Sheikh Naasor BACHU - KWENYE UZITO KUNA WEPESI

Пікірлер: 471

  • @ibrahimmawazo5077
    @ibrahimmawazo50779 ай бұрын

    Naangalia hii 2023, kwa mawaidha haya, tunamuomba Allah afanye Kun-faya-kun kwa ndugu zetu wa Palestine. Afanye miujiza, haki na amani ipatikane Palestine. Naomba kila mmoja aandike Amin iwe kheri In sha Allah.

  • @user-qu7lz9mu5e

    @user-qu7lz9mu5e

    8 ай бұрын

    Aamin tulikua na Sheikh sisi..Allah attempted Nuru na Harufu ya peponi kaburi lake..

  • @Ahmadchobu

    @Ahmadchobu

    4 ай бұрын

    Mim naangalia 2024 اللهم غفر له وارحمه واسكنه فلجنة

  • @khamisjuma5481

    @khamisjuma5481

    3 ай бұрын

    aaaamin

  • @hassanmahamed8744
    @hassanmahamed87442 жыл бұрын

    Tujuane tuliomsikiliza Shekh miaka ya 90 kwa audio kaset! na sasa 2022 KZread! nipe thumb.

  • @bjzee1981
    @bjzee19814 жыл бұрын

    Ndio shekhe wa kwanza mimi kusikia mawaidha yake kutoka radioni wakati nakua hadi sasa. Allah ampe furaha ktk maisha yake ya kaburini na kesho Akhera. Aameen

  • @nadiromar9794

    @nadiromar9794

    4 ай бұрын

    Amin

  • @omaralidhue

    @omaralidhue

    2 ай бұрын

    Ameen ameen

  • @amipol5310

    @amipol5310

    11 күн бұрын

    Amiin pia ampee kauli sabiti kwenye kaburi lake

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan14004 жыл бұрын

    Mtu anayegonga dislike kwenye maneno haya ana maana gani jamani, dah. Allah akurehemu shekhe, akupe jaannat firdaus, amiyn

  • @cholochiidi5927

    @cholochiidi5927

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @ismaelayoub5196

    @ismaelayoub5196

    2 жыл бұрын

    Yani ndugu yangu ukiona ivyo uje hajui Kutofautisha DISLIKE NA KULAIKE

  • @MohamedMohamed-fc7vh

    @MohamedMohamed-fc7vh

    Жыл бұрын

    Aamin ALLA h akurehemu ..Aamin..

  • @jumahamis227
    @jumahamis2274 жыл бұрын

    Mmoja wa wanazuoni wazuri kuwahi kutokea zanzibar na Tanzania kwa ujumla, Mungu ailaze nafsi ya marehemu sheikh Bacho mahali pema peponi inshaallah.

  • @samirhassanlau1473
    @samirhassanlau14735 жыл бұрын

    Hakika hua sichoki kusikiliza mawaidha ya huyu sheikh, ingawa kila nikisikiliza napata majonzi moyoni mwangu Alha ampe nuru ya milele ktk kaburi lake, Na alha amlipe kwa hii sadaka tul JARIYAAAA

  • @adilihassan8455
    @adilihassan84552 жыл бұрын

    Mashallah! Mtu mwema hujulikana tu akiondoka dunian,shekhe uko uliko tunakutaja Kwa wema sanaaaaaa ,firdaus ushaingia japo hatukuoni ,amiin

  • @bindawood978
    @bindawood9784 жыл бұрын

    Allah akupe pepo ya daraja la kwanza, Alhamdulillah umetuelimisha vya kutoshakusu Qur an na Sunna, kikubwa ni mazingatio

  • @alnasrialnasri721
    @alnasrialnasri7215 жыл бұрын

    Akurehemu ALLAH pamoja na ndugu zete waliokwisha tangulia kabla yetu nasi tupate mwisho mema..

