Unajua kwanini mti wa Mbaazi unachukiwa na wachawi? Behind the scene Sheikh Othman akiwa Porini
Sheikh Othman Michael na Jaafar Abdulrahman wakiwa kazini Porini
Жүктеу.....
Пікірлер: 181
@paulinakiria7918Ай бұрын
Mimi shekhe Othman Michael huwa ananifanya niipende uislam nampenda kwasababu ni mnyenyekevu sana huyu kaka mungu akutunze akupe umri mrefu kwa unyenyekevu aliokupa mungu
@mshauriibrahimu-ov5fq3 ай бұрын
allah awaongoze inshaallah muendeleee kutupa elmuu inshaallah
@suleim505 Жыл бұрын
MASHALLAH : Ndiyo maana mimi maishani mwangu mimi najivunia kuwa muislamu,, MASHEKHE WETU : ALLAH AWAPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA,, na kila atakaeitikia amin
@KASSIMSAMAMBO
Жыл бұрын
Hii video hata wachawi wanaangalia kwaiy wanachukua tahadhar
@saidothman4527
2 ай бұрын
Amin
@KhadijaMaginya-ie1ir Жыл бұрын
Allah amrehemu Huyo mzee ampe Nuru njema ktk Kaburi lake . Nawe na ustadh awape nyingi heri
@jumamwamreko4683 Жыл бұрын
Asalam alaykum, shukran sana masheikh wetu kwa kutuonesha dawa za kiasili lkn hamkutuambia jina la mti huo mliouchuna! Tafadhali ningependa mtuambie jina la huo mti. Asanteni.
@user-uz1er8xp6h Жыл бұрын
Mashallah nimeipenda sana hii Allah awape umri mrefu mashekhe wetu amin.
@user-mk8ph8qc9k27 күн бұрын
Shegh othman Allah bless you ❤ukiongea huna papara mardhia mashaallah nakupenda bure kaka
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
mashaallah ni kweli Jamani tuisome quran na tuifanyie kazi yani kunasehem ukisoma hata kama ulipon kuna wachawi wengi vihi hawahuwez kwa idhini yake Allah kupitia quran
@piliramadan875 Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah shekh athman
@josianemavukiro4386 Жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah Allah akuhifadhi Sheikh Osman
@meekman1805 Жыл бұрын
Jazakumullahu kheyr. Allah akulipeni kheri mufanye tiba kwa ajili ya Allah. Aaamin
@ashalaurent2465 Жыл бұрын
Mashaallah Mwenyzi awahifadhi mpaka pumzi zenu za mwisho inshaallah
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
Aamin
@saidothman4527
2 ай бұрын
Amin
@assinaassina1177 Жыл бұрын
Shukran ma sheikh Allah awazidishiye kila lakheri
@mommywarda5529 Жыл бұрын
Aa shukran jazakallah kheir nahitaji sanaa tu kufanyiwa dawa sijui lini muniambie sheikh Othman na sheikh jaffar
@user-de2xb8ic1v Жыл бұрын
Aslam aleyku sheykh othman mungu akuhifadhi inshaa allah❤
@aminaamina3972 Жыл бұрын
Asante Sana Allah akulipeni Duniani na akhera inshallah
@badihamisi1012 Жыл бұрын
Sheikhuna, assalaam aleiqum, w,llahi wabaraqaatuh, shuqran wallah kwa tiba nzuri kabisa na nazidi kufwatilia ila nna swali kidogo, je huu mbaazi wenye wamaanisha nihuu wenye sisi wakenya twaufahamu au nigani labda kiuhalisia, afwan.
