Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
Ойын-сауық
Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Пікірлер: 113
Salama aleku shekh haya mafuta kwa ngapi mie niko Omani na taka chupa 2 shukran mungu akuzidishie elm zaid Ishaalla Amin.
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
Mungu akujalie shekhe halafu mimi mkrusto lakin napenda sana duwa napenda nijuwe na wengi wanajuwa mimi muislam nashangaa watu tofaut wananiita iaisha halafu wanasema nimekaa kislam
@AbdallaIssa-ip2ef
8 ай бұрын
😊😊😊😊😊
Nami natia Nia ya baraka za MUNGU kwa jina la YESU KRISTO
@NunuKupela
10 ай бұрын
Tia Nia Kwa Mungu c yesu Kwan nabii Issa (yesu) amezaliwa na kumwamudu Mungu ktk msikiti wa sinagogi Sifa ya uungu ni kutokuzaa na kuzaliwa
@judithnjunwa6668
10 ай бұрын
@@NunuKupela kwa Imani yangu YESU KRISTO ndio njia ya mimi kupata majibu yangu Toka kwa MUNGU Baba,,,, huwezi kumtenganisha MUNGU baba na Yesu kristo,,,,,,upo hapo kaka
@Mpakistanog
6 ай бұрын
Dada upo sawa kwasababu umeongelea iman yako
@aminathaabubakarmasoud565
5 ай бұрын
Ndo utulie huko na Yesu wako kwani umeitwa hapa?
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu cheh wetu
Shekh nayaitaji nayapataje
Mashallah mashallah mashallah Alhadulilahi Allahu Barik
Inshaallah kher
Shukran jazakallahu kheir sheikh
Mashaallah tabarakallah shukran
Jazakallau kheira 🤲
MashaAllah Allah akupe umri wenye kheri na wewe tuzidi kupata faida duniani na akhera
Masha Allah
Masha allah,
MashAllah
Thanks 4 da teaching bro am watching u from Uganda however am new.
Mashallah ❤
Maashaallah
Amina kaka mungu akupe mwisho mwema
Nasumbuliwaa na maguu wallah kutembea balaa
InshaAllah
nafata sana darsa zako nashidwa kukupata ntaipataje niko mbali maalim nchini malii bamako, ama senegall,
Shukran
Mashallah
Samahani shekhe sikumaliziya kukwambiyaninahisi watu wananichezeleya watt wangu kwa uchawi nakila akitaka kupelekwa kwenye duwa hukimbiya naomba watakuja nisaidiye inshaalla
@shekhe Othoman Micheal dodoma tunayapata je?
Mashaallah
@sophiemuhammad4947
Жыл бұрын
MASHALHA,Mungu,akuzidishie,ilimu,
Mashallah nataka ayo mafuta nko malindi
Nzr sana
Amiin
mashallah nahitaji haya mafuta naomba unitumie hiyo clip nifike huko plz nifanyiwe visimo pia
🙏🙏
Na nilikuwa napenda sana kila ijumaa kusikiliza mawaidha
Amiiina
Kweli walahi nimejipaka Kuna vitu vinakimbia ktk miguu yangu
Asalaam aleykum Sheikh. Nahitji hiyo. Dawa lakini Niko Mombasa
Shukuran
❤❤❤❤❤
Ata jina lake la zaituni ni nzur
Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh mvuje naskia simzuri ukipaka malaika hawakusogelei
Assalam alaykum warahamdullah wabarakatu Sheikh, niko kenya mpeketoni, naweza pata aje?
asalaam alleykhum mafuta sh ngapi
Nasikia wengine wanachanganya na mafuta ya mkunazi
Sheghe asalamu alaikum Nina watoto wangu
Nawapenda mashekhe mnaongeaga ukwel wengne utaskia wanaupako
Nayapataje na yanaitew
Asalaam aleykum, samaan hii dawa ipo dukan kwako, marashi rose na bahatinukus
Nayapataje
Tanga yanapatikana wapi
Tulipo Oman tunapataje
Namba ya kupiga
Kweli kitunguu maji kikal sana
Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo
Asalam aleikum Niko malindi nitapaje hayo mafuta
Sheikh, Asalam aleiykum? Sheikh kuna dawa huwa mara unaitangaza inayohusu upungufu wa nguvu za kiume. Mm nina changamoto hiyo na maumivu ya mgongo na kiuno na nuru ya macho kuona, nitazipata wapi na zinauzwa kiasi gani?
