Faida Za Sura Ya Tembo / Tajriba ni Zaidi Ya Elimu / Sheikh Walid Al had

Ойын-сауық

Faida Za Sura Ya Tembo / Tajriba ni Zaidi Ya Elimu / Sheikh Walid Al had
Sheikh Walid Akifundisha Darasa la Tafsiri pale msikiti wa kichangani kila siku ya jumaanne baada ya sala ya Alasiri Usisahau kufuatilia vipindi vyetu vyote tafadhali subscribe ili uwe wa kwanza kuona vipindi vyetu Asante
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
www.paypal.com/paypalme/Darsa...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / darsatv
► LIKE DARSA TV on Facebook: / darsatv
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks

Пікірлер: 39

  • @meandme3437
    @meandme3437 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi yarabi. Najifunza mengi kupitia kwako.

  • @akhtarbegum1219
    @akhtarbegum1219 Жыл бұрын

    Hii video ni zawadi kubwa....Jazakallah khayr Imam Walid.

  • @yahyasaloummvyongo3536
    @yahyasaloummvyongo35362 жыл бұрын

    Allah kariiimaa shehe WETU kwaa kipindii kifupi tuu nimenufaika Bali niwe mkweli ELIMU ambayoo unaitoa inawatu wake HAYO ni mambo makubwaa KUNAKOO ilimu aliziwajaalia viumbee wake Allah, yaarrabbi tujalie salamaa sote ummatii Muhammad na afanyee WEPESII KWETUU SOTEE shukrani Jazeera

  • @suleimanamlima3398
    @suleimanamlima33983 жыл бұрын

    Sheikh upo sahii.....tulikamata Sana dondola kupitia sura ya Tembo ....sehemu ambayo imejengwa kituo Cha kuuzia mafuta (Petrol station) karibu na marhum sheikh Yahya

  • @Chaudere
    @Chaudere3 жыл бұрын

    MAASHAALLAH SHEIKH WETU

  • @ashashaban6484
    @ashashaban64842 жыл бұрын

    MASHALLAH SHUKLAN SHEIKHE WETU ALLAH AKULIPE KILA. LA KHERI INSHALLAH

  • @mudiali4506
    @mudiali4506 Жыл бұрын

    Maasha Allah Sheikh Allaah akuzdishie kheir

  • @athumaniamiri3764
    @athumaniamiri37643 жыл бұрын

    Mashallh proffesor walid bin Alhad ummar

  • @gilliansimon8517
    @gilliansimon8517 Жыл бұрын

    Mashaalah mnyamwezi mtani wangu.karibu Norway

  • @firstlady9848
    @firstlady9848 Жыл бұрын

    Alhadhulillah Masha Allah

  • @sharifaboubakarmuhammadism9463
    @sharifaboubakarmuhammadism94632 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @bintsheikh6715
    @bintsheikh67153 жыл бұрын

    JazzakAllah Kheir

  • @badaral6167
    @badaral6167 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 Жыл бұрын

    Shekh leo umeona utupeleke Kwenye mantwiqi kabisa. Jazaaka llahu khayra

  • @ismailally3170
    @ismailally31703 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33772 жыл бұрын

    Shukraan 🙏🤝

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n11 ай бұрын

    Aslm alkm ww.... Masha Allah!! Jazakallah kheir 🙏

  • @jiranilalikila4243
    @jiranilalikila42433 жыл бұрын

    Asante sana Shekhe kwa darsa nzuri. Allah akulipe kheir.

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k5 ай бұрын

    Shukran shekhe

  • @dulaabdallah6127
    @dulaabdallah6127 Жыл бұрын

    Tuulizeni sisi wanajeshi tunavyoona faida zake kakita kumlenga adui bila kukosa. Shabaha haiendi patupu

  • @chamchuuconsult4682
    @chamchuuconsult46822 жыл бұрын

    Watu wanajua wali tu sheikh wangu kwà mpunga hao huwaambii kitu hizo fani Zina wenyewe we wape vitu wavijue

  • @sharifaboubakarmuhammadism9463
    @sharifaboubakarmuhammadism94632 жыл бұрын

    مشاءالله

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan13 күн бұрын

    Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,jamani shehe walidi naomba misaada wa dua namiaka zaidi ya ishirini naumwa mpaka wakati mwingine Nakaaya tamaa

  • @Bosskubwah4501
    @Bosskubwah4501 Жыл бұрын

    Mimi nilishuhudia ikisomwa hio sura wakati nko mdogo tangu siku hio QUR'AN NIMEAMINI NI MIUJIZA

  • @Bosskubwah4501

    @Bosskubwah4501

    Жыл бұрын

    Yule jamaa hakung atwa na alimshika DONDOLA kile kitendo sikisahau mpka leo na jamaa mpka leo namkumbuka

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38693 жыл бұрын

    Mulqiya😃

  • @shloonaqzaq2032

    @shloonaqzaq2032

    2 жыл бұрын

    Mulkhiya...

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Жыл бұрын

    5

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 Жыл бұрын

    Mimi nimefanya sana hii naikitokea akanichoma mkononi wala hakuna maumivu wala uvimbe,sura ya Tembo

  • @hamidaala2832

    @hamidaala2832

    Жыл бұрын

    MashaALLAH

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl

    @MuhdharMuhammad-qv3zl

    Жыл бұрын

    Shukran sana Sheikh Walid ALLAH Akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera

  • @sulesulebaraka2376
    @sulesulebaraka23763 жыл бұрын

    Sas Kama siyo muislam na unamdai anakuzungusha mpak bac ya faa kumsomea????

  • @fatumakassim7449
    @fatumakassim7449 Жыл бұрын

    sura ya tembo ndo ipi tujuzen jamani

  • @hassanally5678

    @hassanally5678

    Жыл бұрын

    Alamtara kayfafaala rabbuka.....

  • @hassanally5678

    @hassanally5678

    Жыл бұрын

    Alamtara kayfafaala rabbuka.....

  • @fatumakassim7449

    @fatumakassim7449

    Жыл бұрын

    @@hassanally5678 shukran sana

  • @sharifuhusseinally542
    @sharifuhusseinally542 Жыл бұрын

    Hiyo nikweli shekhe hata sisi handeni tanga mwanafunzi akiwalizi sula hiyi nilazima amlete dondola kwenye kiota chake kabisa?

  • @meandme3437
    @meandme3437 Жыл бұрын

    MULKHIYA 😂😂😂 nikiwa Emaraty na Saudia. Na kenya ndio mwanzoooo mboga hiyo watu wanaidharau hata hawajuwi faida zake. Wanaiita mboga ya mtelezo😂😂😂

  • @sherbanieabdoul9552
    @sherbanieabdoul95523 жыл бұрын

    Mashallah

Келесі