@emmysam793811 ай бұрын
Amen watumishi wa MUNGU ❤
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Mashallah tabaraka llah 🥰🌹❤️❤️❤️
@rashidimrangi1953 Жыл бұрын
Shekhe nakupnd san ndugu yangu kwajili ya allah jalla jallalli allah akupe uzima na umri mrefu inshaalalh
@khadeejahrashid3177 Жыл бұрын
Masha Allah, sheikh mm nahitaji unitumie huo mti Kenya, ama nije tz kuonana nawe na kuuchukua
@makebakelly9935Ай бұрын
Shehe mimi ni mkenya naumba duwa biashara yangu sipati wateja,,,mambo yangu yote yamekwama.mtoto wangu pia akaa msisha ya kung'ang"ana hadi hawezi nisaidia .naomba dua kwa heshima zote milango yangu ifunguke.
@hassansammy1076 Жыл бұрын
Mashaallah ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
@HalimixHamixАй бұрын
Shehe nakuelewa Sana katika tiba kuliko dr sule wallah,,,na Alhamdulillah haina majigambo
@SamuelKobia-iy3fs6 ай бұрын
mashaallah,allah,awalipe,ningepeda,dawa,yenu
@MwaishambaKipanga-bu9sz Жыл бұрын
Allah mubariq shehe wang
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
Shukraan sana mashekhe zetu Allah awajaalie pepo❤❤❤
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
Aamin na ss
@jasminyabdully499 Жыл бұрын
Maashallah tabaraqallah
@amenamaashaallahyasheikh3457 Жыл бұрын
Maa sha Allah
@alimzee Жыл бұрын
Shukran 🙏🙏
@mrokay1time95816 күн бұрын
Nihatariii poleeeeniii saaaanaaaa saaanaaa
@aminatakhamis3390 Жыл бұрын
Mashallah tabarakallah
@lallylasly2074 Жыл бұрын
Asalam.aleykum shukrann sn SHEIKH othmann ila nashid naww nakupataj
@kyaraal2155 Жыл бұрын
Mansha Allah
@faridaiddi104 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi vipenxi va Allah
@SamaduIdrisa-kp6uh Жыл бұрын
Masha allah
@salmashinna7705 Жыл бұрын
MashaAllah Allah awazidishie Kila la kheir
@mealii5793 Жыл бұрын
Assalamualaikum warahmatulah wabarakatuh shekhe naomba utuonyeshe na majani yake pia😢😢😢😢😢😢😢😢
@HassanNgao_254
Жыл бұрын
Kweli kwa sababu hatujui huo mti vzr
@user-de2xb8ic1v Жыл бұрын
Mimi natamani nikuone mwanangu lakini mie ni mgonjwa sijui nitafanya nini
@aminabdalla7824 Жыл бұрын
Aslm alykum warahamtulah wabaraktuh masheikh wetu ...naomba mtufungue macho huo mti mkuu jina lengine ...unaitwaje,,,tumeskia mkunazi Masha Allah iko tele kwetu Kenya ila huo mti mkuu kwa jina lengine mutuambie tafadhalini ili tukomeshe wachawi apa kitaa Cha kwangu balaa atari wako tele....
