Unajua kwanini mti wa Mbaazi unachukiwa na wachawi? Behind the scene Sheikh Othman akiwa Porini

Sheikh Othman Michael na Jaafar Abdulrahman wakiwa kazini Porini

Пікірлер: 181

  • @paulinakiria7918
    @paulinakiria7918Ай бұрын

    Mimi shekhe Othman Michael huwa ananifanya niipende uislam nampenda kwasababu ni mnyenyekevu sana huyu kaka mungu akutunze akupe umri mrefu kwa unyenyekevu aliokupa mungu

  • @mshauriibrahimu-ov5fq
    @mshauriibrahimu-ov5fq3 ай бұрын

    allah awaongoze inshaallah muendeleee kutupa elmuu inshaallah

  • @suleim505
    @suleim505 Жыл бұрын

    MASHALLAH : Ndiyo maana mimi maishani mwangu mimi najivunia kuwa muislamu,, MASHEKHE WETU : ALLAH AWAPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA,, na kila atakaeitikia amin

  • @KASSIMSAMAMBO

    @KASSIMSAMAMBO

    Жыл бұрын

    Hii video hata wachawi wanaangalia kwaiy wanachukua tahadhar

  • @saidothman4527

    @saidothman4527

    2 ай бұрын

    Amin

  • @KhadijaMaginya-ie1ir
    @KhadijaMaginya-ie1ir Жыл бұрын

    Allah amrehemu Huyo mzee ampe Nuru njema ktk Kaburi lake . Nawe na ustadh awape nyingi heri

  • @jumamwamreko4683
    @jumamwamreko4683 Жыл бұрын

    Asalam alaykum, shukran sana masheikh wetu kwa kutuonesha dawa za kiasili lkn hamkutuambia jina la mti huo mliouchuna! Tafadhali ningependa mtuambie jina la huo mti. Asanteni.

  • @user-uz1er8xp6h
    @user-uz1er8xp6h Жыл бұрын

    Mashallah nimeipenda sana hii Allah awape umri mrefu mashekhe wetu amin.

  • @user-mk8ph8qc9k
    @user-mk8ph8qc9k27 күн бұрын

    Shegh othman Allah bless you ❤ukiongea huna papara mardhia mashaallah nakupenda bure kaka

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe Жыл бұрын

    mashaallah ni kweli Jamani tuisome quran na tuifanyie kazi yani kunasehem ukisoma hata kama ulipon kuna wachawi wengi vihi hawahuwez kwa idhini yake Allah kupitia quran

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Жыл бұрын

    Maashaallah maashaallah shekh athman

  • @josianemavukiro4386
    @josianemavukiro4386 Жыл бұрын

    Mashaallah tabarakallah Allah akuhifadhi Sheikh Osman

  • @meekman1805
    @meekman1805 Жыл бұрын

    Jazakumullahu kheyr. Allah akulipeni kheri mufanye tiba kwa ajili ya Allah. Aaamin

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 Жыл бұрын

    Mashaallah Mwenyzi awahifadhi mpaka pumzi zenu za mwisho inshaallah

  • @mwanaikaomar8628

    @mwanaikaomar8628

    Жыл бұрын

    Aamin

  • @saidothman4527

    @saidothman4527

    2 ай бұрын

    Amin

  • @assinaassina1177
    @assinaassina1177 Жыл бұрын

    Shukran ma sheikh Allah awazidishiye kila lakheri

  • @mommywarda5529
    @mommywarda5529 Жыл бұрын

    Aa shukran jazakallah kheir nahitaji sanaa tu kufanyiwa dawa sijui lini muniambie sheikh Othman na sheikh jaffar

  • @user-de2xb8ic1v
    @user-de2xb8ic1v Жыл бұрын

    Aslam aleyku sheykh othman mungu akuhifadhi inshaa allah❤

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 Жыл бұрын

    Asante Sana Allah akulipeni Duniani na akhera inshallah

  • @badihamisi1012
    @badihamisi1012 Жыл бұрын

    Sheikhuna, assalaam aleiqum, w,llahi wabaraqaatuh, shuqran wallah kwa tiba nzuri kabisa na nazidi kufwatilia ila nna swali kidogo, je huu mbaazi wenye wamaanisha nihuu wenye sisi wakenya twaufahamu au nigani labda kiuhalisia, afwan.

