Soma Nyiradi Hizi X40 Zinaondosha Ugumu Wa Maisha /Faida Ya Kusali Sala Ya Dhuha/Sheikh Walid Alhad
Ойын-сауық
Soma Nyiradi Hizi X40 Zinaondosha Ugumu Wa Maisha /Faida Ya Kusali Sala Ya Dhuha / Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Soma Nyiradi Hizi X 40 Zinaondosha Ugumu Wa Maisha /Faida Ya Kusali Sala Ya Dhuha / Sheikh Walid Alhad Omar
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Пікірлер: 77
Alhamdulillah, nimeongeza kitu kingine kuhusu swala hii! Allah aendelee kukupa afya njema uendelee kutuelimisha Sheikh Walid.
Sheikh walid Allah akupe afya njema na umri mrefu na akulinde na mahasidi amiin ❤❤❤
JAZAKA ALLAHU KHEIR SHEIKH WETU...ALLAH AKUPE AFYA NJEMA NA NURU KATIKA MAISHA YAKO
Mashaallah jazakallahul kheir
Shukran sana Sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa
Shekh walid wallahnakupenda kwan ajil ya Allah ,Allah akuhifadhi
Allah akuhifadhi sheikh akujakie kheir
@eshasalim5496
Жыл бұрын
Allahumma Amiin
Natamani siku moja nifundishwe na sheikh walid
@leyzworld4024
Жыл бұрын
In shaa Allah kheri
Allahamdulillah umenipa kitu Allah Atakulipa.Aameen🤲
Inshaallah, mwenyezi mungu akupe kheri ya dunia na akhera
Baraka llaahu fikum
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh .Shukran jazakallahu kheir
Allah Akuzidshie sheh walid uzidi kutupa faida juu ya dini
Allah akujalie umri twaweel ameen kwa kutupa elim tunaswali hatujui hizo nyiradi shukran
Shukraan sana sheikh kwa Ugadi mzuri Allah akubariki sana sheikh wetu nakupenda kwaajiri ya Allah Alhamdulilah rabilalaamina
Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri mrefu
@hshshsshjdjejjejejejej9823
Жыл бұрын
Amiin yarab 🌹
MashaAllah Allah azidi kukuhifadadhi sheikh na akuzidishiye ilm na afya njema. Akulipe mazuri apa duniani na kesho akhera Aamiin . Na faidika kila siku nikifata mawaidha yako ❤❤
Shukran sanaa, Allah akupe umri uzidi kutujuza.
Mashallah allah azidi kumlinda mwalimu wetu
waghalaikum salam warahmatullah wabarakatuh
Shukran jazila
Jazzaka Allah kheri
Mashallh
Shukran Shekh wangu Allah akuhifadhi na akupe mwisho mwema Kwa elimu unayo tupa Alhamdulilah
Aslm alkm ww.... Masha Allah 🌹 shukran sana sheikh Walid.
Shukran sheikh wetu Allah akuzidishie ilmu yenye manufaa Allahouma ameen 🤲
Masha Allah.
wallah I sheik mungu akulipe anstee
Mashaallah darsa nzuri sana
ahsante shekh
Allah akuhifadhi
Mashaallah Allah akulinde
@hamidmbizo1383
Жыл бұрын
ماشاءالله الله اكبر
Masha Allah
شكرا
Shukran sn shekhe wetu pendwa. Allah akuhifadhi na akupe umri wenye manufaa Ameen
Mashallah tabaraqah ❤
Aslm alkm ww... Masha Allah!!!!,😀😀😀😀😀kweli kabisaa sheikh Walid alkamalu lillah. Allah atuongoze ❤❤❤
Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin. Jazzaka Allahu Kheir Ya Sheikh
Alhamdulillah nimekuelewa vyema sheikh wangu Allah azidi kukupa umri mrefu ili uzidi kutuelimisha
Jamani uislam mtamu jamn
Asalaam alaykum mufty asante
Shekh Kuna suna sabaaa ya uchovu
Naam shekhe
Asalam.alaykum shekh naomba utupe muongozo wa salat-tasbih inasaliwa vipi wingi wake uchache wake na unasemaje kwa faida ya wengi in shaa Allah
9:44
Fantastic 👍👍👍👍
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh. Amiiyn thumma Amiiyn, Baraka Allahu fiiQ. Je nikisali Rakka mbili za ishraq naruhusiwa kusali tena kabla ya adhana ya dhuhuri? Kwamfano ishraq nisali Rakka inne kisha kabla ya Adhuhuri nisali zingine nane ao mbili ao sita.
