DR.SULLE SASA AUTUA MZIGO MZITO/WANAOSEMA KUHUSU MIMI WANATAFUTA UMAARUFU UWELEWA WAO NI MDOGO SANA

#live #drsulle #tanzania #islaamic

Пікірлер: 127

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823Ай бұрын

    Sulle kama Sulle huna mpinzani. ALLAH akuhifadhi.

  • @xenioribra3765
    @xenioribra3765Ай бұрын

    Allah. Akutunze

  • @HemedSamsoni
    @HemedSamsoniАй бұрын

    Mwenyez mungu akupe maisha marefu ... ❤❤

  • @ole_larusai587
    @ole_larusai587Ай бұрын

    Wapinza wa Dr.Sule wamepigwa na kitu kizito na Chenye ncha kali utosini.❤

  • @femidayahaya4882

    @femidayahaya4882

    24 күн бұрын

    Wameyakanyaga😂😂😂😂

  • @NicholasZulu-dj5jt
    @NicholasZulu-dj5jtАй бұрын

    Dr sule pigakazi mu saidi yawatu malipo nka mungu wa ace fitina

  • @ShabaniAbdi-bn1gz
    @ShabaniAbdi-bn1gzАй бұрын

    Mwamba wa kimataifa 👏💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @Suleimanokechi
    @SuleimanokechiАй бұрын

    Alhaji Doctor sule nakukubali sana sheikh wangu

  • @sultansallah8772
    @sultansallah877212 күн бұрын

    Ujanja ujanja. Wa kiswahili huuwezi kumleltea ALLAH

  • @mukhusinathuman6596
    @mukhusinathuman6596Ай бұрын

    Sule ni genius..👍

  • @user-oe2ty7ds4g
    @user-oe2ty7ds4gАй бұрын

    Siri ya Pepo na moto ni ya MUNGU,hivyo tusihukumu.

  • @Commonp
    @CommonpАй бұрын

    Mashaallah nimesikiliza mpaka mwisho ❤

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950Ай бұрын

    Hakuna aya wala hadithi , ni rai zake na akili zake. Usidanganye masufi. Alhamdulilah law kuufaham usalafy

  • @HemedSamsoni
    @HemedSamsoniАй бұрын

    Sule akili nyingi

  • @AbdullahNamachokole-gm3ub
    @AbdullahNamachokole-gm3ubАй бұрын

    Nakukubari sana dr sule kama unavy sema kwa ss atuone umuhimu wako ila ukifa ndip tutaona umuhimu wako ila nice sana

  • @NassourJuma
    @NassourJumaАй бұрын

    Dr sule ni zaidi y genius..hongera sana

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293Ай бұрын

    Huyu dr sule anjua dini hajui kuhusu majini malaika ndiye wanaoshukuwa dua zetu kumpelekeya mwenyezi mungu

  • @Rooney1184
    @Rooney11848 күн бұрын

    [Sura ya 24] -{surat Al nur} 21. Enyi mlio amini! Msizifuate nyayo za Shet'ani. Na atakaye fuata nyayo za Shet'ani basi yeye huamrisha machafu na maovu. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu na rehema yake juu yenu, asingeli takasika miongoni mwenu kabisa hata mmoja. Lakini Mwenyezi Mungu humtakasa amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua

  • @toufiqjaffary7991
    @toufiqjaffary7991Ай бұрын

    Umetoa darasa zuri sanaa doctor 🙏🙏🙏

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8oАй бұрын

    Iyo ya pete utambulisho tupe Dalili ustadh tuambieni kweny hadith na Quaran😢tine

  • @Kizua417
    @Kizua417Ай бұрын

    Mashaallaah

  • @halimaa9367
    @halimaa9367Ай бұрын

    SubhanaALHA

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hfАй бұрын

    Safi sana dokta wewe unajuwa

  • @bilalabas9636
    @bilalabas9636Ай бұрын

    Dah sheikh ww sio mtu wa kawaida Kila nikikuskiliza napata kitu kipya Allah akuhifadhi

  • @ISMAILIbrahim-ys5vl
    @ISMAILIbrahim-ys5vlАй бұрын

    Nakuelewa sana she sule

  • @Rooney1184
    @Rooney11848 күн бұрын

    [Sura ya 3 Quran]-{surat Al Nisai} 38. Na ambao hutoa mali yao kwa kuonyesha watu, wala hawamuamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho; na yule ambaye Shet'ani amekuwa ndiye rafiki yake, basi ana rafiki mbaya mno.

