Lala Amka Muda Huu Wa Usiku Kuna Siri Nzito Chukua Udhu Alafu Fanya Hivi - Sh Othman Maico

#QiblateinOnline
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
KZread; / @qiblatainonline

Пікірлер: 89

  • @joanthabeet8005
    @joanthabeet8005Ай бұрын

    Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam

  • @MWANAKOMBONGANGAKARISA

    @MWANAKOMBONGANGAKARISA

    Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah Baraka'Allah Khair

  • @user-gn9rh7sw7r

    @user-gn9rh7sw7r

    Ай бұрын

    Maashallah Maashallah Maashallah hayo unayosema ni kweli ibada ndio kila kitu,Allahsw auzidishie mardufu udumu ktk uislam in shaa Allah

  • @user-oz6uy3kj3n

    @user-oz6uy3kj3n

    Ай бұрын

    Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah

  • @AdidjaKadjemba

    @AdidjaKadjemba

    14 күн бұрын

    Haya Mimi piya

  • @kasatbintalib9127

    @kasatbintalib9127

    5 күн бұрын

    Mashaallah

  • @tuwemzee8168
    @tuwemzee816814 күн бұрын

    Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan61702 ай бұрын

    Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu

  • @ummysaabersaeedy8152

    @ummysaabersaeedy8152

    29 күн бұрын

    Hua naenda mara nyingi hafanya jumapili na jumatano

  • @Al-Hajj-er3fk
    @Al-Hajj-er3fk2 ай бұрын

    Allah (s.w) akuhifadhi pamoja na ummah wote wa kiislam inshaallah

  • @rashadkamugisha1070

    @rashadkamugisha1070

    Ай бұрын

    Amiin

  • @ZamdaAthuman
    @ZamdaAthumanАй бұрын

    Allah s.w akulipeni kila la kheir sheikh Othuman,ila wengine bado lugha inaleta utata

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us2 ай бұрын

    Sheikh niko mbali lkn nafurahika na siwezi siku kupita Bila kusikiliza mawaidha yako jazakka Allah kheri

  • @maryamadam5622
    @maryamadam56222 ай бұрын

    Mmungu akubarik sheikh wetu. Tumo Kujtahidi

  • @Hiranur_1475
    @Hiranur_14752 ай бұрын

    Lailaha ilallah wahdahuu la sharika lahu lahulmulk walahul hamd yuhyii wayumitu wahuwa hayu la yumitu biyadihil khayra wahuwa aa’la kulishayin kadiir

  • @AISHAUWAMAHORO-jo6gv
    @AISHAUWAMAHORO-jo6gvАй бұрын

    Allah akupe kilalaheri sheikh wetu❤

  • @MimahYaseen
    @MimahYaseen8 күн бұрын

    Allah akubarik shekh wangu akupe maish marefu na akutimizie kila hitaj la moyo wako kwa kutupa elimu

  • @user-jb9ew2id6r
    @user-jb9ew2id6rАй бұрын

    Allaha atufanyie wepes inshallah

  • @user-eq9yi7pz4i
    @user-eq9yi7pz4i2 ай бұрын

    Shukran jazzakallahul kheir Shekhe wetu,Allah akujaze kila la kher In Sha Allah 🤲

  • @ummysaabersaeedy8152
    @ummysaabersaeedy815228 күн бұрын

    Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi

  • @user-mf7mt9zq6c
    @user-mf7mt9zq6c2 ай бұрын

    Jazaka Allah kher sheikh wetu 😊

  • @RakhmanHassan-ei3kn
    @RakhmanHassan-ei3knАй бұрын

    Shukran sheikh Allah akulipe kila lakheri

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us2 ай бұрын

    Mashaallah jazakka Allah kheri

  • @shabanshaban8102
    @shabanshaban81022 ай бұрын

    shukran sana sheikh Jazakallah khayra!

  • @user-xr5lf6pe1n
    @user-xr5lf6pe1n2 ай бұрын

    Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes Allah akubarik shekh maneno matam

  • @HAJJATHALIMASULYMAN
    @HAJJATHALIMASULYMAN29 күн бұрын

    Alhamdulillah yaan shekhe nimejifunza mambo mengi sana Jazzakallahu khaira Allaah akupe umri mrefu afya tele utujuze mengi

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama33812 ай бұрын

    Shekh wangu mm kwa mdomo wangu mzito nikifanikiwa kuzimaliza zote ulizo sema labda nikeshe😢

