Soma Nyiradi Hizi X40 Zinaondosha Ugumu Wa Maisha /Faida Ya Kusali Sala Ya Dhuha/Sheikh Walid Alhad

Ойын-сауық

Soma Nyiradi Hizi X40 Zinaondosha Ugumu Wa Maisha /Faida Ya Kusali Sala Ya Dhuha / Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Soma Nyiradi Hizi X 40 Zinaondosha Ugumu Wa Maisha /Faida Ya Kusali Sala Ya Dhuha / Sheikh Walid Alhad Omar
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Пікірлер: 77

  • @hassanmrisho
    @hassanmrisho Жыл бұрын

    Alhamdulillah, nimeongeza kitu kingine kuhusu swala hii! Allah aendelee kukupa afya njema uendelee kutuelimisha Sheikh Walid.

  • @MwanaidiJuma-hw8tb
    @MwanaidiJuma-hw8tbАй бұрын

    Sheikh walid Allah akupe afya njema na umri mrefu na akulinde na mahasidi amiin ❤❤❤

  • @nuruali9608
    @nuruali960817 күн бұрын

    JAZAKA ALLAHU KHEIR SHEIKH WETU...ALLAH AKUPE AFYA NJEMA NA NURU KATIKA MAISHA YAKO

  • @RehemaMohd-ct1mq
    @RehemaMohd-ct1mq2 ай бұрын

    Mashaallah jazakallahul kheir

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl10 ай бұрын

    Shukran sana Sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa

  • @zainabumavura4270
    @zainabumavura4270 Жыл бұрын

    Shekh walid wallahnakupenda kwan ajil ya Allah ,Allah akuhifadhi

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh akujakie kheir

  • @eshasalim5496

    @eshasalim5496

    Жыл бұрын

    Allahumma Amiin

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid8021 Жыл бұрын

    Natamani siku moja nifundishwe na sheikh walid

  • @leyzworld4024

    @leyzworld4024

    Жыл бұрын

    In shaa Allah kheri

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 Жыл бұрын

    Allahamdulillah umenipa kitu Allah Atakulipa.Aameen🤲

  • @udazakikoti3419
    @udazakikoti3419 Жыл бұрын

    Inshaallah, mwenyezi mungu akupe kheri ya dunia na akhera

  • @harunakaberukaharuna6143
    @harunakaberukaharuna6143 Жыл бұрын

    Baraka llaahu fikum

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Жыл бұрын

    Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh .Shukran jazakallahu kheir

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy6562 Жыл бұрын

    Allah Akuzidshie sheh walid uzidi kutupa faida juu ya dini

  • @maryamiddi4938
    @maryamiddi4938 Жыл бұрын

    Allah akujalie umri twaweel ameen kwa kutupa elim tunaswali hatujui hizo nyiradi shukran

  • @uledyjuma7814
    @uledyjuma7814 Жыл бұрын

    Shukraan sana sheikh kwa Ugadi mzuri Allah akubariki sana sheikh wetu nakupenda kwaajiri ya Allah Alhamdulilah rabilalaamina

  • @omarijuma6692
    @omarijuma6692 Жыл бұрын

    Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri mrefu

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823

    @hshshsshjdjejjejejejej9823

    Жыл бұрын

    Amiin yarab 🌹

  • @user-gr6dm6qi6v
    @user-gr6dm6qi6v4 ай бұрын

    MashaAllah Allah azidi kukuhifadadhi sheikh na akuzidishiye ilm na afya njema. Akulipe mazuri apa duniani na kesho akhera Aamiin . Na faidika kila siku nikifata mawaidha yako ❤❤

  • @bintyhassan3060
    @bintyhassan3060 Жыл бұрын

    Shukran sanaa, Allah akupe umri uzidi kutujuza.

  • @allykimosa1419
    @allykimosa1419 Жыл бұрын

    Mashallah allah azidi kumlinda mwalimu wetu

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Жыл бұрын

    waghalaikum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @ramadhanrama7873
    @ramadhanrama7873 Жыл бұрын

    Shukran jazila

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 Жыл бұрын

    Jazzaka Allah kheri

  • @amanimatokeo9139
    @amanimatokeo9139 Жыл бұрын

    Mashallh

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 Жыл бұрын

    Shukran Shekh wangu Allah akuhifadhi na akupe mwisho mwema Kwa elimu unayo tupa Alhamdulilah

  • @afric01
    @afric01 Жыл бұрын

    Aslm alkm ww.... Masha Allah 🌹 shukran sana sheikh Walid.