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5yАй бұрын

    AsthakafiruAllah.

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616Ай бұрын

    ujinga tu unatumia akili badala ya dalili dini haijengwi kwa rai rai tu bali na mafundisho ya mtume muhammad SA,W

  • @majutojuma7654

    @majutojuma7654

    25 күн бұрын

    Kwaiyo wewe ulitaka atumie nn? Sasa akili tulipewa yanini kama sio kutafakari? Nyie wenye mtazamo huu ndio mnaotukwamisha.

  • @Rooney1184
    @Rooney11848 күн бұрын

    119. Na hakika nitawapoteza na nitawatia matamanio, na nitawaamrisha, basi watakata masikio ya wanyama, na nitawaamrisha, basi watabadili aliyo umba Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumfanya Shet'ani kuwa ni mlinzi wake badala ya Mwenyezi Mungu, basi huyo amekhasiri khasara ya dhaahiri. 120. Anawaahidi na anawatia tamaa. Na Shet'ani hawaahidi ila udanganyifu 121. Hao makao yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo.

  • @AthumanMohamed-xq1qe
    @AthumanMohamed-xq1qeАй бұрын

    Dt ninakuewa sana

  • @kasimuhamisi195
    @kasimuhamisi195Ай бұрын

    Elimu kubwa, Akili nyingi

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimuАй бұрын

    Waisilamu Takbiiir

  • @Rooney1184
    @Rooney11848 күн бұрын

    [Surat Al baqara] Aya ya 268. "Shet'ani anakutieni khofu ya ufakiri na anakuamrisheni mambo machafu. Na Mwenyezi Mungu anakuahidini msamaha na fadhila zitokazo kwake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa, Mwenye kujua" Aya ya 269. "Yeye humpa hikima amtakaye; na aliye pewa hikima bila ya shaka amepewa kheri nyingi. Na hawakumbuki ila wenye akili."

  • @Fathertrucker
    @FathertruckerАй бұрын

    Lakini dua ziko nyingi kwa nini tutumie majini na dua ziko za utajiti ama kinga

  • @sylvesternjgwila1055
    @sylvesternjgwila1055Ай бұрын

    King sule

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15Ай бұрын

    Sasa Siri hiyo 😮naijua wewe tu na mwalimu wako yahaya hussein

  • @Rooney1184
    @Rooney11848 күн бұрын

    [Sura ya 6] -{ Surat Al An aam} 43. Kwa nini wasinyenyekee ilipo wafika adhabu yetu? Lakini nyoyo zao zilikuwa ngumu, na Shet'ani akawapambia waliyo kuwa wakiyafanya.

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar4520Ай бұрын

    Kwan ww hukumuhukum hamornize kua atakufa ety aombe msamaha

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357Ай бұрын

    Kina shafi wanatoa fatwa wakati elimu hawana

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuuАй бұрын

    Na kwa nn usiseme njia ulizo fanya juu ya hiyo Pete yenye mim ili uheshimike

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hfАй бұрын

    Kinacho wasumbuwa hawa ni chonyo majini wanatumia ila uwatumie viziri wapo wanao tumia majini kwa kuangalia akhera na wapo wanao tibia majini kuangalia dunia sasa hivi vitu lazima wavitambue hao mashekhe uchara

  • @user-go4ec5ex4m
    @user-go4ec5ex4mАй бұрын

    Mm naamn mbo yapo dunian

  • @danielkamau2987
    @danielkamau2987Ай бұрын

    Tafathali toa adiko unayo sema..dio tunjifunze..

  • @Benjathekingofficialtv
    @BenjathekingofficialtvАй бұрын

    Shetani ana nguvu sana 😂

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6wАй бұрын

    Kuna hili jambo pia kuombea maji dua kisha yakatumika kwa wagonjwa ama kumwaga sehemu ya biashara.kuna kutumia majani ya mkunazi kwa mambo tofauti na si tuu vipo vitu vingi hutumika kama madawa na watu hutegemea utenda kazi wake.na ili hali watu wanajua allah yupo.mimi naona kutokana na uelewa wangu hizi ni asbab.mfano allah ndie anae toa roho za watu lakini sababu za watu kufa ni nyingi.wengine ajali maradhi hapa inategemea ulipo fia nia yako nini?ndio maana ya jambo lako mwenye anae jua uhakika wako ni allah peke yake..

