SHK ABDULQADIR ALIPOULIZWA KUHUSU ARAFA NI MOJA AU KILA NCHI NA ARAFA YAKE
#riyadhTvZnz #zanzibar
Жүктеу.....
Пікірлер: 248
@fahmymasoud1205 Жыл бұрын
Allah akulipe,hakika hii ndio elimu ya kisalafy,sio kujiona bora kuliko wengine na kudharau wengine,,,,Allah akuhifadh sheikh
@iddswalehomar1323 Жыл бұрын
Huyu bingwa hajazungumza kimrengo amezungumza ilimu ilivyo lau mashekh zetu wote wangekuwa hivi ingekuwa Bora zaidi lkn weengi niwale wa kupigania mirengo
@musakibwana4596
Жыл бұрын
Tunagawanywa kiushabiki na mashekhe wanaotafuta dunia na umaarufu
@mundhirhassan2708
Жыл бұрын
Kwaiyo unakubali laiti mashehe wote wangekuwa wajinga kwenye mas'ala ya mwezi kama huyu sio. Huu ni ujinga na hakuna kumepelekea kuongea uo ujinga ispokuwa ni kutokuwa na ílmu nalo. Na ndio maana wakasema wanachuoni "mjinga hawezi mjua msomi lakini msomi anamjua mjinga kwasababu kabla ya kuwa msomi alikuwa mjinga. Ndugu tafuta ílmu na ujue sio kumuona mtu anaongea ukajua kupatia, huyo kakosea kwa mujibu wa dalili za hadīyth.
@HamadAlly-ki8lr
Жыл бұрын
Alichozungumza ni kwamba watu waifuate BAKWATA lakini yeye mwenyewe amesema nchi yetu ina uhuru sasa ndo tunatumia uhuru huo ili pale na UMOJA katika hili basi inabidi wenye mamlaka waseme mwenye haki ya kutangaza ni BAKWATA TU
@omariaman7818
Жыл бұрын
@@mundhirhassan2708sheikh hakakosea ila kaongea kihekma kama umemsikia mwanzo kabisa kasema ni vyema kufata saudia arafah
@rashidbuzubona6577
Жыл бұрын
@@mundhirhassan2708 kayapime maneno yako ww muogope mungu hy shekh hana ilmu kweli ndo inswaafu ya ilmu kweli ndugu?
@abbashussein-hz4dr Жыл бұрын
Namuomba Allah akuweke na akuhifadhi na kila shari na balaa za watu na majini akupe umri mrefu wenye kher nawe tupate kuelimika Ammyn🤲🤲🤲❤❤❤
@shekhsamiudinonlinetv8272 Жыл бұрын
Huyu ndo shekh wangu wa kumuiga mungu ampe umri mrefu
@m.othman866 Жыл бұрын
Wallahi namkubali sana huyu Sheikh. Ana inswaaf na Khofu ya Allah. Allah amfhifadhi.. Anatumia kauli zote bila ubaguzi.
@MuhammadRajabu-uy9sz
Жыл бұрын
Shukrani Sana she
@user-yh5fu5lo9r
3 ай бұрын
Asalam alaykum sheykh wewe umesomea wap
@MuhidiniNassor
23 күн бұрын
@@user-yh5fu5lo9rkwenu
@abasinho1094
21 күн бұрын
Anatiwa Abdulkakadeer ,kaka ake na kishk na ukoo unaotokana na Mtume Muhammad S A W..huyu ni msomi wa fatwha,al Qur'an wal hadidh....
@mohamedlamimu Жыл бұрын
Jazakalllah khairan Sheikh! Sijapatapo kuona ahla sunna mwwnye hekima na busara nyingi kama wewe!
@ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын
Kabla ya kuandika chochote nimepitia comments zote alhamdulillah nikakuta wengi wenye kuvutiwa na usulubu wa sheikh huyu alotumia katika maelezo yake. Ila pia la kusikitisha xikuwakosa wazee wa misimamo isiokua na elimu nao wakaandika utumbo wao wa kumdhihaki Sheikh Dah subhaaanallah kwa kweli kuwaridhisha watu wote ni ukomo ambao haujawahi kufikiwa MUNGU akuhifadhi sheikh nimevutiwa na mawaidha mazuri kabisa yenye inswaafu
@mansourmahseinal-amry2206 Жыл бұрын
kuna kitu kinaitwa amana na ikhlas katika dini sheikh abdurkadir anamuongopa mola wake ana zingatia maslah ya umma na uisilamu mungu akujaze kheir آمين
@binaamour318 Жыл бұрын
Mash lwah mm huyu alhadal namkubali Sana majibu yke hayana mihemuko n elmu na maslah mbele y umma wa kiislamu baark Leah fyka huyu ndie sheikh asie na jazba ya kielimu
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah sharfu abdr qadir nakuelew vizr snaa,,Yan wew anajitahd sana kutogawa waislm,,Allah akulpe syo kam mashekh wengn wanawagawa waislm,,, Allah akulpe,,Kila la kher
@omarsuleiman9064 Жыл бұрын
Kwakweli hyu shekhe yupo safi sana hapigi kelele Allah akuhifadhi
@AhmedAlharithiy-sg5cq22 күн бұрын
ما شاء الله بارك الله فيك يا شيخ استمر في نشر الوحدة والاعتصام
@AbuuAyman-nq6xk20 күн бұрын
لله درك ياشيخ!! أين الخطباء فيسمعوا ويأخذوا منك (واعتصموا بحبل الله جميعاولا تفرقوا)
@omarabedi1372 Жыл бұрын
Allah akuifadhi tungepata masheik kama hawa ingekua rahasana akika allah akuifadh
@abdililahahmed309515 күн бұрын
Kuna tofauti kubwa sana baina ya mtu aliyesomeshwa elimu na aliyejisomea, Sheikh Abdulqadri ana elimu fasaha sana tena ana ikhlasi kubwa sana.
