Mtoaji mada ustadh muhsin bute Mtetezi wa Vijana wa kitwariqa
Жүктеу.....
Пікірлер: 221
@abbakariathumani914116 күн бұрын
Mohammadi bachu Mungu ampe nguvu kubwa katika. Daawa
@salehrashid-fx9rq6 күн бұрын
Allwah amlinde sheikh Muhammad na wanafiki kama hawa wasiojielewa.
@ABDULLAOALI17 күн бұрын
Eti msikiti wa kitwarika! Subhana Allah, Allah anasema! انالمساجدلله فللاتدع مع الله احدا Masheikh Muogopeni Allah hii dunia ni njia tu tunaenda mbele ya Allah yatawekwa wazi yote kwa Allah!
@abuualiyalbahsany8740
17 күн бұрын
Shukran kwa ukumbusho Lakini unapoandika aya za Quran hakiki vzr uwandishi wa maneno ya Allah. Allah akubariki
@AbdulMohamed-ox6id
17 күн бұрын
Watu wa Shanga maisha yao wanaishi kwa udugu na amani, lakini s asa fitna ishaingia, inshaAllAH mungu atawastiri ndugu zetu wa shanga A
@HilalAlhabsi786
17 күн бұрын
عربى - التفسير الميسر : وأن المساجد لعبادة الله وحده، فلا تعبدوا فيها غيره، وأخلصوا له الدعاء والعبادة فيها؛ فإن المساجد لم تُبْنَ إلا ليُعبَدَ اللهُ وحده فيها، دون من سواه، وفي هذا وجوب تنزيه المساجد من كل ما يشوب الإخلاص لله، ومتابعة رسوله محمد صلى الله عليه وسلم.
@HilalAlhabsi786
17 күн бұрын
Hio aya inaanza kusema. MSIKITI NI WA ALLAH SW WALA USIOMBE MUNGU MWENGINE PAMOJA NA ALLAH SW. AU ULIFKIRI INAKQTAZWA KUOMBA MTU HAPO?. MAWAHABI VILAZA 😂😂😂
Hiyo Aya waitumia kumkufurisha muislam mwenzio na Hali iyo Aya yawazungumzia wanafiki huoni kuwa umeitumia mahala sipo mm naona kuna mambo mumeyaficha kwenye vifua vyenu na Allah amekwisha sema katika aya zake " Na yakakusanywa yaliomo vifuani". Ikumbukeni sana hii siku msije mkajuta
@hakeemprince686818 күн бұрын
Waislamu ni ndugu ummah mmoja ni kama mwili mmoja kwahivyo tupendane tuhurumiane tuwe sote pamoja
@mohammedyusuf803117 күн бұрын
InshaAllah kupitia huo mskiti Allah ataleta nuru ya sunna na hizo shirki zenu zitaondoka
@ShamsaMohammad-v1b
17 күн бұрын
Kabisaaa
@RamyGichero
16 күн бұрын
Hamna hekma ya eneza Imani yenu mnavuruga jamii na kuleta chuki mawahabi
@HappyBlackKitten-nt2lp16 күн бұрын
Bacho songa mbele
@AmirathumaniSori6 күн бұрын
Jama😅 mashekhe wengn ni mutihan 2 mbele ya mungu mutakuja kuzalilika san
@MohamediNdwata6 күн бұрын
Unajenga unabomoa shikamana na waislam katika njia ya Allah
@WakaliFashionTz14 күн бұрын
Hii inaonyesha dawa imewaingia vzr sana
@NurudinYazid17 күн бұрын
Mashaa Allah kwa nasaha nzur yaa ustadhy zid ya fitna zinazo endelea kwa ulimwengu wa sas
@thamani584217 күн бұрын
Jazakalkahu lkheir Sheikh
@JumaSalimin16 күн бұрын
Pole sana sheikh wangu, wenye msikiti wao hawataki dawa nihio tu kuepusha shari. Kujenga msikiti mwengine MASHALLAH.
@user-xb6tr5vq4b14 күн бұрын
Shekhe bachu hawawatuwamaneno utawaweza kwasababu aya walahadidhî hawajui
@user-lp3gi5wd4e16 күн бұрын
Kazi mnayo! Kama mlikua mnaswali eid moja siku moja mjue sasa mtaswali eid siku mbili tofauti.
@MohammedSalim-lz3bv13 күн бұрын
Ustadh huna hoja ya msingi, mlikuwa msimzuwie kutowa dawa, sasa Acha dawa ije kwa njia nyengine, huwezi kuzuwia maneno ya Mungu....
