Je! Sheikh Kishki ni Salafy? | Sheikh Salim Barahiyan
Жүктеу.....
Пікірлер: 96
@HasanatKhamis3 ай бұрын
Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.
@NahiAbdallah3 ай бұрын
Huyu shekh kaz yake ni kudiscuss watu tu
@saidimpako51867 ай бұрын
MUNATANGAZA SANA MADHEHEBU KULIKO UISILAMU WAISILAMU TUMESHA NASA KWENYE MTEGO WA MAYAHUDI
@apocalypsematrix9252
3 ай бұрын
UMENENA POA SAFI SANA 👊🏼👍 HAMNA CHA SALAFI WASHENZI KAZI YAO NI YA FITINA NA KUOMBEYA KAMA WASHENZI
@Naghib-Islam
3 ай бұрын
Wallahi hizi hoja zinawapa nguvu sana makafiri badala tuungane waislamu tunatenganishwa na migogoro isiomaana. Allah Atusamehe inshallah.
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Tatizo kila mtu anataka awe juu ya mwenzake.
@Abuubacary2 ай бұрын
Allah akuhifadhi shekhe wetu
@animalchannel2963 ай бұрын
mashee wanamuonea sana wivu kishki
@UkhtyAsiyaah
2 ай бұрын
Wanamuonea wivu sana Sheikh wetu kwa neema zake na anavyoo fanya vzr wao hatuoni harakati zao ni kupigana vita tu Allah akuhifadhi na amlinde Sheikh wetu kishki na hasadi za ma sheikh
@mariamharoon18409 ай бұрын
Hamuna kanzi ombeeni taifa tunaangalia 😢😢😢
@salehal-oufy5380 Жыл бұрын
Je nyny mnaowatuhumu na kukafirisha nyny ni wanazuoni?
@user-xh9gj2wd6o3 ай бұрын
Mti wenye matunda ndio wenye kutupiwa mawe namuomba Allaah amuhifadhi Sheikh wetu na sisi pia
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Amiiyn
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Amiin ya rabb
@rukaka_jr4514 Жыл бұрын
Sheikh kishk sio salafi ni muislam, afu hakuna cha salafi wala wahab wala answar mbora mbele ya Allah ni mchamungu tu, acheni kujifanya nyie masalafi hamna tofauti na mashia, muogopen Allah
@thedon8467
3 ай бұрын
Kwani Kuna SALAFI mkiristo ?
@omarsakawa2070
3 ай бұрын
@@thedon8467hakuna salafiy muislamu wala mkristo katika zama hizi,soote ni khalafiy acheni kujipa.
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Hahahahahaha sikutegemea kucheka leo mapema hii haha
@user-ok8se1ok3d
2 ай бұрын
Mbwa hujui dini kaa kimya kima wee
@habibasalim3092
2 ай бұрын
Eti shiia wewe hapo muogope Allaah, Salafi Salih ndio uislamu, na shiia sio muislamu, fatilia vizuri kuhusu salafi, unaweza pia search kwa hii yutube, ama nakuambia soma vitabu the fundamentals of the salafi,,ama kama wewe mtu wa mitandao kuna hawa watu watafute kwa yutube, Sheikh Al fawzan hafeedhahullaah, Al bani Rahimahullaah ,ndo utajua mtume alisema nini kuhusu hili neno Salafi
@salimakida953 ай бұрын
Kumbe walijua hilo..vipi ulimvyokua ukimtukanana na kumuhukumu kigogo shekh Mohamed bin shekh Ayoub
@user-mr8fd8nd8i3 ай бұрын
Tujaribu kuheshimu jitihada za Mashekh wetu jamani tuwaache warekebishane wenyewe ni hatari sana kurushia Mashekh maneno mabaya
@salumally663 Жыл бұрын
Wakati mwingine jaribuni muwe kigezo kwa umma wa kiislamu na kukua kia akili...inaonekana tumefikisika kimuono kukaa na kuanza kuchunguzana kuongea AKIDA YA Sheikh fulani ..hebu waislamu tuache huu ujinga na kukua kiakili...tujadili mambo yanayoweza kuwasaidia UMmaa
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Naam
@user-yv1gj2zn4z2 ай бұрын
Uyo sheikh nikupoteza time yaku msikilizi
@salehal-oufy5380 Жыл бұрын
Jamani kiakili tu huyu si mtu wa kumfuata
@CalvinVenance2 ай бұрын
mashekhe walikua zamani sasa hivi kuna mashekhena.