@SalimSalim-ec9jo
Жыл бұрын
Mbaazi
@aminabdalla7824
Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo Shukran sheikh salim
@HassanNgao_254
Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo mbaazi unaozaa mbaazi ama
@AhmedNaswagi7 күн бұрын
Jina lamuti sheikh
@latifaSeleman-bh8lz29 күн бұрын
Mashaallah
@user-nu7qx2td1t Жыл бұрын
Asalamu alekum sheikh athuman sheikh jaifar nikepenada sana kumualeza sheikh athaman sheikh mm nimejaribi sana kuwasiliyana na ww hatanikafukasafari kujahuko lakini nalupofika Dar salam mawasiliyano mm na ww ikabadilika sauti ikawa si ww na nalio abiwa nifane yalinishaza sana so vip kukupata
@nasilmatichomes1949 Жыл бұрын
Masha'allah jazaka'allah kheyr,Allah awaongezeni umri
@mejumaashabani203 Жыл бұрын
Asalam aleyku sheykh mungu akulinde
@kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын
Bismillah maishaallah Asanteni kwa elimu masheikh zanguu,lakini Kuna kitu kinaniumiza kichwa kuhusu kuoga maziwa sio Haram?kwa akili yangu Naona kama chakula naharibu,😢nitoweni huu wasiwasi inshallah
@wardawardaarshad Жыл бұрын
Asalam aleykum Allah awahifazi nakila shari nauliza kidogo jee huo mti dukani unapatikana na km upo unaitwaje
@user-gf5tw7fw7t Жыл бұрын
Allah akuongoze
@tawadudihaji3907 Жыл бұрын
Situnambiwa tiba hyo ni ushirikina vp leo watupo elmu hyo niweke wazi sheikh kipenzi wetu mwalimu wetu
@maryamhamad3485 Жыл бұрын
Allah qareem
@neemahassan57263 ай бұрын
Asalam Aleikum sheikh naomb jina la huo mti naomb sana
@ALLYMTAWATAWAАй бұрын
Assalam alaykum Allah awalipe heri
@naomiapoko9404 Жыл бұрын
Marshall
@piliramadan875 Жыл бұрын
Tumeona mambo ya dawa Masha Allah
@user-xu8qj4by3u10 ай бұрын
Mungu awajalieni kwakutufahamisha mungu atupe maisha malefu
@emaMateru
2 ай бұрын
Ninaamini sheh wachawi wabayasana
@mateusvianovaaraujo Жыл бұрын
❤
@assfzainab912 Жыл бұрын
Kweli kila maradhi yana dawa naamini sana hilo hata ukimwi unadawa zake za kiasili
@rashidswalehmwanjama3404 Жыл бұрын
Assalamu Alykum warahmatulah waabarakatuh n mbaaz gani huu
@blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@salmamohammed29866 ай бұрын
Asalam aleikum mawaidha mazuri❤❤❤❤❤😂😂🎉🎉🎉🎉
@salmashinna7705 Жыл бұрын
Asalmkum shekh hapo kuoga na maziwa ya faa
@user-rk9vj7rl8g26 күн бұрын
Usthad mm niko na mwanangu yuko na shida ya kuongeaakiongea leo ywaeza chukuwa siku tano ndipo aongee je naezafanyaje naomba unisaidiye
@mrokay1time95816 күн бұрын
Kwa mihangahiko ya dawaaaaa
@iphermayd Жыл бұрын
Mtu mkuu n mvujee ama
@aminabdalla7824 Жыл бұрын
Tunaomba mtupe jina lengine kuhusu huo mti mkuu masheikh wetu wachawi washenzi Sana ili tuwachepe vibao usiku na wao..... Allah anatulinda twashkuru 🙏......... Allah awalipe kheri fii dunia Wal akhera 🤲
@rahmahabibu1432
Жыл бұрын
Kwel tunateseka n mti hatujaujua
@user-eg4yo8fr3q
Жыл бұрын
Jina lake ni mkuyu
@user-wf6nq2oc8p
3 ай бұрын
Mkuyu hapana bana
@deogratiusyudatadei5658
2 ай бұрын
Jamani mm najua miti paka basii yani nimewafwatilia Sana wataalamu ni mchanganya madawa mpaka yani mm Leo waganga na piganao tu story
@user-pw2sw1sk1b
Ай бұрын
Amiin waallay daaaa wanaboa
@tobiusjtz7607 Жыл бұрын
Ukwl mtupu
@Shumy-nw6rm10 ай бұрын
Asalam aleikum unaweza kuchemsha mizizi ya mbaazi ukanywa ikasaidia kuponesha tumbo la chango
@meekman1805 Жыл бұрын
Sheikh tueleze matumizi ya mbaazi kufukuzia majini au wachawi.
