No video

NJOONI MUBAINISHE UHIZBIY WA ABU MUAWIYA KAMA NYINYI NI MASALAFI KWELI || Muhammad Bachu.

Пікірлер: 300

  • @mbjunior166
    @mbjunior166Ай бұрын

    Allah akihifadhi na akulipe al akhy kwa juhudi zako. Mpaka sasa umma wote wa kiislamu ktk ukanda huu ushaitambua hii hizbu ssalafy ya sheikh Kassim Mafuta na wenziwe kama inavyoelezwa na wanachuoni wetu wengi ktk kuutahadharisha umma juu yao. Allah awape nguvu musichoke kutunukulia maneno ya maulamaa kuhusu fitna ya hizbu hii ovu iliozuka. Ila Duktuur Islam wala musiwe munamtaja taja saana ktk mambo haya yy ni mtu ametakasika na yupo mbali sana na masuala ya fitna kama hz bali ni mtu ambaye ni zawadi kutoka kwa Allah kwa waislam wa ukanda huu wa lugha ya kiswahili alhamdulillah!

  • @alkitaamiyMihswan-p3j

    @alkitaamiyMihswan-p3j

    Ай бұрын

    دعوة السلفية دعوة الحق

  • @dhahirdin
    @dhahirdinАй бұрын

    NA ALLAH akupe afya njema na maisha malefu na akulinde na kila shali za viumbe

  • @NaduuAbdilah-uj5vj
    @NaduuAbdilah-uj5vjАй бұрын

    Yaani muhamad bachu nna mpenda sanaaaa kwa ajili ya Allah sio mnafiki Allah akuhifadhii.

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rqАй бұрын

    Wallahi, ktk tafiti zangu, Allwah amemjaalia sheikh Muhammad Bachu kumpa uwezo na akili kubwa pmj na ufahamu wa hali ya juu. Ukimsikiliza unamuelewa MashaAllah. Lkn mashehe wengi ni zero brain kwa maana ni failure. Hamnakitu. Allwah amhifadhi sheikh Muhammad Bachu. Kiukweli sheikh Nassor ametuachia mrithi wake MashaAllah.

  • @alkitaamiyMihswan-p3j

    @alkitaamiyMihswan-p3j

    Ай бұрын

    @@salehrashid-fx9rq alie thibitisha tafiti zako nani?sio kila ukionacho wewe sahihi ndiyo usahihi.

  • @alkitaamiyMihswan-p3j

    @alkitaamiyMihswan-p3j

    Ай бұрын

    @@salehrashid-fx9rq yani Muhammad kwako wewe ni shekhe? mh haha

  • @aboushuaibally

    @aboushuaibally

    Ай бұрын

    ​@@alkitaamiyMihswan-p3jpunguza ushabiki

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    7 күн бұрын

    ​@@alkitaamiyMihswan-p3j Toa kasoro ili maneno yako yawe na nguvu. Maana hauna cha kukupa nguvu katika maneno yako na kama hauna hiyo maana yake ni wivu tuuuu huo.

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2ppАй бұрын

    Mungu akuhifadh Muhammad bachu ❤❤

  • @ibrasaid9256
    @ibrasaid9256Ай бұрын

    Salamu zako izo toka kwa Shaykh Abul Abbaas حفظه الله

  • @abbaspaziaog2188

    @abbaspaziaog2188

    Ай бұрын

    Abul Abbas ana nini. 😂

  • @user-ye3fy9kk6r
    @user-ye3fy9kk6rАй бұрын

    Masha'Allah !!!..full confidence

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.536326 күн бұрын

    Hongera sana HIZBIY

  • @iddijuma1428
    @iddijuma1428Ай бұрын

    Allah akuhifadh shekh Muhammad

  • @Abutwaibah001
    @Abutwaibah001Ай бұрын

    NASIHA NAKUPA SHEIKH MOHAMED NASSOR, WACHANA KUPOTEZA MUDA WAKO KUWAJIBU HAWA MADAKHILA, HAWA HAWANA KAZI WANACHO KIJUA ILA FITNA NA UMBEA KWENYE AKILI ZAO.

  • @ShabaniIsmaily

    @ShabaniIsmaily

    Ай бұрын

    Ni muhimu sheikh Muhammadi Bacho Allah amuhifadhi kufany hiv Kwa sababu ndio anainusuru Deen.. In Shaa Allah

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808Ай бұрын

    Mashaallah Muhammad bachu uwepo wako ww nisaw na vita vya uhd kuwepo Hamza like mshambuliaj au ni saw na Lamal yamal streker languvu she inshort Big up

  • @laisamaujud1157

    @laisamaujud1157

    Ай бұрын

    Subiri majibu yake kabla ya kumpa kongoleee

  • @ibnualishariff

    @ibnualishariff

    Ай бұрын

    😂😂😂m nasubiri majibu 2😂​@@laisamaujud1157

  • @suodymmbaga6583

    @suodymmbaga6583

    Ай бұрын

    Mcha Allah ww Acha kusifia mpaka kufanya ghuluu

  • @suodymmbaga6583

    @suodymmbaga6583

    Ай бұрын

    Uyu inatakiwa asijibiwe maana anataka masheikh wamjibu ili apate kiki sasa watu wapo kwa ajili ya dini watu hawapo kwa ajili ya kushindana kama alibwaga na yule sheikh wa bidaaa kuhusu maulid, sasa yani kushindana na mtu kama huyu

