SHK ABDULQADIR ALIPOULIZWA KUHUSU ARAFA NI MOJA AU KILA NCHI NA ARAFA YAKE

#riyadhTvZnz #zanzibar

Пікірлер: 248

  • @fahmymasoud1205
    @fahmymasoud1205 Жыл бұрын

    Allah akulipe,hakika hii ndio elimu ya kisalafy,sio kujiona bora kuliko wengine na kudharau wengine,,,,Allah akuhifadh sheikh

  • @iddswalehomar1323
    @iddswalehomar1323 Жыл бұрын

    Huyu bingwa hajazungumza kimrengo amezungumza ilimu ilivyo lau mashekh zetu wote wangekuwa hivi ingekuwa Bora zaidi lkn weengi niwale wa kupigania mirengo

  • @musakibwana4596

    @musakibwana4596

    Жыл бұрын

    Tunagawanywa kiushabiki na mashekhe wanaotafuta dunia na umaarufu

  • @mundhirhassan2708

    @mundhirhassan2708

    Жыл бұрын

    Kwaiyo unakubali laiti mashehe wote wangekuwa wajinga kwenye mas'ala ya mwezi kama huyu sio. Huu ni ujinga na hakuna kumepelekea kuongea uo ujinga ispokuwa ni kutokuwa na ílmu nalo. Na ndio maana wakasema wanachuoni "mjinga hawezi mjua msomi lakini msomi anamjua mjinga kwasababu kabla ya kuwa msomi alikuwa mjinga. Ndugu tafuta ílmu na ujue sio kumuona mtu anaongea ukajua kupatia, huyo kakosea kwa mujibu wa dalili za hadīyth.

  • @HamadAlly-ki8lr

    @HamadAlly-ki8lr

    Жыл бұрын

    Alichozungumza ni kwamba watu waifuate BAKWATA lakini yeye mwenyewe amesema nchi yetu ina uhuru sasa ndo tunatumia uhuru huo ili pale na UMOJA katika hili basi inabidi wenye mamlaka waseme mwenye haki ya kutangaza ni BAKWATA TU

  • @omariaman7818

    @omariaman7818

    Жыл бұрын

    ​@@mundhirhassan2708sheikh hakakosea ila kaongea kihekma kama umemsikia mwanzo kabisa kasema ni vyema kufata saudia arafah

  • @rashidbuzubona6577

    @rashidbuzubona6577

    Жыл бұрын

    @@mundhirhassan2708 kayapime maneno yako ww muogope mungu hy shekh hana ilmu kweli ndo inswaafu ya ilmu kweli ndugu?

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr Жыл бұрын

    Namuomba Allah akuweke na akuhifadhi na kila shari na balaa za watu na majini akupe umri mrefu wenye kher nawe tupate kuelimika Ammyn🤲🤲🤲❤❤❤

  • @shekhsamiudinonlinetv8272
    @shekhsamiudinonlinetv8272 Жыл бұрын

    Huyu ndo shekh wangu wa kumuiga mungu ampe umri mrefu

  • @m.othman866
    @m.othman866 Жыл бұрын

    Wallahi namkubali sana huyu Sheikh. Ana inswaaf na Khofu ya Allah. Allah amfhifadhi.. Anatumia kauli zote bila ubaguzi.

  • @MuhammadRajabu-uy9sz

    @MuhammadRajabu-uy9sz

    Жыл бұрын

    Shukrani Sana she

  • @user-yh5fu5lo9r

    @user-yh5fu5lo9r

    3 ай бұрын

    Asalam alaykum sheykh wewe umesomea wap

  • @MuhidiniNassor

    @MuhidiniNassor

    23 күн бұрын

    ​@@user-yh5fu5lo9rkwenu

  • @abasinho1094

    @abasinho1094

    21 күн бұрын

    Anatiwa Abdulkakadeer ,kaka ake na kishk na ukoo unaotokana na Mtume Muhammad S A W..huyu ni msomi wa fatwha,al Qur'an wal hadidh....

  • @mohamedlamimu
    @mohamedlamimu Жыл бұрын

    Jazakalllah khairan Sheikh! Sijapatapo kuona ahla sunna mwwnye hekima na busara nyingi kama wewe!

