Je! Sheikh Kishki ni Salafy? | Sheikh Salim Barahiyan

Пікірлер: 96

  • @HasanatKhamis
    @HasanatKhamis3 ай бұрын

    Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.

  • @NahiAbdallah
    @NahiAbdallah3 ай бұрын

    Huyu shekh kaz yake ni kudiscuss watu tu

  • @saidimpako5186
    @saidimpako51867 ай бұрын

    MUNATANGAZA SANA MADHEHEBU KULIKO UISILAMU WAISILAMU TUMESHA NASA KWENYE MTEGO WA MAYAHUDI

  • @apocalypsematrix9252

    @apocalypsematrix9252

    3 ай бұрын

    UMENENA POA SAFI SANA 👊🏼👍 HAMNA CHA SALAFI WASHENZI KAZI YAO NI YA FITINA NA KUOMBEYA KAMA WASHENZI

  • @Naghib-Islam

    @Naghib-Islam

    3 ай бұрын

    Wallahi hizi hoja zinawapa nguvu sana makafiri badala tuungane waislamu tunatenganishwa na migogoro isiomaana. Allah Atusamehe inshallah.

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    2 ай бұрын

    Tatizo kila mtu anataka awe juu ya mwenzake.

  • @Abuubacary
    @Abuubacary2 ай бұрын

    Allah akuhifadhi shekhe wetu

  • @animalchannel296
    @animalchannel2963 ай бұрын

    mashee wanamuonea sana wivu kishki

  • @UkhtyAsiyaah

    @UkhtyAsiyaah

    2 ай бұрын

    Wanamuonea wivu sana Sheikh wetu kwa neema zake na anavyoo fanya vzr wao hatuoni harakati zao ni kupigana vita tu Allah akuhifadhi na amlinde Sheikh wetu kishki na hasadi za ma sheikh

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon18409 ай бұрын

    Hamuna kanzi ombeeni taifa tunaangalia 😢😢😢

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Жыл бұрын

    Je nyny mnaowatuhumu na kukafirisha nyny ni wanazuoni?

  • @user-xh9gj2wd6o
    @user-xh9gj2wd6o3 ай бұрын

    Mti wenye matunda ndio wenye kutupiwa mawe namuomba Allaah amuhifadhi Sheikh wetu na sisi pia

  • @SolomomAdams-pf5zy

    @SolomomAdams-pf5zy

    2 ай бұрын

    Amiiyn

  • @fatmasuleyman2498

    @fatmasuleyman2498

    2 ай бұрын

    Amiin ya rabb

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Жыл бұрын

    Sheikh kishk sio salafi ni muislam, afu hakuna cha salafi wala wahab wala answar mbora mbele ya Allah ni mchamungu tu, acheni kujifanya nyie masalafi hamna tofauti na mashia, muogopen Allah

  • @thedon8467

    @thedon8467

    3 ай бұрын

    Kwani Kuna SALAFI mkiristo ?

  • @omarsakawa2070

    @omarsakawa2070

    3 ай бұрын

    ​@@thedon8467hakuna salafiy muislamu wala mkristo katika zama hizi,soote ni khalafiy acheni kujipa.

  • @SolomomAdams-pf5zy

    @SolomomAdams-pf5zy

    2 ай бұрын

    Hahahahahaha sikutegemea kucheka leo mapema hii haha

  • @user-ok8se1ok3d

    @user-ok8se1ok3d

    2 ай бұрын

    Mbwa hujui dini kaa kimya kima wee

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    2 ай бұрын

    Eti shiia wewe hapo muogope Allaah, Salafi Salih ndio uislamu, na shiia sio muislamu, fatilia vizuri kuhusu salafi, unaweza pia search kwa hii yutube, ama nakuambia soma vitabu the fundamentals of the salafi,,ama kama wewe mtu wa mitandao kuna hawa watu watafute kwa yutube, Sheikh Al fawzan hafeedhahullaah, Al bani Rahimahullaah ,ndo utajua mtume alisema nini kuhusu hili neno Salafi

  • @salimakida95
    @salimakida953 ай бұрын

    Kumbe walijua hilo..vipi ulimvyokua ukimtukanana na kumuhukumu kigogo shekh Mohamed bin shekh Ayoub

  • @user-mr8fd8nd8i
    @user-mr8fd8nd8i3 ай бұрын

    Tujaribu kuheshimu jitihada za Mashekh wetu jamani tuwaache warekebishane wenyewe ni hatari sana kurushia Mashekh maneno mabaya