@Mposa-ds5yqАй бұрын
English please
@user-iw6ut6sp8f Жыл бұрын
Shekhe. Unga wakutowa jini mahab nko Mombasa ni pesa ngapi tafadhali
@fabianmkimbu880 Жыл бұрын
Hayo mambo ni ya kishirikina na nimpango wa shetani siyo mpango wa Mungu,mtafuteni Mungu wa kweli uchawi au mapepo hayatakupata.jina la Yesu linatosha maana yeye ndiyo kila kitu.
@thesonstv786
Жыл бұрын
Akili yenu sijui mnapeleka wapi
@user-ip3vq7rg1n
11 ай бұрын
Imenibd nicheke😂😂😂
@annalugano52463 ай бұрын
Mbona hamtaji jina la mti
@rashidmohamed4051Ай бұрын
Sasa huu kwtu Kenya tuaupata VIP na hatujui
@aminasuleimanmohammed4487 Жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah shekhe jafar mm Nina matatizo lkn sio sahiihi kuongea ktk public media nahitaji no yako au ya shekh maiko
@nuriahussen2160 Жыл бұрын
Assalam caleikum sheikh tuletee huu mti Kenya iA
@neemahassan5726
3 ай бұрын
Asalam Aleikum sheikh Allah barik
@hidayah3405 Жыл бұрын
Hawa anatesema sana na nyinyi mwajua fumbuo la maradhi yake na nimuuislamu kama nyinyi 4yrs kila siku maumivu tuu hana raha kabisa tunachanga anabasuliwa kila siku lakin hakuna matumaini mbona musiende mujamsaidia na kama mwataka pesa tuko tayari kuchanga tuwalipe basi lakin muokoeni
@mwajabuhassan4673
3 ай бұрын
Anasumbuliwa na nini huyo hawa?
@samiath-hr6mt2 ай бұрын
tunaomba jina la mti
@IssaAlly-lj3iq2 ай бұрын
Tunawaomba mututajie jina lake
@shifaazawadi4438 Жыл бұрын
Mti mkuu hauna jina lengine
@user-cz6mr1wd4p11 ай бұрын
Nahisi mti mkuu ni mbaazi
@hashtagdarling4738 Жыл бұрын
Asalam Alaekum. Shekhe setu. Naomba jina jingine la huu mti mkuu....Sasa sijajua nimkunazi au vp
@user-dc7do7dv8k Жыл бұрын
Huo mkunazi ndio unaitwa mti mkuuu
@blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын
Tunaomba number za simu
@drpaulfullstop1332 Жыл бұрын
Mnadaganya nyinyi io ni mti ya mbaazi mmeshika ama doo kumbwa sana
@nehemiaayo9527 Жыл бұрын
Mmmm hii siyo ni uchawi tu Kama uchawi mwingine Ukweli ni kwamba jina la Yesu ni top katika ushirikina asilimia kubwa uwo Ukweli amtaki kuusikia ila ndivyo ilivyo
@ramadhanshabani9736
Жыл бұрын
Ukweli gani?.
@user-ez4df7qg2f
2 ай бұрын
Na huuu ukweli wa kua issa n prophet si mungu kwa mana mungu hakuzaa wala hakuzaliwa kwanini usiuamini
@saebajoma8419 Жыл бұрын
Alhamdulillah nashukru Kwangu nimeipanda mingi km mboga ila nimeipanda km maua au wingi kumbe nikinga 🙏
@saidmasika8738
Жыл бұрын
ni mti ngani uo
@saebajoma8419
Жыл бұрын
@@saidmasika8738 hujawahi kula mbaazi hata kwawali jmn
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
@@saebajoma8419😂😂😂😂
@ShabaniAlly-kz7ov
Жыл бұрын
Ndugu @Saebajomba,usichanganye madawa huo mti alouzungumzia zaidi siyo mbaaz na naimani haupandwi ni mti pori....japo na mbaaz pia katoa sifa take na miti mingine,,, inshallah nilikuwa nakukumbusha hilo tu
@ShabaniAlly-kz7ov
Жыл бұрын
Yani mti ulochimbwa hapo siyo mbaaz japo na mbaaz umeelezewa faida zake
@user-to5pz8tu6f4 ай бұрын
Huo mti unaitwa na unapatikana wap na wap samahan naomben majibu
@rehemaedward9494 Жыл бұрын
shekhe Othuman nkufuatilia sana ,naomba namba zako nauguliwa na mzaz wangu Baba,ili umsaidie
@jasminyabdully499
Жыл бұрын
Namba yake ni hio insyoonekana katika screen
@mswakisaid2320
Жыл бұрын
Namba zake si hizo hapo kwenye video? Au wataka namba gani?
