BAADA YA MZEE WA MIAKA 65 KUPONA KTK UBORA WAKE NGUVU ZA KIUME OTHMAN MAIKO AAMUA KUIELEKEZA LIVE.
Жүктеу.....
Пікірлер: 131
@ngamiazukhty3126 Жыл бұрын
Mashaa ALLAH shukran kwa somo
@MwinyiMwinyihija11 ай бұрын
Shukran sheikh
@ibrahimcollow17898 ай бұрын
Shukran shekh Othman
@user-in8ob4un7g10 ай бұрын
MaShaAllah Allah azidi kukupa umri mrefu tuzid pata faida toka kwako
@ukhtiamina7762 ай бұрын
Shekhe jazakallahu khaira
@SalumHaji-ys4nj9 ай бұрын
Maashaallah
@user-zr5lb9zk1g Жыл бұрын
Asalam aleikm warahimathullahi wabarakatuhu sasa sisi wenye tuko Kenya Mombasa tutazipata vp hizo dawa innsha Allah
@ghaniyyatkinyogoli8214
9 ай бұрын
Nend duka la daw za asil
@Albertmusita
7 ай бұрын
Marikiti
@shuweyaabdulkarim32617 ай бұрын
Mashaallah
@user-ee3th3tn4i5 ай бұрын
Shukran shekhe letu
@mamdiakite6987 ай бұрын
Naam❤
@user-ml6ms5js9x10 ай бұрын
Assalam alkum mm tatizo langu Nina mshipa watumbo umenizuya damu ya hedhi naumwa Sana he nifanyeje
@jumamwindadi2 ай бұрын
Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.
@mwalimumlaula6167 Жыл бұрын
Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah
@Rapidscity5 ай бұрын
Kindly explain in english
@ridhiwanisaidi-gs5tf Жыл бұрын
Maashaallah, Allah akulipe kheri shekh wetu kwa faida hizi adhwiim, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia.
@omarimsangi4075
9 ай бұрын
ni kweli namba 9 imerukwa
@allyhuyu1892
8 ай бұрын
Dawa ni 13 na zote zimetajwa
@EmanuelMoshi-ss4ec
16 күн бұрын
Hajataja
@AlexGLyimo9 ай бұрын
Hiyo dawa inaitwaje maana jina hujalisema ili tuweze kuinunua na kuitumia. Wapi watu wengine tumehamasika nayo.
@jerrymcbride223010 ай бұрын
I wish u can say those names in English too
@AbdiKadirKanu9 ай бұрын
asalamwaleikum sheik shukran kwa darsa nakufatilia vizuri mungu akulipe inshaala
@ismagatarama1285 Жыл бұрын
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh nauliza dawa hiyo bai gani na nitayipata aje
@user-qj5us7zb7x5 ай бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheh tunashukuru sana kwa dawa izo mimi nipo cape town south Africa tapata iyo dawa vipi?
@user-qo1db1eq2c10 ай бұрын
Asalam alykum sheikh mm nahitj hy dawa naipataje kutoka kwako orginal
@kit-thsabanyene97524 ай бұрын
Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,
@mickmill434228 күн бұрын
Unapatikana wap
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Waslmu walekum Niko Kenya nikitaka nitaipataje
@alimanzele95579 ай бұрын
Asalam alaykum mm nko kenya mombasa je naeza pata hii dawa na n kwagarama gana
@ibrahimmaulid2704 Жыл бұрын
Sheikh namba ya simu yako vp Kuna mambo ya kujadili juu ya tiba yako sheikh thks
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab
@user-qz9gl2qu1e Жыл бұрын
Assala alaikum warahmatullah wabarakatuh vipi halizenu? Kwa watu Burundi dawa iyo waipata vipi?