  • @ZuleikhaAbdallah
    @ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын

    Kabla ya kuandika chochote nimepitia comments zote alhamdulillah nikakuta wengi wenye kuvutiwa na usulubu wa sheikh huyu alotumia katika maelezo yake. Ila pia la kusikitisha xikuwakosa wazee wa misimamo isiokua na elimu nao wakaandika utumbo wao wa kumdhihaki Sheikh Dah subhaaanallah kwa kweli kuwaridhisha watu wote ni ukomo ambao haujawahi kufikiwa MUNGU akuhifadhi sheikh nimevutiwa na mawaidha mazuri kabisa yenye inswaafu

  • @mansourmahseinal-amry2206
    @mansourmahseinal-amry2206 Жыл бұрын

    kuna kitu kinaitwa amana na ikhlas katika dini sheikh abdurkadir anamuongopa mola wake ana zingatia maslah ya umma na uisilamu mungu akujaze kheir آمين

  • @binaamour318
    @binaamour318 Жыл бұрын

    Mash lwah mm huyu alhadal namkubali Sana majibu yke hayana mihemuko n elmu na maslah mbele y umma wa kiislamu baark Leah fyka huyu ndie sheikh asie na jazba ya kielimu

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын

    Mashallah mashallah mashallah sharfu abdr qadir nakuelew vizr snaa,,Yan wew anajitahd sana kutogawa waislm,,Allah akulpe syo kam mashekh wengn wanawagawa waislm,,, Allah akulpe,,Kila la kher

  • @omarsuleiman9064
    @omarsuleiman9064 Жыл бұрын

    Kwakweli hyu shekhe yupo safi sana hapigi kelele Allah akuhifadhi

  • @AhmedAlharithiy-sg5cq
    @AhmedAlharithiy-sg5cq22 күн бұрын

    ما شاء الله بارك الله فيك يا شيخ استمر في نشر الوحدة والاعتصام

  • @AbuuAyman-nq6xk
    @AbuuAyman-nq6xk20 күн бұрын

    لله درك ياشيخ!! أين الخطباء فيسمعوا ويأخذوا منك (واعتصموا بحبل الله جميعاولا تفرقوا)

  • @omarabedi1372
    @omarabedi1372 Жыл бұрын

    Allah akuifadhi tungepata masheik kama hawa ingekua rahasana akika allah akuifadh

  • @abdililahahmed3095
    @abdililahahmed309515 күн бұрын

    Kuna tofauti kubwa sana baina ya mtu aliyesomeshwa elimu na aliyejisomea, Sheikh Abdulqadri ana elimu fasaha sana tena ana ikhlasi kubwa sana.

  • @muhidinzuberi8708
    @muhidinzuberi8708 Жыл бұрын

    Wallah huyu nishekhe kweli Allah amjalie afya

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Жыл бұрын

    Mashallah shukran sana sheik wangu asalaam alaykum warahmatullahi wabarakat Alhabib, jazaaka Allah kheir

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Жыл бұрын

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @zahranahmed4263
    @zahranahmed426316 күн бұрын

    MashaAllah maneno mazuri na iliobakia ni kufuata multi wa nchi na sote tuwe kitu kimoja hii ndio sawa

  • @user-bz1wl4si8j
    @user-bz1wl4si8j Жыл бұрын

    Wewe mzee una hofu ya Mungu Allah akuhifadhi...nafarijika sana na fatua zako kwa hakika wewe ni sheikh ila huyu kijana wako kishk anatuvuruga sana 😇 lakini tunamuombea dua kwa Allah amuongoze katika njia sahihi inshallah

  • @sikukuuchuo3093

    @sikukuuchuo3093

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂ety kijana wako

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi65621 күн бұрын

    حفظك الله ورعاك

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын

    Unaeleweka vzr sana abdr qadir,, mana unaweka vitu sawaa,,syoo kama mashekh wengne wanatfta kujifny wamesoma snaa kulko wengne,,allah akuweke zaid,,,mana hupend kugawa waislm kwaa,, maswlaa ya hitirafu,, Allah akuhfz

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Жыл бұрын

    Maashallah .... Haya ndio mambo ya Watu kujifunza kuwa sisi ni wadogo saana kuliko umri wa farqa baina ya maswala ya dini... Oneeni waislamu huruma masheikh kaeni chini yajadilini mambo kwa uadilifu na muwaunganishe waislamu maana khilafu ipo katika mambo

  • @JK-um6op
    @JK-um6op Жыл бұрын

    Kwa hakika shekhe kazungumza maneno ya busara Kabbisa hata huwezi kumwamuliya ni wa kikundi gani.. Allah atujaaliye hekma na busara sisi na viongozi wetu wa dini.. Baarak Allah feek ya sheikh wa ahsana Allahu ileyk..