  • @hassanmohamedlaizer569

    @hassanmohamedlaizer569

    Ай бұрын

    ​@@suodymmbaga6583 sasa nyie mkisema na kuhizbisha😊 masheikh ni sawa sisi tukijibu ni kiki

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rvАй бұрын

    Tume anza kuyaona Mathara yenu masheikh kwa mnavyo kuza umathehebu sana zaidi ya kubuni mbinu mbadala za kuwaleta waislamu tuwe kitu kimoja . Nasaha kwenu masheikh jiebusheni kuugawanya waisilamu

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478Ай бұрын

    Maa shaa allah sheikh kipenzi cha watu

  • @MwenyeShaibu-e6g
    @MwenyeShaibu-e6gАй бұрын

    Allah awahifadhi mashekhe WA kisalaf abuu fadhwili kasiimu mafuta

  • @mabablaz123
    @mabablaz12326 күн бұрын

    Nyinyi wote ni mahizbi munafudisha mabinti na wake wa watu bila ya pasia..wakati hadithi na ayat zipo zakukataza

  • @user-rp4eb5xw1z
    @user-rp4eb5xw1zАй бұрын

    Mashallah ndug nikiwa makin kabisaaa kukusikiliza huyo jamaaa watanga atuaambie mtu wa sunna anakaaje napia wao waache kufukuza watu katika sunn za mtu[ s w ]

  • @HakimRamadan-kl1hx
    @HakimRamadan-kl1hxАй бұрын

    Allah akuhifadhi sheikhe kwa kazingumu ulionayo❤

  • @mwanaishajuma4166

    @mwanaishajuma4166

    Ай бұрын

    Amiin

  • @AbuusaahilAbdillah
    @AbuusaahilAbdillahАй бұрын

    Kwani ushajibiwa mangapi ivo unavo taka sheikh Fahad haneni na Abuu fawzan Allah awahifahi wamekujibu na hujajibu chochote ila ww unajulika na ndomaana hujibiwi ukijibiwa ww unabadilisha mada hemu mche Allah akhy utakwenda kuulizwa mbele ya Allah

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Akuna alichojibu ww mwambie aje apinge ndno hizby jadida la wanazuoni abibary abu zaid mnaingia hapo hizby jadida watu wa ghuruu na kufukuza watu kwenye sunnah salaf swalehe hawakuwa na mienendo yenu muchafu kama ninyi kutukana watu kuwakufurisha watu bila sababu za msingi 😂😂😂

  • @cassimshearer7916
    @cassimshearer7916Ай бұрын

    Kwa kweli haya majina, utukufu na kuamini wengine wote wamepotea sio sawa. Cha muhimu ni kumuomba Alla atupe khatima njema na atujaalie kuwa katika haqi juu ya haya tunayoyaitaqidi. Huenda unaemuona amepotea akawa ni.mbora kwa Allah zidi yako. Allah autondolee kibri .

  • @daawatumanhaj-ul-waadhih7151
    @daawatumanhaj-ul-waadhih7151Ай бұрын

    Dakika ya 15:25, hayo maneno yanafanana na maneno ya Muhammad Shamsudin As-sururi. Ibn Bachu ushaweka wazi manhaj yako.

  • @jumanneshabani1361
    @jumanneshabani1361Ай бұрын

    Mashallah allah akuhifadhi namabaya sheikh bachu uzidi kutupa faida

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34Ай бұрын

    Yaani tumefikia sehemu mbaya kweli kweli na haya ndio malipo ya kupinga kila jambo yaan mtu anakufa badala ya kumuombea kweri mnaelekeza nguvu kwenye majibizano eti kila mmoja anaonesha umwamba wake huku mnamuweka mhusika kwenye wakati mgumu ingawaje inaonekana ndivyo alivyokuwa mwenye akil azingatie

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808Ай бұрын

    Mzee wa ufasaha, au Mtto wa Simba mwana wa simba

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257Ай бұрын

    Huyu Bachu ni bingwa sana wa talbis na ndio maana mamrui hakuweza kufua dafu akaaibika yeye na mahizb wenzake….

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Huwo ni urongo shekhe bachu aliwabuluza wale masufi sema kweli japokuwa chungu wale hawamuwezi mpk leo wanamaswali 19 hawajamjibu arafu wale mombasa walipanga wapindishe mada ilikuwa urongo katika barazanji wao wakabadilisha gia juu kwa juu kuwa jafari muongo sabu walijuwa wakimrihusu kusonga mbele kuna uchafu zaidi ya ule ndo kampeni yao wabadilishe mada sabu hakki haijawai kushindwa kaka kusema bachu alishindwa kuwatetea ahlu bidaa ni ujahli usio na mfano

  • @HamadhamisIpingika

    @HamadhamisIpingika

    10 күн бұрын

    Acha hasadi babu

  • @AdamuYusufu-z2c
    @AdamuYusufu-z2c28 күн бұрын

    Maasha Allah shekhe Allah akuhifazi

  • @fahmiiidrisa5110
    @fahmiiidrisa5110Ай бұрын

    Wew unatengeneza kizazi ambacho hakiheshimu wana wa vyuoni

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjikuАй бұрын

    Assalamualaikum ustadh hata wakichafua inshaallah hawataweza sababu wao wamezoea kuzua Sasa Kila mtu wanamwona mwenzao n makundi yao badala watu wafundisha watu waache bidaa kazi n kutaja hata waliofariki Allah atuepushe n watu kama hao

  • @user-xe1nc5kq6j
    @user-xe1nc5kq6jАй бұрын

    Watanyooka tu Hawa ndugu zetu bi idhni Allah.

