Je swala ya Dhuha na Tasbihi inaswaliwa vipi? (Jibu kutoka kwa Sheikh Salim Barahiyan)
Hosted by: Nassor Bin Shabaan
Guest: Sheikh Salim Barahiyan
الجواب الكافي
{Jibu lenye kutosheleza}
RADIO IHSAAN FM
TANGA, TANZANIA
ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTER
Hosted by: Nassor Bin Shabaan
Guest: Sheikh Salim Barahiyan
الجواب الكافي
{Jibu lenye kutosheleza}
RADIO IHSAAN FM
TANGA, TANZANIA
ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTER
Пікірлер: 52
Namuomba Allah atujalie tuwe ni wenye kuswali swala za ucku kwa khushuui
Shukran jazila nimejifunza nilivyokua sijui alhamdulillah.
Shukurani shekhe nimeelewa allah atuongoze wote
Bismillah maishaallah Shukran Sheikh
Shukran shekhe
Tunaomba no. zake tafadhali atusaidie majibu inshaa Allah
Shukran
Barakallahou fikou
Ma shaa Allah jazakaĺlah llkher
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,Sheikh Allah akubarik akuzidishie kheir na neema na barak na mwisho mema pepon.ameen Mie naomba kama kuna kitabu naweza kusoma ili nipate kufahamu vizuri,subhaanah Allah kdg nimekuwa mgumu wa kuhifadhi Allah anijaalie niwe na fahamu ameen.
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
Wa alaykum salaam kitabu gani Ukhty?
@nyotanjemaingarayo5384
4 жыл бұрын
Nishawahi kukisoma kitabu inaitwa swala ya tasbih vipo vitabu vyengine sala za sunna
Jazakallahulkhayr sheikh
Baaraka Allah
Shukran sana shekh
Shukran jazzaka Allah kher
Jazakallahukhayr
In Shaa Allah
Ma sha allah
shukran san Allaah Akuongoze vyema uzdi
@kahasosaid2343
5 жыл бұрын
shukran
Allahu a'alam
ma sha allah
Jazala Allahu kheir
shukuran
Je unakaa tahiyatu ya mwanzo na kusoma au unaendelea moja kwa moja na tahiyatu unakaa ya mwisho tu?
Axante
Assalam aleykum mi naomba kuuliza hii radio IHSAAN kwa dar inapatikana kwa masafa gani???
Inaswaliwa wakati upi, mchana au usiku na ni saa zipi? (Swalat Tsbihi)
Mara 15 ya mwanzo sheikh,subhannah Allah niliona kama umekosea maana 300
@twalibuwaziri6084
5 жыл бұрын
sawa lakini katika maongezi baadae alikumbuka kuitaja ya kwanza 15
Nisamehe Sheikh wangu ni pale mwanzo tu nilivyokuwa nazikiza ila nimeendelea kuisikiza sheikh wangu.
@mohamedmtinda7640
3 жыл бұрын
DdDdddddd
Shekhe shukran sana
@husseinsham933
5 жыл бұрын
Hellow
@bboykianipowerandtrickscom2291
5 жыл бұрын
Unatumia jina gan instagram
Assalam aleykum mi nilikuwa naomba kujua radio hii dar es salam inapatikan kwa masafa gani????
Assalam alaykum naweza kupata namba ya uyo ustadh
@ruqaiyyawaziri4287
5 жыл бұрын
Farida Ali Hemed inatajwa mwisho ckiliza vzur
Subhaanallah, Kwakua ALBAN Kaikubali Nanyi Mumeikubaliiiiiiiiii?? Kweli Mawahabi Ni Vipofu Wenye Utindio Wa Ubongo
@suleimanshaban5419
5 жыл бұрын
Hapo ndiyo waislamu tunapofeli hatuna kauli nzuri zaidi ya kukashifu
Asalam aleykum,swala ya tasbih ina wakati maalum au wakati wowote unaeza kuiswali??
@rakbinhemidi3992
5 жыл бұрын
Waaleykum salam warammatullah wabarakatu fatma babaz kwanilivo elewa mimi mda wakuswali swala iyo ni kuanzia asubuh baada ya kuchomoza juwa na mwisho wakuswali ni kabra ya azuhur ndipo inaisha swala iyo kwasiku iyo mpaka kesho tena
@maryamothman7724
5 жыл бұрын
Swala ya tasbih inaswaliwa baada ya swalatu ishaa tuu
@ruqaiyyawaziri4287
5 жыл бұрын
Jamani swala ya tasbihi mda wowote ila ya dhuha ndio baada ya kuchomoza jua kutoka swalat fajir na kabla haijaingia dhuhur
@juliethemmanuel6171
3 жыл бұрын
Asalam alaikum nashukur Sana nazid kufaham mengi
@juliethemmanuel6171
3 жыл бұрын
Naitaji mafunzo Mimi nimesilim ata mwezi sjamaliza naomba ushilikiano wenu
Shukran
In Shaa Allah