Dawa tano za asili ambazo hutakiwi kosa ndani ya nyumba yako - Dr Bihiza

Пікірлер: 135

  • @a.856
    @a.856 Жыл бұрын

    Jazakallah khayran

  • @zuhurazabiir3769
    @zuhurazabiir3769 Жыл бұрын

    Jazakalahu khery 🙏🏿

  • @Khadija-tr8du
    @Khadija-tr8du Жыл бұрын

    Shukrani jazila Dr

  • @zuhurazabiir3769
    @zuhurazabiir3769 Жыл бұрын

    Sufa kizungu inaitwaje tunaomba utujibu tafadhali 🙏🏿

  • @marietheresenyandwi8671
    @marietheresenyandwi867111 ай бұрын

    Jaazakhallah kheir ❤

  • @user-vc2jl9qp9m
    @user-vc2jl9qp9m4 ай бұрын

    Jazzakumllah kheir

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Жыл бұрын

    Asantee dctr

  • @mwanaidibakari3657
    @mwanaidibakari3657 Жыл бұрын

    Waleykum Salaam Warahmatullah Wabarakatuh. .... Shukran sana kwa mafunzo mazuri Jazaka Allah khery

  • @isacalvarolazido
    @isacalvarolazido6 ай бұрын

    Allah akuhifadh

  • @zawadimlagala568
    @zawadimlagala568 Жыл бұрын

    Ahsante Sana upo sahihi ❤doktar

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 Жыл бұрын

    Shukran Allah akujazi kheri

  • @user-ds3rw3sm2h
    @user-ds3rw3sm2h8 ай бұрын

    Shukrani mwalimu

  • @user-ju9mi1ft4v
    @user-ju9mi1ft4v Жыл бұрын

    Shukran

  • @user-li1fs6nn7v
    @user-li1fs6nn7v Жыл бұрын

    Nashukuru san kwa mafunzo mazuri.

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Жыл бұрын

    DR. BIHIZA SAFI SANA

  • @ThaniaAli-zb3lk
    @ThaniaAli-zb3lk Жыл бұрын

    Shukranlaka. Allah akulipe kheyr.

  • @atanaskalega6968

    @atanaskalega6968

    Жыл бұрын

    Namba yako ya simu Dr ni muhimu ukatupatia hilo ni ombi

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Жыл бұрын

    Jaza kaa lahaa

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Жыл бұрын

    Shukraan sana❤❤❤❤

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 Жыл бұрын

    Asante sana

  • @zuhurazabiir3769
    @zuhurazabiir3769 Жыл бұрын

    Tuongezee masomo zaidi 🙏🏿

  • @zawadimlagala568
    @zawadimlagala568 Жыл бұрын

    Upo sahihi doktar zoteulisema Safi Sana

  • @amourjuma7284
    @amourjuma7284 Жыл бұрын

    Mwana hongera sana sana

  • @RajabuJongo-dl6qu
    @RajabuJongo-dl6quАй бұрын

    Assalamu waleykumu warahmatullah wabarakatuh wallah Allah akulipe kilalaheri. Wewee nitofauti. Sana. Nawangune. Allah. Akujaaliye. Maisha mazuri. Duniyani. Naakhera

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo1317 Жыл бұрын

    Safi.

  • @elizabethtibenda7324
    @elizabethtibenda7324 Жыл бұрын

    Samahani doctor naomba msaada wa dawa ya cancer tafadhali mama yangu ananiumiza kwel na hili tatizo.

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Жыл бұрын

    Maashaallah maashaallah

  • @tantinejuma684
    @tantinejuma684 Жыл бұрын

    Kwakuhelewa kwangu nahona sufa ni FLAX SEED, lakini doctor atuheleweche

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 Жыл бұрын

    To be continued

  • @user-ed9qv6kf4c
    @user-ed9qv6kf4c8 ай бұрын

    Nini dawa ya harufu mbaya ya mdomo

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 Жыл бұрын

    Hapo kwenye kumeza mruturutu aaaaah! Hebu naomba namba yako tafadhali

  • @hindujuma72
    @hindujuma72 Жыл бұрын

    Namba yako dr. ni muhimu kwetu

  • @user-fs7xc2bb5d

    @user-fs7xc2bb5d

    Жыл бұрын

    Zipo hapo kushoto kulikoandikwa DR .BIHIZZI piga screen shot utaziona vizuri

  • @shualtiwani6806
    @shualtiwani6806 Жыл бұрын

    Mungu akubariki

  • @penieltshipaz8474
    @penieltshipaz8474 Жыл бұрын

    Shukrani tusahidiye dawa yakumaliza kicha ama kutlibu uwenda wazimu

  • @anharishabani

    @anharishabani

    Жыл бұрын

    Asalamualykum vp hali yako shukurani nakupataj

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    0715 524 946

  • @sahimtv4742
    @sahimtv4742 Жыл бұрын

    Tutajie kwa kingereza hizo dawa watu wengine tupo inje ya inchi lakini kuna maduka huku ya madawa ya asili lakini sio kwa kiswahili