@user-gd3sf8zx3j5 ай бұрын
Nimepata elim nashukulu
@ukhtiamina7762 ай бұрын
Je shekh as wakina mama tutumie ip
@user-pl2um2wy4z9 ай бұрын
Shukran sheik wangu naomba namba yako
@user-sf2ne3tf9w5 ай бұрын
Asalamu alaykum shek mm nipo zanzibar ntaipataje
@alimzee Жыл бұрын
Masha Allah 🙏
@dalmondmavoko788
9 ай бұрын
nimekufata munganga sasa sisi tuko Kivu tuta pata hisomadawa wapi hizo amatupe bamba zako
@user-ys6zu8hd8q6 ай бұрын
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania
@user-zb3ju4su2w11 ай бұрын
Swml imamu tutapatadje iyi Dawa Congo ? Upande wa mokambo njiya ya kwenda lubumbashi.
@OBEDIMikoba-no9rb10 ай бұрын
Na Mimi naitaji dawa hii ninaishi Zambia je ninawezaje kuipata nina umri wa miaka 65
@Fear_Allah3948 ай бұрын
Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.
@mkmwayama4534 Жыл бұрын
Asslam alaikum...ina expire baada ya muda gani
@MarwaMsela-zx5wr Жыл бұрын
Doctor unapatikana wap maana nam nahitaji dawa maana ninatatizo la nguvu za kiume
@user-ti2jj4ek1v9 ай бұрын
Aksanti Mzee lakini utusaidiye kufasiriya hiki kiungo Cha pili habasauda
@ghaniyyatkinyogoli82149 ай бұрын
Ss wa mombasa
@user-ys6zu8hd8q6 ай бұрын
Abasauda kwa jina lingne ni lipi hapa tanzania
@fatmaahmed86372 ай бұрын
HABA SODA jina ni hili tu inajulikana kote jina hili.pia ni Kiarabu.
@conniekimaru705 Жыл бұрын
Kindly uwe pia unaeleza na kiingereza please to those who don’t understand Kiswahili properly
Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢
@jafaryibrahim4368
8 ай бұрын
kWELI
@kassimkamtande735
8 ай бұрын
10:42 10:45
@jumachengo2677 Жыл бұрын
Hulinjani kiingereza ni nini?
@user-dg2lo3fi9b9 ай бұрын
Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa
@danielmasunu58519 ай бұрын
Wapige pesa tuuuuuuu, majin na uchaw shilik tupu
@nishkip7918 ай бұрын
Wamama pia wanaweza tumia??
@SharifaYaru-ev9su10 ай бұрын
Mimi naitaka hiyo dawa
@batulimafita820410 ай бұрын
Hyo dawa bei gani shekh???
@carolinelucky919910 ай бұрын
How much
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Nimetamani nipate mtoto wa kiume
@oj6595
10 ай бұрын
Allah ndo mjuzi wa kIla jambo mu ombe Allah usi ambie Bina damu mwenzangu
@user-ej6mc2sr1o Жыл бұрын
Najee kama hujuwi hizo ayah atafanyaje?
@BakariMaulidKhatib3 ай бұрын
Shehe iyodawa ntaipataje?
@carolinelucky919910 ай бұрын
Hi...nichaganyie hunitumie niko eldoret
@simongitonga804511 ай бұрын
.nitapata..aje.niko.kenya
@tashone7884
10 ай бұрын
Mpigie number zinapita chini ya video
@kasumunigwasa10 ай бұрын
Apo kwenye dawa ya kissunah ni uongo dawa ni jambo la jitihada kwaio hukmu ya dawa ni ibaha hakuna dawa ya kisunnah
@user-se5zb4qh2f
9 ай бұрын
Akili zako zinakutosha kula na kulala tu. Hayo mengine yapo nnje ya uwezo wa akili yako.
@kasumunigwasa
8 ай бұрын
@@user-se5zb4qh2fkasome kwanza jaahil wewe
@Fear_Allah394
8 ай бұрын
Dawa za kisunna kwamaana ni dawa alizokua akitumia Mtume Muhammad s.a.w au alizozifundisha.