  • @ABUUJAAFAR92

    @ABUUJAAFAR92

    Ай бұрын

    Kwahio nyinyi mahizbiy mumenyooka ,,?,,uhizbiy ni uvundo jameni...

  • @NuryaMusa

    @NuryaMusa

    Ай бұрын

    ​@@ABUUJAAFAR92😂😂😂mwambiee mafuta.atoke jikoni. Aje ajibu kwamaaan. Wanajifanya. Hawna mujaamala. Uone. Kama. Atawezaa kumradd huyo. Mwanachuoni. Mkubwa

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550Ай бұрын

    Kumekucha...nyiee hamuogopi Majadida mbona mtakoma Ma Shaa Allah Tabarakallah Allah akulipe

  • @kagalihussein1959
    @kagalihussein195912 күн бұрын

    Mfano kama Wewe Unavo jinasibisha Na Usalafi Haliyakua Si SALAFIYYA!أwewe Ni Mzushi Akhiy

  • @luqmankhalid2219
    @luqmankhalid2219Ай бұрын

    والله قد بلغتَ وأنصحتَ ❤🤲

  • @dhahirdin
    @dhahirdinАй бұрын

    Kinacho niuma masheikh wengine naa wa umri wa baba yako wapi lkn hawaya semi

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    Ай бұрын

    ILI HAO WAPUUZI WANAOKUFURISHA MASHEKH WANAJIATA MASALAFI JADIDI WAACHE UPUUZI WAO

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ctАй бұрын

    Bachu wanyoshe haki itabainika tu wew pigania haki ata wakikukejeli

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3gАй бұрын

    mie saivi naona haya mambo ya madh`hab hayatufai sie waislamu maana kila kukicha kunazuka ugomvi & matatizo na kubaguana wenyewe kwa wenyewe, nashauri haya mambo al akhi bachu achana nayo we usijali wataongea mwishowe watanyamaza tu almuhimu ni kumcha (Allah azza wajalla) hao wengine wote achana nao na sote ni viumbe na watumwa wake yeye mwenyezi mungu (subhanahu wataala) pia endelea na daawa na kuelimisha dini Allah ndie atakae kulipa usitarajie malipo kwa walimwengu ndugu yangu katika imaan.

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547Ай бұрын

    maashaallah Allah akuhifadhi ww ni Simba

  • @CheniShauri
    @CheniShauriАй бұрын

    Ahllwa awahifadhi walimu wetu hakika wewe ndio ngao pekee ya Ahhalusuna.

  • @MusaMkata

    @MusaMkata

    Ай бұрын

    Acha ujinga kama nani huyoo mpk awe nguzo

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hyАй бұрын

    Hiv Kuna haja gani ya kufundisha aibu za wanachuon

  • @abuuzakariyya8630

    @abuuzakariyya8630

    Ай бұрын

    haja ipo akhiy na hilo amelisema Imam nawawiy kwani hao wameizungumzia dini na hii ndio shida

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    Ай бұрын

    Elewa hicho ni kitabu kinasomwa na kimeandikwa na mwanazuoni tabu imeletwa na hicho kikundi kilicho zuka kuwatoawatu katika uislam na kuwakufurisha kwa UJADIDI WAO

  • @user-wk5ju8kd3u
    @user-wk5ju8kd3uАй бұрын

    Masha Allah Allah akuhifadhi

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын

    Subhaanallaah! kiukweli haya maneno ya sheikh Suyuut yamevuka mipaka na hawa majadiida hawataona haki abadan mpaka waondoe matamanio ya nafsi zao maana ukitanguliza matamanio ya nafsi kwanza mbele ya haki Allah hawaongozi wanaofuata matamanio ya nafsi

  • @cassimshearer7916

    @cassimshearer7916

    Ай бұрын

    Hayo maneno ya suyutwi umesomeshwa au umefata ufahamu wa Sheikh Muhammad Bachu tu? Inawezekana ufahamu wake ukawa ni wa makosa. Wallahu aalam

  • @khamiskhamis9947

    @khamiskhamis9947

    Ай бұрын

    Ukiyasomesha na wewe kwa huo ufasaha na usahihi kwetu itakuwa ni faida. Tupeni nasi hizo faida.

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.536326 күн бұрын

    Wayahudi waanzilishi wa kundi potovu la Kiwahabi kwa hakika wamefanikiwa kwenye baadhi ya malengo yao dhidhi ya Uislamu duniani kote.

  • @laisamaujud1157
    @laisamaujud1157Ай бұрын

    Kama alimama suyuti angekuwa katoka katika uislam katika maneno aliyo yaandika basi wanachuoni wange anza kumtowa wao pasi na shaka na ikisha usilinganisha imam suyuti na abuu muawiya au na doktor islam ni watu mbali mbali ju sawa na nungwi na kibuteni

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    Ай бұрын

    Swali mtu akiteleza anakuwa hizbi au anapewa udhuru kwa kuwa bado ni mtu wa sunnah?

