VITU VIWILI HIVI NDIO CHANZO CHA WEWE KUTOKUFANIKIWA KATIKA MAMBO YAKO - SHEIKH OTHMAN MICHAEL

#QiblateinOnline
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
KZread; / @qiblatainonline

Пікірлер: 168

  • @user-mx4wi8ic5e
    @user-mx4wi8ic5e5 ай бұрын

    Shukran sheikh wetu Allah akuhifadhi na balaa zote fi dunia wal akheira...ulinitibu hasad na hivi niko sawa alhamdulilah

  • @leonardofaruk1077

    @leonardofaruk1077

    3 ай бұрын

    Ameen.

  • @allykipingu

    @allykipingu

    2 ай бұрын

    Ëe 3:10

  • @HashimHussein-ps5yr
    @HashimHussein-ps5yr2 ай бұрын

    Shekh kweli kabisa watusaidiaje waumini wako

  • @gracemumbua9326
    @gracemumbua93267 ай бұрын

    Asalam aleikum, walia nilikua na dhalili mingi sana izi bt nlipoanza kufanya dhikri Allah ameniondolea yote, allhamdhulillah,...shehq mwenyezi mungu akubarki sna akuzdishie elim amen

  • @ShabanMusssa

    @ShabanMusssa

    5 ай бұрын

    shekh wangu hapo kwenye kukunja kanzu kama qor an sijaelewa

  • @GeorgeMulandi

    @GeorgeMulandi

    3 ай бұрын

    Hapo kwa msala ni tatizo ama ni mkeka ju hapo sijaelewa

  • @kassimanzuan9367

    @kassimanzuan9367

    3 ай бұрын

    Amiin

  • @FaizaKabibi-tb2dj

    @FaizaKabibi-tb2dj

    Ай бұрын

    Shekh mm dalili zote za hasad nakuomba unifanyie kisomo ju hata sai nko nko Oman juzi nilitaka kuliwa na boss nikapata nafasi nikakimbia sijielewi

  • @user-xl1wx3mw9k
    @user-xl1wx3mw9k3 ай бұрын

    Ni kweli sheikh,Majini na Hasad ni vitu vibaya saana,kiukweli mimi naathiriwa sana na vitu hivyo..naomba msaada wako

  • @baaziabdul9439
    @baaziabdul94396 ай бұрын

    Am from Uganda and follow up your teachings but I understand swahili well

  • @candiesalm8995
    @candiesalm89953 ай бұрын

    Kwa wale ambao hamjaelewa kwenye fundo la nguo ni hivi unachukua nguo uliovaa unakunja kwa chini then unaloesha kwenye maji halaf unakuamua ni hivyo tu

  • @HakizimanaFiston

    @HakizimanaFiston

    3 ай бұрын

    Shukran sana

  • @mwanakombomohamed6725

    @mwanakombomohamed6725

    3 ай бұрын

    Mbn ametaja quran

  • @mansoursabri4398

    @mansoursabri4398

    3 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-qy7kf5me7u

    @user-qy7kf5me7u

    3 ай бұрын

    Samahan sijaelewa , unapiga kufundo au unakunja tu ?

  • @candiesalm8995

    @candiesalm8995

    3 ай бұрын

    @@user-qy7kf5me7u kuja halaf tia kwenye maji badae kamua

  • @zahramohammed3265
    @zahramohammed32657 ай бұрын

    jazakaAllah nimesoma mambo mengi alhamdhulillah

  • @user-nx1ti7bo3c

    @user-nx1ti7bo3c

    3 ай бұрын

    Assalamualaikum

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed47853 ай бұрын

    Mashallah mimi iweke jwa dua yte hyo nimo inshallah

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y2 ай бұрын

    Wajazakalah khaira shehk 🎉🎉 Shekh wetu ALLah akulipe badal dunianii na akhera ALLah akupe mwesho mwema

  • @hamzahussein896
    @hamzahussein8963 ай бұрын

    Jazakallahu kheir sheikh

  • @hassanibinhassa7058
    @hassanibinhassa70582 ай бұрын

    Shukran jazeelan sheikh wetu, Allah akujaaliye kila kheri kwa mafundisho yako Ila kunasehemu vidéo ni kama imeruka pale ulipotaka elezea unapinda kanzu

  • @zuberhamza7852

    @zuberhamza7852

    Ай бұрын

    Eeeh imeruka sjui tunafanyaje sasa

  • @saidinyomela8387
    @saidinyomela83873 ай бұрын

    JazakaAllahu khaira.