  • @RehemaHassan-rz8nh
    @RehemaHassan-rz8nh2 ай бұрын

    Allah akuhifadh na kila lenye sharri kwako

  • @zeyanaseif5730
    @zeyanaseif573027 күн бұрын

    Inshallah Allah atatufanyia wepes ktk kila gumu tunalopitia🙏

  • @user-yi3vo6ig2q
    @user-yi3vo6ig2q23 күн бұрын

    Maashaallah Allah Akufanyie wepec niombee na Mimi shehe wangu

  • @AdidjaKadjemba
    @AdidjaKadjemba14 күн бұрын

    Allah akupe urmi mrefu .uzidi kuelimisha watu .mana anayetumiya ushauri wako kama utwambiyayo .na imani anafanikisha

  • @leylersirlim4402
    @leylersirlim44022 ай бұрын

    Shukran sana Jazaka llahu kheyr. Mombasa unakuja lini

  • @user-oz6uy3kj3n
    @user-oz6uy3kj3nАй бұрын

    Allohumma innaka 'afuwwun kariim tuhibbul 'afwa fa'fu 'annaa yaa kariim.

  • @ZuhuraAbass
    @ZuhuraAbass2 ай бұрын

    Allah akubariki shekh

  • @CadetMBUSA
    @CadetMBUSA9 күн бұрын

    Assalamu alykumu naminimuisilamu kutoka congo namina ombaileduwa

  • @halimandune7317
    @halimandune73172 ай бұрын

    Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Sheikh niombee hta mm nko Hoi taabani.Kusema kweli.Madeni maisha mangumu.

  • @hamidahnassoro-12

    @hamidahnassoro-12

    2 ай бұрын

    Mungu atakutilia wepesi kila kwenye uzito ..ishaallh yatakwish

  • @user-ys7kt7gd7j
    @user-ys7kt7gd7j2 ай бұрын

    Assalam alaikum ww shekhe tuna omba dua samahani nisaindie

  • @maryamabdallah7284
    @maryamabdallah7284Ай бұрын

    Shukran sheikh wetu Allah akulipe kwa malipo yake

  • @user-cz1pb6zn3h
    @user-cz1pb6zn3h2 ай бұрын

    Tunashkr Sheikh

  • @amina12aminamuhudin25
    @amina12aminamuhudin2513 күн бұрын

    It's very true what he said is very true😊😊😊

  • @FatumaAdam-xo7ye
    @FatumaAdam-xo7ye2 ай бұрын

    Allah akibarh

  • @aminakassim831
    @aminakassim8312 ай бұрын

    Basi mi huwa na anza kuswali salat haja kwanza alaf ndo naanza adhkar kumbe nakosea!ntabadilisha inshallah

  • @ayshazambia6509

    @ayshazambia6509

    2 ай бұрын

    Mi mwenyewe nilikua nasli kama ww inshaallah nitabadilisha inshaallah

  • @angle3600

    @angle3600

    Ай бұрын

    Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema

  • @SakinaSakinat-qd9rs

    @SakinaSakinat-qd9rs

    Ай бұрын

    ​@@angle3600 Amiin

  • @MaimunaDimwe
    @MaimunaDimwe24 күн бұрын

    Asalam aleykum, shukran shekhe wang , naomba dua nina mitihan shekhe

  • @user-rt6gt7gu3p
    @user-rt6gt7gu3pАй бұрын

    Allah atujalie wepesi inshaa Allah

  • @MwanapiliAthumani-zp1bs
    @MwanapiliAthumani-zp1bs29 күн бұрын

    Asalam lakm sheikwetu naomba iniombee dua na matatizo na hapa nilipo ninamtihani sana naomba dua zako insha Allah

  • @user-or9im6hr8l
    @user-or9im6hr8lАй бұрын

    Asalam alaykum shekhe niombe dua nifungue akili yangu na mambo yangu yawemepes

  • @Zouzumachini
    @Zouzumachini14 күн бұрын

    Assalam alaykum ww, namushukuru muweza na kutupa sheikh anaetupenda kama wewe

  • @YusuphuMsangi-jo9pe
    @YusuphuMsangi-jo9pe2 ай бұрын

    Maashaallwah Allwaakuzidishie

  • @neemahalima5440
    @neemahalima5440Ай бұрын

    Mashalla

  • @JumaAsraj
    @JumaAsrajАй бұрын

    Masha Allah ❤❤❤

  • @Muhammad-jy1vx
    @Muhammad-jy1vx2 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hanafibalozi5308
    @hanafibalozi5308Ай бұрын

    Takbiii..r

  • @mwanamussa9650
    @mwanamussa9650Ай бұрын

    Shekh dua hiz unaweza kusoma ktk miez yoyote maana mm ndio kwanza nimekusikiliza leo shekh wangu

  • @ummysaabersaeedy8152

    @ummysaabersaeedy8152

    28 күн бұрын

    Ndio unaweza

  • @user-gn9rh7sw7r

    @user-gn9rh7sw7r

    14 күн бұрын

    Hujachelewa anza ndugu yangu

  • @EstellaNshimirimana-gw7wv
    @EstellaNshimirimana-gw7wv2 ай бұрын

    Shukran

  • @user-be4bq7fc1t
    @user-be4bq7fc1t2 ай бұрын

    Aslm alkm plz nisaidie kuandika hii dua

  • @halimandune7317
    @halimandune73172 ай бұрын

    Sheikh hii nyumba nko inanifanya kwa kweli nipata ugumu a kufanya ibada.

