JEE! WASIOKUA IBADHI WOTE NI MOTONI? JAWABU KUHUSU FATWA ZA WANAVYUONI WETU ALLAH AWAREHEMU.

Ойын-сауық

Jawabu hii kutoka kwa Sheikh Hafidh Al Sawafi - Allah amuhifadhi - ni kujibu mashambulizi ya Mlinganiaji wa Kiwahai (Usalafi) Sheikh Kassim Mafuta - Allah amuongoze - kwa Maibadhi, kuhusu Fatwa za Wanavyuoni wetu katika suala la kutafautiana kiitikadi. / @hakikwadalili

Пікірлер: 27

  • @abdulazizal-mazroui3363
    @abdulazizal-mazroui33633 ай бұрын

    Masha allah sheikh wangu maalim Hafidh Sawafi. Allah akujaalie kheri na hekima

  • @user-hz4bk8bn4e
    @user-hz4bk8bn4e5 ай бұрын

    Masha Allah mwalimu wangu Ahmed swawafi... ❤❤❤❤❤

  • @ibnjalaaman3407
    @ibnjalaaman34074 ай бұрын

    Allah akubariki Sheikh wetu kwa kuibainisha haqq

  • @minaziparasu9074
    @minaziparasu90744 ай бұрын

    Mashaallah ujumbe umefika mahali sahihi.kwawakati sahihi.niwajibu wenu mashekkh wetu kuyabainisha hayo kila wanaposhambulia madhehebu ya kiibadh kwani wanapituka mipaka ktk hayo

  • @user-rc7in6cs8b
    @user-rc7in6cs8b5 ай бұрын

    Umesema kwel shekh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @al_babitv
    @al_babitv5 ай бұрын

  • @awadhawadh5895
    @awadhawadh58955 ай бұрын

    Maashallaah jawabu ya kutosheleza

  • @user-rc7in6cs8b
    @user-rc7in6cs8b5 ай бұрын

    Masha allah shekh wang ❤❤❤❤❤❤❤

  • @abdulwahidel-abry5007
    @abdulwahidel-abry50075 ай бұрын

    جزاك الله خيرا شيخ صوافي

  • @husseinismail9715
    @husseinismail97155 ай бұрын

    Mimi sipingi uwahabi bali napinga farka zao na kujiona kwao Ria ni ya Allah

  • @user-ng5dr7mn1d
    @user-ng5dr7mn1d5 ай бұрын

    shukran sheikh wang

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh4 ай бұрын

    Shukran

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud15774 ай бұрын

    Jee hizi fatwa zao wao si' ndo zakijambazi kabisa

  • @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh
    @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh5 ай бұрын

    Hhhhh kaishiwa kasimu mwana Mafuta

  • @awadhawadh5895
    @awadhawadh58955 ай бұрын

    Assalaam alaykum. Samahan shaikh hapa katika kundi la peponi sijaelewa naomba kufahamishwa ni lipi hilo kundi la peponi?

  • @faidikanamawaidha

    @faidikanamawaidha

    5 ай бұрын

    Kundi la Peponi ni kundi la Wachamungu ndio waliobashiriwa pepo katika Quraani na Sunna. Asante sana.

  • @Abuusamhasalum
    @Abuusamhasalum3 ай бұрын

    je maibadhi hawawakufurishi maswahaba mfano muawiyyah? maibadhi wanasema kwamba mtu aliekufa na madhambi yasiokua shirki hata toka motoni je ni kweli naomba majibu