  • @emmysam7938
    @emmysam793811 ай бұрын

    Amen watumishi wa MUNGU ❤

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын

    Mashallah tabaraka llah 🥰🌹❤️❤️❤️

  • @rashidimrangi1953
    @rashidimrangi1953 Жыл бұрын

    Shekhe nakupnd san ndugu yangu kwajili ya allah jalla jallalli allah akupe uzima na umri mrefu inshaalalh

  • @khadeejahrashid3177
    @khadeejahrashid3177 Жыл бұрын

    Masha Allah, sheikh mm nahitaji unitumie huo mti Kenya, ama nije tz kuonana nawe na kuuchukua

  • @makebakelly9935
    @makebakelly9935Ай бұрын

    Shehe mimi ni mkenya naumba duwa biashara yangu sipati wateja,,,mambo yangu yote yamekwama.mtoto wangu pia akaa msisha ya kung'ang"ana hadi hawezi nisaidia .naomba dua kwa heshima zote milango yangu ifunguke.

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Жыл бұрын

    Mashaallah ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️

  • @HalimixHamix
    @HalimixHamixАй бұрын

    Shehe nakuelewa Sana katika tiba kuliko dr sule wallah,,,na Alhamdulillah haina majigambo

  • @SamuelKobia-iy3fs
    @SamuelKobia-iy3fs6 ай бұрын

    mashaallah,allah,awalipe,ningepeda,dawa,yenu

  • @MwaishambaKipanga-bu9sz
    @MwaishambaKipanga-bu9sz Жыл бұрын

    Allah mubariq shehe wang

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Жыл бұрын

    Shukraan sana mashekhe zetu Allah awajaalie pepo❤❤❤

  • @mwanaikaomar8628

    @mwanaikaomar8628

    Жыл бұрын

    Aamin na ss

  • @jasminyabdully499
    @jasminyabdully499 Жыл бұрын

    Maashallah tabaraqallah

  • @amenamaashaallahyasheikh3457
    @amenamaashaallahyasheikh3457 Жыл бұрын

    Maa sha Allah

  • @alimzee
    @alimzee Жыл бұрын

    Shukran 🙏🙏

  • @mrokay1time958
    @mrokay1time95816 күн бұрын

    Nihatariii poleeeeniii saaaanaaaa saaanaaa

  • @aminatakhamis3390
    @aminatakhamis3390 Жыл бұрын

    Mashallah tabarakallah

  • @lallylasly2074
    @lallylasly2074 Жыл бұрын

    Asalam.aleykum shukrann sn SHEIKH othmann ila nashid naww nakupataj

  • @kyaraal2155
    @kyaraal2155 Жыл бұрын

    Mansha Allah

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi vipenxi va Allah

  • @SamaduIdrisa-kp6uh
    @SamaduIdrisa-kp6uh Жыл бұрын

    Masha allah

  • @salmashinna7705
    @salmashinna7705 Жыл бұрын

    MashaAllah Allah awazidishie Kila la kheir

  • @mealii5793
    @mealii5793 Жыл бұрын

    Assalamualaikum warahmatulah wabarakatuh shekhe naomba utuonyeshe na majani yake pia😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @HassanNgao_254

    @HassanNgao_254

    Жыл бұрын

    Kweli kwa sababu hatujui huo mti vzr

  • @user-de2xb8ic1v
    @user-de2xb8ic1v Жыл бұрын

    Mimi natamani nikuone mwanangu lakini mie ni mgonjwa sijui nitafanya nini

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 Жыл бұрын

    Aslm alykum warahamtulah wabaraktuh masheikh wetu ...naomba mtufungue macho huo mti mkuu jina lengine ...unaitwaje,,,tumeskia mkunazi Masha Allah iko tele kwetu Kenya ila huo mti mkuu kwa jina lengine mutuambie tafadhalini ili tukomeshe wachawi apa kitaa Cha kwangu balaa atari wako tele....

  • @SalimSalim-ec9jo

    @SalimSalim-ec9jo

    Жыл бұрын

    Mbaazi

  • @aminabdalla7824

    @aminabdalla7824

    Жыл бұрын

    @@SalimSalim-ec9jo Shukran sheikh salim

  • @HassanNgao_254

    @HassanNgao_254

    Жыл бұрын

    @@SalimSalim-ec9jo mbaazi unaozaa mbaazi ama

  • @AhmedNaswagi
    @AhmedNaswagi7 күн бұрын

    Jina lamuti sheikh

  • @latifaSeleman-bh8lz
    @latifaSeleman-bh8lz29 күн бұрын

    Mashaallah

  • @user-nu7qx2td1t
    @user-nu7qx2td1t Жыл бұрын

    Asalamu alekum sheikh athuman sheikh jaifar nikepenada sana kumualeza sheikh athaman sheikh mm nimejaribi sana kuwasiliyana na ww hatanikafukasafari kujahuko lakini nalupofika Dar salam mawasiliyano mm na ww ikabadilika sauti ikawa si ww na nalio abiwa nifane yalinishaza sana so vip kukupata