@AtilioKigahe-pp1ep
Жыл бұрын
@@mswakisaid2320 hizo namba Hadi matapeli wanatumia video hizi za watu wa mungu kutapeli watu
@nawandafamito500 Жыл бұрын
Mwanga jini ni, kivumbasi.
@athumanidido3038
3 ай бұрын
Muinga jini
@MaaneML Жыл бұрын
Mbona mti wenyewe hamuuonyeshi
@barakamwamba288
Жыл бұрын
Haaa
@user-uz1er8xp6h Жыл бұрын
yenye kheri na baraka ?
@Estherkaidza-zq3ed Жыл бұрын
huo mti ntaupata vp.
@blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын
👍🏽🙏💪👏
@bwanajared925411 ай бұрын
Msaada wako ni upi sisi tunataka hiyo dawa
@catherinemhagama7505 Жыл бұрын
Mie nipo Songea naomba namba ya simu niweze kuwasaidia nawe
@Alicia12343 Жыл бұрын
Nawezaje kupata kuwasiliana nanyi nahitaji msaada wa dawa hiyo
@faiqaanwar7268 Жыл бұрын
Jina la mti huo kwa kiswahili unaitwaje nasi tulo mbali tujisaidie tafadhali sheikh wangu naomba utujimbu tujue maana nasi pia tuna madhila sheikh please.
Пікірлер: 181
Mimi shekhe Othman Michael huwa ananifanya niipende uislam nampenda kwasababu ni mnyenyekevu sana huyu kaka mungu akutunze akupe umri mrefu kwa unyenyekevu aliokupa mungu
allah awaongoze inshaallah muendeleee kutupa elmuu inshaallah
MASHALLAH : Ndiyo maana mimi maishani mwangu mimi najivunia kuwa muislamu,, MASHEKHE WETU : ALLAH AWAPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA,, na kila atakaeitikia amin
@KASSIMSAMAMBO
Жыл бұрын
Hii video hata wachawi wanaangalia kwaiy wanachukua tahadhar
@saidothman4527
2 ай бұрын
Amin
Allah amrehemu Huyo mzee ampe Nuru njema ktk Kaburi lake . Nawe na ustadh awape nyingi heri
Asalam alaykum, shukran sana masheikh wetu kwa kutuonesha dawa za kiasili lkn hamkutuambia jina la mti huo mliouchuna! Tafadhali ningependa mtuambie jina la huo mti. Asanteni.
Mashallah nimeipenda sana hii Allah awape umri mrefu mashekhe wetu amin.