@muhidinzuberi8708 Жыл бұрын
Wallah huyu nishekhe kweli Allah amjalie afya
@hamisisalimu6908 Жыл бұрын
Mashallah shukran sana sheik wangu asalaam alaykum warahmatullahi wabarakat Alhabib, jazaaka Allah kheir
@abdulhida8291 Жыл бұрын
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
@zahranahmed426316 күн бұрын
MashaAllah maneno mazuri na iliobakia ni kufuata multi wa nchi na sote tuwe kitu kimoja hii ndio sawa
@user-bz1wl4si8j Жыл бұрын
Wewe mzee una hofu ya Mungu Allah akuhifadhi...nafarijika sana na fatua zako kwa hakika wewe ni sheikh ila huyu kijana wako kishk anatuvuruga sana 😇 lakini tunamuombea dua kwa Allah amuongoze katika njia sahihi inshallah
@sikukuuchuo3093
Жыл бұрын
😂😂😂😂ety kijana wako
@muhammadiabassi65621 күн бұрын
حفظك الله ورعاك
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Unaeleweka vzr sana abdr qadir,, mana unaweka vitu sawaa,,syoo kama mashekh wengne wanatfta kujifny wamesoma snaa kulko wengne,,allah akuweke zaid,,,mana hupend kugawa waislm kwaa,, maswlaa ya hitirafu,, Allah akuhfz
@maulidmnukwa3171 Жыл бұрын
Maashallah .... Haya ndio mambo ya Watu kujifunza kuwa sisi ni wadogo saana kuliko umri wa farqa baina ya maswala ya dini... Oneeni waislamu huruma masheikh kaeni chini yajadilini mambo kwa uadilifu na muwaunganishe waislamu maana khilafu ipo katika mambo
@JK-um6op Жыл бұрын
Kwa hakika shekhe kazungumza maneno ya busara Kabbisa hata huwezi kumwamuliya ni wa kikundi gani.. Allah atujaaliye hekma na busara sisi na viongozi wetu wa dini.. Baarak Allah feek ya sheikh wa ahsana Allahu ileyk..
@huseni9146 Жыл бұрын
Mashaallh shukran jazakalah khairi shekh Allah akuhifadhi
@user-my2tf2xc9k20 күн бұрын
Shuklan sana kwa elimu nzuri sana shekh ombi langu tumia busara na elimu kama hii kukaa na viongozi wetu ili kuyajenga wambie sio tu haipendezi bali inaturudisha nyuma sana hatupigia hatua.pia kama kuna jambo la kutengeneza dini basi kaeni chini mashekh muyajenge maana kujibizana kwenye midia tunadhalilika
@sygtamks1643 Жыл бұрын
Masha Allah kaongea pwenti
@hassanfeiswal545411 ай бұрын
Shekh Allah akuhifadhi, umebakisha neno moja tu kusema ilitokea wakati wa maswahaba kukhitilafiana wakafunga shamu mapema kabla ya madina tab'an huko kweli ni kutofautiana kwa kuona siyo kuandama Hasha. Lakini katika kutofautiana huko Sham walifunga na kufungua pamoja, na Watu wa madina walifunga na kufungua pamoja. Haya ya nchi moja au mji mmoja kuwa na iddi mbili au kuwa na saumu wengine wana Idi hiyo Shekh Bila kuutafuta maeneo Ungeufahamisha umma kuwa ni Bid'a TENA ni Munkar. Allah akupeni wanazuoni wetu, Ujasiri katika kufikisha, maana kwa wanazuoni mtaulizwa siku ya kiama
@abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын
Uyu ndo Sheikh Sasa wallahi nd maana huwa namkubali sasa Very good point yaan hata ambaye Hana ilmu Ana elewaa safi sana sheikh
@AshouHumaid Жыл бұрын
Mashaaa Allah Tabaraka Allah hakika Sheikh umefahamisha kwa ufasaha yapasa kuzingatia kwa wenye hekma.Jazzak Allah khairan.
@salumunsabimana6502 Жыл бұрын
Sllah alupandishe cheo shekh na kukubali .naomba uwe ukituelimisha unapo kuwa na wasaa inshaalah .
@mariamthabit9773 Жыл бұрын
Maa'shaa Allah barakallah fiykum
@istambulahmed6664 Жыл бұрын
شكرا وجزاك الله خيرا وبارك الله فيك
@hutiswalehe2444 Жыл бұрын
Allaah akurehemu shekhe,ww ni mwanachuoni wa kufaa kuckilizwa
@mohamedalimwangare Жыл бұрын
Mashallah thuma Mashallah Alhamdulillah yaani maelezo yako wenye fahamu wakiyazingatia basi hakuna kuvutana wala kukejeliana wala kudharauliana na kuvunjiana adabu.
