Hivi ndivyo namna mwanga anavyo ingia ndani ya nyumba yako ilhali milango imefungwa - Shekhe Mpendu
Dondoo za Dars la Shekhe Mpendu:
Unajua kwanini mchawi anakula mwanae alie mzaa?
Namna Mwanga anavyoingia ndani ya nyumba yako milango na dirisha zikiwa zimefungwa
Namna wachawi wanavyoingizana katika uchawi
Namna ya kukabiliana na uchawi
Vitu rahisi unavyo ishi navyo nyumbani bila kujua ambavyo ni tiba ya maradhi mengi
Kama una swali unaweza muuliza Shekhe Mpendu No.0787467706
Пікірлер: 250
Allah Akbar, Allah atuajalie kinga Na kheir katika maisha yetu amiin Yaraab
Maishallah shewangu mpendu nakupenda kwa ajili ya ALLAH
@fabssaleh7273
9 ай бұрын
SEMA : MAA SHAA ALLAH
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'un. Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala atuepushe na Shirki,Allahummah Aamiin.
@saidalbakry1990
9 ай бұрын
Unaona ujanja huo anataka kula
@asiyahajri
8 ай бұрын
ك وه شيء لا 😅أحد الجميع الكل من قبل لانني لم ي😅😅😅😅😅😅😅
Allah akuhifadhi sheikh wetu
Allah wauwe wachawi wote Wanatutesa kwakweli
Allah atulinde na shirki atuepushie
Subhana Allah, hiii inakumbusha mbali, machozi yatoka
Sheikh mashaallah tabaraka Allah ahsant umenifuraisha sana n hiyo darsa Allah akupe uzima na afya in shaallah biidni Allah
@rosemneney3244
9 ай бұрын
Uberikiwe sio masheik wanazungumzia diamond woman Ally Kiba hovyooo kabisa
Mungu akuogoze kwenye hotuba shee mpendu nyumbani dua lini shee zinaanza.
Utanisameh nimeunlike kwa sababu ya unyambi uliotufanyia hii video bora usingeieka kabisa kuliko kutuekea nusu halaf usitumalizie iliobaki
Raby akulipe shehe wetu ilimu yakuko akuzidishie
Mola akuongeze mema zaidi ya elimu aliye kupa Sheikh wetu!
@Rashid-gy4rt
Ай бұрын
Rasupotea
@Rashid-gy4rt
Ай бұрын
Ebunjohapa
Shakhe akujalie umri mrefu uzidi kuutetea uislam
Maashaallaa Allaah akulipe kheri
جزاك الله الخير شيخ علي Allah akuhifadhi shekh Ally măan umetup elimu ambayo hatukuifaham,
Nakupenda kwaajili yallah illah illah❤❤❤
We paulocosmas muongo tu , uyu shekh anafundisha vizuri sana
Amin insha Allah 🙏🏾🤲
Allah akbaru Allah utulnde n Kila Aina ya Shar na utusamehe madhambi yetu. Na shekhe Allah amlpe kwa darsa
Mungu akuongozee uhai shekhe
Mashaallah Allah be with you
Asante shekh Kwa miss cha ibilisi na bint magonjwa, hakika kimenilenga, Ila hiyo bahati kusaidiwa na malakumauti!!!!!!!!!
😂😂😂nakupenda kwajili ya ALLAH Mashaallah tabarakaah mawaiza yako mazuri sana 😂😂
"Watching from Germany,nawezaje kukutumia sadaq? Allah Thuma Barik"
@austinking2096
Жыл бұрын
Allah akulipe kwa nia yako njema. Karibu Capetown South Africa.
Mashallah baraq llah
Allah akujalie cheikh wetu kwamqfundisho unayo tupatia
Allahuakuba. MashaAllah
@fabssaleh7273
9 ай бұрын
ALLAHU AKBAR. MAA SHAA ALLAH
Mashalla alhabdulilai barakalla fih wajazakallahu haira 🤲
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Tunashuru shehk mwenyezi mungu akupe unlike mlefu uzidi kutupa dalasa
Huenda kuna muendelezo,,Inshaa Allh
Yarrab tuinue imanj waislamu kwani tumekuwa watu wa lawama sana. Kutoa sadaka mtu anaangalia hela isiyo na kazi mia 200 mia 500 book kajitahidi. Wabaili sana tumezidiwa na upande wa pili wako vizuri sana. Lakini sisimhhhl!!!!!!