Asalam alaykum we he dhuha tunaweza kuiswali jaman a ?
Alhamdulillah Allah akuzidishie Ilmu. Tunafaidika Sana. Shukran.
Sheikhe naomba unisaidie dua au maneno kusema ktk sijida maana nasikia kwa kiswahili haitakiwi
Ni rakaa zote za mwisho au ile yamwisho husali tena
Salaam Alaykum. Huu ukumbusho ni mzuri lakini hayo mafundisho ya kusema yaa Basit kwenye sijda ya mwisho yametoka wapi???? Je, imethibiti kwenye Sunnah? Au ni huu ni utenzi wa Mashekhe??? Nyongeza nyongeza kwenye dini zimekatazwa na Mtume wetu rehma na amani zimfikiye. Hao wanachuoni wakusanywe wooote bado hawatokuwa wabora zaidi ya Mtume .
@makenaOG
Жыл бұрын
Shekhe kasema unaweza fanya naukiona kwa elimu yako haifai basi waachie wanao ona inafaa basi na hakuna mjadala
@mohdhamza8175
Жыл бұрын
Kuongeza Sio dhambi na Wala hajahalalisha . Kasem ukiw unawez au unatk fahamu lugh yko kk
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh Ni upi muda wamwisho wakuswali sala ya dhuha ????
@JumaZahoro2000
Жыл бұрын
Waalaykumu ssalaaamu warahmatullahi wabarakaatuhu. Dakika 15 kabla ya swala ya Adhuhur Yani Baada ya kuchomoza Jua Kaa dakika 15 basi hapo ndio mwanzo wa Sala ya dhuha, inaisha dk 15 kabla ya swala ya Adhuhur. Allah Ni Mjuzi Zaidi
Atokee mtu aliandike hilo neno tupate kulishika vizur inshallah
@michiadam4678
7 күн бұрын
Yaabasit ,yaabasit ×40
Assalam shekhe je swala dhuha haiswaliwi raka 6?
@choggysly3541
Жыл бұрын
Ukisali mbili Sawa ,nne Sawa ,sita Sawa mpaka 12 ,lakini hauzisali kwa pamoja ,unasali mbili unatoa salamu ,unasali mbili nyingine unatoa salamu kama haujaelewa niambie nikutumie namba yangu ,au tafuta jirani anaejua umuulize Inshaa Allah
@tuahilialisalimo8054
Жыл бұрын
Jazakallah khair
Wlkm slm wrhmtlh wbrkth sheikh, Niko na swali.... Swalatu dhuhaa na swalatul ishraaq ni sawa??? Au ni swala moja tu???
@shamisahmed1425
Жыл бұрын
Ni moja tu..ishraaq na dhuha ni iyoiyo..!!
@abubakarsalim6297
Жыл бұрын
Hizo ni swala mbili tofauti masheikh zangu
@ummusalim1991
Жыл бұрын
Hata mm najua hivyo @shamisahmed Lkn may b kuna ikhtilaaf ya wanazuoni
@aminaalmazrui9785
Жыл бұрын
@@abubakarsalim6297 Ndio twambie tofauti zao
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Kwanza walimu wengine wanasema ishirak aipo
Baraka llaahu fikum
@ashaabeid4520
Жыл бұрын
Assalaam Aleykum, Sheikh Walid, Inshaallah Allah S.W. Ninamuomba akujaaliye umri mrefu wenye Afya njema na akuzidishie Elimu yako mimi binafsi nayaelewa mafundisho yako na ninaelimika sana.
@maryammoumin4942
Жыл бұрын
Shuqran Allah atupe kheri zake
@abdulshariff4739
Жыл бұрын
Mashallah shekhe wetu umetumia neno sahihi kabisa LUBRICANT Allah akuzidishie umri na elmu
Naam shekhe