Shakuwa mashekhe wenu Wa bongo feki.KUMTUKUZA JINI MAKOSA
@MgazaMhinaАй бұрын
Allah akupe umri mrefu wenye faida
@GoodluckPaul-wf9gnАй бұрын
Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukujaalia umri mrefu wenye kheri tunajifunza mengi kupitia Elmu unayotufundisha
@hasnakid
Ай бұрын
Ameen yaa Rabb
@GHULAMCHANNEL1Ай бұрын
SHEIKH BACHU UPO SAHIHI NA ALLAH AKUJAALIE KHEIR NA SALAMA DR. SULE ASEME PALE PALIPO NA USHAHIDI WA VITABU BASI NA HIUO NDIO DINI SIO KULETA HADHITHI ZA MITUME WAKTI HAO NI MITUME WA ALLAH. WEWE NI NANI?
@yousuphnzira3209Ай бұрын
Nilikua namuamini Baba kiruwasha ila naye ni walewale tu.Kanichefua sana.
@ayububakari9942
20 күн бұрын
Yule angezungumzia mambo ya ndoa tu
@ElsieMunezeroАй бұрын
Mung akuzidishiy elim sheikh wetu uzidi kutufundish mengi mung akuwezesh
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
amiin
@rahimmbezi9936Ай бұрын
Sheikh Allah akuhifadhi...na Akubariki. Sasa vipi kuhusu hawa Masalafia Jadida... endelea kuwachambua masalafia jadida In sha Allah
@mfalmenajjash2128Ай бұрын
Wallah mazungumzo yoooote ya baba kirwasha yameanguka huku mwisho Kwa kutegemeya fatawa aliyo tegemeya Muhammad bachu Allah akuweke ukupe umri mrefu ili tuzidi kupata faida nakusoma kwako
@joezeno8Ай бұрын
Dr Sulle anatafuta umarufu
@mariamshaban4518Ай бұрын
Akili nyingi sana hiki kichwa Allah akuuhifadhi ndugu yangu
@kanzucentre3468Ай бұрын
Mtume Muhammad swallallahu alaihi wasallama alikua na pete kama nyenzo ya muhuri lkn hakuwahi kuwa na pete kwa ajili ya nyota ama ya jinni
@kalamamuller-qe1ydАй бұрын
Sule bado mtoto sanaaaa na njaa inamdhalilisha
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah s.w. Allah s.w. azidi kukubariki. Tumuombee tuuu ndugu yetu maana tayari ameshatawaliwa au amepumbazwa na majini. Pia hata Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, Allah amrehemu, mada KUIPA MGONGO DUNIA 1-4, anaeleza vizuriii sanasana.
@almuyaАй бұрын
Akili inachaji chizi pia akiskiliza anatafakar. Umefahmika ila kwa mwenye ukaidi mwache andelee kubisha. Uko sawa apo kaka yangu . GOOD JOOB
@abdurashidinasorodiniАй бұрын
maashaaallah mwenye hofu ya Allah ameelewa mwenye matamanio ya dunia ngumu sana kuelewa Allah akuzidishie elimu
@HamisAbdallah-cj2sc
Ай бұрын
ASALAM ALEY KUM ,ALLAH AKUJALIE UMRI WENYE MANUFAA UZIDI KUTUELIMISHA ZAIDI.MM NAPENDA KUJIULIZA INAMANA HILI SAKATA LA MAJINI KUWA NIHALALI KUWATUMIA JE HAWA MASHEIKH WETU AMBAO UWA TUNAWAONA MWEZI MUANDAMO WA RAMADHANI NA ARAFA NDIO UWA WANAWAKOSOA MASHEIKH WENZAO SASA MM NAPATA KIGUGUMIZI SIMSIKII HATA MMOJA JE KUKAA KIMYA INAMANA NAWAO NIMIONGONI MWA WANAOTUMIA MAJINI.??? MAANA DK SULE ALISEME MASHEIKH WENGI WAMEVAA PETE ZA BAHATI NAYEYE DK SULE ATAKUWA ANAWAJUWA NI MTIHANI.MAANA TANGU HABARI HIZI ZIMEJITOKEZA MASHEIKH KIMYAA !!! ILA MTU AKITANGAZA MWEZI KOSA UTAWASIKIA SHURA YA MAIMAMU NA WANAZUONI UTAWASIKIA NANI MWENYE MAMLAKA YAKUTAZA MWEZI ,!!!! KWA HILI LA MAJINI KIMYAAAAA SHARIFU MAJINI KIMYA KISHIKI SHEIKH WETU TUNAYEMUAMINI KIMYA YUSUFU DIWANI KIMYAA .MUFTI WETU KIMYA SHEIKH WALIDI KIMYA ALHADI MUSA KIKYA RUSANGANYA KIMYA. NGOJA IKIKARIBIA ARAFA UTAWAONA WANAIBUKA !!!! NINAANZA KUAMINI KUWA MAISHEKH WENGI WA MAULIDI WATAKIWA WANATUMIA MAJINI .HERI MAKAFIRI WA ZAMANI KULIKO WAISILAMU WA SASA WANAWEKA NA USHIRIKINA KISOGO MAELEZO YA SHEIKH AMDALAH SH FARSI.
@HamisAbdallah-cj2sc
Ай бұрын
Kisa kizuri kinaukweli NDANI YAKE dalili zipo unaweza ukawaunakudia kheri ila anatokea MTU anakushauri anakwambia kwani LAZIMA ulifanye hili KWA mfano utasikia MTU anakwambia mpaka ukaswali msikitini swali NYUMBANI inatosha!!! Kisa kizuri
@DotoOmary23 күн бұрын
Allah akujaje kheri,shufaa Na mlisho mwema kama waliopita kabla yetu
@mohamedkhairudin6418Ай бұрын
Allah azidi kukuwezesha mpk mzee wa mipete mapepo yamtoke
@fatmaismail7909Ай бұрын
Twakupenda Kwa ajili ya ALLAH
@amadeomarsaide5023Ай бұрын
زادك الله حرصا وعلماً وفهما ورزقك الإخلاص في الأقوال والأعمال. أحبك في الله. أخوك أحمد عمر سعيد من جمهورية موزمبيق مدينة نامبولا
@naimadam1588Ай бұрын
Leo umesahau kofia ustadh bachu
@mwinyidullailovetheprogram7404
Ай бұрын
Haja sahau ametaka watu wajifunze jinsi ya kunyoa wala sikujinyolea kihuni mipanki
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
kumb siko pekee kias nmkatae isingekuwa sauti
@HashimThabit-lp9djАй бұрын
Allah akuhifadhi sheikh nakuelewa vzr San.
@abdulmwakubambanya9091Ай бұрын
Barakh Allah Kher sheikh
@shabaniumandeАй бұрын
Shukran sana sheikh Muhammad bacho nakupenda kwaajili ya Allah Lile genge la kihawariji masalafiya jadidah atuwasikiyi wakiwarekibisha hawa washirikina wanao tumiya majini Hawa mahawariji masalafiya jadidah wawatowa kwenye sunna doctor Islam na Muhammad bacho na sheikh salimu barahiyani kuwaradi ati ni watu wa bidah
@jamalijamali6820Ай бұрын
Allah akulipe kheri kwa hili ahsante sana
@OmarAlly-iz8otАй бұрын
Shekhe Muhammad Bachu Allaah akuhifadhi na akupe umri mrefu na akuzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini. Laiti wange zingatia juhudi yako, wengi ktk wazushi na washirikina wasinge kufanyia uaduwi na kukukashifu Wallaahi.