  • @omarsultan8029
    @omarsultan8029Ай бұрын

    Dr sulle .Rangi gani ya kito cha pete ni Inzuri kwa wanaume kuvaa ??

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hfАй бұрын

    Ndio watu huwa wanaharibiwa nyota zao kwa hasadi na chonyo

  • @Fathertrucker
    @FathertruckerАй бұрын

    Doctor twataka debate hapa ili tuelewe sulle vs shaff

  • @umugwanezaliliane7988
    @umugwanezaliliane7988Ай бұрын

    Mtangazaji upanga wa radi Mambo vipi kaka

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimuАй бұрын

    HAPA UKWELI TUTAUJUA SASA

  • @Fathertrucker
    @FathertruckerАй бұрын

    Twataka sunna na quruani

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5yАй бұрын

    Mandhaladhi yashfau indhauila biidhini,,,

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293Ай бұрын

    Kunahitilafiaba lakini sule malaika sio jini malaika n DC iye wanatechukua dua sio jini

  • @Fathertrucker
    @FathertruckerАй бұрын

    Tufanyie matukio live na pete ya ajabu

  • @mohamedothman5792
    @mohamedothman5792Ай бұрын

    Haya yote yanapelekea shirk, hayafai hata kama yana manufaa

  • @Fathertrucker
    @FathertruckerАй бұрын

    Doctor hapa twataka debate vs shaffi

  • @salumsimai642
    @salumsimai642Ай бұрын

    Namuelewa sule Ila shida yake hatoi dalili anaongelea zaidi ufahamu wake na uislamu ulishatimia ss ni kufata tu Sasa unachokifanya onyesha ushahidi juuu ya uhalali huo kwa sababu tumeambiwa mkivutana ktk rudini ktk kitabu na sunna suala matumizi ya Pete na mvuto mbona geni kwa mitume na maswahaba

  • @majutojuma7654

    @majutojuma7654

    25 күн бұрын

    Nawewe toa dalili kwamba anachosema Sule sio kweli.

  • @Fathertrucker
    @FathertruckerАй бұрын

    Majini wengine wanaishi kwenya minuyu pia

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beatsАй бұрын

    Doh!! UISLAM ni kua mchawi me sisemi utaenda motoni lakini kama kuna mtu amekuelewa basi ameuelewa uchawi na anaimuishi hata kama haufanyi

