BADILISHA MAISHA YAKO KUA MAZURI NA MATAM KWA SALA HII YA MTUME SAW NA IDADI HII RAHISI
Жүктеу.....
Пікірлер: 112
@ammaryammary3554 Жыл бұрын
Allah akulipe jannah💝💖 shekh wetu💗♥️
@hassanmrisho8269 Жыл бұрын
SH. OTHAMN MICHAEL, SHKHEE Naombaa nkushukur snaaa shkhe shkhe uwezi AMINI uliv elekeza kumswalia Mtume Muhammad (s w a) WALLAH,, nmejitahid siku 5 namsalia ×1000 usiku alf naomba dua nlikua sin kaz ,, leo hii shkhe nmepigiw simu ya kazi shkhe kam nliv ombaaa kweny dua
@muddymuzungu4357
11 ай бұрын
Maa shaa Allah Allah ailinde kazi yako
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Maa shaa Allah
@hassanmrisho8269 Жыл бұрын
SH, OTHAMN MICHAEL,, nashukur sn kw mafunzoo yko lnshaallah nitakuombea jambo n ww kweny dua zang NASHUKUR snaaaa nmejibiwaa jmn kupitia MTUME MUHAMMAD (S W A)
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Swalallahu alayhi wasallam
@nkurunzizaabdul-aziz7211 Жыл бұрын
Naam maanshaallah tabarakallah kheir sheikh wetu kwakutuhamasisha na swalatul alanabii Nasitu tunakutakia mwaka huu mahujaji Allah amewakadilia kwenda nawe uwemo Tunaimani tutanufaika sana zaidi nasafari Yako hiyi ya hidja Allahum amin ya rabb
@saeedsaeed7381 Жыл бұрын
Masha Allah very beneficial lecture, BarakAllah feek
@salmaalkyumi6030 Жыл бұрын
Allah akupe shifaaa na kila aliemgonjwa Allah amjalie shifaa ya haraka Ameen ya Rabby Alamin 🤲🤲🤲
@SociedadeSust1234 Жыл бұрын
Sheikh Othman shukran sana. Allah akuifadh nimeisambaza Swala ya Mtume Muhammad (S.A.W) kwenye group ya WhatsApp mpaka leo watu wananipa majibu mazuri . Alhamdulillah
@nuuraalinoor3630
11 ай бұрын
Thanks my sister,ulisoma ipi please write it for me thanks.
@@NunuKupela Asalamu caleykum,I was asking which salawat were you reading thanks.
@HabibaRija-ll6gp Жыл бұрын
Shukrani sana shekhe tangu nilipoanza kumswalia mtume kwa wingi kheri naziona zinaanza kuja na nilikaa nikamuomba Allah kupitia swala ya mtume aniponye mguu ulokua unanisumbua Hadi Leo nishapona Niko poa.Pia nilipomswalia mtume zaid ya mara 1000 niliumwa sana Mambo ya ajabu lakini hadi leo naendelea yameanza kupungua .Hivyo watu waache kubeza.Allah akulipe shekhe.
@GodanoFatuma-dx4lk
Жыл бұрын
Amiin Amiin
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Allah akupe kher ya dunia na akhera
@miishhassn Жыл бұрын
Mashallah shekh umeni inspire san kumswalia mtume allah akulipe kher dunian na kesho akhera 🥰🥰
@eshasalim1471 Жыл бұрын
MashaLLAH sheikh wetu Allah Akujazi kheri hapa duniyani na kesho Akhera Ameen yaa RABB
@naimaally1559 Жыл бұрын
Insha allah atakulipa kheri zake. Uchamungu nilionao, namshukulu Allah ni kupitia kazi ya shekhe othuman. Niliumwa nikaenda kutibiwa kwake nikamuuliza, sasa shekhe nikipona hakuna kinga utakayo nipa? Shekhe akaniambia kinga iko kwa Allah kwa sababu mashetani tunaishi nayo na wachawi tunaishi nao, kwahio wewe fanya sana ibada siku zote za umri wako, na simama usiku umuombe Allah. ALHAMDULLAH Allah alinijalia wepesi nikafanya yote kwa yaqini kwakweli nashukulu sana nilikuwa nimejaliwa watoto wengi wakiwa ni wakike nimeomba mtoto wakiume Allah akuhifadhi shekhe