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y7 ай бұрын

    ،jazakalah khaira shehk 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🇹🇿

  • @SuleAhmadi
    @SuleAhmadiАй бұрын

    Asante shekhe nimejifunza ishalla nitatekeleza ivo namim alla anifanyie wepesi 27:52

  • @allyvindili9099
    @allyvindili90993 ай бұрын

    Umenigusa shekh kilichonikuta mm mungu ndo anajua ila bahadhi nawajua kabisa

  • @maryam-ol8nh
    @maryam-ol8nh4 ай бұрын

    Shukran sana sheikh Allah akuhifadhi.

  • @asianramadhani8315
    @asianramadhani83153 ай бұрын

    Shukran shekhe Allah akuzidishie

  • @abdurazakiabdukadiri9949
    @abdurazakiabdukadiri99493 ай бұрын

    Asante sheikh wetu kwa khutba nzuri

  • @allyrabbany4538
    @allyrabbany45382 ай бұрын

    الله يعطيك العافية شيخنا.

  • @hannymasu732
    @hannymasu7322 ай бұрын

    Assalam Aleykum Wa Rahmatullahi Ta'ala Wa Barakatuh. Jazak ALLAH Khair kwa ilmu Sheikh.

  • @anitaswai3053
    @anitaswai30532 ай бұрын

    Jazakalahu khairu shekh

  • @user-rd1ix1hd3y
    @user-rd1ix1hd3y4 ай бұрын

    Shekh bindo la qur ani huja eleza vizur unakunja au nivipi tunataka kujiondosheya hasadi

  • @user-so9id8rp3u
    @user-so9id8rp3u2 ай бұрын

    Masha Allah, shukran sheikh, nimejifunza

  • @omariuredi1552
    @omariuredi1552Ай бұрын

    Alhamdulilah, Shekh allah aku ingize peponi

  • @user-sp8hl2dy6i
    @user-sp8hl2dy6i4 ай бұрын

    Masha allah

  • @RajabuKapunju
    @RajabuKapunju2 ай бұрын

    Asante Sana shekh

  • @ashahassan1877
    @ashahassan18775 ай бұрын

    Shukuran Sana shekhe wetuu

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo4 ай бұрын

    Shukurn sheikhe allaah akulpe baadala

  • @user-ft4uy6vu1i
    @user-ft4uy6vu1i2 ай бұрын

    Daah mtihan sana wallah allah atuondolee iyo mitihani

  • @user-xc3ik1hu3q
    @user-xc3ik1hu3q2 ай бұрын

    Asante sana sheik

  • @mauamwalimu8142
    @mauamwalimu81424 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @rmdhnhmz512
    @rmdhnhmz5123 ай бұрын

    Mashaallah

  • @salvatakiseo3359
    @salvatakiseo33592 ай бұрын

    Mungu akanifanyie wepesi 🤲

  • @DirectorFonga
    @DirectorFonga2 ай бұрын

    Shekhe mungu akueke inshaalah

  • @iddykaundundwa5135
    @iddykaundundwa51353 ай бұрын

    Kwa hakika mimi ndio napamba nayo inshaallah kwa uwezo wa Allah nitafanikiwa

  • @SumaAbduly
    @SumaAbduly6 ай бұрын

    Shekhe,tunahitaji huduma zako Kwa uwezo wa Allah utakuja lini bukoba mkoa wa kagera

  • @user-nz9xy2lm3w
    @user-nz9xy2lm3w3 ай бұрын

    Maashallah

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f3 ай бұрын

    Shekh allah akupe umre mrefu Yani maneno Yako yanafaida

  • @FatumaBegamu-cy6ue
    @FatumaBegamu-cy6ue5 ай бұрын

    Shukran Sheikh.

  • @machanohajji7209
    @machanohajji72096 ай бұрын

    Mashallah

  • @babanaso6743
    @babanaso67432 ай бұрын

    Ndugu yangu uko sawa kabisa sisi tumetokea famiria duni hivyo hapo ulipo ni miujiza ya mungu tu sikupingi ndugu

  • @user-sh3dw6bk8x
    @user-sh3dw6bk8x3 ай бұрын

    As alkm, sheikh ahsante Kwa kutupa ziada katika kheir.naomba utuambie ni wanyama wapi ktk hao wenye hasadi au ni wote .km mijusi kafir?