Shegh othman Allah bless you ❤ukiongea huna papara mardhia mashaallah nakupenda bure kaka
mashaallah ni kweli Jamani tuisome quran na tuifanyie kazi yani kunasehem ukisoma hata kama ulipon kuna wachawi wengi vihi hawahuwez kwa idhini yake Allah kupitia quran
Maashaallah maashaallah shekh athman
Mashaallah tabarakallah Allah akuhifadhi Sheikh Osman
Jazakumullahu kheyr. Allah akulipeni kheri mufanye tiba kwa ajili ya Allah. Aaamin
Mashaallah Mwenyzi awahifadhi mpaka pumzi zenu za mwisho inshaallah
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
Aamin
@saidothman4527
2 ай бұрын
Amin
Shukran ma sheikh Allah awazidishiye kila lakheri
Aa shukran jazakallah kheir nahitaji sanaa tu kufanyiwa dawa sijui lini muniambie sheikh Othman na sheikh jaffar
Aslam aleyku sheykh othman mungu akuhifadhi inshaa allah❤
Asante Sana Allah akulipeni Duniani na akhera inshallah
Sheikhuna, assalaam aleiqum, w,llahi wabaraqaatuh, shuqran wallah kwa tiba nzuri kabisa na nazidi kufwatilia ila nna swali kidogo, je huu mbaazi wenye wamaanisha nihuu wenye sisi wakenya twaufahamu au nigani labda kiuhalisia, afwan.
Amen watumishi wa MUNGU ❤
Mashallah tabaraka llah 🥰🌹❤️❤️❤️
Shekhe nakupnd san ndugu yangu kwajili ya allah jalla jallalli allah akupe uzima na umri mrefu inshaalalh
Masha Allah, sheikh mm nahitaji unitumie huo mti Kenya, ama nije tz kuonana nawe na kuuchukua
Shehe mimi ni mkenya naumba duwa biashara yangu sipati wateja,,,mambo yangu yote yamekwama.mtoto wangu pia akaa msisha ya kung'ang"ana hadi hawezi nisaidia .naomba dua kwa heshima zote milango yangu ifunguke.
Mashaallah ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
Shehe nakuelewa Sana katika tiba kuliko dr sule wallah,,,na Alhamdulillah haina majigambo
mashaallah,allah,awalipe,ningepeda,dawa,yenu
Allah mubariq shehe wang
Shukraan sana mashekhe zetu Allah awajaalie pepo❤❤❤
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
Aamin na ss
Maashallah tabaraqallah
Maa sha Allah
Shukran 🙏🙏
Nihatariii poleeeeniii saaaanaaaa saaanaaa
Mashallah tabarakallah
Asalam.aleykum shukrann sn SHEIKH othmann ila nashid naww nakupataj
Mansha Allah
Allah akuhifadhi vipenxi va Allah
Masha allah
MashaAllah Allah awazidishie Kila la kheir
Assalamualaikum warahmatulah wabarakatuh shekhe naomba utuonyeshe na majani yake pia😢😢😢😢😢😢😢😢
@HassanNgao_254
Жыл бұрын
Kweli kwa sababu hatujui huo mti vzr
Mimi natamani nikuone mwanangu lakini mie ni mgonjwa sijui nitafanya nini
Aslm alykum warahamtulah wabaraktuh masheikh wetu ...naomba mtufungue macho huo mti mkuu jina lengine ...unaitwaje,,,tumeskia mkunazi Masha Allah iko tele kwetu Kenya ila huo mti mkuu kwa jina lengine mutuambie tafadhalini ili tukomeshe wachawi apa kitaa Cha kwangu balaa atari wako tele....