@jamilashabani8580
Жыл бұрын
Maaa Shaa Allah
@aminahmuhindo584
Жыл бұрын
Allahumma amiin yarabi
@jamilashabani8580
Жыл бұрын
@@aminahmuhindo584 Thumaaa Amiin Yaa Rabb Taqabal Dua
@habibtihayati5311 Жыл бұрын
Mashallah tabarkallah shukran sheikh yetu Allah akulep ❤❤❤❤
@user-yr3mn6nn7lАй бұрын
Amina yaral-ghalamina allah akupe umri mrefu shekhe Othuman
@JumaZahoro2000 Жыл бұрын
اللهم صل على سيدنا محمد وآله وصحبه وسلم ❤
@user-sh5zv6fl6s Жыл бұрын
Mashallah ❤❤ Allah akupe pepo ya juu pamoja na kipenz chetu nabii Muhammad (swala lahhu allaiy wasalam)Amiin 🌹🌹🌹
@sarahronoh540 Жыл бұрын
Allah akujalie .kila kheri na familia yako Sheikh Othuman
@fatmafaki4896 Жыл бұрын
Allah barik
@khadijaalihamad7086 Жыл бұрын
Allah akulipe kheri na umree mreef uzid kutufunza
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Allahumma amiin
@Al-aminMwengebutsa-bw6mb11 ай бұрын
Sheikh Othman Michael. Shukran sana. Na Allah akuzidishe mapenzi kubwa kwa bwana Mutume Muhammad.(sw)
@yakubtaib6085 Жыл бұрын
Nakubali sheh wang ...Allah akuzidishie ...hakika nidarsa nzur san ...
@miishhassn Жыл бұрын
Allah akup umr mref weny manufaa ❤❤
@salimbiaisha6466 Жыл бұрын
Masha Allah. Allah akujaalie kila la Kheri Duniani na Akhera. Sheikh wetu.
@user-ok4cp1rw7r28 күн бұрын
Ya ,Allah .Inshaallah Atakulipa kwahisani yake kheri ambayo hukuitaraji.Ya,Ghafar Ya, Mujibu.
@aminahmuhindo584 Жыл бұрын
Jazakallahu kheri naomba Allah akulipe kila kheri fi dunia wali akhira yarabi na akubali kazi zako zoote unafanya Kwa ajili yake Allah
@naimaally1559 Жыл бұрын
Na huyo mtoto wakiume nilie muomba Allah amenijalia nimempata, ALHAMDULLAH kanzi nzuri shekhe malipo yako utayakuta mwisho wa safari yako ya maisha,
@GodanoFatuma-dx4lk
Жыл бұрын
Allah amjalie kheir
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah
@IMRANSTORIES136
4 ай бұрын
MashAllah tabarakAllah,
@MohamedHussein-ng1lw Жыл бұрын
Shukran jazakumullahu khairan shekh wetu masha allah tabarak allah
@Azuu-rq6te Жыл бұрын
MaashaAllah Sheikh Allah akulipe kila la khair
@ala1608 Жыл бұрын
MA nsha Allah nakupenda kwajili ya Allah sheikh Othman Michael ♥️🇧🇮🇴🇲
@salimbakarhilal2838 Жыл бұрын
Jazaka LLahu Khayr, Inshaa Allah Ameen. Allah akupe kivuli siku ambayo haina kivuli isipokuwa kivuli chake yeye Allah. Inshaa Allah Ameen. Shukran Sheikh
@user-pw1zd1qw5i Жыл бұрын
Mungu akulinde sana sheikh unafanya kaz kubwa sana ya kuutangaza uislam
@sheikhaalamoudi3390 Жыл бұрын
Mashaallah umetupa faida sana jazakallahu kheri
@mwanaashambogo351 Жыл бұрын
Mashallaah Mwenyez mungu akuhifadh shekh
@ibrahimsalim2262 Жыл бұрын
Allah akuzidishie shekher wetu akupe umr mrefu inshallah masha Allah,😍
Allah akulipe kheri akupe zaidi ya ulichonacho...akupe pepo 🤲🤲🤲🤲.....