@banihashim5347 Жыл бұрын
Leo umeongea sheikh letu
@muhammedaloufy40865 ай бұрын
Hawa wote hawapo kidini wanapigania miradi ya wasaudi!
@osos9073 Жыл бұрын
Reference zote ni maulamaa sioni ikitamkwa qur ani
@MaalimYussuf-qy9ic3 ай бұрын
Yaani hawa watu wanaojiita masalafi kazi nikutangaza imaniyao2 ya kisalafi na sio kutanganga dini sas sijui ndio wanasomeshwa hivyo 2 au ndio elemu yao ipeishiya kwenye usalafi 2
@user-rt9qr3ie9g3 ай бұрын
Masuala.ya kuwazungumzia waislam na kuwakosoa ni ujinga hemu waelezeeni wafalme waovu wanao Wacha miji ya ndugu zao kumwagwa damu mfano Mohamed binsulemani m.mungu amlaani
@jumakassim11129 ай бұрын
daaaah Allaah atuhifadhi sote
@MUHSINSALUM-cc4tg2 ай бұрын
Kumbe Answari wamejaza MUHAFIDHIINA. LA MUHTADIINA
@ramygichero10167 ай бұрын
Mawahabi hawataki kusoma shule
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Tuekesawa mawahab unajua asili ya neno hilo huyo jina la ni sheikh muhammad bin abdul wahab رحمه الله na mwalimu wa sheikh ibn baaz رحمه الله
@amaxyz1383 ай бұрын
subhanallah mbona munakufurisha watu mwatoa watu katika dini nyinyi ni nani wa kuhukumu watu
@shabanponera2895
3 ай бұрын
Hivi umemsikiliza sheikh jibu lake au? Kasema yeye hawezi kuhukumu
@MudiMagwila2 ай бұрын
Sheikh baraiyan sema ukweli nyinyi muna dumu kwenye bidaa sana acheni kuwazuga watu
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Kunyamaza kwa mtu mjinga ndio jibu lake
@abdulahmadimkabakuli63429 ай бұрын
Mbona jazba mzeee
@UkhtyAsiyaah
2 ай бұрын
😅😅😅😅
@mohamedabdallahkilimo19753 ай бұрын
Hakuna anaeweza kumuhukumu mtu kwasababu kazi ya kuhukum ni majukumu yake ALLAHU subhanau wataala sisi tufanye aliyotuamrisha allah ni kheir na ni bora kwetu tusigombanishwe waislam tuamke maana ni kila siku yanazuka majambo tunawekwa busy na malumbano ili tusifanye ibada kwa utulivu,tuacheni hayo mambo turudi katika umoja wetu
@mohamedabdallahkilimo1975
3 ай бұрын
Nasikitika tenda nda ya ramadhan tumefunga huku mnakosoana huyu salafy huyu badaaa jamani nani anajiona amekamilika mpaka kuhukumiana ina maana tayari wako waliojibashiria pepo wallah tutakuja kuulizwa haya mambo ninachokiamini mtu unaweza ukasoma ila ukawa hujaelewa allah ametukamilishia dini yetu ya kiislaam ila hao mashekh ndo wanaitia doa kwa huko kusoma kwao kila mmoja ni mjuzi tafuteni namna ya kurudisha umoja waumini wengi wao wanashangaa hawajui washike wapi wallah mtaulizwa
@ayubswaleh60443 ай бұрын
Ila nyie mna mamlak ya kuhukum watu
@user-wy7om5ln7l9 ай бұрын
kwaiyo wanazuoni waliobaki ninyie mawahabi tu
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Kasim mafuta alihadaika na ukubwa alitaka shekh salim awe chini yake Ksim mafuta anapenda uluwa
@khamisali59784 ай бұрын
Anafanyiwa raddi km kakosea au afahamishwa?