@saadasaleh3177
Ай бұрын
Yoyote atakaerithi kazi aliyoifanya Mtume hatosalimika na madhwalim Allah amlinde. awalinde na masheikh wote wa sunnah
@othmanali7408Ай бұрын
Allahu Akbar . Shekh bachu binafsi nilianza kufanya dawa za kisunna ila Kila nikenda wallahi ilikua ni hatari .. Nilifikia sehemu mpaka nikawa naota mtu atakuja nimfanyie dawa gani na kweli ukimfanyia anapoa basi nikaja nikajikuta natoka ktk mstari kidogo kidogo mpaka mwisho mama yangu mzazi alitumia nguvu nyingi Ili niache Allah amsamehe mama yangu na amlipe kheri ... Mambo haya wallahi ni mtihani nilipitia mambo mengi sana . Namuomba Allah anisamehe makosa yangu na aniongoze ktk haqi Amin Amin Amin
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Ameen
@sadih5333
4 күн бұрын
Amien @@KhalfanMassoud
@habibasalim3092Ай бұрын
Maa shaa Allaah sheikh bachu
@user-rg3tu2nc2fАй бұрын
Allah SW akupe ujira mkubwa mwema.Amin
@fadhilimusa9732Ай бұрын
Mashallah uko sahihi sheikh .uvae hata kofia usiwe kama msela
@RamadhaniShembilluАй бұрын
Mashallaaah allah akulipeni mashekhe zetu kwaelimi mujarrab
@farishfarish258Ай бұрын
Muhammad bachu Allah akulinde wapige spana waxhirikina huenda wakajirudi inshallah
@jabirkasunzu6841
Ай бұрын
Tumuombee tu ndugu yetu Dr. Sulle
@muhsinkimaro4283Ай бұрын
Allah akulipe kwa elimu unayotupatia
@cammackmarckАй бұрын
Allah akuhifadhi sheykh wetu unafny kazi kubwa
@user-rx6io6vs9nАй бұрын
Naam hakika ktk hili umesimama vema sana mdogo wangu bachu bali wasia wangu kwako ni kwamba mche Allah ktk elimu yako na jiepushe na riaa kwakuwa ukijiepusha na hilo Allah atakufundisha usipo fanya hivyo Allah atakufeshehesha kama ilivyoonekana ktk baadhi ya mijadala mingine pima kwamba ikiwa kunawatu walikupinga mwanzo na sasa kwa hili wanakuunga mkono basi kuwa makini na ujue waru sio wajinga kama inavyodhaniwa Allah akulipe kheri kwa hili na akufungue ktk memgine ikiwa utasimama ktk taqwa inshaalah 55:20
@SelemanAmir-ze8zzАй бұрын
Shekh ukovzri allah atupe sote iiman pia shekh hikikisa kosa la mchamungu yule aliacha haki kwa maslah yake allah akamwondolea nguvu pia shekhe shida ninachokiona hapa nani anasema shida madhehebu yanapoteza mno dua zinaitajika kama kusema panasemwa vzr kabisa
@user-xb6tr5vq4bАй бұрын
Nakupenda kwasababu ya allah
@user-gi2jv4kl7sАй бұрын
Shekh Muhammad Allah akuhifadhi Sana coz unapambana sana.lkn kwa hoja hizi umeshamaliza kazi,hawata elimika Tena .lkn wakiongea Tena usiwaache..waelimishe tu hata km hawataki.
@JumaHaruna-yg6ptАй бұрын
Mashallah, mambo umeyaweka wazi kabisa kwa mtu mwenye kutafakari.
@khamisoothman5294Ай бұрын
Mashaa Allah baraka Llhah fyka
@k.kchakua1376Ай бұрын
Jazaqallahu khaira Sheikh.. Mwenye kutaka radhi za Allah atakuelewa vizuri nawenye kutamani maisha ya dunia zaidi bado wataleta hoja mbadala kuaaminisha waislam kutumia majini hao sabb ndio njia mbadala inayotumika kwa wingi sasa na watu kupata riziki kwa kigezo cha kutibia na kutatua matatizo ya binadam Tumekuelewa Ahsante sana Allah atakulipa zaidi.
@omarsultan4502Ай бұрын
Mashallah shekhe haifai kutumia majini majini waongo binaadam unamuona na anakudanganya je jini usiemuona yy ndo nakithiri haswa alf mbali na ivyo kwani hakuna binaadam waislamu na ni waongo hao kupitiliza je hao majini baba kirowasha ache kwasbb kuna wanavypenda majini alf ukiwaambia inafaa ndo wanafurahi wanasema yes inafaa
@hassanbinbashir546Ай бұрын
HayyakaLlahu waHafidhak
@user-yj5on8cz3eАй бұрын
Twaiby wanakuelewa shekhe sema muwamba ngoma uvutia kwake sule na baba kiruwasha waanaonekana wanatetea biashara wew unatetea hakki wale wapo kimaslahi ndomana wamekuwa wakaidi naimani washirikina humsapot sule hapa kwenye comment usikute watu wanayafuga ndomana wavutia ngoma kwao
@user-ye3fy9kk6rАй бұрын
Baaraka llahu fik
@babatidaawa6550Ай бұрын
Ma Shaa Allah
@bafaaabuuАй бұрын
Mashaallah akuzidishie elimu shekh wetu tena yenye manufaa
@aslamswalah7852Ай бұрын
Tabaraka Allah shekhe wangu ustadhi wangu, Allah azidi kukupa ujasiri na elmu ututoe taka .
@shamisfahiye9628Ай бұрын
Msifungue milango= =Kweli yake !. Bali tuwe waacha mungu, tumtegemee Mwenyezi Mungu mtukufu. Maisha ya duniani ni mafupi sana. Maisha ya baadaye ni ya milele. Chaguo ni lako!.. tumieni akili sio matamanio 🎉
@fatmaismail7909Ай бұрын
masha'Allah
@IssaBachuMuhammadjr-rr3riАй бұрын
Mm naomba sana ipatikane angalau watu kumi kama sheikh Bachu inshaAllah
@mfalmenajjash2128
Ай бұрын
Watu 10 mfano wa bachu biidhini llah bidaaa itakimbiya kwakiasi kibwa nawakifanya watafanya kwakujificha mnooo
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Amin
@user-sv6ej5mv9q
Ай бұрын
Watapatikana tukiwahamasisha watu katika kusoma.
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
@@user-sv6ej5mv9q unaweza ukasoma lakn ulimi wako ukakosa ufasaha kama wa Muhammad bachu, na kujenga hoja or kuvunja hoja hicho ni kipaj Had Allah akupe.
Jazaaka llahu khaira kwa juhudi yako. Uko sahihi kwa walili ya Quran/surat KAHF aya 50. Baraka llahu fika.
