SULE AMEHARIBU SANA KAMA ANA MAJINI AWALETE KWETU TUWAONE WAKOJE || Muhammad Bachu.

Ойындар

Пікірлер: 195

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209Ай бұрын

    Nakuamini sana Shekh wangu Allah akulipe.

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht

    @ARNOLDKARISA-fs3ht

    Ай бұрын

    amiin

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gsАй бұрын

    Huyu sheikh Allah amhifadhi

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht

    @ARNOLDKARISA-fs3ht

    Ай бұрын

    amiin

  • @SafariJournals

    @SafariJournals

    Ай бұрын

    Shakuwa mashekhe wenu Wa bongo feki.KUMTUKUZA JINI MAKOSA

  • @MgazaMhina
    @MgazaMhinaАй бұрын

    Allah akupe umri mrefu wenye faida

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gnАй бұрын

    Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukujaalia umri mrefu wenye kheri tunajifunza mengi kupitia Elmu unayotufundisha

  • @hasnakid

    @hasnakid

    Ай бұрын

    Ameen yaa Rabb

  • @GHULAMCHANNEL1
    @GHULAMCHANNEL1Ай бұрын

    SHEIKH BACHU UPO SAHIHI NA ALLAH AKUJAALIE KHEIR NA SALAMA DR. SULE ASEME PALE PALIPO NA USHAHIDI WA VITABU BASI NA HIUO NDIO DINI SIO KULETA HADHITHI ZA MITUME WAKTI HAO NI MITUME WA ALLAH. WEWE NI NANI?

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209Ай бұрын

    Nilikua namuamini Baba kiruwasha ila naye ni walewale tu.Kanichefua sana.

  • @ayububakari9942

    @ayububakari9942

    20 күн бұрын

    Yule angezungumzia mambo ya ndoa tu

  • @ElsieMunezero
    @ElsieMunezeroАй бұрын

    Mung akuzidishiy elim sheikh wetu uzidi kutufundish mengi mung akuwezesh

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht

    @ARNOLDKARISA-fs3ht

    Ай бұрын

    amiin

  • @rahimmbezi9936
    @rahimmbezi9936Ай бұрын

    Sheikh Allah akuhifadhi...na Akubariki. Sasa vipi kuhusu hawa Masalafia Jadida... endelea kuwachambua masalafia jadida In sha Allah

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128Ай бұрын

    Wallah mazungumzo yoooote ya baba kirwasha yameanguka huku mwisho Kwa kutegemeya fatawa aliyo tegemeya Muhammad bachu Allah akuweke ukupe umri mrefu ili tuzidi kupata faida nakusoma kwako

  • @joezeno8
    @joezeno8Ай бұрын

    Dr Sulle anatafuta umarufu

  • @mariamshaban4518
    @mariamshaban4518Ай бұрын

    Akili nyingi sana hiki kichwa Allah akuuhifadhi ndugu yangu

  • @kanzucentre3468
    @kanzucentre3468Ай бұрын

    Mtume Muhammad swallallahu alaihi wasallama alikua na pete kama nyenzo ya muhuri lkn hakuwahi kuwa na pete kwa ajili ya nyota ama ya jinni

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1ydАй бұрын

    Sule bado mtoto sanaaaa na njaa inamdhalilisha

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841Ай бұрын

    Nakupenda kwa ajili ya Allah s.w. Allah s.w. azidi kukubariki. Tumuombee tuuu ndugu yetu maana tayari ameshatawaliwa au amepumbazwa na majini. Pia hata Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, Allah amrehemu, mada KUIPA MGONGO DUNIA 1-4, anaeleza vizuriii sanasana.

  • @almuya
    @almuyaАй бұрын

    Akili inachaji chizi pia akiskiliza anatafakar. Umefahmika ila kwa mwenye ukaidi mwache andelee kubisha. Uko sawa apo kaka yangu . GOOD JOOB

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodiniАй бұрын

    maashaaallah mwenye hofu ya Allah ameelewa mwenye matamanio ya dunia ngumu sana kuelewa Allah akuzidishie elimu

