Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael

Пікірлер: 129

  • @MaridadiRashidilikwesoLikweso
    @MaridadiRashidilikwesoLikweso11 күн бұрын

    asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi

  • @HeriethChristopher
    @HeriethChristopher2 ай бұрын

    Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏

  • @AshuraZuberi
    @AshuraZuberi2 ай бұрын

    Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36095 ай бұрын

    Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲

  • @user-kd9et9hd7y
    @user-kd9et9hd7y15 күн бұрын

    Allah Akbar

  • @arafaayubu
    @arafaayubu6 ай бұрын

    Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri. Allah akupe ujira duniani na aakhera. Allahumma Amiin

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed6 ай бұрын

    SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.

  • @user-wq8lp4th2b
    @user-wq8lp4th2b4 ай бұрын

    Maa shaa Allah ❤❤

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo71416 ай бұрын

    Allah akbar

  • @hawashabani7896
    @hawashabani78966 ай бұрын

    Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi

  • @ahmadaali4605

    @ahmadaali4605

    6 ай бұрын

    Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa

  • @user-nf8ku2bi9i

    @user-nf8ku2bi9i

    6 ай бұрын

    Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y6 ай бұрын

    Allahu Akbar.

  • @RamadhanCongera
    @RamadhanCongeraАй бұрын

    Ahsante chekhe allah akukinge nahao

  • @drmussa1220
    @drmussa12206 ай бұрын

    Hasbun Allah wa nimal wakeel ) Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume19256 ай бұрын

    MashaAllah ❤ shukraan sheikh

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo6 ай бұрын

    Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.

  • @josephndambo3714

    @josephndambo3714

    5 ай бұрын

    mimi pia, napenda sana mawaidha yake, yanafundisha saaana

  • @rania-xw1vk

    @rania-xw1vk

    5 ай бұрын

    Karibu katika dini yetu​@@josephndambo3714

  • @MaryAmaiza-th2fo

    @MaryAmaiza-th2fo

    5 ай бұрын

    @@josephndambo3714 nikweli kaka

  • @imanmohamed2215

    @imanmohamed2215

    5 ай бұрын

    Karibu katika dini yetu

  • @mwamvitaibrahim8594

    @mwamvitaibrahim8594

    4 ай бұрын

    Takbir….Allahuwa Akbar

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx6 ай бұрын

    Ma shaa Allaah

  • @SwaumuJuma-bc9se
    @SwaumuJuma-bc9se6 ай бұрын

    Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah

  • @SamiraBhazizane
    @SamiraBhazizane6 ай бұрын

    Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje

  • @smadon5638

    @smadon5638

    6 ай бұрын

    Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu

  • @TwaliathAndrea-dm3dy

    @TwaliathAndrea-dm3dy

    2 ай бұрын

    Mswalie mtume mara nying

  • @salmaassed
    @salmaassed5 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e6 ай бұрын

    Mashallah Tabaraka llah

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y6 ай бұрын

    Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.

  • @sebarua

    @sebarua

    6 ай бұрын

    Mashaallah tutayafanyia kazi lnshaallah

  • @AishaNIYONKURU-xd2qb

    @AishaNIYONKURU-xd2qb

    3 ай бұрын

    Aminiii

  • @user-ok8uh3hh3w
    @user-ok8uh3hh3w6 ай бұрын

    Mashaa Allahu karibu kigoma.

  • @user-ec8ig8nn2y
    @user-ec8ig8nn2y6 ай бұрын

    Allah atuhifadhi

  • @user-rx9lq6kw4v
    @user-rx9lq6kw4v6 ай бұрын

    Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje

  • @user-qg5yb7sj1s

    @user-qg5yb7sj1s

    5 ай бұрын

    Asante baba

  • @nuruabdi7806
    @nuruabdi78065 ай бұрын

    Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows

  • @user-hj7io6qy9n
    @user-hj7io6qy9n3 ай бұрын

    Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako

  • @user-il8un5ft9e
    @user-il8un5ft9e5 ай бұрын

    Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤

  • @user-qq3gf9xn2c
    @user-qq3gf9xn2c5 ай бұрын

    Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam51076 ай бұрын

    Mashaallah shukran ❤❤❤

  • @aishamohamed4823
    @aishamohamed48233 ай бұрын

    Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo

  • @ArseneKyallo
    @ArseneKyallo5 ай бұрын

    Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki

  • @user-dc2nv3lu9l
    @user-dc2nv3lu9l6 ай бұрын

    Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2

  • @swabiaa1489
    @swabiaa14895 ай бұрын

    Allah akuhifadh ❤

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020Ай бұрын

    Shukran Sana Shekh wetu.