  • @mutabazihassan6291
    @mutabazihassan62915 ай бұрын

    Ya sheikh na mimi pia nina hizo dalili na hali ni ni ngumu najitahidi kuswali,tahajud,istighfar na ndoto za utajiri na mafanikio nazipata kila siku Ya Allahu turehemu sisi ummati Muhammad S a w

  • @user-xm2rm7wn6h
    @user-xm2rm7wn6h3 ай бұрын

    Subuhannallah❤❤❤❤❤

  • @zainabfaraj7902
    @zainabfaraj7902Ай бұрын

    Allah akujaze kheri

  • @user-sn9ip6qr3l
    @user-sn9ip6qr3lАй бұрын

    Jaman mbona dalili zote ninazo😢😢yarab niondoshee kwakwel,vip jinsi gan naweza kuepukana au kujitibu?

  • @user-vv7km5fc5x
    @user-vv7km5fc5xАй бұрын

    MashaAllah

  • @HakizimanaFiston
    @HakizimanaFiston3 ай бұрын

    Uislam ulimalizaga Shukran Sheih wetu

  • @user-hk4vl6ic2i
    @user-hk4vl6ic2i2 ай бұрын

    Asante Sana Sheikh, sasa tufanye nini ilikuepukana na hizo roho chafu majin

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed2 ай бұрын

    Shukran Sheikh Baraka llahu,,,,,ila kuna mahali ulikua unaelezea video ikaruka hapo kwa upinde wakanzu

  • @zuberhamza7852

    @zuberhamza7852

    Ай бұрын

    asa sjui tunafanyaje

  • @fatmahussein12
    @fatmahussein122 ай бұрын

    Waooo nalibu

  • @yasminmduda1616
    @yasminmduda16163 ай бұрын

    Asalaam alyekum shekhe umenigusa sana.

  • @LisaYona-wx3kb
    @LisaYona-wx3kb3 ай бұрын

    😢dalili ZTE ninazo ehh yarab

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi60307 ай бұрын

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @zulekhasaeed6046
    @zulekhasaeed60463 ай бұрын

    Umenigusa kwenye hasadi mimi ninayo

  • @JohnMasatu-wb3ct
    @JohnMasatu-wb3ct3 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MuhammadHassan-rg7ch
    @MuhammadHassan-rg7chАй бұрын

    Kwelii sheikh mm nimmoja wapo naomba dual naphtha tangamoto

  • @JumaSaid-rw3dq
    @JumaSaid-rw3dqАй бұрын

    nimeskiza utba namimi aro tatizo ninaro nakupataje soma komenti uniombee mungu

  • @khadijawarda5867
    @khadijawarda58676 ай бұрын

    Mill😊

  • @selealli990
    @selealli9903 ай бұрын

    shekhe niombee mimi ally athumani

  • @bahatib4486
    @bahatib44863 ай бұрын

    Asalam alekum shekh ,mm naumwa sana na mwili ,chini ya kitovu napia kuota ndoto ya kupeperuka kama ambae nàfukuzwa na kitu kibaya sijui utanisaidia vipi mm niko Saudia na fanya kazi

  • @user-qu9vw5xi5l
    @user-qu9vw5xi5l3 ай бұрын

    Eeh Mungu nimekwisha mbona ninavyo vyote 😢😢😢😢😢

  • @ReynaRayyan-vd9cb
    @ReynaRayyan-vd9cb2 ай бұрын

    Asalam aleykum hapo kwa pindo mimi sijaelewa

  • @MuhammadHassan-rg7ch
    @MuhammadHassan-rg7chАй бұрын

    Nimm sheikh

  • @user-wy7wq7pm8s
    @user-wy7wq7pm8s4 ай бұрын

    Hapo Kwa qurani imeruka sikusikia vizuri alie elewa tafadhali naomba kuelekezwa Sasa Niko na ndogo inaweza pia

  • @user-si3nn4xq1n
    @user-si3nn4xq1nАй бұрын

    Asante sana.nataka.namba.yako.baba

  • @djramzadullaz6762
    @djramzadullaz67626 ай бұрын

    Hapo kwenye nguo sijaekewa ata mimi

  • @user-id6fk9hr9q
    @user-id6fk9hr9q5 ай бұрын

    Hebu naomba usaidiziii nisaidikeee😢😢😢😢😢😢😢😢😢 walai nitabadili dini nikiona mambo yangu yanaenda vizuri naitwa Mariam

  • @user-hf1qk6fv9v

    @user-hf1qk6fv9v

    5 ай бұрын

    Usibadili dini kwajili ya mali badili kwajili ya Allah

  • @hildedacute5108
    @hildedacute51083 ай бұрын

    Salaam alykum shekh izo dalili zote ninazo naomba msaada wako 😭😭😭😭😭

  • @watototunawezatuwezeshwe6126
    @watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын

    Sheikh shukran sana ila hapo kwenye upindo wa nguo sijafahamu.

