Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael
Жүктеу.....
Пікірлер: 129
@MaridadiRashidilikwesoLikweso11 күн бұрын
asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi
@HeriethChristopher2 ай бұрын
Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏
@AshuraZuberi2 ай бұрын
Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe
@fatmaalnabhani36095 ай бұрын
Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲
@user-kd9et9hd7y15 күн бұрын
Allah Akbar
@arafaayubu6 ай бұрын
Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri. Allah akupe ujira duniani na aakhera. Allahumma Amiin
@habibaramadhani-xv2ed6 ай бұрын
SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.
@user-wq8lp4th2b4 ай бұрын
Maa shaa Allah ❤❤
@seiflugendo71416 ай бұрын
Allah akbar
@hawashabani78966 ай бұрын
Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi
@ahmadaali4605
6 ай бұрын
Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa
@user-nf8ku2bi9i
6 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida
@user-mt4sd6cj5y6 ай бұрын
Allahu Akbar.
@RamadhanCongeraАй бұрын
Ahsante chekhe allah akukinge nahao
@drmussa12206 ай бұрын
Hasbun Allah wa nimal wakeel ) Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲
@halimamfaume19256 ай бұрын
MashaAllah ❤ shukraan sheikh
@MaryAmaiza-th2fo6 ай бұрын
Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.
@josephndambo3714
5 ай бұрын
mimi pia, napenda sana mawaidha yake, yanafundisha saaana
@rania-xw1vk
5 ай бұрын
Karibu katika dini yetu@@josephndambo3714
@MaryAmaiza-th2fo
5 ай бұрын
@@josephndambo3714 nikweli kaka
@imanmohamed2215
5 ай бұрын
Karibu katika dini yetu
@mwamvitaibrahim8594
4 ай бұрын
Takbir….Allahuwa Akbar
@faridaally-jp1gx6 ай бұрын
Ma shaa Allaah
@SwaumuJuma-bc9se6 ай бұрын
Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah
@SamiraBhazizane6 ай бұрын
Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje
@smadon5638
6 ай бұрын
Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu
@TwaliathAndrea-dm3dy
2 ай бұрын
Mswalie mtume mara nying
@salmaassed5 ай бұрын
Mashallah
@user-fl3yl4or3e6 ай бұрын
Mashallah Tabaraka llah
@user-mt4sd6cj5y6 ай бұрын
Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.
@sebarua
6 ай бұрын
Mashaallah tutayafanyia kazi lnshaallah
@AishaNIYONKURU-xd2qb
3 ай бұрын
Aminiii
@user-ok8uh3hh3w6 ай бұрын
Mashaa Allahu karibu kigoma.
@user-ec8ig8nn2y6 ай бұрын
Allah atuhifadhi
@user-rx9lq6kw4v6 ай бұрын
Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje
@user-qg5yb7sj1s
5 ай бұрын
Asante baba
@nuruabdi78065 ай бұрын
Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows
@user-hj7io6qy9n3 ай бұрын
Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako
@user-il8un5ft9e5 ай бұрын
Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤
@user-qq3gf9xn2c5 ай бұрын
Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah
@abdulragmababdulsalam51076 ай бұрын
Mashaallah shukran ❤❤❤
@aishamohamed48233 ай бұрын
Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo
@ArseneKyallo5 ай бұрын
Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki
@user-dc2nv3lu9l6 ай бұрын
Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2
@swabiaa14895 ай бұрын
Allah akuhifadh ❤
@ramaaman4020Ай бұрын
Shukran Sana Shekh wetu.
@user-mr1hk2ed2w6 ай бұрын
Shukran Sheikh
@user-jk6xk7id3q6 ай бұрын
Jazakallau kheira
@FatimaFatima-bx8ez6 ай бұрын
Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.
@user-uw4cw2uc3u5 ай бұрын
Jazakallaukher
@user-gx9hg3dp1e6 ай бұрын
Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️
@user-ou2og1ze9d3 ай бұрын
Shekhe hongera sana Allah akubarik
@user-yr8ib5ni7c6 ай бұрын
Mashaa Allah
@rachelmnyimwa41925 ай бұрын
Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na
@majomasliman78566 ай бұрын
Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani
@asmahasanirashid50595 ай бұрын
Maashallh maashallh
@TALLUBOY5 ай бұрын
Leo nimepata somo kubwa sanaaaa
@HileHile-ns9xv6 ай бұрын
Tabaraka Allah
@bentybenty23436 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@user-hy8yp9qt2o6 ай бұрын
Mashaallah Allah Awe Pamoj Naw Inshallah Shekh Wang
@abdilahally63406 ай бұрын
Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya
@asianramadhani83153 ай бұрын
Hongera sana shekhe
@SmilingCherryBlossoms-ce8md6 ай бұрын
Maashallaah
@DaxMarioo-rq9rs6 ай бұрын
Ni kweri ostazi wangu
@twalibutwaha16325 ай бұрын
Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo
Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?