  • @huseni9146
    @huseni9146 Жыл бұрын

    Mashaallh shukran jazakalah khairi shekh Allah akuhifadhi

  • @user-my2tf2xc9k
    @user-my2tf2xc9k20 күн бұрын

    Shuklan sana kwa elimu nzuri sana shekh ombi langu tumia busara na elimu kama hii kukaa na viongozi wetu ili kuyajenga wambie sio tu haipendezi bali inaturudisha nyuma sana hatupigia hatua.pia kama kuna jambo la kutengeneza dini basi kaeni chini mashekh muyajenge maana kujibizana kwenye midia tunadhalilika

  • @sygtamks1643
    @sygtamks1643 Жыл бұрын

    Masha Allah kaongea pwenti

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal545411 ай бұрын

    Shekh Allah akuhifadhi, umebakisha neno moja tu kusema ilitokea wakati wa maswahaba kukhitilafiana wakafunga shamu mapema kabla ya madina tab'an huko kweli ni kutofautiana kwa kuona siyo kuandama Hasha. Lakini katika kutofautiana huko Sham walifunga na kufungua pamoja, na Watu wa madina walifunga na kufungua pamoja. Haya ya nchi moja au mji mmoja kuwa na iddi mbili au kuwa na saumu wengine wana Idi hiyo Shekh Bila kuutafuta maeneo Ungeufahamisha umma kuwa ni Bid'a TENA ni Munkar. Allah akupeni wanazuoni wetu, Ujasiri katika kufikisha, maana kwa wanazuoni mtaulizwa siku ya kiama

  • @abdulsataribashiri8300
    @abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын

    Uyu ndo Sheikh Sasa wallahi nd maana huwa namkubali sasa Very good point yaan hata ambaye Hana ilmu Ana elewaa safi sana sheikh

  • @AshouHumaid
    @AshouHumaid Жыл бұрын

    Mashaaa Allah Tabaraka Allah hakika Sheikh umefahamisha kwa ufasaha yapasa kuzingatia kwa wenye hekma.Jazzak Allah khairan.

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Жыл бұрын

    Sllah alupandishe cheo shekh na kukubali .naomba uwe ukituelimisha unapo kuwa na wasaa inshaalah .

  • @mariamthabit9773
    @mariamthabit9773 Жыл бұрын

    Maa'shaa Allah barakallah fiykum

  • @istambulahmed6664
    @istambulahmed6664 Жыл бұрын

    شكرا وجزاك الله خيرا وبارك الله فيك

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Жыл бұрын

    Allaah akurehemu shekhe,ww ni mwanachuoni wa kufaa kuckilizwa

  • @mohamedalimwangare
    @mohamedalimwangare Жыл бұрын

    Mashallah thuma Mashallah Alhamdulillah yaani maelezo yako wenye fahamu wakiyazingatia basi hakuna kuvutana wala kukejeliana wala kudharauliana na kuvunjiana adabu.

  • @kassimhassan8426
    @kassimhassan8426 Жыл бұрын

    MashaAllah ust

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed Жыл бұрын

    Mm nko wa kusema Kila mtu Ana Arafa kulingana na mwandamo.lakini Lau watu wangefwata anavyo sema huyu shekh hakuna mzozo kabisaaa.jazaakallah akhul fadhila

  • @nasrarichadi2278
    @nasrarichadi2278 Жыл бұрын

    Wewe ni mcha Mungu allah akupe afya njema na akupe umri mrefu

  • @munic6686
    @munic6686 Жыл бұрын

    Jazakallahu khaira

  • @hon.fahadijumalikwena1012
    @hon.fahadijumalikwena1012 Жыл бұрын

    Kuna jambo la kujifunza sheikh ametoa somo pana mno. Allah amuhifadhi

  • @rashidabasi7940
    @rashidabasi7940 Жыл бұрын

    Kishki ajifunze uadilifu kwa huyu Sheikh Allah ampe furaha dunai wa Akhera. NAPENDA SANA FATWA ZAKE WITH EVIDENC

  • @fahmymasoud3653
    @fahmymasoud3653 Жыл бұрын

    Mash Allah,elimu yenye taqwa,hii ndio elimu maana ina hofu ya Allah

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Жыл бұрын

    Una akili sana wewe mashaallah Allah akuruzuku hekima nabusara

  • @muhammadhussein3061
    @muhammadhussein3061 Жыл бұрын

    Maashaallah sheikh umetumiya hekmaa(busara ya Hali ya juuu) waislamu haipendezi kufarakanaa .

