MUHAMMAD BACHU AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MSIKITI WA FITNA LAMU VISIWANI || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
Жүктеу.....
Пікірлер: 268
@user-pi3vj5sn3lАй бұрын
Mohamed bachu na wenyeji wake wamefanya jambo zuri
@nassirzamzam9312Ай бұрын
Waislamu wameona haki ndio wakawa mawahabi, Mawahabi hawataki tena shirki zenu.
@RashidJuma-uh8svАй бұрын
Malipo ya Kila mja ajuae ni Allah sisi tusubirie rehma za Alla tu bila Hivyo tupo kwenye mazito Allahu aturemu sote waislam allamma aamiin
@almashally8802Ай бұрын
ماشاءاللہ بارك الله فیك
@shuaibabdullahi754416 күн бұрын
Asante sana sheikh kuweka wazi kinacho dhihiri kuwa makini sana na hawa watu
@bagaluchaАй бұрын
Hasbünallah WAN imal wakil,Allah ni ndie mjuzi wa yote,Haifai kuzua na kuhusudu,Allah hayapendi haya,tuziogope nyumba za Allah,Kwa visingizio,tusivyokua na elimu navyo.
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Hayo yarudi kwenu mawahhabi Nyinyi ndio wenye husda kutamani kupora na kuibia mskiti ya watu,acheni husda mawahhabi na mumche Allah
@user-pi3vj5sn3lАй бұрын
Kama lamu kulijengwa makanisa wachukia kujengwa msikiti
@hassanWanjikuАй бұрын
Subhanallah yaaani imefika hapo baada ya kua alipokwenda lamu waomba nafasi ya duruus wakanyimwa baadae unasema msikiti wa Allah subhannahu wa taala ni wa fitna mwogope Allah bana upotoshaji wenu ndo unasababisha kuwe hivi zueni polepole ila mjue kila mnalosema yako kwa rekodi za malaika n mjue kuchafua masheikh wetu watasafisha n naswaha zako baki nayo usimpe bachu
@soffiscarlett9702Ай бұрын
Ya haqi yatabainika n yabatwil yatapotea In Sha Allah. Ila hii yenu sheikh naikataa Mmejaa fitna Mmejaa uongo Mmejaa upotovu Pka wenzenu wakitaka kujenga msikiti mnapinga Hii yenu ndio mnaita dini ? Watu wanaswali na matwari msikitini,ala za muziki ndani ya msikiti Mfungo sita mnaenda kupigia maiti magoti mkiomba msaada Mkiomba cjui awape barka Mkiomba awape barka Allah awasamehe lkn yenu hapana Kujengea makaburi Kueka adi mabati ili asipatikane n jua😂😂😂bdo mnajiita hii ndio dini Kupamba makaburi
@Hunger388Ай бұрын
inshaa Allah masjid sunnah yatakuwa meengi ulimwengu huu kwa kupambana na shirki na mambo ya bid aa
@jimjam-xg7rv
Ай бұрын
Mimi Sisomi maulid hila nili wafwatilya kwa umakini sana nikagundua wao uzna kwa kusoma quran na kumswaliya mtume Mohammad (S.A W) na kusomesha ama kuelezea hitoriya yake tu.
@GOP-AbdallahАй бұрын
kawaida ya haqqi ikiingia mahali hukubalika kwa uwepesi,sio masala ya agenda wala nn,hii ayah moja tu ni jawabu tosha kwako وقل جاء الحق وزهق الباطل إن الباطل كان زهوقا
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@GOP-Abdallah mbona haqqi hiyo yenye kukubalika haraka imegonga mwamba mambrui lamu na Mombasa?😅😅😅mwatumia Aya za Allah na vichwa vyenu
@osmanmanbile932729 күн бұрын
الحمد لله mm ni dariqa ahlu sunah mawahabii wanagawaa waislnmu
@sheikhyusufdiwan2489Ай бұрын
جزاك الله خيرا
@GOP-Abdallah
Ай бұрын
@@sheikhyusufdiwan2489 shekhe yusufu hawa si walikuruka baada kushindwa mjadala?😂
@abdurashidinasorodini
Ай бұрын
nimpambe huyu sheikhe mdiho
@ABUUBAAZNYUNGU
Ай бұрын
Hahahhahaa!
@iddimutua420
Ай бұрын
@@sheikhyusufdiwan2489 MashaAllah Yusuf Diwani ndugu yake Shafii Basalim mtu wakupiga vita watu wasunna na kuwaacha Mashia InshaAllah Allah akufungue macho na moyo ilimu ulio nayo isikushtaki kesho mbele ya Allah.
@MBAROUKSAADHUSSEIN
26 күн бұрын
We kila kwenye fitna lazima turbo uonekane ila kwenye hakki wala haukomment
@shariffomar8580Ай бұрын
Mwaskia wivu kwa kuwa watu wataacha kufanya bid'aa zenu
@eshasaid325829 күн бұрын
Mashaallah shukrani allah ustadhi muhsin❤❤❤❤ huyo mohamed bachu atmpiga mtume s.a.w mpaka lini qiyama 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@abubakarbakari9372Ай бұрын
Masha allah shukran sana sheikh bachu amewagawanya waislamu allah atuongoze
@MuislamuАй бұрын
Alakh mzungumzaji muogope Allah mimi ni msufi lakin naona kuingilia niya za watu na kufananisha mskiti ni kama masjid dhwiraar... Tumuogope Allah wallahi ..kuna hesabu mbele ya Allah ..
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@Muislamu hiyo kumuogopa Allah yaenda kwa kila MTU pia yakurudia wewe mwenyewe,eti kuingilia Nia za watu wakati Nia zimewekwa wazi,kilichofananishwa ni nai ya kujenga msikiti kama masjid dhwirar ilikuwa ni kufarakanisha waislamu basi na hiyo ndio Nia ya bachu alioidhihirisha mwenyewe kupitia post zake na maneno yake
@shariffomar8580Ай бұрын
Tatizo simisikiti kuwa mingi, Tunacho taka ni sunnah itawale kila mahali
@nasraswaleh1224Ай бұрын
Assalam Aleykum. Kila mmoja ana fungu lake kwa Mwenyezi Mungu, not in your place kumhukumu kwa Yale aliyofanya ama iwe sababu ya kuukata Msikiti na kuwaambia watu Msikiti ni wa ukafiri wala kumwingilia yeye Muhammad Bachu, hata pia Ali Abubakar kwa yote wafanyayo. Sasa walingania watu kwa Ucha Mungu ama kuwapotosha watu waingie kwa madhambi. Jazakallahu Khayr.
@hassanmohamedabdalla4108Ай бұрын
مسجد التوحيد
@iddimohamed254Ай бұрын
Wenyeji ndio walimpa ruhusa ama ni yeye mwenyewe acha kupotosha watu ww...
@abutirmidhi29 күн бұрын
حسبنا الله ونعم الوكيل
@CaptainomeАй бұрын
Chuki na husda zimekumbata kama mlivyo familia mzima hukuanza ww wameanza wakubwa zenu kina watoto wa sharifu Muhammad waliskia uchungu sana sana walipoikosa ardhi iliyoa jengwa masjid TAWHID MAMBRUI.PWIRUUUUU.mumezoea watu wazeeke kwenye ushirikina kumekucha ANKALI TUTAJENGA MISKITI MINGI IN SHAA ALLAH NA BDO.
