuri hata ukiwa mpinzani wa haki basi kuwa na adabu.

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota21424 ай бұрын

    Wewe mpuuzi HIVYO unaona DUFU (ngoma) ipigwe KWENYE shughuli.wewe kwa upotoshaji huu.Mwenyezi Mungu akulipe

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim65226 ай бұрын

    ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO YOOKA ILA TUWE MAKINI TUSIMSINGIZIE MTUME SWA JAMANIIIII

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    6 ай бұрын

    Sasa mtume s a w hajasingiziwa na hadithi mumepatiwa subhanallah wale wanawake pia walimpokea mtume s a w kwa twari

  • @AbuuSiiriin
    @AbuuSiiriin5 ай бұрын

    Allah akulipe kheri zote ❤

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary70836 ай бұрын

    Kimi namkubali sana shekhe saidi yeye anaelimisha kwa wanaopiga dufu na wasiopiga wasipige watulia watu waendelee kumsifu mtume muhammad ( s.a.w)

  • @thabitimkufi7388

    @thabitimkufi7388

    5 ай бұрын

    Hoja ya kusema anaepga apge asiepga akae kmya hyo maanake hana hoja rasmi ya kuhalalisha dufu ktk uislam

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe.6 ай бұрын

    Mashaallah doctor wa bacho ustadh said

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    5 ай бұрын

    Doctor wa dj saidi ni bacho

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena59225 ай бұрын

    Dufu la Vinanda Dufu La Diamond Platnumz hilo hawa Mashekhe wa mchongo wanazingua sana

  • @ramygichero1016
    @ramygichero10165 ай бұрын

    Una sema sawa sawa ila kuna dunia iko mbali jaribu kufanya vitu vye maslahi makubwa kwa Uma

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki32265 ай бұрын

    Mwendawazimu huyu. Ana unga unga ili kuhalalisha upuuzi na jambo ambalo halipo kisheria katika Islam.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot6 ай бұрын

    Maashaa Allaah umeongea maneno mazima sana, khususan kuqnzia dkk yq 40 hadi 43❤❤❤❤

  • @user-wj4so3dm6q
    @user-wj4so3dm6q5 ай бұрын

    Ustadh said acha kupoteza w2 muogope mungu

  • @KomoraMohamed

    @KomoraMohamed

    19 күн бұрын

    Alimfanya bachu akakojoa kwnye kiti

  • @alikurran150
    @alikurran1505 ай бұрын

    Assalam alaykum sheik wangu.Allah azidi kukuongoza katika dini.InshaaAllah.Piga dufu kaka usiumize sana sauti we ukipiga tarajia kheri kama ni kheri utaikuta hata uzani wa mdudu chungu na kama sharri pia Allah haghafiliki.Ikhlass fanyeni kwa iqhlas.

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w6 ай бұрын

    Mawahabi mumejaa husda

  • @mohamedturanardan8871

    @mohamedturanardan8871

    6 ай бұрын

    Tupo mbali na uzushi

  • @issahabdallah9018

    @issahabdallah9018

    5 ай бұрын

    Haya maelezo ya abu hawla mbona yako wazi sana. Wala hayahitaji kuwa wahabi wala tariqa. Bali yanahitaji uwe mfuasi wa Muhammad bin abi talib kuyaelewa

  • @Abdulwaheedomar
    @Abdulwaheedomar6 ай бұрын

    Swadakta Abu umar ❤

  • @ahmedrage9664
    @ahmedrage96646 ай бұрын

    Allah akuongoze said Bado hujasoma

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    6 ай бұрын

    Ndio kamyamazisha bachu

  • @mzeerajab9154

    @mzeerajab9154

    6 ай бұрын

    Wewe je?