@ShabaniKibwana-z7d13 күн бұрын
Subhanallah
@SeifSimba-qq8rk7 күн бұрын
Em shekh toa kufru sita zinazofanywa katika miskiti ya masalafi
@IsmailIbrahim-go3dy15 күн бұрын
Na je walio mfukuza sheikh Mohammed bachu wame Jenga ule wa kwao na kumfukuza sheikh asifanye da'awah ni msikiti aina gani brother, Tena eti huyu sheikh ni mtu wa Sunnah subhana Allah
@saidjuma454715 күн бұрын
shekh Muhammad bachu usirudi nyuma hawa watu wa twarika hawawezi izima nguvu ya Allah
@ExcitedChefHat-ef5jt15 күн бұрын
Wewe ustadh nenda kalale tafadhali , fundisha ilmu ya matwari na kupiga zumari msikitini maulidi na hitima na kupiga ramli na . Wacha chuki zako mbovu za kikafiri kwa mwalimu wetu na shekhe wetu Muhammad Nassor bachu Allah amuhifadh.
@abdallahassan2080
10 күн бұрын
Si ajabu ukisema ni mwanafunzi wake sababu mwafanana
@WakaliFashionTz14 күн бұрын
Masheikh wa kisuf akili ndo tatizo mnamisimamo ya kitetea matamanio ya nafsi zao
@husseinibrahim547015 күн бұрын
Bado hamuwezi tafautisha kati ya chumvi na sukari hata kwa macho au kuonja. Haki na batil kawmwe havifanani. M Bachu Allah akuhifadhi.
@husseinibrahim547015 күн бұрын
Bachu anaelimu mbembelezi afunze sunna ya RasulAllah
@OfficialAbdulrashedalhilaly15 күн бұрын
ALHAMDULILLAAAH WATU WATWARIKA HAWAFAI KUWA HATA WAFANYA USAFI MSIKITINI UKIPATA UWEZO WA KUMTOA MTWARIQA KTK UIMAMU NI KHERI KUBWA IMEFANYA WEWE SABABU HAO NI WAPOTOSHAJI SIO WAONGOZAJI HONGERA SH BACHU LAMU SASA YAENDA PATA MSIKITI YA SUNNA ALHAMDULILLAAAH RABIL ALAMIIN
@mikekhalifaali751016 күн бұрын
Bi Idhin Allah msikiti wa Sunna utajengwa na watu wa Maulid mtadhalilika hapa duniani na kesho akhera
@hajikomora70318 күн бұрын
Swali. Je ni ipi hukmu y mwnye kuswali kwenye huo msikiti w Ustadh. Bachu?
@farishfarish25813 күн бұрын
Bachu Allah akulipe khery
@swahabahusein2317 күн бұрын
Masha Allah wazushi mko na shida sana
@OsmanAli-zb3tu17 күн бұрын
Hata mtumepiaalimbuwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu Allah amuhifadhi
@farishfarish25813 күн бұрын
We xhekh ni mchochezi huna elimu unamponda bachu yupo kwenye haki
@FahadMasoud-io4mb17 күн бұрын
Yaani masheikh wote hawajui wao ndio wajuzi,ukijikweza mungu atakushusha
@shuaibabdullahi75442 күн бұрын
Huyu shaikh ni mkuweli
@sulehassanshall614017 күн бұрын
Mimi nitatoka ushahidi mbele ya Allah yakua Watu wakiwahabi niwatu wafitna...nishawahi kuwaona mawahabi wawasaliti waislam wenzao kwaserikali ili waislam Hao wafungwe ..mawahabi niwatu wafitna Shetani Amewaingia kwanafci zao kufitinisha waislam.....
@saidimkwinzu9106
12 күн бұрын
Kumbe ishu ilikua nin au umeichukua habari jujuu kama mafadiqi hebu niambie tatizo la wao kupelekana mahakamani kufungwa
@drmahwa8166
8 күн бұрын
Muogope Allaah achana na unafiqi.bidah ni mrango wa moto@@saidimkwinzu9106
@SuolFat17 күн бұрын
Hongera sheikhe umesema ukweli
@MohammedSalim-lz3bv13 күн бұрын
Kazi kuabudu makaburi, lazima muambie ukweli...
@AbdillahSOthman11 күн бұрын
Mtu akimaliza kuujenga msikiti huo sio mskiti wake bali ni Nyumba ya Allah. Na waislam hupaswa kuutumia kwa ibada. Sasa mwenye chuki na hasad za kuwa alijenga fulani kwa kuwa yeye ana msimamo fulani hao watajipoteza. Kauli ni kumuabudu mola mpka mauti mmoja wenu yamkute huku ibada hakuziacha.
