Je swala ya Dhuha na Tasbihi inaswaliwa vipi? (Jibu kutoka kwa Sheikh Salim Barahiyan)

Hosted by: Nassor Bin Shabaan
Guest: Sheikh Salim Barahiyan
الجواب الكافي
{Jibu lenye kutosheleza}
RADIO IHSAAN FM
TANGA, TANZANIA
ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTER

Пікірлер: 52

  • @ashasimai9391
    @ashasimai93914 жыл бұрын

    Namuomba Allah atujalie tuwe ni wenye kuswali swala za ucku kwa khushuui

  • @zakiahilal8263
    @zakiahilal82634 жыл бұрын

    Shukran jazila nimejifunza nilivyokua sijui alhamdulillah.

  • @jainaboman8952
    @jainaboman89524 жыл бұрын

    Shukurani shekhe nimeelewa allah atuongoze wote

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika85922 жыл бұрын

    Bismillah maishaallah Shukran Sheikh

  • @moanamohammed1406
    @moanamohammed14064 жыл бұрын

    Shukran shekhe

  • @abdulimaliksalim7251
    @abdulimaliksalim72514 жыл бұрын

    Tunaomba no. zake tafadhali atusaidie majibu inshaa Allah

  • @user-vi5rv3ju9n
    @user-vi5rv3ju9n5 жыл бұрын

    Shukran

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye17994 жыл бұрын

    Barakallahou fikou

  • @hidayaamin5930
    @hidayaamin59304 жыл бұрын

    Ma shaa Allah jazakaĺlah llkher

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38435 жыл бұрын

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,Sheikh Allah akubarik akuzidishie kheir na neema na barak na mwisho mema pepon.ameen Mie naomba kama kuna kitabu naweza kusoma ili nipate kufahamu vizuri,subhaanah Allah kdg nimekuwa mgumu wa kuhifadhi Allah anijaalie niwe na fahamu ameen.

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    4 жыл бұрын

    Wa alaykum salaam kitabu gani Ukhty?

  • @nyotanjemaingarayo5384

    @nyotanjemaingarayo5384

    4 жыл бұрын

    Nishawahi kukisoma kitabu inaitwa swala ya tasbih vipo vitabu vyengine sala za sunna

  • @abdulhafidhy6514
    @abdulhafidhy65146 жыл бұрын

    Jazakallahulkhayr sheikh

  • @rahmaramla7030
    @rahmaramla70305 жыл бұрын

    Baaraka Allah

  • @maryamoman5926
    @maryamoman59265 жыл бұрын

    Shukran sana shekh

  • @sitysaidmwachipanga198
    @sitysaidmwachipanga1984 жыл бұрын

    Shukran jazzaka Allah kher

  • @maryamkeem7231
    @maryamkeem72315 жыл бұрын

    Jazakallahukhayr

  • @zuwenamohamed1327
    @zuwenamohamed13274 жыл бұрын

    In Shaa Allah

  • @abuuyusra3920
    @abuuyusra39203 жыл бұрын

    Ma sha allah

  • @sadasada1291
    @sadasada12916 жыл бұрын

    shukran san Allaah Akuongoze vyema uzdi

  • @kahasosaid2343

    @kahasosaid2343

    5 жыл бұрын

    shukran

  • @abdulimaliksalim7251
    @abdulimaliksalim72514 жыл бұрын

    Allahu a'alam

  • @allymbaruku6930
    @allymbaruku69305 жыл бұрын

    ma sha allah

  • @rahmaramla7030
    @rahmaramla70305 жыл бұрын

    Jazala Allahu kheir

  • @nuiasadiki6342
    @nuiasadiki63425 жыл бұрын

    shukuran

  • @maryamalimussa8843
    @maryamalimussa88433 жыл бұрын

    Je unakaa tahiyatu ya mwanzo na kusoma au unaendelea moja kwa moja na tahiyatu unakaa ya mwisho tu?

  • @ommyaasir7759
    @ommyaasir77595 жыл бұрын

    Axante

  • @ashurasaidi3038
    @ashurasaidi30384 жыл бұрын

    Assalam aleykum mi naomba kuuliza hii radio IHSAAN kwa dar inapatikana kwa masafa gani???