@GloriaNdeleva Жыл бұрын
Allah akupee Keri na akuzidishie
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Asante shekh
@umazimwambezi8092 Жыл бұрын
Allah akuzidishie heri njema inshallah
@nuuraalinoor363011 ай бұрын
Quick recovery sheikh praying for you salallahu caleyhi wasalam Allahuma Amiin ya Allah thanks
@tausiabdallah6402 Жыл бұрын
Amiiyna sheikhe iwe kwako pia isha allah allah akuzidishie khery
@user-ju1pl7rr8n11 ай бұрын
Aslm alkm ww..... Masha Allah!!! Sheikh wetu kipenzi. Nakupenda bila kuficha. Dua zako zimefika insha Allah 🙏. Allah anakupenda sanaa. Napenda kuskiliza mawaidha yako unapo msifu Nabii Muhammad S. A. W. Unamtaja kwa mahaba ya hali ya juu... Yasssalllam bila shaka na yeye anakupenda sheikh wetu kipenzi. ❤❤❤❤❤❤❤❤. Allahu maswali wasalim allaa sayyidina Muhammad waala ahlihi wa swahbihi wasalim. Masha Allah. All'ah akulinde 🙏🌹💕💕💕💕❤️
@PILLYKHOMBO-kn5ud Жыл бұрын
Allah akuzidishie kila la kheri duniani na akhera kwa unavyo tufundisha.
@user-xx6ls7wy5s Жыл бұрын
Allah akujaze kheir sheikh wetu kipenzi🙏♥️
@ziadaskitchen5060 Жыл бұрын
Mashaallah Amina
@fetyomary698 Жыл бұрын
Mashaallah napenda sana khutba zako Allah akulipe kila akher
@HairahSayyed-hs9sb Жыл бұрын
Mashaallah huyu sheikh Allah amlipe jannat
@niyongerehalima6 Жыл бұрын
Naam swalat alaa nabi muhim sana,mswaliy mtume wetu Muhammad (saw) kadr uwezavyo ni muhim sana na lau kama una mambo mabaya mwilini mwako yatajitokeza tu
@halimakenya3632 Жыл бұрын
Mungu akujalie mwisho mwema sheikh wetu inshaallah
@aminaamina3972 Жыл бұрын
Allahma amin yarabi
@seifhamed2605 Жыл бұрын
Asnt sana ustadh allah akupe umr mrf wenye kher innshaallah
@GodanoFatuma-dx4lk Жыл бұрын
Amiin jazzakum Allah
@AshaMussa-bo2dw Жыл бұрын
Masha Allah. Allahumma Amiin. Mwenyenzi Mungu akujaalie khery. In Shaa Allah
@user-zz7ep5of2m7 ай бұрын
Allah huma swali saydina muhamady walaalih waswahabih wasalam
@blackwarrior-animations593 Жыл бұрын
mashaallah allah akuzidishie
@djumaassumani51693 ай бұрын
Tuna swali ila bado mambo magumu sheikh wangu😢
@aminie-dn8jn7 ай бұрын
Amin yarab
@sharifajosia879 Жыл бұрын
Maashaallah
@mariamharoon1840 Жыл бұрын
Allah bless your love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwa ajili ya Alla
@halimakenya3632 Жыл бұрын
Mashallah
@user-us9xy7os2y Жыл бұрын
MashaAllh
@ashanibigira5898 Жыл бұрын
Allah akulipe kila laheri apa duniyani nakesho ahera naAtukingi
@firstlady9848 Жыл бұрын
Allahumma ameen 🤲
@mohameda.i.baranyikwa6551 Жыл бұрын
Masha ALLAH, nakupenda kwa ajili ya ALLAH
@user-bf5jo9eb5o9 ай бұрын
Mashallah nilikuona tu mara ya kwanza nikakupenda nipo Kenya
@aminahkimwana109 Жыл бұрын
Mwenyezi_Mungu akuhifadhi
@fatumakambi96011 ай бұрын
MWENYEZI Mungu Akupe neema inshaallah
@ramadhanisungwini6423 Жыл бұрын
Allhahu mmaswalliy aalah saidinaaaaa Muhammad 🤲🤲🤲
@halimakenya3632 Жыл бұрын
MI pia nakupenda Sana sheikh kwa ajili Allah
@aziziligonde3270 Жыл бұрын
Rabbih akujaliye pepo amin🙏🙏🙏
@manajr9155 Жыл бұрын
Shukran 🙏
@allynasibu9120 Жыл бұрын
Alhamdoullilah Allah akulipe kheir fill dunia wao ahera
@halimakenya3632 Жыл бұрын
Mungu akujalie jannah
@mariamharoon1840 Жыл бұрын
Sasa nipo rebanoni niombee sara hii ❤❤❤❤❤
@user-jh6uu1td1i3 ай бұрын
Natamani ndoa niombeeni dua na mim nistirike
@issahusseinissa50099 ай бұрын
Kusema kweli napenda kufata mawahidha yako yanijenga Sana nilikuwa na shida nimesali Sara za usiku nimejibuwa kwa haraka kila kitu kwa allah chepesi