  • @salumally663
    @salumally663 Жыл бұрын

    Wakati mwingine jaribuni muwe kigezo kwa umma wa kiislamu na kukua kia akili...inaonekana tumefikisika kimuono kukaa na kuanza kuchunguzana kuongea AKIDA YA Sheikh fulani ..hebu waislamu tuache huu ujinga na kukua kiakili...tujadili mambo yanayoweza kuwasaidia UMmaa

  • @SolomomAdams-pf5zy

    @SolomomAdams-pf5zy

    2 ай бұрын

    Naam

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4z2 ай бұрын

    Uyo sheikh nikupoteza time yaku msikilizi

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Жыл бұрын

    Jamani kiakili tu huyu si mtu wa kumfuata

  • @CalvinVenance
    @CalvinVenance2 ай бұрын

    mashekhe walikua zamani sasa hivi kuna mashekhena.

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Жыл бұрын

    Leo umeongea sheikh letu

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy40865 ай бұрын

    Hawa wote hawapo kidini wanapigania miradi ya wasaudi!

  • @osos9073
    @osos9073 Жыл бұрын

    Reference zote ni maulamaa sioni ikitamkwa qur ani

  • @MaalimYussuf-qy9ic
    @MaalimYussuf-qy9ic3 ай бұрын

    Yaani hawa watu wanaojiita masalafi kazi nikutangaza imaniyao2 ya kisalafi na sio kutanganga dini sas sijui ndio wanasomeshwa hivyo 2 au ndio elemu yao ipeishiya kwenye usalafi 2

  • @user-rt9qr3ie9g
    @user-rt9qr3ie9g3 ай бұрын

    Masuala.ya kuwazungumzia waislam na kuwakosoa ni ujinga hemu waelezeeni wafalme waovu wanao Wacha miji ya ndugu zao kumwagwa damu mfano Mohamed binsulemani m.mungu amlaani

  • @jumakassim1112
    @jumakassim11129 ай бұрын

    daaaah Allaah atuhifadhi sote

  • @MUHSINSALUM-cc4tg
    @MUHSINSALUM-cc4tg2 ай бұрын

    Kumbe Answari wamejaza MUHAFIDHIINA. LA MUHTADIINA

  • @ramygichero1016
    @ramygichero10167 ай бұрын

    Mawahabi hawataki kusoma shule

  • @fatmasuleyman2498

    @fatmasuleyman2498

    2 ай бұрын

    Tuekesawa mawahab unajua asili ya neno hilo huyo jina la ni sheikh muhammad bin abdul wahab رحمه الله na mwalimu wa sheikh ibn baaz رحمه الله

  • @amaxyz138
    @amaxyz1383 ай бұрын

    subhanallah mbona munakufurisha watu mwatoa watu katika dini nyinyi ni nani wa kuhukumu watu

  • @shabanponera2895

    @shabanponera2895

    3 ай бұрын

    Hivi umemsikiliza sheikh jibu lake au? Kasema yeye hawezi kuhukumu

  • @MudiMagwila
    @MudiMagwila2 ай бұрын

    Sheikh baraiyan sema ukweli nyinyi muna dumu kwenye bidaa sana acheni kuwazuga watu

  • @fatmasuleyman2498

    @fatmasuleyman2498

    2 ай бұрын

    Kunyamaza kwa mtu mjinga ndio jibu lake

  • @abdulahmadimkabakuli6342
    @abdulahmadimkabakuli63429 ай бұрын

    Mbona jazba mzeee

  • @UkhtyAsiyaah

    @UkhtyAsiyaah

    2 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @mohamedabdallahkilimo1975
    @mohamedabdallahkilimo19753 ай бұрын

    Hakuna anaeweza kumuhukumu mtu kwasababu kazi ya kuhukum ni majukumu yake ALLAHU subhanau wataala sisi tufanye aliyotuamrisha allah ni kheir na ni bora kwetu tusigombanishwe waislam tuamke maana ni kila siku yanazuka majambo tunawekwa busy na malumbano ili tusifanye ibada kwa utulivu,tuacheni hayo mambo turudi katika umoja wetu

  • @mohamedabdallahkilimo1975

    @mohamedabdallahkilimo1975

    3 ай бұрын

    Nasikitika tenda nda ya ramadhan tumefunga huku mnakosoana huyu salafy huyu badaaa jamani nani anajiona amekamilika mpaka kuhukumiana ina maana tayari wako waliojibashiria pepo wallah tutakuja kuulizwa haya mambo ninachokiamini mtu unaweza ukasoma ila ukawa hujaelewa allah ametukamilishia dini yetu ya kiislaam ila hao mashekh ndo wanaitia doa kwa huko kusoma kwao kila mmoja ni mjuzi tafuteni namna ya kurudisha umoja waumini wengi wao wanashangaa hawajui washike wapi wallah mtaulizwa

