Nyiradi Za Kuongeza Rizki / Mambo 7 Ukiyafanya Rizki Zitafunguka / Sheikh Othman Micheal
Ойын-сауық
Nyiradi Za Kuongeza Rizki / Mambo 7 Ukiyafanya Rizki Zitafunguka / Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Nyiradi Za Kuongeza Rizki / Mambo 7 Ukiyafanya Rizki Zitafunguka / Sheikh Othman Micheal
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Пікірлер: 57
MashaAllah jazakaAllah kheir wajannat firdaus 🙏🙏nmejifunza mambo mengi mazuri kupitia kwako sheikh Allah akupe umri twawil uzidi kutufunza🤲🤲
maashaallah maashaallah nitakuwa siaachi dhuha kma uzima upo
nimekuwa Niki sikiza dua, napenda kusikiza sana mimi sio muislamu, napenda tu sababu napata amani, kama nina maumivu naamka nikiwa sawa. Naomba usaidizi, hizi dua zilizotajwa kama kuna mtu anaweza kujitolea aniandikie au anielekeze mahali nitaziskiza. Asante
@zainabuibrahim538
Жыл бұрын
Mashallah
@fatumakissoky2504
Жыл бұрын
Chukua namba za simu kwa shekhe upate msaada zaidi
@rashdabdulazizi4193
4 ай бұрын
jitahidi uslim,ili upate kujifunza zaidi na ufaidike pia, karibu Sana ndugu
@HamidaAlly-ol4fp
2 ай бұрын
Mashaallah ALLAH akuongoze katika swilatwal mustaqiim ujue haqi Ni ipi na uifuate inshaallah
Allah akubarik sheikh. Mafunzo mazuri sana. Allah akuongoze uendelee hivyo na akupe umri mrefu wenye raha.
Ma Sha Allah, Allah azidi kukupa elimu,afyq,umri mrefu na mwisho mwema. Zaidi naomba uniandikie hii dua sijaielewa vzr "Allahumma swalii alaa sayyidina Muhammad twiibiqul wadhawaiha......." Ile ya kusoma ukiwa na maradhi.Natanguliza shukran
MASHALLAH MWENYEZI Mungu akuepushe na shari za dunia inshallah
Mashallah tabarakallah shekh Allah akulipe heri katk dunia na akhera na akupe afya na uzima uzidi kutuelemisha zaidi.
Mashaallah shukran sana Kwa mawaidha Mazur yenye manufaa kwetu Allah Akubarik
Allah akuhifadhi Sheikh uzidi kutupa elimu inshallah
Swadakta mwalimu, allah akujaliye kila la heri
Mashaallah.Allah akulinde akuhifadhi na akupe afya na umri tuzidi kufaidika.
Mashaa-Allah, Allah atupe taufiq ya Kuykendall haya
Shukran jazakumullahul kheir.Allah atupe nguvu na moyo tuweze kuzishikilia ibada hizi nzuri
Mashaallah
Allah akulipe malipo yaliyo mema.
Mashallah nimependa hapo katika swal ya dhuha inabidi niongeze mbili nyingine ziwe 4
Maasha Allah othman Michael #
Asalam aleikum naitwa hidaya juma kutoka Kenya ...mambo yangu hayaendi sawa kabisa ustadh ...sifuruhi kabisa Kila ninacho kifanya haieleweki naomba Dua zako za kutosha
Masha Allah bismillah
Amiiin thuma amiin 🤲
Mashaallah yarabi taqabal dua
Naomba kwa ihsani yako tafadhali
Mungu akuweke ufae wengine!!?
Jazakallhahulkheri
Maashaallah
shukran shekhe othmani🙏
Clip kama hizi likes za kuhesabiwa...Allah sw atuongoze!!!
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@fatumakissoky2504
Жыл бұрын
Allahuma aamiin
Kweli tupuuu mimi nasadiki maneno yako shekhe nishafanya nishaona
@bentybenty2343
Жыл бұрын
ALLAHU AKBAR
Jazakalhery
Write for us this duwa.
mimi mkisto lakini ninatamani niijue hii lugha Shekh anafundisha vizuri sana ndugu zangu waislam mnayo neema kwa Shekhe🙏
@khumayraabdul3259
Жыл бұрын
Badili dini utakuwa huru zaid yaapo ulipo
@fatumakissoky2504
Жыл бұрын
Mwenyeezi MUNGU akufanyie wepesi inshaallah
Asalam alaikum warahmatullah wabarakat sheikh,jee ss wanawake hatupitwi na swala yalfajir nas jee mbona hutujuzi
Asalam aleykum VIP kama hujui kusoma na ukabahatik kusikiliza tu mm mara nyingi nasikiliza
Jazakallahuhaylli ya sheikh
@AishaSalimin-rf1jc
Жыл бұрын
Mashallah shekhe wangu
😢
Asalam aleykum sheikh mm junzi nimeona mawingu ya mejichora mtu nini mahana yake
@al_huda_theguidance5034
Жыл бұрын
Whattt... Pia mm huu mwezi wa tano nimeona mawingu yamejichora kama mtu, akiwa ameshikilia kipande cha wingu akashuka lakini alianza kuumiza watu... Sijui Nini maana yake
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakat samahani mimi naomba namba zako
Asalam alaykum shehe naomba namba zako nakuomba
Asalam Aleikum ustadh naomba namba ya wht up
Ila sheikh si utuandikie dua izo
@neemamassawe9044
Жыл бұрын
Nunua kitabu cha Hisn Al- Muslim. Kinga ya muislam. Ni 1,500/= Ni kizur sana kina dua nyingi
@ismagatarama1285
Жыл бұрын
@@neemamassawe9044 capatikana wapi dada yangu
@neemamassawe9044
Жыл бұрын
@@ismagatarama1285 kwenye maduka yanayouza vitabu vya dini.
Ma Sha Allah, Allah azidi kukupa elimu,afyq,umri mrefu na mwisho mwema. Zaidi naomba uniandikie hii dua sijaielewa vzr "Allahumma swalii alaa sayyidina Muhammad twiibiqul wadhawaiha......." Ile ya kusoma ukiwa na maradhi.Natanguliza shukran
Mashaallah
@somasoma6926
Жыл бұрын
Mashallqh