  • @FakikomboBakar-bs4tu
    @FakikomboBakar-bs4tu5 ай бұрын

    Dufu Haina tafauti na mziki wa tarab jmn hamjiulizi nyinyi Allah amekemea Katia Qur'an suratatu zinaeleza uharam wangoma kwann ss tunahalalisha tuacheni ujinga tusomeni kwanza tuache kufata mkumbo utatupotea

  • @DelightfulGolfBall-dn1nl
    @DelightfulGolfBall-dn1nl5 ай бұрын

    Allah akuhifadhi ....gusa point tu mwenye akili anaelewa vzr

  • @hashiali6834
    @hashiali68346 ай бұрын

    جزاك الله خيرا

  • @jumakumala1337
    @jumakumala13375 ай бұрын

    Mbona masheikh wa twariqa mnawachukulia Maswaaba za Mtume wetu MUHAMMAD sala na salamu zimfikie ki raisi raisi tu kama mm n ww

  • @user-bo1ew3xq6w

    @user-bo1ew3xq6w

    5 ай бұрын

    Kwa maana hio nyinyi mawahabi mukipeleka salamu huwa munapaa mbinguni sio?

  • @BashiruDigital
    @BashiruDigital6 ай бұрын

    HAWA WANAO JIITA MASALAFI,, WALLAH NIWAPUMBAVU UFASWAHA HAMUMUWEZI ELIMU HAMUMUWEZI MMEBAKIZA MIPASHO NAKUTOA MAJINA YAKEJELI

  • @IbrahimRamadhan-nc6hu

    @IbrahimRamadhan-nc6hu

    6 ай бұрын

    Eeeee mbona huuu upumbav makuraf pia wanao tafuta hoja elimu usipende ushabiki

  • @ashrafuyusufu9344

    @ashrafuyusufu9344

    6 ай бұрын

    ha ha mbona umepaniki kweli ukhuraf mzigo mtu anaongea kama mtoto anajifunza kuongea halafu unasema ni fasaha halafu avae rinda bas apige dufu ili tumwelewe

  • @BashiruDigital

    @BashiruDigital

    6 ай бұрын

    Kinachotakiwa,, Ajibiwe kwa HOJA sio kumpa MAJINA ya ajabu NIMFASWAHA narudia Tena,

  • @IbrahimRamadhan-nc6hu

    @IbrahimRamadhan-nc6hu

    6 ай бұрын

    Kwaio alivyo jibiwa imetumika gazzet

  • @khamiisabubakar412

    @khamiisabubakar412

    6 ай бұрын

    Masalafi wanaotetea sunna za mtume swallaahu alaihi wassalaam ni wapumbavu na huyu anayelingania kucheza na kukata viuno msikitini ndo mwerevu siyo? Tumieni akili enyi makhraafi na masuufi watu wa twariiqa

  • @ahmedrage9664
    @ahmedrage96646 ай бұрын

    Mzushiii

  • @dr.jakayeherbalist5848
    @dr.jakayeherbalist58486 ай бұрын

    Allaah azibaarik zaidi jitihada hizi za kuuhifadhi uislamu sahihi aliotuachia mtume wetu muhammad (swalla Llaahu alayhi wasallam) na amlipe kila mwenye kushiriki ndani yake ujira mkubwa utakao mfaa siku ya hisaab. Angalizo langu kwa ndugu zangu waisilam na hasa vipenzi vyangu masalafi Baada ya tawfeeq ya Allaah juu yetu kutupa hidaya na kutuongoza ktk kujenga imani na misimamo yetu juu ya hoja sahihi za kisheria ndugu, zangu kisha adabu nzuri imekuwa ni sababu kubwa ya kuipamba haqqi tuliyoafkishwa juu yake na kupendeza ktk nyoyo za watu hata wasio kuwa waislaam Allaaha Allaaha ndugu zangu, wallaah tujitaahid kujichunga ktk maneno Huenda mtu akaikataa haqqi kutokana na namna alivyosemeshwa Ni kweli watu huudhi, kwani huzama ktk ubishani wa mambo wasiyo na ilmu nayo, tena wakti mwingine kwa kuwatusi watu wa haqqi na vipenzi vyetu, laakin sisi tuna kigezo kwa wema tunaojinasibisha kwao, na litutoshe somo la vitendo kwa mtume(swalla Llaahualayhiwasallam) kwa wapinzani wake kwani yeye himma yake kuu ilikuwa ni kuongozwa wao pia ktk haqqi aliyonayo, hakuwatusi wala kuwaanza ubaya. Allaah atuhifadhi sote ktk njia hii ya haqq na awabaarik mashekhe zetu wote walio ktk haqq na awaongoze ndugu zetu wote ktk njia ya sawa ili tupate sote ujira wa kumpenda mtume (swallaLlaahualayhiwasallam) siku ya kukutana na Allaah mwepesi na mwadilifu wa hisabu. Allaah awa