@SalimSalim-ec9jo
Жыл бұрын
Mbaazi
@aminabdalla7824
Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo Shukran sheikh salim
@HassanNgao_254
Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo mbaazi unaozaa mbaazi ama
Jina lamuti sheikh
Mashaallah
Asalamu alekum sheikh athuman sheikh jaifar nikepenada sana kumualeza sheikh athaman sheikh mm nimejaribi sana kuwasiliyana na ww hatanikafukasafari kujahuko lakini nalupofika Dar salam mawasiliyano mm na ww ikabadilika sauti ikawa si ww na nalio abiwa nifane yalinishaza sana so vip kukupata
Masha'allah jazaka'allah kheyr,Allah awaongezeni umri
Asalam aleyku sheykh mungu akulinde
Bismillah maishaallah Asanteni kwa elimu masheikh zanguu,lakini Kuna kitu kinaniumiza kichwa kuhusu kuoga maziwa sio Haram?kwa akili yangu Naona kama chakula naharibu,😢nitoweni huu wasiwasi inshallah
Asalam aleykum Allah awahifazi nakila shari nauliza kidogo jee huo mti dukani unapatikana na km upo unaitwaje
Allah akuongoze
Situnambiwa tiba hyo ni ushirikina vp leo watupo elmu hyo niweke wazi sheikh kipenzi wetu mwalimu wetu
Allah qareem
Asalam Aleikum sheikh naomb jina la huo mti naomb sana
Assalam alaykum Allah awalipe heri
Marshall
Tumeona mambo ya dawa Masha Allah
Mungu awajalieni kwakutufahamisha mungu atupe maisha malefu
@emaMateru
2 ай бұрын
Ninaamini sheh wachawi wabayasana
❤
Kweli kila maradhi yana dawa naamini sana hilo hata ukimwi unadawa zake za kiasili
Assalamu Alykum warahmatulah waabarakatuh n mbaaz gani huu
❤❤❤❤❤❤❤
Asalam aleikum mawaidha mazuri❤❤❤❤❤😂😂🎉🎉🎉🎉
Asalmkum shekh hapo kuoga na maziwa ya faa
Usthad mm niko na mwanangu yuko na shida ya kuongeaakiongea leo ywaeza chukuwa siku tano ndipo aongee je naezafanyaje naomba unisaidiye
Kwa mihangahiko ya dawaaaaa
Mtu mkuu n mvujee ama
Tunaomba mtupe jina lengine kuhusu huo mti mkuu masheikh wetu wachawi washenzi Sana ili tuwachepe vibao usiku na wao..... Allah anatulinda twashkuru 🙏......... Allah awalipe kheri fii dunia Wal akhera 🤲
@rahmahabibu1432
Жыл бұрын
Kwel tunateseka n mti hatujaujua
@user-eg4yo8fr3q
Жыл бұрын
Jina lake ni mkuyu
@user-wf6nq2oc8p
3 ай бұрын
Mkuyu hapana bana
@deogratiusyudatadei5658
2 ай бұрын
Jamani mm najua miti paka basii yani nimewafwatilia Sana wataalamu ni mchanganya madawa mpaka yani mm Leo waganga na piganao tu story
@user-pw2sw1sk1b
Ай бұрын
Amiin waallay daaaa wanaboa
Ukwl mtupu
Asalam aleikum unaweza kuchemsha mizizi ya mbaazi ukanywa ikasaidia kuponesha tumbo la chango
Sheikh tueleze matumizi ya mbaazi kufukuzia majini au wachawi.
English please
Shekhe. Unga wakutowa jini mahab nko Mombasa ni pesa ngapi tafadhali
Hayo mambo ni ya kishirikina na nimpango wa shetani siyo mpango wa Mungu,mtafuteni Mungu wa kweli uchawi au mapepo hayatakupata.jina la Yesu linatosha maana yeye ndiyo kila kitu.
@thesonstv786
Жыл бұрын
Akili yenu sijui mnapeleka wapi
@user-ip3vq7rg1n
11 ай бұрын
Imenibd nicheke😂😂😂
Mbona hamtaji jina la mti
Sasa huu kwtu Kenya tuaupata VIP na hatujui
Asalam alaykum warahmatullah shekhe jafar mm Nina matatizo lkn sio sahiihi kuongea ktk public media nahitaji no yako au ya shekh maiko
Assalam caleikum sheikh tuletee huu mti Kenya iA
@neemahassan5726
3 ай бұрын
Asalam Aleikum sheikh Allah barik
Hawa anatesema sana na nyinyi mwajua fumbuo la maradhi yake na nimuuislamu kama nyinyi 4yrs kila siku maumivu tuu hana raha kabisa tunachanga anabasuliwa kila siku lakin hakuna matumaini mbona musiende mujamsaidia na kama mwataka pesa tuko tayari kuchanga tuwalipe basi lakin muokoeni
@mwajabuhassan4673
3 ай бұрын
Anasumbuliwa na nini huyo hawa?
