Sifa Tano Za Mtu Kutorogeka / Wale Wanaosema Mtume Hasifiwi Wanamkosea Mungu / Sheikh Walid Alhad

Ойын-сауық

Sifa Tano Za Mtu Kutorogeka / Wale Wanaosema Mtume Hasifiwi Wanamkosea Mungu / Sheikh Walid Alhad
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wali ya juu kabisa juu sifa tano za mtu kutorogeka / wale wanaosema mtume hasifiwi wanamkosea Mungu tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks

Пікірлер: 46

  • @ramaaman9173
    @ramaaman91732 жыл бұрын

    Da,unafafanuavizurisana Shekh wala huna haraka katika kuelewsha mashallah

  • @hawaamohammed6687

    @hawaamohammed6687

    2 жыл бұрын

    Hakika anajitahidi waumini watoke nakitu si warudi majumbani kama walivyoingia : MashaAllah

  • @yasalaam590
    @yasalaam5902 жыл бұрын

    Shukran ya sheykh jazakallahu khayran

  • @yasalaam590
    @yasalaam5902 жыл бұрын

    Allahumma swalli wasallim. Wabarik alayhi❤❤❤😍😭allah atujaslie nuru ndani ya nyoyo zetu tuwe wapole na kuhurumiana kama kiongozi wetu yaarsbbi amiin

  • @khadijaangore4408

    @khadijaangore4408

    2 жыл бұрын

    Ameen yaraab alamiin

  • @balyyusuf7394
    @balyyusuf73942 жыл бұрын

    Mashallah

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe2 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma18792 жыл бұрын

    Maa shaa Allwah

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent24652 жыл бұрын

    Mash Allah mwenzi mungu akujaza kheri shekh letu kipenzi

  • @bentybenty2343
    @bentybenty23432 жыл бұрын

    Masha ALLAH. Rehma na amani zimshukie mtume wetu kipenz pamoja na maswahaba zake..

  • @omarijuma6692
    @omarijuma66922 жыл бұрын

    Allah akupe kila lakheri sheikh letu akupe pia umri mrefu ili tuendelee kufaidika na wewe inshallah

  • @smartpass7928
    @smartpass7928 Жыл бұрын

    MashaAllah yarabbi atujaliye nyoyo zetu tuwe watu wenye kuhurumiana kama kiongozi wetu rabbin alemian.

  • @abdallahjoe8015
    @abdallahjoe80152 жыл бұрын

    Allah akuweke amina

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33772 жыл бұрын

    Shukraan 🙏

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Жыл бұрын

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Kheir

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline2 жыл бұрын

    Sheikh Walid MaashaaAllah. Ahsante, darsa nzito. Allahumma swalli wasallim alayh

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu35382 жыл бұрын

    Allahumma ammeen yarrab

  • @AbdullahAlZaabi-on4tb
    @AbdullahAlZaabi-on4tb3 ай бұрын

    Allah.akuhifadhi.shekhe.wetu

  • @cheka480
    @cheka480 Жыл бұрын

    Mashallah Allah subhanah wataala amuweke Sheikh na sijutii wallah thumma wallahi kukuombea dua kila swala nnaoswali namuomba Allah amuweke kwenye hiki cheo aweze kuokoa ummah wa Dar es salam na Tanzania kwa ujumla

  • @abdulrazaktayeb
    @abdulrazaktayeb4 ай бұрын

    Mashallah Jazakallah

  • @ffed1876
    @ffed1876 Жыл бұрын

    Shukran sheikh wajazaakumu Llahu khayra

  • @jamilanassor1135
    @jamilanassor1135 Жыл бұрын

    Allah azidi kukuhifadhi Sheikh Walid

  • @allywaziry7489
    @allywaziry7489 Жыл бұрын

    Shekh Walid M/Mungu amjalie,,shekh anaelezea vizuri Sana hata Kama uelewa wako ni mdogo utaelewa tu

  • @abubakarswaleh5667
    @abubakarswaleh56672 жыл бұрын

    Mashaallah Sheikh Walid

  • @mariammohamed6762
    @mariammohamed6762 Жыл бұрын

    Mashallah shekh ndo maana Allah amekuchagua kuwa shekh wa mkoa Allah akuongoze uzidi kutupa imma wa kiislam nasi atuwezeshe kuyafuata nakuyafanyia kazi

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y6 ай бұрын

    Tuyafanyieni kazi hayo mambo matano.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Жыл бұрын

    maashaallah shekhe wetu

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 Жыл бұрын

    mashaalah allah akulipe kwa ghelim shekh walid ishaalah

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Жыл бұрын

    Shukran jazzakallah khairan

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore44082 жыл бұрын

    waalykum msaalam waramatulah wabarakatul.