  • @nasilmatichomes1949
    @nasilmatichomes1949 Жыл бұрын

    Masha'allah jazaka'allah kheyr,Allah awaongezeni umri

  • @mejumaashabani203
    @mejumaashabani203 Жыл бұрын

    Asalam aleyku sheykh mungu akulinde

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын

    Bismillah maishaallah Asanteni kwa elimu masheikh zanguu,lakini Kuna kitu kinaniumiza kichwa kuhusu kuoga maziwa sio Haram?kwa akili yangu Naona kama chakula naharibu,😢nitoweni huu wasiwasi inshallah

  • @wardawardaarshad
    @wardawardaarshad Жыл бұрын

    Asalam aleykum Allah awahifazi nakila shari nauliza kidogo jee huo mti dukani unapatikana na km upo unaitwaje

  • @user-gf5tw7fw7t
    @user-gf5tw7fw7t Жыл бұрын

    Allah akuongoze

  • @tawadudihaji3907
    @tawadudihaji3907 Жыл бұрын

    Situnambiwa tiba hyo ni ushirikina vp leo watupo elmu hyo niweke wazi sheikh kipenzi wetu mwalimu wetu

  • @maryamhamad3485
    @maryamhamad3485 Жыл бұрын

    Allah qareem

  • @neemahassan5726
    @neemahassan57263 ай бұрын

    Asalam Aleikum sheikh naomb jina la huo mti naomb sana

  • @ALLYMTAWATAWA
    @ALLYMTAWATAWAАй бұрын

    Assalam alaykum Allah awalipe heri

  • @naomiapoko9404
    @naomiapoko9404 Жыл бұрын

    Marshall

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Жыл бұрын

    Tumeona mambo ya dawa Masha Allah

  • @user-xu8qj4by3u
    @user-xu8qj4by3u10 ай бұрын

    Mungu awajalieni kwakutufahamisha mungu atupe maisha malefu

  • @emaMateru

    @emaMateru

    2 ай бұрын

    Ninaamini sheh wachawi wabayasana

  • @mateusvianovaaraujo
    @mateusvianovaaraujo Жыл бұрын

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 Жыл бұрын

    Kweli kila maradhi yana dawa naamini sana hilo hata ukimwi unadawa zake za kiasili

  • @rashidswalehmwanjama3404
    @rashidswalehmwanjama3404 Жыл бұрын

    Assalamu Alykum warahmatulah waabarakatuh n mbaaz gani huu

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @salmamohammed2986
    @salmamohammed29866 ай бұрын

    Asalam aleikum mawaidha mazuri❤❤❤❤❤😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @salmashinna7705
    @salmashinna7705 Жыл бұрын

    Asalmkum shekh hapo kuoga na maziwa ya faa

  • @user-rk9vj7rl8g
    @user-rk9vj7rl8g26 күн бұрын

    Usthad mm niko na mwanangu yuko na shida ya kuongeaakiongea leo ywaeza chukuwa siku tano ndipo aongee je naezafanyaje naomba unisaidiye

  • @mrokay1time958
    @mrokay1time95816 күн бұрын

    Kwa mihangahiko ya dawaaaaa

  • @iphermayd
    @iphermayd Жыл бұрын

    Mtu mkuu n mvujee ama

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 Жыл бұрын

    Tunaomba mtupe jina lengine kuhusu huo mti mkuu masheikh wetu wachawi washenzi Sana ili tuwachepe vibao usiku na wao..... Allah anatulinda twashkuru 🙏......... Allah awalipe kheri fii dunia Wal akhera 🤲

  • @rahmahabibu1432

    @rahmahabibu1432

    Жыл бұрын

    Kwel tunateseka n mti hatujaujua

  • @user-eg4yo8fr3q

    @user-eg4yo8fr3q

    Жыл бұрын

    Jina lake ni mkuyu

  • @user-wf6nq2oc8p

    @user-wf6nq2oc8p

    3 ай бұрын

    Mkuyu hapana bana

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    2 ай бұрын

    Jamani mm najua miti paka basii yani nimewafwatilia Sana wataalamu ni mchanganya madawa mpaka yani mm Leo waganga na piganao tu story

  • @user-pw2sw1sk1b

    @user-pw2sw1sk1b

    Ай бұрын

    Amiin waallay daaaa wanaboa

  • @tobiusjtz7607
    @tobiusjtz7607 Жыл бұрын

    Ukwl mtupu

  • @Shumy-nw6rm
    @Shumy-nw6rm10 ай бұрын

    Asalam aleikum unaweza kuchemsha mizizi ya mbaazi ukanywa ikasaidia kuponesha tumbo la chango

  • @meekman1805
    @meekman1805 Жыл бұрын

    Sheikh tueleze matumizi ya mbaazi kufukuzia majini au wachawi.