  • @hassanlewa5317

    @hassanlewa5317

    Жыл бұрын

    Doctor kuna ugonjwa wa mtu akienada haja kubwa mwisho anatoka damu choo kiwe chepesi ama kigumu dawa gani atumie?

  • @nafharthakizimana1498

    @nafharthakizimana1498

    Жыл бұрын

    @@hassanlewa5317 Mwambie ajipake casto oil au kwa kiswahili mafuta ya mnyonyo kwenye sehemu yake ya haja kubwa. Shukran

  • @hassanramadhan2794
    @hassanramadhan27946 ай бұрын

    Asalam alykum warahmatullah kwa Burundi tutapata vîpi

  • @user-pr2ts5fl4r
    @user-pr2ts5fl4r Жыл бұрын

    Dr,sifa tunaipataje

  • @queenwere1
    @queenwere1 Жыл бұрын

    Please explain this products name in English

  • @tegemeamogela4053
    @tegemeamogela40539 ай бұрын

    Naomba namba yako mm miguu inawakamoto pia moyo wamesema umetanuka naomba unierekeze dawa docta

  • @sumrajuma8967
    @sumrajuma896722 күн бұрын

    Dr dawa ya kongosho

  • @LydiaRweyemamu
    @LydiaRweyemamu25 күн бұрын

    Dr.hizi naweza kutumia kwa mtt wa chin ya miaka 18?

  • @omarabubakar2304
    @omarabubakar2304Күн бұрын

    Mruturutu ndio nini

  • @shaphaina9941
    @shaphaina9941 Жыл бұрын

    Doctor shukran ila sufa kwa English inaitwaje .

  • @zuhurazabiir3769

    @zuhurazabiir3769

    Жыл бұрын

    Na mimi pia nimeuliza hilo hilo swali

  • @ladooladoo1285

    @ladooladoo1285

    Жыл бұрын

    Jaribu kwenda kwa wauza madawa ya kiasili Utapata au wao eshe picha Wao watajua

  • @HeritierAmuri-ck3jj

    @HeritierAmuri-ck3jj

    Жыл бұрын

    Doctor Kama mtu akitaka kuacha pombe Hakuna matibabu?

  • @dumasbajun0012

    @dumasbajun0012

    Жыл бұрын

    Nimeangalia google imeniletea jina kwa kizungu ni Mustard seed na kiswahili ni haradali mana nimechukua picha nikaipeleka google ndio ikanipa jina hilo la Mustard seed au kiswahili Haradali

  • @onyangokawau5184

    @onyangokawau5184

    Жыл бұрын

    Dr naomba utuonye hiyo dawa ya omiksi

  • @eleginzaaaaa5030
    @eleginzaaaaa5030 Жыл бұрын

    Piz docky use both English and kuswahili

  • @user-to2vq5xy3h
    @user-to2vq5xy3h Жыл бұрын

    Asate kwakuerimisha jamii mungu akutangurie dokta naomba nambayako ndokta

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2rАй бұрын

    Dr...Iyo Dawa Gani??

  • @LilianLumeme
    @LilianLumeme3 ай бұрын

    Inapatikana wapi

  • @user-ds3rw3sm2h
    @user-ds3rw3sm2h8 ай бұрын

    Dawa za kunde vinyama vidogovidogo vimeota katika kiungo kya siri

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Tunaomba namba yako ya simu

  • @carolynemkutano8086
    @carolynemkutano8086 Жыл бұрын

    Kwani Doctor hujui inaitwaje kwa kigereza

  • @leilamuhaji7945

    @leilamuhaji7945

    Жыл бұрын

    SUFA ni FLAXSEED in English

  • @tegemeamogela4053
    @tegemeamogela40539 ай бұрын

    Asante dockita Sasa namba yako harafu hivi vitu tunaipata wapi

  • @edithmasakwa1645
    @edithmasakwa1645 Жыл бұрын

    Hujambo doctor,nko na mtoto alianza kuvuta bhagi akiwa mdogo hadi leo,ako twenty eight ñaeza pata wapi dawa ya kumkomesha

  • @hagumandabateze5978
    @hagumandabateze5978 Жыл бұрын

    Shukran sana Mungu akurinde weka namba yako asante

  • @user-fs7xc2bb5d

    @user-fs7xc2bb5d

    Жыл бұрын

    Namba zipo hapo kushoto kwenye hicho kimraba chenye blue

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    0715 524 946

  • @wellahsuleiman7881
    @wellahsuleiman7881 Жыл бұрын

    HABARI DOCTOR, UTUMIAJI WA TENDE NA ASALI KWA WATU WA UGONJWA WA SUKARI, TUFANYAJE?