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Nani ywaujua huo mskiti bsi,watu hutoka ulimwengu mzima wakija mambrui na wakishukia Riyadh,😂😂😂,na ama kuita waislamu washirikina hamkuanza nyinyi,hiyo ni mienendo walioanzisha makhawarij nyinyi mwayaendeleza
@hamzakimaro3764
Ай бұрын
KUFENI KWA CHUKI ZENU,SUNNAH INAZIDI KUNG'AA.....
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uhАй бұрын
MOLA atulinde na sharii ya mawahabi
@shamsushaffikassim-fe4ulАй бұрын
Chuki tu na USHOGA na ukhabithi khabithi mkubwaaaa weweee
@twaibumikidadi7377Ай бұрын
Kwa taaifa yenu! Watu sasa wanaelewa Sunna ni nini!?? Mtaswali kipekeeenu ktk misikiti yenu !
@jimjam-xg7rvАй бұрын
MASHA ALLAH 💚
@misbahukhalifa3216Ай бұрын
Sufi ni Ahlul Twariqah sawwiyya hatutukani watu khaswa ndugu zetu waislamu. Lakini tizama comments za mawahabi matukano na kejeli. Mungu atuongoze na atupe husnil khatima Aamiin. Na shukran ustadh Muhsin ambae ataelewa ataelewa na ambae hataki kuwelewa inshaAllah kheri. جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ محسن. تقبل الله طاعتكم وصالح أعمالكم و كل عام وانتم بألف خير وصحة وعافية وستر يارب العالمين. اللهم آمين يارب العالمين.
@RashidJuma-uh8svАй бұрын
Acha misikiti ijengwe watu wamuabudu Allah muogope mungu😅
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
Kabisa yani
@OsmanAli-zb3tuАй бұрын
Hata mtume pia aliambiwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu hafidhwahullah
@feiawadhahmed1342Ай бұрын
Daaah kweli sasa kujengwa mskiti pia balaa hehehe haya ruhusuni makanisa basi
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
Alafu wanajiita masheikh , Wana elmu wao
@bilaligona547828 күн бұрын
🎉
@user-pi3vj5sn3lАй бұрын
Sheikh hauna stori
@abduljabbaarswaleh1160Ай бұрын
شكرا أستاذ محسن ❤❤❤
@abdinoornyanga2117Ай бұрын
Mashallah,lakn msitumie mimbari kubondana,twawaonyeshani mfano upo wasokuwa na ilmu ya dini au hata wasokuwa waislamu??
@jamalishoo3802Ай бұрын
Maa shaa Allah
@kasimubangu187526 күн бұрын
Umekosa kazi ww sheikh vitu vingine hata havikuhusu ungekaa tu kimya kwasababu wewe nayeye mko tofauti yeye katika misimamo
@hadibjumbeАй бұрын
Dawa imefika. maashallah.
@CaptainomeАй бұрын
Nakupa homework (kamuulize Muntamani alitakakutoa pesa ngani ili mawahabi wasiupate ardhi iliojengwa Masjid TAWHID.LAKINI ALLAH kwa rehma zake mwenye ardhi mzee wetu ISLAM ALLAH AMPE AFYA NJEMAA AKAWAPA MAWAHABI ARDHI WAJENGE KWA PESA NGAPI.😂😂😂😂😂😂😂
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@Captainome na kila mwaka mamilioni ya watu kutoka sehemu mbalimbali za ardhi washuka Riyadh, alhamdulillah 😅😅
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Na mbona waliteka madrasa Nuri mawahabi
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Mnapenda kujitakasa kana kwamba mlibashiriwa pepo
@abuhassan9552Ай бұрын
LAMU YAMEJENGWA MAKINISA NCHUNGU MZIMA HAKUNA ALIESEMA HAKUNA ALIEPINGA LEO KWAJENGWA MSIKITI WA TAWHID NDIO KERO SUBHANALLAH ALLAH ATUONGOZE
@abuarifhassan6316
Ай бұрын
Dini si moja kisheria ya kinchi sasa wanakatazwa vp ama tukijenga msikiti kericho tukatazwe tutaona vp lkn hii fitna baina yetu ndio inayopaswa kuongelewa..
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
@@abuarifhassan6316Kujengwa msikiti ndio mnaona fitna ? astaghfirullah
@muktarkassim6647
Ай бұрын
Twaangalia Imani zetu SI Imani za watu wengine ....tujiangalie sisi vipi kwanza tutakuwa kitu kimoja
@taurehassan7399
Ай бұрын
@@abuhassan9552 tauhd 3 z bid'aa?na kuwakufurisha wailm wnzenu wkt nyny ndo washirikina wa tawhd 3
@abuidifundi2016
Ай бұрын
AFADHALI KANISA KULIKO MSIKITI WA MAWAHABI
@mohagurey2214Ай бұрын
Sunnah itatambaa biidhnillahi, usufi na bid'a na ushirikina utaisha katika jamii inshallahu taala. Mezeni wembe موتوبغيظكم
@abdallahassan2080
Ай бұрын
Asli yako ni bidaa na usufi na ushirikina hii ni kama babu yako alikua muislam
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
Mkitaka wafanye nn baada ya kuwakataza wasitoe daawa. Kufeni kwa chuki zenu متوا بغيظكم
@mohagurey221427 күн бұрын
Dhulumu utakalo, chafulia utakalo, zuia sunnah utakalo, tetea bid'a na ushirikina na upotovu utakalo, paka matope watu wa Sunnah utakalo lakini maisha ya mja ni 63 au hapo vile mtume s.a.w ametuambia na wewe utaenda mbele ya hakimu wa haki na bila shaka utahesabiwa vilivyo. عش ماشئت فإنك ميت،واعمل ما شئت فإنك مَجْزِيٌّ به
@abdulqadirmasuo1550Ай бұрын
MANENO MENGI NA MSIKITI WAENDELEA KUJENGWA. INGEKUWA VIZURI KAMA UNGEMTAFUTA ALIETOA ARDHI ABADILI NIA YAKE. LAKINI UMEKAA WAREKODI VIDEO JISAA ZIMA BILA YA FAIDA YOYOTE NA MSIKITI WASIMAMA. AMA LABDA WATAFUTA UMAARUFU KUPITIA MOHAMED BACHU?
@AshrafBunuАй бұрын
Hawa wataka view
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@AshrafBunu shukran kwa kuwapa😅
@taurehassan7399Ай бұрын
Inshaallah makusudio Yao hayatakuwa kw uwezo wa Allah
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
HUELEWIKI WEWE
@mohdkhatib223Ай бұрын
Hata mtume saw aliambiwa anapotosha na anafitinisha. Tatizo masufi ni wapumbavu kama alivyosema imaam Shafy
@user-xs8tv5hh4qАй бұрын
Sasa ww umekereka? Kuekwa msingi wa msikiti wa sunnah? Kwani waislamu kwa ujumla watafaidika kwa kiasi kikubwa sana.
@abdurahmanabdallah2403Ай бұрын
MASHALLAH shukran ust muhsin kwa kutuilimisha uovu wa mawahabi
@Nuru_ya_sunnah.official23 күн бұрын
watu wa sunnah lazima tuwe na miaikiti yetu hatuwezi kuswali misikiti yenu masufi kwa sababu baadhi ya misikiti yenu ina makaburi jambo hilo ni kinyume na itikadi yetu masunni
@Ustnaaman001Ай бұрын
Mashallah shukran sana habib mpe vidonge vyakeee
@nassirzamzam9312Ай бұрын
Kwa hivo msikiti wa maka na wamadina ni misikiti ya fitna.