@kassimhassan8426 Жыл бұрын
MashaAllah ust
@zeitunMohammed Жыл бұрын
Mm nko wa kusema Kila mtu Ana Arafa kulingana na mwandamo.lakini Lau watu wangefwata anavyo sema huyu shekh hakuna mzozo kabisaaa.jazaakallah akhul fadhila
@nasrarichadi2278 Жыл бұрын
Wewe ni mcha Mungu allah akupe afya njema na akupe umri mrefu
@munic6686 Жыл бұрын
Jazakallahu khaira
@hon.fahadijumalikwena1012 Жыл бұрын
Kuna jambo la kujifunza sheikh ametoa somo pana mno. Allah amuhifadhi
@rashidabasi7940 Жыл бұрын
Kishki ajifunze uadilifu kwa huyu Sheikh Allah ampe furaha dunai wa Akhera. NAPENDA SANA FATWA ZAKE WITH EVIDENC
@fahmymasoud3653 Жыл бұрын
Mash Allah,elimu yenye taqwa,hii ndio elimu maana ina hofu ya Allah
@muhammednassor3569 Жыл бұрын
Una akili sana wewe mashaallah Allah akuruzuku hekima nabusara
@muhammadhussein3061 Жыл бұрын
Maashaallah sheikh umetumiya hekmaa(busara ya Hali ya juuu) waislamu haipendezi kufarakanaa .
@halimaa9367 Жыл бұрын
Shukran sana maneno yko mazur sana ❤
@athumanikadaika5817 Жыл бұрын
Elimu na ucha mungu vikikaa pamoja athari yake ndo hii. Hakuna kutiana motoni wala kutoana peponi kwasababu ya hitilafu. Namuomba Allah akuthibitishe ktk waja wema wenyekufuatwa.
@muddypara5511
Жыл бұрын
Allah akuhifadhi
@mahdy011 Жыл бұрын
Allah akubariki sheikh
@hamadrashid5140 Жыл бұрын
Mashallah Allah akubarik sheikh
@jimjam-xg7rv Жыл бұрын
MASHA ALLAH sharif 🇰🇪💚💚💚💚💚💚
@SekaMaster453 ай бұрын
Upo sahihi Shekh Nimekupenda sana❤❤ Allah Akujaalie mwisho mwema Inshallah
@SuleimanBabu-yf9dp Жыл бұрын
mwenzi mungu akukinge na sharizawatu namajini
@salumunsabimana6502 Жыл бұрын
Mashekh jifunzeni kwake huyu shekh kaongeya vizuri dini yetu inatakiwa tupate mashekh kama hawa naamini wengi wangielekeya katika dini .Allah atuongoze .
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Жыл бұрын
Vema sheikh shukran
@fahmiabdulla7690 Жыл бұрын
MASHAA ALLA
@aninanichasi422 Жыл бұрын
maashaallaah umesema kweli allaah akuhifadhi
@user-cz6zt8dw7b Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah
@swahibually8349 Жыл бұрын
Alhamdulillaahi rabbi l-aalamiin, Mawahabi naona mnaanza kuelewa kidogo kidogo MUNGU awajaalie muelewe kilichozungumzwa na Wanawachuoni Wacha Mungu,mngelifahamu hili tangu mapema wala kusingekua na mizozo
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@user-yl8qv5lc6h Жыл бұрын
Masha Allah
@harunatumba8447 Жыл бұрын
Maashallah mashekhe kama hawa ndio tunaowahitaji katika dini na sio wale wanaovutia upande wanao amini wao
@saidessry9942 Жыл бұрын
Baarakallahu fiika
@abdallhabinmkasibayyat6657 Жыл бұрын
Kiukweli tungekuwa na masheikh kama hawa kiukweli ni raha
@abdullah-eq3lt Жыл бұрын
huyu ndio shekh aliepata elimu ya uchamungu
@HossamHossam-zs1hk Жыл бұрын
مشالله تبارك الله جزاك الله خير الجزاء يا شيخ
@makoyeghorofa1946
Жыл бұрын
J
@nasrarichadi2278 Жыл бұрын
السلام عليكم يا شيخ أنا محي الدين من كهم شنيانغى تنزانيا أقر أني أحبك لله
@mwaramimwarami1479 Жыл бұрын
Baaraka llahu fik
@user-sn9nm1wu9j3 ай бұрын
hiyo ndio dini shekh maahashallah uislamu umoja
@user-mi3cs9lc6y Жыл бұрын
Masha Allah mawahab kuwen na inswaaf si kila kitu ni kubisha .naam shekh huyu ni mwamba ktk elimu.
@user-ci5wm8fb1x
Жыл бұрын
Unajua maana ya wahabi
@saba-gv3mj
23 күн бұрын
@@user-ci5wm8fb1xtuambie ww mana ya wahabi ni nn
@jumahory859 Жыл бұрын
Jazzaka llah kheri umefafanua kielimu na unatumia farsafa ya Aya nahadithi zamtume sw hivi ndivyo inavyotakiwa
Tanzania km kuna sehemu ya kusimama arafa bc tuitangaze duniani ili watu waje kuhiji na wafunge cku hiyo.