  • @user-mr1hk2ed2w
    @user-mr1hk2ed2w6 ай бұрын

    Shukran Sheikh

  • @user-jk6xk7id3q
    @user-jk6xk7id3q6 ай бұрын

    Jazakallau kheira

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez6 ай бұрын

    Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.

  • @user-uw4cw2uc3u
    @user-uw4cw2uc3u5 ай бұрын

    Jazakallaukher

  • @user-gx9hg3dp1e
    @user-gx9hg3dp1e6 ай бұрын

    Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️

  • @user-ou2og1ze9d
    @user-ou2og1ze9d3 ай бұрын

    Shekhe hongera sana Allah akubarik

  • @user-yr8ib5ni7c
    @user-yr8ib5ni7c6 ай бұрын

    Mashaa Allah

  • @rachelmnyimwa4192
    @rachelmnyimwa41925 ай бұрын

    Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na

  • @majomasliman7856
    @majomasliman78566 ай бұрын

    Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani

  • @asmahasanirashid5059
    @asmahasanirashid50595 ай бұрын

    Maashallh maashallh

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY5 ай бұрын

    Leo nimepata somo kubwa sanaaaa

  • @HileHile-ns9xv
    @HileHile-ns9xv6 ай бұрын

    Tabaraka Allah

  • @bentybenty2343
    @bentybenty23436 ай бұрын

    ALLAHU AKBAR

  • @user-hy8yp9qt2o
    @user-hy8yp9qt2o6 ай бұрын

    Mashaallah Allah Awe Pamoj Naw Inshallah Shekh Wang

  • @abdilahally6340
    @abdilahally63406 ай бұрын

    Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya

  • @asianramadhani8315
    @asianramadhani83153 ай бұрын

    Hongera sana shekhe

  • @SmilingCherryBlossoms-ce8md
    @SmilingCherryBlossoms-ce8md6 ай бұрын

    Maashallaah

  • @DaxMarioo-rq9rs
    @DaxMarioo-rq9rs6 ай бұрын

    Ni kweri ostazi wangu

  • @twalibutwaha1632
    @twalibutwaha16325 ай бұрын

    Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo

  • @tatutatu1570
    @tatutatu15705 ай бұрын

    Mashallah 🙏🤲☝️

  • @LeilaShah-ib4td

    @LeilaShah-ib4td

    5 ай бұрын

    Asalaam aleykm,sheikh wangu,namba yasimu mandishi madogo aiyonekani vizuri ,sheikh

  • @KIMOCHA1
    @KIMOCHA12 ай бұрын

    Allahuma Ameeen

  • @user-le7lh1ou2d
    @user-le7lh1ou2d6 ай бұрын

    Dah Atari sana

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan47486 ай бұрын

    Shukran

  • @estheretori3855
    @estheretori38556 ай бұрын

    Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?

  • @mamuumuu4999
    @mamuumuu49994 ай бұрын

    Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma

  • @user-ol3pb6gt9e
    @user-ol3pb6gt9e6 ай бұрын

    A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @MwanajumaSaria
    @MwanajumaSaria18 күн бұрын

    Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani ili nisaidike

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi65085 ай бұрын

    Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.

  • @HassanLastman-hh9sw
    @HassanLastman-hh9sw6 ай бұрын

    Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps5 ай бұрын

    Je tufanyeje kujilinda na hayo yote

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w5 ай бұрын

    Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani

  • @hamisimtusi1796

    @hamisimtusi1796

    3 ай бұрын

    Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah

  • @user-yl2ju4oc9c
    @user-yl2ju4oc9c3 ай бұрын

    Kweli

  • @TwaliathAndrea-dm3dy
    @TwaliathAndrea-dm3dy2 ай бұрын

    Haohao

  • @user-ol3pb6gt9e
    @user-ol3pb6gt9e6 ай бұрын

    A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @naswiharashid7166
    @naswiharashid71666 ай бұрын

    Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza

  • @maryammakata7849
    @maryammakata78496 ай бұрын

    Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh72736 ай бұрын

    BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU. JE ikiwa si Waislamu?

