Dawa tatu bora za asili za nguvu za kiume - Dr Bihizi
Жүктеу.....
Пікірлер: 18
@kuruthumumkalawa2786 Жыл бұрын
Allah akuongoze uzidi kutuelimiaha
@kiduvishamte711611 күн бұрын
Nitumie namba yako
@sihabahusseinmdee1102 Жыл бұрын
omix ndo nini docta fafanua vizri inshaala tujue
@mildredsophia7122 Жыл бұрын
What is homixi?
@mdundotv4501 Жыл бұрын
Hizo karanga zinasagwa ama hivyo hivyo? Mkitoa Elimu hakikisheni mnanyoosha maelezo maana mtu atatumia hatoona Matokeo atahisi ninyi ni Matapeli kumbe hamjui kunyoosha maelezo.
@user-tm8nj3jv7e7 ай бұрын
Mm nipo unguja Zanzibar iyo dawa ya omiksi nemeitafuta sana huku sjaipata
@omaryally7078 ай бұрын
Dr, Omikxi, ipoje na inapatikana maduk Gani?
@AREI12 Жыл бұрын
Omiksi inapatikana wapi na ni nini hiyo
@user-re5yy1yn6g Жыл бұрын
Omixi ndo nini kaka?
@user-td9xg9xm5v3 ай бұрын
Omits ni aina gan ya dawa na inapatkana wap
@onyangokawau5184 Жыл бұрын
Dr naomba utuonyeshe hiyodawa ya omiksi
@DanielNkololo
11 күн бұрын
Nkololo daniel
@user-eo7rd9tp3e7 ай бұрын
Hii OMIX ndyo nini maana ata ukigugo haipo.
@utchudiahukapascal96833 ай бұрын
Omix ni Nini ?
@user-tm8nj3jv7e7 ай бұрын
Kwa huku tutaipataje mttabibu
@DeborahSamuel-uj2cf8 ай бұрын
Karanga unazitwanga awu
@abuuruqayyah320010 ай бұрын
Mbona hizo darsa zinakuwa kama za uchoyo hiyo omix ndio nn au basi sema unayo na utoe namba za sim zako tujue moja tu kama unauza hizo dawa kuliko kutupiga chenga tu
Пікірлер: 18
Allah akuongoze uzidi kutuelimiaha
Nitumie namba yako
omix ndo nini docta fafanua vizri inshaala tujue
What is homixi?
Hizo karanga zinasagwa ama hivyo hivyo? Mkitoa Elimu hakikisheni mnanyoosha maelezo maana mtu atatumia hatoona Matokeo atahisi ninyi ni Matapeli kumbe hamjui kunyoosha maelezo.
Mm nipo unguja Zanzibar iyo dawa ya omiksi nemeitafuta sana huku sjaipata
Dr, Omikxi, ipoje na inapatikana maduk Gani?
Omiksi inapatikana wapi na ni nini hiyo
Omixi ndo nini kaka?
Omits ni aina gan ya dawa na inapatkana wap
Dr naomba utuonyeshe hiyodawa ya omiksi
@DanielNkololo
11 күн бұрын
Nkololo daniel
Hii OMIX ndyo nini maana ata ukigugo haipo.
Omix ni Nini ?
Kwa huku tutaipataje mttabibu
Karanga unazitwanga awu
Mbona hizo darsa zinakuwa kama za uchoyo hiyo omix ndio nn au basi sema unayo na utoe namba za sim zako tujue moja tu kama unauza hizo dawa kuliko kutupiga chenga tu
@omaryally707
8 ай бұрын
Sawa kaka wambie wa funguke