Naangalia hii 2023, kwa mawaidha haya, tunamuomba Allah afanye Kun-faya-kun kwa ndugu zetu wa Palestine. Afanye miujiza, haki na amani ipatikane Palestine. Naomba kila mmoja aandike Amin iwe kheri In sha Allah.
@user-qu7lz9mu5e
8 ай бұрын
Aamin tulikua na Sheikh sisi..Allah attempted Nuru na Harufu ya peponi kaburi lake..
@Ahmadchobu
4 ай бұрын
Mim naangalia 2024 اللهم غفر له وارحمه واسكنه فلجنة
@khamisjuma5481
3 ай бұрын
aaaamin
@hassanmahamed87442 жыл бұрын
Tujuane tuliomsikiliza Shekh miaka ya 90 kwa audio kaset! na sasa 2022 KZread! nipe thumb.
@bjzee19814 жыл бұрын
Ndio shekhe wa kwanza mimi kusikia mawaidha yake kutoka radioni wakati nakua hadi sasa. Allah ampe furaha ktk maisha yake ya kaburini na kesho Akhera. Aameen
@nadiromar9794
4 ай бұрын
Amin
@omaralidhue
2 ай бұрын
Ameen ameen
@amipol5310
11 күн бұрын
Amiin pia ampee kauli sabiti kwenye kaburi lake
@yussuphsultan14004 жыл бұрын
Mtu anayegonga dislike kwenye maneno haya ana maana gani jamani, dah. Allah akurehemu shekhe, akupe jaannat firdaus, amiyn
@cholochiidi5927
3 жыл бұрын
Ameen
@ismaelayoub5196
2 жыл бұрын
Yani ndugu yangu ukiona ivyo uje hajui Kutofautisha DISLIKE NA KULAIKE
@MohamedMohamed-fc7vh
Жыл бұрын
Aamin ALLA h akurehemu ..Aamin..
@jumahamis2274 жыл бұрын
Mmoja wa wanazuoni wazuri kuwahi kutokea zanzibar na Tanzania kwa ujumla, Mungu ailaze nafsi ya marehemu sheikh Bacho mahali pema peponi inshaallah.
@samirhassanlau14735 жыл бұрын
Hakika hua sichoki kusikiliza mawaidha ya huyu sheikh, ingawa kila nikisikiliza napata majonzi moyoni mwangu Alha ampe nuru ya milele ktk kaburi lake, Na alha amlipe kwa hii sadaka tul JARIYAAAA
@adilihassan84552 жыл бұрын
Mashallah! Mtu mwema hujulikana tu akiondoka dunian,shekhe uko uliko tunakutaja Kwa wema sanaaaaaa ,firdaus ushaingia japo hatukuoni ,amiin
@bindawood9784 жыл бұрын
Allah akupe pepo ya daraja la kwanza, Alhamdulillah umetuelimisha vya kutoshakusu Qur an na Sunna, kikubwa ni mazingatio
@alnasrialnasri7215 жыл бұрын
Akurehemu ALLAH pamoja na ndugu zete waliokwisha tangulia kabla yetu nasi tupate mwisho mema..
@taturamadhan59406 жыл бұрын
allah mlipe heri nyingi kwa kazi yake kubwa yakueneza maneno yako na utuwezeshe sisi tunufaike na mawaidha yake na iwe chazo cha kuridhiwa na wewe yaa Rabb
@aboudal-nabahany53384 жыл бұрын
Allah amrehemu na amueke pamoja na wema peponi.Ameen 🤲🤲🤲
@selemanially2818
2 жыл бұрын
Amina
@ibrahimmusa57294 жыл бұрын
Tucmsahau Sh. Nassor bachu ktk dua zetu.. #in shaa Allah.
@athmanbakari59326 жыл бұрын
sikupata kkuona lakini Alhamdulillah nmepata kkuskiza,na napata faida na elimu ya dini yangu ya Islam kwa darsa zako,Allah akujaali pepo ya daraja ya juu,Ameen. .
@kibwanamuhsin87724 жыл бұрын
Mwenye elimu inayonufaisha hubaki hai hata kama amekufa. Mola akulipe kw sadaqatul-jariah zako hizi tunazonufaika nazo Ameen.
@aminamusa97204 жыл бұрын
Allah jaalie JANNAT FRIDAUS ktk maisha yako ya peni yaraby
@saidmsinga54509 жыл бұрын
ALHAMDULI LLAHI,MWENYEZI MUNGU AMLIPE KWA KAZI KUBWA ALIYOIFANYA KWA KUELIMISHA UMMA.