  • @hassanisindi474
    @hassanisindi4742 ай бұрын

    Salat nnaria bado sijaijua

  • @user-oz6uy3kj3n
    @user-oz6uy3kj3nАй бұрын

    Msaada wa hiyo sura ya mwisho mwisho ya Afia inaitwaje

  • @halimasaid5121
    @halimasaid51212 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @user-bv1vn2lk7q
    @user-bv1vn2lk7q2 ай бұрын

    Asalawalaykum shukran❤❤

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky91993 күн бұрын

    Kwa kiswahili shee pls ❤❤❤

  • @user-sk7ir2nv1z
    @user-sk7ir2nv1z13 күн бұрын

    Shekh auna vitabu

  • @YusuphuMsangi-jo9pe
    @YusuphuMsangi-jo9pe2 ай бұрын

    Nikweli Mimi Huwa napenda sana kusoma Ayaatulkudsi hata nikiota ndoto mbaya najikuta naisoma usingizini

  • @TATUCCM
    @TATUCCM5 күн бұрын

    Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE

  • @aminakassim831
    @aminakassim8312 ай бұрын

    Salaam,shekh unaweza kuwafanyia watoto wako hata kama wakubwa wapo shule ya msingi?au wewe mwenyewe ukajifanyia?

  • @ZuhuraAbass
    @ZuhuraAbass2 ай бұрын

    Hata kama umesengenya

  • @Amissaamiri
    @AmissaamiriАй бұрын

    Asalaaam aleykum cheh unawez ukayitumia kwatatiz la madeni

  • @LovelyCrocodile-og7uv
    @LovelyCrocodile-og7uv2 ай бұрын

    Ivi Burundi hicho kitab kipo

  • @user-or9im6hr8l
    @user-or9im6hr8lАй бұрын

    Salma shaban abubakar naomba uniombee shekhe nifunguke akili nikumbuke Quruan niweze kuyafanya mema

  • @Zouzumachini
    @Zouzumachini14 күн бұрын

    Sheikh wangu napenda niwe rafiki wa Alaa nifanye nini?

  • @user-ob2hk3jx7i
    @user-ob2hk3jx7i2 ай бұрын

    Mimi ninashida kubwa.kuna mda nasoma koroan nikasikia kizunguzungu kichwani,siku ingine nikaisoma nisisikiye shida ile.sasa nifanye nini sheikh ?

  • @FatumaZuberi-eb2sj
    @FatumaZuberi-eb2sj21 күн бұрын

    Sheikh.natamani.izo.dua.lakini.ni.garama..gani.napenda..sana.mimi.naitwa.Fatuma.zuberi.kutoka.songea

  • @mwalimuathumani722
    @mwalimuathumani722Ай бұрын

    Assalaamu waalaykum, Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA, Majibu Tafadhali.

  • @user-oz6uy3kj3n

    @user-oz6uy3kj3n

    Ай бұрын

    Wasilatu Shafii ipo hapa hapa You tube

  • @halimandune7317
    @halimandune73172 ай бұрын

    Utanisaidiaje ?.

  • @Bakia-tj2of
    @Bakia-tj2of2 ай бұрын

    Shekhe muubin ndo nn mbona mm c iijui hiyo mubinn nianze kujiombea na mm

  • @mjaweathman6519

    @mjaweathman6519

    2 ай бұрын

    Mubin iko kwenye suratul yasin

  • @user-gn9rh7sw7r

    @user-gn9rh7sw7r

    2 ай бұрын

    Mubiin iko ktk surat yasin unapoendelea kusoma yaasin utazikuta ziko 7

  • @user-xr5lf6pe1n
    @user-xr5lf6pe1n2 ай бұрын

    Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes Allah akubarik shekh maneno matam

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed73812 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @YusuphuMsangi-jo9pe

    @YusuphuMsangi-jo9pe

    2 ай бұрын

    Alhamdulilahi basi Mimi napenda snakusoma Ayaatulkudsi

  • @YusuphuMsangi-jo9pe

    @YusuphuMsangi-jo9pe

    2 ай бұрын

    Hatakama nipo usingizini naota ndoto mbaya basi inakuja Atomatkal kichwani

Келесі