  • @AyubuKalukula
    @AyubuKalukulaАй бұрын

    Tubu kwa Allah sule hakuna muongozo ulobora ila nikutoka kwa rasulillahi

  • @alhadajjmohammedsmith9042

    @alhadajjmohammedsmith9042

    Ай бұрын

    Sahihi. Mvuto uletwe Kwa Kutegemea Kitu/Kiumbe (Pete) badala ya Nguvu ya Mungu?! Huyo Yusuf na WA mfano wako Walikuwa na Mvuto kwa Kutumia Pete/Kiumbe?! Kumtegemea/Kushirikiana na Kiumbe au Kumfanya Mungu hawezi lazima ahusishwe na Kiumbe Hapo ndo Shida. Kweli Pete ni Pambo, Zinaongeza Nguvu/zinapunguza Nguvu kulingana Aina ya Pete na Madini yaliyomo ktk Pete, Jinsia ya Mtu (Me/Ke) na Kuvaa Pete pasi itikadi ya Msaada wa Mmajini Si Dhambi/Si Haramu. Laakin Kuitikadi Kutakuwa na Msaada wa Kijini badala ya Mungu/Kwa Kushirikiana na Mungu hapo ndo Ushirikina/Haramu sababu BinAdam hatuna Elimu ya Ghaiybu ya Kujuwa UchaMungu wa Jini Muislamu/Jini Mwema. Kinachokhofiwa ni Kuterezeshwa na Majini huweza Kujidanya Mwema/Muislamu kumbe Kafiri-Shaiytwan/Kafiri. Kama BinAdam tu Unamuona/unamjuwa laakin huwezi Juwa aloficha Nafsini/Moyoni (Sirini) mwake ndo utajuwa Siri ya Jini ambaye humwoni/haonekani na hata Ukimwita aje Uonane naye ana Kwa ana haji/hajitikezi Kwa Umbile lake halisi Bali hujibadilisha ndo atashindwa Kukurubuni/Kujibadili akudanganye yeye Mwema/Muislamu na kumbe ni Kafiri/Si Mwema Bali ni Shaiytwan/Ibilisi?!🙌 Sasa Kwanini ujitie ktk Mashaka Hali Mungu ameweka Njia nyingi zisizo na Mashaka?!🙌 Hapo Kutakuwa tu na Masharti Magumu na ya Siri ya Kishirikina/ya Kufuru baina yake/Mganga na Jini/Majini yatamuongoza pasina Kujuwa au Kuona Kufanya ya Haramu/Shirki na Kuitikadi/Kuamini ni Nguvu ya Kipaji Cha Mungu Kumbe Nguvu za Kichawi/Jini🙌 Mfano; Unaweza Kuoteshwa na Jini Usiku kwamba Uandike Aya ya Sura ya Qura'an ukailaze Makaburini/Jalalani Kwa Siku Kadhaa Kisha Uchanganye na Dawa/Vitu (Vyakula/Vinywaji) vya Halali tu ukadhani na Kuamini ni sahihi Si Dhambi/Si Haramu kumbe umeshafanya Haramu/Kuru Kuiweka/Kuilaza Qura'an Makaburini/Jalalani-Kwenye Najisi. Afu sio Lengo Kutibu/Kupona tu na Kama ndivyo basi hata Makahaba/Mashoga huwa na Maisha Mazuri Kwa Vipato vya Haramu. Wengi hujifanya/hudanganywa Kwa Kauli Utasikia; "unachotaka Kufanikiwa Kupona Ugonjwa/Kupata Mali tu, kwani Wewe Unauwa Mtu?!" Kwani Kahaba/Shoga anajuwa Mtu?! Kinachoangaliwa ni Njia/Utaratibu ulotumika/unayotumia Kuponya/Kutibu au Kupata Mali/Kuvuta Watu (Wateja) ni sahihi, amefundisha Mtume/Allah anaridhia?!

  • @hemedbamja3197
    @hemedbamja3197Ай бұрын

    Kuwa na elimu ni kitu kingine,ishu ni elimu halali?jitahidi kutoa elimu huku ukisapoti na rejea ya Aya ktk Quran. Maana hata elimu ya uganga nayo ni elimu

  • @tyronemofekeng7152
    @tyronemofekeng7152Ай бұрын

    Ila Harmonise ulimpeleka motoni

  • @user-do2id6pp4g

    @user-do2id6pp4g

    Ай бұрын

    Kasahau

  • @user-mt4sd6cj5y

    @user-mt4sd6cj5y

    Ай бұрын

    Unamsaidia mpaka mtu aliyeritadi ambaye hukumu yake unaijuwa.Innalililahi wainailahi Rajeun.walmushrikina fiinari jaharnama halidina fiha Abadan.

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293Ай бұрын

    'vaa pete kwa mapambo tu

  • @isihakaabdul1134
    @isihakaabdul1134Ай бұрын

    Hakuna mpinzani wa Sule kuweni waelewa huyu kakosea Kuhusu majini na mapete 😢 asiambiwe ?? Mbona yy alimwambia harmonise alipokosea !! Huyu kakosea hataki tu kukubali

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616Ай бұрын

    kuna jamaa hapa ananiambia dr kabadili gia angani pete sasa si mvuto wala makarama tena bali ni faida ktk mwili wa mwanadamu

  • @Fathertrucker
    @FathertruckerАй бұрын

    Je jini akiitaji damu

  • @user-mb3zq1jr1q
    @user-mb3zq1jr1qАй бұрын

    Naona hekima ikitumika

  • @mwajumapetekwa1734
    @mwajumapetekwa1734Ай бұрын

    Just

  • @Fathertrucker
    @FathertruckerАй бұрын

    Zitaje hixo sababu zako

  • @mussakantumba9914
    @mussakantumba9914Ай бұрын

    Huyu jamaa hana Elimu ya dini ila anajifanya mjuaji na ndio maana hataki kukubali kuwa amekosea Kuuchanganya Uislamu na Ushirikina na Uchawi.