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b6 ай бұрын

    Yaani ni hatari analolipigania hapo ni waislam wapige ngoma wacheze sasa hao akina kiba diamond na wasanii mbalimbali ni halali wanachokifanya DJ Said haelewi maneno yake yanatoa ruhusa watu kuimba kucheza na kupiga ngoma

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    6 ай бұрын

    Sasa ww utakua huelewi ama ni kibri asema dufu sasa diamond kiba wao wapija dufu ama ni bongo flever

  • @user-jp8lf7dy5z

    @user-jp8lf7dy5z

    6 ай бұрын

    Izo dufu zinazopigwa hapo na za diamond zinatofautiana au?

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    6 ай бұрын

    @@user-jp8lf7dy5z diamond yuwapija dufu ama mziki jibu unalo ila chuki punguzeni

  • @arkaanahmed1231
    @arkaanahmed12316 ай бұрын

    Hao watu ambao wanakuskiliza akili zao ziko vp jamanj لا يكادون يفقهون حديثا

  • @user-qp5ct1it9e
    @user-qp5ct1it9e6 ай бұрын

    بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا

  • @user-vu4ec8ox4w
    @user-vu4ec8ox4w5 ай бұрын

    Huo ni ukhurafitu hiyo ngoma kama ngoma zingine acheni kubabahisha sugu ni ngoma tena ni ktk ujahiliya munachanyika na wanawake pia nina rukaruka huku mukimtaja mungu na MTUME wake ng'oma hikipigwa

  • @muniraally4091

    @muniraally4091

    5 ай бұрын

    Said ni moja wa sikio la kufa tena kwa kusudi

  • @adammuhidin3016
    @adammuhidin30166 ай бұрын

    aasant abuu umar nimekuelewa san chapa waazushi awo

  • @salummzee9739
    @salummzee97396 ай бұрын

    Wallah mitihan dunia imeisha hatar Mtume Muhammad s a w alitabiri mwisho watu wataipenda dunia kuliko Akheir muda umefika Allah atujaliye khatima njema na kizazi jema

  • @kambotambwiza9582
    @kambotambwiza95826 ай бұрын

    As/aleykm Abuu umaira kaa usome ndugu yangu

  • @ummohammed8380

    @ummohammed8380

    6 ай бұрын

    Asallam aleikum Ndugu yangu ukiandika Asallam aleikum ikamilishe Asallam ni jina la Allah usilifupishe Shukran

  • @forgames6425

    @forgames6425

    4 ай бұрын

    M. A we ndo umesoma sana😂

  • @hadanahadana4205
    @hadanahadana42056 ай бұрын

    Mtume Muhammad swalallahu Alaihi wasalama tayari aalisha sema zama zamwisho patakuwa washeikh wengi alakini maulama nikidogo

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak65776 ай бұрын

    Uzuri wa wasiosoma hawana wasilojua. UST SAIDI endelea na elimu zenye tabia njema

  • @jumakitadu8674
    @jumakitadu86746 ай бұрын

    سئل القرطبي عن الامام الطرطوسي في مكان يقرؤون شيئا من القران ثم ينشد لهم منشد شيئا من الشعر فيتواجدون ويضربون بالدف والشباب هل الحضور معهم حلال ام لا فاجاب مذهب الساده الصوفيه بطاله وظلاله وجهاله وما الاسلام الا كتاب الله وسنته فاما القضيب فاول من اتخذ به الزنادقه ليشغل به المسلمين عن كتاب الله

  • @i_gabbykisalo4280
    @i_gabbykisalo42806 ай бұрын

    Please nitumie hiyo video ya hao wenye kupiga dufu, nawakubali sana

  • @musaomar4184
    @musaomar41846 ай бұрын

    Huyo ni mwanamke je nyinyi ni wanawake

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj6 ай бұрын

    Abuu umaira hatuna elimu ya kumsomesha sheikh ,Dj,Saidi.kumuita dj si matusi ni kivumishi .