@raisiwakissdi2691
4 жыл бұрын
munguamlipe kwarehema yaallah
@sleyumsaidabdullah3006
4 жыл бұрын
Mashaallah R.I.P
@saidseif7469
4 жыл бұрын
Ameen
@rahmahamad6251
4 жыл бұрын
Aaamiin
@shukrisharamo1879
3 жыл бұрын
MashaAllah Allah amweke pema
@jumajuma27264 жыл бұрын
Napenda sana mawaidha ya shekhe bacho uwa sitokagi pembezoni mwa radio iman saa nne mpaka saa tisa ALLAH amlehem
@athmaniyahaya37583 жыл бұрын
Mungu akuhifadh afanye kaburi lako liwe ni miongon mwa viwanja vya peponi Insha Allah
@kibibijuma84414 жыл бұрын
mola akurehemu ww mbele na sisi nyuma. akupe firdaus Iwe makazi yk in sha Allah na ummat mohammed wote pia.
@aidahali28409 жыл бұрын
ALLAH AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI AMIIN
@jamalidagama1699
4 жыл бұрын
Amiin
@mwanamisiomar443
4 жыл бұрын
Ameen.
@amemeabdulrazak1397
3 жыл бұрын
Amiin
@selemanizephania72818 жыл бұрын
Nampenda sana marhumu Sheikhe Nassor Bachu Allah ampe janna firdaus.
@jamilamunisi1480
5 жыл бұрын
Selemani Zephania Amiiin
@khalfansaid8799
4 жыл бұрын
Allahumaghrilahu warhamhu waafihi waafuanhu waakirimu nuzulahu wawasia mudkhalahu waghasiluhu milmai wathaligi walbarid wanakihi minkhatwaya kama yunaka thaubu llabiyaz Mina nnanas
@sophiamaua3885
4 жыл бұрын
Aamiiin
@abdullakhlaas4377
4 жыл бұрын
Amiin yarabil aalamiin
@bintsalimalbimany5340
4 жыл бұрын
Ammin ammin ammin Yarab
@shairosekambona53014 жыл бұрын
ALLAH akurehemu sheikh nassoro bachu na akufanye kuwa ktk waliocheka milele amina ya rab
@mayjaally50264 жыл бұрын
Allmarhum Sheikh Nassor Bachu, Allah akurehemu akusameh makosa yko n kuwa katik waja w pepo y Firdous. 🙏
@shamndonyi18144 жыл бұрын
If people do have the role models then, this is my role model.... May ALLAH grant him jannatu firdausi
@sadiawako9699
4 жыл бұрын
Amiiin Ya Allah
@jumahamis227
4 жыл бұрын
role model wa waislamu ni mtume Muhammad sheikh.
@mbugimuchiro1331
4 жыл бұрын
Allah Janna tu firdausi
@saidseif7469
4 жыл бұрын
Ameen
@hemedhamdan
4 жыл бұрын
@juma hamis العلماء ورثة الأنبياء
@khalidmohamed75325 жыл бұрын
Allah amlipe jazz a njema..kwa sadakatul jaariya hizi zinazo tunufaisha hadi Leo.
@mutaladjasmini48154 жыл бұрын
Allah akupe janat firdawus 🙏
@jamilanassoro84084 жыл бұрын
Ya Allah mpe kauli thabit shekhe wetu na umrehemu
@mohamedathuman11454 жыл бұрын
Allah akupekauli dhabitty
@mbuyatrust86703 жыл бұрын
Mungu msamedhe sana makosa yake shekhe nassoro bachu
@zuhurambonde69594 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuweke pazuri inshallah napenda Sana mawaidha yako.
@hamzaforogo
3 жыл бұрын
Aaamin yaa rabbi
@mansoormannix17537 ай бұрын
Sheikh Nasur Bachu Allah Amrehemu alikuwa one of the best speaker in Swahili followed by Othman Maalim.
@Truthshallprevail129110 жыл бұрын
na mimi. Wallahi nimejifunza mengi kwa kusikiliza durusi zake nami nika hapa Europe. Shehe Bachu alikuwa kweli Asad feel minbar, alikuwa ana style ya Sheikh Abdul Hamid Kishki. Mwenyezi Mungu awarehemu.
@athmanbakari5932
6 жыл бұрын
MrMedu490 Ameen
@hawa4968
4 жыл бұрын
Kizur hakidumu
@khadijaramadhanhaji11598 жыл бұрын
allah mpe kher uko alipo n mpe malipo ambayo makubwa zaid kuliko juhud aloitumia ktka kuipgania dini yko amin...
