Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya

Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya

Пікірлер

  • @MininaMuhammed
    @MininaMuhammedСағат бұрын

    Masha Allah

  • @Othman-sv4uu
    @Othman-sv4uu9 сағат бұрын

    Masha Allah Baba wa roho yng Nimefurahi Sana kwa ukumbusho huu Allah akuzidishie umri wenye kheri na baraka Insha Allah

  • @happympangala5815
    @happympangala58153 күн бұрын

    Mungu akubaliki

  • @shuaibabdullahi7544
    @shuaibabdullahi75443 күн бұрын

    Asante sana sheikh kuweka wazi kinacho dhihiri kuwa makini sana na hawa watu

  • @aliathman3000
    @aliathman30004 күн бұрын

    Ya walad

  • @sibawaybakar6317
    @sibawaybakar63175 күн бұрын

    Mashaallah, sheikh, kwa kweli hawa mawahabi ni wapotoshaji tukae nao mbali.

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem44585 күн бұрын

    اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك مع الذين أنعم الله عليهم من النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا

  • @CubeedCali
    @CubeedCali6 күн бұрын

    حفظك الله ورعاك

  • @CubeedCali
    @CubeedCali6 күн бұрын

    أياحاسدا لي على نعمتى أتدري على من أسأت الأدب أسأت على الله في حكمه لأنك لم ترض لى ماوهب

  • @CubeedCali
    @CubeedCali6 күн бұрын

    Wewe ni mzuka kwanihusiki hizo hadithi zamtume anazon zisoma nduguyetu shekh muhamad Waseca khutba note nilgiri tu mungu akuongoze

  • @mohagurey2214
    @mohagurey22146 күн бұрын

    Khutbah yote ni story tu

  • @ummusalim1991
    @ummusalim19919 күн бұрын

    حفظك الله شيخنا 😊

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku10 күн бұрын

    Masufi makhurafi mashia wote kimoja wazushi tuuu mbona hoja nyiiingi na hamna mashiko hoja zetu acheni uzushi muogopeni Allah haki ya kumcha

  • @Asamaalhusseiny
    @Asamaalhusseiny10 күн бұрын

    MashaAllah 😊

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash212810 күн бұрын

    Bora nicheke kichwa box huyu 😂😂😂😂😂😂

  • @IAM_GAUCHO
    @IAM_GAUCHO10 күн бұрын

    Mm pia nishawahi kwenda hapo msikiti wa pwani wa kiwahabi,,,, sheikh umesema kweli 2007 nilikuwa nasoma riadha

  • @saidburuji9984
    @saidburuji998411 күн бұрын

    Assalaamu alaykum tafadhali muendelezo wa hili darsa no 21

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official11 күн бұрын

    watu wa sunnah lazima tuwe na miaikiti yetu hatuwezi kuswali misikiti yenu masufi kwa sababu baadhi ya misikiti yenu ina makaburi jambo hilo ni kinyume na itikadi yetu masunni

  • @user-jd5on2fb7s
    @user-jd5on2fb7s11 күн бұрын

    Jielewe wewe acha kukera watu kwa kuwasema vibaya mashekh wetu koma wewe

  • @user-jd5on2fb7s
    @user-jd5on2fb7s11 күн бұрын

    Huo ni upumbavu ulonao Baki na ujinga wako

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri459711 күн бұрын

    اللهم اغفر له و ارحمه واسكنه فسيح جناته

  • @user-qm4qd8yk2x
    @user-qm4qd8yk2x12 күн бұрын

    wewe ustadh tatizo sio msikiti Wala kuswali tatizo kuu ni bid a mnazofanya humo ndani. mashia wamo huko mbona wao husemi wanagawanya wailam basi ili waislamu wasigawanyike wapeni rukhsa hao munaowaita mawahabi ndani ya misiiki watoe japo kalima ya tawhid. lakini kwavile hamuwezi kubali Bassi nyinyi masufi ndio wagawanya umma kwamfano hamufuati mwezi wa kimataifa

  • @HassanAhmedAbdallah
    @HassanAhmedAbdallah13 күн бұрын

    Mwanangu muungwana akivukwa na nguo hututuma, mbona ww wasimama?ama nikatika walee...

  • @kasimubangu1875
    @kasimubangu187513 күн бұрын

    Umekosa kazi ww sheikh vitu vingine hata havikuhusu ungekaa tu kimya kwasababu wewe nayeye mko tofauti yeye katika misimamo

  • @MBAROUKSAADHUSSEIN
    @MBAROUKSAADHUSSEIN13 күн бұрын

    Shekhe kama hauna kazi bora kaa kimya na ukae nyumban na ulie watoto uko nyumban acha vitna shekhe wangu. mbona kwenye Miskiti yetu kuna viotezo, vya nn kama sio ya aya unaoisoma na mahatibu wanaumwa kila siku na kukataa mawaidha!