@user-ch5xl9ou4w
5 ай бұрын
Sheikh kunawatu wanakukosoa hao usiwasikilize hawana akili mzuli kama wao wanajua mbona hawafundishi watu kaziyao kukosoa tu hawana lolote usiwaxikilize mapungu hao
@user-ch5xl9ou4w
5 ай бұрын
Sheikh usiache kufundisha kwa ajili ya hao wanaekosoa hawana lolote kz kuwakosowa wenzao km wao wamekamilika doctor libanda chingungwe kuchele
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Mimi mrija wa kizazi umefunga
@user-ej6mc2sr1o Жыл бұрын
Mchefua uchawi inauzwa madukanii ama
@user-yo5ry1jx9r
11 ай бұрын
Ya madawa asili
@Rapidscity5 ай бұрын
Tuletee hizi data zako nairobi
@Rapidscity
5 ай бұрын
Dawa
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Kuuliza 2 Karanga Ni Njuguu Au
@abubakarmpole4000
Жыл бұрын
Ndio
@user-yo5ry1jx9r
11 ай бұрын
Ndio
@shalomyashua288410 ай бұрын
Nini dawa ya majo ikiuma
@mwakapalamwakapala83179 ай бұрын
je huu mchanganyiko, mwenye tatizo ya Homa ya Ini itamsaidiaje?
@dicksonnussu7029 ай бұрын
Mtakuja kuua watu ninyi
@johnyema3360
9 ай бұрын
Hahhahahaha kwann
@abdulrahmanmwinga324810 ай бұрын
Naomba kujua maboga ni nn
@shabanikavula1304
10 ай бұрын
Palmkin
@badarambu3817
9 ай бұрын
Pumpkin
@MwanaishaShattry
9 ай бұрын
Wenye mswahili na unazungumza Kiswahili, unaaandika Kiswahili halafu hujuo boga nini hebu kalale.
@darihawahid1881
8 ай бұрын
Pumpkin ,
@darihawahid1881
8 ай бұрын
Pumpkin seeds
@carolinelucky919910 ай бұрын
Sasa na faa nikunyue yenye hume honysha
@samkim23219 ай бұрын
Habasauda ni nini kwa English
@darihawahid1881
8 ай бұрын
Black seeds powder
@darihawahid1881
8 ай бұрын
Blackseeds oil
@fadhilichitagu2730 Жыл бұрын
Sperm count!
@abdallahluhinda
Жыл бұрын
Mwanza ofisi yenu mnapatikana mtaa gani?
@user-ng6yt2od7l10 ай бұрын
Mashalllah
@LightworshipTeam
10 ай бұрын
Sidi tuko rahiya wa Burundi hebu mukatuletee dawa hiyo kwamchanganyiko tunununuwe'
@user-ys6zu8hd8q6 ай бұрын
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania
Пікірлер: 131
Mashaa ALLAH shukran kwa somo
Shukran sheikh
Shukran shekh Othman
MaShaAllah Allah azidi kukupa umri mrefu tuzid pata faida toka kwako
Shekhe jazakallahu khaira
Maashaallah
Asalam aleikm warahimathullahi wabarakatuhu sasa sisi wenye tuko Kenya Mombasa tutazipata vp hizo dawa innsha Allah
@ghaniyyatkinyogoli8214
9 ай бұрын
Nend duka la daw za asil
@Albertmusita
7 ай бұрын
Marikiti
Mashaallah
Shukran shekhe letu
Naam❤
Assalam alkum mm tatizo langu Nina mshipa watumbo umenizuya damu ya hedhi naumwa Sana he nifanyeje
Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.
Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah
Kindly explain in english
Maashaallah, Allah akulipe kheri shekh wetu kwa faida hizi adhwiim, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia.
@omarimsangi4075
9 ай бұрын
ni kweli namba 9 imerukwa
@allyhuyu1892
8 ай бұрын
Dawa ni 13 na zote zimetajwa
@EmanuelMoshi-ss4ec
16 күн бұрын
Hajataja
Hiyo dawa inaitwaje maana jina hujalisema ili tuweze kuinunua na kuitumia. Wapi watu wengine tumehamasika nayo.