@hamisishirikisho2199
Жыл бұрын
Kipindi cha Corona hatukuona kisimamo na watu walifunga. Kama ingekua haifai zingehairishwa zote mpaka funga
@lubuva708 Жыл бұрын
Sheikh Yuko sahihi
@kawiyamngoni4656 Жыл бұрын
Mashaallah shekhe wangu
@HamadAlly-ki8lr Жыл бұрын
Muwe mnasikiliza vizuri maneno ya wasemaji na kuyafahamu
@ahmadmzoa74 Жыл бұрын
MAASHAALLAH Tabaraka LLAH,"Adalatul l-i'lmiya"
@user-ur6tj9dt5k Жыл бұрын
Kila la kheri shehe wangu
@majaliwamussa9268 Жыл бұрын
Sahihi kabisa
@ahmadbadawi9664 Жыл бұрын
Moja ya masheikh nguli nchini👍
@muhammadiabassi65621 күн бұрын
Ni kweli
@mohamedimiraji549523 күн бұрын
Vipi ule Mwezi ulioonekana Tandahimba na Newala ukashuhudiwa na waumini na masheikh wa kata na wilaya lakini kuna viongozi wakaukataa. Watu wajitahidi tu kuheshimiana, kulinganiana kwa wema na kufungamana na haki bila kutawaliwa na itikadi, jazba na njaa
@rashidabasi7940 Жыл бұрын
Huyu Sheikh ni mfano wa kitabu kwangu.. Nayo yaunga mkono najifunza zaid kwake .. nisiyounga mkono najifunza kwake tena nikiwa na hammu na tamaa. SIO MASHEIKH WETU TANZANIA NA KENYA,Burundi wao niwaftaji wa wafuasi wengi.
@ttyyyyuuuuuu Жыл бұрын
*Arafah:* Ni pahali pako Maka panaitwa Arafah na hapo liko Jabali linaitwa Arafah au kwa kina jengine Jabal Arahma na mwaka mzima liko na pahala pako *Yaum Arafah:* Ni tareh tisa Dhul Hija ni siku inaitwa Arafah kwa wanao hiji wanatakiwa siku hio waweko pahala hapo ambapo panapoitwa Arafah, ni katika nguzo za Haji huko na waliokuwa hawahiji siku ya Arafah yaani tareh tisa Dul Hija ni suna kwao kufunga. Kuita tarekhe kwa kitendo au tokewo ni kawaida, kama vile Aam Al Fill (Mwaka wa tembo), yaum nahar (siku ya kuchinja,) ayam tashriq, ayam tasii, yawm tarwiya, ayam biydh, aam huzn n.k. *Vitu viwili tafauti baina pahala na tarehe na kila pahala pana tarehe yake haitangulizwi wala hairejeshwi* Haikuthibiti Kuwa Mtume (ﷺ) baada ya kuhamia Madina alikuwa akipeleka wajumbe Maka ili walete habari ya Mwandamo wa mwezi wa Maka ili na wao wafate Mwandamo wa Maka na wapate Arafat Moja, pamoja na Maka na pia haikuthibiti alipokuwepo Maka au alipohiji alikuwa akiwapeleka wajumbe wake katika Miji ya karibu kama Madina au Ttaif ili awape Waumini habari kuwa wafate mwandamo na Arafah ya Maka. Aliyekuweko katika nchi amabazo zimechelewa kuona mwandamo wa Mwezi basi si vibaya ikiwa atafunga siku ya tarehe nane ya Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya tarehe 9 ya Maka yaani ni siku ya Arafah ya Maka kisha akakamilisha kufunga siku ya Tarehe 9 ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya Arafah kwake. Lakini muhimu asifunge siku ya yarehe 10 Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo ni siku ya Idi kwao.
@IbnuAlly-cg2gn
Жыл бұрын
Ikiwa arafah ni pahala na ikiwa siku ya arafah ni mwezi 9 je haya mafungamano ya pahala na mwezi kwa sisi tusiokwenda hijja yametokea wap ata tuiite siku ya arafah? Ni sawa haikuthibiti kuwa mtme صلى الله عليه وسلم alikuwa akipeleka watu kutafuta habar za mwezi wa makka lakin je imethibiti alikuwa akizikataa habar za mwezi wa huko?
@user-lb2lx5bq6e
Жыл бұрын
Aliziamini taarifa ila zilikuwa za sehemu hizohzo alizokuwa akikaa , haikuthibiti pia kuwa alipokea taarifa za masafa makubwa kama Tanzania na Saudia , kama ipo taarifa hiyo ya masafa hayo tuletee hy simulizi
@mohamedmnango3660
Жыл бұрын
Huyu ni ulamaa mukhlis
@fakikombo7114
Жыл бұрын
Kwani arafa ni ck ngapi?