  • @mutaladjasmini4815
    @mutaladjasmini4815 Жыл бұрын

    Shukran sheikh wetu Allah akuzidishie ilmu yenye manufaa Allahouma ameen 🤲

  • @happykusaga6587
    @happykusaga658710 ай бұрын

    Masha Allah.

  • @moureenkamau8697
    @moureenkamau8697 Жыл бұрын

    wallah I sheik mungu akulipe anstee

  • @abuuruqayyah3200
    @abuuruqayyah3200 Жыл бұрын

    Mashaallah darsa nzuri sana

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    ahsante shekh

  • @Mtawatawa-bh2hr
    @Mtawatawa-bh2hr8 ай бұрын

    Allah akuhifadhi

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Жыл бұрын

    Mashaallah Allah akulinde

  • @hamidmbizo1383

    @hamidmbizo1383

    Жыл бұрын

    ماشاءالله الله اكبر

  • @nahaj1657
    @nahaj1657 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @imamabdulhanaanmahmudramad8992
    @imamabdulhanaanmahmudramad8992 Жыл бұрын

    شكرا

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Жыл бұрын

    Shukran sn shekhe wetu pendwa. Allah akuhifadhi na akupe umri wenye manufaa Ameen

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Жыл бұрын

    Mashallah tabaraqah ❤

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n10 ай бұрын

    Aslm alkm ww... Masha Allah!!!!,😀😀😀😀😀kweli kabisaa sheikh Walid alkamalu lillah. Allah atuongoze ❤❤❤

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Жыл бұрын

    Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin. Jazzaka Allahu Kheir Ya Sheikh

  • @salumabdullah4562
    @salumabdullah4562 Жыл бұрын

    Alhamdulillah nimekuelewa vyema sheikh wangu Allah azidi kukupa umri mrefu ili uzidi kutuelimisha

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m6 ай бұрын

    Jamani uislam mtamu jamn

  • @issahassani5003
    @issahassani5003 Жыл бұрын

    Asalaam alaykum mufty asante

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Shekh Kuna suna sabaaa ya uchovu

  • @ShakizyAe
    @ShakizyAe Жыл бұрын

    Naam shekhe

  • @user-fw6wt4mf3b
    @user-fw6wt4mf3b8 ай бұрын

    Asalam.alaykum shekh naomba utupe muongozo wa salat-tasbih inasaliwa vipi wingi wake uchache wake na unasemaje kwa faida ya wengi in shaa Allah

  • @RehemaMohd-ct1mq
    @RehemaMohd-ct1mq2 ай бұрын

    9:44

  • @tigerboy5685
    @tigerboy5685 Жыл бұрын

    Fantastic 👍👍👍👍

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Жыл бұрын

    Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh. Amiiyn thumma Amiiyn, Baraka Allahu fiiQ. Je nikisali Rakka mbili za ishraq naruhusiwa kusali tena kabla ya adhana ya dhuhuri? Kwamfano ishraq nisali Rakka inne kisha kabla ya Adhuhuri nisali zingine nane ao mbili ao sita.

  • @zainabumavura4270
    @zainabumavura4270 Жыл бұрын

    Asalam alaykum we he dhuha tunaweza kuiswali jaman a ?

  • @user-gy9ru7hs7x
    @user-gy9ru7hs7x17 күн бұрын

    Alhamdulillah Allah akuzidishie Ilmu. Tunafaidika Sana. Shukran.

  • @Mtawatawa-bh2hr
    @Mtawatawa-bh2hr8 ай бұрын

    Sheikhe naomba unisaidie dua au maneno kusema ktk sijida maana nasikia kwa kiswahili haitakiwi

  • @KamariaHamza
    @KamariaHamza2 ай бұрын

    Ni rakaa zote za mwisho au ile yamwisho husali tena

  • @sirsparks7517
    @sirsparks7517 Жыл бұрын

    Salaam Alaykum. Huu ukumbusho ni mzuri lakini hayo mafundisho ya kusema yaa Basit kwenye sijda ya mwisho yametoka wapi???? Je, imethibiti kwenye Sunnah? Au ni huu ni utenzi wa Mashekhe??? Nyongeza nyongeza kwenye dini zimekatazwa na Mtume wetu rehma na amani zimfikiye. Hao wanachuoni wakusanywe wooote bado hawatokuwa wabora zaidi ya Mtume .

