SHK OTHMAN MALIM SASA HAWA WANAOLETA RADDI KWA WANAZUON WAKUBWA WANIPE JAWABU

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #Shkothmanmaalim

Пікірлер: 77

  • @professerayyub4825
    @professerayyub48252 жыл бұрын

    MashaAllah barakaAllah Allah hifdhak our amazing sheikh

  • @mohdmud4385
    @mohdmud43852 жыл бұрын

    Allah atujaalie tuwe waelewa aaamiiin ,,,,,, Allah akujaalie mwisho mwema sheikh

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Жыл бұрын

    نفعناالله بعلومكم الشيخ عثمان معلم

  • @yusirhamdan1483
    @yusirhamdan14832 жыл бұрын

    Mung akulipe kher Ustadh dunian na Akhera

  • @abdulrahmanhassan3334
    @abdulrahmanhassan33342 жыл бұрын

    Mashaa ALLAH

  • @saidihaji3739
    @saidihaji37392 жыл бұрын

    ALLAH AKUBARIK SHEIKH OTHMAN MAALIM NA ACHANA NA MASHEKH WENYE LUGHA CHAFU KTK RUDUUD ZAO WEW SONGA MBELE . ETI WANASEMA SHEIKH OTHMAN MAALIM HAIFAI KUMSIKILIZA HAAAHAA WAMEISHIWA NA HOJA .

  • @sharrifidris3422

    @sharrifidris3422

    2 жыл бұрын

    Mmoja ni yule kijana wa sheikh nasoro bachu aliingia mjini kwa kuwa raddi masheikh mashuhuri

  • @jimjam4148
    @jimjam41482 жыл бұрын

    MASHA ALLAH.

  • @abigaelnasir1698
    @abigaelnasir16982 жыл бұрын

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi wabarakatuh, shukran wajazaakumullahu khayran

  • @professerayyub4825

    @professerayyub4825

    2 жыл бұрын

    Waleykhum salam warahmatullahi wabarakatu

  • @zainanassor6439
    @zainanassor64392 жыл бұрын

    Mwenye Akili kupitia hizi khutba zake huyu za siku hizi, basi utagundua kitu, utahisi ni jinsi gani sasa daawa ya kisalafi inavyosonga mbele na kuendelea kutambulikana katika masikio ya waisilamu na kuzinduka juu ya upotofu, pamoja na kuwa na chachu ya kutaka kutafuta elimu ili kuijua itikadi halisi ya Uislamu wa wema waliotangulia. Kwhy twakushkuru sana Othman Madhwalimu endlea kuzitoa khutba kama hizi.

  • @saidihaji3739

    @saidihaji3739

    2 жыл бұрын

    Zaina Nassor Kwaivo wew unaunga mkono watu ambao wanasema hao maimam wamepotea ?? Halafu nakuuliza unaposema salafi mnamfuata salafi yupi ??

  • @zainanassor6439

    @zainanassor6439

    2 жыл бұрын

    @@saidihaji3739 hawakusema wamepotea, ila walisema kuna baadhi ya mambo wamekengeuka wasifuatwe ila waliyopatia ndio wafuatwe, kuwa muelewa usiwe kishabiki Saidi. Nnapo sema namfuata salafi naksudia Mtume Muhammad, maswahaba, taabiina na tabii taabiina.

  • @muhammadmjara6776

    @muhammadmjara6776

    2 жыл бұрын

    @@saidihaji3739 Zhakuna salafi aliye sema maimuamu wamepotea isipokuwa othimani malimu amepotosha amewazulia watu uongo maneno yake hakuwa makini wakati skiyatamka

  • @mudvan2410

    @mudvan2410

    2 жыл бұрын

    Acheni dini kuifanya kma chma cha siasa nyinyi salafi makini na malaika wenu wa radi na funguo zenu za pepo

  • @saidihaji3739

    @saidihaji3739

    2 жыл бұрын

    @@zainanassor6439 Wee hujui kuwa hao maswahaba wametofautiana na hata mataabiina wametofautiana ?? wakishatofautiana wew unamfuata nani ??

  • @saidihaji3739
    @saidihaji37392 жыл бұрын

    Ni kweli sheikh Kuna watu wanaowaona lmam nawawi na lbnu hajar wamepotea kwasabb tu hawaendi sambamba na manhaji yao . Wakat ukweli wa mambo sio hao tu wawili bali ni Muhadithiina takriban wote walikuwa na ktk ahlusunna wa ki ashaira pmj na shurrah wa hadith (jumhuur ya shurrahil hadiith) Mufasiriina takriban woote walikuwa ni ashaira (jumhuur ya mufasiriina) Jumhuur wa usuliyiina walikuwa ni ashaira . Jumhuur ya maimam wa kiraa'at walikuwa ashaira . Na maulamaa wachache saana ndio walikua kinyume na sawadil aadhwam .