@mpondamedia2416 Жыл бұрын
😂😂😂 eti ambao si twawaita masalafi uchwara Ahaha barahiyani mgomvii!! Ahaha
@ABUUJAAFAR92 Жыл бұрын
Sasa Kishki atakuwaje salafy na hali alisema majina hayo hayako ,,yeye anajua jina uislamu tu ,,,
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Tusubiri atutangazie na mwezi hahahahaha
@user-wy7om5ln7l9 ай бұрын
mnafik mkubwa we munachaguana wenyewe kama sio wahabi hupewi nafasi kutoa mawaidha miskitini kwenu tafauti nahao munaowaita watu wabidaa na maibadhi
Wee mpumbavu kama kasimu wako jadidah tulieni huko
@abbaspaziaog2188
Жыл бұрын
Majadida sijui wapoje
@abubakarmuqaddam9845
Жыл бұрын
Mpumbavu ni ww uko usietambu fadhila za Wasomi waliofaidika
@mwanakombopopo51172 ай бұрын
Hana kazi zakufanya hamuilimshi jamii tapotea kazi nikujali Mashelk tu wenye na mambo yao muhimu
@user-pe9nq3wu4p3 ай бұрын
Weweni pumbavu
@hodariahmad5116 Жыл бұрын
Eti kijimwanafunzi😂
@user-yv1gj2zn4z2 ай бұрын
Hayo mambo yako Ni Africa tu
@abu-ff8ws2 ай бұрын
Shekhe kishki ni msomali ?
@muhammedaloufy40865 ай бұрын
Wewe unayomamlaka ya kuwaita watu watu bid’a?
@mussaissa6796 Жыл бұрын
HUYU YEYE NI MTU MZUSHI KISHA ANALAUMU UZUSHI NA WAZUSHI WAKATI NI YEYE NDIO MZUSHI MWENYEWE!
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Jambo usilolijua kama usiku wa gizaa totoro 'iyaadham billah
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Uislam umejengwa juu ya nasaha فسؤلو اهل الذكر انكنتم الا تعلمون aya usihukumu allah atuongoze amiin
@omarsakawa20703 ай бұрын
Mwajifanya wa peponi sana, nyie,
@DR.SAIFILLAH.53632 ай бұрын
Hivi kuanzisha taasisi sio bidaa??
@SaalimMlawa Жыл бұрын
Na ktk bidaayenu ni kujiita salafi hivi mnazoakilikweli nyie mnawezaje kuijiita salafi ebu nanyi wacheni hii bidaa mana huu nao niuzushi Unawakosoa wenzio wakati wewe mwenyewe pia unayako Ebu tuondoleeni upuuziwenu wa ikhtilafu Na tushike hiliولاتموتن إلا وأنتم مسلمون. لاسلف ولاووو
@RajabuomariMachemba
Жыл бұрын
We jaahili اقرء
@abubakarmuqaddam9845
Жыл бұрын
Ww pia Waongea hhh ndo nini sasa ata wachekesha nduguyangu
@thedon84672 ай бұрын
WIVU TU KISHKI NI HODARI SANA
@muhammedaloufy40865 ай бұрын
Yaani hukumu wanatoa maulamaa? Hii ni Kali!