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    Ай бұрын

    ASALAM ALEY KUM ,ALLAH AKUJALIE UMRI WENYE MANUFAA UZIDI KUTUELIMISHA ZAIDI.MM NAPENDA KUJIULIZA INAMANA HILI SAKATA LA MAJINI KUWA NIHALALI KUWATUMIA JE HAWA MASHEIKH WETU AMBAO UWA TUNAWAONA MWEZI MUANDAMO WA RAMADHANI NA ARAFA NDIO UWA WANAWAKOSOA MASHEIKH WENZAO SASA MM NAPATA KIGUGUMIZI SIMSIKII HATA MMOJA JE KUKAA KIMYA INAMANA NAWAO NIMIONGONI MWA WANAOTUMIA MAJINI.??? MAANA DK SULE ALISEME MASHEIKH WENGI WAMEVAA PETE ZA BAHATI NAYEYE DK SULE ATAKUWA ANAWAJUWA NI MTIHANI.MAANA TANGU HABARI HIZI ZIMEJITOKEZA MASHEIKH KIMYAA !!! ILA MTU AKITANGAZA MWEZI KOSA UTAWASIKIA SHURA YA MAIMAMU NA WANAZUONI UTAWASIKIA NANI MWENYE MAMLAKA YAKUTAZA MWEZI ,!!!! KWA HILI LA MAJINI KIMYAAAAA SHARIFU MAJINI KIMYA KISHIKI SHEIKH WETU TUNAYEMUAMINI KIMYA YUSUFU DIWANI KIMYAA .MUFTI WETU KIMYA SHEIKH WALIDI KIMYA ALHADI MUSA KIKYA RUSANGANYA KIMYA. NGOJA IKIKARIBIA ARAFA UTAWAONA WANAIBUKA !!!! NINAANZA KUAMINI KUWA MAISHEKH WENGI WA MAULIDI WATAKIWA WANATUMIA MAJINI .HERI MAKAFIRI WA ZAMANI KULIKO WAISILAMU WA SASA WANAWEKA NA USHIRIKINA KISOGO MAELEZO YA SHEIKH AMDALAH SH FARSI.

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    Ай бұрын

    Kisa kizuri kinaukweli NDANI YAKE dalili zipo unaweza ukawaunakudia kheri ila anatokea MTU anakushauri anakwambia kwani LAZIMA ulifanye hili KWA mfano utasikia MTU anakwambia mpaka ukaswali msikitini swali NYUMBANI inatosha!!! Kisa kizuri

  • @DotoOmary
    @DotoOmary23 күн бұрын

    Allah akujaje kheri,shufaa Na mlisho mwema kama waliopita kabla yetu

  • @mohamedkhairudin6418
    @mohamedkhairudin6418Ай бұрын

    Allah azidi kukuwezesha mpk mzee wa mipete mapepo yamtoke

  • @fatmaismail7909
    @fatmaismail7909Ай бұрын

    Twakupenda Kwa ajili ya ALLAH

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023Ай бұрын

    زادك الله حرصا وعلماً وفهما ورزقك الإخلاص في الأقوال والأعمال. أحبك في الله. أخوك أحمد عمر سعيد من جمهورية موزمبيق مدينة نامبولا

  • @naimadam1588
    @naimadam1588Ай бұрын

    Leo umesahau kofia ustadh bachu

  • @mwinyidullailovetheprogram7404

    @mwinyidullailovetheprogram7404

    Ай бұрын

    Haja sahau ametaka watu wajifunze jinsi ya kunyoa wala sikujinyolea kihuni mipanki

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht

    @ARNOLDKARISA-fs3ht

    Ай бұрын

    kumb siko pekee kias nmkatae isingekuwa sauti

  • @HashimThabit-lp9dj
    @HashimThabit-lp9djАй бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh nakuelewa vzr San.

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091Ай бұрын

    Barakh Allah Kher sheikh

  • @shabaniumande
    @shabaniumandeАй бұрын

    Shukran sana sheikh Muhammad bacho nakupenda kwaajili ya Allah Lile genge la kihawariji masalafiya jadidah atuwasikiyi wakiwarekibisha hawa washirikina wanao tumiya majini Hawa mahawariji masalafiya jadidah wawatowa kwenye sunna doctor Islam na Muhammad bacho na sheikh salimu barahiyani kuwaradi ati ni watu wa bidah

  • @jamalijamali6820
    @jamalijamali6820Ай бұрын

    Allah akulipe kheri kwa hili ahsante sana

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8otАй бұрын

    Shekhe Muhammad Bachu Allaah akuhifadhi na akupe umri mrefu na akuzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini. Laiti wange zingatia juhudi yako, wengi ktk wazushi na washirikina wasinge kufanyia uaduwi na kukukashifu Wallaahi.