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan59406 жыл бұрын

    allah mlipe heri nyingi kwa kazi yake kubwa yakueneza maneno yako na utuwezeshe sisi tunufaike na mawaidha yake na iwe chazo cha kuridhiwa na wewe yaa Rabb

  • @aboudal-nabahany5338
    @aboudal-nabahany53384 жыл бұрын

    Allah amrehemu na amueke pamoja na wema peponi.Ameen 🤲🤲🤲

  • @selemanially2818

    @selemanially2818

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @ibrahimmusa5729
    @ibrahimmusa57294 жыл бұрын

    Tucmsahau Sh. Nassor bachu ktk dua zetu.. #in shaa Allah.

  • @athmanbakari5932
    @athmanbakari59326 жыл бұрын

    sikupata kkuona lakini Alhamdulillah nmepata kkuskiza,na napata faida na elimu ya dini yangu ya Islam kwa darsa zako,Allah akujaali pepo ya daraja ya juu,Ameen. .

  • @kibwanamuhsin8772
    @kibwanamuhsin87724 жыл бұрын

    Mwenye elimu inayonufaisha hubaki hai hata kama amekufa. Mola akulipe kw sadaqatul-jariah zako hizi tunazonufaika nazo Ameen.

  • @aminamusa9720
    @aminamusa97204 жыл бұрын

    Allah jaalie JANNAT FRIDAUS ktk maisha yako ya peni yaraby

  • @saidmsinga5450
    @saidmsinga54509 жыл бұрын

    ALHAMDULI LLAHI,MWENYEZI MUNGU AMLIPE KWA KAZI KUBWA ALIYOIFANYA KWA KUELIMISHA UMMA.

  • @raisiwakissdi2691

    @raisiwakissdi2691

    4 жыл бұрын

    munguamlipe kwarehema yaallah

  • @sleyumsaidabdullah3006

    @sleyumsaidabdullah3006

    4 жыл бұрын

    Mashaallah R.I.P

  • @saidseif7469

    @saidseif7469

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @rahmahamad6251

    @rahmahamad6251

    4 жыл бұрын

    Aaamiin

  • @shukrisharamo1879

    @shukrisharamo1879

    3 жыл бұрын

    MashaAllah Allah amweke pema

  • @jumajuma2726
    @jumajuma27264 жыл бұрын

    Napenda sana mawaidha ya shekhe bacho uwa sitokagi pembezoni mwa radio iman saa nne mpaka saa tisa ALLAH amlehem

  • @athmaniyahaya3758
    @athmaniyahaya37583 жыл бұрын

    Mungu akuhifadh afanye kaburi lako liwe ni miongon mwa viwanja vya peponi Insha Allah

  • @kibibijuma8441
    @kibibijuma84414 жыл бұрын

    mola akurehemu ww mbele na sisi nyuma. akupe firdaus Iwe makazi yk in sha Allah na ummat mohammed wote pia.

  • @aidahali2840
    @aidahali28409 жыл бұрын

    ALLAH AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI AMIIN

  • @jamalidagama1699

    @jamalidagama1699

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @mwanamisiomar443

    @mwanamisiomar443

    4 жыл бұрын

    Ameen.

  • @amemeabdulrazak1397

    @amemeabdulrazak1397

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @selemanizephania7281
    @selemanizephania72818 жыл бұрын

    Nampenda sana marhumu Sheikhe Nassor Bachu Allah ampe janna firdaus.

  • @jamilamunisi1480

    @jamilamunisi1480

    5 жыл бұрын

    Selemani Zephania Amiiin

  • @khalfansaid8799

    @khalfansaid8799

    4 жыл бұрын

    Allahumaghrilahu warhamhu waafihi waafuanhu waakirimu nuzulahu wawasia mudkhalahu waghasiluhu milmai wathaligi walbarid wanakihi minkhatwaya kama yunaka thaubu llabiyaz Mina nnanas

  • @sophiamaua3885

    @sophiamaua3885

    4 жыл бұрын

    Aamiiin

  • @abdullakhlaas4377

    @abdullakhlaas4377

    4 жыл бұрын

    Amiin yarabil aalamiin

  • @bintsalimalbimany5340

    @bintsalimalbimany5340

    4 жыл бұрын

    Ammin ammin ammin Yarab

  • @shairosekambona5301
    @shairosekambona53014 жыл бұрын

    ALLAH akurehemu sheikh nassoro bachu na akufanye kuwa ktk waliocheka milele amina ya rab