  • @user-zo6wx9zt3p
    @user-zo6wx9zt3p5 ай бұрын

    jaman angalie kwakuchukua elimu hilo dufu au gitaa

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi84905 ай бұрын

    Mashaalah sheikh Said jazakallah kher

  • @abaadharri6873
    @abaadharri68735 ай бұрын

    Abu umair soma vizuri hiyo hadithi ya aalinuu

  • @NadharMohd-ek8wl
    @NadharMohd-ek8wl6 ай бұрын

    Mimi ni Ahlultwariqa wallahi nakwambieni,lakini kwa dufu hili ni ujahili,hili dufu au rusharoho,huyu anajua kua huu ni ujahili lakini anawarizisha walimu wake. Sheikh saidi ninakukubalisana shekhwangu lakini kwadufu hili navinanda vyaMuziki tumuogope Allah,musilichafue dufu hili sio dufu letu Ahlultwariqa.

  • @alihabib7640

    @alihabib7640

    6 ай бұрын

    Dah hatari kweli dufu ndo kijikirubisha kwa Allah??? Wewe wacha upotofu huo

  • @user-mr1sl6dd7g

    @user-mr1sl6dd7g

    5 ай бұрын

    Hujui chochote wewe

  • @NadharMohd-ek8wl

    @NadharMohd-ek8wl

    5 ай бұрын

    Mimi sijui chochote lakini dufu musilitie vinanda na muziki mukalishabihisha na rusharoho,tofauti iko wapi wakati ala za muziki ndo zilezile,Kila siku mwaongeza maajabu katika dufu,Shetani anawavuta darja kwa darja mwisho atawapoteza

  • @user-wc5sj2oc6v

    @user-wc5sj2oc6v

    5 ай бұрын

    Dufu libaki kwa akinamamatu maanahiyo c ibada tumche allah

  • @user-vb6vm6hc6g

    @user-vb6vm6hc6g

    5 ай бұрын

    Una simamiawapi

  • @JosMatty-bq9ii
    @JosMatty-bq9ii5 ай бұрын

    hyu ni sheikh au dj

  • @abdallahkaggy1452
    @abdallahkaggy14525 ай бұрын

    Hilo jina ulilompa Muislamu mwenzako si sahihiii kwa muita Dj😢 Pili hiyo picha uliyoiunganishaa kwa pembeni si dufu hizo ni hala za zumari miziki ya ki Zanzibar si madufu😢

  • @khamiisabubakar412

    @khamiisabubakar412

    5 ай бұрын

    Wacha hata eti imeunganishwa...yeye anapiga kinanda na ngitaa haswaa

  • @musabomar661

    @musabomar661

    3 ай бұрын

    We huoni hiyo video ilounganishwa ya vinanda na huyohuyo Dj ndio bendi yake na yeye ndio anayepiga guitar hapo? Au unajitoa fahamu na wewe?

  • @ATHUMANIKIJAMBO
    @ATHUMANIKIJAMBO5 ай бұрын

    Mungu akupe elimu wapenda kuwa maarufu ila rudi darasani ajabu wapinga hadithi dhaifu kwakutumia dhaifu kueni wakweli

  • @KomoraMohamed

    @KomoraMohamed

    19 күн бұрын

    Ww unayo

  • @salimasalim405
    @salimasalim4055 ай бұрын

    Mungu akuzidishie ufaswaha ktk kuongea, na ukuzidishie elimu❤❤❤

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    5 ай бұрын

    Amzidishie elimu ya madufu?