@JumaOmar-ku6crАй бұрын
Mohd Bachoo darsa yako imeeleweka naamini ata yeye kiriwasha hasubutu kumtafuta jini asiwaaminishe watu wakaendea shirki
@sadicksince2008Ай бұрын
Dalili ziko wazi ila si kwamba hawaelewi tatizo lao hawataki kuonekana wameshindwa mbele ya umma, na hii inaonyesha wazi kwamba wameweka masilahi mbele kuliko dini. Allah atuongoze na atujaalie mwisho mwema kwa kweli maana ni mtihani.
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Kweli kaka juu unapata mtu anakuja mbele zawatu kujigaamba Kua Ako na Mali na magari makubwa wengine
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Ameen
@OmarAlly-iz8ot
Ай бұрын
Maneno yakweli unayo sema ndugu yangu
@user-wq3um3gr7uАй бұрын
Shukran sanaa sheh.انا اسماعيل من بو رو ندي
@user-nh6hz2ms8sАй бұрын
ماشاء الله يا محمد 🌺
@user-hg7jb3ho2yАй бұрын
Mungu akihifadhi sheihewetu
@canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын
Nawapenda watu wa sunnah watu wa tauhiid na nasikitika baba Kiruwasha nilimuamini niisemamtuwa tauhid ila.kurudisha iman kwangu kwake sio rahis tena maana anavyoonekana ni tofaut kabisa na anayoyasimamia kwa maslah yake
@izmamuizmamu6521Ай бұрын
ما شاء الله تبارك الرحمٰن
@ayubutwalbu6594Ай бұрын
Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani
@shamisfahiye9628
Ай бұрын
Umeona eeh.
@allymbarouk5362Ай бұрын
Mashallah Faida kubwa hii
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
leo umewavulia kabisa na kofia labda watakuelewa😊
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
😂😂😂 صم بكم عمي فهم لايرجعون
@yousuphnzira3209
Ай бұрын
😂😂
@Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын
yes🎉❤
@muhamadismail-my1doАй бұрын
Allah akuhifadh ungevaa kofia ungependeza zaid
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Aaaaah, sikunyengine kichwa kiachwe banaaa kipate upepo. Haha😂😂😂😂
@Hamis-ks1sy
Ай бұрын
@@KhalfanMassoud 😂😂😂
@Hamis-ks1sy
Ай бұрын
@@KhalfanMassoud Ndugu yangu mfuatiliaji sana wa vipindi hivi Maa shaa Allah
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
@@KhalfanMassoud akitoe inje kwa dirisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
@@ARNOLDKARISA-fs3ht mmh watu wataondoka nacho ety.
@nyanyambuli8101Ай бұрын
HIYU BABA KIRUWASHA KAMA HAWATOMZUIA WENZAKE BASI ATAMTOA NY'ONGO BACHU MAKOJO
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Jifunze kuandika kwanza 😂😂
@hassanibrahim-fk1bnАй бұрын
Ustadh Muhamad, wanazuoni wanashauri kutahadhari na kuwatumia majini. Swali toka awali ilikuwa je watu wanaweza kutumia majini?. Na pili inakatazwa kidding, hadith na Quran. Toka mwanzo unatumia wanazuoni bila ya kuonyesha Nabi Muhamad saw, anasemaje. Mimi kwa spandex wangu namtegemea Allah sihitaji kiumbe yeyote, Allah ndie Khaliq.
@NazirJuma-gz6jvАй бұрын
Asalam allaykum sheikh samahani naomba niulize inaruhusiwa kula nyama iliyochinjwa kwaajili ya matibabu ya kiganga
@ibrahimjumadr
Ай бұрын
Hairuhusiki hata kidg.
@ayubutwalbu6594Ай бұрын
Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani acheni uwongo
@wazirihamisi648418 күн бұрын
Baba kiruwasha kapinda yule nayeye anaonekana ni mshirikina
@user-zx8kl7qi3g9 күн бұрын
Assalam alaikum warahmatulullah wabarakatuh sheikh mungu akupe umri mrefu naomba number yako sheikh insh.Allah
@nasoros.mgungo5502Ай бұрын
Ninachokiona, Baba kiriwasha kaegemea ktk Sheria: Majini kutumika na Binadamu inafaa au haifai? Sheria Imeruhusu na kajengea hoja vizuri tuu. Sheikh Bachu:Yeye apingani na sheria ya kujuzu kuwatumia majini ila yeye anakubali inafaa ila kwa wakati wa sasa ni vyema Ikaharamishwa. Binafsi nilivyoelewa ndio hivyo,Sheria inaweza ruhusu jambo lakini kama lile jambo likiwa lina madhara ni bora likaachwa. Mfano,Kipindi cha Corona Hija ilifutwa baada ya kuonekanwa madhara ni makubwa kuliko hijja. Hata hili la majini,kwa sasa madhara ni makubwa kwa hiyo halifahi kwa sababu matokeo ya mengi ya kutumia majini zama zetu faida ni chache,japokuwa sheria haijaharamisha moja kwa moja.
@MaryamAlli-is1jg
Ай бұрын
Inaonyesha Bado hujaelewa somo
@user-iv6hx2xv3t
Ай бұрын
Kiruasha Nae mshirikona tu
@hawa6052
Ай бұрын
Allah atuongoze
@saadasaleh3177
Ай бұрын
Umeelewa vzur lkn hii kutumia majin si kama anaiharamisha kwa mda huu ila yeye anasoma vitabu vya zaman walivyokatawza watu kutumia majin yaan tangu zaman watu walikua wanakatazwa wasitumie
@nasoros.mgungo5502
Ай бұрын
@@saadasaleh3177 Kusomwa vitabu vya kale si hoja, mfano, Suala la Talaka Tatu kwa Pamoja, je Ni Tatu au moja? Ukiangalia Saidina Omar alipoona madhara ya watu kufanya Talaqa Kama mchezo, akapitisha hukumu ukisema nimekuacha Talaqa Tatu Basi Ni Tatu. Ila sheria ilikuwa inatambua ukitamka Talaqa Tatu Ni Talaqa moja. Kwa hiyo Jambo linaweza ruhusiwa kisheria lakini tukiona madhara Ni makubwa ikatengenezwa sheria ndogo hili kuzuia madhara.
@abdul_azeez_almaamirАй бұрын
لا فض فوك يا شيخنا
@fatumatsopa5578Ай бұрын
Kuna tofaut Kati ya jini na shetani
@badmanno.1650Ай бұрын
Huyo baba kiruwasha pia ni akili kijiko.
@rajababrahman4365Ай бұрын
Hakika uislam ni upuuzi na upotevu
@mohammedsalim3315
Ай бұрын
Kwa hiyo wewe ni kafiri ? Sorry
@agrolive4027Ай бұрын
Dr. Sule hawezi kuelewa kwani ameshapingwa muhuri keaajili ya ushirikina kwa miaka mingi!