  • @maulidimuhani

    @maulidimuhani

    Ай бұрын

    TUMIA VITABU (Lete dalili) usilete mipasho ya TAARABU

  • @SwaumMuhammady
    @SwaumMuhammadyАй бұрын

    Acheni majadiliaano mabishaanoo wew lingania dini af wew bachu unapenda shari wew

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    Mtu akichokoza aachwe akijibuwa ni mabishano😂

  • @user-yw4bw4hg8l

    @user-yw4bw4hg8l

    Ай бұрын

    Afu ww dada kaa utulie acha watu wafundishwe

  • @HassanHamad-rf9tq

    @HassanHamad-rf9tq

    Ай бұрын

    Dada tuliaa hapa tunamtetea shekh wetuu abuu muawiya rahimahullahh

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    Ай бұрын

    subiri dufu na kasida za minanda ucheze hapa ni elimu dada mpikie mumeo huko hapa ni kwa wale wanaopenda haki na ndio maana vinasomwa vitabu sio porojo.

  • @NuryaMusa

    @NuryaMusa

    Ай бұрын

    ​@@saidimkwinzu9106majadidah. Ndivyo walivyo. Hawataki. Kusemwa. 😂😂 Mijadida. 😂😂😂

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina6718Ай бұрын

    MUHAMMAD BACHU Mimi nilitamani ifanyike niqash ilmiyya baina ya ahlusunnah Mada ziwe 2 1 nyinyi mahizbi vs sisi si mahizbi 2 nyinyi majadida vs sisi si majadida HIVYO TUUU ILI TUJUE CHUNGU NA TAMU

  • @NuryaMusa

    @NuryaMusa

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @NuryaMusa

    @NuryaMusa

    Ай бұрын

    Sipo upande wowote Ila. Naamini bachu. Yuko. Tayari Abul. Fadhwil. Kama. Kawaida. Yake atakataa Kama. Alivyoitwa. Na Abuu. Muawiya. Hassan. Awadh. ALLAH. Amrehem. Mafuta. Akaogopa. Sijui

  • @husseinshehuna68

    @husseinshehuna68

    Ай бұрын

    Ww ndugu yangu umenena na Rai Yako nzuri kama itafanyiwa kazi wallahi...

  • @ABUUJAAFAR92

    @ABUUJAAFAR92

    Ай бұрын

    @NuryaMusa sasa we wataka sheikh abul fadhl afanye niqash na bachu,,,,ikiwa alishindwa ni dj sufi ,alafu utamlinganishaje na abul fdhl ,?

  • @husseinshehuna68

    @husseinshehuna68

    Ай бұрын

    @@ABUUJAAFAR92 Kwa hivyo unatuambia yule Sufi? ((ولا يجرمنكم شنئان قوم على أن لا تعدلوا...)) Sufi kashinda???

  • @user-zf3fz5lf4m
    @user-zf3fz5lf4mАй бұрын

    ماشاءالله

  • @user-rk3ej3ej2h
    @user-rk3ej3ej2hАй бұрын

    Uko sawa she bachu

  • @user-lo1uk8dp5f
    @user-lo1uk8dp5f10 күн бұрын

    Mawahabi munakazi kila mkiamka ni kutaja mabaya ya wanachuoni mema yao mbona hamuyataji mtume asema tajeni mema ya maiti na ficheni mabaya yao

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoudАй бұрын

    Maashallah, ❤❤❤

  • @abuuyunusnassor446
    @abuuyunusnassor446Ай бұрын

    Endelea kutoa faida sheikh Allah akubarik

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3eАй бұрын

    Shekhe muhammadi ww ni salafi wa kweli kuliko hawo kinamafuta hizb jadida wametupa mipaka kweli Allah awaongoze we ni simba wa allh katika kutetea sunnah ya mtume

  • @MusaMkata

    @MusaMkata

    Ай бұрын

    Kwa kigezo kipi

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    @@MusaMkata simba wa Allah huyu so khurafi so majadida anawabuluza kule na majibu mpk leo hamtujibu

  • @user-gt3rp9dy8w
    @user-gt3rp9dy8wАй бұрын

    Abuu muawiya alivo ulizwa kuhusu salafiya jajida akasema hakuna salafiya jajida sasa wewe vip unatuambiya kuwa kuna salafiya jajida

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Daima ukiwa kipofu wa haki huwezi ona haki madamu Allah kakuelekezea utakako ww akhera atakuadhibu kwa usahihi sabu unapinga jadida na kitu kimesemwa na umekisikia kimetajwa na shekhe mkubwa abubakary zaid tena bachu kawapigia na mstari ili mashekhe wako wa kijadida kina mafuta wasipinge hizbiya jadida 😂😂😂utaki hata uthaymeen anakombora lake kwwnu au huji hilo

  • @ShaabanKhamisAbdulla-nt6rm
    @ShaabanKhamisAbdulla-nt6rm24 күн бұрын

    Makosa kama haya Anayo Kishki wa Tanzania.....ila husema sio aya vipi Anajumuishwa na Suyuti?