  • @mayjaally5026
    @mayjaally50264 жыл бұрын

    Allmarhum Sheikh Nassor Bachu, Allah akurehemu akusameh makosa yko n kuwa katik waja w pepo y Firdous. 🙏

  • @shamndonyi1814
    @shamndonyi18144 жыл бұрын

    If people do have the role models then, this is my role model.... May ALLAH grant him jannatu firdausi

  • @sadiawako9699

    @sadiawako9699

    4 жыл бұрын

    Amiiin Ya Allah

  • @jumahamis227

    @jumahamis227

    4 жыл бұрын

    role model wa waislamu ni mtume Muhammad sheikh.

  • @mbugimuchiro1331

    @mbugimuchiro1331

    4 жыл бұрын

    Allah Janna tu firdausi

  • @saidseif7469

    @saidseif7469

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @hemedhamdan

    @hemedhamdan

    4 жыл бұрын

    @juma hamis العلماء ورثة الأنبياء

  • @khalidmohamed7532
    @khalidmohamed75325 жыл бұрын

    Allah amlipe jazz a njema..kwa sadakatul jaariya hizi zinazo tunufaisha hadi Leo.

  • @mutaladjasmini4815
    @mutaladjasmini48154 жыл бұрын

    Allah akupe janat firdawus 🙏

  • @jamilanassoro8408
    @jamilanassoro84084 жыл бұрын

    Ya Allah mpe kauli thabit shekhe wetu na umrehemu

  • @mohamedathuman1145
    @mohamedathuman11454 жыл бұрын

    Allah akupekauli dhabitty

  • @mbuyatrust8670
    @mbuyatrust86703 жыл бұрын

    Mungu msamedhe sana makosa yake shekhe nassoro bachu

  • @zuhurambonde6959
    @zuhurambonde69594 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akuweke pazuri inshallah napenda Sana mawaidha yako.

  • @hamzaforogo

    @hamzaforogo

    3 жыл бұрын

    Aaamin yaa rabbi

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix17537 ай бұрын

    Sheikh Nasur Bachu Allah Amrehemu alikuwa one of the best speaker in Swahili followed by Othman Maalim.

  • @Truthshallprevail1291
    @Truthshallprevail129110 жыл бұрын

    na mimi. Wallahi nimejifunza mengi kwa kusikiliza durusi zake nami nika hapa Europe. Shehe Bachu alikuwa kweli Asad feel minbar, alikuwa ana style ya Sheikh Abdul Hamid Kishki. Mwenyezi Mungu awarehemu.

  • @athmanbakari5932

    @athmanbakari5932

    6 жыл бұрын

    MrMedu490 Ameen

  • @hawa4968

    @hawa4968

    4 жыл бұрын

    Kizur hakidumu

  • @khadijaramadhanhaji1159
    @khadijaramadhanhaji11598 жыл бұрын

    allah mpe kher uko alipo n mpe malipo ambayo makubwa zaid kuliko juhud aloitumia ktka kuipgania dini yko amin...

  • @zakiarajabu5132

    @zakiarajabu5132

    5 жыл бұрын

    ALLAHU akufanyie wepes huko uliko

  • @mohamedokoteokote5455

    @mohamedokoteokote5455

    4 жыл бұрын

    mungu akusaidie

  • @mohammedrashid2906

    @mohammedrashid2906

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @jameelaomar6543

    @jameelaomar6543

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @abuueidrisa8688

    @abuueidrisa8688

    4 жыл бұрын

    Amiiyyyn

  • @rahmasalum7107
    @rahmasalum71075 жыл бұрын

    Mashallah mwenyez mungu akurehem akuwepe kwenye pepo ya Firdaus kwa kutupa illmu

  • @sadiqabdullah1294

    @sadiqabdullah1294

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @fahadmohamed5508
    @fahadmohamed55085 жыл бұрын

    Allah akupe kila lenye khyr huko ulipo maalim

  • @OmarOmar-ew9zs

    @OmarOmar-ew9zs

    3 жыл бұрын

    Aaaaamiin 🤲

  • @99graphix
    @99graphix11 жыл бұрын

    Allahumma thaabit-hu biqauli thaabit. Allahumma gh-firlahu warhamhu waafihi waaf-anhu.