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hfАй бұрын

    Skia sule mm nipo pamoja na wewe mpaka dunia itamaliza

  • @myself4128
    @myself412826 күн бұрын

    Ardhi sio cement😂😂 na mtune akisali akiwa amevaa Viatu na hakuna aya alisema msivae viatu isipokuwa vikiwa vichafu Tatizo la sikuhizi dini imekuwa biashara mtu anajibwabwajia tu

  • @abdullzahor3019
    @abdullzahor3019Ай бұрын

    Huku sule anapoelekea anapotea bila kujua nahii ndio shabaha ya ibilisi kwa masheikh km hawa huwapotezea bila wao kujua km wanapotea

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616Ай бұрын

    ndo mana ndacha alikuchapa kwa hoja zake za kijinga yani ulikosa nguvu kwa vile wewe unamuamini sana jini kuliko mungu

  • @rashidally8494
    @rashidally849427 күн бұрын

    Yani nyie wengine mna tia huruma mna msifu huyu ujahili wake wakati hizi hoja zake zote hazina asili katika dini hemu kwanza tusome Uislamu ndio mtajua kama ni mtu ambae amezama kwenye ushirikina mcheni Allah

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190Ай бұрын

    Waislam wamejificha weee asaivi wanadhihilika

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanziАй бұрын

    Je ulipeana vipi mikataba na majini?

  • @Rooney1184
    @Rooney11848 күн бұрын

    ألم أعهد إليكم يا بني آدم أن لا تعبدوا الشيطان إنه لكم عدو مبين * 50. Je! Sikuagana nanyi, enyi wanaadamu, kuwa msimuabudu Shet'ani? Hakika yeye ni adui dhaahiri kwenu

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    😅😅😅😅😅 Suleeeeeee toboa bhana Waislamu wabishi Uislamu na kutumia majini ni sawa kabisa hata Muhammad aliwatumia katika mapigano ya Badri 😅

  • @salehothman6144

    @salehothman6144

    Ай бұрын

    Uislamu upi unaruhusu kutumia majini na Muhammad yupi wee mwehu sana

  • @SammyMuimi-xi2ql

    @SammyMuimi-xi2ql

    Ай бұрын

    Toboa siri😂😂😂😂😂

  • @salumsimai642
    @salumsimai642Ай бұрын

    Shida ipo ktk matumizi uliyo yatoa na namna yakutumia hayo majini

  • @aishahasan7722
    @aishahasan7722Ай бұрын

    Hata marehem Shaikh YAHYA Husein walimwita mshirikina nawala hakujal alkuwa akitabir nyota nakutibu watu,

  • @nailaomar4810

    @nailaomar4810

    Ай бұрын

    Huyu mtu namchukia sana Hana ushekhe wowote mshirikina mmoja

  • @Putin331

    @Putin331

    Ай бұрын

    Unataka kufirwa sasa

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837Ай бұрын

    ukijifunza tauhid utaona kuwa Dr sule ni mshirikina.

  • @al-miskrychannel478
    @al-miskrychannel47810 күн бұрын

    Huyu mwamba ni mshirikina. Hafai kusikilizwq kabisa

  • @saidinsenda954
    @saidinsenda954Ай бұрын

    Ilo si shida elimu yako inaelewaka ila kwenye uislam aipo ingekua ipo kwenye uislam mtu angeifundisha apo naww uelewi sheikh ayo unayo eleza ayapo kwa dini ao tupe dalili kweny dini Quoran ao ata sunna tup dalili

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7zАй бұрын

    WANAWAKE MMESKIA UKO😊...MPUNGUZE KUVAA PLASTIKI.JAMANI HAYAONGEZI LOLOTE😊

  • @user-en8qs2yp2n
    @user-en8qs2yp2nАй бұрын

    Dini sio kiswahili dini ni dalil

  • @FarajiMapogo
    @FarajiMapogoАй бұрын

    Hiyo nguvu ya biashara kwenda kwa haraka kwanini ngivu hiyo isiitake kutoka kwa Allah badala yake kwajini?

  • @jjtm164
    @jjtm164Ай бұрын

    waislamu ni Washirikina wote

  • @Khmediy3241

    @Khmediy3241

    Ай бұрын

    Wakristo mafreemason woteeee!

  • @rajuxcharity

    @rajuxcharity

    Ай бұрын

    Acha ushamba wa kristo ndo washirikina hadi uko Italy wanapo wapangia sheria hadi wamesha waletea ushoga

  • @jjtm164

    @jjtm164

    Ай бұрын

    @@rajuxcharity Washirikina wanatumia (wanafuga majini) na majini hayakuli ugali chakula chake ni damu huoni hii

  • @Khmediy3241

    @Khmediy3241

    Ай бұрын

    @@jjtm164 nyie majini yenu ya kifreemason yanakula wali au ndo makalio yenu

  • @user-mt4sd6cj5y

    @user-mt4sd6cj5y

    Ай бұрын

    Uislamu is pure..acha ujinga.huyo Sule amepotea.na jini wake.