@alkhalilmussa5633
Жыл бұрын
hongera sana
@madrasashoptvonline4175 Жыл бұрын
Mashallah HIV ndio masheikh wanatakiwa wawe
@user-mf3be5ej7z Жыл бұрын
Aalimun minkibarul ulamaa
@jabirhussein4180 Жыл бұрын
Kaongea vizuri sasa mbona kishki anasema hakuna arafa mbili
Issue sio kupendeza, tunataka dini inasemaje Aidha quran inasemaje shekhe tusaidie hivo
@kassimomar7589 Жыл бұрын
Hii ndio mzur sio yule anae hukumu watutu tu
@emmynoby9806 Жыл бұрын
Anajua sna anahikma
@suleimanayoubkhamis5419 Жыл бұрын
Arafa mlima ni mmoja. Lakini ufunga si moja wala si mbili. Yaweza kuwa ni siku tatu. Makka ikiwa saa7 mchana ambapo watu huanza kisimamo baada ya salat dhuhuri, utakuta marekani ni saa 11alfajiri muda ambapo adhuhuri bado. Na muda huohuo China huwa ni saa 1 usiku ambapo hawawezi kusimama wala kufunga usiku. Sasa marekani wafunge siku yao. Makka siku yao, na China siku yao. Siku tatu na arafa tatu.
@thulayali5858 Жыл бұрын
HAWA NDIO MASHEKHE AMBAO WANAPASWA KULINDWA DUNIANI KWANI MUNGU MWENYEWE AMEWAHIFADHI WATU WAKE WEMA HAWANA KIBURI HAWANA MAJIVUNO HAWANA PAPARA KATIKA KAULI HAWANA KUIGAWA DINI KWA HITILAFU NA WANASIMAMIA UMOJA NA AMANI YA WAISLAMU.
@mafiatv5479 Жыл бұрын
hy ndo ajua hakki
@abuuanuwar4986 Жыл бұрын
Safi sana kuanzia leo wewe ndo shekhe wangu
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Ndyoo huyoo ndoo shekh mm huwaa namfatria snaaa,,yani hatak kujifnya kuwaa yy ndoo yy,, japokuwa ana elim kubwaa zaid,,
Пікірлер: 248
Allah akulipe,hakika hii ndio elimu ya kisalafy,sio kujiona bora kuliko wengine na kudharau wengine,,,,Allah akuhifadh sheikh
Huyu bingwa hajazungumza kimrengo amezungumza ilimu ilivyo lau mashekh zetu wote wangekuwa hivi ingekuwa Bora zaidi lkn weengi niwale wa kupigania mirengo
@musakibwana4596
Жыл бұрын
Tunagawanywa kiushabiki na mashekhe wanaotafuta dunia na umaarufu
@mundhirhassan2708
Жыл бұрын
Kwaiyo unakubali laiti mashehe wote wangekuwa wajinga kwenye mas'ala ya mwezi kama huyu sio. Huu ni ujinga na hakuna kumepelekea kuongea uo ujinga ispokuwa ni kutokuwa na ílmu nalo. Na ndio maana wakasema wanachuoni "mjinga hawezi mjua msomi lakini msomi anamjua mjinga kwasababu kabla ya kuwa msomi alikuwa mjinga. Ndugu tafuta ílmu na ujue sio kumuona mtu anaongea ukajua kupatia, huyo kakosea kwa mujibu wa dalili za hadīyth.
@HamadAlly-ki8lr
Жыл бұрын
Alichozungumza ni kwamba watu waifuate BAKWATA lakini yeye mwenyewe amesema nchi yetu ina uhuru sasa ndo tunatumia uhuru huo ili pale na UMOJA katika hili basi inabidi wenye mamlaka waseme mwenye haki ya kutangaza ni BAKWATA TU
@omariaman7818
Жыл бұрын
@@mundhirhassan2708sheikh hakakosea ila kaongea kihekma kama umemsikia mwanzo kabisa kasema ni vyema kufata saudia arafah
@rashidbuzubona6577
Жыл бұрын
@@mundhirhassan2708 kayapime maneno yako ww muogope mungu hy shekh hana ilmu kweli ndo inswaafu ya ilmu kweli ndugu?
Namuomba Allah akuweke na akuhifadhi na kila shari na balaa za watu na majini akupe umri mrefu wenye kher nawe tupate kuelimika Ammyn🤲🤲🤲❤❤❤
Huyu ndo shekh wangu wa kumuiga mungu ampe umri mrefu
Wallahi namkubali sana huyu Sheikh. Ana inswaaf na Khofu ya Allah. Allah amfhifadhi.. Anatumia kauli zote bila ubaguzi.
@MuhammadRajabu-uy9sz
Жыл бұрын
Shukrani Sana she
@user-yh5fu5lo9r
3 ай бұрын
Asalam alaykum sheykh wewe umesomea wap
@MuhidiniNassor
23 күн бұрын
@@user-yh5fu5lo9rkwenu
@abasinho1094
21 күн бұрын
Anatiwa Abdulkakadeer ,kaka ake na kishk na ukoo unaotokana na Mtume Muhammad S A W..huyu ni msomi wa fatwha,al Qur'an wal hadidh....
Jazakalllah khairan Sheikh! Sijapatapo kuona ahla sunna mwwnye hekima na busara nyingi kama wewe!