  • @AllyHozza
    @AllyHozza13 күн бұрын

    Naona hata kinyaa kumsikiliza binafsi yangu

  • @bukhariznz
    @bukhariznz13 күн бұрын

    ولا تكونوا كالذين نسو الله فانساهم أنفسهم اولىك هم الفاسقون. او كما قال الله تبارك وتعالى.

  • @mohammedlipindula5415
    @mohammedlipindula541513 күн бұрын

    Yaani wewe sheikh waonekana hauna elimu kabisa coz jambo unaloliongea halina mantiki kabisa pia inatakiwa ujitafakari kwani alipokuja hapo alikua azungumza nini

  • @bukhariznz
    @bukhariznz13 күн бұрын

    HEBU TUSOMESHE JAMII TUSICHUNGUZANE!!

  • @Ustnaaman001
    @Ustnaaman00114 күн бұрын

    😮mashallah ❤

  • @user-rp4eb5xw1z
    @user-rp4eb5xw1z14 күн бұрын

    Elim ndoimefanya tukamjua Bach ispokua mnapoaambiwa ukweli mnaanza zaypuuzi

  • @mohagurey2214
    @mohagurey221414 күн бұрын

    Dhulumu utakalo, chafulia utakalo, zuia sunnah utakalo, tetea bid'a na ushirikina na upotovu utakalo, paka matope watu wa Sunnah utakalo lakini maisha ya mja ni 63 au hapo vile mtume s.a.w ametuambia na wewe utaenda mbele ya hakimu wa haki na bila shaka utahesabiwa vilivyo. عش ماشئت فإنك ميت،واعمل ما شئت فإنك مَجْزِيٌّ به

  • @bilaligona5478
    @bilaligona547815 күн бұрын

    🎉

  • @aishamuhammad7785
    @aishamuhammad778516 күн бұрын

    Acheni chuki waislaam jamani haya shauri zenu

  • @osmanmanbile9327
    @osmanmanbile932716 күн бұрын

    الحمد لله mm ni dariqa ahlu sunah mawahabii wanagawaa waislnmu

  • @osmanmanbile9327
    @osmanmanbile932716 күн бұрын

    ,صدقت استاد mawahabii wa poraa liko wazi😂😂😂

  • @SheikhYussuf-iv6lo
    @SheikhYussuf-iv6lo16 күн бұрын

    Ww una husda na chuki sasa subr uone matokeo yke juu ya uo msikiti achen husda husda ni mbaya sana, tumekujua kua ww ni mjinga t

  • @ConfusedFlashlight-zc9vg
    @ConfusedFlashlight-zc9vg16 күн бұрын

    Mallaa akulipegheri shee

  • @user-kq8lk1cx8g
    @user-kq8lk1cx8g16 күн бұрын

    Maashaallah

  • @abutirmidhi
    @abutirmidhi16 күн бұрын

    حسبنا الله ونعم الوكيل

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib16 күн бұрын

    WE CHIZI KWELI HATA MISIKITI INAWAKERA

  • @muhammad-o7f
    @muhammad-o7f16 күн бұрын

    HUYO KIJANA AKASOME KUSOMA KIARABU KWANZA HAJUI HATA KUSOMA. ETI AMMA BINNISBATI... VUTA HIYO AMMAA MIIM INA ALIF (أمّا بالنسبة)

  • @eshasaid3258
    @eshasaid325816 күн бұрын

    Mashaallah shukrani allah ustadhi muhsin❤❤❤❤ huyo mohamed bachu atmpiga mtume s.a.w mpaka lini qiyama 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @KomoraMohamed
    @KomoraMohamed16 күн бұрын

    Ww ni najis bachu wa haqqi

  • @KomoraMohamed
    @KomoraMohamed16 күн бұрын

    Bachu na firauni nisawa

  • @salimsalim-kt2vj
    @salimsalim-kt2vj17 күн бұрын

    Mashallah Ustadh Allah akupe umri wa kheiri tuzidi kufaidika kutoka kwako na Allah akukutanishe na Mtume Peponi INSHA'ALLAH.

  • @AliSaid-tp2yo
    @AliSaid-tp2yo17 күн бұрын

    Wacha fitna zako

  • @AliSaid-tp2yo
    @AliSaid-tp2yo17 күн бұрын

    Wacha kutaka umaarufu ukawaita watu kaafir muovope Allah,

  • @SalimHsn-Omar
    @SalimHsn-Omar18 күн бұрын

    Acheni uchawi/ushirikina na bi-daah za maulidi Acheni kuwapoteza watu na imaani za mizimu uislamu wa Matambiko na uganga wa kishirikina na majini