@bennymochiwa4800Ай бұрын
Huyu Sule katusilibia sana
@fanni-ck6doАй бұрын
watu wanauuza akhera wananunua dunia kutumia majini ni shirk kubwa
@ARNOLDKARISA-fs3htАй бұрын
mwambieni Sheikh wetu avae kofia jamenii
@jamalijamali6820
Ай бұрын
Usijali tutamwambia inshaallah na atavaa biidhnillahi Allah akuhifadhi pamoja nasi na aendelee kutusamehe
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
@@jamalijamali6820 amiin
@abdulkizeli9960
Ай бұрын
Unashindwa kusikiliza mawaidha ukaelimika unaanzakufatilia kofia kwa shekhe ndo nn ss ebu jaribu kujielewa
@hawa6052
Ай бұрын
Inshaa Allah
@KitasaWaaction-gm9zrАй бұрын
Sule nilikuwa namuheshim sana lkn kaniangusha yani mdomo hajauchunga kakurupuka
@ikabako2454Ай бұрын
Sule kasema ukweli mtupu 🤣😂😅
@user-oc8uo9rl3uАй бұрын
SISI TUNAPOMILIKI MAJINI HUWA TUNAWATUMA KAMA WATOTO WETU NYINYI MAWAHABI HAMNA ELIMU YA MAJINI KWASABABU MASHEKHE WENU HAWANA ELIMU YA FALAQ AMBAYO NDIO INAYOELEZA NAMNA YA KUMILIKI MAJINI
@abdulrahmanmussa4479Ай бұрын
Baba kiruwasha njaa
@KitasaWaaction-gm9zrАй бұрын
Sule namkubali kwasababu ya kazi yake kuwalingania wakristo kushindananao lkn kwahili kakurupuka na abadilishe manhaji najua manhaji yake wengi wanatabia chafu zisofaa
@zeharaz4116Ай бұрын
Jee ikiwa mtu kapata jini na linamtesa anataka limuondoke inafaa kwenda kwa mwalimu akamtoa kwa njia ya kusomewa na dawa za mitishamba Ina juzu naomba jawabu
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
Ай бұрын
@zehara4116 ndio inafaa.
@yousuphnzira3209Ай бұрын
Wanaomtetea Sule ni Wanafki tu
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Niwaganga wenzake
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Enhee... obviously correct
@mawaidha-by-sheikh-AbrahamuАй бұрын
Assalamualaikum sheikh naomba kufundishwa je ati inaruhusiwa kumuoa jini wakiisilamu?
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Haaha ww nawee sasa jini huyo utamua wapi yeye ana ulimwengu wake na ww una wako.. Maswali mengine basi tu
@Athumaniomari-ge2gsАй бұрын
Hvi saut haipo au
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Ipo broo
@ikabako2454Ай бұрын
Majini ni waislamu na mtume alikuwa anawasomea quran. Uislamu na majini ni ndugu 💯✅. Alah kaumba majini.
@Bombwejr18
Ай бұрын
Ukisoma vzuri au ukimsikiliza vzuri sheikh utagundua kuwa majini na binadamu hawakuumbwa ili wapate kumuabudu Allah sasa hakuna anaejua jini yupi mbaya yupi mzuri na usiabudie kiumbe muabudie m/mungu mmoja tu sasa ndo utambue kuwa binadamu pia huwa wabaya na wazuri
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Bila shaka wewe sio muislam nadhan Ivo ndo ulivo ndo mana unasema waislam na majini ni ndugu wakat hujui kama Majin wako mataifa mbali mbali makabila mbali mbali na aina tofaut za dini mbali mbali wapo wakiristo wapagani waislam n.k. sio wote waislam au wakiristo wako tofaut na ni wengi sana kuliko watu
@dulividuli5237
Ай бұрын
Kwaiyo ww unatakaje?
@paulmushi2428
Ай бұрын
Majini Walisilimu wakawa Waislamu Qur'an 72: 1-14 kwani ni vibaya waumini kusaidiana wa dini Moja kusaidiana? Muumini Mwenzako anawezaje kukufanya ukufuru? Majini ni ndugu wa Waislamu acheni kupingana!
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@dulividuli5237 Anataka utumie majini maana ni ndugu zako katika Imani
@Athumaniomari-ge2gsАй бұрын
Assalam alaykum warahmatullah maaashaaallah
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
wa aleikum salaam warahmatulillahi wabarakatuh
@ahmadabdallah6641Ай бұрын
Asalam Alaykum. Shekhe unavyosema ni sawa kabisa, lakini kwa ushuhuda wangu wako Maruhani wa tiba ambao ni Waislam Waumin ambao hawamshiikishi Allah wala hawafugwi wanasaidia kwa tiba peke yake sio kumnufaisha mtu kwa mali. Wanafanya kwa ridha yao wenyewe tena wanatumia quraan pia.
@dulividuli5237
Ай бұрын
Swali linakuja utawajuaje pia Tambua kwamba Jini ambaye hamshirikishi Allah hawez kukaa kwnye Kichwa cha Mwanadamu pia Utambue kwamba hata Wanaofanya Tiba za kishirikina pia Wanatumia iyo iyo Qur'an katka Kuwatibu watu na hicho nd imekuwa kifichio chao.
@MaryamAlli-is1jg
Ай бұрын
Swali umemuona wapi huyo jini au yupo kichwani Kwa watu na kichwani Kwa mtu basi huyo jini amemuasi mola wake jini mchamungu hakai kichwani Kwa mtu
@ahmadabdallah6641
Ай бұрын
Wala hawamuingi mtu. Infact wanasema kumuingia mtu ni makosa haifai.Wala hawataki kafara. Wala hawakupi oesa. Wao kazi yao kupambana na mashetani waasi peke yake. Makazi yao Makka.
@ahmadabdallah6641
Ай бұрын
Na ni khamsa swalawat.
@dulividuli5237
Ай бұрын
@@ahmadabdallah6641 sas km hawapandi kichwani watakuja kwa njia ipi na jini haonekani
@Athumaniomari-ge2gsАй бұрын
Mada hii ifungwe tu ili sheikh bachu aendlee kumfundisha yule gol Shia
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
KWA HIYO ENDAPO JINI ATAMKUTA BINADAMU YUPO PORINI KAPOTEA AU YUPO BAHARINI HAPASWI KUMSAIDIA ???
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Na mm nakuliza Mtu akiwa porin hana kit cha kula ni halal kula nguruwe?
@BIGBOSS-hl3bu
Ай бұрын
Ndio ni HALALI kabisa Kwa mujibu wa Quran japo sheria inaangalia Kiwango Cha tatizo
@kanzucentre3468Ай бұрын
Mm swali langu , hivi nataka niongee na jini NAMPATA WAPI? nataka nimjue ni mzuri ama mbaya NAMUONAJE AMA NAMTAMBUA VP?
@allymbarouk5362
Ай бұрын
Zama kwenye bahari ya kina kireeefu Kisha ita jinniiii
@hassanmohamedlaizer569
Ай бұрын
@@allymbarouk5362😂😂
@ramadhaniomary9241
Ай бұрын
Kazi ipo simameni kwenye hoja
@ExcitedChefHat-ef5jtАй бұрын
Jazzakallah, Tabarakallah Alla akuhifadh shekh muhammad bachu kwa juhudi zako zote za kufundisha Tawhid. Allah atunusuru na washirikina wa kutumia majini.
@NassirSaidmassoudАй бұрын
Muhammedi usimsumbue Dr sure Kwanza zungumza ushirikina wa ibn taymia
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Sule hajasubuliwa analinganiwa ache shiriki.. Shafii kashindwa na mada kila akijibiwa analeta mamb mengine hamna kitu pale debe tu na kama unafanta yule ufaham wako upo chini sana
@abuuaidh6500Ай бұрын
Baba kiluwasha inaonekana anapata msaada kwa majini kwenye Mada zake za ukungwi
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Mmmh!