  • @user-hv4px1dh4l
    @user-hv4px1dh4lАй бұрын

    Waislam wote munatakiwa mfuge majini kama dk Sule/ muhamad mwenyewe alikuwa na majini

  • @rajuxcharity

    @rajuxcharity

    Ай бұрын

    Acha ushabik mandazi fata yakwenu uko

  • @1THEBRAIN
    @1THEBRAINАй бұрын

    Mbona harmonize ulimkufurisha bila ww kumsikiliza? Na ukasema ni wamotoni akifa ww ndio unaengawa pepo na moto acha ushirikini, huwezi sema eti, pete inaweza kukusaidia chochote huwezi tegemea pete

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogoАй бұрын

    Huyu sule nakwambieni kashadata huyu

  • @othmankassim3958
    @othmankassim3958Ай бұрын

    Kama wewe ulipo mkufurisha hamonize bila ya kumuita

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619Ай бұрын

    Dr Sule Mwenyezi Mungu akubariki kwa kutupa elimu yako, nakufuatilia sana na najifunza mengi sana kutoka kwako. Huyu ndugu mtangazaji aendelee kujifunza, darsa nzuri ila haijapata mtangazaji au muulizaji mzuri

  • @isihakaabdul1134
    @isihakaabdul1134Ай бұрын

    Yani ss tulikuwa tunampenda kwa ajili ya Allah kumbe yeye anajua tunampenda kwa sababu ya mipete yake inatuvuta!! Mambo ya ajabu kabisa,

  • @Annalisejg2ur

    @Annalisejg2ur

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SalehAbdallah-zx2cq
    @SalehAbdallah-zx2cqАй бұрын

    hjmbiwa kuvaa pete ni dhmbi ww umkja kusema pete ina mvuto unawatumia majini ety kukultea mali ss hyo shirk usipotoshe wtu kwsb allah kshsm yy ndio kla ktu ndio wkuombw htk mshrika mna yy ndio mtoaj hkn upitie kwanan na je hlo panki lako unlokata si ni haram hyo kw kauli ya mtume s.a.w mbn ww unfny hvo kukata pank ss utatwambia nn ww watakaokufuata hao hao

  • @jjtm164
    @jjtm164Ай бұрын

    Huyo mitume alifundisha mambo ya ovyo

  • @rajuxcharity

    @rajuxcharity

    Ай бұрын

    Na papa wenu huko Italy kawafundisha ushoga

  • @jjtm164

    @jjtm164

    Ай бұрын

    @@rajuxcharity elimu za wakalidayo

  • @MOHDNASSOR-zv5cx
    @MOHDNASSOR-zv5cxАй бұрын

    Mshirikina mkubwa , ALLAH atakuhukumu mchawi ww .Sule shetani WA kibinaadamu👎

  • @user-kg9fn1ph9d

    @user-kg9fn1ph9d

    Ай бұрын

    wewe una kipimo kinachopima ushirikina?? au nyinyi ndo Wazee wakukalilishwa msikitini?

  • @papsmicrocreditcompanylimi1443

    @papsmicrocreditcompanylimi1443

    Ай бұрын

    Hahahaha kwamba anakipimo Cha ushirikina?? ​@@user-kg9fn1ph9d

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimuАй бұрын

    Uisilamu ndo huu sasa

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimuАй бұрын

    Ndacha kamata huyo

  • @mtumwasamaki

    @mtumwasamaki

    19 күн бұрын

    Mwanafunzi wake amexlimi

  • @sharrifidris3422
    @sharrifidris3422Ай бұрын

    Toa dalili sio maneno mengi bila ushahidi.wengine wanasifu una akili nyingi ni kweli🥺lakini elimu hakuna viswahili vingi tu.mara biology,sayansi, spiritual life,mara tiba zote hizi ni janja tu.umehaibisha uislamu na uganga wako na mapete,majini bila elimu.nenda madrasa usome.shida ya kuitwa sheikh bila elimu ni shiiiiiiida.wasiona elimu wanaweza thani umesoma kweli kumbe ujanja tu.

  • @Fathertrucker
    @FathertruckerАй бұрын

    Mbona maswaaaba hawakua Wakijua elimu hiyo ya pete ya mvuto ama bwana mtume salla lau ally wassalam

Келесі