I wish u can say those names in English too
asalamwaleikum sheik shukran kwa darsa nakufatilia vizuri mungu akulipe inshaala
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh nauliza dawa hiyo bai gani na nitayipata aje
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheh tunashukuru sana kwa dawa izo mimi nipo cape town south Africa tapata iyo dawa vipi?
Asalam alykum sheikh mm nahitj hy dawa naipataje kutoka kwako orginal
Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,
Unapatikana wap
Waslmu walekum Niko Kenya nikitaka nitaipataje
Asalam alaykum mm nko kenya mombasa je naeza pata hii dawa na n kwagarama gana
Sheikh namba ya simu yako vp Kuna mambo ya kujadili juu ya tiba yako sheikh thks
Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab
Assala alaikum warahmatullah wabarakatuh vipi halizenu? Kwa watu Burundi dawa iyo waipata vipi?
Nimepata elim nashukulu
Je shekh as wakina mama tutumie ip
Shukran sheik wangu naomba namba yako
Asalamu alaykum shek mm nipo zanzibar ntaipataje
Masha Allah 🙏
@dalmondmavoko788
9 ай бұрын
nimekufata munganga sasa sisi tuko Kivu tuta pata hisomadawa wapi hizo amatupe bamba zako
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania
Swml imamu tutapatadje iyi Dawa Congo ? Upande wa mokambo njiya ya kwenda lubumbashi.
Na Mimi naitaji dawa hii ninaishi Zambia je ninawezaje kuipata nina umri wa miaka 65
Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.
Asslam alaikum...ina expire baada ya muda gani
Doctor unapatikana wap maana nam nahitaji dawa maana ninatatizo la nguvu za kiume
Aksanti Mzee lakini utusaidiye kufasiriya hiki kiungo Cha pili habasauda
Ss wa mombasa
Abasauda kwa jina lingne ni lipi hapa tanzania
HABA SODA jina ni hili tu inajulikana kote jina hili.pia ni Kiarabu.
Kindly uwe pia unaeleza na kiingereza please to those who don’t understand Kiswahili properly
@daddirihamadi4985
11 ай бұрын
Sio bahati yako kama hujui kiswahili
@salzkhansalz6347
9 ай бұрын
Aslm alkm sheikh maboga ninini hukukenya twachanganyikiwa hatujui maboga ninini
@sultanasalim5177
9 ай бұрын
Pumpkins seeds
Cha Tano Iliki Jameni Mtatuchangaya
Dawa bei gani,na nipo kilimanjaro
Samahani naomba numbers za Cheikh za WhatsApp ! Nisaidiyeni Ndugu zangu
Aliepata majibu ya namba 9 atuambie jamani
munapatikana wapi hapa zanzibr nataka yaguvu zakiume ilokamilika muchaganyo ote
𝘐𝘯𝘴𝘩𝘢𝘢𝘭𝘭𝘢
nipe contact no. za kupata hio dawa
Sheikh nimekufuatia sana ila mmeruka kitu cha 10
Nimefurahia somo lkni je dawa no. 9 mbone hujaitaja. Dawa hizi ziapatikana wapi.
Asalamualikumu warahmatullah wabarakatu shekh mimi niko swiss sijuwi nitaipataje iyodawa
Allah akulipe kheri, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia
Yenye Uko Tayari kwa hiyo Mkebe mdogo inaitwaje
Jina gani la dawa na inapatikana Duka gani
Tutajieshee pamoja nadawa
Tumeiskia dawa yako shehk ila tutakupataje ili tupate maelekezo zaidi?
Na ni shilingi ngapi
Namwanamke anatumia?
No 9 hakuna please,
Naomba namba yako yasimu wasap
Assalmalkm, huku Kenya tutazipata wapi? Count ya Kilifi. Mashallah Allah akupe kheri utupe mafunzo.
*sheikh tupo ktk karafuu nasio hiliki*
Jameni Pili Pili Manga Ni Dawa Ya 9 Mbona Muneruka
@user-zr5lb9zk1g
Жыл бұрын
Huyo mwenye kumsomea ndio hayuko makini
Hayo Maziwa yanachemshwa au?