  • @muddiesmart
    @muddiesmart2 күн бұрын

    Mmeingia kwenye kutukana sasa😅😅

  • @user-zj3bj4ge6o
    @user-zj3bj4ge6o6 ай бұрын

    بارك الله فيك وجزاك الله خيرا وزادك الله علم

  • @fikratulmuhibbonlinetvismail

    @fikratulmuhibbonlinetvismail

    6 ай бұрын

    Mwaongeleaga jikoni

  • @abdulfatahumarsaideazamo2654

    @abdulfatahumarsaideazamo2654

    6 ай бұрын

    زاده الله علما لا ينفعه؟

  • @abdulrazakmansur4938

    @abdulrazakmansur4938

    5 ай бұрын

    Wewe jahil mzuka acha kelele katafute Elimu acha kupoteza ummah dufu maulidi samai haviko katika mafundisho ya dini yetu dini yetu si dini ya kucheza cheza 😅

  • @alhadharngwali
    @alhadharngwali4 ай бұрын

    Dj.said nna kikao na ww siku ukijaaliwa kuja Zanzibar tukutane inshallah...😢😮

  • @KomoraMohamed

    @KomoraMohamed

    19 күн бұрын

    Bachu ywamjuwa huyo alijikojolea

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI6 ай бұрын

    we unaumwa kazi za wanana wake

  • @MNGWAYAONE
    @MNGWAYAONE5 ай бұрын

    Kwa hivyo sheikh wetu unatuambia kwamba jambo la dhambi wameruhusowa kufanya watoto wadogo tu? Wao wakifanya mambo yaliyoharamishwa ni ruhusa na wengine ndio katazo? Tafadhali elimu sheikh wangu

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa6 ай бұрын

    kwahiyo mnavyopiga na nyiye mmeweka nadhiri ?pia aliyepiga ni mwanamke. sasa nyiye mnapiga ni wanawake ?

  • @husseinthabiti311
    @husseinthabiti3115 ай бұрын

    Shukran Sana sheikh Said nakuelewa sana

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba3026 ай бұрын

    Mimi na me kwenye duffu hapana silitaki

  • @ismaailabuughariyb313
    @ismaailabuughariyb3135 ай бұрын

    Nyinyi ni wapotevu saidi na watu wake,weye ni msanii

  • @MohamedMgwami-nw6bl
    @MohamedMgwami-nw6bl5 ай бұрын

    Sheikh said ni msomi isipokuwa nyie mawahabi mnaelimu ya kiwahabi ndio shida kubwa mliyonayo vichwani,hapo ametoa ushahidi wa hadithi bado hamkubali?,

  • @Salimsubeya001
    @Salimsubeya0015 ай бұрын

    Jee mtume aliwahi kupiga twariii jee katika makhalifa wa nne waliwahi kupiga twarii twarii la wanawake wanaume walikua hawapigi twariii mtume alipokufa Nana aisha aliishi zaidi ya miaka ishirini jee Nana Aisha aliwahi kufanya maulidi au kupiga twarii

  • @MtandaKibari-zm4bj
    @MtandaKibari-zm4bj6 ай бұрын

    Usiseme wew ni mwanatwarika tu Kila Mmoja ni mwana twarika awe salafi awe muhabi awe Sufi awe shia wote ni wanatwarika

  • @waleedalhinai367
    @waleedalhinai3676 ай бұрын

    Kiti kulitoa maji Mombasa

  • @salimmohamedakidzmoh6993
    @salimmohamedakidzmoh69935 ай бұрын

    shekhe yu tube hujasema kweli wasema sana na waunga unga hakika.................. wewe yani mwanamke hakuogopa kufanya dhambi mbele ya mtume n sayyidina abu bakr lakn akahofia dhambi kwa kuja Umar............weeeeh kuwa na insaf huoni wamtukana mtume kuwa ameruhusu ushetani mpaka kuja kwa umar.... na mtumi aruhusu ushetani siku ya eidi mambo gani hayo shekheee.................. na mtumi atuambia man aswallahu fii yawmi eid kaman aswaahu fii yawmil waiid shekhe yu tube chunga maneno unayosema.... na nyny wenye account za youtube mwaziskiza hizi vtu au ni kazi tu mwapewa ogopeni dhimma hini madhambi haya ni jaariya nayo shauri zenu,.................