@zakiarajabu5132
5 жыл бұрын
ALLAHU akufanyie wepes huko uliko
@mohamedokoteokote5455
4 жыл бұрын
mungu akusaidie
@mohammedrashid2906
4 жыл бұрын
Amin
@jameelaomar6543
4 жыл бұрын
Amin
@abuueidrisa8688
4 жыл бұрын
Amiiyyyn
@rahmasalum71075 жыл бұрын
Mashallah mwenyez mungu akurehem akuwepe kwenye pepo ya Firdaus kwa kutupa illmu
Hakika pamoja na uzito upo wepesi mweyezi mungu amfanyie wepes sheh wetu
@abdirizakhalakehalkan7784 жыл бұрын
May Almighty Allah grant him janatul firdous , and provide rehema kwa kaburi yake, we love you but Allah love you most. All his teaching is sooo touching
@tonystantay40133 жыл бұрын
Mwenyez mungu amjalie kila la kheri uko alipo,kazi ameifanya shekh wetu,hakika hawa ndo warithi wa mtume wetu muhammad swl
@fatmahotai74905 жыл бұрын
Mwenyezimungu akupanulie kaburi lako
@farajimadangu8283
3 жыл бұрын
Mashaalaha
@didakitole75783 жыл бұрын
اللهم غفر له و يرحمه و يسكنه الجنه يارب يارب يارب العالمين ❤
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Wallah allah atakulipa malipo yaliyo makubwa sana.... Naakurehem...aaamiiinaaa
@hafidhiiothuman153
3 жыл бұрын
Mashalwa bado mawaidha kama mkuki
@abubakarinyawaba13785 жыл бұрын
Allah ajaalie ampe pepo ya juu firdaus
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Ya Allah mja wako huyu mlipe pepo kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa ajili yako
@OmarOmar-ew9zs
3 жыл бұрын
Aaaaamiin🤲
@mruppercut79852 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima.. tunakuombea Dua Sana mwalim wetu . Allah akusaamehe pale ulipoteleza hakika uliifahamisha dini kadir ALLAH alivokuwezesha bado tunakupenda Sanaa
@anitaciza76604 жыл бұрын
Allah amulehemu shekhe wetu❤🙏
@funditv89594 жыл бұрын
Alhamdulillah, Allah akulipe dahali shekh wetu Bachu
@colamboy55633 жыл бұрын
Nmejifunza mengi kupitia sheikh huyu na bado naendelea kujifunza na kiukweli nampenda Sana na mpaka Sasa cjamuona sheikh mwengine kwa upande wangu. Mungu ampe kila la kheri huko aliko. Amin
@bibinamay19645 жыл бұрын
Allah Ajaalie Pepo iwe makazi yako In Sha Allah. Amin
@mohddalali1008
3 жыл бұрын
Ameen
@mamujabbir15407 жыл бұрын
Allah akujaalie pepo za ngazi ya juu kwa utumishu wako kwa umma wake,akuepushie adhabu na vitusho vya kaburini-Ameen ameen ameen Yaarabil ala meen.
@nnongwa586
4 жыл бұрын
Maashaha alha
@aminayussuf41616 жыл бұрын
Allah amlaze mahala pema muondoleye adhabu za kabri in shaa allah
@saidmfaumekombo80672 ай бұрын
Mashaallah nakumbuka nikiwa mdogo 90s akija mombasa ilikua sikosi darsa na mihadhara yake Allah amuekee kwenye mizani yake
@abdallaramadhan38504 жыл бұрын
Allah akusamehe,akurehemu,akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi..aamiyn.
@rahmahussein40194 жыл бұрын
Beautiful lecture...May the almighty Allah grant you Jannatul Firdausi sheikh... Ameen...❤️
@saidomar5555
4 жыл бұрын
Aamin, Mungu amjaalie awe peponi
@omaryabdallah9039
3 жыл бұрын
Allah amrehem
@abuuaisha6110
11 ай бұрын
Amiin
@mwalimumz20367 жыл бұрын
allah mrehemu sheikh bachoo
@khamisalishaame87774 жыл бұрын
Allah amlipe mazuri huko aliko aamin
@jumakumala13372 жыл бұрын
Wallaih thuma wallaih mpk nileo tunafaidhika na mawaidha alioyaacha sheikh wetu Nassoro Bachu ALLAH akulipe mazuri yale anayo yajua yeye Amiin
@maryamsalim88226 жыл бұрын
Allah amuondole adhabu ya moto na ya kabr na munyu amjaliye aipite jia ya carat I'll must akim mungu amlaze pema penye wema ameen
@shabansaid56123 жыл бұрын
Allah Akbar Alhamndulillah 2020
@hashimbalushi92833 жыл бұрын
May Allah grant him Jannat Firdaus Al Aala. Alikuwa mwalimu wangu tumenufaika sana kwake.