@salmaalkyumi6030 Жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@nuuraalinoor363011 ай бұрын
mashaAllah tabarakallah, sheikh which one did you recite ten thousand or five thousand please tell me.shukran
@AminaShukya-xm8gk Жыл бұрын
Allah akulipe kwa mawaidhaa yako
@user-dh1dz9rz2t Жыл бұрын
Allah akulipe inshallah
@HajiNgaeka-qw3kz Жыл бұрын
Amin Allah akulipe heli
@animamichael3968 Жыл бұрын
Nampenda Sana huyu shekh pamoja na nasaha zake
@Mbarukbinibrahimo Жыл бұрын
❤❤❤❤❤🇲🇿
@pilijuma4940 Жыл бұрын
❤️❤️❤️
@aminaoman8418 Жыл бұрын
Assalamu alaykum 🤲🤲🤲
@fuatmh-mashallahsheikhwetu53411 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah Allah akuifadhi uzidi kutufunza yalo ya kheri Inshaallah
@alaminjuma Жыл бұрын
Shekh wangu umekataa kabisaa kuongelelea tanbihi ya swalatun Naariyah. Hii alladhi tanhal-lu lahul ni Kwa sababu yake ama vipi please clarify
@Teacher........
8 ай бұрын
*Tan hallu ﴾bihi﴿l uqad*shekh wangu hapo hiyo bihi niloweka qaws hiyo ni maanaake ni ﴾kwasababu﴿ ya mtume lakini sio yeye mfungua vifungo ni *ALLAH* ila mtume ni sababu mfano kidonge unameza hakiponyeshi ila mponyeshaji ni nani ni ALLAH kidonge ni sababu yaa Akhuy
@fatnazainabo5184 Жыл бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,sheikh pls naomba namba ya sim Nina matatizo nahitaji msada kwa ajili ya Allah
@miishhassn Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@Marjeby Жыл бұрын
Sheikhe Othuman wallah nilijitahidi sana kukutafuta wakati nipo Dar lakini mungu hakujalia kukuona lakini nia yangu hasa ilikuwa kwanza kukushukur sana lakini la pili nilitaka nikupe ushuhuda wangu kwako kwanini kwako.Sababu wewe na sheikhe Walid Alhad ndio watu mlionifanya nijue umuhimu na nini swala za bwana mtume basi wallah nimedumu katika hilo allah shahid imenibadilisha kuanzia maisha yangu na kila kitu changu kwa hali ya juu sana. Mimi ni mwanasheria nilihitimu masomo yangu tangu mwaka 2015 kipindi chote hicho sikuwa na chochote kile kwa maana ya chochote lakini nilipomua kudumu na swala za bwana mtume kila siku kabla ya kulala kwa muda wa kama miezi saba na idadi ilikuwa 500 tu basi wallah mungu ana niona sasa hivi nna kila kitu kwa maana ya kila kitu napata kazi kwa maana kesi za kusimamia mpaka zingine nawapa jamaa zangu naingiza pesa hasa alhadulilah. Sheikh Othuman na Walid Alhad nia yangu niwaone niwashukuru na kuwapongeza wanafanya kazi kubwa sana kila siku kwenye dua zangu mpo mungu awape uhai mrefu na afya njema nyinyi ni hazina ya uislam ni mashekh ambao mnaeleweka na kila rika Mungu awazidishie kila kheri
@othmanmichaelonline2866
Жыл бұрын
Shukran sana nimefurahi Kwa Dua zako nzr mno
@muddymuzungu4357
11 ай бұрын
Maa shaa Allah
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Aamiyn
@mariamharoon1840 Жыл бұрын
Siku nikijariwa kukuona takuhadisia kweri nimefanya nimefauru
@mariamharoon1840 Жыл бұрын
❤❤❤😢😢😢😢 kweli kabisa yaani mimi pia ninaushuuda na nimefanikiwa na sara hii
Пікірлер: 112
Allah akulipe jannah💝💖 shekh wetu💗♥️
SH. OTHAMN MICHAEL, SHKHEE Naombaa nkushukur snaaa shkhe shkhe uwezi AMINI uliv elekeza kumswalia Mtume Muhammad (s w a) WALLAH,, nmejitahid siku 5 namsalia ×1000 usiku alf naomba dua nlikua sin kaz ,, leo hii shkhe nmepigiw simu ya kazi shkhe kam nliv ombaaa kweny dua
@muddymuzungu4357
11 ай бұрын