@saidsaid-oj6qx Жыл бұрын
Wewe mzee siulumuita kuwa kishik ameanza kupotea asiingie kwenye misikiti yako iweje ileo wamtetea? Alafu swali limeulizwa kwa mgonjwa
@user-wy7om5ln7l9 ай бұрын
kwaiyo alipomtuka mtume hakua kafir lakini mwenye kuwapinga nyie nikafir
@user-rt1bz7lk4s9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hawa masheikh wanatuchanganya akili zetu kwanzaa wewe mzeee mawahabi wenziwe hawakutambuiii yaani hawa mawahabi wallah wanavituko kweli wallah
@aminaosman33152 ай бұрын
,taasisi yako ni zulma kwa yatima mjene waislam haki zao unafaidika wewe familia yako na waarabu wenzio
@rajabuathumani57753 ай бұрын
NYINYI NYOTE NI MAWAHABI NA MAWAHABI NI MAKAFIRI MAANA DHEHEBU LAO LIMEASISIWA NA MAYAHUDI
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Akh ombi maghfira kwa ulilolisema subhana llah subhana llah akh wewe ni kama mimi lkn hapo skufich nakutakia kher
@rajabuathumani5775
2 ай бұрын
@@fatmasuleyman2498bdo hujanielewa ndugu yangu nakuomba fuatilia history vizur utaelewa
@ibnayub2374 Жыл бұрын
Ukiona maharange yanaruka ruka kwenye sufuria jikoni ujue YANAENDA kuiva, mzee mm nlikua sifaham msimamo wako kiukweli lakn kwa maneno yako mwenyew hakika nimepata utuliv kuwa wew inapodondokea shilling ndio utapatikana hapo wacha kuwa hadaa watu.
@saidsalim2561
Жыл бұрын
Acha taasub na fikra ya kunyweshwa hapo kuna kosa gani la kielimu alilokosea ktk jawabu lake.
@ibnayub2374
Жыл бұрын
@@saidsalim2561 mm namskiliza katika kauli nying anazo zungumza sio hii tu, akitajiwa Kasim mafuta anapayukwa tu wala hana Majibu ya kueleweka, na unaniambia nna ta'asub hivi unadhan mdiruu Ana nini cha kufanya nimpende, maana taasisi yake n bora kuliko DINI ya Allah ila kwakua nyie n wafata upepo na kufungamana na mdiruu mnaona Sisi tuna ta'asub na Qasim mafuta na haya ndio maradh yenu vijana wa mdiruu hamjui hata ta'asub ni kitu gani. NA ukitaka kuamini hili sikiliza Majibu ya Qasim mafuta kwa barahian, halaf fananisha na majib ya barahian kwa Qasim mafuta UTAELEWA nn namaanisha.
@abbaspaziaog2188
Жыл бұрын
Majadida ni watu wavurugu tu
@abbaspaziaog2188
Жыл бұрын
Nyiee majadida ni waongo waongo tu
@hamynas Жыл бұрын
barahiyani kuna majibu yako huku kuhusu mashia kzread.info/dash/bejne/l6ipwcOxfLG6nqg.html
@HasanatKhamis3 ай бұрын
Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Sahihi
@user-ow6vh6mz8u2 ай бұрын
Umadhehebu ni usafiri wa hali ya juu Waislam wamekua mazezeta hawajalitambua hilo
Пікірлер: 96
Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.
Huyu shekh kaz yake ni kudiscuss watu tu
MUNATANGAZA SANA MADHEHEBU KULIKO UISILAMU WAISILAMU TUMESHA NASA KWENYE MTEGO WA MAYAHUDI
@apocalypsematrix9252
3 ай бұрын
UMENENA POA SAFI SANA 👊🏼👍 HAMNA CHA SALAFI WASHENZI KAZI YAO NI YA FITINA NA KUOMBEYA KAMA WASHENZI
@Naghib-Islam
3 ай бұрын
Wallahi hizi hoja zinawapa nguvu sana makafiri badala tuungane waislamu tunatenganishwa na migogoro isiomaana. Allah Atusamehe inshallah.
@user-uo8xw9kr4b
2 ай бұрын
Tatizo kila mtu anataka awe juu ya mwenzake.