  • @ayubswaleh6044
    @ayubswaleh60443 ай бұрын

    Ila nyie mna mamlak ya kuhukum watu

  • @user-wy7om5ln7l
    @user-wy7om5ln7l9 ай бұрын

    kwaiyo wanazuoni waliobaki ninyie mawahabi tu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Kasim mafuta alihadaika na ukubwa alitaka shekh salim awe chini yake Ksim mafuta anapenda uluwa

  • @khamisali5978
    @khamisali59784 ай бұрын

    Anafanyiwa raddi km kakosea au afahamishwa?

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 Жыл бұрын

    😂😂😂 eti ambao si twawaita masalafi uchwara Ahaha barahiyani mgomvii!! Ahaha

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 Жыл бұрын

    Sasa Kishki atakuwaje salafy na hali alisema majina hayo hayako ,,yeye anajua jina uislamu tu ,,,

  • @SolomomAdams-pf5zy

    @SolomomAdams-pf5zy

    2 ай бұрын

    Tusubiri atutangazie na mwezi hahahahaha

  • @user-wy7om5ln7l
    @user-wy7om5ln7l9 ай бұрын

    mnafik mkubwa we munachaguana wenyewe kama sio wahabi hupewi nafasi kutoa mawaidha miskitini kwenu tafauti nahao munaowaita watu wabidaa na maibadhi

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 Жыл бұрын

    Kaziyenu ujinga tuu kama hamja mtaja Kassim Mafuta hamuwezi kula vikawashuka.

  • @pavillioncry5241

    @pavillioncry5241

    Жыл бұрын

    We chiz kwani yy nani ata asitajwe

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    Жыл бұрын

    Wee mpumbavu kama kasimu wako jadidah tulieni huko

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    Жыл бұрын

    Majadida sijui wapoje

  • @abubakarmuqaddam9845

    @abubakarmuqaddam9845

    Жыл бұрын

    Mpumbavu ni ww uko usietambu fadhila za Wasomi waliofaidika

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo51172 ай бұрын

    Hana kazi zakufanya hamuilimshi jamii tapotea kazi nikujali Mashelk tu wenye na mambo yao muhimu

  • @user-pe9nq3wu4p
    @user-pe9nq3wu4p3 ай бұрын

    Weweni pumbavu

  • @hodariahmad5116
    @hodariahmad5116 Жыл бұрын

    Eti kijimwanafunzi😂

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4z2 ай бұрын

    Hayo mambo yako Ni Africa tu

  • @abu-ff8ws
    @abu-ff8ws2 ай бұрын

    Shekhe kishki ni msomali ?

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy40865 ай бұрын

    Wewe unayomamlaka ya kuwaita watu watu bid’a?

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Жыл бұрын

    HUYU YEYE NI MTU MZUSHI KISHA ANALAUMU UZUSHI NA WAZUSHI WAKATI NI YEYE NDIO MZUSHI MWENYEWE!

  • @fatmasuleyman2498

    @fatmasuleyman2498

    2 ай бұрын

    Jambo usilolijua kama usiku wa gizaa totoro 'iyaadham billah

  • @fatmasuleyman2498

    @fatmasuleyman2498

    2 ай бұрын

    Uislam umejengwa juu ya nasaha فسؤلو اهل الذكر انكنتم الا تعلمون aya usihukumu allah atuongoze amiin

  • @omarsakawa2070
    @omarsakawa20703 ай бұрын

    Mwajifanya wa peponi sana, nyie,

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.53632 ай бұрын

    Hivi kuanzisha taasisi sio bidaa??

  • @SaalimMlawa
    @SaalimMlawa Жыл бұрын

    Na ktk bidaayenu ni kujiita salafi hivi mnazoakilikweli nyie mnawezaje kuijiita salafi ebu nanyi wacheni hii bidaa mana huu nao niuzushi Unawakosoa wenzio wakati wewe mwenyewe pia unayako Ebu tuondoleeni upuuziwenu wa ikhtilafu Na tushike hiliولاتموتن إلا وأنتم مسلمون. لاسلف ولاووو

  • @RajabuomariMachemba

    @RajabuomariMachemba

    Жыл бұрын

    We jaahili اقرء

  • @abubakarmuqaddam9845

    @abubakarmuqaddam9845

    Жыл бұрын

    Ww pia Waongea hhh ndo nini sasa ata wachekesha nduguyangu

  • @thedon8467
    @thedon84672 ай бұрын

    WIVU TU KISHKI NI HODARI SANA

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy40865 ай бұрын

    Yaani hukumu wanatoa maulamaa? Hii ni Kali!