Maa shaa Allah Allah ailinde kazi yako
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Maa shaa Allah
SH, OTHAMN MICHAEL,, nashukur sn kw mafunzoo yko lnshaallah nitakuombea jambo n ww kweny dua zang NASHUKUR snaaaa nmejibiwaa jmn kupitia MTUME MUHAMMAD (S W A)
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Swalallahu alayhi wasallam
Naam maanshaallah tabarakallah kheir sheikh wetu kwakutuhamasisha na swalatul alanabii Nasitu tunakutakia mwaka huu mahujaji Allah amewakadilia kwenda nawe uwemo Tunaimani tutanufaika sana zaidi nasafari Yako hiyi ya hidja Allahum amin ya rabb
Masha Allah very beneficial lecture, BarakAllah feek
Allah akupe shifaaa na kila aliemgonjwa Allah amjalie shifaa ya haraka Ameen ya Rabby Alamin 🤲🤲🤲
Sheikh Othman shukran sana. Allah akuifadh nimeisambaza Swala ya Mtume Muhammad (S.A.W) kwenye group ya WhatsApp mpaka leo watu wananipa majibu mazuri . Alhamdulillah
@nuuraalinoor3630
11 ай бұрын
Thanks my sister,ulisoma ipi please write it for me thanks.
@SociedadeSust1234
11 ай бұрын
@@nuuraalinoor3630 Allahuma swali Alaaa saidina Muhammadin waalihi waswahabiih wasalimo .
@NunuKupela
8 ай бұрын
Naomba uniandikie vizur dada yangu
@nuuraalinoor3630
8 ай бұрын
@@NunuKupela Asalamu caleykum,I was asking which salawat were you reading thanks.
Shukrani sana shekhe tangu nilipoanza kumswalia mtume kwa wingi kheri naziona zinaanza kuja na nilikaa nikamuomba Allah kupitia swala ya mtume aniponye mguu ulokua unanisumbua Hadi Leo nishapona Niko poa.Pia nilipomswalia mtume zaid ya mara 1000 niliumwa sana Mambo ya ajabu lakini hadi leo naendelea yameanza kupungua .Hivyo watu waache kubeza.Allah akulipe shekhe.
@GodanoFatuma-dx4lk
Жыл бұрын
Amiin Amiin
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Allah akupe kher ya dunia na akhera
Mashallah shekh umeni inspire san kumswalia mtume allah akulipe kher dunian na kesho akhera 🥰🥰
MashaLLAH sheikh wetu Allah Akujazi kheri hapa duniyani na kesho Akhera Ameen yaa RABB
Insha allah atakulipa kheri zake. Uchamungu nilionao, namshukulu Allah ni kupitia kazi ya shekhe othuman. Niliumwa nikaenda kutibiwa kwake nikamuuliza, sasa shekhe nikipona hakuna kinga utakayo nipa? Shekhe akaniambia kinga iko kwa Allah kwa sababu mashetani tunaishi nayo na wachawi tunaishi nao, kwahio wewe fanya sana ibada siku zote za umri wako, na simama usiku umuombe Allah. ALHAMDULLAH Allah alinijalia wepesi nikafanya yote kwa yaqini kwakweli nashukulu sana nilikuwa nimejaliwa watoto wengi wakiwa ni wakike nimeomba mtoto wakiume Allah akuhifadhi shekhe
@jamilashabani8580
Жыл бұрын
Maaa Shaa Allah
@aminahmuhindo584
Жыл бұрын
Allahumma amiin yarabi
@jamilashabani8580
Жыл бұрын
@@aminahmuhindo584 Thumaaa Amiin Yaa Rabb Taqabal Dua
Mashallah tabarkallah shukran sheikh yetu Allah akulep ❤❤❤❤
Amina yaral-ghalamina allah akupe umri mrefu shekhe Othuman
اللهم صل على سيدنا محمد وآله وصحبه وسلم ❤
Mashallah ❤❤ Allah akupe pepo ya juu pamoja na kipenz chetu nabii Muhammad (swala lahhu allaiy wasalam)Amiin 🌹🌹🌹
Allah akujalie .kila kheri na familia yako Sheikh Othuman
Allah barik
Allah akulipe kheri na umree mreef uzid kutufunza
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Allahumma amiin
Sheikh Othman Michael. Shukran sana. Na Allah akuzidishe mapenzi kubwa kwa bwana Mutume Muhammad.(sw)
Nakubali sheh wang ...Allah akuzidishie ...hakika nidarsa nzur san ...
