SUBHANALLAH KWAHIYO HIZO AYA ZA SULEIMAN NA MUSA MA HARUN NDIO ZINA ISHARA YA KUWAFUATA AU KUFUGA MAJINI !!??MCHE ALLAH WE JAAHIL ,NABII SULEIMAN TUNAMUAMINI SIO KUMFUATA , NABII YAQOUB ALIOA NDUGU WAWILI TUMBO MOJA BABA NA MAMA WEWE UNARUHUSIWA KUOA NDUGU WAWILI NA UKAISHI NAO WOTE!!!??
@joshuajohn8533Ай бұрын
Nawaambia iliyo kweli Uislamu na uganga hauwezi utenganisha, Uislamu na Majini (mapepo) hauwezi kuutenganisha, Uslamu na Ushirikina hauwezi utenganisha. Njoo kwa Yesu mpate uzima wa milele bure mtadanganyana na kuzidi kudanywa. Andiko hili mtalikumbuka saa ile ukifa ni kuzimu moja kwa moja
@yussuphsultan1400
Ай бұрын
Kwani wale wachungaji na yale mafuta ni nini kwani
@joshuajohn8533
Ай бұрын
@@yussuphsultan1400 mafuta na chumvi Ni uganga na uchawi njoo kwa Yesu ataondoa hayo
Shekh mbogo hebu tofautisha kati ya kumfuata na ukumbusho juu ya manabii waliopita sisi waislamu shida hatusomi tunajenga hoja kutetea uovu bt sisi tunatakiwa tumfate muhammad tu 7:157 qur an
@innocentndikumana8928Ай бұрын
mashallah allah mtukufu ameumba binadamu na majini rengo yakumuomba mwenyezi mungu majini wema niwa islam na majini mabaya niwashirikina
@hafidhimuadham9976Ай бұрын
Shekh mbogo mnatoa elimu kubwa sana elimu hiyo watu wachache tu ndio tuliopewa uwezo huwo duniani asilimia 30) tu dunia nzima sema pokea yote utakayopewa nawaumini
@Hamis-ks1syАй бұрын
Ukimaliza tuambie wapi tunamfuata yeye Suleiman kupitia pete.
@IdrissaMoussa-tx7jyАй бұрын
Mbogo uwo niwushilikina nakwambia ukweli
@farishfarish258Ай бұрын
Mbogo huna elimu
@bakariabdallah836Ай бұрын
Kutaja jina la mungu tu ni mtihan na lamtume shekh hanis huyu n wa wap
@issaabdallah1205Ай бұрын
Huwezi kumtetea mchawi ispokuwa nawe ni miongoni mwao
@ayubutwalbu6594Ай бұрын
Mbogo wanae kupinga hawasomi ila wamekalia sifa tu elimu zinamafungu mengi
@Abdulrahmanhassan18Ай бұрын
Endelea kutoa maarifa maana mambugila wapo wengi, pia tufundisheni Dua tofauti tofauti na nyiradi na idadi maalum kwenye kuhomba haja fulani Shukran. Mimi ndio yule jinni niliyekuwa nakupigia simu 😅😅😅
@joshuajohn8533Ай бұрын
Sisi uku kwa Yesu hayo majini ndio tunayaita mapepo tunayakemea na kupiga kelele kuwatoka watu. Hakuna jini mbaya na mwema hapa wote ni waovu mmemkata Bwana wa uzima wa milele. Neno la Mungu linasema katika 2wakorinto 11:14 Shetani ana uwezo wa gujigeuza na kuwa mfano wa malaika wa nuru
@yussuphsultan1400
Ай бұрын
Na yesu aliwatoa pepo wabaya tu
@joshuajohn8533
Ай бұрын
@@yussuphsultan1400 Hakuna pepo au jini zuri mnadanganyana tu pepo Ni pepo
@user-bh5cu2jy6cАй бұрын
Kwa kifupi shek mbogo na sulle daah leo mnatetea majin kwel mazinge kapambana na dini mda mrefu lakn hakuingia kwenye udhalili huu
@DafettyАй бұрын
Sio karim ni karina😊
@user-ed1cf9nq5wАй бұрын
Sisi hatupo kwenye sheria ya sulaimani bali sheria ya muhammad , kwaiyo wa kufata ni muhammad tu.
@alihaidary4143Ай бұрын
Sura yako kama firauni
@kalamamuller-qe1ydАй бұрын
Wewe upuuz ulisema yakwamba achana na hawa masheikh mbugila mbugila loe unakataa mpuuzi kwel huyu umesaau kwamba ile clip bado tunayo
@hawa6052Ай бұрын
Mnaonaje tukujikita kusoma Tawhid jamani
@user-ed1cf9nq5wАй бұрын
Huyu ushekh kaupata wapi maana ni juha hajielewi
@KhalfanMakota
Ай бұрын
Sheikh ili jinga sana ...sasa kuna mithani gani kati haya aya alieitoa na kumfuata suleyman...na kuisoma kwenye ruqia ndo imesema kuwa tumfuate suleiman😂😂
@nassleydady5783Ай бұрын
Shesh. Sema munafata uo uganga t muctuchangany waganga wakubwa
@MirajiIssa-iz3jvАй бұрын
Wewe unaoyesha elimu huna ila unataka kuulaghai umma kusoma aya inayomtaja suleymani sio kumfua lejea maana ya aya hiyo ndo uelewe inamaanisha nini
@rahimumustafa587Ай бұрын
Shehe mbogo tofautsha kufuata na nakuamini labda nikusaidie kila nabii kaja kwazama zake nadharia nadharia zangu kwahy manabii nikuwaamin syo kufuat lakini lapil kutajwa Seleman kati ruky sy kumfuata, mbona frauni naye unaofuata?
@KhalfanMakotaАй бұрын
We jamaa mjinga cjawahi yaan ushahid wa kumfuata nabii suleiman ndo umetoa haya hyo hv umeilewa ....kaka aya hyo hakuna inapoonyesha kumfuata suleyman aya imenukuu vile masheitwan walivyofuata yale ya uongo kwenye ufalme ya suleiman
@KhalfanMakotaАй бұрын
We kaka kweli elim huna ..aya iyo haionyesh kumfuata suleiman hapo katika umma huu...mitume yote iliyopita tunaiamin kwa ibrahim tulivyoambiwa tumfuate maan yake nini ...unafaham soma kaka acha ujinga huo
@khamisfarouk9493Ай бұрын
Assalam alaykum mm nna matukio mengi yalomtokea mtu nnaemjua matukio ya ajabu na skutaka kuyahadithia ila nikimpta sheikh Walid au Dr Sule ntamhadithia
@issaabdallah1205Ай бұрын
Hili halijui dini ujinga umekuzonga kusoma aya iliomtaj sulimani sio kumfata kile ni tuu Haya ndo matatizo yakujifunza uganga wakaacha kunifunza dini
@KhalfanMakota
Ай бұрын
Jinga ili nikajua linatoa ushuhuda wa kumfuata nabii suleiman ...lilichofanya eti ni kunukuu aya ya iliyomtaja nabii suleyman kweny suratil baqra sasa ndo nin ....ndo kuna mahali pa kumfuata hapo...afu hao waliofuata uo upotefu ni makuhani wa zama hz ambao wananasibisha uchaw kwa uwez wa nabii suleiman
@user13375Ай бұрын
Kwani we jin😂😂
@Hamis-ks1syАй бұрын
Kumbe wewe ni mpumbavu kwahiyo kusoma hiyo aya ndio kufuata yeye?
@AnnEsteban-sb8lnАй бұрын
Mfuate shekhe shaf akufundishe ww bado unajichanganya tu
@kalamamuller-qe1ydАй бұрын
I can't waste ma time 2 listen some nosense person like this
@issaabdallah1205Ай бұрын
Huwezi kutumia majini ispokuwa uwe mchawi
@user-kg9fn1ph9d
Ай бұрын
nabi Suleiman aliyetumia majini alikua mchawi?
@omaar5693Ай бұрын
tobaa,, Kwani hizo aya zinatoka katika kitabu cha suleimani? sasa teamfuata au twamsoma,,, na musa na haruni... umemsahau furauni nae ametajwa maranyingi twamfuata ama?... sipingi ila iyo hoja si ya kielimu...