  • @saidsaid-oj6qx
    @saidsaid-oj6qx Жыл бұрын

    Wewe mzee siulumuita kuwa kishik ameanza kupotea asiingie kwenye misikiti yako iweje ileo wamtetea? Alafu swali limeulizwa kwa mgonjwa

  • @user-wy7om5ln7l
    @user-wy7om5ln7l9 ай бұрын

    kwaiyo alipomtuka mtume hakua kafir lakini mwenye kuwapinga nyie nikafir

  • @user-rt1bz7lk4s
    @user-rt1bz7lk4s9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hawa masheikh wanatuchanganya akili zetu kwanzaa wewe mzeee mawahabi wenziwe hawakutambuiii yaani hawa mawahabi wallah wanavituko kweli wallah

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33152 ай бұрын

    ,taasisi yako ni zulma kwa yatima mjene waislam haki zao unafaidika wewe familia yako na waarabu wenzio

  • @rajabuathumani5775
    @rajabuathumani57753 ай бұрын

    NYINYI NYOTE NI MAWAHABI NA MAWAHABI NI MAKAFIRI MAANA DHEHEBU LAO LIMEASISIWA NA MAYAHUDI

  • @fatmasuleyman2498

    @fatmasuleyman2498

    2 ай бұрын

    Akh ombi maghfira kwa ulilolisema subhana llah subhana llah akh wewe ni kama mimi lkn hapo skufich nakutakia kher

  • @rajabuathumani5775

    @rajabuathumani5775

    2 ай бұрын

    ​@@fatmasuleyman2498bdo hujanielewa ndugu yangu nakuomba fuatilia history vizur utaelewa

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 Жыл бұрын

    Ukiona maharange yanaruka ruka kwenye sufuria jikoni ujue YANAENDA kuiva, mzee mm nlikua sifaham msimamo wako kiukweli lakn kwa maneno yako mwenyew hakika nimepata utuliv kuwa wew inapodondokea shilling ndio utapatikana hapo wacha kuwa hadaa watu.

  • @saidsalim2561

    @saidsalim2561

    Жыл бұрын

    Acha taasub na fikra ya kunyweshwa hapo kuna kosa gani la kielimu alilokosea ktk jawabu lake.

  • @ibnayub2374

    @ibnayub2374

    Жыл бұрын

    @@saidsalim2561 mm namskiliza katika kauli nying anazo zungumza sio hii tu, akitajiwa Kasim mafuta anapayukwa tu wala hana Majibu ya kueleweka, na unaniambia nna ta'asub hivi unadhan mdiruu Ana nini cha kufanya nimpende, maana taasisi yake n bora kuliko DINI ya Allah ila kwakua nyie n wafata upepo na kufungamana na mdiruu mnaona Sisi tuna ta'asub na Qasim mafuta na haya ndio maradh yenu vijana wa mdiruu hamjui hata ta'asub ni kitu gani. NA ukitaka kuamini hili sikiliza Majibu ya Qasim mafuta kwa barahian, halaf fananisha na majib ya barahian kwa Qasim mafuta UTAELEWA nn namaanisha.

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    Жыл бұрын

    Majadida ni watu wavurugu tu

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    Жыл бұрын

    Nyiee majadida ni waongo waongo tu

  • @hamynas
    @hamynas Жыл бұрын

    barahiyani kuna majibu yako huku kuhusu mashia kzread.info/dash/bejne/l6ipwcOxfLG6nqg.html

  • @HasanatKhamis
    @HasanatKhamis3 ай бұрын

    Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.

  • @SolomomAdams-pf5zy

    @SolomomAdams-pf5zy

    2 ай бұрын

    Sahihi

  • @user-ow6vh6mz8u
    @user-ow6vh6mz8u2 ай бұрын

    Umadhehebu ni usafiri wa hali ya juu Waislam wamekua mazezeta hawajalitambua hilo

  • @NahiAbdallah
    @NahiAbdallah3 ай бұрын

    Huyu shekh kaz yake ni kudiscuss watu tu

Келесі