Kabla ya kuandika chochote nimepitia comments zote alhamdulillah nikakuta wengi wenye kuvutiwa na usulubu wa sheikh huyu alotumia katika maelezo yake. Ila pia la kusikitisha xikuwakosa wazee wa misimamo isiokua na elimu nao wakaandika utumbo wao wa kumdhihaki Sheikh Dah subhaaanallah kwa kweli kuwaridhisha watu wote ni ukomo ambao haujawahi kufikiwa MUNGU akuhifadhi sheikh nimevutiwa na mawaidha mazuri kabisa yenye inswaafu
kuna kitu kinaitwa amana na ikhlas katika dini sheikh abdurkadir anamuongopa mola wake ana zingatia maslah ya umma na uisilamu mungu akujaze kheir آمين
Mash lwah mm huyu alhadal namkubali Sana majibu yke hayana mihemuko n elmu na maslah mbele y umma wa kiislamu baark Leah fyka huyu ndie sheikh asie na jazba ya kielimu
Mashallah mashallah mashallah sharfu abdr qadir nakuelew vizr snaa,,Yan wew anajitahd sana kutogawa waislm,,Allah akulpe syo kam mashekh wengn wanawagawa waislm,,, Allah akulpe,,Kila la kher
Kwakweli hyu shekhe yupo safi sana hapigi kelele Allah akuhifadhi
ما شاء الله بارك الله فيك يا شيخ استمر في نشر الوحدة والاعتصام
لله درك ياشيخ!! أين الخطباء فيسمعوا ويأخذوا منك (واعتصموا بحبل الله جميعاولا تفرقوا)
Allah akuifadhi tungepata masheik kama hawa ingekua rahasana akika allah akuifadh
Kuna tofauti kubwa sana baina ya mtu aliyesomeshwa elimu na aliyejisomea, Sheikh Abdulqadri ana elimu fasaha sana tena ana ikhlasi kubwa sana.
Wallah huyu nishekhe kweli Allah amjalie afya
Mashallah shukran sana sheik wangu asalaam alaykum warahmatullahi wabarakat Alhabib, jazaaka Allah kheir
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
MashaAllah maneno mazuri na iliobakia ni kufuata multi wa nchi na sote tuwe kitu kimoja hii ndio sawa
Wewe mzee una hofu ya Mungu Allah akuhifadhi...nafarijika sana na fatua zako kwa hakika wewe ni sheikh ila huyu kijana wako kishk anatuvuruga sana 😇 lakini tunamuombea dua kwa Allah amuongoze katika njia sahihi inshallah
@sikukuuchuo3093
Жыл бұрын
😂😂😂😂ety kijana wako
حفظك الله ورعاك
Unaeleweka vzr sana abdr qadir,, mana unaweka vitu sawaa,,syoo kama mashekh wengne wanatfta kujifny wamesoma snaa kulko wengne,,allah akuweke zaid,,,mana hupend kugawa waislm kwaa,, maswlaa ya hitirafu,, Allah akuhfz
Maashallah .... Haya ndio mambo ya Watu kujifunza kuwa sisi ni wadogo saana kuliko umri wa farqa baina ya maswala ya dini... Oneeni waislamu huruma masheikh kaeni chini yajadilini mambo kwa uadilifu na muwaunganishe waislamu maana khilafu ipo katika mambo
Kwa hakika shekhe kazungumza maneno ya busara Kabbisa hata huwezi kumwamuliya ni wa kikundi gani.. Allah atujaaliye hekma na busara sisi na viongozi wetu wa dini.. Baarak Allah feek ya sheikh wa ahsana Allahu ileyk..
Mashaallh shukran jazakalah khairi shekh Allah akuhifadhi
Shuklan sana kwa elimu nzuri sana shekh ombi langu tumia busara na elimu kama hii kukaa na viongozi wetu ili kuyajenga wambie sio tu haipendezi bali inaturudisha nyuma sana hatupigia hatua.pia kama kuna jambo la kutengeneza dini basi kaeni chini mashekh muyajenge maana kujibizana kwenye midia tunadhalilika
Masha Allah kaongea pwenti
Shekh Allah akuhifadhi, umebakisha neno moja tu kusema ilitokea wakati wa maswahaba kukhitilafiana wakafunga shamu mapema kabla ya madina tab'an huko kweli ni kutofautiana kwa kuona siyo kuandama Hasha. Lakini katika kutofautiana huko Sham walifunga na kufungua pamoja, na Watu wa madina walifunga na kufungua pamoja. Haya ya nchi moja au mji mmoja kuwa na iddi mbili au kuwa na saumu wengine wana Idi hiyo Shekh Bila kuutafuta maeneo Ungeufahamisha umma kuwa ni Bid'a TENA ni Munkar. Allah akupeni wanazuoni wetu, Ujasiri katika kufikisha, maana kwa wanazuoni mtaulizwa siku ya kiama
Uyu ndo Sheikh Sasa wallahi nd maana huwa namkubali sasa Very good point yaan hata ambaye Hana ilmu Ana elewaa safi sana sheikh
Mashaaa Allah Tabaraka Allah hakika Sheikh umefahamisha kwa ufasaha yapasa kuzingatia kwa wenye hekma.Jazzak Allah khairan.
Sllah alupandishe cheo shekh na kukubali .naomba uwe ukituelimisha unapo kuwa na wasaa inshaalah .