  • @fadhilsaid877

    @fadhilsaid877

    2 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @uwingeneyeshadia7697
    @uwingeneyeshadia76974 жыл бұрын

    Innalilah wainailaih rajiun Allah akulinde adhabu za kaburi akupe kauli thabiti🙏

  • @inabikorwaneema8815

    @inabikorwaneema8815

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @calypsotall
    @calypsotall11 жыл бұрын

    MUNGU MLAZE PEMA PEPONI SHEIKH NASSOR AMEEN.

  • @allydengo

    @allydengo

    7 жыл бұрын

    allah akulaze mahala pema pepon ameen

  • @binsleyyum3005

    @binsleyyum3005

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @soudfakih2577
    @soudfakih257710 жыл бұрын

    Allahumma ighfir lahuu warhamhuu waaskinhuu filjannah. Ameen yaa Rabb.

  • @mhogomchungu7168

    @mhogomchungu7168

    7 жыл бұрын

    amin

  • @aminaabdi8078

    @aminaabdi8078

    5 жыл бұрын

    Amiin yarrab

  • @muyyahjuma8959

    @muyyahjuma8959

    5 жыл бұрын

    Allah akulipe kheri nyingi uko ulipo amin

  • @mohamedibrahimibrahim5921

    @mohamedibrahimibrahim5921

    4 жыл бұрын

    sheikh nassor bhachu rahimahullah.

  • @kamaukamau9098

    @kamaukamau9098

    4 жыл бұрын

    @@mhogomchungu7168 bjhjjhbzn,1$"'?/ /@'*%

  • @mohamediiddi29
    @mohamediiddi295 жыл бұрын

    Hakika pamoja na uzito upo wepesi mweyezi mungu amfanyie wepes sheh wetu

  • @abdirizakhalakehalkan778
    @abdirizakhalakehalkan7784 жыл бұрын

    May Almighty Allah grant him janatul firdous , and provide rehema kwa kaburi yake, we love you but Allah love you most. All his teaching is sooo touching

  • @tonystantay4013
    @tonystantay40133 жыл бұрын

    Mwenyez mungu amjalie kila la kheri uko alipo,kazi ameifanya shekh wetu,hakika hawa ndo warithi wa mtume wetu muhammad swl

  • @fatmahotai7490
    @fatmahotai74905 жыл бұрын

    Mwenyezimungu akupanulie kaburi lako

  • @farajimadangu8283

    @farajimadangu8283

    3 жыл бұрын

    Mashaalaha

  • @didakitole7578
    @didakitole75783 жыл бұрын

    اللهم غفر له و يرحمه و يسكنه الجنه يارب يارب يارب العالمين ❤

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru18224 жыл бұрын

    Wallah allah atakulipa malipo yaliyo makubwa sana.... Naakurehem...aaamiiinaaa

  • @hafidhiiothuman153

    @hafidhiiothuman153

    3 жыл бұрын

    Mashalwa bado mawaidha kama mkuki

  • @abubakarinyawaba1378
    @abubakarinyawaba13785 жыл бұрын

    Allah ajaalie ampe pepo ya juu firdaus

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg5 жыл бұрын

    Ya Allah mja wako huyu mlipe pepo kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa ajili yako

  • @OmarOmar-ew9zs

    @OmarOmar-ew9zs

    3 жыл бұрын

    Aaaaamiin🤲

  • @mruppercut7985
    @mruppercut79852 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima.. tunakuombea Dua Sana mwalim wetu . Allah akusaamehe pale ulipoteleza hakika uliifahamisha dini kadir ALLAH alivokuwezesha bado tunakupenda Sanaa