Allah akuhifadhi shekhe wetu
mashee wanamuonea sana wivu kishki
@UkhtyAsiyaah
2 ай бұрын
Wanamuonea wivu sana Sheikh wetu kwa neema zake na anavyoo fanya vzr wao hatuoni harakati zao ni kupigana vita tu Allah akuhifadhi na amlinde Sheikh wetu kishki na hasadi za ma sheikh
Hamuna kanzi ombeeni taifa tunaangalia 😢😢😢
Je nyny mnaowatuhumu na kukafirisha nyny ni wanazuoni?
Mti wenye matunda ndio wenye kutupiwa mawe namuomba Allaah amuhifadhi Sheikh wetu na sisi pia
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Amiiyn
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Amiin ya rabb
Sheikh kishk sio salafi ni muislam, afu hakuna cha salafi wala wahab wala answar mbora mbele ya Allah ni mchamungu tu, acheni kujifanya nyie masalafi hamna tofauti na mashia, muogopen Allah
@thedon8467
3 ай бұрын
Kwani Kuna SALAFI mkiristo ?
@omarsakawa2070
3 ай бұрын
@@thedon8467hakuna salafiy muislamu wala mkristo katika zama hizi,soote ni khalafiy acheni kujipa.
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Hahahahahaha sikutegemea kucheka leo mapema hii haha
@user-ok8se1ok3d
2 ай бұрын
Mbwa hujui dini kaa kimya kima wee
@habibasalim3092
2 ай бұрын
Eti shiia wewe hapo muogope Allaah, Salafi Salih ndio uislamu, na shiia sio muislamu, fatilia vizuri kuhusu salafi, unaweza pia search kwa hii yutube, ama nakuambia soma vitabu the fundamentals of the salafi,,ama kama wewe mtu wa mitandao kuna hawa watu watafute kwa yutube, Sheikh Al fawzan hafeedhahullaah, Al bani Rahimahullaah ,ndo utajua mtume alisema nini kuhusu hili neno Salafi
Kumbe walijua hilo..vipi ulimvyokua ukimtukanana na kumuhukumu kigogo shekh Mohamed bin shekh Ayoub
Tujaribu kuheshimu jitihada za Mashekh wetu jamani tuwaache warekebishane wenyewe ni hatari sana kurushia Mashekh maneno mabaya
Wakati mwingine jaribuni muwe kigezo kwa umma wa kiislamu na kukua kia akili...inaonekana tumefikisika kimuono kukaa na kuanza kuchunguzana kuongea AKIDA YA Sheikh fulani ..hebu waislamu tuache huu ujinga na kukua kiakili...tujadili mambo yanayoweza kuwasaidia UMmaa
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Naam
Uyo sheikh nikupoteza time yaku msikilizi
Jamani kiakili tu huyu si mtu wa kumfuata
mashekhe walikua zamani sasa hivi kuna mashekhena.
Leo umeongea sheikh letu
Hawa wote hawapo kidini wanapigania miradi ya wasaudi!