@ashrafhashim2116Ай бұрын
Jaribu ukiwa unaongea utulie acha mambo megi
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Huna mada..
@ashrafhashim2116
Ай бұрын
@@YahyaYahya-vp2pp kivipi
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
@@ashrafhashim2116 ww unamwambia akiongea atulie. Je akitulia itakusainia nini.. Au akiongea akiwa hajatulia husikii au hufahamu
@ashrafhashim2116
Ай бұрын
Waislaam tumearishwa kuwa na التواضع sasa akiwa anaongea pasi na utulivu anapoteza sifa za mlinganiaji hatakama anaongea haqi akitulia itakuwa nikher kwangu nakwake nasisi hatumpingi anachosema.
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
@@ashrafhashim2116 kama ni mfuatiliaji mzur wa sheikh Muhammad bach basi usingelicoment hiy coment yako.. Maana huo ndio uongeaji wake pia ni urith pia kutoka kwa sheikh nassor bachu
@user-do1pq2uu1cАй бұрын
Mimi naomba niulize tu wale majinn waliosilimu wakati wa bw mtume s a w katika suratil jinn mbona hawakupigwa au nini maana yake kuambiwa habari zao kua wao ni wema? Kwanza ibn taimiyya hatumkubali Ana kasoro zake
@dulividuli5237
Ай бұрын
Hakuna Binaadam asie na kasoro Mkamilifu ni Allah pekee
@user-do1pq2uu1c
Ай бұрын
@@dulividuli5237 sasa maneno hayo waambie mawahabi ambao wanamuona ibn taimiyya hawezi kukosea
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Sassa kama humkubal ibn tayyimia kwa kasoro zake kwan kuna binaadam Hana kasoro
@abuuaidh6500
Ай бұрын
Jawabu la suali lako soma Aya ya sita ya sura hio Aljinn utafahamu . Na hivyo Aya 1,2 isome vizuri Ndugu
Пікірлер: 195
Nakuamini sana Shekh wangu Allah akulipe.
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
amiin
Huyu sheikh Allah amhifadhi
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
amiin
@SafariJournals
Ай бұрын
Shakuwa mashekhe wenu Wa bongo feki.KUMTUKUZA JINI MAKOSA
Allah akupe umri mrefu wenye faida
Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukujaalia umri mrefu wenye kheri tunajifunza mengi kupitia Elmu unayotufundisha
@hasnakid
Ай бұрын
Ameen yaa Rabb
SHEIKH BACHU UPO SAHIHI NA ALLAH AKUJAALIE KHEIR NA SALAMA DR. SULE ASEME PALE PALIPO NA USHAHIDI WA VITABU BASI NA HIUO NDIO DINI SIO KULETA HADHITHI ZA MITUME WAKTI HAO NI MITUME WA ALLAH. WEWE NI NANI?
Nilikua namuamini Baba kiruwasha ila naye ni walewale tu.Kanichefua sana.
@ayububakari9942
20 күн бұрын
Yule angezungumzia mambo ya ndoa tu
Mung akuzidishiy elim sheikh wetu uzidi kutufundish mengi mung akuwezesh
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
amiin
Sheikh Allah akuhifadhi...na Akubariki. Sasa vipi kuhusu hawa Masalafia Jadida... endelea kuwachambua masalafia jadida In sha Allah
Wallah mazungumzo yoooote ya baba kirwasha yameanguka huku mwisho Kwa kutegemeya fatawa aliyo tegemeya Muhammad bachu Allah akuweke ukupe umri mrefu ili tuzidi kupata faida nakusoma kwako
Dr Sulle anatafuta umarufu
Akili nyingi sana hiki kichwa Allah akuuhifadhi ndugu yangu
Mtume Muhammad swallallahu alaihi wasallama alikua na pete kama nyenzo ya muhuri lkn hakuwahi kuwa na pete kwa ajili ya nyota ama ya jinni
Sule bado mtoto sanaaaa na njaa inamdhalilisha
Nakupenda kwa ajili ya Allah s.w. Allah s.w. azidi kukubariki. Tumuombee tuuu ndugu yetu maana tayari ameshatawaliwa au amepumbazwa na majini. Pia hata Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, Allah amrehemu, mada KUIPA MGONGO DUNIA 1-4, anaeleza vizuriii sanasana.
Akili inachaji chizi pia akiskiliza anatafakar. Umefahmika ila kwa mwenye ukaidi mwache andelee kubisha. Uko sawa apo kaka yangu . GOOD JOOB
maashaaallah mwenye hofu ya Allah ameelewa mwenye matamanio ya dunia ngumu sana kuelewa Allah akuzidishie elimu
@HamisAbdallah-cj2sc
Ай бұрын
ASALAM ALEY KUM ,ALLAH AKUJALIE UMRI WENYE MANUFAA UZIDI KUTUELIMISHA ZAIDI.MM NAPENDA KUJIULIZA INAMANA HILI SAKATA LA MAJINI KUWA NIHALALI KUWATUMIA JE HAWA MASHEIKH WETU AMBAO UWA TUNAWAONA MWEZI MUANDAMO WA RAMADHANI NA ARAFA NDIO UWA WANAWAKOSOA MASHEIKH WENZAO SASA MM NAPATA KIGUGUMIZI SIMSIKII HATA MMOJA JE KUKAA KIMYA INAMANA NAWAO NIMIONGONI MWA WANAOTUMIA MAJINI.??? MAANA DK SULE ALISEME MASHEIKH WENGI WAMEVAA PETE ZA BAHATI NAYEYE DK SULE ATAKUWA ANAWAJUWA NI MTIHANI.MAANA TANGU HABARI HIZI ZIMEJITOKEZA MASHEIKH KIMYAA !!! ILA MTU AKITANGAZA MWEZI KOSA UTAWASIKIA SHURA YA MAIMAMU NA WANAZUONI UTAWASIKIA NANI MWENYE MAMLAKA YAKUTAZA MWEZI ,!!!! KWA HILI LA MAJINI KIMYAAAAA SHARIFU MAJINI KIMYA KISHIKI SHEIKH WETU TUNAYEMUAMINI KIMYA YUSUFU DIWANI KIMYAA .MUFTI WETU KIMYA SHEIKH WALIDI KIMYA ALHADI MUSA KIKYA RUSANGANYA KIMYA. NGOJA IKIKARIBIA ARAFA UTAWAONA WANAIBUKA !!!! NINAANZA KUAMINI KUWA MAISHEKH WENGI WA MAULIDI WATAKIWA WANATUMIA MAJINI .HERI MAKAFIRI WA ZAMANI KULIKO WAISILAMU WA SASA WANAWEKA NA USHIRIKINA KISOGO MAELEZO YA SHEIKH AMDALAH SH FARSI.
@HamisAbdallah-cj2sc
Ай бұрын
Kisa kizuri kinaukweli NDANI YAKE dalili zipo unaweza ukawaunakudia kheri ila anatokea MTU anakushauri anakwambia kwani LAZIMA ulifanye hili KWA mfano utasikia MTU anakwambia mpaka ukaswali msikitini swali NYUMBANI inatosha!!! Kisa kizuri
Allah akujaje kheri,shufaa Na mlisho mwema kama waliopita kabla yetu
Allah azidi kukuwezesha mpk mzee wa mipete mapepo yamtoke
Twakupenda Kwa ajili ya ALLAH
زادك الله حرصا وعلماً وفهما ورزقك الإخلاص في الأقوال والأعمال. أحبك في الله. أخوك أحمد عمر سعيد من جمهورية موزمبيق مدينة نامبولا
Leo umesahau kofia ustadh bachu
@mwinyidullailovetheprogram7404
Ай бұрын
Haja sahau ametaka watu wajifunze jinsi ya kunyoa wala sikujinyolea kihuni mipanki
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
kumb siko pekee kias nmkatae isingekuwa sauti
Allah akuhifadhi sheikh nakuelewa vzr San.