  • @anitaciza7660
    @anitaciza76604 жыл бұрын

    Allah amulehemu shekhe wetu❤🙏

  • @funditv8959
    @funditv89594 жыл бұрын

    Alhamdulillah, Allah akulipe dahali shekh wetu Bachu

  • @colamboy5563
    @colamboy55633 жыл бұрын

    Nmejifunza mengi kupitia sheikh huyu na bado naendelea kujifunza na kiukweli nampenda Sana na mpaka Sasa cjamuona sheikh mwengine kwa upande wangu. Mungu ampe kila la kheri huko aliko. Amin

  • @bibinamay1964
    @bibinamay19645 жыл бұрын

    Allah Ajaalie Pepo iwe makazi yako In Sha Allah. Amin

  • @mohddalali1008

    @mohddalali1008

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @mamujabbir1540
    @mamujabbir15407 жыл бұрын

    Allah akujaalie pepo za ngazi ya juu kwa utumishu wako kwa umma wake,akuepushie adhabu na vitusho vya kaburini-Ameen ameen ameen Yaarabil ala meen.

  • @nnongwa586

    @nnongwa586

    4 жыл бұрын

    Maashaha alha

  • @aminayussuf4161
    @aminayussuf41616 жыл бұрын

    Allah amlaze mahala pema muondoleye adhabu za kabri in shaa allah

  • @saidmfaumekombo8067
    @saidmfaumekombo80672 ай бұрын

    Mashaallah nakumbuka nikiwa mdogo 90s akija mombasa ilikua sikosi darsa na mihadhara yake Allah amuekee kwenye mizani yake

  • @abdallaramadhan3850
    @abdallaramadhan38504 жыл бұрын

    Allah akusamehe,akurehemu,akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi..aamiyn.

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein40194 жыл бұрын

    Beautiful lecture...May the almighty Allah grant you Jannatul Firdausi sheikh... Ameen...❤️

  • @saidomar5555

    @saidomar5555

    4 жыл бұрын

    Aamin, Mungu amjaalie awe peponi

  • @omaryabdallah9039

    @omaryabdallah9039

    3 жыл бұрын

    Allah amrehem

  • @abuuaisha6110

    @abuuaisha6110

    11 ай бұрын

    Amiin

  • @mwalimumz2036
    @mwalimumz20367 жыл бұрын

    allah mrehemu sheikh bachoo

  • @khamisalishaame8777
    @khamisalishaame87774 жыл бұрын

    Allah amlipe mazuri huko aliko aamin

  • @jumakumala1337
    @jumakumala13372 жыл бұрын

    Wallaih thuma wallaih mpk nileo tunafaidhika na mawaidha alioyaacha sheikh wetu Nassoro Bachu ALLAH akulipe mazuri yale anayo yajua yeye Amiin

  • @maryamsalim8822
    @maryamsalim88226 жыл бұрын

    Allah amuondole adhabu ya moto na ya kabr na munyu amjaliye aipite jia ya carat I'll must akim mungu amlaze pema penye wema ameen

  • @shabansaid5612
    @shabansaid56123 жыл бұрын

    Allah Akbar Alhamndulillah 2020

  • @hashimbalushi9283
    @hashimbalushi92833 жыл бұрын

    May Allah grant him Jannat Firdaus Al Aala. Alikuwa mwalimu wangu tumenufaika sana kwake.

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe51724 жыл бұрын

    MaashAllah Alhamdulilah Allah amrehemu na amtanganye na wema, Alhamdulilah

  • @migwa100
    @migwa1004 жыл бұрын

    mash_Allah sheikh Allah akupe janatul ferdos. Akuepushe na adhabu ya khamri na akupe pepo

  • @yussufmohamed2405
    @yussufmohamed24054 жыл бұрын

    ALLAH AMREHEHU SHEIKH NASDOR BACHU AMEEN

  • @zahramunir8596
    @zahramunir85964 жыл бұрын

    Mashaallah sh Mungu akupe janna Yarrab!! Amiin

  • @hawa4968
    @hawa49684 жыл бұрын

    Allah subuhanah waatallah akupe nuri ndani ya nur umeondoka ila bado kwenye nyoyo zetu unaish