  • @saadasaleh3177

    @saadasaleh3177

    Ай бұрын

    Yoyote atakaerithi kazi aliyoifanya Mtume hatosalimika na madhwalim Allah amlinde. awalinde na masheikh wote wa sunnah

  • @othmanali7408
    @othmanali7408Ай бұрын

    Allahu Akbar . Shekh bachu binafsi nilianza kufanya dawa za kisunna ila Kila nikenda wallahi ilikua ni hatari .. Nilifikia sehemu mpaka nikawa naota mtu atakuja nimfanyie dawa gani na kweli ukimfanyia anapoa basi nikaja nikajikuta natoka ktk mstari kidogo kidogo mpaka mwisho mama yangu mzazi alitumia nguvu nyingi Ili niache Allah amsamehe mama yangu na amlipe kheri ... Mambo haya wallahi ni mtihani nilipitia mambo mengi sana . Namuomba Allah anisamehe makosa yangu na aniongoze ktk haqi Amin Amin Amin

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    Ameen

  • @sadih5333

    @sadih5333

    4 күн бұрын

    Amien ​@@KhalfanMassoud

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092Ай бұрын

    Maa shaa Allaah sheikh bachu

  • @user-rg3tu2nc2f
    @user-rg3tu2nc2fАй бұрын

    Allah SW akupe ujira mkubwa mwema.Amin

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732Ай бұрын

    Mashallah uko sahihi sheikh .uvae hata kofia usiwe kama msela

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembilluАй бұрын

    Mashallaaah allah akulipeni mashekhe zetu kwaelimi mujarrab

  • @farishfarish258
    @farishfarish258Ай бұрын

    Muhammad bachu Allah akulinde wapige spana waxhirikina huenda wakajirudi inshallah

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    Ай бұрын

    Tumuombee tu ndugu yetu Dr. Sulle

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283Ай бұрын

    Allah akulipe kwa elimu unayotupatia

  • @cammackmarck
    @cammackmarckАй бұрын

    Allah akuhifadhi sheykh wetu unafny kazi kubwa

  • @user-rx6io6vs9n
    @user-rx6io6vs9nАй бұрын

    Naam hakika ktk hili umesimama vema sana mdogo wangu bachu bali wasia wangu kwako ni kwamba mche Allah ktk elimu yako na jiepushe na riaa kwakuwa ukijiepusha na hilo Allah atakufundisha usipo fanya hivyo Allah atakufeshehesha kama ilivyoonekana ktk baadhi ya mijadala mingine pima kwamba ikiwa kunawatu walikupinga mwanzo na sasa kwa hili wanakuunga mkono basi kuwa makini na ujue waru sio wajinga kama inavyodhaniwa Allah akulipe kheri kwa hili na akufungue ktk memgine ikiwa utasimama ktk taqwa inshaalah 55:20

  • @SelemanAmir-ze8zz
    @SelemanAmir-ze8zzАй бұрын

    Shekh ukovzri allah atupe sote iiman pia shekh hikikisa kosa la mchamungu yule aliacha haki kwa maslah yake allah akamwondolea nguvu pia shekhe shida ninachokiona hapa nani anasema shida madhehebu yanapoteza mno dua zinaitajika kama kusema panasemwa vzr kabisa

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4bАй бұрын

    Nakupenda kwasababu ya allah

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7sАй бұрын

    Shekh Muhammad Allah akuhifadhi Sana coz unapambana sana.lkn kwa hoja hizi umeshamaliza kazi,hawata elimika Tena .lkn wakiongea Tena usiwaache..waelimishe tu hata km hawataki.

  • @JumaHaruna-yg6pt
    @JumaHaruna-yg6ptАй бұрын

    Mashallah, mambo umeyaweka wazi kabisa kwa mtu mwenye kutafakari.

  • @khamisoothman5294
    @khamisoothman5294Ай бұрын

    Mashaa Allah baraka Llhah fyka

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376Ай бұрын

    Jazaqallahu khaira Sheikh.. Mwenye kutaka radhi za Allah atakuelewa vizuri nawenye kutamani maisha ya dunia zaidi bado wataleta hoja mbadala kuaaminisha waislam kutumia majini hao sabb ndio njia mbadala inayotumika kwa wingi sasa na watu kupata riziki kwa kigezo cha kutibia na kutatua matatizo ya binadam Tumekuelewa Ahsante sana Allah atakulipa zaidi.