@faizabaishe51724 жыл бұрын
MaashAllah Alhamdulilah Allah amrehemu na amtanganye na wema, Alhamdulilah
@migwa1004 жыл бұрын
mash_Allah sheikh Allah akupe janatul ferdos. Akuepushe na adhabu ya khamri na akupe pepo
@yussufmohamed24054 жыл бұрын
ALLAH AMREHEHU SHEIKH NASDOR BACHU AMEEN
@zahramunir85964 жыл бұрын
Mashaallah sh Mungu akupe janna Yarrab!! Amiin
@hawa49684 жыл бұрын
Allah subuhanah waatallah akupe nuri ndani ya nur umeondoka ila bado kwenye nyoyo zetu unaish
@yunussaidy18007 жыл бұрын
Allah akulipe kwa madhara ya elimu alokujalia ulioiacha katika jamii ya uislam
@bahatimataka2294 жыл бұрын
Allah akurehemu...Innallillah wainnaillaihy rajoon
@alimcheni63724 жыл бұрын
Allahummaghfirlahu warhamhu waaskinhum fii janna
@yusufabubakarayub282311 жыл бұрын
mungu akujazi kheri na akufungulie milago khery inshallah wewe umetagulia na si tukonyuma mungu atume husini khatima inndal mauti wa raha baada mauti walfauza bijanah
@mashakiabdulrahman3373
4 жыл бұрын
Allahumma amiin ysrab
@is-hakaomar2118
4 жыл бұрын
Amin
@amanabeid5603
4 жыл бұрын
Mungu akujazie kheri
@kondoaman42987 жыл бұрын
Allah Ampe pepo yadaraja yajuu zaid.
@adinanabdul3 жыл бұрын
Nakuomba Allah umrehemu shekh wetu huyu. Tunanufaika mengi kutoka kwake. Aaamiyn.
@adammohd62156 жыл бұрын
mungu akusahem ww na sisi mazambi yetu tulio yafamy
@shabankuchanda94893 жыл бұрын
Allah atakulipa kwa sawabu kwa kazi kubwa ya kuuendeleza uslamu
@fahadmahir83557 жыл бұрын
Allah akuzidishie Rehma zake. Amin
@OmarOmar-ew9zs
3 жыл бұрын
Aaaaamiin🤲
@Yusuf-fo3gl6 жыл бұрын
Allahu, rabbil al a'ameen ampe rehma kwa wingi mno na firdaus a'ala. A'ameen.
Ya Allah mjalie sheikh NASSOR BACHU umueke katika pepo za juu FIRDAUS amiin 🤲
@ramadhanwaziri5134 жыл бұрын
Allah amrehemu shekh wetu
@mudybeka6698 Жыл бұрын
ALLAH mrehem sheikh nasoro bachu na muepushe na kila aina ya adhabu zako na pepo iwe makazi yake ya milele inshaallah
@kassimkitete30583 жыл бұрын
Allah amlaze mahala patukufu na inshallah amlipe pepo tukufu inshallah.
@QChief2 жыл бұрын
napenda sana mawaidha yako sheikh wangu shukran afuen
@sabrahamad47635 жыл бұрын
Mashaa Allah, Allah akujalie akuweke katika pepo ya daraja ya juu na ss tuwe mionqoni mwao kua pmoja na ww Inshaa Allah. ☝
@zeidnassoro6077
4 жыл бұрын
Allah ibarik
@fatumakamwendo7894
Жыл бұрын
Inshaallah
@hafsarakki99662 жыл бұрын
my favourite sheikh Allah amuhifathi
@ibrahimdabo71633 жыл бұрын
huyu mwamba alikuwa na msimamo na mwanazuoni mzuri sana namkubali sana na wale mashehe wasaka tonge walimchukiya sana mungu amlaze mahala pema peponi amin
@salehenassor15783 жыл бұрын
Masha Allah mungu akulipe zaid sheikhe wetu Amin Amin
@radhiambwana87873 жыл бұрын
Kupitia Redio Imani ya Morogoro nilipomsikia huyu Shehe nisalimu amri nakufuata Sheria za Allah hakika ameacha faid kubwa mno.
@shakilaiddrisa52635 жыл бұрын
Allah akulipe wema . Amin
@kwizerasalama6855 жыл бұрын
Mwenyezimung akuzidishiy kila lakber popote ulipo akuepushe na shari amin
@bitumaiyahomari1590
4 жыл бұрын
Mashaallaah
@bitumaiyahomari1590
4 жыл бұрын
Allaah akuhfadh sehem salaamaa nakupenda sana shehe
@abuughanimaally59805 жыл бұрын
نسأل الله أن يجعله من أهل الجنة ويعط كتابه بيمينه ولا يعط كتابه بشماله
@rashidsalu6973
4 жыл бұрын
Mm rashid salum mungu amjaalie malazi. Mema poponi kwa kazi yako ambayo uliyoifanya hapa. Duniani kwa kuitangaza dini. Ya. Allh mungu akulaze. Mahala. Pema peponi a
@mwasitiathumani4626
4 жыл бұрын
Hakika mawaidha ni sadakutjaalia Mwenyezimungu kaburi lako alifanye lawaja Wa peponi aamiin Inshaallah
@hmedmaulid20697 жыл бұрын
Allah amlaze mahali pema.peponi amin.
@aminaabdi80785 жыл бұрын
Allaah akuwekee mwangaza kwa kabri yako sheikhe wetu tulikpenda lakin Allah akakpenda zaidi nakckiliza hku nalia.