Barakh Allah Kher sheikh
Shukran sana sheikh Muhammad bacho nakupenda kwaajili ya Allah Lile genge la kihawariji masalafiya jadidah atuwasikiyi wakiwarekibisha hawa washirikina wanao tumiya majini Hawa mahawariji masalafiya jadidah wawatowa kwenye sunna doctor Islam na Muhammad bacho na sheikh salimu barahiyani kuwaradi ati ni watu wa bidah
Allah akulipe kheri kwa hili ahsante sana
Shekhe Muhammad Bachu Allaah akuhifadhi na akupe umri mrefu na akuzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini. Laiti wange zingatia juhudi yako, wengi ktk wazushi na washirikina wasinge kufanyia uaduwi na kukukashifu Wallaahi.
@saadasaleh3177
Ай бұрын
Yoyote atakaerithi kazi aliyoifanya Mtume hatosalimika na madhwalim Allah amlinde. awalinde na masheikh wote wa sunnah
Allahu Akbar . Shekh bachu binafsi nilianza kufanya dawa za kisunna ila Kila nikenda wallahi ilikua ni hatari .. Nilifikia sehemu mpaka nikawa naota mtu atakuja nimfanyie dawa gani na kweli ukimfanyia anapoa basi nikaja nikajikuta natoka ktk mstari kidogo kidogo mpaka mwisho mama yangu mzazi alitumia nguvu nyingi Ili niache Allah amsamehe mama yangu na amlipe kheri ... Mambo haya wallahi ni mtihani nilipitia mambo mengi sana . Namuomba Allah anisamehe makosa yangu na aniongoze ktk haqi Amin Amin Amin
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Ameen
@sadih5333
4 күн бұрын
Amien @@KhalfanMassoud
Maa shaa Allaah sheikh bachu
Allah SW akupe ujira mkubwa mwema.Amin
Mashallah uko sahihi sheikh .uvae hata kofia usiwe kama msela
Mashallaaah allah akulipeni mashekhe zetu kwaelimi mujarrab
Muhammad bachu Allah akulinde wapige spana waxhirikina huenda wakajirudi inshallah
@jabirkasunzu6841
Ай бұрын
Tumuombee tu ndugu yetu Dr. Sulle
Allah akulipe kwa elimu unayotupatia
Allah akuhifadhi sheykh wetu unafny kazi kubwa
Naam hakika ktk hili umesimama vema sana mdogo wangu bachu bali wasia wangu kwako ni kwamba mche Allah ktk elimu yako na jiepushe na riaa kwakuwa ukijiepusha na hilo Allah atakufundisha usipo fanya hivyo Allah atakufeshehesha kama ilivyoonekana ktk baadhi ya mijadala mingine pima kwamba ikiwa kunawatu walikupinga mwanzo na sasa kwa hili wanakuunga mkono basi kuwa makini na ujue waru sio wajinga kama inavyodhaniwa Allah akulipe kheri kwa hili na akufungue ktk memgine ikiwa utasimama ktk taqwa inshaalah 55:20
Shekh ukovzri allah atupe sote iiman pia shekh hikikisa kosa la mchamungu yule aliacha haki kwa maslah yake allah akamwondolea nguvu pia shekhe shida ninachokiona hapa nani anasema shida madhehebu yanapoteza mno dua zinaitajika kama kusema panasemwa vzr kabisa
Nakupenda kwasababu ya allah
Shekh Muhammad Allah akuhifadhi Sana coz unapambana sana.lkn kwa hoja hizi umeshamaliza kazi,hawata elimika Tena .lkn wakiongea Tena usiwaache..waelimishe tu hata km hawataki.
Mashallah, mambo umeyaweka wazi kabisa kwa mtu mwenye kutafakari.
Mashaa Allah baraka Llhah fyka
Jazaqallahu khaira Sheikh.. Mwenye kutaka radhi za Allah atakuelewa vizuri nawenye kutamani maisha ya dunia zaidi bado wataleta hoja mbadala kuaaminisha waislam kutumia majini hao sabb ndio njia mbadala inayotumika kwa wingi sasa na watu kupata riziki kwa kigezo cha kutibia na kutatua matatizo ya binadam Tumekuelewa Ahsante sana Allah atakulipa zaidi.
Mashallah shekhe haifai kutumia majini majini waongo binaadam unamuona na anakudanganya je jini usiemuona yy ndo nakithiri haswa alf mbali na ivyo kwani hakuna binaadam waislamu na ni waongo hao kupitiliza je hao majini baba kirowasha ache kwasbb kuna wanavypenda majini alf ukiwaambia inafaa ndo wanafurahi wanasema yes inafaa
HayyakaLlahu waHafidhak
Twaiby wanakuelewa shekhe sema muwamba ngoma uvutia kwake sule na baba kiruwasha waanaonekana wanatetea biashara wew unatetea hakki wale wapo kimaslahi ndomana wamekuwa wakaidi naimani washirikina humsapot sule hapa kwenye comment usikute watu wanayafuga ndomana wavutia ngoma kwao
Baaraka llahu fik
Ma Shaa Allah
Mashaallah akuzidishie elimu shekh wetu tena yenye manufaa
Tabaraka Allah shekhe wangu ustadhi wangu, Allah azidi kukupa ujasiri na elmu ututoe taka .
Msifungue milango= =Kweli yake !. Bali tuwe waacha mungu, tumtegemee Mwenyezi Mungu mtukufu. Maisha ya duniani ni mafupi sana. Maisha ya baadaye ni ya milele. Chaguo ni lako!.. tumieni akili sio matamanio 🎉
masha'Allah
Mm naomba sana ipatikane angalau watu kumi kama sheikh Bachu inshaAllah
@mfalmenajjash2128
Ай бұрын
Watu 10 mfano wa bachu biidhini llah bidaaa itakimbiya kwakiasi kibwa nawakifanya watafanya kwakujificha mnooo
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Amin
@user-sv6ej5mv9q
Ай бұрын
Watapatikana tukiwahamasisha watu katika kusoma.
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
@@user-sv6ej5mv9q unaweza ukasoma lakn ulimi wako ukakosa ufasaha kama wa Muhammad bachu, na kujenga hoja or kuvunja hoja hicho ni kipaj Had Allah akupe.
@saadasaleh3177
Ай бұрын
Tizamen Alhajar online TV wapo wengi tu huko
Mā-shā-a-llāh, Sheikh Muhammad. Tunstafiid sana. Najifunza mengi.
Jazaaka llahu khaira kwa juhudi yako. Uko sahihi kwa walili ya Quran/surat KAHF aya 50. Baraka llahu fika.