  • @omarsultan4502
    @omarsultan4502Ай бұрын

    Mashallah shekhe haifai kutumia majini majini waongo binaadam unamuona na anakudanganya je jini usiemuona yy ndo nakithiri haswa alf mbali na ivyo kwani hakuna binaadam waislamu na ni waongo hao kupitiliza je hao majini baba kirowasha ache kwasbb kuna wanavypenda majini alf ukiwaambia inafaa ndo wanafurahi wanasema yes inafaa

  • @hassanbinbashir546
    @hassanbinbashir546Ай бұрын

    HayyakaLlahu waHafidhak

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Twaiby wanakuelewa shekhe sema muwamba ngoma uvutia kwake sule na baba kiruwasha waanaonekana wanatetea biashara wew unatetea hakki wale wapo kimaslahi ndomana wamekuwa wakaidi naimani washirikina humsapot sule hapa kwenye comment usikute watu wanayafuga ndomana wavutia ngoma kwao

  • @user-ye3fy9kk6r
    @user-ye3fy9kk6rАй бұрын

    Baaraka llahu fik

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550Ай бұрын

    Ma Shaa Allah

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuuАй бұрын

    Mashaallah akuzidishie elimu shekh wetu tena yenye manufaa

  • @aslamswalah7852
    @aslamswalah7852Ай бұрын

    Tabaraka Allah shekhe wangu ustadhi wangu, Allah azidi kukupa ujasiri na elmu ututoe taka .

  • @shamisfahiye9628
    @shamisfahiye9628Ай бұрын

    Msifungue milango= =Kweli yake !. Bali tuwe waacha mungu, tumtegemee Mwenyezi Mungu mtukufu. Maisha ya duniani ni mafupi sana. Maisha ya baadaye ni ya milele. Chaguo ni lako!.. tumieni akili sio matamanio 🎉

  • @fatmaismail7909
    @fatmaismail7909Ай бұрын

    masha'Allah

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
    @IssaBachuMuhammadjr-rr3riАй бұрын

    Mm naomba sana ipatikane angalau watu kumi kama sheikh Bachu inshaAllah

  • @mfalmenajjash2128

    @mfalmenajjash2128

    Ай бұрын

    Watu 10 mfano wa bachu biidhini llah bidaaa itakimbiya kwakiasi kibwa nawakifanya watafanya kwakujificha mnooo

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    Amin

  • @user-sv6ej5mv9q

    @user-sv6ej5mv9q

    Ай бұрын

    Watapatikana tukiwahamasisha watu katika kusoma.

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    @@user-sv6ej5mv9q unaweza ukasoma lakn ulimi wako ukakosa ufasaha kama wa Muhammad bachu, na kujenga hoja or kuvunja hoja hicho ni kipaj Had Allah akupe.

  • @saadasaleh3177

    @saadasaleh3177

    Ай бұрын

    Tizamen Alhajar online TV wapo wengi tu huko

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALSАй бұрын

    Mā-shā-a-llāh, Sheikh Muhammad. Tunstafiid sana. Najifunza mengi.

  • @AminiNdori
    @AminiNdoriАй бұрын

    Jazaaka llahu khaira kwa juhudi yako. Uko sahihi kwa walili ya Quran/surat KAHF aya 50. Baraka llahu fika.

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6crАй бұрын

    Mohd Bachoo darsa yako imeeleweka naamini ata yeye kiriwasha hasubutu kumtafuta jini asiwaaminishe watu wakaendea shirki

  • @sadicksince2008
    @sadicksince2008Ай бұрын

    Dalili ziko wazi ila si kwamba hawaelewi tatizo lao hawataki kuonekana wameshindwa mbele ya umma, na hii inaonyesha wazi kwamba wameweka masilahi mbele kuliko dini. Allah atuongoze na atujaalie mwisho mwema kwa kweli maana ni mtihani.