@mohamedguyo3099
Жыл бұрын
Almarhum Sheikh Nassor,your lecture in us.may Allah grant you jannatul Firdaus.
@saidmsinga73366 жыл бұрын
mungu amlipe kheri
@superromeo27734 жыл бұрын
Mashallah..tenda mwema nenda zako...mwenyizi mungu amelazi mahali pema peponi sheik wetu!!!..
@herballife84954 жыл бұрын
Allah mpe Jannatul firdowsi
@mariamually9502
3 жыл бұрын
Masha allah
@ibraa11574 жыл бұрын
Shekhe letu jannatul Firdaus iwe mashukio yako in shaa Allah
@islamsaid336210 жыл бұрын
Yaarabb npe wepesi Shahid wako bin nassor bachu
@hajiomari3827
3 жыл бұрын
Nafarijika sana nikisikiliza mawaidha ya shekh nasor bachu jamani waislam wenzang raha ilioje ukimsikiliza shekh nasor bachu unatamani asimalize
Пікірлер: 471
Naangalia hii 2023, kwa mawaidha haya, tunamuomba Allah afanye Kun-faya-kun kwa ndugu zetu wa Palestine. Afanye miujiza, haki na amani ipatikane Palestine. Naomba kila mmoja aandike Amin iwe kheri In sha Allah.
@user-qu7lz9mu5e
8 ай бұрын
Aamin tulikua na Sheikh sisi..Allah attempted Nuru na Harufu ya peponi kaburi lake..
@Ahmadchobu
4 ай бұрын
Mim naangalia 2024 اللهم غفر له وارحمه واسكنه فلجنة
@khamisjuma5481
3 ай бұрын
aaaamin
Tujuane tuliomsikiliza Shekh miaka ya 90 kwa audio kaset! na sasa 2022 KZread! nipe thumb.
Ndio shekhe wa kwanza mimi kusikia mawaidha yake kutoka radioni wakati nakua hadi sasa. Allah ampe furaha ktk maisha yake ya kaburini na kesho Akhera. Aameen
@nadiromar9794
4 ай бұрын
Amin
@omaralidhue
2 ай бұрын
Ameen ameen
@amipol5310
11 күн бұрын
Amiin pia ampee kauli sabiti kwenye kaburi lake
Mtu anayegonga dislike kwenye maneno haya ana maana gani jamani, dah. Allah akurehemu shekhe, akupe jaannat firdaus, amiyn
@cholochiidi5927
3 жыл бұрын
Ameen
@ismaelayoub5196
2 жыл бұрын
Yani ndugu yangu ukiona ivyo uje hajui Kutofautisha DISLIKE NA KULAIKE
@MohamedMohamed-fc7vh
Жыл бұрын
Aamin ALLA h akurehemu ..Aamin..
Mmoja wa wanazuoni wazuri kuwahi kutokea zanzibar na Tanzania kwa ujumla, Mungu ailaze nafsi ya marehemu sheikh Bacho mahali pema peponi inshaallah.
Hakika hua sichoki kusikiliza mawaidha ya huyu sheikh, ingawa kila nikisikiliza napata majonzi moyoni mwangu Alha ampe nuru ya milele ktk kaburi lake, Na alha amlipe kwa hii sadaka tul JARIYAAAA
Mashallah! Mtu mwema hujulikana tu akiondoka dunian,shekhe uko uliko tunakutaja Kwa wema sanaaaaaa ,firdaus ushaingia japo hatukuoni ,amiin
Allah akupe pepo ya daraja la kwanza, Alhamdulillah umetuelimisha vya kutoshakusu Qur an na Sunna, kikubwa ni mazingatio
Akurehemu ALLAH pamoja na ndugu zete waliokwisha tangulia kabla yetu nasi tupate mwisho mema..
allah mlipe heri nyingi kwa kazi yake kubwa yakueneza maneno yako na utuwezeshe sisi tunufaike na mawaidha yake na iwe chazo cha kuridhiwa na wewe yaa Rabb
Allah amrehemu na amueke pamoja na wema peponi.Ameen 🤲🤲🤲
@selemanially2818
2 жыл бұрын
Amina
Tucmsahau Sh. Nassor bachu ktk dua zetu.. #in shaa Allah.
sikupata kkuona lakini Alhamdulillah nmepata kkuskiza,na napata faida na elimu ya dini yangu ya Islam kwa darsa zako,Allah akujaali pepo ya daraja ya juu,Ameen. .
Mwenye elimu inayonufaisha hubaki hai hata kama amekufa. Mola akulipe kw sadaqatul-jariah zako hizi tunazonufaika nazo Ameen.
Allah jaalie JANNAT FRIDAUS ktk maisha yako ya peni yaraby
ALHAMDULI LLAHI,MWENYEZI MUNGU AMLIPE KWA KAZI KUBWA ALIYOIFANYA KWA KUELIMISHA UMMA.