  • @salehothman6144
    @salehothman61442 жыл бұрын

    Maisha magumu, waislam wengi ni maskini wa kutupwa, watoto wengi wa kiislam wananyanyaswa kijinsia, zinaa zimetawala watoto wa mitaani wamekuwa wengi, wazee wengi wamekuwa wakiwatelekeza watoto wao kwa sababu ya nyumba ndogo, viongozi wa dini badala ya kuwapa moyo na kuwaunga mkono kwa jitihada wanazofanya Leo tumekua ndio wa kuwapiga madongo wenzetu wanazidi kujitanua na kuratidisha waislam kwa sababu ya umaskini wao subhannallah Allah azidi kutufahamisha na kutuongoza kwa kweli.

  • @mahammoudhaji9083
    @mahammoudhaji90832 жыл бұрын

    Abdulbasit Seif ww unacomment au unaandika barua?

  • @abdulbasitseif6958

    @abdulbasitseif6958

    2 жыл бұрын

    Nasahihisha ufaham kadri ya kinachoitajika ktk maelezo.

  • @mshengavuai5004
    @mshengavuai50042 жыл бұрын

    🙏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @abrahamansaidi8631
    @abrahamansaidi86312 жыл бұрын

    Hilo swali linakurejea wewe uliyemradi shekh Al-Albany رحمه الله تعالى

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri45972 жыл бұрын

    Sheikh Uthman chaps Daawa wachana na watu walokosa lakufanya

  • @abdulbasitseif6958
    @abdulbasitseif69582 жыл бұрын

    Tatizo la huyu sheikh Othman akiongea huongea jumla jumla na si kweli tunavyowaangalia hao maimam kama anavyoongea, kwanza hakubainisha ni salaf gan aliyewakataa hao maimamu, pili kubainika kosa la imam sio shan juu ya kupotea kwake, anaweza akakosea na kupatiwa udhuru kwa sbb hakupata wa kumuelekeza ktk usawa yule.imam kwa kosa lake, kwaiyo kosa lake litabaki kuwa kosa, na hatulifuati kosa hilo, lkn tutamfuata imam huyo ktk aliyopatia. Hatuna inswaf tunapowaeleza ndugu zetu, hebu elezen uchambuz hasa wanaoutoa hao masalaf juu ya maimam km mna inswaf kweli km mtabaini hayo mnayoongea.

  • @swaffaaghariib5636

    @swaffaaghariib5636

    2 жыл бұрын

    Kwan ktk ufahamu wako ndugu yetu umefahamu nini alichokizungumzia Sheikh.?? Kitu cha mwanzo ni ufahamu halafu ufumbuzi wa ulichokifahamu na baadae ni uchambuzi wa maneno yaliyofahamika naamin ukipota umo INSHAALLAH hutokua na Sintofahamu maana naona una kitu behind ila unashindwa tu kuwa muwazi na dini haiwi ivo. Ivi kila siku ww ndio unaona makosa tu na kwan awo Maimamu hawakosei..??

  • @swaffaaghariib5636

    @swaffaaghariib5636

    2 жыл бұрын

    Lakini pia ktk dini haitakiwi kua mnafiki na Shk. Othman Maalim anaamua kua muawazi na ivo ndivo dini inataka sasa ww kama unataka asiongee jumla jumla unamaana gn au unataka atuongopee.??

  • @shekhkhalfanbinshafii1890

    @shekhkhalfanbinshafii1890

    2 жыл бұрын

    Kasomee ww huna uwez wa kumkosowa othmn maal

  • @abdulbasitseif6958

    @abdulbasitseif6958

    2 жыл бұрын

    @@shekhkhalfanbinshafii1890 Sifa zetu masalafi maisha yote twasoma. Sasa ww unaenishaur nikasome sijui unanijuwa ukaona sihudhurii halaqaat za elimu, mm nakuonea huruma ww, unaeshindwa ata kunakish makosa ya wazi ya othman muaalim, makosa ya othman mualim hayaitaji ata wanafunz tunaojishuhulisha na elim km sisi ili kuyaelewa, ata watu wa chini km ww ukitumia akili yako ya kuzaliwa waweza kuona makosa ya Othman mualim, muhimu usiyaangalie mambo kishabiki tu. Na km ttzo unaitaji kumtetea Othman mualim nakushauri bora usiwashauri watu wakasome ili kumfaham Othman mualim, mana mtu akisoma kidogo tu atayafaham makosa ya othman mualim, sasa sijui ww uko wapi ktk wasomi au washabiki.