@AbuuKhalid-h1i15 күн бұрын
Ndugu anglia unacho kihadharisha utaenda kulipwa kwa kuzuia kuenea haki chuki zutakuingiza katika ghadhab za Allah kuwa makin ndugu yangu.
@IsmailGavara-y3t17 күн бұрын
Pigeni kelele tu mkiti utanengwa huu ni utangulizi tu zitajengwa misikiti zaki sunni kweli kweli inshallah
@MAPETEE18 күн бұрын
Bachu ni mfitinishaji sanaa
@MohammedSaid-tf5qc
17 күн бұрын
Nyinyi watu wakenya mnamlea huyo huku Tanzania huyo kazuiliwa kusema walakutoa mawaidha yake ya kufitinisha watu mzuilieni huto
@hajikhatib9560
17 күн бұрын
Bidakweli
@hajikhatib9560
17 күн бұрын
nenda ww kazuwiye
@hajikhatib9560
17 күн бұрын
Hayoni yakwenu
@saidimkwinzu9106
12 күн бұрын
Kama wewe ulivokua fitna
@TheMousser16 күн бұрын
kwa hio bachu anajenga mskiti wa makafiri, ndio mtume alivyo tufundisha
@YahyaYahya-vp2pp17 күн бұрын
Vip wengelimruhusu akafanya hiyo dawaa msikitini je muhammad angejenga huo msikiti mwengine lkn wameyanzaa wao kuwagawa waislam kwa kuwazuia kuinga ktk msikiti acha watu wajengee mwengine ambao watafanya harakat zao za dawa
@saidjuma454715 күн бұрын
hujasema kweli ww mtowa posti hii umefeli unatafuta kujibiwa ili upate kiki
@user-qv9ep6wq1t15 күн бұрын
Mawahabi wamekua kama wakiristo kwamba kila mtaa wenye msikiti kuwe na kanisa sasa wao moja ya mikakati yao ni kila penye msikiti wa Ahlu sunna kuwe na masjidu dhiraar
@Khatib-xp6fp18 күн бұрын
Ata bado kazi kumuandama kijana ambae ameamuamua kusema kwanza leteni ushahidi wapi wanyama walipeana tarifa ndipo mje na fitina
@twaibumikidadi7377
18 күн бұрын
😅😅 yeah kwanza wajibu majib 1- wapi wanyama waliongea 2- wapi kuimba ktk micbaa
@user-ib7kx9dc5m17 күн бұрын
Kweli huyo ni mfitinishaji ana wagawa waisilam Kwa msilahi ya wakatorck mpuuzi sana
@salehrashid-fx9rq6 күн бұрын
Ukiongea ongea kama mwanamme, usilegeze sauti
@user-xb6tr5vq4b14 күн бұрын
Na ulichokifundisha hakieleweki ilatu nichuki apo ndoo umeeleweka
@abedkarume908817 күн бұрын
Mashekh nanyie kama wasanii siku hizo tangu muwe mitandao hamna makongamano ya pamoja kuchanuwana na kukosoan nyingi kwa waislam muje na lengo moja
@nelson-cd7fr17 күн бұрын
Jamani muogopeni Allah acha kugawa waislamu
@mohamedswalehe444212 күн бұрын
Bachu hajielewi kama anajielewa angepambana barabara namjadala na Sheikh Said
@user-iu3me2sm2h18 күн бұрын
Kwani jmani msikiti ni kanisa,?