@mamuumuu49994 ай бұрын
Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma
@user-ol3pb6gt9e6 ай бұрын
A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@MwanajumaSaria18 күн бұрын
Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani ili nisaidike
@emmanuelmudachi65085 ай бұрын
Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.
@HassanLastman-hh9sw6 ай бұрын
Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote
@JohnMalengua-jh6ps5 ай бұрын
Je tufanyeje kujilinda na hayo yote
@user-mg9fg6vc9w5 ай бұрын
Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani
@hamisimtusi1796
3 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah
@user-yl2ju4oc9c3 ай бұрын
Kweli
@TwaliathAndrea-dm3dy2 ай бұрын
Haohao
@user-ol3pb6gt9e6 ай бұрын
A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@naswiharashid71666 ай бұрын
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza
@maryammakata78496 ай бұрын
Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu
@fabssaleh72736 ай бұрын
BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU. JE ikiwa si Waislamu?
@user-wr6uz1rx1o5 ай бұрын
Nina maongezi yangu kidogoo
@casualteenfashions87905 ай бұрын
Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.
@princessryan56766 ай бұрын
A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?
@emmanuelmudachi65085 ай бұрын
Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa. Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote. Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda. Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi. Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.
@imanmohamed2215
5 ай бұрын
Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin
@TwaliathAndrea-dm3dy
2 ай бұрын
Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur
@user-pk2km5nj3f3 ай бұрын
Ukimpiga gongo je haifai
@khadijamohammed78112 ай бұрын
Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje
@bihayisefu881022 күн бұрын
Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?
@mwajumaally33835 ай бұрын
Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku
@imanmohamed2215
5 ай бұрын
Muombe Allah
@user-do8hi3oo1d6 ай бұрын
Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?
@zitoncombo13175 ай бұрын
Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?
@JonathanKebaso-yk8le6 ай бұрын
Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏
@hawaamabrouck24564 ай бұрын
Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali
@kharifasanto33833 ай бұрын
Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga
@Ahmed26171
2 ай бұрын
Pole ndugu Yangu...
@user-hi7ry5bc9t6 ай бұрын
Assalaam Alaikum Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?
@ahmedmuhiddin51076 ай бұрын
Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo
@mwajumaally33835 ай бұрын
Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako
@user-zn4bo2vk8l4 ай бұрын
Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe
@user-wr6uz1rx1o5 ай бұрын
Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako
@user-kp7gj9xq4b5 ай бұрын
Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee
@angle36006 ай бұрын
Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi
@aminasaid65556 ай бұрын
Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh
@smadon5638
6 ай бұрын
Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani
@user-pu6pr5jt4n6 ай бұрын
Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww
@samsonhamery38096 ай бұрын
Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula
@OmanOman-dn6dj6 ай бұрын
Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh
@mwajumaissa2358
6 ай бұрын
Mbona namba hizo huzioni hapo zinaoneshwa
@minnahdully78944 ай бұрын
Tutamjuaje uyo mjusikafir mana ni hatar
@mansoursabri4398
3 ай бұрын
Anaetembea kwenye nyuma ndani
@mansoursabri4398
3 ай бұрын
Anaetembea kwenye nyumba ndani
@MojamojaMojamoja-lw2ph5 ай бұрын
Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂
@salhajuma97616 ай бұрын
Assalam alayqum shekh mm nna swali privete sasa nitakuulizaje
@kalamuMedia
6 ай бұрын
namba za Sheikh zipo kwenye video hapo
@ibrahimabdul82576 ай бұрын
Hawa jamaa wanavituko sanaa kwamba و أنت أرحم الراحمين tafisiri yake kwa katika wenye huruma wewe ni miongoni mwao? Masheykh wa subscribers watu wawenao makini sanaa
@imanmohamed2215
5 ай бұрын
Una maana gani?? Huyu sheikh mzuri Allahumma Barik Fii
Пікірлер: 129
asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi
Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏
Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe
Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲
Allah Akbar
Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri. Allah akupe ujira duniani na aakhera. Allahumma Amiin
SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.