@kalamamuller-qe1ydАй бұрын
Mbugila mbugila hilineno maana yake ni kuto kujua au maamuma au ni bwege.sasa hii ni dharau na kibuli huyu mpuuzi kwel kwel
@user-tr3vt7nf2pАй бұрын
Dr sule mimi nakulalamikia sana sheikh wng siitaji utajiri mimi nahitaji tiba
@mobutu3884Ай бұрын
Hao walimu wenu yani hivyo wanavyowachanganya na vitabu vyenu wenyewe ndivyo hivyo wanvyowachanganyia maandiko ya Biblia, kama wanapishana kwenye maandiko yenu wenyewe ndio wataielewa Biblia?😂 ni msiba mzito. Watawapoteza sana , ndio maana mnaambiwa someni wenyewe vitabu mtaelewa hao wote wapo kimaslahi tu hakuna mwalimu wa kiislamu anaeijua Biblia bali ni janjajanja tu kama hizo.
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
Wewe hauna tafiti katika dini yako ya Ukristo,nyie Wenyewe hamfanyi ubada moja na kwenu marumbano yapo,Roman hawezi kusali KKT na Bibilia zenu zinatofautiana,Kwahiyo popote pale kutofautiana kupo kulingana na uelewa wa vichwa vya watu,mfano katika Nyie Wakristo wapo wanaosema Yesu sio Mungu na Wengine wanaamini Yesu ni Mungu,Wapo wanokula Pasaka na Wengine hawali pasaka,Wapo ambao hawasali jumapili na wapo wanao sali jumamosi,wapo wanaosema Mungu ni nafsi tatu na wengine wanapingana na hilo!Waislamu wote duniani tunamuamini Mungu mmoja na Quran moja hata kama yapo madhehebu mengi lakini hakuna anayepinga mambo muhimu!
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
Kuna mambo katika Uislamu ni ya ziada,mtu akifanya anapata malipo na hasipo lifanya hapati dhambi;kwahiyo Uislamu ni elimu pana sana!
@mobutu3884
Ай бұрын
@@RamadhaniLukambuzi kwani kuna dini inaamini kuna Mungu zaidi ya mmoja?
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
@@mobutu3884 Ndiyo ipo inaamini katika Mungu wengi!
@nomar3708
Ай бұрын
@@mobutu3884wakristo munaamini trinity 3 in 1. Miungu mitatu . Biblia zipo 63 na sio maneno ya yesu ila Paulo ndio amending. Kwenye hizo biblia hamna hata mara moja yesu amesema mimi mungu niabuduni. Ma pastor wenu wote wanashindwa kuonyesha hilo. Yesu mwenyewe kamsujudia mungu kwenye biblia. Yesu ni mtume wa mungu kama moses( musa) joseph( yusuf) na mitume wengine kabla yake na baada yake. Nyie wakristo munamuabudu lakini yesu sio mungu wala hana sofa za kuwa mungu.
Пікірлер: 54
SUBHANALLAH KWAHIYO HIZO AYA ZA SULEIMAN NA MUSA MA HARUN NDIO ZINA ISHARA YA KUWAFUATA AU KUFUGA MAJINI !!??MCHE ALLAH WE JAAHIL ,NABII SULEIMAN TUNAMUAMINI SIO KUMFUATA , NABII YAQOUB ALIOA NDUGU WAWILI TUMBO MOJA BABA NA MAMA WEWE UNARUHUSIWA KUOA NDUGU WAWILI NA UKAISHI NAO WOTE!!!??
Nawaambia iliyo kweli Uislamu na uganga hauwezi utenganisha, Uislamu na Majini (mapepo) hauwezi kuutenganisha, Uslamu na Ushirikina hauwezi utenganisha. Njoo kwa Yesu mpate uzima wa milele bure mtadanganyana na kuzidi kudanywa. Andiko hili mtalikumbuka saa ile ukifa ni kuzimu moja kwa moja
@yussuphsultan1400
Ай бұрын
Kwani wale wachungaji na yale mafuta ni nini kwani
@joshuajohn8533
Ай бұрын
@@yussuphsultan1400 mafuta na chumvi Ni uganga na uchawi njoo kwa Yesu ataondoa hayo
@joshuajohn8533
Ай бұрын
@@binarytanzania nakuuliza swali wewe hujawahi mfiara mwanamke? Ongea kweli
Shekh hujui kitu yaan hujui wallah
Shekh mbogo hebu tofautisha kati ya kumfuata na ukumbusho juu ya manabii waliopita sisi waislamu shida hatusomi tunajenga hoja kutetea uovu bt sisi tunatakiwa tumfate muhammad tu 7:157 qur an
mashallah allah mtukufu ameumba binadamu na majini rengo yakumuomba mwenyezi mungu majini wema niwa islam na majini mabaya niwashirikina
Shekh mbogo mnatoa elimu kubwa sana elimu hiyo watu wachache tu ndio tuliopewa uwezo huwo duniani asilimia 30) tu dunia nzima sema pokea yote utakayopewa nawaumini
Ukimaliza tuambie wapi tunamfuata yeye Suleiman kupitia pete.
