Asalaam alaykum warahmatunillah taala wabarakat alhamdulillah mashaa llah Allah swt akujaalie heri nyingi na amani Nuru na mwangaza wa kheri kwa kila jambo lako
@user-cb1uq7vd7f11 ай бұрын
Asalaam alaykum warahmatunillah taala wabarakat alhamdulillah shukran kwa daawah nzuri kila la heri Allah swt akujaalie heri nyingi na amani Nuru na mwisho wenye kheri pia
@user-hl2sd9gn2m Жыл бұрын
Jazaka Allah kheri
@AshaDinya-ph6tu Жыл бұрын
Jazakahu khair allaah akupe afya kwa mafundisho haya
@a.856 Жыл бұрын
Jazakallah khayran
@esaqbillow1017 Жыл бұрын
SUBHANA LLAH
@FeswalIslam-fh8hp Жыл бұрын
Mashallah Allah akupe maisha marefu shekh Othman utangaze maneno ya mtume
@rizikially345
7 ай бұрын
MUHAMMAD (SAW) 💪🏽 jitahid usiishié mtume...
@miishhassn Жыл бұрын
🙏🙏🙏❤️
@abdulhida8291 Жыл бұрын
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
@VickKulekana-si1ib4 ай бұрын
Ni kwel mimi najuwa asali ni dawa kubwa
@G.r.e.a.t.I.Q11 ай бұрын
Eh! Hassan Makelele nakuona!
@fadhilahaji79297 ай бұрын
Sheikh hili Aswi la kuangalia ya harmu yanaepukika na ndio yametuzunguka
@Fear_Allah394 Жыл бұрын
Asali ni dawa nzuri lkn siku hzi kuipata asali safi si rahisi. Watu wakuaminiwa na wanakuuzia sukari.
@neemagondwe926
Ай бұрын
Asali nunua tabora,inyonga ila sehem nyingine wanatupiga asali haieleweki
@neemagondwe926
Ай бұрын
Au nunua kwa afisa nyuki.....
@nalingarowl704811 ай бұрын
Kumbe manabii waliwahi kuugua?.Yesu hakuwahi kuugua Wala kuuongelea ugonjwa
@Teacher........
9 ай бұрын
*we unajua kuwa ni kipofu hujui ulisemalo haya bwana kalaga baho na ubwezi wako*
@pachawadoto591111 ай бұрын
Kwani mwenye kisukari anatumia asali!?
@ImamKamna
11 ай бұрын
Huwezi kutumia asali fanya sunnah ya hijama utapona
@bonybonaya210
6 ай бұрын
Naam anatumia akiitoa povu
@VickKulekana-si1ib
4 ай бұрын
Ndio nasikia kwenye kisukar anatumia anaitowa povu
@shaviercharvinho18 Жыл бұрын
hii dawa haina madhara kwa mwanamke
@muhammadmuhammad5043
Жыл бұрын
Haina Dhara Hata Kwa Watoto ila Watoto Unawapa Kwa Ucheche
@faridahalil4456 Жыл бұрын
Asali utaitumia vipi ikiwa una kisukari????
@bonybonaya210
6 ай бұрын
ieke kwa chungu ubandike kw jiko uitoe povu. Hapo ndo utaitumia na haitakudhuru biidhnillah
Пікірлер: 44
Allah akubarik
Shukran sheikh Othman Maalim jazaa kallahu khaira
Jazakumullah kheirun
Maishaalla Allah Akuzidishiye umri na upate pepo
Amin Mungu ampe umndri mrefu
MashaaAllah Allah akuifadhi shekhe wetu.
Barak Allahu feek sheikh Othman maalim
Alhamdulilah tutafute elimu elimu ni nuru .
Mashaalah Allahu barik
shukran Sana Mwalim بارك الله فيك
Masha Allah Masha Allah
Shukrani Sheikh Othmani kwa darasa yko ya tiba
Mashaa llah tunanufaika Sana Allah swt akujaalie maisha mema na familia na waumini kwa ujumla
Ma Shaa Allah shukran sheikh Allah akujazie Kila la kheri
Jazakallah kheir 🙏
Shukran sana Ustadh wetu
Aslm alkm ww.... Alhamdulillah 🙏 Masha Allah. Jazakallah kheir 🙏♥️❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️
Alhamdulillah Amiiin.
Asalaam alaykum warahmatunillah taala wabarakat alhamdulillah mashaa llah Allah swt akujaalie heri nyingi na amani Nuru na mwangaza wa kheri kwa kila jambo lako
Asalaam alaykum warahmatunillah taala wabarakat alhamdulillah shukran kwa daawah nzuri kila la heri Allah swt akujaalie heri nyingi na amani Nuru na mwisho wenye kheri pia
Jazaka Allah kheri
Jazakahu khair allaah akupe afya kwa mafundisho haya
Jazakallah khayran
SUBHANA LLAH
Mashallah Allah akupe maisha marefu shekh Othman utangaze maneno ya mtume
@rizikially345
7 ай бұрын
MUHAMMAD (SAW) 💪🏽 jitahid usiishié mtume...
🙏🙏🙏❤️
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
Ni kwel mimi najuwa asali ni dawa kubwa
Eh! Hassan Makelele nakuona!
Sheikh hili Aswi la kuangalia ya harmu yanaepukika na ndio yametuzunguka
Asali ni dawa nzuri lkn siku hzi kuipata asali safi si rahisi. Watu wakuaminiwa na wanakuuzia sukari.
@neemagondwe926
Ай бұрын
Asali nunua tabora,inyonga ila sehem nyingine wanatupiga asali haieleweki
@neemagondwe926
Ай бұрын
Au nunua kwa afisa nyuki.....
Kumbe manabii waliwahi kuugua?.Yesu hakuwahi kuugua Wala kuuongelea ugonjwa
@Teacher........
9 ай бұрын
*we unajua kuwa ni kipofu hujui ulisemalo haya bwana kalaga baho na ubwezi wako*
Kwani mwenye kisukari anatumia asali!?
@ImamKamna
11 ай бұрын
Huwezi kutumia asali fanya sunnah ya hijama utapona
@bonybonaya210
6 ай бұрын
Naam anatumia akiitoa povu
@VickKulekana-si1ib
4 ай бұрын
Ndio nasikia kwenye kisukar anatumia anaitowa povu
hii dawa haina madhara kwa mwanamke
@muhammadmuhammad5043
Жыл бұрын
Haina Dhara Hata Kwa Watoto ila Watoto Unawapa Kwa Ucheche
Asali utaitumia vipi ikiwa una kisukari????
@bonybonaya210
6 ай бұрын
ieke kwa chungu ubandike kw jiko uitoe povu. Hapo ndo utaitumia na haitakudhuru biidhnillah