  • @yunussaidy1800
    @yunussaidy18007 жыл бұрын

    Allah akulipe kwa madhara ya elimu alokujalia ulioiacha katika jamii ya uislam

  • @bahatimataka229
    @bahatimataka2294 жыл бұрын

    Allah akurehemu...Innallillah wainnaillaihy rajoon

  • @alimcheni6372
    @alimcheni63724 жыл бұрын

    Allahummaghfirlahu warhamhu waaskinhum fii janna

  • @yusufabubakarayub2823
    @yusufabubakarayub282311 жыл бұрын

    mungu akujazi kheri na akufungulie milago khery inshallah wewe umetagulia na si tukonyuma mungu atume husini khatima inndal mauti wa raha baada mauti walfauza bijanah

  • @mashakiabdulrahman3373

    @mashakiabdulrahman3373

    4 жыл бұрын

    Allahumma amiin ysrab

  • @is-hakaomar2118

    @is-hakaomar2118

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @amanabeid5603

    @amanabeid5603

    4 жыл бұрын

    Mungu akujazie kheri

  • @kondoaman4298
    @kondoaman42987 жыл бұрын

    Allah Ampe pepo yadaraja yajuu zaid.

  • @adinanabdul
    @adinanabdul3 жыл бұрын

    Nakuomba Allah umrehemu shekh wetu huyu. Tunanufaika mengi kutoka kwake. Aaamiyn.

  • @adammohd6215
    @adammohd62156 жыл бұрын

    mungu akusahem ww na sisi mazambi yetu tulio yafamy

  • @shabankuchanda9489
    @shabankuchanda94893 жыл бұрын

    Allah atakulipa kwa sawabu kwa kazi kubwa ya kuuendeleza uslamu

  • @fahadmahir8355
    @fahadmahir83557 жыл бұрын

    Allah akuzidishie Rehma zake. Amin

  • @OmarOmar-ew9zs

    @OmarOmar-ew9zs

    3 жыл бұрын

    Aaaaamiin🤲

  • @Yusuf-fo3gl
    @Yusuf-fo3gl6 жыл бұрын

    Allahu, rabbil al a'ameen ampe rehma kwa wingi mno na firdaus a'ala. A'ameen.

  • @sittacharlesmaendeleo778

    @sittacharlesmaendeleo778

    5 жыл бұрын

    ameen

  • @nelsonsalim4426
    @nelsonsalim44264 жыл бұрын

    Allwahuma aghfir Laguna warhamhu waskanhhu fil jannah

  • @suleimanomar5956
    @suleimanomar59564 жыл бұрын

    Rest in peace Sheikh Nassor. Allah akupe Pepo.

  • @mmwaduga5281

    @mmwaduga5281

    2 жыл бұрын

    Allahuma amini

  • @salimsalimnaurin2042
    @salimsalimnaurin2042 Жыл бұрын

    Ya Allah mjalie sheikh NASSOR BACHU umueke katika pepo za juu FIRDAUS amiin 🤲

  • @ramadhanwaziri513
    @ramadhanwaziri5134 жыл бұрын

    Allah amrehemu shekh wetu

  • @mudybeka6698
    @mudybeka6698 Жыл бұрын

    ALLAH mrehem sheikh nasoro bachu na muepushe na kila aina ya adhabu zako na pepo iwe makazi yake ya milele inshaallah

  • @kassimkitete3058
    @kassimkitete30583 жыл бұрын

    Allah amlaze mahala patukufu na inshallah amlipe pepo tukufu inshallah.