@raisiwakissdi2691
4 жыл бұрын
munguamlipe kwarehema yaallah
@sleyumsaidabdullah3006
4 жыл бұрын
Mashaallah R.I.P
@saidseif7469
4 жыл бұрын
Ameen
@rahmahamad6251
4 жыл бұрын
Aaamiin
@shukrisharamo1879
3 жыл бұрын
MashaAllah Allah amweke pema
Napenda sana mawaidha ya shekhe bacho uwa sitokagi pembezoni mwa radio iman saa nne mpaka saa tisa ALLAH amlehem
Mungu akuhifadh afanye kaburi lako liwe ni miongon mwa viwanja vya peponi Insha Allah
mola akurehemu ww mbele na sisi nyuma. akupe firdaus Iwe makazi yk in sha Allah na ummat mohammed wote pia.
ALLAH AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI AMIIN
@jamalidagama1699
4 жыл бұрын
Amiin
@mwanamisiomar443
4 жыл бұрын
Ameen.
@amemeabdulrazak1397
3 жыл бұрын
Amiin
Nampenda sana marhumu Sheikhe Nassor Bachu Allah ampe janna firdaus.
@jamilamunisi1480
5 жыл бұрын
Selemani Zephania Amiiin
@khalfansaid8799
4 жыл бұрын
Allahumaghrilahu warhamhu waafihi waafuanhu waakirimu nuzulahu wawasia mudkhalahu waghasiluhu milmai wathaligi walbarid wanakihi minkhatwaya kama yunaka thaubu llabiyaz Mina nnanas
@sophiamaua3885
4 жыл бұрын
Aamiiin
@abdullakhlaas4377
4 жыл бұрын
Amiin yarabil aalamiin
@bintsalimalbimany5340
4 жыл бұрын
Ammin ammin ammin Yarab
ALLAH akurehemu sheikh nassoro bachu na akufanye kuwa ktk waliocheka milele amina ya rab
Allmarhum Sheikh Nassor Bachu, Allah akurehemu akusameh makosa yko n kuwa katik waja w pepo y Firdous. 🙏
If people do have the role models then, this is my role model.... May ALLAH grant him jannatu firdausi
@sadiawako9699
4 жыл бұрын
Amiiin Ya Allah
@jumahamis227
4 жыл бұрын
role model wa waislamu ni mtume Muhammad sheikh.
@mbugimuchiro1331
4 жыл бұрын
Allah Janna tu firdausi
@saidseif7469
4 жыл бұрын
Ameen
@hemedhamdan
4 жыл бұрын
@juma hamis العلماء ورثة الأنبياء
Allah amlipe jazz a njema..kwa sadakatul jaariya hizi zinazo tunufaisha hadi Leo.
Allah akupe janat firdawus 🙏
Ya Allah mpe kauli thabit shekhe wetu na umrehemu
Allah akupekauli dhabitty
Mungu msamedhe sana makosa yake shekhe nassoro bachu
Mwenyezi mungu akuweke pazuri inshallah napenda Sana mawaidha yako.
@hamzaforogo
3 жыл бұрын
Aaamin yaa rabbi
Sheikh Nasur Bachu Allah Amrehemu alikuwa one of the best speaker in Swahili followed by Othman Maalim.
na mimi. Wallahi nimejifunza mengi kwa kusikiliza durusi zake nami nika hapa Europe. Shehe Bachu alikuwa kweli Asad feel minbar, alikuwa ana style ya Sheikh Abdul Hamid Kishki. Mwenyezi Mungu awarehemu.
@athmanbakari5932
6 жыл бұрын
MrMedu490 Ameen
@hawa4968
4 жыл бұрын
Kizur hakidumu
allah mpe kher uko alipo n mpe malipo ambayo makubwa zaid kuliko juhud aloitumia ktka kuipgania dini yko amin...
@zakiarajabu5132
5 жыл бұрын
ALLAHU akufanyie wepes huko uliko
@mohamedokoteokote5455
4 жыл бұрын
mungu akusaidie
@mohammedrashid2906
4 жыл бұрын
Amin
@jameelaomar6543
4 жыл бұрын
Amin
@abuueidrisa8688
4 жыл бұрын
Amiiyyyn
Mashallah mwenyez mungu akurehem akuwepe kwenye pepo ya Firdaus kwa kutupa illmu
@sadiqabdullah1294
4 жыл бұрын
Amiin
Allah akupe kila lenye khyr huko ulipo maalim
@OmarOmar-ew9zs
3 жыл бұрын
Aaaaamiin 🤲
Allahumma thaabit-hu biqauli thaabit. Allahumma gh-firlahu warhamhu waafihi waaf-anhu.