  • @ibrahimabdul6586
    @ibrahimabdul65866 ай бұрын

    Vaa rinda basi

  • @ramadhanikimweri1240
    @ramadhanikimweri12405 ай бұрын

    Naili mtume alisema zitangazeni ndoazenu mkazifunge msikitini nampige difuhuko je kulemskitiniwalopiga matari nakufungishandoa niwanawake? Achenikuwapotoshawatu nyisarafi mayahudi wakubwatunajua mmeyumwa mayahudi kuipotosha wiisolamu

  • @AllySully
    @AllySully5 ай бұрын

    Nyinyi ni makafiri no 2 baada ya hao makafiri no 1.

  • @user-rk3ej3ej2h
    @user-rk3ej3ej2h4 ай бұрын

    Aliepiga dufu ni mwanamke wewe mwanaume dufu ni la nn

  • @eddiemay547
    @eddiemay5474 ай бұрын

    Sasa ww unasema kmwanamke alifanya kwajili ya nadhir sasa jee hizi dufu za sasa zinapigwa kwajili ya nadhiri mie sikubali hata kidogo munaoitosha umma kuhalalisha maovu sasa hakuna tena nadhiri ila maasi mwanamke atie lipstik wanja kuonesha kwenye hadhar watu wanacheza wanawake na wanaume usimtumie mtume kupotosha waumini inamaana hizo dufu zote hisasa zinazopigwa ni kwajili ya nadhiri ? Hustadhi huna elimu

  • @user-gh2su5fb1k
    @user-gh2su5fb1k6 ай бұрын

    Sheikh Said Allah akuhifadhi mi naangalia comment za Hawa waimba taarabu mawahabi 🤣🤣🤣

  • @user-uj7vm4pg2e

    @user-uj7vm4pg2e

    6 ай бұрын

    Wakiongozwa na bba yako

  • @IbrahimRamadhan-nc6hu

    @IbrahimRamadhan-nc6hu

    6 ай бұрын

    Huyo Dj ndo kaz yake na hilo liko wazz

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    6 ай бұрын

    ​@@user-uj7vm4pg2eww wahabi tu utabaki kuwa wahabi matusi ndio munayo ilimu hamuna

  • @Abdulwaheedomar

    @Abdulwaheedomar

    6 ай бұрын

    Si DJ wenu ndio wakwanza kukatisha mauno

  • @Abdulwaheedomar

    @Abdulwaheedomar

    6 ай бұрын

    ​@@saba-gv3mjukiwa nayo ww hio elimu yatosha

  • @saadabdalla6062
    @saadabdalla60626 ай бұрын

    Fanyeni adabu zenu mwasema shekh said avaae rindaa hiyo ndio dini matari tuta piga museme musiseme wacheni upuzi nakama hamunyamazi tutawakomesha kwa bunduki endeleeni tu sauti kama demu ww

  • @BashiruDigital
    @BashiruDigital6 ай бұрын

    ACHENI UPUMBAFU WAKUTUMIA MANENO MAKALI WALLAHI HUYU JAMAA ATAWATESA,, ANAELIMU NA NIMFASWAHA KATIKA MAZUNGUMZU WEKENI HOJA MSI WEKE HEADING ZAKUVUTIA WATAZAMAJI.

  • @DiniMwambashi
    @DiniMwambashi5 ай бұрын

    Mimi nashindwa kuwaelewa hawa jamaa mtume akisifiwa hawataki kwaniniwasipammbane na hawawanaomtukana mtume wanapambana na waisilamu wenzao

  • @user-jj4gf5wj1w
    @user-jj4gf5wj1w6 ай бұрын

    Cc ww nimwana mke au imeweka nadhiri gani ww she said vp mbona unazingua mambo . Au ndo.unataka umaarufu naww