  • @QChief
    @QChief2 жыл бұрын

    napenda sana mawaidha yako sheikh wangu shukran afuen

  • @sabrahamad4763
    @sabrahamad47635 жыл бұрын

    Mashaa Allah, Allah akujalie akuweke katika pepo ya daraja ya juu na ss tuwe mionqoni mwao kua pmoja na ww Inshaa Allah. ☝

  • @zeidnassoro6077

    @zeidnassoro6077

    4 жыл бұрын

    Allah ibarik

  • @fatumakamwendo7894

    @fatumakamwendo7894

    Жыл бұрын

    Inshaallah

  • @hafsarakki9966
    @hafsarakki99662 жыл бұрын

    my favourite sheikh Allah amuhifathi

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo71633 жыл бұрын

    huyu mwamba alikuwa na msimamo na mwanazuoni mzuri sana namkubali sana na wale mashehe wasaka tonge walimchukiya sana mungu amlaze mahala pema peponi amin

  • @salehenassor1578
    @salehenassor15783 жыл бұрын

    Masha Allah mungu akulipe zaid sheikhe wetu Amin Amin

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana87873 жыл бұрын

    Kupitia Redio Imani ya Morogoro nilipomsikia huyu Shehe nisalimu amri nakufuata Sheria za Allah hakika ameacha faid kubwa mno.

  • @shakilaiddrisa5263
    @shakilaiddrisa52635 жыл бұрын

    Allah akulipe wema . Amin

  • @kwizerasalama685
    @kwizerasalama6855 жыл бұрын

    Mwenyezimung akuzidishiy kila lakber popote ulipo akuepushe na shari amin

  • @bitumaiyahomari1590

    @bitumaiyahomari1590

    4 жыл бұрын

    Mashaallaah

  • @bitumaiyahomari1590

    @bitumaiyahomari1590

    4 жыл бұрын

    Allaah akuhfadh sehem salaamaa nakupenda sana shehe

  • @abuughanimaally5980
    @abuughanimaally59805 жыл бұрын

    نسأل الله أن يجعله من أهل الجنة ويعط كتابه بيمينه ولا يعط كتابه بشماله

  • @rashidsalu6973

    @rashidsalu6973

    4 жыл бұрын

    Mm rashid salum mungu amjaalie malazi. Mema poponi kwa kazi yako ambayo uliyoifanya hapa. Duniani kwa kuitangaza dini. Ya. Allh mungu akulaze. Mahala. Pema peponi a

  • @mwasitiathumani4626

    @mwasitiathumani4626

    4 жыл бұрын

    Hakika mawaidha ni sadakutjaalia Mwenyezimungu kaburi lako alifanye lawaja Wa peponi aamiin Inshaallah

  • @hmedmaulid2069
    @hmedmaulid20697 жыл бұрын

    Allah amlaze mahali pema.peponi amin.

  • @aminaabdi8078
    @aminaabdi80785 жыл бұрын

    Allaah akuwekee mwangaza kwa kabri yako sheikhe wetu tulikpenda lakin Allah akakpenda zaidi nakckiliza hku nalia.

  • @mohamedguyo3099

    @mohamedguyo3099

    Жыл бұрын

    Almarhum Sheikh Nassor,your lecture in us.may Allah grant you jannatul Firdaus.

  • @saidmsinga7336
    @saidmsinga73366 жыл бұрын

    mungu amlipe kheri

  • @superromeo2773
    @superromeo27734 жыл бұрын

    Mashallah..tenda mwema nenda zako...mwenyizi mungu amelazi mahali pema peponi sheik wetu!!!..

  • @herballife8495
    @herballife84954 жыл бұрын

    Allah mpe Jannatul firdowsi

  • @mariamually9502

    @mariamually9502

    3 жыл бұрын

    Masha allah

  • @ibraa1157
    @ibraa11574 жыл бұрын

    Shekhe letu jannatul Firdaus iwe mashukio yako in shaa Allah

  • @islamsaid3362
    @islamsaid336210 жыл бұрын

    Yaarabb npe wepesi Shahid wako bin nassor bachu

  • @hajiomari3827

    @hajiomari3827

    3 жыл бұрын

    Nafarijika sana nikisikiliza mawaidha ya shekh nasor bachu jamani waislam wenzang raha ilioje ukimsikiliza shekh nasor bachu unatamani asimalize

Келесі