@osmanmanbile932729 күн бұрын
,صدقت استاد mawahabii wa poraa liko wazi😂😂😂
@khalfaanjeilaan3922Ай бұрын
Mbona hamuzungumzii kuhusu misikiti ya kishia lamu na makanisa?
@andallaathman3856Ай бұрын
Sasa imekuaje msikiti WA kifitna why misikiti ni ya ALLAH
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
😂😂😂 mumejuta kuwakataza watu misikiti ya Allah, na pia wamesemwa vibaya ktk kuran wale wanaokataza misikiti ya Allah lisitajwe jina lake humo 😂😂😂😂😂
@babuumohd4290Ай бұрын
Kiufupu mashekhe wengi sasa hivi wameacha kuioigania Qur'an na sunna kurudi katika heshima yake wanafatana wenyewe kwa wenyewe wakilumbana hivi mnafkiri kwa style hii tutachukua ilmu kutoka kwenu wakati nyinyi wenyewe haiwanifaishi na chochote mumekua kama makundi ya kiyahudi na manaswara
@bukhariznz26 күн бұрын
HEBU TUSOMESHE JAMII TUSICHUNGUZANE!!
@noorululaatv8973Ай бұрын
Bachu ni Tahira
@user-md5tr1kg5s
Ай бұрын
Kama umeandika manen hayo ili kufurahisha watu bas tambua kaburin utakua mwenyew ukiulizwa juu ya manen hayo allah akulipe unayostahiqi
@user-om7ov3ji3rАй бұрын
Iyo nichuki yenu maghurafi msingi unaporwa bl maghurafi mnaogopa sasaivi watu hawataki tena maulidi kwani ndani ya msikiti wanaletwa wageni sindohaohao maamumawenu iyo ndo dalili ya kwamba watu wamechoshwa nayinyi maghurafi wakata viuno
@user-jd5on2fb7s24 күн бұрын
Jielewe wewe acha kukera watu kwa kuwasema vibaya mashekh wetu koma wewe
@shamsushaffikassim-fe4ulАй бұрын
Wala hujui yaliojiri hukoo Fala mkubwaaa
@iddimutua420Ай бұрын
😅😅😅 Wallahi vituko vya hawa twarika jamaa za matwalaga balaa sana, Shafii Basalim alivyo jitokeza na kumtukana sana mwanachuoni Sheikh ISLAM IBNI TAYMIA walikua kimya sana kama hawapo wala hawamsikii alafu leo Shiekh M.Bachu kawa sababu ya kujengwa msikitini wamejitokeza na Aya kubwa kubwa ili kupinga sunna isijengwe na kuendelea Wallahi balaa sana.
Acha urongo Wahhabi mmoja ww,matwariqa twawaheshimu watu wote!!UST said shirazi aliefanya mjadala na bachu alimtolea video shafii basalim zaidi ya video tatu akimkanya shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,UST fakhruddin Ibn Muhsin Jamalulleyl pia alimtolea UST Shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,Sisi ni watu wenye inswaaf na wenye kusimama kwa haqqi,mwenye shafii basalim amekataa haskii
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Haya njoo kwenu sasa mawahhabi Yule bachu hakumtukana barzanji,hakumtuna Habib jufri,kuna sheikh yeyote wa mawahhabi aliejitokeza na kumkanya?hamna inswaaf na urongo juu pia mwasema
@iddimutua420
Ай бұрын
@@answarmohamed4564 Please nitumie video moja alio mtukana Barzanji au huo jufri alie ridhi kilemba cha Mtume mpaka sasa anacho tuma ushaidi wa Bachu kumtukana mwanawazuoni.
@iddimutua420
Ай бұрын
@@MuhidiniNassor Tuma ushaidi wa Bachu kumtukana Barzanji tuma sio kuongea bila ushaidi tumeni ushaidi.
@SalimHsn-OmarАй бұрын
Acheni uchawi/ushirikina na bi-daah za maulidi Acheni kuwapoteza watu na imaani za mizimu uislamu wa Matambiko na uganga wa kishirikina na majini
@johariabdalla3319Ай бұрын
Acheni husda,roho mbaya,na choyo.Sheikh Muhammad Bachu anawapotosha watu kwa kipi?hemu elezea hayo anayopotosha,huu ubaya hausaidii,na ndo mnazidi kumpandisha Darja,watu kumfwatilia zaid,maana M Mungu ndo ashataka kumpandisha mja wake.sasa hata mukijaribu kumchafua ni bure,acheni hizi husda,ubaya na choyo
@HamdiHamdiAbdi
Ай бұрын
Imeuma 😅
@abuarifhassan6316
Ай бұрын
Lkn johari ina haja gani kua na miskiti kumi eneo moja wakati waswaliji hakuna kwann wasijenge madaris kubwa ya kiislam bure watu wasome
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
@@abuarifhassan6316tatizo hujui kinachoendelea Msikiti unajengwa kijijini ofcz N msikiti uliopo hapo n mmoja Msikiti huo wenzenu wamekatazwa kuingia ndani I think Kuna kitu hujaelewa Ndiposa wakiamua wajenge msikiti wao Mlikua mnataka waswali nyumbani ?
@KomoraMohamed
29 күн бұрын
Ni firauni fitna zke bachu
@soffiscarlett9702Ай бұрын
Ety sheikh imekuuma. Eeeh😂😂😂😂
@RajabAbdallaahАй бұрын
Ina maana makhuraafi mmezoea kukata viuno hadi mmekuwa mazuzu mnaporwa miskiti na mawahabi
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@MBAROUKSAADHUSSEIN26 күн бұрын
Shekhe kama hauna kazi bora kaa kimya na ukae nyumban na ulie watoto uko nyumban acha vitna shekhe wangu. mbona kwenye Miskiti yetu kuna viotezo, vya nn kama sio ya aya unaoisoma na mahatibu wanaumwa kila siku na kukataa mawaidha!
@GOP-AbdallahАй бұрын
Ujasiri gani huo ulionao kuzitolea hukmu miskiti ya Allah kwenye ardhi hii?ikiwa mtume mwenyewe hakujua malengo ya mskiti wa dhiraar mpaka alipotereemshiwa wahi?lakini wewe watoa hukmu moja kwa moja Chuki zako na za babako kwa watu wa sunnah zitawapelekea pabaya kaka
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@GOP-Abdallah huyo Baba ya MTU marehemu hizo chuki zake unzitoa wapi,wamlaumu MTU ywahukumu kisha we mwenyewe ndio wa Kwanza mwenye maradhi hayo!bachu ameyaweka wazi mwenyewe wale wanafik waliyaficha Bachu ameyatangaza!!!kila kitu kiko wazi na post zake tumeziona!!!mwenye chuki ni wewe na bachu
@salafy3566Ай бұрын
Kwanzia hio vdeo time 12:00 huyo abu aamir al-khazrajy ndo ww wamuonea bachu wivu ndo maana wakaa kwenye vdeo kumchafulia.