@fadhilsaid877
2 жыл бұрын
Mashaallah
Innalilah wainailaih rajiun Allah akulinde adhabu za kaburi akupe kauli thabiti🙏
@inabikorwaneema8815
3 жыл бұрын
Amiin
MUNGU MLAZE PEMA PEPONI SHEIKH NASSOR AMEEN.
@allydengo
7 жыл бұрын
allah akulaze mahala pema pepon ameen
@binsleyyum3005
4 жыл бұрын
Amin
Allahumma ighfir lahuu warhamhuu waaskinhuu filjannah. Ameen yaa Rabb.
@mhogomchungu7168
7 жыл бұрын
amin
@aminaabdi8078
5 жыл бұрын
Amiin yarrab
@muyyahjuma8959
5 жыл бұрын
Allah akulipe kheri nyingi uko ulipo amin
@mohamedibrahimibrahim5921
4 жыл бұрын
sheikh nassor bhachu rahimahullah.
@kamaukamau9098
4 жыл бұрын
@@mhogomchungu7168 bjhjjhbzn,1$"'?/ /@'*%
Hakika pamoja na uzito upo wepesi mweyezi mungu amfanyie wepes sheh wetu
May Almighty Allah grant him janatul firdous , and provide rehema kwa kaburi yake, we love you but Allah love you most. All his teaching is sooo touching
Mwenyez mungu amjalie kila la kheri uko alipo,kazi ameifanya shekh wetu,hakika hawa ndo warithi wa mtume wetu muhammad swl
Mwenyezimungu akupanulie kaburi lako
@farajimadangu8283
3 жыл бұрын
Mashaalaha
اللهم غفر له و يرحمه و يسكنه الجنه يارب يارب يارب العالمين ❤
Wallah allah atakulipa malipo yaliyo makubwa sana.... Naakurehem...aaamiiinaaa
@hafidhiiothuman153
3 жыл бұрын
Mashalwa bado mawaidha kama mkuki
Allah ajaalie ampe pepo ya juu firdaus
Ya Allah mja wako huyu mlipe pepo kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa ajili yako
@OmarOmar-ew9zs
3 жыл бұрын
Aaaaamiin🤲
Tutakukumbuka daima.. tunakuombea Dua Sana mwalim wetu . Allah akusaamehe pale ulipoteleza hakika uliifahamisha dini kadir ALLAH alivokuwezesha bado tunakupenda Sanaa
Allah amulehemu shekhe wetu❤🙏
Alhamdulillah, Allah akulipe dahali shekh wetu Bachu
Nmejifunza mengi kupitia sheikh huyu na bado naendelea kujifunza na kiukweli nampenda Sana na mpaka Sasa cjamuona sheikh mwengine kwa upande wangu. Mungu ampe kila la kheri huko aliko. Amin
Allah Ajaalie Pepo iwe makazi yako In Sha Allah. Amin
@mohddalali1008
3 жыл бұрын
Ameen
Allah akujaalie pepo za ngazi ya juu kwa utumishu wako kwa umma wake,akuepushie adhabu na vitusho vya kaburini-Ameen ameen ameen Yaarabil ala meen.
@nnongwa586
4 жыл бұрын
Maashaha alha
Allah amlaze mahala pema muondoleye adhabu za kabri in shaa allah
Mashaallah nakumbuka nikiwa mdogo 90s akija mombasa ilikua sikosi darsa na mihadhara yake Allah amuekee kwenye mizani yake
Allah akusamehe,akurehemu,akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi..aamiyn.
Beautiful lecture...May the almighty Allah grant you Jannatul Firdausi sheikh... Ameen...❤️
@saidomar5555
4 жыл бұрын
Aamin, Mungu amjaalie awe peponi
@omaryabdallah9039
3 жыл бұрын
Allah amrehem
@abuuaisha6110
11 ай бұрын
Amiin
allah mrehemu sheikh bachoo
Allah amlipe mazuri huko aliko aamin
Wallaih thuma wallaih mpk nileo tunafaidhika na mawaidha alioyaacha sheikh wetu Nassoro Bachu ALLAH akulipe mazuri yale anayo yajua yeye Amiin
Allah amuondole adhabu ya moto na ya kabr na munyu amjaliye aipite jia ya carat I'll must akim mungu amlaze pema penye wema ameen
Allah Akbar Alhamndulillah 2020
May Allah grant him Jannat Firdaus Al Aala. Alikuwa mwalimu wangu tumenufaika sana kwake.