Maa'shaa Allah barakallah fiykum
شكرا وجزاك الله خيرا وبارك الله فيك
Allaah akurehemu shekhe,ww ni mwanachuoni wa kufaa kuckilizwa
Mashallah thuma Mashallah Alhamdulillah yaani maelezo yako wenye fahamu wakiyazingatia basi hakuna kuvutana wala kukejeliana wala kudharauliana na kuvunjiana adabu.
MashaAllah ust
Mm nko wa kusema Kila mtu Ana Arafa kulingana na mwandamo.lakini Lau watu wangefwata anavyo sema huyu shekh hakuna mzozo kabisaaa.jazaakallah akhul fadhila
Wewe ni mcha Mungu allah akupe afya njema na akupe umri mrefu
Jazakallahu khaira
Kuna jambo la kujifunza sheikh ametoa somo pana mno. Allah amuhifadhi
Kishki ajifunze uadilifu kwa huyu Sheikh Allah ampe furaha dunai wa Akhera. NAPENDA SANA FATWA ZAKE WITH EVIDENC
Mash Allah,elimu yenye taqwa,hii ndio elimu maana ina hofu ya Allah
Una akili sana wewe mashaallah Allah akuruzuku hekima nabusara
Maashaallah sheikh umetumiya hekmaa(busara ya Hali ya juuu) waislamu haipendezi kufarakanaa .
Shukran sana maneno yko mazur sana ❤
Elimu na ucha mungu vikikaa pamoja athari yake ndo hii. Hakuna kutiana motoni wala kutoana peponi kwasababu ya hitilafu. Namuomba Allah akuthibitishe ktk waja wema wenyekufuatwa.
@muddypara5511
Жыл бұрын
Allah akuhifadhi
Allah akubariki sheikh
Mashallah Allah akubarik sheikh
MASHA ALLAH sharif 🇰🇪💚💚💚💚💚💚
Upo sahihi Shekh Nimekupenda sana❤❤ Allah Akujaalie mwisho mwema Inshallah
mwenzi mungu akukinge na sharizawatu namajini
Mashekh jifunzeni kwake huyu shekh kaongeya vizuri dini yetu inatakiwa tupate mashekh kama hawa naamini wengi wangielekeya katika dini .Allah atuongoze .
Vema sheikh shukran
MASHAA ALLA
maashaallaah umesema kweli allaah akuhifadhi
Maashaallah maashaallah
Alhamdulillaahi rabbi l-aalamiin, Mawahabi naona mnaanza kuelewa kidogo kidogo MUNGU awajaalie muelewe kilichozungumzwa na Wanawachuoni Wacha Mungu,mngelifahamu hili tangu mapema wala kusingekua na mizozo
Mashaallah mashaallah
Masha Allah
Maashallah mashekhe kama hawa ndio tunaowahitaji katika dini na sio wale wanaovutia upande wanao amini wao
Baarakallahu fiika
Kiukweli tungekuwa na masheikh kama hawa kiukweli ni raha
huyu ndio shekh aliepata elimu ya uchamungu
مشالله تبارك الله جزاك الله خير الجزاء يا شيخ
@makoyeghorofa1946
Жыл бұрын
J
السلام عليكم يا شيخ أنا محي الدين من كهم شنيانغى تنزانيا أقر أني أحبك لله
Baaraka llahu fik
hiyo ndio dini shekh maahashallah uislamu umoja
Masha Allah mawahab kuwen na inswaaf si kila kitu ni kubisha .naam shekh huyu ni mwamba ktk elimu.
@user-ci5wm8fb1x
Жыл бұрын
Unajua maana ya wahabi
@saba-gv3mj
23 күн бұрын
@@user-ci5wm8fb1xtuambie ww mana ya wahabi ni nn
Jazzaka llah kheri umefafanua kielimu na unatumia farsafa ya Aya nahadithi zamtume sw hivi ndivyo inavyotakiwa
Nimeipenda sana hii
Insha Allah Allah awalipe dungu zangu
Sheikh nakuomba ukae uwafundishe vijana wanaokurupuka kuwakufurisha waislamu wenzao.Allah akuhifadhi sheikh. Uendelee kuismamia haki
@sabdiduwil8436
Жыл бұрын
Tanzania km kuna sehemu ya kusimama arafa bc tuitangaze duniani ili watu waje kuhiji na wafunge cku hiyo.
@hamisishirikisho2199
Жыл бұрын
Kipindi cha Corona hatukuona kisimamo na watu walifunga. Kama ingekua haifai zingehairishwa zote mpaka funga
Sheikh Yuko sahihi
Mashaallah shekhe wangu
Muwe mnasikiliza vizuri maneno ya wasemaji na kuyafahamu
MAASHAALLAH Tabaraka LLAH,"Adalatul l-i'lmiya"
Kila la kheri shehe wangu
Sahihi kabisa
Moja ya masheikh nguli nchini👍
Ni kweli
Vipi ule Mwezi ulioonekana Tandahimba na Newala ukashuhudiwa na waumini na masheikh wa kata na wilaya lakini kuna viongozi wakaukataa. Watu wajitahidi tu kuheshimiana, kulinganiana kwa wema na kufungamana na haki bila kutawaliwa na itikadi, jazba na njaa
Huyu Sheikh ni mfano wa kitabu kwangu.. Nayo yaunga mkono najifunza zaid kwake .. nisiyounga mkono najifunza kwake tena nikiwa na hammu na tamaa. SIO MASHEIKH WETU TANZANIA NA KENYA,Burundi wao niwaftaji wa wafuasi wengi.