  • @makenaOG

    @makenaOG

    Жыл бұрын

    Shekhe kasema unaweza fanya naukiona kwa elimu yako haifai basi waachie wanao ona inafaa basi na hakuna mjadala

  • @mohdhamza8175

    @mohdhamza8175

    Жыл бұрын

    Kuongeza Sio dhambi na Wala hajahalalisha . Kasem ukiw unawez au unatk fahamu lugh yko kk

  • @irakozerahma7488
    @irakozerahma7488 Жыл бұрын

    Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh Ni upi muda wamwisho wakuswali sala ya dhuha ????

  • @JumaZahoro2000

    @JumaZahoro2000

    Жыл бұрын

    Waalaykumu ssalaaamu warahmatullahi wabarakaatuhu. Dakika 15 kabla ya swala ya Adhuhur Yani Baada ya kuchomoza Jua Kaa dakika 15 basi hapo ndio mwanzo wa Sala ya dhuha, inaisha dk 15 kabla ya swala ya Adhuhur. Allah Ni Mjuzi Zaidi

  • @rahmahabibu4727
    @rahmahabibu47273 ай бұрын

    Atokee mtu aliandike hilo neno tupate kulishika vizur inshallah

  • @michiadam4678

    @michiadam4678

    7 күн бұрын

    Yaabasit ,yaabasit ×40

  • @tuahilialisalimo8054
    @tuahilialisalimo8054 Жыл бұрын

    Assalam shekhe je swala dhuha haiswaliwi raka 6?

  • @choggysly3541

    @choggysly3541

    Жыл бұрын

    Ukisali mbili Sawa ,nne Sawa ,sita Sawa mpaka 12 ,lakini hauzisali kwa pamoja ,unasali mbili unatoa salamu ,unasali mbili nyingine unatoa salamu kama haujaelewa niambie nikutumie namba yangu ,au tafuta jirani anaejua umuulize Inshaa Allah

  • @tuahilialisalimo8054

    @tuahilialisalimo8054

    Жыл бұрын

    Jazakallah khair

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991 Жыл бұрын

    Wlkm slm wrhmtlh wbrkth sheikh, Niko na swali.... Swalatu dhuhaa na swalatul ishraaq ni sawa??? Au ni swala moja tu???

  • @shamisahmed1425

    @shamisahmed1425

    Жыл бұрын

    Ni moja tu..ishraaq na dhuha ni iyoiyo..!!

  • @abubakarsalim6297

    @abubakarsalim6297

    Жыл бұрын

    Hizo ni swala mbili tofauti masheikh zangu

  • @ummusalim1991

    @ummusalim1991

    Жыл бұрын

    Hata mm najua hivyo @shamisahmed Lkn may b kuna ikhtilaaf ya wanazuoni

  • @aminaalmazrui9785

    @aminaalmazrui9785

    Жыл бұрын

    @@abubakarsalim6297 Ndio twambie tofauti zao

  • @hajjiomary2383

    @hajjiomary2383

    Жыл бұрын

    Kwanza walimu wengine wanasema ishirak aipo

  • @harunakaberukaharuna6143
    @harunakaberukaharuna6143 Жыл бұрын

    Baraka llaahu fikum

  • @ashaabeid4520

    @ashaabeid4520

    Жыл бұрын

    Assalaam Aleykum, Sheikh Walid, Inshaallah Allah S.W. Ninamuomba akujaaliye umri mrefu wenye Afya njema na akuzidishie Elimu yako mimi binafsi nayaelewa mafundisho yako na ninaelimika sana.

  • @maryammoumin4942

    @maryammoumin4942

    Жыл бұрын

    Shuqran Allah atupe kheri zake

  • @abdulshariff4739

    @abdulshariff4739

    Жыл бұрын

    Mashallah shekhe wetu umetumia neno sahihi kabisa LUBRICANT Allah akuzidishie umri na elmu

  • @ShakizyAe
    @ShakizyAe Жыл бұрын

    Naam shekhe

Келесі