  • @nasibuabasi4701

    @nasibuabasi4701

    2 жыл бұрын

    @@abdulbasitseif6958 unaweza kutuelezea makosa angalau matatu yakielimu ulio yabaini hapo kwenye mazungumzo ya Shekh ili tujue na sisi tusiokuwa salafi maana kazi ya watu wanao jinasibisha na salafi nikuangalia makosa yawengine tu kwakuwa wao wameokoka

  • @husnamohamed9448
    @husnamohamed94482 жыл бұрын

    Weeeee watu waitana majina sampulisampuli

  • @amrubinannasannas9185
    @amrubinannasannas91852 жыл бұрын

    Masalafi ni washenzi wauza kanzu wa farouuk

  • @abdulbasitseif6958

    @abdulbasitseif6958

    2 жыл бұрын

    Kuwa na maneno mazuri kwanza kisha ongea, ikiwa huna kauli nzur nyamaza. Waonaje hiki ulichokisema ukakuta ktk kitabu cha mabaya yako!!? Unaona hili lina uzur gani kwa malaika waandikao mema na mabaya. Achilia kujadili tuhuma ulonazo kwa ndugu zako, kwanza rekebisha kauli zako ingekuwa bota

  • @zainanassor6439

    @zainanassor6439

    2 жыл бұрын

    Laiti ungeijua maana halisi ya neno Salafi basi usingethubutu kusema huo upuuzi

  • @nurbahsan7615

    @nurbahsan7615

    2 жыл бұрын

    Kuuza kanzu ni biashara na Allah ameibariki biashara vp hao makhurafii wa kutaka tu followers katika kutoa daawah

  • @khalfanhemed1284

    @khalfanhemed1284

    2 жыл бұрын

    @@zainanassor6439 Nyie munaojiita masalafi hamna zaidi ya kuwatukana kila asie kubaliana na nyie munawaona wote wapotofu Hao masahaba watukufu hawakubashiria pepo na wao walikuwa ni wachamungu hasa Nyie sasa hivi munatukanana wenyewe kwa wenyewe Munajiona kama ndio muliopewa jukumu la kuhukumu watu huyu motoni huyu peponi

  • @zainanassor6439

    @zainanassor6439

    2 жыл бұрын

    @@khalfanhemed1284 kaka usome kwanza, mmefunga vtabu hamjui kitu, watu wameamua kusoma wanakufikishieni mnasema hili jipya limetoka wapi. Jitaalamishe Akhy utafanikiwa In Sha Allah

  • @youssufndizeye5720
    @youssufndizeye57202 жыл бұрын

    Ubishi ubishi tu tanaua ilim ieleweke sio quur an quur an ,suna sunna ulikuwepo ww,ingiya upate faida humo ya dini yako,kuna zaidi ya hayo watu waliyo yakalia kuzibeba hadithi za mtume na qur'an kijuujuu tu

  • @abdulahmadimkabakuli6342
    @abdulahmadimkabakuli63422 жыл бұрын

    Majibu kuhusu kassmu mafuta vipi mzeee

  • @muhammadmjara6776

    @muhammadmjara6776

    2 жыл бұрын

    hana uwezo wakujibishana naa kasimu mafuta atapaduliwa naa nyundo zikichwani

  • @hamzasafiabuu6451
    @hamzasafiabuu64512 жыл бұрын

    Nikweli Wtu wabidaa ni ugonjwa mkubw ktk jamii kuliko cancer ولاكن أكثر الناس لا يعلمون..

  • @muhammadmjara6776
    @muhammadmjara67762 жыл бұрын

    elimu siyo kama miguu kila mutu ana miguu akini elimu siyo kila mtu anayo wew unafavyagilia ashahera nakuwaponda masalafi alafu unadai maimamu wakubo walikuwa ashaara mutu muongo kabx kama huna elimu yakuongelea salafi nii mini afazali ukae kinyatu

  • @omarykissite6766
    @omarykissite67662 жыл бұрын

    ushajibiwa kuhusu hilo acha talbis za kitoto

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    2 жыл бұрын

    Wacha matusi

  • @abdulbasitseif6958
    @abdulbasitseif69582 жыл бұрын

    Ni mara ya pili hii Sheikh Othman ukiwaongea masalaf wala huwezi kuwajibu, wewe.wataka wafuatwe maiman mpk kwenye makosa yao subhaanallaah, kisa ni dhehebu, Fuata Dhehebu ktk usawa ama makosa usilofuate kipimo cha usawa wa dhehebu ni kuran na sunna, ikiwa kuna jambo ktk dhebu limewafikiana na kuran na sunna bas utafuta dheheb kwa lile jambo kwa kuwa limewafikiana na kuran na sunna, ama ikiwa limeenda kinyume na kuran na sunna basi tutaifuata kuran na sunna na tutaliwacha dhehebu kwa jambo lile tu ambalo lipo kinyume na viwili hivyo. TUSIWE VIPOFU KTK KIFUATA DHEHEBU AU IMAM NA HALI TWAJUWA NDANI YAKE KUNA KOSA, TUTAANGAMIA