@SeifSimba-qq8rk7 күн бұрын
Nyinyi ndio mwawagawanya watu kwasababu hanpendi haki isitumie aya kupotoa watu
@saidimkwinzu910612 күн бұрын
Kichwa cha habari tu kinaonesha upumbavu wenu na akili ndogo kuna msikiti wa fitna dunian??? Kichwani hauko sawa
@YahyaYahya-vp2pp17 күн бұрын
Haahaa cheki hili jinga
@abdulkhalfan858617 күн бұрын
MASHAALLAH
@IsmailGavara-y3t17 күн бұрын
Masufi ni makafiri tu kama makafiri wengine sio jipya
@MAPETEE17 күн бұрын
Watu bachu wot ni wapuuzi sanaa
@saidjuma454715 күн бұрын
watu wa twarika kazi munayo munazuia dini ya Allah isitangazwe
@Dr-ubaida96516 күн бұрын
Mashaallah
@user-xb6tr5vq4b14 күн бұрын
Wewe mtuwakitwarika kwakuzungumza bila aya walahadidhi ndomnajua Nahao manenoyako bilahadidhi wala aya hayatusumbuisisi
@salfatinvestments90918 күн бұрын
acheni dhihaka na maneno ya Allah (Quran) chuki za kibinafsi zisipelekee uchochezi wa kuwafitini watu kwa kiwango hiki, tumcheni Allah (S.W). Kwa wenye akili wataelewa fitna ilipo, Allah atuongoze kwenye haki na kuifwata sunnah ya mtume wake (S.A.W)
@imamually192615 күн бұрын
Kwani sheikh haki na batir vinakaa pamoja siku zote? Watu wengi huswali ktk miskiti yenu kwa shida ikiwa hakuna mskiti wa kisunna karibu ndio twaswali ktk misikiti ya kibidaa
@ShamsaMohammad-v1b17 күн бұрын
Munadhihirisha aibu zenu jisitirini madheikh wa shanga
@abdishivo676414 күн бұрын
we sheikh acha fitina na choyo sjui hata waongea nini hapo
@AshrafBunu18 күн бұрын
Please tusitafute view kwa kutumia dini msikiti niwamungu uwe niwamwatwari au uwe siwanwatwari please view zitafutwe kwa njia nyingine
@ramiyawetutv
18 күн бұрын
Sikiliza video upate ufahamu
@warshysaid8564
17 күн бұрын
@@ramiyawetutvkitu gan chenye faida hapo Ata kisikilizwe
@BizimanaYahya-y4o18 күн бұрын
Wewe unasema yakwako hausemi yawana zuoni
@SharrifCharo-mi1bn14 күн бұрын
Watu maulidi wanakazi
@HamadaZubeirTahir12 күн бұрын
Kwani mushampa Uraia wa Kenya huyo Bachu huko?
@BilaliIloko16 күн бұрын
Hahaaa watu wa bidaaa mnna kazi sana,hamna hojja mtaenndelea hivyoo hivyoo hhuku dawwa ikiendelea kupamba
@al-aminbaruan616716 күн бұрын
KWELI UJINGA NI MZIGO. NGUVU NYINGI PUMBA TUPU.
@HalimaSalym-jl2ui17 күн бұрын
Mungu Mmoja Dini Moja Mtume Mmoja Kitabu kimoja Kwanini madhehebi?
@yunusramadhan254616 күн бұрын
Tukaneni sana lakini mjue sku moja mtaulizwa kuhusu hizo kauli zenu
@SeifSimba-qq8rk7 күн бұрын
Hakuna miskiti ya kuyagawa wa2
@HamadaZubeirTahir12 күн бұрын
Nyinyi wa Kenya subirini kidoogo baada ya miaka kadhaa mutakuja kumfahamu huyo Muhammed Bachu ni nani maana hamujamjua bado. Fitna na migogoro ndio kazi anayolipwa kwayo hiyokamahamujuwi.
@SharrifCharo-mi1bn14 күн бұрын
Unaogopa waumini hawato ingia kwa misikitu ya maulidi
@AliAwadh-qc8wk17 күн бұрын
Nyote waislamu kaeni muelewane
@axmedhussein572117 күн бұрын
Sasa inacho kuchoma ni kujenguwa miskiti
@MAPETEE17 күн бұрын
Bora uwitwe madjid faraun bachu
@user-ib7kx9dc5m17 күн бұрын
Hao mawa habi hupita na kusema watu wasi some vitabu vilivyo andikwa Tanga na lamu haya nime yasikia Kwa masikio yangu baada ya swala ya magharibi tuna hupita vijijini wakijuwa ufaham wao ni mdago huku wakigawa nyama baxawadi mbali
@BilaliIloko16 күн бұрын
Wee kaendelee kusomma maulidi,suala la elimu achia wenginne,
@TheMousser16 күн бұрын
msikiti suna kisimani hauvunjwi hilo lifahamu
@sulehassanshall614017 күн бұрын
Bachu nimtu wafitna Atadhaliloka nafitna zake
@ahmedmalau17916 күн бұрын
Kiufupi hamutaki sunnah mwataka uzushi😅😅waabudu makaburi wana shida sana😂
@TheMousser16 күн бұрын
ilikua sawa matwarika kusoma kwa mashia
@HassanTifai17 күн бұрын
Ukweli wa buchu unauma Sasa wanamtengenezea Ajali We wa shekh wa
@TheMousser16 күн бұрын
masajid za sunna hazina bid'a
@JabuUssi16 күн бұрын
Inaonekana Bado huna ilmu
@AnwarAli-vs9mp17 күн бұрын
Lol kila kizazi kina uzushi😅😅😅😅😅
@twaibumikidadi737718 күн бұрын
Leohukuanza na Aya maana umegundua umetafsr kwa uelewa wako b Ndio maasuf mlivyooo , Wavivu kusoma!