  • @Alithoya-qr7di

    @Alithoya-qr7di

    Ай бұрын

    Kweli kaka juu unapata mtu anakuja mbele zawatu kujigaamba Kua Ako na Mali na magari makubwa wengine

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    Ameen

  • @OmarAlly-iz8ot

    @OmarAlly-iz8ot

    Ай бұрын

    Maneno yakweli unayo sema ndugu yangu

  • @user-wq3um3gr7u
    @user-wq3um3gr7uАй бұрын

    Shukran sanaa sheh.انا اسماعيل من بو رو ندي

  • @user-nh6hz2ms8s
    @user-nh6hz2ms8sАй бұрын

    ماشاء الله يا محمد 🌺

  • @user-hg7jb3ho2y
    @user-hg7jb3ho2yАй бұрын

    Mungu akihifadhi sheihewetu

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын

    Nawapenda watu wa sunnah watu wa tauhiid na nasikitika baba Kiruwasha nilimuamini niisemamtuwa tauhid ila.kurudisha iman kwangu kwake sio rahis tena maana anavyoonekana ni tofaut kabisa na anayoyasimamia kwa maslah yake

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521Ай бұрын

    ما شاء الله تبارك الرحمٰن

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594Ай бұрын

    Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani

  • @shamisfahiye9628

    @shamisfahiye9628

    Ай бұрын

    Umeona eeh.

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362Ай бұрын

    Mashallah Faida kubwa hii

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7zАй бұрын

    leo umewavulia kabisa na kofia labda watakuelewa😊

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    😂😂😂 صم بكم عمي فهم لايرجعون

  • @yousuphnzira3209

    @yousuphnzira3209

    Ай бұрын

    😂😂

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын

    yes🎉❤

  • @muhamadismail-my1do
    @muhamadismail-my1doАй бұрын

    Allah akuhifadh ungevaa kofia ungependeza zaid

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    Aaaaah, sikunyengine kichwa kiachwe banaaa kipate upepo. Haha😂😂😂😂

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    Ай бұрын

    @@KhalfanMassoud 😂😂😂

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    Ай бұрын

    @@KhalfanMassoud Ndugu yangu mfuatiliaji sana wa vipindi hivi Maa shaa Allah

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht

    @ARNOLDKARISA-fs3ht

    Ай бұрын

    @@KhalfanMassoud akitoe inje kwa dirisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    @@ARNOLDKARISA-fs3ht mmh watu wataondoka nacho ety.

  • @nyanyambuli8101
    @nyanyambuli8101Ай бұрын

    HIYU BABA KIRUWASHA KAMA HAWATOMZUIA WENZAKE BASI ATAMTOA NY'ONGO BACHU MAKOJO

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    Jifunze kuandika kwanza 😂😂

  • @hassanibrahim-fk1bn
    @hassanibrahim-fk1bnАй бұрын

    Ustadh Muhamad, wanazuoni wanashauri kutahadhari na kuwatumia majini. Swali toka awali ilikuwa je watu wanaweza kutumia majini?. Na pili inakatazwa kidding, hadith na Quran. Toka mwanzo unatumia wanazuoni bila ya kuonyesha Nabi Muhamad saw, anasemaje. Mimi kwa spandex wangu namtegemea Allah sihitaji kiumbe yeyote, Allah ndie Khaliq.

  • @NazirJuma-gz6jv
    @NazirJuma-gz6jvАй бұрын

    Asalam allaykum sheikh samahani naomba niulize inaruhusiwa kula nyama iliyochinjwa kwaajili ya matibabu ya kiganga

  • @ibrahimjumadr

    @ibrahimjumadr

    Ай бұрын

    Hairuhusiki hata kidg.

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594Ай бұрын

    Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani acheni uwongo

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi648418 күн бұрын

    Baba kiruwasha kapinda yule nayeye anaonekana ni mshirikina

  • @user-zx8kl7qi3g
    @user-zx8kl7qi3g9 күн бұрын

    Assalam alaikum warahmatulullah wabarakatuh sheikh mungu akupe umri mrefu naomba number yako sheikh insh.Allah

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502Ай бұрын

    Ninachokiona, Baba kiriwasha kaegemea ktk Sheria: Majini kutumika na Binadamu inafaa au haifai? Sheria Imeruhusu na kajengea hoja vizuri tuu. Sheikh Bachu:Yeye apingani na sheria ya kujuzu kuwatumia majini ila yeye anakubali inafaa ila kwa wakati wa sasa ni vyema Ikaharamishwa. Binafsi nilivyoelewa ndio hivyo,Sheria inaweza ruhusu jambo lakini kama lile jambo likiwa lina madhara ni bora likaachwa. Mfano,Kipindi cha Corona Hija ilifutwa baada ya kuonekanwa madhara ni makubwa kuliko hijja. Hata hili la majini,kwa sasa madhara ni makubwa kwa hiyo halifahi kwa sababu matokeo ya mengi ya kutumia majini zama zetu faida ni chache,japokuwa sheria haijaharamisha moja kwa moja.