Mashaalla tabaraka Allah
Inshallaah sheikh wangu
Ameen ya Rabby 🤲🤲🤲
Mpendu uko vzuri
Sheghe mi nakuelewa sana mungu akuweke utuombee na sisi wenye mitihani mizito
BARAKALLAH ,sheikhul-isalaaam
Mwenyezi mungu atunusuru Astafilullah mtihani
INNALILLAH WAINNA ILAYHI RAJIUUN Nimuswiba kweli
Mashaallah
Allah. Kabariki
ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH WETU INSHAALLAH
Maashallah.
Shekhe Allah akuhifadhi
الله اكبر الله اكبر
Mashallaah 🙏
MashaAllah
Allah atuhifadhi sote
Alllah akupatie Jannah sheikh
هذا القول ان لله عبادو اذا ارادو اراد قول باطل hii qauli nibatili
Maashaallah
Allah Akbar💚
Lailaha ilallah Muhammad Rasur Allah
Allah grant as his blessings
Tukithirishe Istiqhfar,ili Allaah Subhaanahu Wata'ala Atuja'alie mvua kunyesha.
@mohammedshaban2398
Жыл бұрын
Allahuma amiin
Shekh Allah Amuhifadhi inshallah
Mashallah napenda preaching
Mashallah
Masha Allah funzo nzuri sheikh
Asante MUNGU akulinde
asanteeeee sanaaaaaaaa
Amin
Shekhe upo vzr
Allahu akbar mwenyezimu gu mkubwa
Machallah Allah akujaliye mwisho mwema
@fabssaleh7273
9 ай бұрын
MAA SHAA ALLAH
MashaaAllah shukrani sana
mashaallah
Tunashukuru shehe unatufundisha mengi
huyu tunaishi nae ana matusi sana huyu
MashaAllah ustadh
Allah Akbar Allah Akbar
Sheikh Allah akuhifadhi
Masha Allah I love becox of Allah
Shekh hata mm nawachukia sana
❤❤❤ Allah akuzidishie
Shukran
Sheikh mungu akuzidishie imani
Subhanallah astakhafirullah ya sheikh sukran
Naomba ya shelkh ya wap ni ipi kupiga direct mwengine hatuwazi kupiga sbb ya mbali
Jazakharahu kheri,,, jamani panado na dawa tatu nizifanyeje kama amezi,,, yani tusaidie kwa jil ya Allah
Inshaallah
Neema na maarifa zikuongoze...sheikh.!!?....Kenya...watamu.
Mashaallah ❤️
Mzee nakuomba ufate masharti ya kutamka kalima ya Lailaha ilallah
@gabrielmdem4271
Жыл бұрын
Kwani anakosea kumbe kitamkaa
Tuache ujanja ujanja aisaidiii!!!!!!
Wamenichukia Hawa siwapendi kwakweli
♥️
Shekhewaaibishehaowalanyama
Ndio maana Ile mvi diningi sasa nimeelewa nimekusoma ingawa mm Ni mkristo ndio maana ya makombe ila watu hawajui Mungu akutunze shekh
@ZakatyMapeza-eb5bg
6 күн бұрын
Hata mm naikumbuka hiyo move ya gabo
Mashallah sheikh mpendu😅
Shekh tunaomba tafsiri yamajina wengine hatujuwi
Allah akupe nguvu ya kwendelea kufanya dawaa
Mpungaaaaaaaaa,
Sheikh mi mke wangu anateswa na majini wabaya Kila akibeba mimba zanaharibika naomba Dua Yako sheikhe nakuamini sana
Mashaallah Allah akulingania shekhe wetu...na mungu azidi kukupa maisha marefu
Jamani WACHAWI amna tanzania mkanushe
Nikutumie vpi sadaka yangu
Dawa
Aki hawa saa nyingine wanaboo unasikilaza kitu lkn hupati kitu