  • @kananiitv4643

    @kananiitv4643

    2 жыл бұрын

    Ndg yangu, sheikh othman ajielewa, huyu hamradd mtu na wala hazungumzi wahbi, salafi wala Sufi, hamtaji mtu huyu, masafi kueni waerevu msiwe wajinga wa akili nyie vp? Au mmepotea njia?

  • @abdulbasitseif6958

    @abdulbasitseif6958

    2 жыл бұрын

    @@kananiitv4643 Kwanza futa matusi ya kuzitia akili zetu kwenye ujinga, kwani kabla hujaongea jiangalie ayo maneno mizan nzur kwa mola wako lau utaoneshwa. Pili: Wewe waona kutomradd mtu ni werevu sio? Hivi hujui werevu huo hakuwa nao ata mtume, yani ata mtume aliwarudi watu ufaham, pia werevu huo ata Allah hakuwa nao, yani ata Allah aliwarudi waovu, ata maswahaba waliwarudi waovu. Sasa uyo sheikh Othman anaweza akawashinda kwa uwerevu Allah na mtume wake? Mana hao waliwaruddi waovu, bali wakat mwengine kwa majina haswa. Sasa ni ww tu usojuwa hizi habar ndo wampa uwerevu asostahiki. NDUGU YANGU KAA KITAKO USOME USIFUATE MAMBO KISHABIKI, USIPOSOMA UTAONA LA SHARI NI LA HAKI. SASA UKITAKA MIFANO MTUME ALIRADD WAPI NA ALLAH WAPI BASI SEMA NIKUSAIDIE ILI UFUNUKE

  • @hadhirmaulid5302
    @hadhirmaulid53022 жыл бұрын

    Sheikh Othman wee ushajibiwa na hukujibu mbona umekuja na mambo Yale Yale.

  • @yahayasalum2943
    @yahayasalum29432 жыл бұрын

    sheikh, elim sio visa via tuuu kama unavyo endesha darasa zako

  • @khamseysagrado7547

    @khamseysagrado7547

    2 жыл бұрын

    We msomi mkubwa, Qur an imejaa visa vingi, Allah ameviweka vya nn

  • @khamseysagrado7547

    @khamseysagrado7547

    2 жыл бұрын

    Na visa vimethibiti ktk qur an, Vip uislam Ni ruduud

  • @iddiselemani5924

    @iddiselemani5924

    2 жыл бұрын

    Elimu hamna muache shehe afanye yake hamumfikii kwaelim u

  • @nurbahsan7615
    @nurbahsan76152 жыл бұрын

    Ww umesoma wapi ???? Elmu yenyewe hukumaliza kazi yako kupiga hadithi alf hulelaa tu ruddiiiii ukasomeeee ww abu jahaal

  • @harerimanahussein9540

    @harerimanahussein9540

    2 жыл бұрын

    Kaka jiepushe na maneno machafu

  • @nurbahsan7615

    @nurbahsan7615

    2 жыл бұрын

    @@harerimanahussein9540 ww pia rudi ukasome hamuijui haqqi nyie makhurafiiiii kazi tu kuongea bila elimu kasome kisha unitafute

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    2 жыл бұрын

    @@nurbahsan7615 yafaa wewe urudi ukasome kama kweli una elimu usingethubutu kumtukana mtu mwenye elimu ana hekima lakini wewe huna elimu wala hekima

  • @yahyahaji4198

    @yahyahaji4198

    2 жыл бұрын

    Nur bahsan umejuaje km hajamaliza basi ww uliemaliza njoo utupe daawa

  • @nurbahsan7615

    @nurbahsan7615

    2 жыл бұрын

    @@aliabdalla9297 c yeye kasoma sio bac naomba awe anafundisha vitabu sio kutupa story za watu kisha kutoa faida ndani yake .... Na pia hadith za mtume صلى الله عليه وسلم anizisoma kimakosa makosaa kueleza na kufasiri pia vp hapo ???? Anapoteza ummah huyo Allah amuongoze atuongoze na sisi sote .

Келесі