Faida Za Sura Ya Tembo / Tajriba ni Zaidi Ya Elimu / Sheikh Walid Al had
Ойын-сауық
Faida Za Sura Ya Tembo / Tajriba ni Zaidi Ya Elimu / Sheikh Walid Al had
Sheikh Walid Akifundisha Darasa la Tafsiri pale msikiti wa kichangani kila siku ya jumaanne baada ya sala ya Alasiri Usisahau kufuatilia vipindi vyetu vyote tafadhali subscribe ili uwe wa kwanza kuona vipindi vyetu Asante
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
www.paypal.com/paypalme/Darsa...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / darsatv
► LIKE DARSA TV on Facebook: / darsatv
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Пікірлер: 39
Allah akuhifadhi yarabi. Najifunza mengi kupitia kwako.
Hii video ni zawadi kubwa....Jazakallah khayr Imam Walid.
Allah kariiimaa shehe WETU kwaa kipindii kifupi tuu nimenufaika Bali niwe mkweli ELIMU ambayoo unaitoa inawatu wake HAYO ni mambo makubwaa KUNAKOO ilimu aliziwajaalia viumbee wake Allah, yaarrabbi tujalie salamaa sote ummatii Muhammad na afanyee WEPESII KWETUU SOTEE shukrani Jazeera
Sheikh upo sahii.....tulikamata Sana dondola kupitia sura ya Tembo ....sehemu ambayo imejengwa kituo Cha kuuzia mafuta (Petrol station) karibu na marhum sheikh Yahya
MAASHAALLAH SHEIKH WETU
MASHALLAH SHUKLAN SHEIKHE WETU ALLAH AKULIPE KILA. LA KHERI INSHALLAH
Maasha Allah Sheikh Allaah akuzdishie kheir
Mashallh proffesor walid bin Alhad ummar
Mashaalah mnyamwezi mtani wangu.karibu Norway
Alhadhulillah Masha Allah
Masha Allah
JazzakAllah Kheir
Mashallah
Shekh leo umeona utupeleke Kwenye mantwiqi kabisa. Jazaaka llahu khayra
Mashaallah
Shukraan 🙏🤝
Aslm alkm ww.... Masha Allah!! Jazakallah kheir 🙏
Asante sana Shekhe kwa darsa nzuri. Allah akulipe kheir.
Shukran shekhe
Tuulizeni sisi wanajeshi tunavyoona faida zake kakita kumlenga adui bila kukosa. Shabaha haiendi patupu
Watu wanajua wali tu sheikh wangu kwà mpunga hao huwaambii kitu hizo fani Zina wenyewe we wape vitu wavijue
مشاءالله
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,jamani shehe walidi naomba misaada wa dua namiaka zaidi ya ishirini naumwa mpaka wakati mwingine Nakaaya tamaa
Mimi nilishuhudia ikisomwa hio sura wakati nko mdogo tangu siku hio QUR'AN NIMEAMINI NI MIUJIZA
@Bosskubwah4501
Жыл бұрын
Yule jamaa hakung atwa na alimshika DONDOLA kile kitendo sikisahau mpka leo na jamaa mpka leo namkumbuka
Mulqiya😃
@shloonaqzaq2032
2 жыл бұрын
Mulkhiya...
5
Mimi nimefanya sana hii naikitokea akanichoma mkononi wala hakuna maumivu wala uvimbe,sura ya Tembo
@hamidaala2832
Жыл бұрын
MashaALLAH
@MuhdharMuhammad-qv3zl
Жыл бұрын
Shukran sana Sheikh Walid ALLAH Akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera
Sas Kama siyo muislam na unamdai anakuzungusha mpak bac ya faa kumsomea????
sura ya tembo ndo ipi tujuzen jamani
@hassanally5678
Жыл бұрын
Alamtara kayfafaala rabbuka.....
@hassanally5678
Жыл бұрын
Alamtara kayfafaala rabbuka.....
@fatumakassim7449
Жыл бұрын
@@hassanally5678 shukran sana
Hiyo nikweli shekhe hata sisi handeni tanga mwanafunzi akiwalizi sula hiyi nilazima amlete dondola kwenye kiota chake kabisa?
MULKHIYA 😂😂😂 nikiwa Emaraty na Saudia. Na kenya ndio mwanzoooo mboga hiyo watu wanaidharau hata hawajuwi faida zake. Wanaiita mboga ya mtelezo😂😂😂
Mashallah