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241Ай бұрын

    Shekh muhammad uspate tabu Hao majadida wa znz allah kashawafarakanisha Huyo salim alomjengea mwenzake fitna abuu muawiya hasubutu kukanyaka farouk Kapgwa mkwala pale hakanyaki wala hapewi husband Sasa wanatafunana wao kwa wao Kama walivomfanyia mwenzao sasa ngoma imerudi kwao wanatafunana wao kwa wao

  • @khamiskhamis9947

    @khamiskhamis9947

    Ай бұрын

    إنا لله وإنا إليه لراجعون

  • @HarunaOmar-ip5iv
    @HarunaOmar-ip5ivАй бұрын

    كلام الأقران يطوى ولا يروى Nam shekh wangu ikiwa umesoma kitabu chake hicho je umekwisha fanya utafiti wakuangaliya kama labda huwenda alijirejea akaandik kingin kitabu ?

  • @maulidimuhani

    @maulidimuhani

    Ай бұрын

    Sasa ndo mujibu, mbona mwaogipa ????

  • @PrinceSindayigaya
    @PrinceSindayigayaАй бұрын

    Yani allah atunusuru mambo yamo katika icho kitabu yame nitisha

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4bАй бұрын

    Waleykum salam warahmatullah

  • @Abuufawzana
    @AbuufawzanaАй бұрын

    Lakini mwenyewe SI amesema chukuwa kwa maana ya MUJMAL na sio MUFASSWAL na mbele bado Kuna maelezo Binafsi hayo nimeyasikia ila yahitajia kufanya bahthi na sio ushabiki maana hii ni dini Naam.

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3gАй бұрын

    hakika mbora wetu ni yule anaejiita muislam na kisha baada ya hapo akafuata quraan & sunna yake ibni abdillahi nae sio mwengine ila ni mtukufu wa darja mtume wetu (muhammad swalallahu alaihi wasallam) sasa haya mengine yanini mie salafi mie ashaari mara shia, nk. Aya sasa nawauliza haya yote yanini ikhwan fil imaan yana manfaa gani kwetu kama wafuasi wa dini yetu hii tukufu ya kiislamu ebu angalia maadui wadini yetu walivyotudhorotesha waislamu sababu ya udhaifu wetu wa haya makundi turudini katika mshikano wetu ule aliokuwa nao mtume wetu na maswahaba wake.

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Akhi could they be sincere but ignorant? Can we have a good dhana?

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa8912Ай бұрын

    lakin mm ninaumia mnavo msema maiti duuu😢😢

  • @Nuru_ya_sunnah.official

    @Nuru_ya_sunnah.official

    Ай бұрын

    wanawake na watoto under 18- wameambiwa wasingaliee hii

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rqАй бұрын

    Mimi binafsi niliwafuatilia kwa muda ya miaka minne hawa salafi jadida lkn nimeona hawana issue isipokuwa kuwaandama waislamu wenzao. Ukiwauliza mbona makafiri wamuwashambulii? Jibu lao ni “wale ni makafiri hatuna shida nao “ sisi tunapambana na bidaa tu

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ctАй бұрын

    Wamewatoa watu kwenye usalafi abuu zagar pia wame mtoa bachu pia wamemtoa hili sifa lakundi ndo lenye tabia ya kukatana

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ctАй бұрын

    Mashaallah

  • @SugowFarah-up3db
    @SugowFarah-up3dbАй бұрын

    Mimi nauliza swali👇 Ustadh Muhammad Bachu unalinganisha kosa la Abuu Mu'awiyah na kosa la Imaam Suyuth. Je Imaam Suyuth katika zama zake aliwahi kupewa radd kuhusiana na suala hili ? Je katika zama za Imaam Suyuth walikuwepo wanazuoni wakubwa na kumnyamazia Imaam Suyuth hadi akafariki hivo? Tukija kwa Abuu Mu'awiyah Je alipewa radd au hakupewa? Na alipopewa radd je alikubali au alikataa?

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Hiyo so hoja ndugu muulize shekhe wako anasoma kitabu cha suyuti ndo hoja imetolewa ikiwa anasoma vitabu hivyo na vinamakosa na ww unaitakidi kuwa mtu alopinda afai kusoma vitabu vyake mbona mafuta wenu anamuhesabu ulamaa wa ahlsuna wal jamaa udhuru ipi imetumika kumpa na udhuru hiyo imtoe abu muhawiya ninyi kama alivyobainisha hapo juu bachu kasoma maneno ya mwanazuoni Abdul salamu na shk abubakary abu zaidi ni hizby jadida ni kweli hawajakosea sifa zote mnazo kuwafukuza watu katika sunnah ovyo ovyo na weepesi kukufurisha wtu kama khwariji hata shekhe utheemiy alisema katika fatuwa yake watu. Haooo haawana usaafi kitu taffuteeni pa kujjifichia masalafi swalehe hawakuwa kama ninyi leo mienendo michafu kutukana watu kuwasengenya watu 😢😢😢

  • @SugowFarah-up3db

    @SugowFarah-up3db

    Ай бұрын

    @@user-yj5on8cz3e kwani kwenye vitabu ni mwanachuoni yupi katika salaf hajawahi kukosea❓Je ni Imaam Suyuth peke yake ndio kakosea kwenye vitabu vyake ama❓