  • @faidikanamawaidha

    @faidikanamawaidha

    3 ай бұрын

    Maudhui ya Masahaba - Allah awaridhie - in shaa Allah itakuja jawabu ndani yake, ama kuhusu Muawiyah inajulikana kwa njia ya Tawaturi kua Mtume S.A.W. alieleza ya kua Sahaba wake Ammaar bin Yaasir - Allah amridhie - atauliwa na kundi la waasi ambalo linaita katika moto na yeye analiita katika pepo, pia S.A.W. amesema: "Atakayemuua Ammaar ni mja wa motoni" na kwa makubaliano yasiyokua na khilafu ndani yake kua kundi lililoongozwa na Muawiyah bin Abi Sifiani ndilo lililomuua Ammaar bin Yaasir - Allah amridhie - kwa hiyo Muawiyah bin Abi Sufiani ndiye Imamu wa Kundi hilo. Ama kuhusu suala la atayekufa na madhambi makubwa yasiyokua shirki hatatoka Motoni, fuatilia nukta zifuatazo: 1. Maibadhi itikadi yao ni kusadikisha aliyotueleza Allah mtukufu kwenye Quraani tukufu na yaliyothibiti kwa makubaliano kutoka kwa Mtume S.A.W. 2. Maibadhi itikadi yao ni kua motoni haingii isipokua kafiri tu, ni sawa ukafiri wa neema au ukafiri wa shirki. 3. Maibadhi wanaitakidi kua hakuna adhabu ya muda kwa atakayehukumiwa kuingizwa Motoni, kwa hiyo hakuna kumalizika wala kutoka, ni adhabu ya milele daima. 4. Maibadhi wanaitakidi kua yoyote atakayefanya dhambi kubwa yoyote na hoja imemsimamikia kisha akafanya kiburi cha kukaidi kutubia atakua kafiri amefuata sunna ya Ibilisi Maluuni, na si Muumini, na akifa katika hali hiyo mema yake hayakubaliwi, na atazamishwa na maovu yake motoni milele hatapata muombezi wala rafiki; kwa sababu Allah ametueleza ya kua anawakubalia Wachamungu na hawaridhii Mafasiki. Na Allah ameshatueleza: "Na hakuna usamehevu kwa wale wenye kufanya maovu mpaka mauti yakimfikia mmoja wao ndio anasema: "Mimi natubia hivi sasa", wala wale wanaokufa na wao ni makafiri, hao tumewaandalia adhabu kali sana" [Nisaa 18]

  • @Abuusamhasalum
    @Abuusamhasalum3 ай бұрын

    Kwahiyo imaam Malik ni gaidi? mahizbi mna tabu sana nyinyi

  • @faidikanamawaidha

    @faidikanamawaidha

    3 ай бұрын

    Sheikh amenakili Fatwa yake kupitia Kitabu cha Wafuasi wa Kisalafi, na picha ya ukurasa imewekwa, ni mfano tu wa Fatwa za Kigaidi za kuhimiza uadui dhidi ya wasiokubali Itikadi zao za Mungu mkaazi wa mbunguni mwenye umbo la kuonekana kwa macho ya waja na ambae wanamsifu kwa sifa za viungo na harakati, na fatwa yake iko wazi katika kuhimiza kuuliwa kwa kuchinjwa wote wasiokubaliana na Itikadi yao. Na kama huo si ugaidi basi hakuna ugaidi duniani.

  • @AllyGilo-ey8fy
    @AllyGilo-ey8fy4 ай бұрын

    Mimi naomba kumuuliza swali huyu shekhe swali je muzani utapima makafiri!

  • @faidikanamawaidha

    @faidikanamawaidha

    4 ай бұрын

    Mizani ni kwa matendo mema peke yake, yale yatakayokubaliwa ndiyo ambayo mizani zake zitakua nzito na yatakayokataliwa hayo mizani zake zitakua nyepesi, ama Makafiri ni sawa kafiri neema au kafiri shirki wote matendo mema yao hayakubaliwi; kwa hayo hakutakua na uzani kwao, wao ni waja wa Motoni milele Allah atuepushe nao.

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm5 ай бұрын

    Masalafi wanasema Waislamu wote watakwenda motoni isipokuwa wao masalafi tu. Pia wanajiita "Firqatun Najiyah" yaani pote lililookoka. Masalafi wasema Waislamu wote ni watu wa motoni isipokuwa mtu awe salafi ndio ataokoka. Masalafi hata hawataki kuwasalimia watu wasio kubaliana na itakadi zao. Masalfi wanaona kuwa kama mtu si salafi basi atakuwa ama KHURAFI, HIZBI, MUBTADI'I, DHWALU na kila aina ya majina mabaya.

  • @khalidabas252
    @khalidabas2524 ай бұрын

    Kundi moja tu ndo la peponi..... ni lipi hilo ustadhi

  • @faidikanamawaidha

    @faidikanamawaidha

    4 ай бұрын

    Amelibainisha ktika jawabu yake kua ni Wachamungu, haingii peponi asiyekua mchamungu.

  • @allymwinkyambi9689
    @allymwinkyambi96895 ай бұрын

    Ni kwel shekh Ibadh hawana chuki na mtu Mashaa Allah

  • @allymwinkyambi9689

    @allymwinkyambi9689

    5 ай бұрын

    Hapo mm si Ibadh ila nmewaona maibadh weng hata mizozo pia hawapend

Келесі