Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid
Ойын-сауық
Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Пікірлер: 47
Alhamdullilah Allah atakulipa Kwa kutuelimasha
Shukran sheikh walid alhad
YAA RABII MPE MAZURI SH WETU DUNIAN NA KESHO AKHERA NA FEMILI YAKE
@halimamzee9370
Жыл бұрын
Àmina yarabbal alamina kwa sote
Alhamdulillah waneemat'il Islam yarab
Hakika wewe nihazina.MashaAllah
MASHALLAH JAZAKALLAH KHER MUNGU ATAKULI PA HERI
Mashalla Alihabibi Nakupenda Sana Alla akupe kheri.
Shukran Sheikh wetu Allah azidi kukuhifadhi
@hawamkumbwa6490
Жыл бұрын
Sheikh asante.Kwa wanaosali nyumbani peke yao wafanyeje?? Naomba majibu nimependa sana hiyo.
Shukrani shekhe Walid kwa faida kubwa uliyotupa allh akuhifadhi na akujaalie umri mrefu tuzidi kufaidika na ww
Barakalahu fiku Allah ajalie mwanangu qwe kama wewe
Ahsante sana sheikh alla akujaalie jazaa njema
Masha ALLAH Tabarakallah. Shukran sheikh ALLAH akulipe kheir.
May Allah bless you sheik...darasa zako zimenipeleka mbele ki iman
Sheikh ikiwa ni mwanamke aswali nyumbani hana jamaa atakuwa hawezi kusoma ?
Mashaallah tabarakallah
Shukran shekhe kwa sie tunaosali nyumbn je ?
Asalaam alaykum warahmatullaah wabarakaatuh ustaadh samahani mimi nina swali .... swali langu ni mimi ni wa kike na huwanasalia nyumbani je dua hii haifai kusomwa na wenye kuswali nyumbani ila kwa wenye kupata jamaa tu....naomba kujua sheikh wetu
@YusrayYunus-rr1kq
7 ай бұрын
shekh m naomba umjibu huyu
@sammarley1413
5 ай бұрын
Ibada zote kwa mwanamke nibora nyumbani kuliko masjid. Mwanamke kwenda msikitini ni dharura tu kama ijuma ao yende kwa ajili ya darsi
انشاالله FINALLY SHEEKH WALID IN NAIROBI THIS YEAR
@abdallahismael3993
Жыл бұрын
Twende
@aminaawal8953
Жыл бұрын
Shekh sababu ni kua hawana kipato wala watu hawawatizami walimu wa madrasa kwa jicho la tatu mbona walimu wa school hawaombi
@jumamwegelo9563
Жыл бұрын
Allah akujalie maisha malefu amen
Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka. Vip kwasis tunayo salia nyumbani?
Shukran Allah akulipe jee na sie kina mama tunaoswali nyumbani itafaa au mpk wanaoswali jamaa mskitini tu
Asalamualeikum. Skh jhazakkalahu khair for dua clip. Asanto
Shukran kwa ijazaah, na mengineyo mengi tu
Allah azid kukuhifadh sheikh walid, tunapata faida nying mashaa Allah. Kwa sisi tunao swali nyumban inakuwaje sasa?
@vamelamani2381
Жыл бұрын
Allah tabarak wa tanlaah azidi kuku ifadh sheikh walid
Shukran jazzakallah khairan
JazakAllahu kheir Ahlan
Nakama Ni mwanamke utafanyaje nasisi huswali nyumbani
Allah akujaalie umri mrefu wenye heri na ili waja wake wapate kuelimika kupita kwako, Ameem
Shukran sheikh, Allah atujibie dua zetu aamiin
@ashanassor584
Жыл бұрын
Shukra shekhe kwa ss tunaosali nyumbani
@fatumaramadhani6240
Жыл бұрын
Ikiwa mwanamke anaswalia nyumbani inafaa kusoma?
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Je kwetu sisi wanawake huu uradi hatuwezi kuupata maana twasali nyumbani sio jamaa?
🙏🙏🙏🙏🙏🤲
Asalaam Aleiko Nilikuwa nauliza jee kwa wanawake tusoma vipi maana hatuswali jamaa
@Khamisussi
Жыл бұрын
W.salam. nilipata kusikia kwa masheikh kuwa jamaa ya mwanamke ni pale ambao ikisomwa azana tu akasali hapo nd itakuwa imepatikan jamaa kwa wanawk wasio sal mskitn
@faridaikussi
9 ай бұрын
@@Khamisussinakushukuru kakaangu
Shekhe kwasisi wanawake tunao swali nyumbani dua hii vipi?
Kwa Sisi wanawake tunao salia nyumbani hatuwezi kusoma?
Na kama hauko kwa jamii uko nyumbani ?
Kapu la Sheikh 🤣🤣🤣 ilo.