MaashAllah Alhamdulilah Allah amrehemu na amtanganye na wema, Alhamdulilah
mash_Allah sheikh Allah akupe janatul ferdos. Akuepushe na adhabu ya khamri na akupe pepo
ALLAH AMREHEHU SHEIKH NASDOR BACHU AMEEN
Mashaallah sh Mungu akupe janna Yarrab!! Amiin
Allah subuhanah waatallah akupe nuri ndani ya nur umeondoka ila bado kwenye nyoyo zetu unaish
Allah akulipe kwa madhara ya elimu alokujalia ulioiacha katika jamii ya uislam
Allah akurehemu...Innallillah wainnaillaihy rajoon
Allahummaghfirlahu warhamhu waaskinhum fii janna
mungu akujazi kheri na akufungulie milago khery inshallah wewe umetagulia na si tukonyuma mungu atume husini khatima inndal mauti wa raha baada mauti walfauza bijanah
@mashakiabdulrahman3373
4 жыл бұрын
Allahumma amiin ysrab
@is-hakaomar2118
4 жыл бұрын
Amin
@amanabeid5603
4 жыл бұрын
Mungu akujazie kheri
Allah Ampe pepo yadaraja yajuu zaid.
Nakuomba Allah umrehemu shekh wetu huyu. Tunanufaika mengi kutoka kwake. Aaamiyn.
mungu akusahem ww na sisi mazambi yetu tulio yafamy
Allah atakulipa kwa sawabu kwa kazi kubwa ya kuuendeleza uslamu
Allah akuzidishie Rehma zake. Amin
@OmarOmar-ew9zs
3 жыл бұрын
Aaaaamiin🤲
Allahu, rabbil al a'ameen ampe rehma kwa wingi mno na firdaus a'ala. A'ameen.
@sittacharlesmaendeleo778
5 жыл бұрын
ameen
Allwahuma aghfir Laguna warhamhu waskanhhu fil jannah
Rest in peace Sheikh Nassor. Allah akupe Pepo.
@mmwaduga5281
2 жыл бұрын
Allahuma amini
Ya Allah mjalie sheikh NASSOR BACHU umueke katika pepo za juu FIRDAUS amiin 🤲
Allah amrehemu shekh wetu
ALLAH mrehem sheikh nasoro bachu na muepushe na kila aina ya adhabu zako na pepo iwe makazi yake ya milele inshaallah
Allah amlaze mahala patukufu na inshallah amlipe pepo tukufu inshallah.
napenda sana mawaidha yako sheikh wangu shukran afuen
Mashaa Allah, Allah akujalie akuweke katika pepo ya daraja ya juu na ss tuwe mionqoni mwao kua pmoja na ww Inshaa Allah. ☝
@zeidnassoro6077
4 жыл бұрын
Allah ibarik
@fatumakamwendo7894
Жыл бұрын
Inshaallah
my favourite sheikh Allah amuhifathi
huyu mwamba alikuwa na msimamo na mwanazuoni mzuri sana namkubali sana na wale mashehe wasaka tonge walimchukiya sana mungu amlaze mahala pema peponi amin
Masha Allah mungu akulipe zaid sheikhe wetu Amin Amin
Kupitia Redio Imani ya Morogoro nilipomsikia huyu Shehe nisalimu amri nakufuata Sheria za Allah hakika ameacha faid kubwa mno.
Allah akulipe wema . Amin
Mwenyezimung akuzidishiy kila lakber popote ulipo akuepushe na shari amin
@bitumaiyahomari1590
4 жыл бұрын
Mashaallaah
@bitumaiyahomari1590
4 жыл бұрын
Allaah akuhfadh sehem salaamaa nakupenda sana shehe
نسأل الله أن يجعله من أهل الجنة ويعط كتابه بيمينه ولا يعط كتابه بشماله
@rashidsalu6973
4 жыл бұрын
Mm rashid salum mungu amjaalie malazi. Mema poponi kwa kazi yako ambayo uliyoifanya hapa. Duniani kwa kuitangaza dini. Ya. Allh mungu akulaze. Mahala. Pema peponi a
@mwasitiathumani4626
4 жыл бұрын
Hakika mawaidha ni sadakutjaalia Mwenyezimungu kaburi lako alifanye lawaja Wa peponi aamiin Inshaallah
Allah amlaze mahali pema.peponi amin.
Allaah akuwekee mwangaza kwa kabri yako sheikhe wetu tulikpenda lakin Allah akakpenda zaidi nakckiliza hku nalia.
@mohamedguyo3099
Жыл бұрын
Almarhum Sheikh Nassor,your lecture in us.may Allah grant you jannatul Firdaus.
mungu amlipe kheri
Mashallah..tenda mwema nenda zako...mwenyizi mungu amelazi mahali pema peponi sheik wetu!!!..
Allah mpe Jannatul firdowsi
@mariamually9502
3 жыл бұрын
Masha allah
Shekhe letu jannatul Firdaus iwe mashukio yako in shaa Allah
Yaarabb npe wepesi Shahid wako bin nassor bachu
@hajiomari3827
3 жыл бұрын
Nafarijika sana nikisikiliza mawaidha ya shekh nasor bachu jamani waislam wenzang raha ilioje ukimsikiliza shekh nasor bachu unatamani asimalize