Maa shaa Allah ❤❤
Allah akbar
Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi
@ahmadaali4605
6 ай бұрын
Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa
@user-nf8ku2bi9i
6 ай бұрын
Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida
Allahu Akbar.
Ahsante chekhe allah akukinge nahao
Hasbun Allah wa nimal wakeel ) Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲
MashaAllah ❤ shukraan sheikh
Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.
@josephndambo3714
5 ай бұрын
mimi pia, napenda sana mawaidha yake, yanafundisha saaana
@rania-xw1vk
5 ай бұрын
Karibu katika dini yetu@@josephndambo3714
@MaryAmaiza-th2fo
5 ай бұрын
@@josephndambo3714 nikweli kaka
@imanmohamed2215
5 ай бұрын
Karibu katika dini yetu
@mwamvitaibrahim8594
4 ай бұрын
Takbir….Allahuwa Akbar
Ma shaa Allaah
Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah
Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje
@smadon5638
6 ай бұрын
Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu
@TwaliathAndrea-dm3dy
2 ай бұрын
Mswalie mtume mara nying
Mashallah
Mashallah Tabaraka llah
Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.
@sebarua
6 ай бұрын
Mashaallah tutayafanyia kazi lnshaallah
@AishaNIYONKURU-xd2qb
3 ай бұрын
Aminiii
Mashaa Allahu karibu kigoma.
Allah atuhifadhi
Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje
@user-qg5yb7sj1s
5 ай бұрын
Asante baba
Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows
Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako
Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤
Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah
Mashaallah shukran ❤❤❤
Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo
Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki
Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2
Allah akuhifadh ❤
Shukran Sana Shekh wetu.
Shukran Sheikh
Jazakallau kheira
Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.
Jazakallaukher
Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️
Shekhe hongera sana Allah akubarik
Mashaa Allah
Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na
Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani
Maashallh maashallh
Leo nimepata somo kubwa sanaaaa
Tabaraka Allah
ALLAHU AKBAR
Mashaallah Allah Awe Pamoj Naw Inshallah Shekh Wang
Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya
Hongera sana shekhe
Maashallaah
Ni kweri ostazi wangu
Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo
Mashallah 🙏🤲☝️
@LeilaShah-ib4td
5 ай бұрын
Asalaam aleykm,sheikh wangu,namba yasimu mandishi madogo aiyonekani vizuri ,sheikh
Allahuma Ameeen
Dah Atari sana
Shukran
Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?
Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma
A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani ili nisaidike
Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.
Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote
Je tufanyeje kujilinda na hayo yote
Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani
@hamisimtusi1796
3 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah
Kweli
Haohao
A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza
Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu
BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU. JE ikiwa si Waislamu?
Nina maongezi yangu kidogoo
Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.
A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?
Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa. Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote. Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda. Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi. Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.
@imanmohamed2215
5 ай бұрын
Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin
@TwaliathAndrea-dm3dy
2 ай бұрын
Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur
Ukimpiga gongo je haifai
Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje
Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?
Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku
@imanmohamed2215
5 ай бұрын
Muombe Allah
Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?
Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?
Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏
Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali
Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga
@Ahmed26171
2 ай бұрын
Pole ndugu Yangu...
Assalaam Alaikum Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?
Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo
Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako
Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe
Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako
Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee
Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi
Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh
@smadon5638
6 ай бұрын
Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani
Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww
Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula
Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh
@mwajumaissa2358
6 ай бұрын
Mbona namba hizo huzioni hapo zinaoneshwa
Tutamjuaje uyo mjusikafir mana ni hatar
@mansoursabri4398
3 ай бұрын
Anaetembea kwenye nyuma ndani
@mansoursabri4398
3 ай бұрын
Anaetembea kwenye nyumba ndani
Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂
Assalam alayqum shekh mm nna swali privete sasa nitakuulizaje
@kalamuMedia
6 ай бұрын
namba za Sheikh zipo kwenye video hapo
Hawa jamaa wanavituko sanaa kwamba و أنت أرحم الراحمين tafisiri yake kwa katika wenye huruma wewe ni miongoni mwao? Masheykh wa subscribers watu wawenao makini sanaa
@imanmohamed2215
5 ай бұрын
Una maana gani?? Huyu sheikh mzuri Allahumma Barik Fii
@TwaliathAndrea-dm3dy
2 ай бұрын
Mbona hajakosea
Allah Akbar