@user-qm4qd8yk2x
17 күн бұрын
kweli kabisa masufi ni wavivu wakusoma hata Iko clip ya Sufi mwenzao shekh mziwanda kutoka tz akiwasisitiza masufi wenzake wasome dini wapunguze kuimba nahatakama watasema wamesoma lakini hawawezi fanana na watu wa Sunnah ASLI mia kubwa ya usomi wao ni mashairi marefu. Dua nyingi ambazo hazikuthibiti kaswida nyingi trics/Hila nyingi katika SoMo la nahwi. visa vingi vya urongo kama vile makarama kutishatisha watu na majini kuwafata matajiri mbalimbali husun WA Jami ya ki Asia eti kuwaombea biashara zao na kula sanaaaa bas. hakuna tawheed. hakuna Sunnah hakuna kuhifadhi Kur an. huu utafiti wangu nasema aslimia kubwa tena kubwa sana sikusema wote WALLAHU A ALAM
Tanzania nzima wamejaa washirikina endeni huko mukawaongoze Hao waislam washirikina Watu wamekita kwaushirikina ..huko siu Kuna mashekhe nawacha amungu kuanzia zamani
@hassanabdalla968817 күн бұрын
Masjdid thwirar.msikiti wa madhara.ipo eleweni Quraan.
@hassanmohamedabdalla410818 күн бұрын
Bachu anajenga misikiti ya kuinuwa Tawhidi Juu nakuondoa ushirikina na wasio kuekewa neno la tawhidi
@abdallahhamad880816 күн бұрын
Nd maana yake kulekeza spika kule kule ili muwache kupotosha w2
@user-it3ee7zq2y17 күн бұрын
Swalihina msikitini wenu Uko Karibu Sanna Na msikiti Wa mashia mbona Hukuutaja ama nyinyi Na mashia niwamoja
@YahyaYahya-vp2pp17 күн бұрын
Umepanik baba na msikiti utajengwa
@bafaaabuu18 күн бұрын
Acheni fitina nyie duh hii hatari sana Allah anawaona
@SoudShuraim15 күн бұрын
Jenga Bachu,wewe hawakuwezi wanakuogopa,wacha wapige kelele piga kazi
@FahadMasoud-io4mb17 күн бұрын
Hana adabu wao ndio watu wa sunna wengine hawana sunna,anadanganya watu wasiojielewa
Пікірлер: 221
Mohammadi bachu Mungu ampe nguvu kubwa katika. Daawa
Allwah amlinde sheikh Muhammad na wanafiki kama hawa wasiojielewa.
Eti msikiti wa kitwarika! Subhana Allah, Allah anasema! انالمساجدلله فللاتدع مع الله احدا Masheikh Muogopeni Allah hii dunia ni njia tu tunaenda mbele ya Allah yatawekwa wazi yote kwa Allah!
@abuualiyalbahsany8740
17 күн бұрын
Shukran kwa ukumbusho Lakini unapoandika aya za Quran hakiki vzr uwandishi wa maneno ya Allah. Allah akubariki
@AbdulMohamed-ox6id
17 күн бұрын
Watu wa Shanga maisha yao wanaishi kwa udugu na amani, lakini s asa fitna ishaingia, inshaAllAH mungu atawastiri ndugu zetu wa shanga A
@HilalAlhabsi786
17 күн бұрын
عربى - التفسير الميسر : وأن المساجد لعبادة الله وحده، فلا تعبدوا فيها غيره، وأخلصوا له الدعاء والعبادة فيها؛ فإن المساجد لم تُبْنَ إلا ليُعبَدَ اللهُ وحده فيها، دون من سواه، وفي هذا وجوب تنزيه المساجد من كل ما يشوب الإخلاص لله، ومتابعة رسوله محمد صلى الله عليه وسلم.