  • @MaryamAlli-is1jg

    @MaryamAlli-is1jg

    Ай бұрын

    Inaonyesha Bado hujaelewa somo

  • @user-iv6hx2xv3t

    @user-iv6hx2xv3t

    Ай бұрын

    Kiruasha Nae mshirikona tu

  • @hawa6052

    @hawa6052

    Ай бұрын

    Allah atuongoze

  • @saadasaleh3177

    @saadasaleh3177

    Ай бұрын

    Umeelewa vzur lkn hii kutumia majin si kama anaiharamisha kwa mda huu ila yeye anasoma vitabu vya zaman walivyokatawza watu kutumia majin yaan tangu zaman watu walikua wanakatazwa wasitumie

  • @nasoros.mgungo5502

    @nasoros.mgungo5502

    Ай бұрын

    @@saadasaleh3177 Kusomwa vitabu vya kale si hoja, mfano, Suala la Talaka Tatu kwa Pamoja, je Ni Tatu au moja? Ukiangalia Saidina Omar alipoona madhara ya watu kufanya Talaqa Kama mchezo, akapitisha hukumu ukisema nimekuacha Talaqa Tatu Basi Ni Tatu. Ila sheria ilikuwa inatambua ukitamka Talaqa Tatu Ni Talaqa moja. Kwa hiyo Jambo linaweza ruhusiwa kisheria lakini tukiona madhara Ni makubwa ikatengenezwa sheria ndogo hili kuzuia madhara.

  • @abdul_azeez_almaamir
    @abdul_azeez_almaamirАй бұрын

    لا فض فوك يا شيخنا

  • @fatumatsopa5578
    @fatumatsopa5578Ай бұрын

    Kuna tofaut Kati ya jini na shetani

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650Ай бұрын

    Huyo baba kiruwasha pia ni akili kijiko.

  • @rajababrahman4365
    @rajababrahman4365Ай бұрын

    Hakika uislam ni upuuzi na upotevu

  • @mohammedsalim3315

    @mohammedsalim3315

    Ай бұрын

    Kwa hiyo wewe ni kafiri ? Sorry

  • @agrolive4027
    @agrolive4027Ай бұрын

    Dr. Sule hawezi kuelewa kwani ameshapingwa muhuri keaajili ya ushirikina kwa miaka mingi!

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800Ай бұрын

    Huyu Sule katusilibia sana

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6doАй бұрын

    watu wanauuza akhera wananunua dunia kutumia majini ni shirk kubwa

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3htАй бұрын

    mwambieni Sheikh wetu avae kofia jamenii

  • @jamalijamali6820

    @jamalijamali6820

    Ай бұрын

    Usijali tutamwambia inshaallah na atavaa biidhnillahi Allah akuhifadhi pamoja nasi na aendelee kutusamehe

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht

    @ARNOLDKARISA-fs3ht

    Ай бұрын

    @@jamalijamali6820 amiin

  • @abdulkizeli9960

    @abdulkizeli9960

    Ай бұрын

    Unashindwa kusikiliza mawaidha ukaelimika unaanzakufatilia kofia kwa shekhe ndo nn ss ebu jaribu kujielewa

  • @hawa6052

    @hawa6052

    Ай бұрын

    Inshaa Allah

  • @KitasaWaaction-gm9zr
    @KitasaWaaction-gm9zrАй бұрын

    Sule nilikuwa namuheshim sana lkn kaniangusha yani mdomo hajauchunga kakurupuka

  • @ikabako2454
    @ikabako2454Ай бұрын

    Sule kasema ukweli mtupu 🤣😂😅

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3uАй бұрын

    SISI TUNAPOMILIKI MAJINI HUWA TUNAWATUMA KAMA WATOTO WETU NYINYI MAWAHABI HAMNA ELIMU YA MAJINI KWASABABU MASHEKHE WENU HAWANA ELIMU YA FALAQ AMBAYO NDIO INAYOELEZA NAMNA YA KUMILIKI MAJINI

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479Ай бұрын

    Baba kiruwasha njaa

  • @KitasaWaaction-gm9zr
    @KitasaWaaction-gm9zrАй бұрын

    Sule namkubali kwasababu ya kazi yake kuwalingania wakristo kushindananao lkn kwahili kakurupuka na abadilishe manhaji najua manhaji yake wengi wanatabia chafu zisofaa

  • @zeharaz4116
    @zeharaz4116Ай бұрын

    Jee ikiwa mtu kapata jini na linamtesa anataka limuondoke inafaa kwenda kwa mwalimu akamtoa kwa njia ya kusomewa na dawa za mitishamba Ina juzu naomba jawabu

  • @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    @Muhammad_Nassor_Bachu_.