  • @mwanazuber3968

    @mwanazuber3968

    2 ай бұрын

    Hata me hapa sijaelewa kwenye upindo

  • @user-dg8dt5bg7q
    @user-dg8dt5bg7q2 ай бұрын

    Assalam alaikum sheikh athman; naomba nielewe hapo kwenye ukisha OSHA Hilo fundo ukilipiga wasoma Nini maana sijfahamu hapo pliz, shukran

  • @nayeemn9275
    @nayeemn92757 ай бұрын

    Baraka Allahu fiiQ, ila kwenye nguo hukutuelekeza vizuri.

  • @watototunawezatuwezeshwe6126

    @watototunawezatuwezeshwe6126

    4 ай бұрын

    Na Mimi sijafahamu hapo. AmBAe amefahamu atufahamishe

  • @watototunawezatuwezeshwe6126

    @watototunawezatuwezeshwe6126

    4 ай бұрын

    Na Mimi sijafahamu hapo. AmBAe amefahamu atufahamishe

  • @anithasimbeye3256
    @anithasimbeye32564 ай бұрын

    Vyote hivyo nilikua navyo

  • @abouassifmabrouk
    @abouassifmabrouk5 ай бұрын

    Kisha cha mwisho unachukua nguo unakucha fundo, Quraan! Hapo sikuelewa pamefahamishwa nini aliefahamu anisaidie kunielewesha alichosema

  • @hamzahussein896

    @hamzahussein896

    3 ай бұрын

    Naam pia sijaelewa hapo insh Allah tujuzane atae kua ameelewa bi idhnillah

  • @fahmedharoub2139

    @fahmedharoub2139

    3 ай бұрын

    Unakunja nguo kw chni unalowanisha kwny hayo maji ikisha unaikamua ,unaenda kuyaoga

  • @Ibraah

    @Ibraah

    3 ай бұрын

    Tuko pamoja ktk hili

  • @billylovebillybillylovebil580

    @billylovebillybillylovebil580

    3 ай бұрын

    Nami sija elewa 😢 hapo kukunja fundo nguwo Quaraan shekh please tuele weshe hapo

  • @umutoniwaboshakilla9714
    @umutoniwaboshakilla97145 ай бұрын

    Assàlam alayikum Walah màtululah wavalakatuh kama hauna mwEnye munaidhi pamonja unapashwa tengeneza ile Manji WE mwenyewe?

  • @user-he2yw2il7d
    @user-he2yw2il7d3 ай бұрын

    Asalam Alaykum samahan je hayo maji hukogei mwili mzma

  • @hemedjr9968
    @hemedjr99683 ай бұрын

    Asalaam aleikum sheikh...mm mwili wangu wacheza hata mwezi huu wa Ramadan waliofungwa mashetani

  • @aymanabdallah9225
    @aymanabdallah92253 ай бұрын

    Asalam alyqum shekhe.samahani hapo kwenye fundo kukunya quraan sijaelewa

  • @aishabory9649
    @aishabory96492 ай бұрын

    ALLAH akulipe kheri lkn hapo kwenye pindo ndio sijaelewa utuelekeze tena

  • @bakarimwaguluwe-yh2dn
    @bakarimwaguluwe-yh2dn3 ай бұрын

    MashaAllah ya ustadhi

  • @hawazainshah63
    @hawazainshah63Ай бұрын

    Wallah shekh dalili zote ulizotaja mimi ninaz kam vile nimekusimulia shida zang,nilikuwa mfanyabiasha mzur san mtaji wang ulikuwa milion 15+lakin mpk ss aina hata mia nasubir kupewa kila nomachoshika au kifikir nifany mwili na moy hautak haswaaa inshallah Allah akulip kwa hilnaon umenipa ufunguo wa maisha yang shekh

  • @saidanoor7653
    @saidanoor7653Ай бұрын

    Assalam aleikum...hapo aliposema kunja nguo yako kipande kimeruka una ikunja nguo alafu una fanya nn ndo ukaogee maji hayo?