@mohagurey2214Ай бұрын
Kama kueneza sunnah ndio mbaya basi mkae na bid'a zenu
@abdallahassan2080Ай бұрын
Swadaqta
@ahmedabry293Ай бұрын
Kwani shida kubwa ni nini kwetu waislamu?? Kweli tunashindwa kukaa sehemu moja tukaelewana na kuepusha mambo kama haya ya kusimama kwenye mitandao kusemana vibaya.. Cha ajabu ni kuwa hakuna mtu anaejua nini kilichopo katika moyo wa mtu mwengine.. Kila mmoja anajiona yupo sawa na kujitukuza wakati Allah anasema msizitukuze nafsi zenu yeye ndie anaejua nani mchamungu.. Ah sawa endeleeni
@taurehassan7399Ай бұрын
Lakini asidi hafaulu htkm lengo lake litatimia,
@amadeomarsaide5023Ай бұрын
Siku zote hakki ni mchujo. ليميز الله الخبيث من الطيب...
@famaufarmajo9665Ай бұрын
Sasa Nyinyi Mulofunga msikiti Huko Sio Kugawanya waumini Hatakama hao Mawahabi Niwanafik Lakini mtume hakuwafungia wala hakuwafukuza Nyinyi pia mwafarikisha umma nanisifa ya unafiq
@answarmohamed4564
Ай бұрын
hakufukuzwa mwanzo hiyo ni tabia ya mawahhabi kufkuza watu miskitini...wenye kusimamia msikiti na mikakati yao na mipangilio yao walikataa ASIZUNGUMZE,lakini hakufukuzwa huchi kusema urongo?
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
@@answarmohamed4564ww ndio unasema uongo Hujui lolote yaliojiri watu wametolewa msikitini N wakitaka kujenga wao bdo mnayumba yumba Hivi hamujiskii aibu ? Ni laana ya mungu imewafuata ndio mana mnapiga makelele yasiokua n maana
@JumaOmar-ku6crАй бұрын
Haruna geni kwa haya hata Mtume wakati wake aliambiwa anawagawanya watu nyinyi mabidaa atawatesa sana bachoo ila haki itasimama tu
@HamdiHamdiAbdi
Ай бұрын
Inakuuma
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Usilie basi😂
@AbdillahSOthman
Ай бұрын
Unajua kuwa hata Rasuulullah alipokuwa analingania dini alikuwa anasimangwa na kudharaulia mpk kupigwa mawe akawa anaambia analeta dini ngeni sio ya baba zake. Lkn hakuchoka kulingania na ndo mpk sasa tunaisoma. Bayana ikikufikia usije ukasema sikujua au sikuambiwa. Kufuata au kuacha kufuata ni wewe na nafsi yako. Allah atuongoze
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@AbdillahSOthman yaani wamfananisha bachu na mtumi Swallallahu Alayhi wasallam,mawahhabi hamna mipaka,halafu kwani lamu hamna dini miaka yote?hamna la zaidi hata mkajaribu kuteteana ispokuwa ni kutaka kuleta mgongano Bana ya waislamu
@soffiscarlett9702Ай бұрын
Kutokua n elmu ,fitna ,ujahil ,n chuki ndio zinawepeleka huku ... Makanisa yte yanajengwa lamu hakuna anaeingilia kati hili suala,hakuna anaelamika Kujengwa msikiti ndio imekua mmeinua maskio yenu? Ivi inamaana mnasupport sana ukristo kuliko dini ya kiislamu ? ALLAH AWAONGOZE AKUPUNGUZIE UNAFKI SHEIKH
@shuaibabdullahi7544
16 күн бұрын
Sheikh ana ongea ukuweli kabisa
@soffiscarlett9702
16 күн бұрын
@@shuaibabdullahi7544 Ukwely Gani huo? Udhalim tuh Hana lolote
@IAM_GAUCHO23 күн бұрын
Mm pia nishawahi kwenda hapo msikiti wa pwani wa kiwahabi,,,, sheikh umesema kweli 2007 nilikuwa nasoma riadha
@seifserenge3340Ай бұрын
Nyinyi mashekhe munawaelekeza na kuwapeleka wapi waislam!! Kaeni muzungumze kwa busara leo kila shekh ana KZread yake apambane na mwezake, kweli tutafika wapi
@Ustnaaman001Ай бұрын
Mashallah hii haina comeback 😂
@GOP-Abdallah
Ай бұрын
sisi comeback zetu ni kuwapokonya miskiti tu 😂
@AllyHozza26 күн бұрын
Naona hata kinyaa kumsikiliza binafsi yangu
@user-gy7bx8fn4uАй бұрын
Shekhe sema ukweli acheni chuki sema shekhe kakataliwa kwa sababu pale wanakula maulidi.
@noorululaatv8973Ай бұрын
Mawahabi wote ni matahira
@shariffomar8580
Ай бұрын
Fanya heshima punda Wacha kutukana watu
@salimobeid1470Ай бұрын
Wanakosea sana hawa ndugu wahabiy hii si kuwaleta waislam bali ni kuwagawa waislam wasipojitafakari watakufa vibaya
@user-dp8xb3vj6gАй бұрын
ACHA UPUMBAVU UWO WEWEE : INABIDI UNATAKA KUSEMA KWAMBA WATU WALIO KINYUME NA UWO UPUMBAVU WENU WAKIJENGA MSIKITI NDO UNA UFANANANISHA NA UWO AMBAO ALLAH AMEUZUNGUMZA KTK QUR AN ? ACHA UPUMBAVU NA UJINGA UWOO.
@twaibumikidadi7377Ай бұрын
ukıona hivi ujue kuwa Hii ni dalili ya 1- UOGA 2- Ni upungufu wa TAWHEED Tutaıtangaza sunna kwa hali na maliiii Watqariqa mmeiharibu dni kwa mda sanaaa ! Ata AbdulWahab alipigwa vita sana !
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Uoga?yaani wewe kwa akili zako waislamu kugawanywa na watu kutoa tahadhari ni uoga 😂😂😂halafu wamaanisha kutaingia Tawheed,wamaanisha kule lamu mpaka Saa hii hamna waislamu wote ni washirikina?yaani nyinyi mawahhabi hamjielewi hii dini hamuwezi kutumia,acheni ukhawarij kukufurisha waislamu
@muktarkassim6647
Ай бұрын
Ww unaijuwa historia Abdulwahab....ama unaifahamu historia ya masuudi walioko huko walitoka wapi
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
Ulikua umalize TATU
@ShabanNyange
Ай бұрын
Tawheed ya kupora miskiti???
@iddimohamed254
Ай бұрын
Uyu ni hasidi Hana lolote nyoooo...atakae fanya mema analifanyia na atakae fanya maovu analifanyia mwenyewe...
@GOP-AbdallahАй бұрын
una chuki na mawahabi lakini msomaji kwa mwanzo wa clip ni wahabi,hivi nyie watu wa bidaa hamna msomaji mzuri wa qurani?ama nyote mmezoea kuimba tu?
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Ushamskia huyo anaezungumza akiswalisha?ama wataka awe kama bachu akiingia kiblani ajirekodi halafu aandike ma Sha Allah sikia sauti mzuri iyo😂😂😂watu na ikhlaas zao
@GOP-Abdallah
Ай бұрын
nimemskia tu akiimba😂
@GOP-Abdallah
Ай бұрын
@answarmohamed4564 ati watu na ikhlasi zao😂mbona al ihsaan media mwajieka mkiswalisha?😂
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@GOP-Abdallah basi hiyo ni shida yako si yake 😅🤣
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@GOP-Abdallah hao wajua yalio kwenye mioyo Yao wenyewe hawatudhihirishii kama bachu kutuambia sikiza sauti mzuri 😅😅,usioambia watu wazingatie maneno ya Allah watuambia tuzingatie sauti mzuri, 😅🤣🤣 Riyaa za wazi
@abuunutsamuonlinetv2703Ай бұрын
Mbona hujataja na walio jitole kujenga huo msikiti au nao wamerubuniwa
@nassirzamzam9312Ай бұрын
A/a ee sheikh ogopa mwenyezimgu usitafsiri aya za mwenyezimgu in your own opinion, sasa wewe alkaaba na msikiti wa madina unaendeshwa na dhehebu gani ambao misikiti hiyo miwili mitakatifu ulimwenguni una endeshwa na wahabi.
@hudhaifahsadru-xr2ggАй бұрын
Jipya porojo tu
@yusufathman2478Ай бұрын
Huna jipya
@Hamis-ks1syАй бұрын
Kwahiyo mwataka misitlkiti yote iwe ya kusoma barzanji na.hamtaki kabisa msikiti wa sunna? Kweli nyie vichaa in shaa Allah haqqi itasimama2
@AbdullahiHussein-ik4eoАй бұрын
Jiga ya mwisho shida yko ni miskiti iliyojengwa n m bachu ama ni misikiti yote y kenya
@masoud744Ай бұрын
Huu msikiti uliowazuia masheikh wasiigie wakatoa daawa.. vipi hauwagawi waislamu?
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@masoud744 kwa ivyo kila MTU akidai yy ni sheikh akija aiktaka kupishwa apishwe?😅😅😅
@yussufismailАй бұрын
Hunaleta vigezo Zako chuki tuuu
@mohagurey2214Ай бұрын
Mashia wanajenga misiki kila pembe Lamu na masufi hamneni lolote lakini msikiti ya sunnah ikipatikana mnapinga kila namna...may Allah curse those against the spread of the haq
Пікірлер: 268
Mohamed bachu na wenyeji wake wamefanya jambo zuri
Waislamu wameona haki ndio wakawa mawahabi, Mawahabi hawataki tena shirki zenu.
Malipo ya Kila mja ajuae ni Allah sisi tusubirie rehma za Alla tu bila Hivyo tupo kwenye mazito Allahu aturemu sote waislam allamma aamiin
ماشاءاللہ بارك الله فیك
Asante sana sheikh kuweka wazi kinacho dhihiri kuwa makini sana na hawa watu
Hasbünallah WAN imal wakil,Allah ni ndie mjuzi wa yote,Haifai kuzua na kuhusudu,Allah hayapendi haya,tuziogope nyumba za Allah,Kwa visingizio,tusivyokua na elimu navyo.
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Hayo yarudi kwenu mawahhabi Nyinyi ndio wenye husda kutamani kupora na kuibia mskiti ya watu,acheni husda mawahhabi na mumche Allah
Kama lamu kulijengwa makanisa wachukia kujengwa msikiti
Subhanallah yaaani imefika hapo baada ya kua alipokwenda lamu waomba nafasi ya duruus wakanyimwa baadae unasema msikiti wa Allah subhannahu wa taala ni wa fitna mwogope Allah bana upotoshaji wenu ndo unasababisha kuwe hivi zueni polepole ila mjue kila mnalosema yako kwa rekodi za malaika n mjue kuchafua masheikh wetu watasafisha n naswaha zako baki nayo usimpe bachu
Ya haqi yatabainika n yabatwil yatapotea In Sha Allah. Ila hii yenu sheikh naikataa Mmejaa fitna Mmejaa uongo Mmejaa upotovu Pka wenzenu wakitaka kujenga msikiti mnapinga Hii yenu ndio mnaita dini ? Watu wanaswali na matwari msikitini,ala za muziki ndani ya msikiti Mfungo sita mnaenda kupigia maiti magoti mkiomba msaada Mkiomba cjui awape barka Mkiomba awape barka Allah awasamehe lkn yenu hapana Kujengea makaburi Kueka adi mabati ili asipatikane n jua😂😂😂bdo mnajiita hii ndio dini Kupamba makaburi
inshaa Allah masjid sunnah yatakuwa meengi ulimwengu huu kwa kupambana na shirki na mambo ya bid aa
@jimjam-xg7rv
Ай бұрын
Mimi Sisomi maulid hila nili wafwatilya kwa umakini sana nikagundua wao uzna kwa kusoma quran na kumswaliya mtume Mohammad (S.A W) na kusomesha ama kuelezea hitoriya yake tu.
kawaida ya haqqi ikiingia mahali hukubalika kwa uwepesi,sio masala ya agenda wala nn,hii ayah moja tu ni jawabu tosha kwako وقل جاء الحق وزهق الباطل إن الباطل كان زهوقا
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@GOP-Abdallah mbona haqqi hiyo yenye kukubalika haraka imegonga mwamba mambrui lamu na Mombasa?😅😅😅mwatumia Aya za Allah na vichwa vyenu
الحمد لله mm ni dariqa ahlu sunah mawahabii wanagawaa waislnmu
جزاك الله خيرا
@GOP-Abdallah
Ай бұрын
@@sheikhyusufdiwan2489 shekhe yusufu hawa si walikuruka baada kushindwa mjadala?😂
@abdurashidinasorodini
Ай бұрын
nimpambe huyu sheikhe mdiho
@ABUUBAAZNYUNGU
Ай бұрын
Hahahhahaa!
@iddimutua420
Ай бұрын
@@sheikhyusufdiwan2489 MashaAllah Yusuf Diwani ndugu yake Shafii Basalim mtu wakupiga vita watu wasunna na kuwaacha Mashia InshaAllah Allah akufungue macho na moyo ilimu ulio nayo isikushtaki kesho mbele ya Allah.
@MBAROUKSAADHUSSEIN
26 күн бұрын
We kila kwenye fitna lazima turbo uonekane ila kwenye hakki wala haukomment
Mwaskia wivu kwa kuwa watu wataacha kufanya bid'aa zenu
Mashaallah shukrani allah ustadhi muhsin❤❤❤❤ huyo mohamed bachu atmpiga mtume s.a.w mpaka lini qiyama 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Masha allah shukran sana sheikh bachu amewagawanya waislamu allah atuongoze
Alakh mzungumzaji muogope Allah mimi ni msufi lakin naona kuingilia niya za watu na kufananisha mskiti ni kama masjid dhwiraar... Tumuogope Allah wallahi ..kuna hesabu mbele ya Allah ..
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@Muislamu hiyo kumuogopa Allah yaenda kwa kila MTU pia yakurudia wewe mwenyewe,eti kuingilia Nia za watu wakati Nia zimewekwa wazi,kilichofananishwa ni nai ya kujenga msikiti kama masjid dhwirar ilikuwa ni kufarakanisha waislamu basi na hiyo ndio Nia ya bachu alioidhihirisha mwenyewe kupitia post zake na maneno yake
Tatizo simisikiti kuwa mingi, Tunacho taka ni sunnah itawale kila mahali
Assalam Aleykum. Kila mmoja ana fungu lake kwa Mwenyezi Mungu, not in your place kumhukumu kwa Yale aliyofanya ama iwe sababu ya kuukata Msikiti na kuwaambia watu Msikiti ni wa ukafiri wala kumwingilia yeye Muhammad Bachu, hata pia Ali Abubakar kwa yote wafanyayo. Sasa walingania watu kwa Ucha Mungu ama kuwapotosha watu waingie kwa madhambi. Jazakallahu Khayr.
مسجد التوحيد
Wenyeji ndio walimpa ruhusa ama ni yeye mwenyewe acha kupotosha watu ww...
حسبنا الله ونعم الوكيل
Chuki na husda zimekumbata kama mlivyo familia mzima hukuanza ww wameanza wakubwa zenu kina watoto wa sharifu Muhammad waliskia uchungu sana sana walipoikosa ardhi iliyoa jengwa masjid TAWHID MAMBRUI.PWIRUUUUU.mumezoea watu wazeeke kwenye ushirikina kumekucha ANKALI TUTAJENGA MISKITI MINGI IN SHAA ALLAH NA BDO.
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Nani ywaujua huo mskiti bsi,watu hutoka ulimwengu mzima wakija mambrui na wakishukia Riyadh,😂😂😂,na ama kuita waislamu washirikina hamkuanza nyinyi,hiyo ni mienendo walioanzisha makhawarij nyinyi mwayaendeleza
@hamzakimaro3764
Ай бұрын
KUFENI KWA CHUKI ZENU,SUNNAH INAZIDI KUNG'AA.....
MOLA atulinde na sharii ya mawahabi
Chuki tu na USHOGA na ukhabithi khabithi mkubwaaaa weweee
Kwa taaifa yenu! Watu sasa wanaelewa Sunna ni nini!?? Mtaswali kipekeeenu ktk misikiti yenu !
MASHA ALLAH 💚
Sufi ni Ahlul Twariqah sawwiyya hatutukani watu khaswa ndugu zetu waislamu. Lakini tizama comments za mawahabi matukano na kejeli. Mungu atuongoze na atupe husnil khatima Aamiin. Na shukran ustadh Muhsin ambae ataelewa ataelewa na ambae hataki kuwelewa inshaAllah kheri. جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ محسن. تقبل الله طاعتكم وصالح أعمالكم و كل عام وانتم بألف خير وصحة وعافية وستر يارب العالمين. اللهم آمين يارب العالمين.
Acha misikiti ijengwe watu wamuabudu Allah muogope mungu😅
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
Kabisa yani
Hata mtume pia aliambiwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu hafidhwahullah
Daaah kweli sasa kujengwa mskiti pia balaa hehehe haya ruhusuni makanisa basi
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
Alafu wanajiita masheikh , Wana elmu wao
🎉
Sheikh hauna stori
شكرا أستاذ محسن ❤❤❤
Mashallah,lakn msitumie mimbari kubondana,twawaonyeshani mfano upo wasokuwa na ilmu ya dini au hata wasokuwa waislamu??
Maa shaa Allah
Umekosa kazi ww sheikh vitu vingine hata havikuhusu ungekaa tu kimya kwasababu wewe nayeye mko tofauti yeye katika misimamo
Dawa imefika. maashallah.
Nakupa homework (kamuulize Muntamani alitakakutoa pesa ngani ili mawahabi wasiupate ardhi iliojengwa Masjid TAWHID.LAKINI ALLAH kwa rehma zake mwenye ardhi mzee wetu ISLAM ALLAH AMPE AFYA NJEMAA AKAWAPA MAWAHABI ARDHI WAJENGE KWA PESA NGAPI.😂😂😂😂😂😂😂
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@Captainome na kila mwaka mamilioni ya watu kutoka sehemu mbalimbali za ardhi washuka Riyadh, alhamdulillah 😅😅
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Na mbona waliteka madrasa Nuri mawahabi
@khamiisathmaan4362
Ай бұрын
Mnapenda kujitakasa kana kwamba mlibashiriwa pepo
LAMU YAMEJENGWA MAKINISA NCHUNGU MZIMA HAKUNA ALIESEMA HAKUNA ALIEPINGA LEO KWAJENGWA MSIKITI WA TAWHID NDIO KERO SUBHANALLAH ALLAH ATUONGOZE
@abuarifhassan6316
Ай бұрын
Dini si moja kisheria ya kinchi sasa wanakatazwa vp ama tukijenga msikiti kericho tukatazwe tutaona vp lkn hii fitna baina yetu ndio inayopaswa kuongelewa..
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
@@abuarifhassan6316Kujengwa msikiti ndio mnaona fitna ? astaghfirullah
@muktarkassim6647
Ай бұрын
Twaangalia Imani zetu SI Imani za watu wengine ....tujiangalie sisi vipi kwanza tutakuwa kitu kimoja
@taurehassan7399
Ай бұрын
@@abuhassan9552 tauhd 3 z bid'aa?na kuwakufurisha wailm wnzenu wkt nyny ndo washirikina wa tawhd 3
@abuidifundi2016
Ай бұрын
AFADHALI KANISA KULIKO MSIKITI WA MAWAHABI
Sunnah itatambaa biidhnillahi, usufi na bid'a na ushirikina utaisha katika jamii inshallahu taala. Mezeni wembe موتوبغيظكم
@abdallahassan2080
Ай бұрын
Asli yako ni bidaa na usufi na ushirikina hii ni kama babu yako alikua muislam
Mkitaka wafanye nn baada ya kuwakataza wasitoe daawa. Kufeni kwa chuki zenu متوا بغيظكم
Dhulumu utakalo, chafulia utakalo, zuia sunnah utakalo, tetea bid'a na ushirikina na upotovu utakalo, paka matope watu wa Sunnah utakalo lakini maisha ya mja ni 63 au hapo vile mtume s.a.w ametuambia na wewe utaenda mbele ya hakimu wa haki na bila shaka utahesabiwa vilivyo. عش ماشئت فإنك ميت،واعمل ما شئت فإنك مَجْزِيٌّ به
MANENO MENGI NA MSIKITI WAENDELEA KUJENGWA. INGEKUWA VIZURI KAMA UNGEMTAFUTA ALIETOA ARDHI ABADILI NIA YAKE. LAKINI UMEKAA WAREKODI VIDEO JISAA ZIMA BILA YA FAIDA YOYOTE NA MSIKITI WASIMAMA. AMA LABDA WATAFUTA UMAARUFU KUPITIA MOHAMED BACHU?
Hawa wataka view
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@AshrafBunu shukran kwa kuwapa😅
Inshaallah makusudio Yao hayatakuwa kw uwezo wa Allah
HUELEWIKI WEWE
Hata mtume saw aliambiwa anapotosha na anafitinisha. Tatizo masufi ni wapumbavu kama alivyosema imaam Shafy
Sasa ww umekereka? Kuekwa msingi wa msikiti wa sunnah? Kwani waislamu kwa ujumla watafaidika kwa kiasi kikubwa sana.
MASHALLAH shukran ust muhsin kwa kutuilimisha uovu wa mawahabi
watu wa sunnah lazima tuwe na miaikiti yetu hatuwezi kuswali misikiti yenu masufi kwa sababu baadhi ya misikiti yenu ina makaburi jambo hilo ni kinyume na itikadi yetu masunni
Mashallah shukran sana habib mpe vidonge vyakeee
Kwa hivo msikiti wa maka na wamadina ni misikiti ya fitna.
,صدقت استاد mawahabii wa poraa liko wazi😂😂😂
Mbona hamuzungumzii kuhusu misikiti ya kishia lamu na makanisa?