Allah akup umr mref weny manufaa ❤❤
Masha Allah. Allah akujaalie kila la Kheri Duniani na Akhera. Sheikh wetu.
Ya ,Allah .Inshaallah Atakulipa kwahisani yake kheri ambayo hukuitaraji.Ya,Ghafar Ya, Mujibu.
Jazakallahu kheri naomba Allah akulipe kila kheri fi dunia wali akhira yarabi na akubali kazi zako zoote unafanya Kwa ajili yake Allah
Na huyo mtoto wakiume nilie muomba Allah amenijalia nimempata, ALHAMDULLAH kanzi nzuri shekhe malipo yako utayakuta mwisho wa safari yako ya maisha,
@GodanoFatuma-dx4lk
Жыл бұрын
Allah amjalie kheir
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah
@IMRANSTORIES136
4 ай бұрын
MashAllah tabarakAllah,
Shukran jazakumullahu khairan shekh wetu masha allah tabarak allah
MaashaAllah Sheikh Allah akulipe kila la khair
MA nsha Allah nakupenda kwajili ya Allah sheikh Othman Michael ♥️🇧🇮🇴🇲
Jazaka LLahu Khayr, Inshaa Allah Ameen. Allah akupe kivuli siku ambayo haina kivuli isipokuwa kivuli chake yeye Allah. Inshaa Allah Ameen. Shukran Sheikh
Mungu akulinde sana sheikh unafanya kaz kubwa sana ya kuutangaza uislam
Mashaallah umetupa faida sana jazakallahu kheri
Mashallaah Mwenyez mungu akuhifadh shekh
Allah akuzidishie shekher wetu akupe umr mrefu inshallah masha Allah,😍
Allha Akuhifadhi akufungulie tiziki akuperiziki pana
Shukran jazakallah kheri
Allah akulipe kheri akupe zaidi ya ulichonacho...akupe pepo 🤲🤲🤲🤲.....
Allah akupee Keri na akuzidishie
Asante shekh
Allah akuzidishie heri njema inshallah
Quick recovery sheikh praying for you salallahu caleyhi wasalam Allahuma Amiin ya Allah thanks
Amiiyna sheikhe iwe kwako pia isha allah allah akuzidishie khery
Aslm alkm ww..... Masha Allah!!! Sheikh wetu kipenzi. Nakupenda bila kuficha. Dua zako zimefika insha Allah 🙏. Allah anakupenda sanaa. Napenda kuskiliza mawaidha yako unapo msifu Nabii Muhammad S. A. W. Unamtaja kwa mahaba ya hali ya juu... Yasssalllam bila shaka na yeye anakupenda sheikh wetu kipenzi. ❤❤❤❤❤❤❤❤. Allahu maswali wasalim allaa sayyidina Muhammad waala ahlihi wa swahbihi wasalim. Masha Allah. All'ah akulinde 🙏🌹💕💕💕💕❤️
Allah akuzidishie kila la kheri duniani na akhera kwa unavyo tufundisha.
