Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid

Ойын-сауық

Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Пікірлер: 47

  • @FatmaHajj-z7s
    @FatmaHajj-z7s4 күн бұрын

    Alhamdullilah Allah atakulipa Kwa kutuelimasha

  • @yusufbongo9785
    @yusufbongo9785Ай бұрын

    Shukran sheikh walid alhad

  • @user-qb3yh9gq5l
    @user-qb3yh9gq5l Жыл бұрын

    YAA RABII MPE MAZURI SH WETU DUNIAN NA KESHO AKHERA NA FEMILI YAKE

  • @halimamzee9370

    @halimamzee9370

    Жыл бұрын

    Àmina yarabbal alamina kwa sote

  • @shabanizena2612
    @shabanizena261210 ай бұрын

    Alhamdulillah waneemat'il Islam yarab

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed6687 Жыл бұрын

    Hakika wewe nihazina.MashaAllah

  • @ashamussa5129
    @ashamussa51299 ай бұрын

    MASHALLAH JAZAKALLAH KHER MUNGU ATAKULI PA HERI

  • @harunarashid1650
    @harunarashid1650 Жыл бұрын

    Mashalla Alihabibi Nakupenda Sana Alla akupe kheri.

  • @jamilanassor1135
    @jamilanassor1135 Жыл бұрын

    Shukran Sheikh wetu Allah azidi kukuhifadhi

  • @hawamkumbwa6490

    @hawamkumbwa6490

    Жыл бұрын

    Sheikh asante.Kwa wanaosali nyumbani peke yao wafanyeje?? Naomba majibu nimependa sana hiyo.

  • @allymchuzi5466
    @allymchuzi5466 Жыл бұрын

    Shukrani shekhe Walid kwa faida kubwa uliyotupa allh akuhifadhi na akujaalie umri mrefu tuzidi kufaidika na ww

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Жыл бұрын

    Barakalahu fiku Allah ajalie mwanangu qwe kama wewe

  • @habibaabass2922
    @habibaabass2922 Жыл бұрын

    Ahsante sana sheikh alla akujaalie jazaa njema

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Жыл бұрын

    Masha ALLAH Tabarakallah. Shukran sheikh ALLAH akulipe kheir.

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Жыл бұрын

    May Allah bless you sheik...darasa zako zimenipeleka mbele ki iman

  • @sheikhaalamoudi3390
    @sheikhaalamoudi3390 Жыл бұрын

    Sheikh ikiwa ni mwanamke aswali nyumbani hana jamaa atakuwa hawezi kusoma ?

  • @HairahSayyed-hs9sb
    @HairahSayyed-hs9sb Жыл бұрын

    Mashaallah tabarakallah

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Жыл бұрын

    Shukran shekhe kwa sie tunaosali nyumbn je ?

  • @aquinoilham5941
    @aquinoilham5941 Жыл бұрын

    Asalaam alaykum warahmatullaah wabarakaatuh ustaadh samahani mimi nina swali .... swali langu ni mimi ni wa kike na huwanasalia nyumbani je dua hii haifai kusomwa na wenye kuswali nyumbani ila kwa wenye kupata jamaa tu....naomba kujua sheikh wetu

  • @YusrayYunus-rr1kq

    @YusrayYunus-rr1kq

    7 ай бұрын

    shekh m naomba umjibu huyu

  • @sammarley1413

    @sammarley1413

    5 ай бұрын

    Ibada zote kwa mwanamke nibora nyumbani kuliko masjid. Mwanamke kwenda msikitini ni dharura tu kama ijuma ao yende kwa ajili ya darsi

  • @basmaabdul1143
    @basmaabdul1143 Жыл бұрын

    انشاالله FINALLY SHEEKH WALID IN NAIROBI THIS YEAR

  • @abdallahismael3993

    @abdallahismael3993

    Жыл бұрын

    Twende

  • @aminaawal8953

    @aminaawal8953

    Жыл бұрын

    Shekh sababu ni kua hawana kipato wala watu hawawatizami walimu wa madrasa kwa jicho la tatu mbona walimu wa school hawaombi

  • @jumamwegelo9563

    @jumamwegelo9563

    Жыл бұрын

    Allah akujalie maisha malefu amen

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Жыл бұрын

    Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka. Vip kwasis tunayo salia nyumbani?

  • @saidasaleh6376
    @saidasaleh6376 Жыл бұрын

    Shukran Allah akulipe jee na sie kina mama tunaoswali nyumbani itafaa au mpk wanaoswali jamaa mskitini tu

  • @yusufchaki8683
    @yusufchaki868311 ай бұрын

    Asalamualeikum. Skh jhazakkalahu khair for dua clip. Asanto

  • @zakiasiwa797
    @zakiasiwa797 Жыл бұрын

    Shukran kwa ijazaah, na mengineyo mengi tu

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti5302 Жыл бұрын

    Allah azid kukuhifadh sheikh walid, tunapata faida nying mashaa Allah. Kwa sisi tunao swali nyumban inakuwaje sasa?

  • @vamelamani2381

    @vamelamani2381

    Жыл бұрын

    Allah tabarak wa tanlaah azidi kuku ifadh sheikh walid

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Жыл бұрын

    Shukran jazzakallah khairan

  • @mahamudguyo-fn2dj
    @mahamudguyo-fn2dj Жыл бұрын

    JazakAllahu kheir Ahlan

  • @CholoBoy-wo9yf
    @CholoBoy-wo9yf15 күн бұрын

    Nakama Ni mwanamke utafanyaje nasisi huswali nyumbani

  • @zakiasiwa797
    @zakiasiwa797 Жыл бұрын

    Allah akujaalie umri mrefu wenye heri na ili waja wake wapate kuelimika kupita kwako, Ameem

  • @IMRANSTORIES136
    @IMRANSTORIES136 Жыл бұрын

    Shukran sheikh, Allah atujibie dua zetu aamiin

  • @ashanassor584

    @ashanassor584

    Жыл бұрын

    Shukra shekhe kwa ss tunaosali nyumbani

  • @fatumaramadhani6240

    @fatumaramadhani6240

    Жыл бұрын

    Ikiwa mwanamke anaswalia nyumbani inafaa kusoma?

  • @NajuuuzAhmed
    @NajuuuzAhmed Жыл бұрын

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Je kwetu sisi wanawake huu uradi hatuwezi kuupata maana twasali nyumbani sio jamaa?

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🤲

  • @mgenisalim6830
    @mgenisalim6830 Жыл бұрын

    Asalaam Aleiko Nilikuwa nauliza jee kwa wanawake tusoma vipi maana hatuswali jamaa

  • @Khamisussi

    @Khamisussi

    Жыл бұрын

    W.salam. nilipata kusikia kwa masheikh kuwa jamaa ya mwanamke ni pale ambao ikisomwa azana tu akasali hapo nd itakuwa imepatikan jamaa kwa wanawk wasio sal mskitn

  • @faridaikussi

    @faridaikussi

    9 ай бұрын

    ​@@Khamisussinakushukuru kakaangu

  • @ashuramzungu
    @ashuramzungu Жыл бұрын

    Shekhe kwasisi wanawake tunao swali nyumbani dua hii vipi?

  • @user-db3hv6zq1d
    @user-db3hv6zq1d Жыл бұрын

    Kwa Sisi wanawake tunao salia nyumbani hatuwezi kusoma?

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Жыл бұрын

    Na kama hauko kwa jamii uko nyumbani ?

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 Жыл бұрын

    Kapu la Sheikh 🤣🤣🤣 ilo.

Келесі