  • @PilliWambura
    @PilliWambura Жыл бұрын

    Inapatikana wapi?

  • @ChrisMustafa-em1zq
    @ChrisMustafa-em1zq10 ай бұрын

    Doctor je unajuwa dawa ya bawasili utuelimishe

  • @oswardnyondo2015
    @oswardnyondo2015 Жыл бұрын

    Je chumvi ya kiwandani nayo inafanya kazi

  • @shualtiwani6806
    @shualtiwani6806 Жыл бұрын

    Hii tiba ya macho kwa kutumis zeit ya habbat soda. Wapi unapaka haya mafuta? Kwenye kope au nyusi ? Kwa sababu umesema kope lkn umeonesha nyusi. Na hii chuvi ya mawe vile vile niondoshee wacwac wapi unapaka kwenye nyusi au cope.

  • @peninamwailunda8813

    @peninamwailunda8813

    Жыл бұрын

    Maduka ya madawa asili utakuta vitu vyote hivyo, kama upo Dsm nenda Kariakoo sokoni ulizia maduka ya madawa asili utavikuta vifaa vyote

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307Ай бұрын

    ugonjwa presha ya macho dawa yake unayo

  • @mamynyota4063
    @mamynyota4063 Жыл бұрын

    Asalamu alayikum warahmatullah wabarakatu unaweza kumutumia mtu wa usa

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    0715 524 946

  • @Godneverfailed
    @Godneverfailed Жыл бұрын

    Dr.Nasumbuliwa na mashiligi sugu dawa take nini

  • @momsfood8237
    @momsfood8237 Жыл бұрын

    Wekanambayasimu

  • @mimaajuma8623
    @mimaajuma86238 ай бұрын

    Namba unisadie na dawa ya pumu

  • @zuhuramussa3996
    @zuhuramussa3996 Жыл бұрын

    Doctor naomba namba yako

  • @antoinetteshivachi9562
    @antoinetteshivachi9562 Жыл бұрын

    Dawa zinapatikana wapi ningependa kua nayo nitapata vipi 13:30

  • @queenwere1
    @queenwere1 Жыл бұрын

    Siki ni vinegar?

  • @fas1499
    @fas1499 Жыл бұрын

    Docter asante barikiwa sana bt sufa ni nini aki tafadhali

  • @fatmaabdallah7709

    @fatmaabdallah7709

    Жыл бұрын

    Flaxseed

  • @fatmaabdallah7709

    @fatmaabdallah7709

    Жыл бұрын

    Flaxseed

  • @fatmaabdallah7709

    @fatmaabdallah7709

    Жыл бұрын

    Flaxseed

  • @anndaniel4055
    @anndaniel4055 Жыл бұрын

    Sufa tunaipata wapi

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын

    Siki unywe vijoko vijiko vitatu umpe watoto si unamuua kwa madonda ya tumbo.

  • @kosephtomasi-nz7fk

    @kosephtomasi-nz7fk

    Жыл бұрын

    safisanakwadarasa

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 Жыл бұрын

    Assalam alaykum DR sikupat kwa wasap

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    0715 524 946

  • @user-br5yu4si4z
    @user-br5yu4si4z Жыл бұрын

    Dr asante ila dawa zingine kama Haba soda mm siijiu

  • @nafharthakizimana1498

    @nafharthakizimana1498

    Жыл бұрын

    Ni black seed in English

  • @guerlemkabulese4458
    @guerlemkabulese4458 Жыл бұрын

    Shukrani sana, ni mgeni nipe namba yako ya mawasiliano

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    Dr Bihizi 0715 524 946

  • @kiemenafishingenterprises943
    @kiemenafishingenterprises943 Жыл бұрын

    Dawa hizo tano zinastahiki kutokukosa ndani nitaipata kwa bei gani. Nipo ungindoni Kigamboni

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    0715 524 946

  • @wellahsuleiman7881
    @wellahsuleiman7881 Жыл бұрын

    DAWA YA KISUKARI

  • @MilikaKaoneka-kh5ec
    @MilikaKaoneka-kh5ec Жыл бұрын

    Dr tunaomba namba yako ya simu.