Mohd Bachoo darsa yako imeeleweka naamini ata yeye kiriwasha hasubutu kumtafuta jini asiwaaminishe watu wakaendea shirki
Dalili ziko wazi ila si kwamba hawaelewi tatizo lao hawataki kuonekana wameshindwa mbele ya umma, na hii inaonyesha wazi kwamba wameweka masilahi mbele kuliko dini. Allah atuongoze na atujaalie mwisho mwema kwa kweli maana ni mtihani.
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Kweli kaka juu unapata mtu anakuja mbele zawatu kujigaamba Kua Ako na Mali na magari makubwa wengine
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Ameen
@OmarAlly-iz8ot
Ай бұрын
Maneno yakweli unayo sema ndugu yangu
Shukran sanaa sheh.انا اسماعيل من بو رو ندي
ماشاء الله يا محمد 🌺
Mungu akihifadhi sheihewetu
Nawapenda watu wa sunnah watu wa tauhiid na nasikitika baba Kiruwasha nilimuamini niisemamtuwa tauhid ila.kurudisha iman kwangu kwake sio rahis tena maana anavyoonekana ni tofaut kabisa na anayoyasimamia kwa maslah yake
ما شاء الله تبارك الرحمٰن
Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani
@shamisfahiye9628
Ай бұрын
Umeona eeh.
Mashallah Faida kubwa hii
leo umewavulia kabisa na kofia labda watakuelewa😊
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
😂😂😂 صم بكم عمي فهم لايرجعون
@yousuphnzira3209
Ай бұрын
😂😂
yes🎉❤
Allah akuhifadh ungevaa kofia ungependeza zaid
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Aaaaah, sikunyengine kichwa kiachwe banaaa kipate upepo. Haha😂😂😂😂
@Hamis-ks1sy
Ай бұрын
@@KhalfanMassoud 😂😂😂
@Hamis-ks1sy
Ай бұрын
@@KhalfanMassoud Ndugu yangu mfuatiliaji sana wa vipindi hivi Maa shaa Allah
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
@@KhalfanMassoud akitoe inje kwa dirisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
@@ARNOLDKARISA-fs3ht mmh watu wataondoka nacho ety.
HIYU BABA KIRUWASHA KAMA HAWATOMZUIA WENZAKE BASI ATAMTOA NY'ONGO BACHU MAKOJO
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Jifunze kuandika kwanza 😂😂
Ustadh Muhamad, wanazuoni wanashauri kutahadhari na kuwatumia majini. Swali toka awali ilikuwa je watu wanaweza kutumia majini?. Na pili inakatazwa kidding, hadith na Quran. Toka mwanzo unatumia wanazuoni bila ya kuonyesha Nabi Muhamad saw, anasemaje. Mimi kwa spandex wangu namtegemea Allah sihitaji kiumbe yeyote, Allah ndie Khaliq.
Asalam allaykum sheikh samahani naomba niulize inaruhusiwa kula nyama iliyochinjwa kwaajili ya matibabu ya kiganga
@ibrahimjumadr
Ай бұрын
Hairuhusiki hata kidg.
Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani acheni uwongo
Baba kiruwasha kapinda yule nayeye anaonekana ni mshirikina
Assalam alaikum warahmatulullah wabarakatuh sheikh mungu akupe umri mrefu naomba number yako sheikh insh.Allah
Ninachokiona, Baba kiriwasha kaegemea ktk Sheria: Majini kutumika na Binadamu inafaa au haifai? Sheria Imeruhusu na kajengea hoja vizuri tuu. Sheikh Bachu:Yeye apingani na sheria ya kujuzu kuwatumia majini ila yeye anakubali inafaa ila kwa wakati wa sasa ni vyema Ikaharamishwa. Binafsi nilivyoelewa ndio hivyo,Sheria inaweza ruhusu jambo lakini kama lile jambo likiwa lina madhara ni bora likaachwa. Mfano,Kipindi cha Corona Hija ilifutwa baada ya kuonekanwa madhara ni makubwa kuliko hijja. Hata hili la majini,kwa sasa madhara ni makubwa kwa hiyo halifahi kwa sababu matokeo ya mengi ya kutumia majini zama zetu faida ni chache,japokuwa sheria haijaharamisha moja kwa moja.
@MaryamAlli-is1jg
Ай бұрын
Inaonyesha Bado hujaelewa somo
@user-iv6hx2xv3t
Ай бұрын
Kiruasha Nae mshirikona tu
@hawa6052
Ай бұрын
Allah atuongoze
@saadasaleh3177
Ай бұрын
Umeelewa vzur lkn hii kutumia majin si kama anaiharamisha kwa mda huu ila yeye anasoma vitabu vya zaman walivyokatawza watu kutumia majin yaan tangu zaman watu walikua wanakatazwa wasitumie
@nasoros.mgungo5502
Ай бұрын
@@saadasaleh3177 Kusomwa vitabu vya kale si hoja, mfano, Suala la Talaka Tatu kwa Pamoja, je Ni Tatu au moja? Ukiangalia Saidina Omar alipoona madhara ya watu kufanya Talaqa Kama mchezo, akapitisha hukumu ukisema nimekuacha Talaqa Tatu Basi Ni Tatu. Ila sheria ilikuwa inatambua ukitamka Talaqa Tatu Ni Talaqa moja. Kwa hiyo Jambo linaweza ruhusiwa kisheria lakini tukiona madhara Ni makubwa ikatengenezwa sheria ndogo hili kuzuia madhara.
لا فض فوك يا شيخنا
Kuna tofaut Kati ya jini na shetani
Huyo baba kiruwasha pia ni akili kijiko.
Hakika uislam ni upuuzi na upotevu
@mohammedsalim3315
Ай бұрын
Kwa hiyo wewe ni kafiri ? Sorry
Dr. Sule hawezi kuelewa kwani ameshapingwa muhuri keaajili ya ushirikina kwa miaka mingi!
Huyu Sule katusilibia sana
watu wanauuza akhera wananunua dunia kutumia majini ni shirk kubwa
mwambieni Sheikh wetu avae kofia jamenii
@jamalijamali6820
Ай бұрын
Usijali tutamwambia inshaallah na atavaa biidhnillahi Allah akuhifadhi pamoja nasi na aendelee kutusamehe
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
@@jamalijamali6820 amiin
@abdulkizeli9960
Ай бұрын
Unashindwa kusikiliza mawaidha ukaelimika unaanzakufatilia kofia kwa shekhe ndo nn ss ebu jaribu kujielewa
@hawa6052
Ай бұрын
Inshaa Allah
Sule nilikuwa namuheshim sana lkn kaniangusha yani mdomo hajauchunga kakurupuka
Sule kasema ukweli mtupu 🤣😂😅
SISI TUNAPOMILIKI MAJINI HUWA TUNAWATUMA KAMA WATOTO WETU NYINYI MAWAHABI HAMNA ELIMU YA MAJINI KWASABABU MASHEKHE WENU HAWANA ELIMU YA FALAQ AMBAYO NDIO INAYOELEZA NAMNA YA KUMILIKI MAJINI
Baba kiruwasha njaa
Sule namkubali kwasababu ya kazi yake kuwalingania wakristo kushindananao lkn kwahili kakurupuka na abadilishe manhaji najua manhaji yake wengi wanatabia chafu zisofaa
Jee ikiwa mtu kapata jini na linamtesa anataka limuondoke inafaa kwenda kwa mwalimu akamtoa kwa njia ya kusomewa na dawa za mitishamba Ina juzu naomba jawabu
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
Ай бұрын
@zehara4116 ndio inafaa.