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    @@SugowFarah-up3db hayo so majibu tunataka majibu ya kiilimu ninyi mnaojiita salafi majadida + ( salafi hawakuwa na tabia chafu kama zenu tafuteni pa kujifichia sawa shekhe bubakary kasema hizby jadida sasa mnajinasibisha katika usalafi ndo shekh swale ibn utheemeny kawatahadharisha watu na kundi hili la kijadida kasema watu hao so masalafi kitu dawa gani ya kuwafukuza watu kwenye sunnah dini mmeifanya uwanja wa mpira kwamba refa muda wowote anatowa red card bila kosa halali nyi watu wa matamanio na allah awaongozi watu wapenda matamanio na ghuruu

  • @fahmiiidrisa5110

    @fahmiiidrisa5110

    Ай бұрын

    Kwenye kitab cha imam suyuutwiy hakuna istihzaai katka Qur an

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    @@fahmiiidrisa5110 ww mjinga xana hivi unamacho na masikio au akili yako nzima kweli ww au una matatizo ya ubongo kidogo

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241Ай бұрын

    Allah akuifadh shekh muhammad bachu Kwa kumtetea shekh abuu muawiya allah amsamehe Majadida hawawez kuiib kwa sababu ayo maswali hayatiliki mkoko

  • @SuolFat
    @SuolFatАй бұрын

    Je ni sawa kuisema maiti

  • @NuryaMusa

    @NuryaMusa

    Ай бұрын

    Tumuulize. Katelephone. Bwana. Mafuta. Yataaa

  • @HemedSerious
    @HemedSerious24 күн бұрын

    Fact Yani walio okoka ni kundi lao tu, tuliobaki sote motoni, pepo ni Kwa ajili ya salafi majadida tu

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhaniАй бұрын

    mmh Mh Mh, Hii MAJADIIDA HAWATAIJIBU LABDA WAJIPANGE KWA MIAKA ZAIDI YA MIILI, maana muhadhara WA Dr. WA TANGA walikaa miaka miwili wanatafuta Namna ya kujitetea.

  • @allyhamza9969
    @allyhamza9969Ай бұрын

    vitabu kama hivyo vya Suyutwi vingetiwa moto.kwa sababu havina faida yoyote ila kuikejeli quran

  • @athaum05
    @athaum05Ай бұрын

    Hapa lengo ni majadida au ulikuwa unatafuta fursa kutangaza mapungufu ya Imam Suyut (رحمه الله) kupitia mlango wa Majadida? Maana kama ni Majadida ile hoja ya kwanza ilikuwa inatosha!

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    Ай бұрын

    LENGO NI KUWAOYESHA HAO SALAFI JADIDI KWANI REJEA YAO KUBWA NI IMAMU SIYUUT

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241Ай бұрын

    Matusi na kutoa aibu za watu. Do wanachojuwa majadida

  • @abdallahhamad8808
    @abdallahhamad8808Ай бұрын

    Lkn fanya urud na kule kenya ukaweke sawa kisiwan Lamuu kuhus jiwe lenu na msing kun shek Katk Rehema wetu tv kuhus kuping jamb hil nenda kamuweke sawa

  • @HemedSerious
    @HemedSerious24 күн бұрын

    Swadakta sheikh 😂😂

  • @abubakarshaban6118
    @abubakarshaban6118Ай бұрын

    Dah huyu jamaa, eti anafananisha makosa ya maulamaa tena mfasiri na kijana wa mtaani...

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Imam suyuti ni imam wa masufi na wanafuata bila kuchunguza

  • @user-sm7if6ni3o
    @user-sm7if6ni3oАй бұрын

    Me nasaha zangu nikwamba waislam wote tunatakiwa tuifuate manhaj salafi chamsingi tujuen yakwamba hii manhaj so yaqasim mafuta wala sio ya Muhammad Bachu chamsing kwetu sisi kwanza tumuombe allah atuthibitishe katik manhaj hii pia tuisome tena kwasana tukishasoma tutaijua hii man haj kwan wanaruambia wanawazuon wanasema isome haki utawajua watu wahaki nausifuate watu kuitafuta haki. wallaah a alam

  • @abdiazizmohamed444
    @abdiazizmohamed444Ай бұрын

    Yes Salafism and Saudi family came from NAJD Yes it is QARNU SHAITWan

  • @bacteria5184
    @bacteria5184Ай бұрын

    Kwani hawezi kutoa mawaidha pasipo kutuonyesha vitabu?nauliza kwa wema

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    Ай бұрын

    Wewe focus yako iko kwa Bachu au Vitabu😂

  • @johariabdalla3319

    @johariabdalla3319

    Ай бұрын

    Hii imekurahisishia wewe kama msomi,au hujaona ili uende kuangalia na kuthibitisha kwa ushahidi,sikuhizi watu wanakwenda na ushahidi,maana angetoa yote haya bila ya ushahidi..ungalidai ushahidi wapi ipo au umetowa,hivi ndo itakiwavyo kwa sasa

  • @AlexanderLacazet

    @AlexanderLacazet

    Ай бұрын

    Huyu chizi nin? We unaekewa ushahidi wa vitabu unahoji chizi nin?