  • @Mposa-ds5yq
    @Mposa-ds5yqАй бұрын

    English please

  • @user-iw6ut6sp8f
    @user-iw6ut6sp8f Жыл бұрын

    Shekhe. Unga wakutowa jini mahab nko Mombasa ni pesa ngapi tafadhali

  • @fabianmkimbu880
    @fabianmkimbu880 Жыл бұрын

    Hayo mambo ni ya kishirikina na nimpango wa shetani siyo mpango wa Mungu,mtafuteni Mungu wa kweli uchawi au mapepo hayatakupata.jina la Yesu linatosha maana yeye ndiyo kila kitu.

  • @thesonstv786

    @thesonstv786

    Жыл бұрын

    Akili yenu sijui mnapeleka wapi

  • @user-ip3vq7rg1n

    @user-ip3vq7rg1n

    11 ай бұрын

    Imenibd nicheke😂😂😂

  • @annalugano5246
    @annalugano52463 ай бұрын

    Mbona hamtaji jina la mti

  • @rashidmohamed4051
    @rashidmohamed4051Ай бұрын

    Sasa huu kwtu Kenya tuaupata VIP na hatujui

  • @aminasuleimanmohammed4487
    @aminasuleimanmohammed4487 Жыл бұрын

    Asalam alaykum warahmatullah shekhe jafar mm Nina matatizo lkn sio sahiihi kuongea ktk public media nahitaji no yako au ya shekh maiko

  • @nuriahussen2160
    @nuriahussen2160 Жыл бұрын

    Assalam caleikum sheikh tuletee huu mti Kenya iA

  • @neemahassan5726

    @neemahassan5726

    3 ай бұрын

    Asalam Aleikum sheikh Allah barik

  • @hidayah3405
    @hidayah3405 Жыл бұрын

    Hawa anatesema sana na nyinyi mwajua fumbuo la maradhi yake na nimuuislamu kama nyinyi 4yrs kila siku maumivu tuu hana raha kabisa tunachanga anabasuliwa kila siku lakin hakuna matumaini mbona musiende mujamsaidia na kama mwataka pesa tuko tayari kuchanga tuwalipe basi lakin muokoeni

  • @mwajabuhassan4673

    @mwajabuhassan4673

    3 ай бұрын

    Anasumbuliwa na nini huyo hawa?

  • @samiath-hr6mt
    @samiath-hr6mt2 ай бұрын

    tunaomba jina la mti

  • @IssaAlly-lj3iq
    @IssaAlly-lj3iq2 ай бұрын

    Tunawaomba mututajie jina lake

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 Жыл бұрын

    Mti mkuu hauna jina lengine

  • @user-cz6mr1wd4p
    @user-cz6mr1wd4p11 ай бұрын

    Nahisi mti mkuu ni mbaazi

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling4738 Жыл бұрын

    Asalam Alaekum. Shekhe setu. Naomba jina jingine la huu mti mkuu....Sasa sijajua nimkunazi au vp

  • @user-dc7do7dv8k
    @user-dc7do7dv8k Жыл бұрын

    Huo mkunazi ndio unaitwa mti mkuuu

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын

    Tunaomba number za simu

  • @drpaulfullstop1332
    @drpaulfullstop1332 Жыл бұрын

    Mnadaganya nyinyi io ni mti ya mbaazi mmeshika ama doo kumbwa sana

  • @nehemiaayo9527
    @nehemiaayo9527 Жыл бұрын

    Mmmm hii siyo ni uchawi tu Kama uchawi mwingine Ukweli ni kwamba jina la Yesu ni top katika ushirikina asilimia kubwa uwo Ukweli amtaki kuusikia ila ndivyo ilivyo

  • @ramadhanshabani9736

    @ramadhanshabani9736

    Жыл бұрын

    Ukweli gani?.