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Жыл бұрын

    Shukran sana maneno yko mazur sana ❤

  • @athumanikadaika5817
    @athumanikadaika5817 Жыл бұрын

    Elimu na ucha mungu vikikaa pamoja athari yake ndo hii. Hakuna kutiana motoni wala kutoana peponi kwasababu ya hitilafu. Namuomba Allah akuthibitishe ktk waja wema wenyekufuatwa.

  • @muddypara5511

    @muddypara5511

    Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi

  • @mahdy011
    @mahdy011 Жыл бұрын

    Allah akubariki sheikh

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 Жыл бұрын

    Mashallah Allah akubarik sheikh

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Жыл бұрын

    MASHA ALLAH sharif 🇰🇪💚💚💚💚💚💚

  • @SekaMaster45
    @SekaMaster453 ай бұрын

    Upo sahihi Shekh Nimekupenda sana❤❤ Allah Akujaalie mwisho mwema Inshallah

  • @SuleimanBabu-yf9dp
    @SuleimanBabu-yf9dp Жыл бұрын

    mwenzi mungu akukinge na sharizawatu namajini

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Жыл бұрын

    Mashekh jifunzeni kwake huyu shekh kaongeya vizuri dini yetu inatakiwa tupate mashekh kama hawa naamini wengi wangielekeya katika dini .Allah atuongoze .

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Жыл бұрын

    Vema sheikh shukran

  • @fahmiabdulla7690
    @fahmiabdulla7690 Жыл бұрын

    MASHAA ALLA

  • @aninanichasi422
    @aninanichasi422 Жыл бұрын

    maashaallaah umesema kweli allaah akuhifadhi

  • @user-cz6zt8dw7b
    @user-cz6zt8dw7b Жыл бұрын

    Maashaallah maashaallah

  • @swahibually8349
    @swahibually8349 Жыл бұрын

    Alhamdulillaahi rabbi l-aalamiin, Mawahabi naona mnaanza kuelewa kidogo kidogo MUNGU awajaalie muelewe kilichozungumzwa na Wanawachuoni Wacha Mungu,mngelifahamu hili tangu mapema wala kusingekua na mizozo

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah

  • @user-yl8qv5lc6h
    @user-yl8qv5lc6h Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @harunatumba8447
    @harunatumba8447 Жыл бұрын

    Maashallah mashekhe kama hawa ndio tunaowahitaji katika dini na sio wale wanaovutia upande wanao amini wao

  • @saidessry9942
    @saidessry9942 Жыл бұрын

    Baarakallahu fiika

  • @abdallhabinmkasibayyat6657
    @abdallhabinmkasibayyat6657 Жыл бұрын

    Kiukweli tungekuwa na masheikh kama hawa kiukweli ni raha

  • @abdullah-eq3lt
    @abdullah-eq3lt Жыл бұрын

    huyu ndio shekh aliepata elimu ya uchamungu

  • @HossamHossam-zs1hk
    @HossamHossam-zs1hk Жыл бұрын

    مشالله تبارك الله جزاك الله خير الجزاء يا شيخ

  • @makoyeghorofa1946

    @makoyeghorofa1946

    Жыл бұрын

    J

  • @nasrarichadi2278
    @nasrarichadi2278 Жыл бұрын

    السلام عليكم يا شيخ أنا محي الدين من كهم شنيانغى تنزانيا أقر أني أحبك لله

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 Жыл бұрын

    Baaraka llahu fik

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j3 ай бұрын

    hiyo ndio dini shekh maahashallah uislamu umoja

  • @user-mi3cs9lc6y
    @user-mi3cs9lc6y Жыл бұрын

    Masha Allah mawahab kuwen na inswaaf si kila kitu ni kubisha .naam shekh huyu ni mwamba ktk elimu.

  • @user-ci5wm8fb1x

    @user-ci5wm8fb1x

    Жыл бұрын

    Unajua maana ya wahabi

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    23 күн бұрын

    ​@@user-ci5wm8fb1xtuambie ww mana ya wahabi ni nn

  • @jumahory859
    @jumahory859 Жыл бұрын

    Jazzaka llah kheri umefafanua kielimu na unatumia farsafa ya Aya nahadithi zamtume sw hivi ndivyo inavyotakiwa

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Жыл бұрын

    Nimeipenda sana hii

  • @user-zg6qk8fu4g
    @user-zg6qk8fu4g Жыл бұрын

    Insha Allah Allah awalipe dungu zangu

  • @hamisishirikisho2199
    @hamisishirikisho2199 Жыл бұрын

    Sheikh nakuomba ukae uwafundishe vijana wanaokurupuka kuwakufurisha waislamu wenzao.Allah akuhifadhi sheikh. Uendelee kuismamia haki

  • @sabdiduwil8436

    @sabdiduwil8436

    Жыл бұрын

    Tanzania km kuna sehemu ya kusimama arafa bc tuitangaze duniani ili watu waje kuhiji na wafunge cku hiyo.