Reference zote ni maulamaa sioni ikitamkwa qur ani
Yaani hawa watu wanaojiita masalafi kazi nikutangaza imaniyao2 ya kisalafi na sio kutanganga dini sas sijui ndio wanasomeshwa hivyo 2 au ndio elemu yao ipeishiya kwenye usalafi 2
Masuala.ya kuwazungumzia waislam na kuwakosoa ni ujinga hemu waelezeeni wafalme waovu wanao Wacha miji ya ndugu zao kumwagwa damu mfano Mohamed binsulemani m.mungu amlaani
daaaah Allaah atuhifadhi sote
Kumbe Answari wamejaza MUHAFIDHIINA. LA MUHTADIINA
Mawahabi hawataki kusoma shule
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Tuekesawa mawahab unajua asili ya neno hilo huyo jina la ni sheikh muhammad bin abdul wahab رحمه الله na mwalimu wa sheikh ibn baaz رحمه الله
subhanallah mbona munakufurisha watu mwatoa watu katika dini nyinyi ni nani wa kuhukumu watu
@shabanponera2895
3 ай бұрын
Hivi umemsikiliza sheikh jibu lake au? Kasema yeye hawezi kuhukumu
Sheikh baraiyan sema ukweli nyinyi muna dumu kwenye bidaa sana acheni kuwazuga watu
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Kunyamaza kwa mtu mjinga ndio jibu lake
Mbona jazba mzeee
@UkhtyAsiyaah
2 ай бұрын
😅😅😅😅
Hakuna anaeweza kumuhukumu mtu kwasababu kazi ya kuhukum ni majukumu yake ALLAHU subhanau wataala sisi tufanye aliyotuamrisha allah ni kheir na ni bora kwetu tusigombanishwe waislam tuamke maana ni kila siku yanazuka majambo tunawekwa busy na malumbano ili tusifanye ibada kwa utulivu,tuacheni hayo mambo turudi katika umoja wetu
@mohamedabdallahkilimo1975
3 ай бұрын
Nasikitika tenda nda ya ramadhan tumefunga huku mnakosoana huyu salafy huyu badaaa jamani nani anajiona amekamilika mpaka kuhukumiana ina maana tayari wako waliojibashiria pepo wallah tutakuja kuulizwa haya mambo ninachokiamini mtu unaweza ukasoma ila ukawa hujaelewa allah ametukamilishia dini yetu ya kiislaam ila hao mashekh ndo wanaitia doa kwa huko kusoma kwao kila mmoja ni mjuzi tafuteni namna ya kurudisha umoja waumini wengi wao wanashangaa hawajui washike wapi wallah mtaulizwa
Ila nyie mna mamlak ya kuhukum watu
kwaiyo wanazuoni waliobaki ninyie mawahabi tu
Kasim mafuta alihadaika na ukubwa alitaka shekh salim awe chini yake Ksim mafuta anapenda uluwa
Anafanyiwa raddi km kakosea au afahamishwa?
😂😂😂 eti ambao si twawaita masalafi uchwara Ahaha barahiyani mgomvii!! Ahaha
Sasa Kishki atakuwaje salafy na hali alisema majina hayo hayako ,,yeye anajua jina uislamu tu ,,,
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Tusubiri atutangazie na mwezi hahahahaha
mnafik mkubwa we munachaguana wenyewe kama sio wahabi hupewi nafasi kutoa mawaidha miskitini kwenu tafauti nahao munaowaita watu wabidaa na maibadhi
Kaziyenu ujinga tuu kama hamja mtaja Kassim Mafuta hamuwezi kula vikawashuka.
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
We chiz kwani yy nani ata asitajwe
@abbaspaziaog2188
Жыл бұрын
Wee mpumbavu kama kasimu wako jadidah tulieni huko
@abbaspaziaog2188
Жыл бұрын
Majadida sijui wapoje
@abubakarmuqaddam9845
Жыл бұрын
Mpumbavu ni ww uko usietambu fadhila za Wasomi waliofaidika
Hana kazi zakufanya hamuilimshi jamii tapotea kazi nikujali Mashelk tu wenye na mambo yao muhimu
Weweni pumbavu
Eti kijimwanafunzi😂
Hayo mambo yako Ni Africa tu
Shekhe kishki ni msomali ?
Wewe unayomamlaka ya kuwaita watu watu bid’a?
HUYU YEYE NI MTU MZUSHI KISHA ANALAUMU UZUSHI NA WAZUSHI WAKATI NI YEYE NDIO MZUSHI MWENYEWE!
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Jambo usilolijua kama usiku wa gizaa totoro 'iyaadham billah
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Uislam umejengwa juu ya nasaha فسؤلو اهل الذكر انكنتم الا تعلمون aya usihukumu allah atuongoze amiin
Mwajifanya wa peponi sana, nyie,
Hivi kuanzisha taasisi sio bidaa??