  • @shabanrashid6009
    @shabanrashid6009Ай бұрын

    Nikakaa kwa makini nakuskiliza najua hata unajenga swali kielemu kumbe ni mtupu hvyo sikudhani kaa chini kasome achana na kutafuta umaarufu

  • @abdurashidinasorodini

    @abdurashidinasorodini

    Ай бұрын

    mche Allah Al akhe

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4bАй бұрын

    Abou alifadhili kasim mafuta nilivokua nikîsikiliza dawazake sikuanafaham kua iko katikakundihilo lakuwatoawatu kwenye uislam nasuna nandomana shehkewetubachu kupitîa aya nahadidhi usiwahurumie natunauhakika hawatokujibu tunachokuomba shekhewetubachu wàbainishe hatahuku nilipo wameanza kutukataza uingiandani yamiskiti wasioitaka au isioyao kwahivo hawawatu hawafaikwenyejami hatakubainisha aya hawafaham

  • @mashaurimvungi2232
    @mashaurimvungi2232Ай бұрын

    Wewe mwenyewe sio salaf badala uulize kwanini wewe sio salaf unamuulizie mtu mwingine kwako Kuna giza na kwa jirani Yako kuna giza unaulizia giza la jirani baada ya kuulizia giza lako

  • @sadikiissa7756

    @sadikiissa7756

    Ай бұрын

    Hukumu ya kumjua huyu mwema au si mwema ni Siri baina ya Allah na mja wake na si vinginevyo. Ndo maana Mimi nilikataa kujiita Jina lolote lile bali ni Muislam tu Kama Quran na Mtume S. A. W isemavyo.

  • @hassanmohamedlaizer569

    @hassanmohamedlaizer569

    Ай бұрын

    Ndio tunataka kujua kuwa giza letu...linatokana na nini ilimtusaidie kuiondoa😊

  • @capitalistcapital8879
    @capitalistcapital8879Ай бұрын

    UKIWA MKUBWA BASI WATAKUJIBU WAKUBWA KWASASA BADO WATAKUANGALIA TUU

  • @ABUUBAAZNYUNGU

    @ABUUBAAZNYUNGU

    Ай бұрын

    ​@@saidimkwinzu9106Inakusaidia nini wew Abuu Muawiyah kuwa Salafiy au kutokuwa salafy???.....wew kama wew yan inakusaidia nn...Maadam unaijua mising ya dawatusalafiyyah basi ishi nayo,mambo ya kumdiscuss mtu ambaye ashafariki sion kama ni vizur......Mtakalia tu kumjadili badala ya kumuombea dua

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    @@ABUUBAAZNYUNGU kama unalijua Hilo ingekua Haina maana Kila siku kumshambulia sheikh Islam Wala barahiyan Wala msingeita wenzenu mahizbi wakat hujui hata mtu huyu kapindi au hajapinda katika misingi inayomtoa kwenye usalafi ndo mana tunahitaji majibu Faida ambayo nitapata kama sheikh Muhammad bacho atajibiwa na sheikh kasim mafuta au muwakilishi wa sheikh kasim mafuta Mimi nitaangalia je na Mimi nimo kwenye makosa Kwa dalili makosa ambayo kafanya Abuu Muawiya hadi akatika katika usalafi! Me nataka kupima mana nimesoma baadhi ya vitabu ikiwemo رفقا أهل السنة بأهل السنة. Alichotaja hapo sheikh Muhammad bacho Nikasoma pia kitabu Cha sheikh Muhammad naswir diin kinaitwa السلفية حقيقتها وسماتها Na vingine zaidi nataka nistafid kama ukweli utakuepo Mimi nitachukua maamuzi mana napenda haqqi ndo mana nataka nijue Kwann Abuu Muawiya katolewa kwenye usalafi kakhalif nin

  • @mwanaidiconstantine

    @mwanaidiconstantine

    Ай бұрын

    Yaani siku izi hata kusoma dini tu imekuwa shida jamani hizo nguvu za mabishano wangewekeza kwenye kuieneza dini ya Allah ata ningeona ni wa maana yaani wanaacha kuwaongelea akina shekhe sule wenyekusema kufunga majini ni sawa wanakaa wakibishana wao kwawao 😏😏😏

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    @@mwanaidiconstantine mbona hayo ya kina sule Muhammad nasoro bacho kayaongelea zaidi ya mara4 hukuona? Na je Kwan si alikua anamradi pia huyo sule na vile vile ni dini pia iyo anasomesha hata hapo alipo saivi anasomesha pia

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    @@ABUUBAAZNYUNGU Kama wasipojibu bas hawana hoja na Muhammad bacho nae kasema Ivi sio lazma ajibiwe na sheikh kasim mafuta hata akijibuwa na kijana wa sheikh kasim Kwa niaba ya sheikh kasim mwenyewe yeye Hana shida lakin waweke wazi hivyo vigezo vya kumuita Abuu Muawiya kua ni hizbi watoe dalili

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ctАй бұрын

    Doh sasa yeye kajuwaje abuu muwaiyah sio salafi na wakat muwaiyah aliwatak ndugu zake wakae kwa hoja wamekataa

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakotaАй бұрын

    Muhamad bachu piga hawa jamaa ambao wanaamin kwenye usalaf na cio kweny uislam😂

  • @musaharuna6097
    @musaharuna6097Ай бұрын

    We ni sawa na debe tupu. Mweupeee kila siku masufi wanakamata makosa yako ya ufahamu na lugha ktk kusoma ibara.hakuna wa kukujibu jikimbize mwenyewe

  • @BilaliBaruani

    @BilaliBaruani

    Ай бұрын

    Na ww umekamata lipi?