*Arafah:* Ni pahali pako Maka panaitwa Arafah na hapo liko Jabali linaitwa Arafah au kwa kina jengine Jabal Arahma na mwaka mzima liko na pahala pako *Yaum Arafah:* Ni tareh tisa Dhul Hija ni siku inaitwa Arafah kwa wanao hiji wanatakiwa siku hio waweko pahala hapo ambapo panapoitwa Arafah, ni katika nguzo za Haji huko na waliokuwa hawahiji siku ya Arafah yaani tareh tisa Dul Hija ni suna kwao kufunga. Kuita tarekhe kwa kitendo au tokewo ni kawaida, kama vile Aam Al Fill (Mwaka wa tembo), yaum nahar (siku ya kuchinja,) ayam tashriq, ayam tasii, yawm tarwiya, ayam biydh, aam huzn n.k. *Vitu viwili tafauti baina pahala na tarehe na kila pahala pana tarehe yake haitangulizwi wala hairejeshwi* Haikuthibiti Kuwa Mtume (ﷺ) baada ya kuhamia Madina alikuwa akipeleka wajumbe Maka ili walete habari ya Mwandamo wa mwezi wa Maka ili na wao wafate Mwandamo wa Maka na wapate Arafat Moja, pamoja na Maka na pia haikuthibiti alipokuwepo Maka au alipohiji alikuwa akiwapeleka wajumbe wake katika Miji ya karibu kama Madina au Ttaif ili awape Waumini habari kuwa wafate mwandamo na Arafah ya Maka. Aliyekuweko katika nchi amabazo zimechelewa kuona mwandamo wa Mwezi basi si vibaya ikiwa atafunga siku ya tarehe nane ya Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya tarehe 9 ya Maka yaani ni siku ya Arafah ya Maka kisha akakamilisha kufunga siku ya Tarehe 9 ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya Arafah kwake. Lakini muhimu asifunge siku ya yarehe 10 Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo ni siku ya Idi kwao.
@IbnuAlly-cg2gn
Жыл бұрын
Ikiwa arafah ni pahala na ikiwa siku ya arafah ni mwezi 9 je haya mafungamano ya pahala na mwezi kwa sisi tusiokwenda hijja yametokea wap ata tuiite siku ya arafah? Ni sawa haikuthibiti kuwa mtme صلى الله عليه وسلم alikuwa akipeleka watu kutafuta habar za mwezi wa makka lakin je imethibiti alikuwa akizikataa habar za mwezi wa huko?
@user-lb2lx5bq6e
Жыл бұрын
Aliziamini taarifa ila zilikuwa za sehemu hizohzo alizokuwa akikaa , haikuthibiti pia kuwa alipokea taarifa za masafa makubwa kama Tanzania na Saudia , kama ipo taarifa hiyo ya masafa hayo tuletee hy simulizi
@mohamedmnango3660
Жыл бұрын
Huyu ni ulamaa mukhlis
@fakikombo7114
Жыл бұрын
Kwani arafa ni ck ngapi?
@alkhalilmussa5633
Жыл бұрын
hongera sana
Mashallah HIV ndio masheikh wanatakiwa wawe
Aalimun minkibarul ulamaa
Kaongea vizuri sasa mbona kishki anasema hakuna arafa mbili
anaekima uyu shehe mashallah ajikwazi kwa,elimu aliokua nayo
MASHAALLAH
Jiida jiida maashaallah
Ni kweli kabisa maneno yako
Watu_wanadharauliana_bila_ya_kumukhofu_Allah
Issue sio kupendeza, tunataka dini inasemaje Aidha quran inasemaje shekhe tusaidie hivo
Hii ndio mzur sio yule anae hukumu watutu tu
Anajua sna anahikma
Arafa mlima ni mmoja. Lakini ufunga si moja wala si mbili. Yaweza kuwa ni siku tatu. Makka ikiwa saa7 mchana ambapo watu huanza kisimamo baada ya salat dhuhuri, utakuta marekani ni saa 11alfajiri muda ambapo adhuhuri bado. Na muda huohuo China huwa ni saa 1 usiku ambapo hawawezi kusimama wala kufunga usiku. Sasa marekani wafunge siku yao. Makka siku yao, na China siku yao. Siku tatu na arafa tatu.
HAWA NDIO MASHEKHE AMBAO WANAPASWA KULINDWA DUNIANI KWANI MUNGU MWENYEWE AMEWAHIFADHI WATU WAKE WEMA HAWANA KIBURI HAWANA MAJIVUNO HAWANA PAPARA KATIKA KAULI HAWANA KUIGAWA DINI KWA HITILAFU NA WANASIMAMIA UMOJA NA AMANI YA WAISLAMU.
hy ndo ajua hakki
Safi sana kuanzia leo wewe ndo shekhe wangu
Ndyoo huyoo ndoo shekh mm huwaa namfatria snaaa,,yani hatak kujifnya kuwaa yy ndoo yy,, japokuwa ana elim kubwaa zaid,,
Ujumbe mzuri