  • @zakiahamid3042
    @zakiahamid30423 ай бұрын

    Asalam alaykumu shekh mm nimeelewa lkn kufanya siwezi nifanye ill unisaidie

  • @RehemaWere
    @RehemaWereАй бұрын

    Aki sijaelewa Imenipita

  • @fahmedharoub2139
    @fahmedharoub21393 ай бұрын

    Unakunja pindo la nguo yako kw chini unalowanisha kwny yale maji ikisha unakamua nguo.

  • @EddyRajab

    @EddyRajab

    2 ай бұрын

    Hii sehemu clip inakata wakata wallah nimesikitika sana😢

  • @EddyRajab

    @EddyRajab

    2 ай бұрын

    Unakamua ndani ya maji ama chini?

  • @user-xl1wx3mw9k
    @user-xl1wx3mw9k3 ай бұрын

    Assallam ALLAYQUM WARRAHMATULLAH, je kunguni wakiingia nyumbani inaweza kua hasadi???

  • @saumbliz8983

    @saumbliz8983

    3 ай бұрын

    Uchafu huo fua nguo kama una mtoto akojoa asubui toa godoro inje

  • @mngwalijuma597

    @mngwalijuma597

    Ай бұрын

    Alhamdulilag​@@saumbliz8983

  • @mwanakombomohamed6725
    @mwanakombomohamed67253 ай бұрын

    Assalam alaykum,tiba Yake nini

  • @hijamaulidi7382
    @hijamaulidi73823 ай бұрын

    Shekhe mm kitu kikitaka kutokea kuna maono napata na kinatokea serious ni jini au 😮

  • @user-id6fk9hr9q
    @user-id6fk9hr9q5 ай бұрын

    Asante kwa mafundisho mazurii mm ni mkrsto napenda mafundisho yakooo mimi sasa sijui kuomba nitasaidika vip

  • @hajimkopa1822

    @hajimkopa1822

    5 ай бұрын

    Kwanz ingia ktk uislamu ndilo jambo la kwanza

  • @watototunawezatuwezeshwe6126

    @watototunawezatuwezeshwe6126

    4 ай бұрын

    Weye omba tu. MMungu anainua Nia Yako. Na karibu katika Uislam ili ufaidi mengi mazuri.

  • @FatmaMohamed-re5tb
    @FatmaMohamed-re5tb2 ай бұрын

    Naamini sheikh ndo yangu niliyo nayo sasa

  • @ismailkidege
    @ismailkidege2 ай бұрын

    Hapo kwenye hatua ya mwisho ya pindo ndo sijaelewa

  • @mamyto_aziza5157
    @mamyto_aziza5157Ай бұрын

    Jamani sheikh kasema mtu kujejuje kazu Mara gapi

  • @zuberhamza7852

    @zuberhamza7852

    Ай бұрын

    Naona video imeruka pale

  • @Nailaty564
    @Nailaty564Ай бұрын

    Hapo kwenye kukunja pindo la nguo mbona mmekata

  • @anycontentanyfield6379
    @anycontentanyfield63792 ай бұрын

    Hivyo ulivyo fundisha kuna hadith wala ayat ?

  • @user-bp4wv4jo2i
    @user-bp4wv4jo2i2 ай бұрын

    nikweli zinaa ina adhari baya kwa mafanikio la kila mtu dhambi baya sana nilikuwa hivo lakini nilipoasha zinaaa sheikh ziliniondokea kabisa

  • @rafaissa2873
    @rafaissa28732 күн бұрын

    Kwenye nguo kukunja imekata tunaomba utuelimishe hapo

  • @binamun4944
    @binamun4944Ай бұрын

    Hayo yote niyangu hakuna hata moja alilosema ambalo halinitokei nikisoma dua usiku kulalaa nasinzia hapohapo😂

  • @YasryKasanga
    @YasryKasanga7 ай бұрын

    Je ninapo jimwagia chooni naluusiwa kusema bismillah

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y2 ай бұрын

    🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💕🇹🇿

  • @babamoza7293
    @babamoza72933 ай бұрын

    A/alykum shekhe mm hapo kwenye kupiga fundo nguo hapo cjaelewa sura gn au Aya gn unafunga nayo maana hapo clips km iliruka hii cjaelewa

Келесі