@HilalAlhabsi786
17 күн бұрын
Hio aya inaanza kusema. MSIKITI NI WA ALLAH SW WALA USIOMBE MUNGU MWENGINE PAMOJA NA ALLAH SW. AU ULIFKIRI INAKQTAZWA KUOMBA MTU HAPO?. MAWAHABI VILAZA 😂😂😂
@user-xb6tr5vq4b
14 күн бұрын
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh haomuwe munaangalia uwongowao
Hiyo Aya waitumia kumkufurisha muislam mwenzio na Hali iyo Aya yawazungumzia wanafiki huoni kuwa umeitumia mahala sipo mm naona kuna mambo mumeyaficha kwenye vifua vyenu na Allah amekwisha sema katika aya zake " Na yakakusanywa yaliomo vifuani". Ikumbukeni sana hii siku msije mkajuta
Waislamu ni ndugu ummah mmoja ni kama mwili mmoja kwahivyo tupendane tuhurumiane tuwe sote pamoja
InshaAllah kupitia huo mskiti Allah ataleta nuru ya sunna na hizo shirki zenu zitaondoka
@ShamsaMohammad-v1b
17 күн бұрын
Kabisaaa
@RamyGichero
16 күн бұрын
Hamna hekma ya eneza Imani yenu mnavuruga jamii na kuleta chuki mawahabi
Bacho songa mbele
Jama😅 mashekhe wengn ni mutihan 2 mbele ya mungu mutakuja kuzalilika san
Unajenga unabomoa shikamana na waislam katika njia ya Allah
Hii inaonyesha dawa imewaingia vzr sana
Mashaa Allah kwa nasaha nzur yaa ustadhy zid ya fitna zinazo endelea kwa ulimwengu wa sas
Jazakalkahu lkheir Sheikh
Pole sana sheikh wangu, wenye msikiti wao hawataki dawa nihio tu kuepusha shari. Kujenga msikiti mwengine MASHALLAH.
Shekhe bachu hawawatuwamaneno utawaweza kwasababu aya walahadidhî hawajui
Kazi mnayo! Kama mlikua mnaswali eid moja siku moja mjue sasa mtaswali eid siku mbili tofauti.
Ustadh huna hoja ya msingi, mlikuwa msimzuwie kutowa dawa, sasa Acha dawa ije kwa njia nyengine, huwezi kuzuwia maneno ya Mungu....
Subhanallah
Em shekh toa kufru sita zinazofanywa katika miskiti ya masalafi
Na je walio mfukuza sheikh Mohammed bachu wame Jenga ule wa kwao na kumfukuza sheikh asifanye da'awah ni msikiti aina gani brother, Tena eti huyu sheikh ni mtu wa Sunnah subhana Allah
shekh Muhammad bachu usirudi nyuma hawa watu wa twarika hawawezi izima nguvu ya Allah
Wewe ustadh nenda kalale tafadhali , fundisha ilmu ya matwari na kupiga zumari msikitini maulidi na hitima na kupiga ramli na . Wacha chuki zako mbovu za kikafiri kwa mwalimu wetu na shekhe wetu Muhammad Nassor bachu Allah amuhifadh.
@abdallahassan2080
10 күн бұрын
Si ajabu ukisema ni mwanafunzi wake sababu mwafanana
Masheikh wa kisuf akili ndo tatizo mnamisimamo ya kitetea matamanio ya nafsi zao
Bado hamuwezi tafautisha kati ya chumvi na sukari hata kwa macho au kuonja. Haki na batil kawmwe havifanani. M Bachu Allah akuhifadhi.
Bachu anaelimu mbembelezi afunze sunna ya RasulAllah
ALHAMDULILLAAAH WATU WATWARIKA HAWAFAI KUWA HATA WAFANYA USAFI MSIKITINI UKIPATA UWEZO WA KUMTOA MTWARIQA KTK UIMAMU NI KHERI KUBWA IMEFANYA WEWE SABABU HAO NI WAPOTOSHAJI SIO WAONGOZAJI HONGERA SH BACHU LAMU SASA YAENDA PATA MSIKITI YA SUNNA ALHAMDULILLAAAH RABIL ALAMIIN
Bi Idhin Allah msikiti wa Sunna utajengwa na watu wa Maulid mtadhalilika hapa duniani na kesho akhera
Swali. Je ni ipi hukmu y mwnye kuswali kwenye huo msikiti w Ustadh. Bachu?
Bachu Allah akulipe khery
Masha Allah wazushi mko na shida sana
Hata mtumepiaalimbuwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu Allah amuhifadhi
We xhekh ni mchochezi huna elimu unamponda bachu yupo kwenye haki
Yaani masheikh wote hawajui wao ndio wajuzi,ukijikweza mungu atakushusha
Huyu shaikh ni mkuweli
Mimi nitatoka ushahidi mbele ya Allah yakua Watu wakiwahabi niwatu wafitna...nishawahi kuwaona mawahabi wawasaliti waislam wenzao kwaserikali ili waislam Hao wafungwe ..mawahabi niwatu wafitna Shetani Amewaingia kwanafci zao kufitinisha waislam.....
@saidimkwinzu9106
12 күн бұрын
Kumbe ishu ilikua nin au umeichukua habari jujuu kama mafadiqi hebu niambie tatizo la wao kupelekana mahakamani kufungwa
@drmahwa8166
8 күн бұрын
Muogope Allaah achana na unafiqi.bidah ni mrango wa moto@@saidimkwinzu9106
Hongera sheikhe umesema ukweli
Kazi kuabudu makaburi, lazima muambie ukweli...