    Ай бұрын

    @zehara4116 ndio inafaa.

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209Ай бұрын

    Wanaomtetea Sule ni Wanafki tu

  • @Alithoya-qr7di

    @Alithoya-qr7di

    Ай бұрын

    Niwaganga wenzake

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    Enhee... obviously correct

  • @mawaidha-by-sheikh-Abrahamu
    @mawaidha-by-sheikh-AbrahamuАй бұрын

    Assalamualaikum sheikh naomba kufundishwa je ati inaruhusiwa kumuoa jini wakiisilamu?

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    Haaha ww nawee sasa jini huyo utamua wapi yeye ana ulimwengu wake na ww una wako.. Maswali mengine basi tu

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gsАй бұрын

    Hvi saut haipo au

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    Ipo broo

  • @ikabako2454
    @ikabako2454Ай бұрын

    Majini ni waislamu na mtume alikuwa anawasomea quran. Uislamu na majini ni ndugu 💯✅. Alah kaumba majini.

  • @Bombwejr18

    @Bombwejr18

    Ай бұрын

    Ukisoma vzuri au ukimsikiliza vzuri sheikh utagundua kuwa majini na binadamu hawakuumbwa ili wapate kumuabudu Allah sasa hakuna anaejua jini yupi mbaya yupi mzuri na usiabudie kiumbe muabudie m/mungu mmoja tu sasa ndo utambue kuwa binadamu pia huwa wabaya na wazuri

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    Bila shaka wewe sio muislam nadhan Ivo ndo ulivo ndo mana unasema waislam na majini ni ndugu wakat hujui kama Majin wako mataifa mbali mbali makabila mbali mbali na aina tofaut za dini mbali mbali wapo wakiristo wapagani waislam n.k. sio wote waislam au wakiristo wako tofaut na ni wengi sana kuliko watu

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Ай бұрын

    Kwaiyo ww unatakaje?

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    Ай бұрын

    Majini Walisilimu wakawa Waislamu Qur'an 72: 1-14 kwani ni vibaya waumini kusaidiana wa dini Moja kusaidiana? Muumini Mwenzako anawezaje kukufanya ukufuru? Majini ni ndugu wa Waislamu acheni kupingana!

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    Ай бұрын

    ​@@dulividuli5237 Anataka utumie majini maana ni ndugu zako katika Imani

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gsАй бұрын

    Assalam alaykum warahmatullah maaashaaallah

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht

    @ARNOLDKARISA-fs3ht

    Ай бұрын

    wa aleikum salaam warahmatulillahi wabarakatuh

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641Ай бұрын

    Asalam Alaykum. Shekhe unavyosema ni sawa kabisa, lakini kwa ushuhuda wangu wako Maruhani wa tiba ambao ni Waislam Waumin ambao hawamshiikishi Allah wala hawafugwi wanasaidia kwa tiba peke yake sio kumnufaisha mtu kwa mali. Wanafanya kwa ridha yao wenyewe tena wanatumia quraan pia.

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Ай бұрын

    Swali linakuja utawajuaje pia Tambua kwamba Jini ambaye hamshirikishi Allah hawez kukaa kwnye Kichwa cha Mwanadamu pia Utambue kwamba hata Wanaofanya Tiba za kishirikina pia Wanatumia iyo iyo Qur'an katka Kuwatibu watu na hicho nd imekuwa kifichio chao.

  • @MaryamAlli-is1jg

    @MaryamAlli-is1jg

    Ай бұрын

    Swali umemuona wapi huyo jini au yupo kichwani Kwa watu na kichwani Kwa mtu basi huyo jini amemuasi mola wake jini mchamungu hakai kichwani Kwa mtu

  • @ahmadabdallah6641

    @ahmadabdallah6641

    Ай бұрын

    Wala hawamuingi mtu. Infact wanasema kumuingia mtu ni makosa haifai.Wala hawataki kafara. Wala hawakupi oesa. Wao kazi yao kupambana na mashetani waasi peke yake. Makazi yao Makka.

  • @ahmadabdallah6641

    @ahmadabdallah6641

    Ай бұрын

    Na ni khamsa swalawat.