Allah akujaze kheir sheikh wetu kipenzi🙏♥️
Mashaallah Amina
Mashaallah napenda sana khutba zako Allah akulipe kila akher
Mashaallah huyu sheikh Allah amlipe jannat
Naam swalat alaa nabi muhim sana,mswaliy mtume wetu Muhammad (saw) kadr uwezavyo ni muhim sana na lau kama una mambo mabaya mwilini mwako yatajitokeza tu
Mungu akujalie mwisho mwema sheikh wetu inshaallah
Allahma amin yarabi
Asnt sana ustadh allah akupe umr mrf wenye kher innshaallah
Amiin jazzakum Allah
Masha Allah. Allahumma Amiin. Mwenyenzi Mungu akujaalie khery. In Shaa Allah
Allah huma swali saydina muhamady walaalih waswahabih wasalam
mashaallah allah akuzidishie
Tuna swali ila bado mambo magumu sheikh wangu😢
Amin yarab
Maashaallah
Allah bless your love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwa ajili ya Alla
Mashallah
MashaAllh
Allah akulipe kila laheri apa duniyani nakesho ahera naAtukingi
Allahumma ameen 🤲
Masha ALLAH, nakupenda kwa ajili ya ALLAH
Mashallah nilikuona tu mara ya kwanza nikakupenda nipo Kenya
Mwenyezi_Mungu akuhifadhi
MWENYEZI Mungu Akupe neema inshaallah
Allhahu mmaswalliy aalah saidinaaaaa Muhammad 🤲🤲🤲
MI pia nakupenda Sana sheikh kwa ajili Allah
Rabbih akujaliye pepo amin🙏🙏🙏
Shukran 🙏
Alhamdoullilah Allah akulipe kheir fill dunia wao ahera
Mungu akujalie jannah
Sasa nipo rebanoni niombee sara hii ❤❤❤❤❤
Natamani ndoa niombeeni dua na mim nistirike
Kusema kweli napenda kufata mawahidha yako yanijenga Sana nilikuwa na shida nimesali Sara za usiku nimejibuwa kwa haraka kila kitu kwa allah chepesi
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
mashaAllah tabarakallah, sheikh which one did you recite ten thousand or five thousand please tell me.shukran
Allah akulipe kwa mawaidhaa yako
Allah akulipe inshallah
Amin Allah akulipe heli
Nampenda Sana huyu shekh pamoja na nasaha zake
❤❤❤❤❤🇲🇿
❤️❤️❤️
Assalamu alaykum 🤲🤲🤲
Mashaallah tabarakallah Allah akuifadhi uzidi kutufunza yalo ya kheri Inshaallah
Shekh wangu umekataa kabisaa kuongelelea tanbihi ya swalatun Naariyah. Hii alladhi tanhal-lu lahul ni Kwa sababu yake ama vipi please clarify
@Teacher........
8 ай бұрын
*Tan hallu ﴾bihi﴿l uqad*shekh wangu hapo hiyo bihi niloweka qaws hiyo ni maanaake ni ﴾kwasababu﴿ ya mtume lakini sio yeye mfungua vifungo ni *ALLAH* ila mtume ni sababu mfano kidonge unameza hakiponyeshi ila mponyeshaji ni nani ni ALLAH kidonge ni sababu yaa Akhuy
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,sheikh pls naomba namba ya sim Nina matatizo nahitaji msada kwa ajili ya Allah
❤❤❤❤❤
Sheikhe Othuman wallah nilijitahidi sana kukutafuta wakati nipo Dar lakini mungu hakujalia kukuona lakini nia yangu hasa ilikuwa kwanza kukushukur sana lakini la pili nilitaka nikupe ushuhuda wangu kwako kwanini kwako.Sababu wewe na sheikhe Walid Alhad ndio watu mlionifanya nijue umuhimu na nini swala za bwana mtume basi wallah nimedumu katika hilo allah shahid imenibadilisha kuanzia maisha yangu na kila kitu changu kwa hali ya juu sana. Mimi ni mwanasheria nilihitimu masomo yangu tangu mwaka 2015 kipindi chote hicho sikuwa na chochote kile kwa maana ya chochote lakini nilipomua kudumu na swala za bwana mtume kila siku kabla ya kulala kwa muda wa kama miezi saba na idadi ilikuwa 500 tu basi wallah mungu ana niona sasa hivi nna kila kitu kwa maana ya kila kitu napata kazi kwa maana kesi za kusimamia mpaka zingine nawapa jamaa zangu naingiza pesa hasa alhadulilah. Sheikh Othuman na Walid Alhad nia yangu niwaone niwashukuru na kuwapongeza wanafanya kazi kubwa sana kila siku kwenye dua zangu mpo mungu awape uhai mrefu na afya njema nyinyi ni hazina ya uislam ni mashekh ambao mnaeleweka na kila rika Mungu awazidishie kila kheri
@othmanmichaelonline2866
Жыл бұрын
Shukran sana nimefurahi Kwa Dua zako nzr mno
@muddymuzungu4357
11 ай бұрын
Maa shaa Allah
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Aamiyn
Siku nikijariwa kukuona takuhadisia kweri nimefanya nimefauru
❤❤❤😢😢😢😢 kweli kabisa yaani mimi pia ninaushuuda na nimefanikiwa na sara hii