Sasa imekuaje msikiti WA kifitna why misikiti ni ya ALLAH
😂😂😂 mumejuta kuwakataza watu misikiti ya Allah, na pia wamesemwa vibaya ktk kuran wale wanaokataza misikiti ya Allah lisitajwe jina lake humo 😂😂😂😂😂
Kiufupu mashekhe wengi sasa hivi wameacha kuioigania Qur'an na sunna kurudi katika heshima yake wanafatana wenyewe kwa wenyewe wakilumbana hivi mnafkiri kwa style hii tutachukua ilmu kutoka kwenu wakati nyinyi wenyewe haiwanifaishi na chochote mumekua kama makundi ya kiyahudi na manaswara
HEBU TUSOMESHE JAMII TUSICHUNGUZANE!!
Bachu ni Tahira
@user-md5tr1kg5s
Ай бұрын
Kama umeandika manen hayo ili kufurahisha watu bas tambua kaburin utakua mwenyew ukiulizwa juu ya manen hayo allah akulipe unayostahiqi
Iyo nichuki yenu maghurafi msingi unaporwa bl maghurafi mnaogopa sasaivi watu hawataki tena maulidi kwani ndani ya msikiti wanaletwa wageni sindohaohao maamumawenu iyo ndo dalili ya kwamba watu wamechoshwa nayinyi maghurafi wakata viuno
Jielewe wewe acha kukera watu kwa kuwasema vibaya mashekh wetu koma wewe
Wala hujui yaliojiri hukoo Fala mkubwaaa
😅😅😅 Wallahi vituko vya hawa twarika jamaa za matwalaga balaa sana, Shafii Basalim alivyo jitokeza na kumtukana sana mwanachuoni Sheikh ISLAM IBNI TAYMIA walikua kimya sana kama hawapo wala hawamsikii alafu leo Shiekh M.Bachu kawa sababu ya kujengwa msikitini wamejitokeza na Aya kubwa kubwa ili kupinga sunna isijengwe na kuendelea Wallahi balaa sana.
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
Kwani nyinyi mawahabilikua wapi alivyotukanwa Imamu BARZANJI
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Acha urongo Wahhabi mmoja ww,matwariqa twawaheshimu watu wote!!UST said shirazi aliefanya mjadala na bachu alimtolea video shafii basalim zaidi ya video tatu akimkanya shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,UST fakhruddin Ibn Muhsin Jamalulleyl pia alimtolea UST Shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,Sisi ni watu wenye inswaaf na wenye kusimama kwa haqqi,mwenye shafii basalim amekataa haskii
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Haya njoo kwenu sasa mawahhabi Yule bachu hakumtukana barzanji,hakumtuna Habib jufri,kuna sheikh yeyote wa mawahhabi aliejitokeza na kumkanya?hamna inswaaf na urongo juu pia mwasema
@iddimutua420
Ай бұрын
@@answarmohamed4564 Please nitumie video moja alio mtukana Barzanji au huo jufri alie ridhi kilemba cha Mtume mpaka sasa anacho tuma ushaidi wa Bachu kumtukana mwanawazuoni.
@iddimutua420
Ай бұрын
@@MuhidiniNassor Tuma ushaidi wa Bachu kumtukana Barzanji tuma sio kuongea bila ushaidi tumeni ushaidi.
Acheni uchawi/ushirikina na bi-daah za maulidi Acheni kuwapoteza watu na imaani za mizimu uislamu wa Matambiko na uganga wa kishirikina na majini
Acheni husda,roho mbaya,na choyo.Sheikh Muhammad Bachu anawapotosha watu kwa kipi?hemu elezea hayo anayopotosha,huu ubaya hausaidii,na ndo mnazidi kumpandisha Darja,watu kumfwatilia zaid,maana M Mungu ndo ashataka kumpandisha mja wake.sasa hata mukijaribu kumchafua ni bure,acheni hizi husda,ubaya na choyo
@HamdiHamdiAbdi
Ай бұрын
Imeuma 😅
@abuarifhassan6316
Ай бұрын
Lkn johari ina haja gani kua na miskiti kumi eneo moja wakati waswaliji hakuna kwann wasijenge madaris kubwa ya kiislam bure watu wasome
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
@@abuarifhassan6316tatizo hujui kinachoendelea Msikiti unajengwa kijijini ofcz N msikiti uliopo hapo n mmoja Msikiti huo wenzenu wamekatazwa kuingia ndani I think Kuna kitu hujaelewa Ndiposa wakiamua wajenge msikiti wao Mlikua mnataka waswali nyumbani ?
@KomoraMohamed
29 күн бұрын
Ni firauni fitna zke bachu
Ety sheikh imekuuma. Eeeh😂😂😂😂
Ina maana makhuraafi mmezoea kukata viuno hadi mmekuwa mazuzu mnaporwa miskiti na mawahabi
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
Shekhe kama hauna kazi bora kaa kimya na ukae nyumban na ulie watoto uko nyumban acha vitna shekhe wangu. mbona kwenye Miskiti yetu kuna viotezo, vya nn kama sio ya aya unaoisoma na mahatibu wanaumwa kila siku na kukataa mawaidha!
Ujasiri gani huo ulionao kuzitolea hukmu miskiti ya Allah kwenye ardhi hii?ikiwa mtume mwenyewe hakujua malengo ya mskiti wa dhiraar mpaka alipotereemshiwa wahi?lakini wewe watoa hukmu moja kwa moja Chuki zako na za babako kwa watu wa sunnah zitawapelekea pabaya kaka
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@GOP-Abdallah huyo Baba ya MTU marehemu hizo chuki zake unzitoa wapi,wamlaumu MTU ywahukumu kisha we mwenyewe ndio wa Kwanza mwenye maradhi hayo!bachu ameyaweka wazi mwenyewe wale wanafik waliyaficha Bachu ameyatangaza!!!kila kitu kiko wazi na post zake tumeziona!!!mwenye chuki ni wewe na bachu
Kwanzia hio vdeo time 12:00 huyo abu aamir al-khazrajy ndo ww wamuonea bachu wivu ndo maana wakaa kwenye vdeo kumchafulia.
Kama kueneza sunnah ndio mbaya basi mkae na bid'a zenu
Swadaqta
Kwani shida kubwa ni nini kwetu waislamu?? Kweli tunashindwa kukaa sehemu moja tukaelewana na kuepusha mambo kama haya ya kusimama kwenye mitandao kusemana vibaya.. Cha ajabu ni kuwa hakuna mtu anaejua nini kilichopo katika moyo wa mtu mwengine.. Kila mmoja anajiona yupo sawa na kujitukuza wakati Allah anasema msizitukuze nafsi zenu yeye ndie anaejua nani mchamungu.. Ah sawa endeleeni
Lakini asidi hafaulu htkm lengo lake litatimia,
Siku zote hakki ni mchujo. ليميز الله الخبيث من الطيب...
Sasa Nyinyi Mulofunga msikiti Huko Sio Kugawanya waumini Hatakama hao Mawahabi Niwanafik Lakini mtume hakuwafungia wala hakuwafukuza Nyinyi pia mwafarikisha umma nanisifa ya unafiq
@answarmohamed4564
Ай бұрын
hakufukuzwa mwanzo hiyo ni tabia ya mawahhabi kufkuza watu miskitini...wenye kusimamia msikiti na mikakati yao na mipangilio yao walikataa ASIZUNGUMZE,lakini hakufukuzwa huchi kusema urongo?