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Ай бұрын

    @@ahmadabdallah6641 sas km hawapandi kichwani watakuja kwa njia ipi na jini haonekani

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gsАй бұрын

    Mada hii ifungwe tu ili sheikh bachu aendlee kumfundisha yule gol Shia

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3buАй бұрын

    KWA HIYO ENDAPO JINI ATAMKUTA BINADAMU YUPO PORINI KAPOTEA AU YUPO BAHARINI HAPASWI KUMSAIDIA ???

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    Na mm nakuliza Mtu akiwa porin hana kit cha kula ni halal kula nguruwe?

  • @BIGBOSS-hl3bu

    @BIGBOSS-hl3bu

    Ай бұрын

    Ndio ni HALALI kabisa Kwa mujibu wa Quran japo sheria inaangalia Kiwango Cha tatizo

  • @kanzucentre3468
    @kanzucentre3468Ай бұрын

    Mm swali langu , hivi nataka niongee na jini NAMPATA WAPI? nataka nimjue ni mzuri ama mbaya NAMUONAJE AMA NAMTAMBUA VP?

  • @allymbarouk5362

    @allymbarouk5362

    Ай бұрын

    Zama kwenye bahari ya kina kireeefu Kisha ita jinniiii

  • @hassanmohamedlaizer569

    @hassanmohamedlaizer569

    Ай бұрын

    ​@@allymbarouk5362😂😂

  • @ramadhaniomary9241

    @ramadhaniomary9241

    Ай бұрын

    Kazi ipo simameni kwenye hoja

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jtАй бұрын

    Jazzakallah, Tabarakallah Alla akuhifadh shekh muhammad bachu kwa juhudi zako zote za kufundisha Tawhid. Allah atunusuru na washirikina wa kutumia majini.

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoudАй бұрын

    Muhammedi usimsumbue Dr sure Kwanza zungumza ushirikina wa ibn taymia

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    Sule hajasubuliwa analinganiwa ache shiriki.. Shafii kashindwa na mada kila akijibiwa analeta mamb mengine hamna kitu pale debe tu na kama unafanta yule ufaham wako upo chini sana

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500Ай бұрын

    Baba kiluwasha inaonekana anapata msaada kwa majini kwenye Mada zake za ukungwi

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    Mmmh!

  • @ashrafhashim2116
    @ashrafhashim2116Ай бұрын

    Jaribu ukiwa unaongea utulie acha mambo megi

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    Huna mada..

  • @ashrafhashim2116

    @ashrafhashim2116

    Ай бұрын

    @@YahyaYahya-vp2pp kivipi

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    @@ashrafhashim2116 ww unamwambia akiongea atulie. Je akitulia itakusainia nini.. Au akiongea akiwa hajatulia husikii au hufahamu

  • @ashrafhashim2116

    @ashrafhashim2116

    Ай бұрын

    Waislaam tumearishwa kuwa na التواضع sasa akiwa anaongea pasi na utulivu anapoteza sifa za mlinganiaji hatakama anaongea haqi akitulia itakuwa nikher kwangu nakwake nasisi hatumpingi anachosema.

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    @@ashrafhashim2116 kama ni mfuatiliaji mzur wa sheikh Muhammad bach basi usingelicoment hiy coment yako.. Maana huo ndio uongeaji wake pia ni urith pia kutoka kwa sheikh nassor bachu

  • @user-do1pq2uu1c
    @user-do1pq2uu1cАй бұрын

    Mimi naomba niulize tu wale majinn waliosilimu wakati wa bw mtume s a w katika suratil jinn mbona hawakupigwa au nini maana yake kuambiwa habari zao kua wao ni wema? Kwanza ibn taimiyya hatumkubali Ana kasoro zake

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    Ай бұрын

    Hakuna Binaadam asie na kasoro Mkamilifu ni Allah pekee

  • @user-do1pq2uu1c

    @user-do1pq2uu1c

    Ай бұрын

    @@dulividuli5237 sasa maneno hayo waambie mawahabi ambao wanamuona ibn taimiyya hawezi kukosea

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    Sassa kama humkubal ibn tayyimia kwa kasoro zake kwan kuna binaadam Hana kasoro

  • @abuuaidh6500

    @abuuaidh6500

    Ай бұрын

    Jawabu la suali lako soma Aya ya sita ya sura hio Aljinn utafahamu . Na hivyo Aya 1,2 isome vizuri Ndugu

Келесі