HAYO MAFUTA YANA JINA GANI IKIWA NUT AKIAGIZIA
Mimi nipo Tanga nayapataje
ASALAM SHEKHE NJOO TANGA. AU DAWA ZAKO HAPA TANGA ZAPATIKANA WAPI?
Hiyo dawa naitaka Mimi Niko kenya kwale nipe bei
Mashallah somo zuri shehe mie ninatatzo la mgong kuwaka Moto mikon kufa ganz kuuma kwa ndani ayo mafuta uloyasema marakwanza mm nayahitaji shingap nayahitaji nisaide shehe ntayapatje uu mwaka unafika nimetumia dawa San mpka Sasa sijapona na dalili ya kupon Sina naumia tu na maumivu naomb unisaide shehe ayo mafuta niyapate nipone na mm Mana cn rah ya maisha
Nataka mafuta Niko Nairobi
Mafuta yanaitwaje na yanapatikana wapi
Cheih mtu akiwa Burundi haya mafuta anaweza kuyapata wapi?
Niko arusha bei gani hiyo sheh Mimi nahitaji
Asalam.alaykum.nikoburundi.shehe.yatanifikiyaje
@abousahalabdoulnuru14
Жыл бұрын
Wa aalaykumu salaam warahmatullah nipo burundi, naweza kukusaidiy
@user-st9fr3dr5g
Жыл бұрын
Nayapataje
@user-st9fr3dr5g
Жыл бұрын
Yanaitwaje
Kuna sehemu duka mueka hapa mombasa au mtu hapa mombasa Kwa kuuz hizo dawa?
Unayauza bei gani
Ndio kibilit upele
Kwel hizo dawa nazijuwa karafuu maiti na almiti
Sheikh mafuta yote hayo chupa 8 ni kiasi gani
Sheikh tunauliziiya kwasisi tuishi inji jirani Rwanda
@user-up5ew2ih7y
8 ай бұрын
Tutayapa vipi ayp mavuta
@DarsaTV.
8 ай бұрын
NAMBA ZIPO PIGA
Nimerudi tena sheh nimechanganyikiwa mafuta ya ndimu kitungu swaumu kitungu maji apo sasa ndio sielewi manake ndimu na limao sio kitu kimoja
Mafunzo mataam sana nipo mtwapa naeza yapata vipi then bei pia ni shilling ngapi???
Bei gani hiyo sheikh hayo mafuta na unapatikana wapi?
@swayleesparks6464
Жыл бұрын
Nayataka mafuta niko nairobi ni bei gani
Assalamaleykum nitayapata wapi? Niko Msa
@ZahraShariff-dm2jf
3 ай бұрын
Mm naitaji Sana mafuta maguu yanasumbuwa Sana kisingino nimaliza tibaa sipitali
@ZahraShariff-dm2jf
3 ай бұрын
Ama madukani tutasema inaitwaje
Ndio warabu wanapenda kupikia oman tulikuwa tunapikia kuna alishangaa kuna ya kula nilimwambia ndio
Naitaji ayo mafu rakinibniko bukoba napataje ayo mafuta?
Sheh napata wapi? Kwa huku Mombasa
@DarsaTV.
Жыл бұрын
piga namba iyo kwenye screen yk
mafuta n sh ngp maaalim
Beigani hy dw?
Yanapatikana wapi kwa dar
@DarsaTV.
5 ай бұрын
namba iko kwenye screen piga
naomba namba yako tafazar shehe
@DarsaTV.
27 күн бұрын
namba ziko juu
Na mvuje ni dawa kubwa nakumbuka walikuwa wanafungiwa dawa watoto ndio altiti
Kariakoo yapo
@radjabunkurunziza8373
Жыл бұрын
Tukija twayatafuta kwa jina gani ?
Asalaam aleykum Sheikh othuman. Mombasa inapatikana?
Sheikh naomba ujibu hio mafuta nitayapata vp
@DarsaTV.
3 ай бұрын
namba ziko piga
Mafuta yaliyochangajywa na vitu vyote hivyo unauza bei gani
Unapatkana was shehe nije ninunue ayo mafuta
@Athumanbaunsa-cl7pp
Жыл бұрын
Mafuta ya mzaituni naburundi yapo
Amiin
@dafrosamapunda
11 ай бұрын
Ubarikiwe sana maisha marefu kwako shehee
Namba ya kupiga
Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo
@ShamilaMrisho-jl7ip
8 ай бұрын
Asalam aleikum ni sh ngapi