Mbogo uwo niwushilikina nakwambia ukweli
Mbogo huna elimu
Kutaja jina la mungu tu ni mtihan na lamtume shekh hanis huyu n wa wap
Huwezi kumtetea mchawi ispokuwa nawe ni miongoni mwao
Mbogo wanae kupinga hawasomi ila wamekalia sifa tu elimu zinamafungu mengi
Endelea kutoa maarifa maana mambugila wapo wengi, pia tufundisheni Dua tofauti tofauti na nyiradi na idadi maalum kwenye kuhomba haja fulani Shukran. Mimi ndio yule jinni niliyekuwa nakupigia simu 😅😅😅
Sisi uku kwa Yesu hayo majini ndio tunayaita mapepo tunayakemea na kupiga kelele kuwatoka watu. Hakuna jini mbaya na mwema hapa wote ni waovu mmemkata Bwana wa uzima wa milele. Neno la Mungu linasema katika 2wakorinto 11:14 Shetani ana uwezo wa gujigeuza na kuwa mfano wa malaika wa nuru
@yussuphsultan1400
Ай бұрын
Na yesu aliwatoa pepo wabaya tu
@joshuajohn8533
Ай бұрын
@@yussuphsultan1400 Hakuna pepo au jini zuri mnadanganyana tu pepo Ni pepo
Kwa kifupi shek mbogo na sulle daah leo mnatetea majin kwel mazinge kapambana na dini mda mrefu lakn hakuingia kwenye udhalili huu
Sio karim ni karina😊
Sisi hatupo kwenye sheria ya sulaimani bali sheria ya muhammad , kwaiyo wa kufata ni muhammad tu.
Sura yako kama firauni
Wewe upuuz ulisema yakwamba achana na hawa masheikh mbugila mbugila loe unakataa mpuuzi kwel huyu umesaau kwamba ile clip bado tunayo
Mnaonaje tukujikita kusoma Tawhid jamani
Huyu ushekh kaupata wapi maana ni juha hajielewi
@KhalfanMakota
Ай бұрын
Sheikh ili jinga sana ...sasa kuna mithani gani kati haya aya alieitoa na kumfuata suleyman...na kuisoma kwenye ruqia ndo imesema kuwa tumfuate suleiman😂😂
Shesh. Sema munafata uo uganga t muctuchangany waganga wakubwa
Wewe unaoyesha elimu huna ila unataka kuulaghai umma kusoma aya inayomtaja suleymani sio kumfua lejea maana ya aya hiyo ndo uelewe inamaanisha nini
Shehe mbogo tofautsha kufuata na nakuamini labda nikusaidie kila nabii kaja kwazama zake nadharia nadharia zangu kwahy manabii nikuwaamin syo kufuat lakini lapil kutajwa Seleman kati ruky sy kumfuata, mbona frauni naye unaofuata?