Wanaomtetea Sule ni Wanafki tu
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Niwaganga wenzake
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Enhee... obviously correct
Assalamualaikum sheikh naomba kufundishwa je ati inaruhusiwa kumuoa jini wakiisilamu?
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Haaha ww nawee sasa jini huyo utamua wapi yeye ana ulimwengu wake na ww una wako.. Maswali mengine basi tu
Hvi saut haipo au
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Ipo broo
Majini ni waislamu na mtume alikuwa anawasomea quran. Uislamu na majini ni ndugu 💯✅. Alah kaumba majini.
@Bombwejr18
Ай бұрын
Ukisoma vzuri au ukimsikiliza vzuri sheikh utagundua kuwa majini na binadamu hawakuumbwa ili wapate kumuabudu Allah sasa hakuna anaejua jini yupi mbaya yupi mzuri na usiabudie kiumbe muabudie m/mungu mmoja tu sasa ndo utambue kuwa binadamu pia huwa wabaya na wazuri
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Bila shaka wewe sio muislam nadhan Ivo ndo ulivo ndo mana unasema waislam na majini ni ndugu wakat hujui kama Majin wako mataifa mbali mbali makabila mbali mbali na aina tofaut za dini mbali mbali wapo wakiristo wapagani waislam n.k. sio wote waislam au wakiristo wako tofaut na ni wengi sana kuliko watu
@dulividuli5237
Ай бұрын
Kwaiyo ww unatakaje?
@paulmushi2428
Ай бұрын
Majini Walisilimu wakawa Waislamu Qur'an 72: 1-14 kwani ni vibaya waumini kusaidiana wa dini Moja kusaidiana? Muumini Mwenzako anawezaje kukufanya ukufuru? Majini ni ndugu wa Waislamu acheni kupingana!
@paulmushi2428
Ай бұрын
@@dulividuli5237 Anataka utumie majini maana ni ndugu zako katika Imani
Assalam alaykum warahmatullah maaashaaallah
@ARNOLDKARISA-fs3ht
Ай бұрын
wa aleikum salaam warahmatulillahi wabarakatuh
Asalam Alaykum. Shekhe unavyosema ni sawa kabisa, lakini kwa ushuhuda wangu wako Maruhani wa tiba ambao ni Waislam Waumin ambao hawamshiikishi Allah wala hawafugwi wanasaidia kwa tiba peke yake sio kumnufaisha mtu kwa mali. Wanafanya kwa ridha yao wenyewe tena wanatumia quraan pia.
@dulividuli5237
Ай бұрын
Swali linakuja utawajuaje pia Tambua kwamba Jini ambaye hamshirikishi Allah hawez kukaa kwnye Kichwa cha Mwanadamu pia Utambue kwamba hata Wanaofanya Tiba za kishirikina pia Wanatumia iyo iyo Qur'an katka Kuwatibu watu na hicho nd imekuwa kifichio chao.
@MaryamAlli-is1jg
Ай бұрын
Swali umemuona wapi huyo jini au yupo kichwani Kwa watu na kichwani Kwa mtu basi huyo jini amemuasi mola wake jini mchamungu hakai kichwani Kwa mtu
@ahmadabdallah6641
Ай бұрын
Wala hawamuingi mtu. Infact wanasema kumuingia mtu ni makosa haifai.Wala hawataki kafara. Wala hawakupi oesa. Wao kazi yao kupambana na mashetani waasi peke yake. Makazi yao Makka.
@ahmadabdallah6641
Ай бұрын
Na ni khamsa swalawat.
@dulividuli5237
Ай бұрын
@@ahmadabdallah6641 sas km hawapandi kichwani watakuja kwa njia ipi na jini haonekani
Mada hii ifungwe tu ili sheikh bachu aendlee kumfundisha yule gol Shia
KWA HIYO ENDAPO JINI ATAMKUTA BINADAMU YUPO PORINI KAPOTEA AU YUPO BAHARINI HAPASWI KUMSAIDIA ???
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Na mm nakuliza Mtu akiwa porin hana kit cha kula ni halal kula nguruwe?
@BIGBOSS-hl3bu
Ай бұрын
Ndio ni HALALI kabisa Kwa mujibu wa Quran japo sheria inaangalia Kiwango Cha tatizo
Mm swali langu , hivi nataka niongee na jini NAMPATA WAPI? nataka nimjue ni mzuri ama mbaya NAMUONAJE AMA NAMTAMBUA VP?
@allymbarouk5362
Ай бұрын
Zama kwenye bahari ya kina kireeefu Kisha ita jinniiii
@hassanmohamedlaizer569
Ай бұрын
@@allymbarouk5362😂😂
@ramadhaniomary9241
Ай бұрын
Kazi ipo simameni kwenye hoja
Jazzakallah, Tabarakallah Alla akuhifadh shekh muhammad bachu kwa juhudi zako zote za kufundisha Tawhid. Allah atunusuru na washirikina wa kutumia majini.
Muhammedi usimsumbue Dr sure Kwanza zungumza ushirikina wa ibn taymia
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Sule hajasubuliwa analinganiwa ache shiriki.. Shafii kashindwa na mada kila akijibiwa analeta mamb mengine hamna kitu pale debe tu na kama unafanta yule ufaham wako upo chini sana
Baba kiluwasha inaonekana anapata msaada kwa majini kwenye Mada zake za ukungwi
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Mmmh!
Jaribu ukiwa unaongea utulie acha mambo megi
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Huna mada..
@ashrafhashim2116
Ай бұрын
@@YahyaYahya-vp2pp kivipi
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
@@ashrafhashim2116 ww unamwambia akiongea atulie. Je akitulia itakusainia nini.. Au akiongea akiwa hajatulia husikii au hufahamu
@ashrafhashim2116
Ай бұрын
Waislaam tumearishwa kuwa na التواضع sasa akiwa anaongea pasi na utulivu anapoteza sifa za mlinganiaji hatakama anaongea haqi akitulia itakuwa nikher kwangu nakwake nasisi hatumpingi anachosema.
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
@@ashrafhashim2116 kama ni mfuatiliaji mzur wa sheikh Muhammad bach basi usingelicoment hiy coment yako.. Maana huo ndio uongeaji wake pia ni urith pia kutoka kwa sheikh nassor bachu
Mimi naomba niulize tu wale majinn waliosilimu wakati wa bw mtume s a w katika suratil jinn mbona hawakupigwa au nini maana yake kuambiwa habari zao kua wao ni wema? Kwanza ibn taimiyya hatumkubali Ana kasoro zake
@dulividuli5237
Ай бұрын
Hakuna Binaadam asie na kasoro Mkamilifu ni Allah pekee
@user-do1pq2uu1c
Ай бұрын
@@dulividuli5237 sasa maneno hayo waambie mawahabi ambao wanamuona ibn taimiyya hawezi kukosea
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
Sassa kama humkubal ibn tayyimia kwa kasoro zake kwan kuna binaadam Hana kasoro
@abuuaidh6500
Ай бұрын
Jawabu la suali lako soma Aya ya sita ya sura hio Aljinn utafahamu . Na hivyo Aya 1,2 isome vizuri Ndugu