  • @bakariomari8758
    @bakariomari87585 ай бұрын

    Mwenye kutaka kuelewa ataelewa. Sheikh umeeleza, vizuri mno

  • @user-lo1ui8tb6b
    @user-lo1ui8tb6b6 ай бұрын

    Mashetwani ni mawahabi kwa hadithi ya mtume kuwa watoka najdi

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    5 ай бұрын

    Hujui lolote

  • @hashimshariff2743
    @hashimshariff27436 ай бұрын

    Ndugi yangu wacha kidogo nikunyoshe. Nimesikiliza hii stori yako yote ila haina msingi wala mashiko. Siwezi kuiita khutba kwasababu haikutimiza vigezo vyake. Na kama hujui kiarabu mwanzo kajifunze ndio uje kufundisha watu. Kwanzia mwanzo mpaka mwisho haukutolea aya wala hadithi ila umetoa stori kichwani kwako. Sisi hadithi tunayo ila na wewe lete hadithi ya kupinga. Kiarabu chenyewe chakupinga chenga.

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma76165 ай бұрын

    Sasa kwa Nini akaogopa wakati alifanya jambo zuri?tafakari we kijana mpenda ngoma ibnu omar alikua akisikia zumari TU ya kuitia mbuzi au aliziba masikio halafu alisema hivi ndio alifanya mtume sikwambii hizo ngoma zenu mnaita dufu

  • @mahmoudukusso4488
    @mahmoudukusso44884 ай бұрын

    Mbona hampigi dufu mwezi wa Ramadhaan? Maana ibada ya sunna mwezi huu ni kama faradhi miezi mingine

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy86666 ай бұрын

    Nanyie ni mademuu eti wapiga dufuu!!!!!!

  • @user-zx7me2iz8v
    @user-zx7me2iz8v5 ай бұрын

    huyo kasimu mafuta hana hoja na kama anajiweza kielimu naandae mjadala wakutane ana kw ana kama hatokimbia kama mtoto wa bachu .......

  • @user-rk3ej3ej2h
    @user-rk3ej3ej2h4 ай бұрын

    dalili zote za dufu ni zinawahusu wanawake nyie wanaume dufu la nn?????

  • @user-dp1dj8ti6h
    @user-dp1dj8ti6h4 ай бұрын

    Bahari yako ni neema kwa wenye macho

  • @MordiySB
    @MordiySB6 ай бұрын

    kijana amewashinda kielimu , hata ukucha wake hamumfiki, na bado ni kijana mdogo sana, tarajieni vitabu vya dini kutoka kwa huyu kijana, waheni hasad na hiqd.

  • @personunknown7413

    @personunknown7413

    6 ай бұрын

    Ile hadithi alivyoiboronga ndo elimu hiyo?...

  • @adammuhidin3016

    @adammuhidin3016

    6 ай бұрын

    pengine elimu uloikusudia ww co hii aloileta mtume s.a.w kwaio upo sawa mann yko

  • @MordiySB

    @MordiySB

    5 ай бұрын

    @@abdullahisiasa7861 Ukosefu wa ilimu wako wajulishwa na alfadh zako , siku zote sema " ALLAH akuongoze na atuongoze na sisi sote" ama "ALLAH atuongoze sote" watu wenye ELIMU ndio husema hivi kulingana na sunnah.

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah12056 ай бұрын

    هل انت امرات بيضاء ? Mwanaume gani aliruhusiwa kupiga dufu ..waloruhusiwa kupiga dufu

  • @jaalbrek1941
    @jaalbrek19415 ай бұрын

    Je kuna pahali wanaume wamekatazwa kupiga dufu?

  • @khamiisabubakar412

    @khamiisabubakar412

    5 ай бұрын

    We nawe jielewe....kwani yule aliyekuwa anapigia mtume dufu(vile Dj wenu anaeleza) alikuwa mwanamme?

  • @Suleimanbakari-wu2pw
    @Suleimanbakari-wu2pw5 ай бұрын

    Hakuna sheikh somavizuri

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s6 ай бұрын

    Mimba za zinaa za mikesha ya maulidi mtaenda kujibu

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    6 ай бұрын

    Na ww utajibu kwa Allah ni nani alitiwa mimba kwenye maulid ambao wamezini utajibu insha Allah

  • @doctorali9448
    @doctorali94486 ай бұрын

    Unajiita salifi kisha unamuita muislamu mwenzako kwajina asilo lipenda, sijui haya ni mafundisho ya Mtume gani? Ukweli siku zote utabakia kuwa ukweli tu, ukitaka amini hutaki basi.