We jamaa mjinga cjawahi yaan ushahid wa kumfuata nabii suleiman ndo umetoa haya hyo hv umeilewa ....kaka aya hyo hakuna inapoonyesha kumfuata suleyman aya imenukuu vile masheitwan walivyofuata yale ya uongo kwenye ufalme ya suleiman
We kaka kweli elim huna ..aya iyo haionyesh kumfuata suleiman hapo katika umma huu...mitume yote iliyopita tunaiamin kwa ibrahim tulivyoambiwa tumfuate maan yake nini ...unafaham soma kaka acha ujinga huo
Assalam alaykum mm nna matukio mengi yalomtokea mtu nnaemjua matukio ya ajabu na skutaka kuyahadithia ila nikimpta sheikh Walid au Dr Sule ntamhadithia
Hili halijui dini ujinga umekuzonga kusoma aya iliomtaj sulimani sio kumfata kile ni tuu Haya ndo matatizo yakujifunza uganga wakaacha kunifunza dini
@KhalfanMakota
Ай бұрын
Jinga ili nikajua linatoa ushuhuda wa kumfuata nabii suleiman ...lilichofanya eti ni kunukuu aya ya iliyomtaja nabii suleyman kweny suratil baqra sasa ndo nin ....ndo kuna mahali pa kumfuata hapo...afu hao waliofuata uo upotefu ni makuhani wa zama hz ambao wananasibisha uchaw kwa uwez wa nabii suleiman
Kwani we jin😂😂
Kumbe wewe ni mpumbavu kwahiyo kusoma hiyo aya ndio kufuata yeye?
Mfuate shekhe shaf akufundishe ww bado unajichanganya tu
I can't waste ma time 2 listen some nosense person like this
Huwezi kutumia majini ispokuwa uwe mchawi
@user-kg9fn1ph9d
Ай бұрын
nabi Suleiman aliyetumia majini alikua mchawi?
tobaa,, Kwani hizo aya zinatoka katika kitabu cha suleimani? sasa teamfuata au twamsoma,,, na musa na haruni... umemsahau furauni nae ametajwa maranyingi twamfuata ama?... sipingi ila iyo hoja si ya kielimu...
Mbugila mbugila hilineno maana yake ni kuto kujua au maamuma au ni bwege.sasa hii ni dharau na kibuli huyu mpuuzi kwel kwel
Dr sule mimi nakulalamikia sana sheikh wng siitaji utajiri mimi nahitaji tiba
Hao walimu wenu yani hivyo wanavyowachanganya na vitabu vyenu wenyewe ndivyo hivyo wanvyowachanganyia maandiko ya Biblia, kama wanapishana kwenye maandiko yenu wenyewe ndio wataielewa Biblia?😂 ni msiba mzito. Watawapoteza sana , ndio maana mnaambiwa someni wenyewe vitabu mtaelewa hao wote wapo kimaslahi tu hakuna mwalimu wa kiislamu anaeijua Biblia bali ni janjajanja tu kama hizo.
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
Wewe hauna tafiti katika dini yako ya Ukristo,nyie Wenyewe hamfanyi ubada moja na kwenu marumbano yapo,Roman hawezi kusali KKT na Bibilia zenu zinatofautiana,Kwahiyo popote pale kutofautiana kupo kulingana na uelewa wa vichwa vya watu,mfano katika Nyie Wakristo wapo wanaosema Yesu sio Mungu na Wengine wanaamini Yesu ni Mungu,Wapo wanokula Pasaka na Wengine hawali pasaka,Wapo ambao hawasali jumapili na wapo wanao sali jumamosi,wapo wanaosema Mungu ni nafsi tatu na wengine wanapingana na hilo!Waislamu wote duniani tunamuamini Mungu mmoja na Quran moja hata kama yapo madhehebu mengi lakini hakuna anayepinga mambo muhimu!
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
Kuna mambo katika Uislamu ni ya ziada,mtu akifanya anapata malipo na hasipo lifanya hapati dhambi;kwahiyo Uislamu ni elimu pana sana!
@mobutu3884
Ай бұрын
@@RamadhaniLukambuzi kwani kuna dini inaamini kuna Mungu zaidi ya mmoja?
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
@@mobutu3884 Ndiyo ipo inaamini katika Mungu wengi!
@nomar3708
Ай бұрын
@@mobutu3884wakristo munaamini trinity 3 in 1. Miungu mitatu . Biblia zipo 63 na sio maneno ya yesu ila Paulo ndio amending. Kwenye hizo biblia hamna hata mara moja yesu amesema mimi mungu niabuduni. Ma pastor wenu wote wanashindwa kuonyesha hilo. Yesu mwenyewe kamsujudia mungu kwenye biblia. Yesu ni mtume wa mungu kama moses( musa) joseph( yusuf) na mitume wengine kabla yake na baada yake. Nyie wakristo munamuabudu lakini yesu sio mungu wala hana sofa za kuwa mungu.