  • @shamisfahiye9628
    @shamisfahiye96289 ай бұрын

    🎉

  • @khalidiswala2505
    @khalidiswala2505 Жыл бұрын

    Qiraa😍😍

  • @josephmasika3854
    @josephmasika3854 Жыл бұрын

    Alhamdulillahi

  • @khalidiswala2505
    @khalidiswala2505 Жыл бұрын

    Kimaro tuache banaaa

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro99392 жыл бұрын

    kama mtu muhammad alilogwa wewe unafundisha haya mafundisho unatoa wapi shekh. alilogwa mpaka akachanganyikiwa akawa anaota mara amawaingilia wakeze kumbe bado. lakini pia mtume mmefanya kuwa mtukufu wakati yeye mwenyewe anajijua. waislam pendeni kusoma bila kasumba wacheni kukaa hapo mdanganywe na mashekh wanajua kabisa mtu si chochote ila ni chifu tu wa makoreshi. hapasi kisifiwa kiungu isipokuwa hodari wa giza

  • @shamisahmed1425

    @shamisahmed1425

    2 жыл бұрын

    PERISH IN YOUR RAGE!!

  • @waleedalhad4844

    @waleedalhad4844

    2 жыл бұрын

    Yeye alirogwa mola akamfundisha dawa akapona lkn yesu alisulubiwa baba yake hakuwa na uwezo wa kumtetea wala kumnusuru akafia pale pale na kuozea msalabani zinduka mpumbavu weeee kisha unabeba hiyo silaha (msalaba) ulimuua unauenzi duuuh kweli umechelewa mjinga mkubwa weeeee fala

  • @jolinkimaro9939

    @jolinkimaro9939

    2 жыл бұрын

    @@waleedalhad4844 leta ushahidi wapi alipona. hakuna sehemu yoyote alipona wacha kudanganya watu. muhammad alikuwa na shetani toka kuzaliwa. na unakimbia kwa yesu unadhani itapindua ukweli kuwa mud alilogwa. alafu leo eti njia ya kufanya usilogwe. mkamfundishe kwanza mtume aijue.

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    2 жыл бұрын

    Usilolijua Litakupa tabu. Kama Haujui waulize Wenye Kujua. Yesu Amekufa Msabani Kwaajili Yadhambi Zenu Nabado Nyie Ambao Dhambi Zimechukuliwa Nayesu mnatenda dhambi Namnasamehewa Nawakati Mnajua fila kasurubiwa Msabani Kwaajili Yenu. Ungejitahidi Kusoma vizuri Nakuibadilisha hali kamahii. Kuliko kuyaingilia mambo usiyoyajua. Kwavitendo Chako chakuvamia mambo yawatu Kwalugha yamtaani kinaitwa umepanda Treni kwambele. Waswahili Wanasema Ukitaka Kutoa kibanzi mwenzio kitoe chakwako kwanza.

  • @jolinkimaro9939

    @jolinkimaro9939

    2 жыл бұрын

    @@nurdinmfamau3493 shekh. hiyo haiondoi muhammad alilogwa. kipi sijui. muhammad alilogwa alafu wewe unajidanganya eti njia za kuepuka usilogwe. shetani amewadanganya kama alivyomdanganya muhamad na nyie anawapepeta hovyo. amewapa mizigo mizito mpaka kuingia chooni jinsi ya kulala jinsi ya kusali ili allah awasikie. shekh mnapepetwa kwa kuwa mnaibishi kama huu ubaobishana hapa. mtume amelogwa mpaka anakufa hakuna ishahidi uchawi ulimwacha kama unaushahidi leta. utaniambia eti ni sura za mwisho zilishuka ili uchawi umwache. yaani shetani amshushie mtu aya za kumtoa yeye? funguka macho ya kiroho shekh. fikiri jambo hilo unayozungumza kuhusu yesu mzigo kwako hili la wazi kuwa mtume kalogwa huoni kabisa na watu wamekaa wanakusikiza majitu mazima midevu kama nyuzi

Келесі