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o5 ай бұрын

    Nina maongezi yangu kidogoo

  • @casualteenfashions8790
    @casualteenfashions87905 ай бұрын

    Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.

  • @princessryan5676
    @princessryan56766 ай бұрын

    A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi65085 ай бұрын

    Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa. Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote. Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda. Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi. Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.

  • @imanmohamed2215

    @imanmohamed2215

    5 ай бұрын

    Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin

  • @TwaliathAndrea-dm3dy

    @TwaliathAndrea-dm3dy

    2 ай бұрын

    Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur

  • @user-pk2km5nj3f
    @user-pk2km5nj3f3 ай бұрын

    Ukimpiga gongo je haifai

  • @khadijamohammed7811
    @khadijamohammed78112 ай бұрын

    Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje

  • @bihayisefu8810
    @bihayisefu881022 күн бұрын

    Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally33835 ай бұрын

    Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku

  • @imanmohamed2215

    @imanmohamed2215

    5 ай бұрын

    Muombe Allah

  • @user-do8hi3oo1d
    @user-do8hi3oo1d6 ай бұрын

    Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo13175 ай бұрын

    Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?

  • @JonathanKebaso-yk8le
    @JonathanKebaso-yk8le6 ай бұрын

    Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏

  • @hawaamabrouck2456
    @hawaamabrouck24564 ай бұрын

    Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali

  • @kharifasanto3383
    @kharifasanto33833 ай бұрын

    Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga

  • @Ahmed26171

    @Ahmed26171

    2 ай бұрын

    Pole ndugu Yangu...

  • @user-hi7ry5bc9t
    @user-hi7ry5bc9t6 ай бұрын

    Assalaam Alaikum Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?

  • @ahmedmuhiddin5107
    @ahmedmuhiddin51076 ай бұрын

    Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally33835 ай бұрын

    Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako

  • @user-zn4bo2vk8l
    @user-zn4bo2vk8l4 ай бұрын

    Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o5 ай бұрын

    Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako

  • @user-kp7gj9xq4b
    @user-kp7gj9xq4b5 ай бұрын

    Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee

  • @angle3600
    @angle36006 ай бұрын

    Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi

  • @aminasaid6555
    @aminasaid65556 ай бұрын

    Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh

  • @smadon5638

    @smadon5638

    6 ай бұрын

    Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n6 ай бұрын

    Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery38096 ай бұрын

    Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj6 ай бұрын

    Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh

  • @mwajumaissa2358

    @mwajumaissa2358

    6 ай бұрын

    Mbona namba hizo huzioni hapo zinaoneshwa

  • @minnahdully7894
    @minnahdully78944 ай бұрын

    Tutamjuaje uyo mjusikafir mana ni hatar

  • @mansoursabri4398

    @mansoursabri4398

    3 ай бұрын

    Anaetembea kwenye nyuma ndani

  • @mansoursabri4398

    @mansoursabri4398

    3 ай бұрын

    Anaetembea kwenye nyumba ndani

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph5 ай бұрын

    Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂

  • @salhajuma9761
    @salhajuma97616 ай бұрын

    Assalam alayqum shekh mm nna swali privete sasa nitakuulizaje

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    6 ай бұрын

    namba za Sheikh zipo kwenye video hapo

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul82576 ай бұрын

    Hawa jamaa wanavituko sanaa kwamba و أنت أرحم الراحمين tafisiri yake kwa katika wenye huruma wewe ni miongoni mwao? Masheykh wa subscribers watu wawenao makini sanaa

  • @imanmohamed2215

    @imanmohamed2215

    5 ай бұрын

    Una maana gani?? Huyu sheikh mzuri Allahumma Barik Fii

  • @TwaliathAndrea-dm3dy

    @TwaliathAndrea-dm3dy

    2 ай бұрын

    Mbona hajakosea

  • @user-mx4wi8ic5e
    @user-mx4wi8ic5e6 ай бұрын

    Allah Akbar

Келесі