Mtu akimaliza kuujenga msikiti huo sio mskiti wake bali ni Nyumba ya Allah. Na waislam hupaswa kuutumia kwa ibada. Sasa mwenye chuki na hasad za kuwa alijenga fulani kwa kuwa yeye ana msimamo fulani hao watajipoteza. Kauli ni kumuabudu mola mpka mauti mmoja wenu yamkute huku ibada hakuziacha.
Ndugu anglia unacho kihadharisha utaenda kulipwa kwa kuzuia kuenea haki chuki zutakuingiza katika ghadhab za Allah kuwa makin ndugu yangu.
Pigeni kelele tu mkiti utanengwa huu ni utangulizi tu zitajengwa misikiti zaki sunni kweli kweli inshallah
Bachu ni mfitinishaji sanaa
@MohammedSaid-tf5qc
17 күн бұрын
Nyinyi watu wakenya mnamlea huyo huku Tanzania huyo kazuiliwa kusema walakutoa mawaidha yake ya kufitinisha watu mzuilieni huto
@hajikhatib9560
17 күн бұрын
Bidakweli
@hajikhatib9560
17 күн бұрын
nenda ww kazuwiye
@hajikhatib9560
17 күн бұрын
Hayoni yakwenu
@saidimkwinzu9106
12 күн бұрын
Kama wewe ulivokua fitna
kwa hio bachu anajenga mskiti wa makafiri, ndio mtume alivyo tufundisha
Vip wengelimruhusu akafanya hiyo dawaa msikitini je muhammad angejenga huo msikiti mwengine lkn wameyanzaa wao kuwagawa waislam kwa kuwazuia kuinga ktk msikiti acha watu wajengee mwengine ambao watafanya harakat zao za dawa
hujasema kweli ww mtowa posti hii umefeli unatafuta kujibiwa ili upate kiki
Mawahabi wamekua kama wakiristo kwamba kila mtaa wenye msikiti kuwe na kanisa sasa wao moja ya mikakati yao ni kila penye msikiti wa Ahlu sunna kuwe na masjidu dhiraar
Ata bado kazi kumuandama kijana ambae ameamuamua kusema kwanza leteni ushahidi wapi wanyama walipeana tarifa ndipo mje na fitina
@twaibumikidadi7377
18 күн бұрын
😅😅 yeah kwanza wajibu majib 1- wapi wanyama waliongea 2- wapi kuimba ktk micbaa
Kweli huyo ni mfitinishaji ana wagawa waisilam Kwa msilahi ya wakatorck mpuuzi sana
Ukiongea ongea kama mwanamme, usilegeze sauti
Na ulichokifundisha hakieleweki ilatu nichuki apo ndoo umeeleweka
Mashekh nanyie kama wasanii siku hizo tangu muwe mitandao hamna makongamano ya pamoja kuchanuwana na kukosoan nyingi kwa waislam muje na lengo moja
Jamani muogopeni Allah acha kugawa waislamu
Bachu hajielewi kama anajielewa angepambana barabara namjadala na Sheikh Said
Kwani jmani msikiti ni kanisa,?
Nyinyi ndio mwawagawanya watu kwasababu hanpendi haki isitumie aya kupotoa watu
Kichwa cha habari tu kinaonesha upumbavu wenu na akili ndogo kuna msikiti wa fitna dunian??? Kichwani hauko sawa
Haahaa cheki hili jinga
MASHAALLAH
Masufi ni makafiri tu kama makafiri wengine sio jipya
Watu bachu wot ni wapuuzi sanaa
watu wa twarika kazi munayo munazuia dini ya Allah isitangazwe
Mashaallah
Wewe mtuwakitwarika kwakuzungumza bila aya walahadidhi ndomnajua Nahao manenoyako bilahadidhi wala aya hayatusumbuisisi
acheni dhihaka na maneno ya Allah (Quran) chuki za kibinafsi zisipelekee uchochezi wa kuwafitini watu kwa kiwango hiki, tumcheni Allah (S.W). Kwa wenye akili wataelewa fitna ilipo, Allah atuongoze kwenye haki na kuifwata sunnah ya mtume wake (S.A.W)
Kwani sheikh haki na batir vinakaa pamoja siku zote? Watu wengi huswali ktk miskiti yenu kwa shida ikiwa hakuna mskiti wa kisunna karibu ndio twaswali ktk misikiti ya kibidaa
Munadhihirisha aibu zenu jisitirini madheikh wa shanga
we sheikh acha fitina na choyo sjui hata waongea nini hapo
Please tusitafute view kwa kutumia dini msikiti niwamungu uwe niwamwatwari au uwe siwanwatwari please view zitafutwe kwa njia nyingine
@ramiyawetutv
18 күн бұрын
Sikiliza video upate ufahamu
@warshysaid8564
17 күн бұрын
@@ramiyawetutvkitu gan chenye faida hapo Ata kisikilizwe
Wewe unasema yakwako hausemi yawana zuoni
Watu maulidi wanakazi
Kwani mushampa Uraia wa Kenya huyo Bachu huko?