  • @hamisishirikisho2199

    @hamisishirikisho2199

    Жыл бұрын

    Kipindi cha Corona hatukuona kisimamo na watu walifunga. Kama ingekua haifai zingehairishwa zote mpaka funga

  • @lubuva708
    @lubuva708 Жыл бұрын

    Sheikh Yuko sahihi

  • @kawiyamngoni4656
    @kawiyamngoni4656 Жыл бұрын

    Mashaallah shekhe wangu

  • @HamadAlly-ki8lr
    @HamadAlly-ki8lr Жыл бұрын

    Muwe mnasikiliza vizuri maneno ya wasemaji na kuyafahamu

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Жыл бұрын

    MAASHAALLAH Tabaraka LLAH,"Adalatul l-i'lmiya"

  • @user-ur6tj9dt5k
    @user-ur6tj9dt5k Жыл бұрын

    Kila la kheri shehe wangu

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Жыл бұрын

    Sahihi kabisa

  • @ahmadbadawi9664
    @ahmadbadawi9664 Жыл бұрын

    Moja ya masheikh nguli nchini👍

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi65621 күн бұрын

    Ni kweli

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji549523 күн бұрын

    Vipi ule Mwezi ulioonekana Tandahimba na Newala ukashuhudiwa na waumini na masheikh wa kata na wilaya lakini kuna viongozi wakaukataa. Watu wajitahidi tu kuheshimiana, kulinganiana kwa wema na kufungamana na haki bila kutawaliwa na itikadi, jazba na njaa

  • @rashidabasi7940
    @rashidabasi7940 Жыл бұрын

    Huyu Sheikh ni mfano wa kitabu kwangu.. Nayo yaunga mkono najifunza zaid kwake .. nisiyounga mkono najifunza kwake tena nikiwa na hammu na tamaa. SIO MASHEIKH WETU TANZANIA NA KENYA,Burundi wao niwaftaji wa wafuasi wengi.

  • @ttyyyyuuuuuu
    @ttyyyyuuuuuu Жыл бұрын

    *Arafah:* Ni pahali pako Maka panaitwa Arafah na hapo liko Jabali linaitwa Arafah au kwa kina jengine Jabal Arahma na mwaka mzima liko na pahala pako *Yaum Arafah:* Ni tareh tisa Dhul Hija ni siku inaitwa Arafah kwa wanao hiji wanatakiwa siku hio waweko pahala hapo ambapo panapoitwa Arafah, ni katika nguzo za Haji huko na waliokuwa hawahiji siku ya Arafah yaani tareh tisa Dul Hija ni suna kwao kufunga. Kuita tarekhe kwa kitendo au tokewo ni kawaida, kama vile Aam Al Fill (Mwaka wa tembo), yaum nahar (siku ya kuchinja,) ayam tashriq, ayam tasii, yawm tarwiya, ayam biydh, aam huzn n.k. *Vitu viwili tafauti baina pahala na tarehe na kila pahala pana tarehe yake haitangulizwi wala hairejeshwi* Haikuthibiti Kuwa Mtume (ﷺ) baada ya kuhamia Madina alikuwa akipeleka wajumbe Maka ili walete habari ya Mwandamo wa mwezi wa Maka ili na wao wafate Mwandamo wa Maka na wapate Arafat Moja, pamoja na Maka na pia haikuthibiti alipokuwepo Maka au alipohiji alikuwa akiwapeleka wajumbe wake katika Miji ya karibu kama Madina au Ttaif ili awape Waumini habari kuwa wafate mwandamo na Arafah ya Maka. Aliyekuweko katika nchi amabazo zimechelewa kuona mwandamo wa Mwezi basi si vibaya ikiwa atafunga siku ya tarehe nane ya Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya tarehe 9 ya Maka yaani ni siku ya Arafah ya Maka kisha akakamilisha kufunga siku ya Tarehe 9 ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya Arafah kwake. Lakini muhimu asifunge siku ya yarehe 10 Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo ni siku ya Idi kwao.