  • @user-ov9nj7hp1s
    @user-ov9nj7hp1sАй бұрын

    Hatukatai unalolifanya ila hujui ungewachia mashekhe zetu wakubwa wamrudi Abulfadhli kwasababu huji kitu shekh

  • @Shamsudeen-h5o

    @Shamsudeen-h5o

    Ай бұрын

    Aau sio...kwamba hajui kitu

  • @hassanmohamedlaizer569

    @hassanmohamedlaizer569

    Ай бұрын

    Hao masheikh ni akina nani?

  • @user-ov9nj7hp1s

    @user-ov9nj7hp1s

    Ай бұрын

    Mashekh kma dr islam na wengine walio na ilimu

  • @HilaliSaidi-n2f
    @HilaliSaidi-n2f4 күн бұрын

    Wahabi kwa wahabi sasa,

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын

    NB🔥🔥🔥🔥KUNA WADADA BADO WANAANGALIA HII VIDEO WAKAT WAMEAMBIWA WASIANGALIEE, mimi mwezi wa tisa ndo nafikisha miaka 18+ just nachukua hii link nikikua ntaangalia 😂

  • @sinyooo6583
    @sinyooo6583Ай бұрын

    😅Wanawake tusiangalie kwanini

  • @Nuru_ya_sunnah.official

    @Nuru_ya_sunnah.official

    Ай бұрын

    najua kushaangalia alaf unauliza, mmmh ww huogopi hayo yanayo semwa....??

  • @sinyooo6583

    @sinyooo6583

    Ай бұрын

    Kwahy wanawake ndo tusiangalie 😳​@@Nuru_ya_sunnah.official

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241Ай бұрын

    Mi nashangaaa kina shekh mujahidi wote wanaburuzwa na kasim.mafuta

  • @HajiKabacalaf-kv7fd
    @HajiKabacalaf-kv7fdАй бұрын

    Barakallahu fikum

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262Ай бұрын

    Ok

  • @laisamaujud1157
    @laisamaujud1157Ай бұрын

    Hebu tuliyeni mutajuwa anajuwa au kituko dawa yake iko ukingoni ataifunga youtube yake

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Amna lolote majadida habar yenu kwisha mpo katika ghuru na si dini shekhe kasoma maneno ya wanazuoni hapo walotaja hizb jadida mje mkanushe kivitabu so kimajungu dini mmeingeuza uwanja wa mpira mnampa kadi nyekundu mumtakae na bado hiki chuma kinawanyosha kweli mpo katika zana tuuh! Mnachojuwa nyie matusi na kufukuza watu katika sunnah salafi swalehe hawakuwa hivyo tafuteni pa kujificha😂😂😂😂

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349Ай бұрын

    Uraska😊😊

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257Ай бұрын

    Alifanyiwa radd na abul abbas akawekewa na sauti zake akiwasema watawala kwenye mimbari leo anajifanya salafi… kutukana watawala kwenye mimbari ndio manhaj ya salafi… sema zama hiz wajinga wamekuwa wengi na hawaa zimewajaa watu hvyo hawaioni haqq

  • @genius0045
    @genius0045Ай бұрын

    Wewe mwenyewe ni hizbi

  • @HassanHamad-rf9tq

    @HassanHamad-rf9tq

    Ай бұрын

    Wewee ni hizbi pamoja na hao mashekh wako mahadadiyaa

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257Ай бұрын

    Hahaha sheykh abul faadhil akipelekewa hii video akiona tu ulivyojiweka katika kati ya mabook kama hivyo hatokujibu

  • @Shabalala99275
    @Shabalala99275Ай бұрын

    😂😂😂masalafi wacharurana 😂

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ciАй бұрын

    Simba wa Allah

  • @alkitaamiyMihswan-p3j
    @alkitaamiyMihswan-p3jАй бұрын

    ugonjwa wa moyo umejaa humu ndani kuanzia muongeaji mpaka waf asi wake

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595Ай бұрын

    Yani wewe muhammad bachu sidhani kama kuna mtu atakujibu sidhani maana wewe unataka hukumu anayopewa mujtahidi iwe sawa na ambae sio mujtahid tambua suyutwi ni katika wenye kujitahid sasa huyo sheikh unae mzungumxia je ni mujtahid ili apewe kama alivyopewa suyutwi

  • @salumtakao9828

    @salumtakao9828

    Ай бұрын

    Hio so hijja. Kwaiy km mujthid na ankufurisha watu aachiwe tu kwakuwa mujithid ?? Mujibu hijja hizo mupewe zengin hpo hmtoboi mnaaibikia kule kujitia kujua kwenu sana na kukufurisha watu kwenye dini yao. Hamn hoja zkumtoa abuumuawiyya ktik hakki acheni chuki binafsi bc . Muelimishen kiongozi wenu shekh kassim amepituk mipaka 😂😂

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    @canoksancomprehensivelearn7182

    Ай бұрын

    @@mussamsuya8595 mujtahid anatukana au kukejeli aya za Quraan? Kaka ukisoma kwanza akida kabla huja comment kitu au soma Quraan na wacha ushabiki hii ni dini