  • @fadhilmandaliabdalla6736
    @fadhilmandaliabdalla67362 жыл бұрын

    Inaswaliwa wakati upi, mchana au usiku na ni saa zipi? (Swalat Tsbihi)

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38435 жыл бұрын

    Mara 15 ya mwanzo sheikh,subhannah Allah niliona kama umekosea maana 300

  • @twalibuwaziri6084

    @twalibuwaziri6084

    5 жыл бұрын

    sawa lakini katika maongezi baadae alikumbuka kuitaja ya kwanza 15

  • @ashuashu3843
    @ashuashu38435 жыл бұрын

    Nisamehe Sheikh wangu ni pale mwanzo tu nilivyokuwa nazikiza ila nimeendelea kuisikiza sheikh wangu.

  • @mohamedmtinda7640

    @mohamedmtinda7640

    3 жыл бұрын

    DdDdddddd

  • @fatmaabdilahi1007
    @fatmaabdilahi10075 жыл бұрын

    Shekhe shukran sana

  • @husseinsham933

    @husseinsham933

    5 жыл бұрын

    Hellow

  • @bboykianipowerandtrickscom2291

    @bboykianipowerandtrickscom2291

    5 жыл бұрын

    Unatumia jina gan instagram

  • @ashurasaidi3038
    @ashurasaidi30384 жыл бұрын

    Assalam aleykum mi nilikuwa naomba kujua radio hii dar es salam inapatikan kwa masafa gani????

  • @faridaalihemed1276
    @faridaalihemed12765 жыл бұрын

    Assalam alaykum naweza kupata namba ya uyo ustadh

  • @ruqaiyyawaziri4287

    @ruqaiyyawaziri4287

    5 жыл бұрын

    Farida Ali Hemed inatajwa mwisho ckiliza vzur

  • @eliamanisenkondoronald1705
    @eliamanisenkondoronald17055 жыл бұрын

    Subhaanallah, Kwakua ALBAN Kaikubali Nanyi Mumeikubaliiiiiiiiii?? Kweli Mawahabi Ni Vipofu Wenye Utindio Wa Ubongo

  • @suleimanshaban5419

    @suleimanshaban5419

    5 жыл бұрын

    Hapo ndiyo waislamu tunapofeli hatuna kauli nzuri zaidi ya kukashifu

  • @fatmababaz6573
    @fatmababaz65735 жыл бұрын

    Asalam aleykum,swala ya tasbih ina wakati maalum au wakati wowote unaeza kuiswali??

  • @rakbinhemidi3992

    @rakbinhemidi3992

    5 жыл бұрын

    Waaleykum salam warammatullah wabarakatu fatma babaz kwanilivo elewa mimi mda wakuswali swala iyo ni kuanzia asubuh baada ya kuchomoza juwa na mwisho wakuswali ni kabra ya azuhur ndipo inaisha swala iyo kwasiku iyo mpaka kesho tena

  • @maryamothman7724

    @maryamothman7724

    5 жыл бұрын

    Swala ya tasbih inaswaliwa baada ya swalatu ishaa tuu

  • @ruqaiyyawaziri4287

    @ruqaiyyawaziri4287

    5 жыл бұрын

    Jamani swala ya tasbihi mda wowote ila ya dhuha ndio baada ya kuchomoza jua kutoka swalat fajir na kabla haijaingia dhuhur

  • @juliethemmanuel6171

    @juliethemmanuel6171

    3 жыл бұрын

    Asalam alaikum nashukur Sana nazid kufaham mengi

  • @juliethemmanuel6171

    @juliethemmanuel6171

    3 жыл бұрын

    Naitaji mafunzo Mimi nimesilim ata mwezi sjamaliza naomba ushilikiano wenu

  • @kadejahoe6543
    @kadejahoe65436 жыл бұрын

    Shukran

  • @zuwenamohamed1327
    @zuwenamohamed13274 жыл бұрын

    In Shaa Allah