Sheikh kijana wko hayuko makini ktk kuhesabu kabisaaa
Ukasema karafuu vijiko vingapi!
Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢
@jafaryibrahim4368
8 ай бұрын
kWELI
@kassimkamtande735
8 ай бұрын
10:42 10:45
Hulinjani kiingereza ni nini?
Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa
Wapige pesa tuuuuuuu, majin na uchaw shilik tupu
Wamama pia wanaweza tumia??
Mimi naitaka hiyo dawa
Hyo dawa bei gani shekh???
How much
Nimetamani nipate mtoto wa kiume
@oj6595
10 ай бұрын
Allah ndo mjuzi wa kIla jambo mu ombe Allah usi ambie Bina damu mwenzangu
Najee kama hujuwi hizo ayah atafanyaje?
Shehe iyodawa ntaipataje?
Hi...nichaganyie hunitumie niko eldoret
.nitapata..aje.niko.kenya
@tashone7884
10 ай бұрын
Mpigie number zinapita chini ya video
Apo kwenye dawa ya kissunah ni uongo dawa ni jambo la jitihada kwaio hukmu ya dawa ni ibaha hakuna dawa ya kisunnah
@user-se5zb4qh2f
9 ай бұрын
Akili zako zinakutosha kula na kulala tu. Hayo mengine yapo nnje ya uwezo wa akili yako.
@kasumunigwasa
8 ай бұрын
@@user-se5zb4qh2fkasome kwanza jaahil wewe
@Fear_Allah394
8 ай бұрын
Dawa za kisunna kwamaana ni dawa alizokua akitumia Mtume Muhammad s.a.w au alizozifundisha.
@user-ch5xl9ou4w
5 ай бұрын
Sheikh kunawatu wanakukosoa hao usiwasikilize hawana akili mzuli kama wao wanajua mbona hawafundishi watu kaziyao kukosoa tu hawana lolote usiwaxikilize mapungu hao
@user-ch5xl9ou4w
5 ай бұрын
Sheikh usiache kufundisha kwa ajili ya hao wanaekosoa hawana lolote kz kuwakosowa wenzao km wao wamekamilika doctor libanda chingungwe kuchele
Mimi mrija wa kizazi umefunga
Mchefua uchawi inauzwa madukanii ama
@user-yo5ry1jx9r
11 ай бұрын
Ya madawa asili
Tuletee hizi data zako nairobi
@Rapidscity
5 ай бұрын
Dawa
Kuuliza 2 Karanga Ni Njuguu Au
@abubakarmpole4000
Жыл бұрын
Ndio
@user-yo5ry1jx9r
11 ай бұрын
Ndio
Nini dawa ya majo ikiuma
je huu mchanganyiko, mwenye tatizo ya Homa ya Ini itamsaidiaje?
Mtakuja kuua watu ninyi
@johnyema3360
9 ай бұрын
Hahhahahaha kwann
Naomba kujua maboga ni nn
@shabanikavula1304
10 ай бұрын
Palmkin
@badarambu3817
9 ай бұрын
Pumpkin
@MwanaishaShattry
9 ай бұрын
Wenye mswahili na unazungumza Kiswahili, unaaandika Kiswahili halafu hujuo boga nini hebu kalale.
@darihawahid1881
8 ай бұрын
Pumpkin ,
@darihawahid1881
8 ай бұрын
Pumpkin seeds
Sasa na faa nikunyue yenye hume honysha
Habasauda ni nini kwa English
@darihawahid1881
8 ай бұрын
Black seeds powder
@darihawahid1881
8 ай бұрын
Blackseeds oil
Sperm count!
@abdallahluhinda
Жыл бұрын
Mwanza ofisi yenu mnapatikana mtaa gani?
Mashalllah
@LightworshipTeam
10 ай бұрын
Sidi tuko rahiya wa Burundi hebu mukatuletee dawa hiyo kwamchanganyiko tunununuwe'
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania