Masha Allah Baba wa roho yng Nimefurahi Sana kwa ukumbusho huu Allah akuzidishie umri wenye kheri na baraka Insha Allah
@happympangala58153 күн бұрын
Mungu akubaliki
@shuaibabdullahi75443 күн бұрын
Asante sana sheikh kuweka wazi kinacho dhihiri kuwa makini sana na hawa watu
@aliathman30004 күн бұрын
Ya walad
@sibawaybakar63175 күн бұрын
Mashaallah, sheikh, kwa kweli hawa mawahabi ni wapotoshaji tukae nao mbali.
@hythamhashiem44585 күн бұрын
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك مع الذين أنعم الله عليهم من النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
@CubeedCali6 күн бұрын
حفظك الله ورعاك
@CubeedCali6 күн бұрын
أياحاسدا لي على نعمتى أتدري على من أسأت الأدب أسأت على الله في حكمه لأنك لم ترض لى ماوهب
@CubeedCali6 күн бұрын
Wewe ni mzuka kwanihusiki hizo hadithi zamtume anazon zisoma nduguyetu shekh muhamad Waseca khutba note nilgiri tu mungu akuongoze
@mohagurey22146 күн бұрын
Khutbah yote ni story tu
@ummusalim19919 күн бұрын
حفظك الله شيخنا 😊
@hassanWanjiku10 күн бұрын
Masufi makhurafi mashia wote kimoja wazushi tuuu mbona hoja nyiiingi na hamna mashiko hoja zetu acheni uzushi muogopeni Allah haki ya kumcha
@Asamaalhusseiny10 күн бұрын
MashaAllah 😊
@mfalmenajjash212810 күн бұрын
Bora nicheke kichwa box huyu 😂😂😂😂😂😂
@IAM_GAUCHO10 күн бұрын
Mm pia nishawahi kwenda hapo msikiti wa pwani wa kiwahabi,,,, sheikh umesema kweli 2007 nilikuwa nasoma riadha
@saidburuji998411 күн бұрын
Assalaamu alaykum tafadhali muendelezo wa hili darsa no 21
@Nuru_ya_sunnah.official11 күн бұрын
watu wa sunnah lazima tuwe na miaikiti yetu hatuwezi kuswali misikiti yenu masufi kwa sababu baadhi ya misikiti yenu ina makaburi jambo hilo ni kinyume na itikadi yetu masunni
@user-jd5on2fb7s11 күн бұрын
Jielewe wewe acha kukera watu kwa kuwasema vibaya mashekh wetu koma wewe
@user-jd5on2fb7s11 күн бұрын
Huo ni upumbavu ulonao Baki na ujinga wako
@mohamedamiri459711 күн бұрын
اللهم اغفر له و ارحمه واسكنه فسيح جناته
@user-qm4qd8yk2x12 күн бұрын
wewe ustadh tatizo sio msikiti Wala kuswali tatizo kuu ni bid a mnazofanya humo ndani. mashia wamo huko mbona wao husemi wanagawanya wailam basi ili waislamu wasigawanyike wapeni rukhsa hao munaowaita mawahabi ndani ya misiiki watoe japo kalima ya tawhid. lakini kwavile hamuwezi kubali Bassi nyinyi masufi ndio wagawanya umma kwamfano hamufuati mwezi wa kimataifa
Umekosa kazi ww sheikh vitu vingine hata havikuhusu ungekaa tu kimya kwasababu wewe nayeye mko tofauti yeye katika misimamo
@MBAROUKSAADHUSSEIN13 күн бұрын
Shekhe kama hauna kazi bora kaa kimya na ukae nyumban na ulie watoto uko nyumban acha vitna shekhe wangu. mbona kwenye Miskiti yetu kuna viotezo, vya nn kama sio ya aya unaoisoma na mahatibu wanaumwa kila siku na kukataa mawaidha!
@AllyHozza13 күн бұрын
Naona hata kinyaa kumsikiliza binafsi yangu
@bukhariznz13 күн бұрын
ولا تكونوا كالذين نسو الله فانساهم أنفسهم اولىك هم الفاسقون. او كما قال الله تبارك وتعالى.
@mohammedlipindula541513 күн бұрын
Yaani wewe sheikh waonekana hauna elimu kabisa coz jambo unaloliongea halina mantiki kabisa pia inatakiwa ujitafakari kwani alipokuja hapo alikua azungumza nini
Dhulumu utakalo, chafulia utakalo, zuia sunnah utakalo, tetea bid'a na ushirikina na upotovu utakalo, paka matope watu wa Sunnah utakalo lakini maisha ya mja ni 63 au hapo vile mtume s.a.w ametuambia na wewe utaenda mbele ya hakimu wa haki na bila shaka utahesabiwa vilivyo. عش ماشئت فإنك ميت،واعمل ما شئت فإنك مَجْزِيٌّ به
@bilaligona547815 күн бұрын
🎉
@aishamuhammad778516 күн бұрын
Acheni chuki waislaam jamani haya shauri zenu
@osmanmanbile932716 күн бұрын
الحمد لله mm ni dariqa ahlu sunah mawahabii wanagawaa waislnmu
@osmanmanbile932716 күн бұрын
,صدقت استاد mawahabii wa poraa liko wazi😂😂😂
@SheikhYussuf-iv6lo16 күн бұрын
Ww una husda na chuki sasa subr uone matokeo yke juu ya uo msikiti achen husda husda ni mbaya sana, tumekujua kua ww ni mjinga t
@ConfusedFlashlight-zc9vg16 күн бұрын
Mallaa akulipegheri shee
@user-kq8lk1cx8g16 күн бұрын
Maashaallah
@abutirmidhi16 күн бұрын
حسبنا الله ونعم الوكيل
@Al.habeebAl.habaaib16 күн бұрын
WE CHIZI KWELI HATA MISIKITI INAWAKERA
@muhammad-o7f16 күн бұрын
HUYO KIJANA AKASOME KUSOMA KIARABU KWANZA HAJUI HATA KUSOMA. ETI AMMA BINNISBATI... VUTA HIYO AMMAA MIIM INA ALIF (أمّا بالنسبة)
@eshasaid325816 күн бұрын
Mashaallah shukrani allah ustadhi muhsin❤❤❤❤ huyo mohamed bachu atmpiga mtume s.a.w mpaka lini qiyama 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@KomoraMohamed16 күн бұрын
Ww ni najis bachu wa haqqi
@KomoraMohamed16 күн бұрын
Bachu na firauni nisawa
@salimsalim-kt2vj17 күн бұрын
Mashallah Ustadh Allah akupe umri wa kheiri tuzidi kufaidika kutoka kwako na Allah akukutanishe na Mtume Peponi INSHA'ALLAH.
@AliSaid-tp2yo17 күн бұрын
Wacha fitna zako
@AliSaid-tp2yo17 күн бұрын
Wacha kutaka umaarufu ukawaita watu kaafir muovope Allah,
@SalimHsn-Omar18 күн бұрын
Acheni uchawi/ushirikina na bi-daah za maulidi Acheni kuwapoteza watu na imaani za mizimu uislamu wa Matambiko na uganga wa kishirikina na majini
Пікірлер
Masha Allah
Masha Allah Baba wa roho yng Nimefurahi Sana kwa ukumbusho huu Allah akuzidishie umri wenye kheri na baraka Insha Allah
Mungu akubaliki
Asante sana sheikh kuweka wazi kinacho dhihiri kuwa makini sana na hawa watu
Ya walad
Mashaallah, sheikh, kwa kweli hawa mawahabi ni wapotoshaji tukae nao mbali.
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك مع الذين أنعم الله عليهم من النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
حفظك الله ورعاك
أياحاسدا لي على نعمتى أتدري على من أسأت الأدب أسأت على الله في حكمه لأنك لم ترض لى ماوهب
Wewe ni mzuka kwanihusiki hizo hadithi zamtume anazon zisoma nduguyetu shekh muhamad Waseca khutba note nilgiri tu mungu akuongoze
Khutbah yote ni story tu
حفظك الله شيخنا 😊
Masufi makhurafi mashia wote kimoja wazushi tuuu mbona hoja nyiiingi na hamna mashiko hoja zetu acheni uzushi muogopeni Allah haki ya kumcha
MashaAllah 😊
Bora nicheke kichwa box huyu 😂😂😂😂😂😂
Mm pia nishawahi kwenda hapo msikiti wa pwani wa kiwahabi,,,, sheikh umesema kweli 2007 nilikuwa nasoma riadha
Assalaamu alaykum tafadhali muendelezo wa hili darsa no 21
watu wa sunnah lazima tuwe na miaikiti yetu hatuwezi kuswali misikiti yenu masufi kwa sababu baadhi ya misikiti yenu ina makaburi jambo hilo ni kinyume na itikadi yetu masunni
Jielewe wewe acha kukera watu kwa kuwasema vibaya mashekh wetu koma wewe
Huo ni upumbavu ulonao Baki na ujinga wako
اللهم اغفر له و ارحمه واسكنه فسيح جناته
wewe ustadh tatizo sio msikiti Wala kuswali tatizo kuu ni bid a mnazofanya humo ndani. mashia wamo huko mbona wao husemi wanagawanya wailam basi ili waislamu wasigawanyike wapeni rukhsa hao munaowaita mawahabi ndani ya misiiki watoe japo kalima ya tawhid. lakini kwavile hamuwezi kubali Bassi nyinyi masufi ndio wagawanya umma kwamfano hamufuati mwezi wa kimataifa
Mwanangu muungwana akivukwa na nguo hututuma, mbona ww wasimama?ama nikatika walee...
Umekosa kazi ww sheikh vitu vingine hata havikuhusu ungekaa tu kimya kwasababu wewe nayeye mko tofauti yeye katika misimamo
Shekhe kama hauna kazi bora kaa kimya na ukae nyumban na ulie watoto uko nyumban acha vitna shekhe wangu. mbona kwenye Miskiti yetu kuna viotezo, vya nn kama sio ya aya unaoisoma na mahatibu wanaumwa kila siku na kukataa mawaidha!
Naona hata kinyaa kumsikiliza binafsi yangu
ولا تكونوا كالذين نسو الله فانساهم أنفسهم اولىك هم الفاسقون. او كما قال الله تبارك وتعالى.
Yaani wewe sheikh waonekana hauna elimu kabisa coz jambo unaloliongea halina mantiki kabisa pia inatakiwa ujitafakari kwani alipokuja hapo alikua azungumza nini
HEBU TUSOMESHE JAMII TUSICHUNGUZANE!!
😮mashallah ❤
Elim ndoimefanya tukamjua Bach ispokua mnapoaambiwa ukweli mnaanza zaypuuzi
Dhulumu utakalo, chafulia utakalo, zuia sunnah utakalo, tetea bid'a na ushirikina na upotovu utakalo, paka matope watu wa Sunnah utakalo lakini maisha ya mja ni 63 au hapo vile mtume s.a.w ametuambia na wewe utaenda mbele ya hakimu wa haki na bila shaka utahesabiwa vilivyo. عش ماشئت فإنك ميت،واعمل ما شئت فإنك مَجْزِيٌّ به
🎉
Acheni chuki waislaam jamani haya shauri zenu
الحمد لله mm ni dariqa ahlu sunah mawahabii wanagawaa waislnmu
,صدقت استاد mawahabii wa poraa liko wazi😂😂😂
Ww una husda na chuki sasa subr uone matokeo yke juu ya uo msikiti achen husda husda ni mbaya sana, tumekujua kua ww ni mjinga t
Mallaa akulipegheri shee
Maashaallah
حسبنا الله ونعم الوكيل
WE CHIZI KWELI HATA MISIKITI INAWAKERA
HUYO KIJANA AKASOME KUSOMA KIARABU KWANZA HAJUI HATA KUSOMA. ETI AMMA BINNISBATI... VUTA HIYO AMMAA MIIM INA ALIF (أمّا بالنسبة)
Mashaallah shukrani allah ustadhi muhsin❤❤❤❤ huyo mohamed bachu atmpiga mtume s.a.w mpaka lini qiyama 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ww ni najis bachu wa haqqi
Bachu na firauni nisawa
Mashallah Ustadh Allah akupe umri wa kheiri tuzidi kufaidika kutoka kwako na Allah akukutanishe na Mtume Peponi INSHA'ALLAH.
Wacha fitna zako
Wacha kutaka umaarufu ukawaita watu kaafir muovope Allah,
Acheni uchawi/ushirikina na bi-daah za maulidi Acheni kuwapoteza watu na imaani za mizimu uislamu wa Matambiko na uganga wa kishirikina na majini