  • @user-sm1kt5xd8k
    @user-sm1kt5xd8k5 ай бұрын

    Sema sijui😂😂😂😂

  • @saidmohamed804
    @saidmohamed8045 ай бұрын

    Shekh wangu kwel ila mpaka vinanda bc

  • @nassor6333
    @nassor63336 ай бұрын

    Ndo maana hawa masufi huwa na tabia mbaya sana yaani humo katika mikusanyiko yao hamukosi uchafu hasa wa zinaa.

  • @saidissa8273
    @saidissa82735 ай бұрын

    Hao maswahanba waliendelea???

  • @ibraa1157
    @ibraa11576 ай бұрын

    Saidi aliwapiga kwa kitu Kizito ...😂

  • @hafidhseif9638

    @hafidhseif9638

    6 ай бұрын

    Kizito kipi soma kwanza uwelewe usiwe kama wakiristo na akili zao,muislam hua anatumia akili za kutosha, mtume alimruhusu kwa kuweka nadhir na kua hujaweka usipige je huoni hapo karuhusiwa kwa dharura tu,je hao je wanaopiga wana dharura gani .sijui kua wewe ni msomi wa Quran nisije kupa aya kumbe hujui kitu kuhusu nadhiri laki hata hivyo nenda kasome kisa cha nabii ayubu kuhusu nadhiri ya kumpiga mke wake bakora mia halafu uwone nini Allah alihukumu kuhusu tukio hilo?

  • @khamiisabubakar412

    @khamiisabubakar412

    6 ай бұрын

    Huyu ni msaniii Dj Said hadi na kinanda baba....halafu mwamtetea... Acha kinanda hadi ngitaa Dj Said anapiga...halaf bado mwamtetea ..,..ehhh enyi ? masufiiii>iiiiii

  • @ilyasawadh6375
    @ilyasawadh63755 ай бұрын

    Salafi wajakazi wa mayahayudi tusomeni taarikh zenu. Chuki ndio mfunzo yenu bila shaka.

  • @khamisshee803
    @khamisshee8035 ай бұрын

    Mombasa SS hatuna walimu SS hakuna kufundisha mambo muhimu NI kushindana na maulidi au hiyo dufu yaamanisha hakuna lakutufundisha na kama hamuna c mutafutee lakufanya wacheni kutuchokesha akili kuna mambo mengi yakutujuuzaa tumechooooka na nyinyi maslahi na pia naona SS NI kama NI biashara SS Aka BACHUCHU Mombasa 001

  • @user-jp8lf7dy5z
    @user-jp8lf7dy5z6 ай бұрын

    Basi waacheni wanawake wapige mana hakuna hadith wamekuja wanaume kupiga dufu sasa haya ni mafunzo au kuharibu umma wa kiislam

  • @saidramadhani8678
    @saidramadhani86786 ай бұрын

    Mawahabi wafundiaheni masufi kwa vitendo waambini mwanake wenu wapige dufu ili watu waeoewe sio mapovu tu

  • @abuurayaan3902

    @abuurayaan3902

    6 ай бұрын

    Sisi sio madayuthi kama nyie munao achia wake zenu waonekane Alhamdhulilah wake zetu dufu wanalipiga kama vile sheria imefundisha Wala hutawaona mitandaoni kama Wanawake wakisufi wanavyo kata mauno Hadharani

  • @allyfundi6405
    @allyfundi64056 ай бұрын

    Sema huyu mwamba DJ kawapiga sana mpaka mmejinyea huko Kenya na bado tu anawapelekea moto😅😅

  • @IbrahimRamadhan-nc6hu

    @IbrahimRamadhan-nc6hu

    6 ай бұрын

    Ajabu yan mtu ywa furahia maovu bali kuutetea tumche Allah

  • @IbrahimRamadhan-nc6hu

    @IbrahimRamadhan-nc6hu

    6 ай бұрын

    Kujinyea huenda likawa na afadhali lakini hili la wanaume kuvaa marinda cjui wewe walionaje

Келесі