  • @user-ez4df7qg2f

    @user-ez4df7qg2f

    2 ай бұрын

    Na huuu ukweli wa kua issa n prophet si mungu kwa mana mungu hakuzaa wala hakuzaliwa kwanini usiuamini

  • @saebajoma8419
    @saebajoma8419 Жыл бұрын

    Alhamdulillah nashukru Kwangu nimeipanda mingi km mboga ila nimeipanda km maua au wingi kumbe nikinga 🙏

  • @saidmasika8738

    @saidmasika8738

    Жыл бұрын

    ni mti ngani uo

  • @saebajoma8419

    @saebajoma8419

    Жыл бұрын

    @@saidmasika8738 hujawahi kula mbaazi hata kwawali jmn

  • @mwanaikaomar8628

    @mwanaikaomar8628

    Жыл бұрын

    ​@@saebajoma8419😂😂😂😂

  • @ShabaniAlly-kz7ov

    @ShabaniAlly-kz7ov

    Жыл бұрын

    Ndugu @Saebajomba,usichanganye madawa huo mti alouzungumzia zaidi siyo mbaaz na naimani haupandwi ni mti pori....japo na mbaaz pia katoa sifa take na miti mingine,,, inshallah nilikuwa nakukumbusha hilo tu

  • @ShabaniAlly-kz7ov

    @ShabaniAlly-kz7ov

    Жыл бұрын

    Yani mti ulochimbwa hapo siyo mbaaz japo na mbaaz umeelezewa faida zake

  • @user-to5pz8tu6f
    @user-to5pz8tu6f4 ай бұрын

    Huo mti unaitwa na unapatikana wap na wap samahan naomben majibu

  • @rehemaedward9494
    @rehemaedward9494 Жыл бұрын

    shekhe Othuman nkufuatilia sana ,naomba namba zako nauguliwa na mzaz wangu Baba,ili umsaidie

  • @jasminyabdully499

    @jasminyabdully499

    Жыл бұрын

    Namba yake ni hio insyoonekana katika screen

  • @mswakisaid2320

    @mswakisaid2320

    Жыл бұрын

    Namba zake si hizo hapo kwenye video? Au wataka namba gani?

  • @AtilioKigahe-pp1ep

    @AtilioKigahe-pp1ep

    Жыл бұрын

    @@mswakisaid2320 hizo namba Hadi matapeli wanatumia video hizi za watu wa mungu kutapeli watu

  • @nawandafamito500
    @nawandafamito500 Жыл бұрын

    Mwanga jini ni, kivumbasi.

  • @athumanidido3038

    @athumanidido3038

    3 ай бұрын

    Muinga jini

  • @MaaneML
    @MaaneML Жыл бұрын

    Mbona mti wenyewe hamuuonyeshi

  • @barakamwamba288

    @barakamwamba288

    Жыл бұрын

    Haaa

  • @user-uz1er8xp6h
    @user-uz1er8xp6h Жыл бұрын

    yenye kheri na baraka ?

  • @Estherkaidza-zq3ed
    @Estherkaidza-zq3ed Жыл бұрын

    huo mti ntaupata vp.

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын

    👍🏽🙏💪👏

  • @bwanajared9254
    @bwanajared925411 ай бұрын

    Msaada wako ni upi sisi tunataka hiyo dawa

  • @catherinemhagama7505
    @catherinemhagama7505 Жыл бұрын

    Mie nipo Songea naomba namba ya simu niweze kuwasaidia nawe

  • @Alicia12343
    @Alicia12343 Жыл бұрын

    Nawezaje kupata kuwasiliana nanyi nahitaji msaada wa dawa hiyo

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 Жыл бұрын

    Jina la mti huo kwa kiswahili unaitwaje nasi tulo mbali tujisaidie tafadhali sheikh wangu naomba utujimbu tujue maana nasi pia tuna madhila sheikh please.

  • @hasinaalrahbi6681
    @hasinaalrahbi6681 Жыл бұрын

    Kwa mtizamo wangu huu sio mbaazi

  • @kimamybeautypoint9656

    @kimamybeautypoint9656

    Жыл бұрын

    kweli kbs nmebaki naukagua

  • @HassanNgao_254

    @HassanNgao_254

    Жыл бұрын

    Ata sielewi pia mm ama ni mbaazi gani 🤔🤔

  • @user-dc7do7dv8k
    @user-dc7do7dv8k Жыл бұрын

    Ama ni huo mbaazi

  • @kabayesankula7895
    @kabayesankula7895 Жыл бұрын

    Shekhe Namba ya simu nahitaji

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    +255784122858

Келесі