Na ktk bidaayenu ni kujiita salafi hivi mnazoakilikweli nyie mnawezaje kuijiita salafi ebu nanyi wacheni hii bidaa mana huu nao niuzushi Unawakosoa wenzio wakati wewe mwenyewe pia unayako Ebu tuondoleeni upuuziwenu wa ikhtilafu Na tushike hiliولاتموتن إلا وأنتم مسلمون. لاسلف ولاووو
@RajabuomariMachemba
Жыл бұрын
We jaahili اقرء
@abubakarmuqaddam9845
Жыл бұрын
Ww pia Waongea hhh ndo nini sasa ata wachekesha nduguyangu
WIVU TU KISHKI NI HODARI SANA
Yaani hukumu wanatoa maulamaa? Hii ni Kali!
Wewe mzee siulumuita kuwa kishik ameanza kupotea asiingie kwenye misikiti yako iweje ileo wamtetea? Alafu swali limeulizwa kwa mgonjwa
kwaiyo alipomtuka mtume hakua kafir lakini mwenye kuwapinga nyie nikafir
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hawa masheikh wanatuchanganya akili zetu kwanzaa wewe mzeee mawahabi wenziwe hawakutambuiii yaani hawa mawahabi wallah wanavituko kweli wallah
,taasisi yako ni zulma kwa yatima mjene waislam haki zao unafaidika wewe familia yako na waarabu wenzio
NYINYI NYOTE NI MAWAHABI NA MAWAHABI NI MAKAFIRI MAANA DHEHEBU LAO LIMEASISIWA NA MAYAHUDI
@fatmasuleyman2498
2 ай бұрын
Akh ombi maghfira kwa ulilolisema subhana llah subhana llah akh wewe ni kama mimi lkn hapo skufich nakutakia kher
@rajabuathumani5775
2 ай бұрын
@@fatmasuleyman2498bdo hujanielewa ndugu yangu nakuomba fuatilia history vizur utaelewa
Ukiona maharange yanaruka ruka kwenye sufuria jikoni ujue YANAENDA kuiva, mzee mm nlikua sifaham msimamo wako kiukweli lakn kwa maneno yako mwenyew hakika nimepata utuliv kuwa wew inapodondokea shilling ndio utapatikana hapo wacha kuwa hadaa watu.
@saidsalim2561
Жыл бұрын
Acha taasub na fikra ya kunyweshwa hapo kuna kosa gani la kielimu alilokosea ktk jawabu lake.
@ibnayub2374
Жыл бұрын
@@saidsalim2561 mm namskiliza katika kauli nying anazo zungumza sio hii tu, akitajiwa Kasim mafuta anapayukwa tu wala hana Majibu ya kueleweka, na unaniambia nna ta'asub hivi unadhan mdiruu Ana nini cha kufanya nimpende, maana taasisi yake n bora kuliko DINI ya Allah ila kwakua nyie n wafata upepo na kufungamana na mdiruu mnaona Sisi tuna ta'asub na Qasim mafuta na haya ndio maradh yenu vijana wa mdiruu hamjui hata ta'asub ni kitu gani. NA ukitaka kuamini hili sikiliza Majibu ya Qasim mafuta kwa barahian, halaf fananisha na majib ya barahian kwa Qasim mafuta UTAELEWA nn namaanisha.
@abbaspaziaog2188
Жыл бұрын
Majadida ni watu wavurugu tu
@abbaspaziaog2188
Жыл бұрын
Nyiee majadida ni waongo waongo tu
barahiyani kuna majibu yako huku kuhusu mashia kzread.info/dash/bejne/l6ipwcOxfLG6nqg.html
Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.
@SolomomAdams-pf5zy
2 ай бұрын
Sahihi
Umadhehebu ni usafiri wa hali ya juu Waislam wamekua mazezeta hawajalitambua hilo
Huyu shekh kaz yake ni kudiscuss watu tu