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    0715 524 946

  • @aishadotto3640
    @aishadotto3640 Жыл бұрын

    Samahani Dakrari shufa ndio nn

  • @faustinakitaly7759

    @faustinakitaly7759

    Жыл бұрын

    Tunaomba namba zako

  • @damarisochieng3858
    @damarisochieng3858 Жыл бұрын

    Daktari uko sehemu za wapi?

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    0715 524 946

  • @JasminKiula-eg1dw
    @JasminKiula-eg1dw Жыл бұрын

    Shukuran sasa hii sufa inapatikana wapi

  • @fatmaabdallah7709

    @fatmaabdallah7709

    Жыл бұрын

    Maduka yote ya dawa za asili na pia sokoni zinafanana na chia lkn hizi ni nyekundu nyekundu kidogo😊

  • @saidimadunda4576
    @saidimadunda4576 Жыл бұрын

    Huku tuliko hizo dawa zipo ila majina kwa kingereza ungetuwezesha tafafhali

  • @leilamuhaji7945

    @leilamuhaji7945

    Жыл бұрын

    FLAXSEED

  • @jhfgbn87hshswj17
    @jhfgbn87hshswj17 Жыл бұрын

    Samani sufa ni nini

  • @stellah3844
    @stellah3844 Жыл бұрын

    Hii Siki ndo mtihani tulioko Abroad

  • @audreyshame3719

    @audreyshame3719

    Жыл бұрын

    Siki ni Vinegar kwa kiingereza

  • @stellah3844

    @stellah3844

    Жыл бұрын

    @@audreyshame3719 Oky,,,,vp Sufa ni nini

  • @user-tg4ve8pr3y
    @user-tg4ve8pr3y9 ай бұрын

    Naomba kujua siki ninini?

  • @mwavitanshimirimana3433

    @mwavitanshimirimana3433

    Ай бұрын

    Vinegar

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Жыл бұрын

    Naomba number yako Dr hapa kwenye cmu hazionekani vizuri zimeandikwa ndogo sana

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    0715 524 946

  • @Nimah_muthoni
    @Nimah_muthoni Жыл бұрын

    Sufa n kizungu ni nini

  • @leilamuhaji7945

    @leilamuhaji7945

    Жыл бұрын

    FLAXSEED

  • @jeaninekabyahura1180
    @jeaninekabyahura1180 Жыл бұрын

    Dr Siku ni Nini?

  • @audreyshame3719

    @audreyshame3719

    Жыл бұрын

    Siki ni Vinegar kwa kiingereza

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын

    Chumvi ya mawe naweka ndani au njee?

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Жыл бұрын

    Hii siki tufafanulie vizuru, je inajina lingine ?

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    Jina lake lingine ni vinegar

  • @dumasbajun0012

    @dumasbajun0012

    Жыл бұрын

    @@kalamuMedia Dr na sufa kwa kizungu inaitwaje

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    Жыл бұрын

    @@kalamuMedia shukran.

  • @shabaniduduma8885

    @shabaniduduma8885

    Жыл бұрын

    Vineger

  • @user-wz4ed4vr3z
    @user-wz4ed4vr3z Жыл бұрын

    Naomba unielekeze mahali nitaipata wapi hio mruturutu plz Dr.

  • @vionahandrew1428
    @vionahandrew1428 Жыл бұрын

    Haki hizi better you talk in english

  • @abdallakassim9124
    @abdallakassim9124 Жыл бұрын

    Dr naweza kupata hayo mafuta ya habasoda

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    Dr Bihizi 0715 524 946

  • @salumomari609
    @salumomari609 Жыл бұрын

    Dk.naomba.dawa.ya.fangasi.mdomoni

  • @zuhuramussa3996
    @zuhuramussa3996 Жыл бұрын

    Asante sana

  • @nelsonmagoti2752

    @nelsonmagoti2752

    Жыл бұрын

    Dr Nashukuru kwa mafundisho Naomba namba yako kwa mawasliano zaidi

  • @bimdogo-cc9ho

    @bimdogo-cc9ho

    Жыл бұрын

    Flaxseed, black seed, vinger and sea salt order online in USA

  • @lidyakimaro5882
    @lidyakimaro588211 ай бұрын

    Vinapatikana wapi

Келесі