  • @IbnuAlly-cg2gn

    @IbnuAlly-cg2gn

    Жыл бұрын

    Ikiwa arafah ni pahala na ikiwa siku ya arafah ni mwezi 9 je haya mafungamano ya pahala na mwezi kwa sisi tusiokwenda hijja yametokea wap ata tuiite siku ya arafah? Ni sawa haikuthibiti kuwa mtme صلى الله عليه وسلم alikuwa akipeleka watu kutafuta habar za mwezi wa makka lakin je imethibiti alikuwa akizikataa habar za mwezi wa huko?

  • @user-lb2lx5bq6e

    @user-lb2lx5bq6e

    Жыл бұрын

    Aliziamini taarifa ila zilikuwa za sehemu hizohzo alizokuwa akikaa , haikuthibiti pia kuwa alipokea taarifa za masafa makubwa kama Tanzania na Saudia , kama ipo taarifa hiyo ya masafa hayo tuletee hy simulizi

  • @mohamedmnango3660

    @mohamedmnango3660

    Жыл бұрын

    Huyu ni ulamaa mukhlis

  • @fakikombo7114

    @fakikombo7114

    Жыл бұрын

    Kwani arafa ni ck ngapi?

  • @alkhalilmussa5633

    @alkhalilmussa5633

    Жыл бұрын

    hongera sana

  • @madrasashoptvonline4175
    @madrasashoptvonline4175 Жыл бұрын

    Mashallah HIV ndio masheikh wanatakiwa wawe

  • @user-mf3be5ej7z
    @user-mf3be5ej7z Жыл бұрын

    Aalimun minkibarul ulamaa

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 Жыл бұрын

    Kaongea vizuri sasa mbona kishki anasema hakuna arafa mbili

  • @user-oc2xe8gm6b
    @user-oc2xe8gm6b22 күн бұрын

    anaekima uyu shehe mashallah ajikwazi kwa,elimu aliokua nayo

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 Жыл бұрын

    MASHAALLAH

  • @user-cz6zt8dw7b
    @user-cz6zt8dw7b Жыл бұрын

    Jiida jiida maashaallah

  • @asmabawazir9239
    @asmabawazir9239 Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa maneno yako

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Жыл бұрын

    Watu_wanadharauliana_bila_ya_kumukhofu_Allah

  • @samirasaid7587
    @samirasaid7587 Жыл бұрын

    Issue sio kupendeza, tunataka dini inasemaje Aidha quran inasemaje shekhe tusaidie hivo

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Жыл бұрын

    Hii ndio mzur sio yule anae hukumu watutu tu

  • @emmynoby9806
    @emmynoby9806 Жыл бұрын

    Anajua sna anahikma

  • @suleimanayoubkhamis5419
    @suleimanayoubkhamis5419 Жыл бұрын

    Arafa mlima ni mmoja. Lakini ufunga si moja wala si mbili. Yaweza kuwa ni siku tatu. Makka ikiwa saa7 mchana ambapo watu huanza kisimamo baada ya salat dhuhuri, utakuta marekani ni saa 11alfajiri muda ambapo adhuhuri bado. Na muda huohuo China huwa ni saa 1 usiku ambapo hawawezi kusimama wala kufunga usiku. Sasa marekani wafunge siku yao. Makka siku yao, na China siku yao. Siku tatu na arafa tatu.

  • @thulayali5858
    @thulayali5858 Жыл бұрын

    HAWA NDIO MASHEKHE AMBAO WANAPASWA KULINDWA DUNIANI KWANI MUNGU MWENYEWE AMEWAHIFADHI WATU WAKE WEMA HAWANA KIBURI HAWANA MAJIVUNO HAWANA PAPARA KATIKA KAULI HAWANA KUIGAWA DINI KWA HITILAFU NA WANASIMAMIA UMOJA NA AMANI YA WAISLAMU.

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Жыл бұрын

    hy ndo ajua hakki

  • @abuuanuwar4986
    @abuuanuwar4986 Жыл бұрын

    Safi sana kuanzia leo wewe ndo shekhe wangu

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын

    Ndyoo huyoo ndoo shekh mm huwaa namfatria snaaa,,yani hatak kujifnya kuwaa yy ndoo yy,, japokuwa ana elim kubwaa zaid,,

  • @suleimanamlima6023
    @suleimanamlima6023 Жыл бұрын

    Ujumbe mzuri

Келесі