Hahaaa watu wa bidaaa mnna kazi sana,hamna hojja mtaenndelea hivyoo hivyoo hhuku dawwa ikiendelea kupamba
KWELI UJINGA NI MZIGO. NGUVU NYINGI PUMBA TUPU.
Mungu Mmoja Dini Moja Mtume Mmoja Kitabu kimoja Kwanini madhehebi?
Tukaneni sana lakini mjue sku moja mtaulizwa kuhusu hizo kauli zenu
Hakuna miskiti ya kuyagawa wa2
Nyinyi wa Kenya subirini kidoogo baada ya miaka kadhaa mutakuja kumfahamu huyo Muhammed Bachu ni nani maana hamujamjua bado. Fitna na migogoro ndio kazi anayolipwa kwayo hiyokamahamujuwi.
Unaogopa waumini hawato ingia kwa misikitu ya maulidi
Nyote waislamu kaeni muelewane
Sasa inacho kuchoma ni kujenguwa miskiti
Bora uwitwe madjid faraun bachu
Hao mawa habi hupita na kusema watu wasi some vitabu vilivyo andikwa Tanga na lamu haya nime yasikia Kwa masikio yangu baada ya swala ya magharibi tuna hupita vijijini wakijuwa ufaham wao ni mdago huku wakigawa nyama baxawadi mbali
Wee kaendelee kusomma maulidi,suala la elimu achia wenginne,
msikiti suna kisimani hauvunjwi hilo lifahamu
Bachu nimtu wafitna Atadhaliloka nafitna zake
Kiufupi hamutaki sunnah mwataka uzushi😅😅waabudu makaburi wana shida sana😂
ilikua sawa matwarika kusoma kwa mashia
Ukweli wa buchu unauma Sasa wanamtengenezea Ajali We wa shekh wa
masajid za sunna hazina bid'a
Inaonekana Bado huna ilmu
Lol kila kizazi kina uzushi😅😅😅😅😅
Leohukuanza na Aya maana umegundua umetafsr kwa uelewa wako b Ndio maasuf mlivyooo , Wavivu kusoma!
@user-qm4qd8yk2x
17 күн бұрын
kweli kabisa masufi ni wavivu wakusoma hata Iko clip ya Sufi mwenzao shekh mziwanda kutoka tz akiwasisitiza masufi wenzake wasome dini wapunguze kuimba nahatakama watasema wamesoma lakini hawawezi fanana na watu wa Sunnah ASLI mia kubwa ya usomi wao ni mashairi marefu. Dua nyingi ambazo hazikuthibiti kaswida nyingi trics/Hila nyingi katika SoMo la nahwi. visa vingi vya urongo kama vile makarama kutishatisha watu na majini kuwafata matajiri mbalimbali husun WA Jami ya ki Asia eti kuwaombea biashara zao na kula sanaaaa bas. hakuna tawheed. hakuna Sunnah hakuna kuhifadhi Kur an. huu utafiti wangu nasema aslimia kubwa tena kubwa sana sikusema wote WALLAHU A ALAM
Mulimdhania vibaya yy angejenga akaenda sio mkaazi wahapo kwenu
Tanzania nzima wamejaa washirikina endeni huko mukawaongoze Hao waislam washirikina Watu wamekita kwaushirikina ..huko siu Kuna mashekhe nawacha amungu kuanzia zamani
Masjdid thwirar.msikiti wa madhara.ipo eleweni Quraan.
Bachu anajenga misikiti ya kuinuwa Tawhidi Juu nakuondoa ushirikina na wasio kuekewa neno la tawhidi
Nd maana yake kulekeza spika kule kule ili muwache kupotosha w2
Swalihina msikitini wenu Uko Karibu Sanna Na msikiti Wa mashia mbona Hukuutaja ama nyinyi Na mashia niwamoja
Umepanik baba na msikiti utajengwa
Acheni fitina nyie duh hii hatari sana Allah anawaona
Jenga Bachu,wewe hawakuwezi wanakuogopa,wacha wapige kelele piga kazi
Hana adabu wao ndio watu wa sunna wengine hawana sunna,anadanganya watu wasiojielewa