tunaomba jina la mti
Tunawaomba mututajie jina lake
Mti mkuu hauna jina lengine
Nahisi mti mkuu ni mbaazi
Asalam Alaekum. Shekhe setu. Naomba jina jingine la huu mti mkuu....Sasa sijajua nimkunazi au vp
Huo mkunazi ndio unaitwa mti mkuuu
Tunaomba number za simu
Mnadaganya nyinyi io ni mti ya mbaazi mmeshika ama doo kumbwa sana
Mmmm hii siyo ni uchawi tu Kama uchawi mwingine Ukweli ni kwamba jina la Yesu ni top katika ushirikina asilimia kubwa uwo Ukweli amtaki kuusikia ila ndivyo ilivyo
@ramadhanshabani9736
Жыл бұрын
Ukweli gani?.
@user-ez4df7qg2f
2 ай бұрын
Na huuu ukweli wa kua issa n prophet si mungu kwa mana mungu hakuzaa wala hakuzaliwa kwanini usiuamini
Alhamdulillah nashukru Kwangu nimeipanda mingi km mboga ila nimeipanda km maua au wingi kumbe nikinga 🙏
@saidmasika8738
Жыл бұрын
ni mti ngani uo
@saebajoma8419
Жыл бұрын
@@saidmasika8738 hujawahi kula mbaazi hata kwawali jmn
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
@@saebajoma8419😂😂😂😂
@ShabaniAlly-kz7ov
Жыл бұрын
Ndugu @Saebajomba,usichanganye madawa huo mti alouzungumzia zaidi siyo mbaaz na naimani haupandwi ni mti pori....japo na mbaaz pia katoa sifa take na miti mingine,,, inshallah nilikuwa nakukumbusha hilo tu
@ShabaniAlly-kz7ov
Жыл бұрын
Yani mti ulochimbwa hapo siyo mbaaz japo na mbaaz umeelezewa faida zake
Huo mti unaitwa na unapatikana wap na wap samahan naomben majibu
shekhe Othuman nkufuatilia sana ,naomba namba zako nauguliwa na mzaz wangu Baba,ili umsaidie
@jasminyabdully499
Жыл бұрын
Namba yake ni hio insyoonekana katika screen
@mswakisaid2320
Жыл бұрын
Namba zake si hizo hapo kwenye video? Au wataka namba gani?
@AtilioKigahe-pp1ep
Жыл бұрын
@@mswakisaid2320 hizo namba Hadi matapeli wanatumia video hizi za watu wa mungu kutapeli watu
Mwanga jini ni, kivumbasi.
@athumanidido3038
3 ай бұрын
Muinga jini
Mbona mti wenyewe hamuuonyeshi
@barakamwamba288
Жыл бұрын
Haaa
yenye kheri na baraka ?
huo mti ntaupata vp.
👍🏽🙏💪👏
Msaada wako ni upi sisi tunataka hiyo dawa
Mie nipo Songea naomba namba ya simu niweze kuwasaidia nawe
Nawezaje kupata kuwasiliana nanyi nahitaji msaada wa dawa hiyo
Jina la mti huo kwa kiswahili unaitwaje nasi tulo mbali tujisaidie tafadhali sheikh wangu naomba utujimbu tujue maana nasi pia tuna madhila sheikh please.
Kwa mtizamo wangu huu sio mbaazi
@kimamybeautypoint9656
Жыл бұрын
kweli kbs nmebaki naukagua
@HassanNgao_254
Жыл бұрын
Ata sielewi pia mm ama ni mbaazi gani 🤔🤔
Ama ni huo mbaazi
Shekhe Namba ya simu nahitaji
@kalamuMedia
Жыл бұрын
+255784122858