@soffiscarlett9702
Ай бұрын
@@answarmohamed4564ww ndio unasema uongo Hujui lolote yaliojiri watu wametolewa msikitini N wakitaka kujenga wao bdo mnayumba yumba Hivi hamujiskii aibu ? Ni laana ya mungu imewafuata ndio mana mnapiga makelele yasiokua n maana
Haruna geni kwa haya hata Mtume wakati wake aliambiwa anawagawanya watu nyinyi mabidaa atawatesa sana bachoo ila haki itasimama tu
@HamdiHamdiAbdi
Ай бұрын
Inakuuma
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Usilie basi😂
@AbdillahSOthman
Ай бұрын
Unajua kuwa hata Rasuulullah alipokuwa analingania dini alikuwa anasimangwa na kudharaulia mpk kupigwa mawe akawa anaambia analeta dini ngeni sio ya baba zake. Lkn hakuchoka kulingania na ndo mpk sasa tunaisoma. Bayana ikikufikia usije ukasema sikujua au sikuambiwa. Kufuata au kuacha kufuata ni wewe na nafsi yako. Allah atuongoze
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@AbdillahSOthman yaani wamfananisha bachu na mtumi Swallallahu Alayhi wasallam,mawahhabi hamna mipaka,halafu kwani lamu hamna dini miaka yote?hamna la zaidi hata mkajaribu kuteteana ispokuwa ni kutaka kuleta mgongano Bana ya waislamu
Kutokua n elmu ,fitna ,ujahil ,n chuki ndio zinawepeleka huku ... Makanisa yte yanajengwa lamu hakuna anaeingilia kati hili suala,hakuna anaelamika Kujengwa msikiti ndio imekua mmeinua maskio yenu? Ivi inamaana mnasupport sana ukristo kuliko dini ya kiislamu ? ALLAH AWAONGOZE AKUPUNGUZIE UNAFKI SHEIKH
@shuaibabdullahi7544
16 күн бұрын
Sheikh ana ongea ukuweli kabisa
@soffiscarlett9702
16 күн бұрын
@@shuaibabdullahi7544 Ukwely Gani huo? Udhalim tuh Hana lolote
Mm pia nishawahi kwenda hapo msikiti wa pwani wa kiwahabi,,,, sheikh umesema kweli 2007 nilikuwa nasoma riadha
Nyinyi mashekhe munawaelekeza na kuwapeleka wapi waislam!! Kaeni muzungumze kwa busara leo kila shekh ana KZread yake apambane na mwezake, kweli tutafika wapi
Mashallah hii haina comeback 😂
@GOP-Abdallah
Ай бұрын
sisi comeback zetu ni kuwapokonya miskiti tu 😂
Naona hata kinyaa kumsikiliza binafsi yangu
Shekhe sema ukweli acheni chuki sema shekhe kakataliwa kwa sababu pale wanakula maulidi.
Mawahabi wote ni matahira
@shariffomar8580
Ай бұрын
Fanya heshima punda Wacha kutukana watu
Wanakosea sana hawa ndugu wahabiy hii si kuwaleta waislam bali ni kuwagawa waislam wasipojitafakari watakufa vibaya
ACHA UPUMBAVU UWO WEWEE : INABIDI UNATAKA KUSEMA KWAMBA WATU WALIO KINYUME NA UWO UPUMBAVU WENU WAKIJENGA MSIKITI NDO UNA UFANANANISHA NA UWO AMBAO ALLAH AMEUZUNGUMZA KTK QUR AN ? ACHA UPUMBAVU NA UJINGA UWOO.
ukıona hivi ujue kuwa Hii ni dalili ya 1- UOGA 2- Ni upungufu wa TAWHEED Tutaıtangaza sunna kwa hali na maliiii Watqariqa mmeiharibu dni kwa mda sanaaa ! Ata AbdulWahab alipigwa vita sana !
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Uoga?yaani wewe kwa akili zako waislamu kugawanywa na watu kutoa tahadhari ni uoga 😂😂😂halafu wamaanisha kutaingia Tawheed,wamaanisha kule lamu mpaka Saa hii hamna waislamu wote ni washirikina?yaani nyinyi mawahhabi hamjielewi hii dini hamuwezi kutumia,acheni ukhawarij kukufurisha waislamu
@muktarkassim6647
Ай бұрын
Ww unaijuwa historia Abdulwahab....ama unaifahamu historia ya masuudi walioko huko walitoka wapi
@MuhidiniNassor
Ай бұрын
Ulikua umalize TATU
@ShabanNyange
Ай бұрын
Tawheed ya kupora miskiti???
@iddimohamed254
Ай бұрын
Uyu ni hasidi Hana lolote nyoooo...atakae fanya mema analifanyia na atakae fanya maovu analifanyia mwenyewe...
una chuki na mawahabi lakini msomaji kwa mwanzo wa clip ni wahabi,hivi nyie watu wa bidaa hamna msomaji mzuri wa qurani?ama nyote mmezoea kuimba tu?
@answarmohamed4564
Ай бұрын
Ushamskia huyo anaezungumza akiswalisha?ama wataka awe kama bachu akiingia kiblani ajirekodi halafu aandike ma Sha Allah sikia sauti mzuri iyo😂😂😂watu na ikhlaas zao
@GOP-Abdallah
Ай бұрын
nimemskia tu akiimba😂
@GOP-Abdallah
Ай бұрын
@answarmohamed4564 ati watu na ikhlasi zao😂mbona al ihsaan media mwajieka mkiswalisha?😂
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@GOP-Abdallah basi hiyo ni shida yako si yake 😅🤣
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@GOP-Abdallah hao wajua yalio kwenye mioyo Yao wenyewe hawatudhihirishii kama bachu kutuambia sikiza sauti mzuri 😅😅,usioambia watu wazingatie maneno ya Allah watuambia tuzingatie sauti mzuri, 😅🤣🤣 Riyaa za wazi
Mbona hujataja na walio jitole kujenga huo msikiti au nao wamerubuniwa
A/a ee sheikh ogopa mwenyezimgu usitafsiri aya za mwenyezimgu in your own opinion, sasa wewe alkaaba na msikiti wa madina unaendeshwa na dhehebu gani ambao misikiti hiyo miwili mitakatifu ulimwenguni una endeshwa na wahabi.
Jipya porojo tu
Huna jipya
Kwahiyo mwataka misitlkiti yote iwe ya kusoma barzanji na.hamtaki kabisa msikiti wa sunna? Kweli nyie vichaa in shaa Allah haqqi itasimama2
Jiga ya mwisho shida yko ni miskiti iliyojengwa n m bachu ama ni misikiti yote y kenya
Huu msikiti uliowazuia masheikh wasiigie wakatoa daawa.. vipi hauwagawi waislamu?
@answarmohamed4564
Ай бұрын
@@masoud744 kwa ivyo kila MTU akidai yy ni sheikh akija aiktaka kupishwa apishwe?😅😅😅
Hunaleta vigezo Zako chuki tuuu
Mashia wanajenga misiki kila pembe Lamu na masufi hamneni lolote lakini msikiti ya sunnah ikipatikana mnapinga kila namna...may Allah curse those against the spread of the haq
Mwanangu muungwana akivukwa na nguo hututuma, mbona ww wasimama?ama nikatika walee...
Mfano huo hauendani hata kidogo