Lala Amka Muda Huu Wa Usiku Kuna Siri Nzito Chukua Udhu Alafu Fanya Hivi - Sh Othman Maico
#QiblateinOnline Follow Us On: INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv FACEBOOK; profile.php?... KZread; / @qiblatainonline
Жүктеу.....
Пікірлер: 89
@joanthabeet8005Ай бұрын
Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam
@MWANAKOMBONGANGAKARISA
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah Baraka'Allah Khair
@user-gn9rh7sw7r
Ай бұрын
Maashallah Maashallah Maashallah hayo unayosema ni kweli ibada ndio kila kitu,Allahsw auzidishie mardufu udumu ktk uislam in shaa Allah
@user-oz6uy3kj3n
Ай бұрын
Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah
@AdidjaKadjemba
14 күн бұрын
Haya Mimi piya
@kasatbintalib9127
5 күн бұрын
Mashaallah
@tuwemzee816814 күн бұрын
Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤
@mwanaidhassan61702 ай бұрын
Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu
@ummysaabersaeedy8152
29 күн бұрын
Hua naenda mara nyingi hafanya jumapili na jumatano
@Al-Hajj-er3fk2 ай бұрын
Allah (s.w) akuhifadhi pamoja na ummah wote wa kiislam inshaallah
@rashadkamugisha1070
Ай бұрын
Amiin
@ZamdaAthumanАй бұрын
Allah s.w akulipeni kila la kheir sheikh Othuman,ila wengine bado lugha inaleta utata
@JinaJuma-gy1us2 ай бұрын
Sheikh niko mbali lkn nafurahika na siwezi siku kupita Bila kusikiliza mawaidha yako jazakka Allah kheri
Allah akubarik shekh wangu akupe maish marefu na akutimizie kila hitaj la moyo wako kwa kutupa elimu
@user-jb9ew2id6rАй бұрын
Allaha atufanyie wepes inshallah
@user-eq9yi7pz4i2 ай бұрын
Shukran jazzakallahul kheir Shekhe wetu,Allah akujaze kila la kher In Sha Allah 🤲
@ummysaabersaeedy815228 күн бұрын
Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi
@user-mf7mt9zq6c2 ай бұрын
Jazaka Allah kher sheikh wetu 😊
@RakhmanHassan-ei3knАй бұрын
Shukran sheikh Allah akulipe kila lakheri
@JinaJuma-gy1us2 ай бұрын
Mashaallah jazakka Allah kheri
@shabanshaban81022 ай бұрын
shukran sana sheikh Jazakallah khayra!
@user-xr5lf6pe1n2 ай бұрын
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes Allah akubarik shekh maneno matam
@HAJJATHALIMASULYMAN29 күн бұрын
Alhamdulillah yaan shekhe nimejifunza mambo mengi sana Jazzakallahu khaira Allaah akupe umri mrefu afya tele utujuze mengi
@mwanaishakama33812 ай бұрын
Shekh wangu mm kwa mdomo wangu mzito nikifanikiwa kuzimaliza zote ulizo sema labda nikeshe😢
@RehemaHassan-rz8nh2 ай бұрын
Allah akuhifadh na kila lenye sharri kwako
@zeyanaseif573027 күн бұрын
Inshallah Allah atatufanyia wepes ktk kila gumu tunalopitia🙏
@user-yi3vo6ig2q23 күн бұрын
Maashaallah Allah Akufanyie wepec niombee na Mimi shehe wangu
@AdidjaKadjemba14 күн бұрын
Allah akupe urmi mrefu .uzidi kuelimisha watu .mana anayetumiya ushauri wako kama utwambiyayo .na imani anafanikisha
@leylersirlim44022 ай бұрын
Shukran sana Jazaka llahu kheyr. Mombasa unakuja lini
Assalamu alykumu naminimuisilamu kutoka congo namina ombaileduwa
@halimandune73172 ай бұрын
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Sheikh niombee hta mm nko Hoi taabani.Kusema kweli.Madeni maisha mangumu.
@hamidahnassoro-12
2 ай бұрын
Mungu atakutilia wepesi kila kwenye uzito ..ishaallh yatakwish
@user-ys7kt7gd7j2 ай бұрын
Assalam alaikum ww shekhe tuna omba dua samahani nisaindie
@maryamabdallah7284Ай бұрын
Shukran sheikh wetu Allah akulipe kwa malipo yake
@user-cz1pb6zn3h2 ай бұрын
Tunashkr Sheikh
@amina12aminamuhudin2513 күн бұрын
It's very true what he said is very true😊😊😊
@FatumaAdam-xo7ye2 ай бұрын
Allah akibarh
@aminakassim8312 ай бұрын
Basi mi huwa na anza kuswali salat haja kwanza alaf ndo naanza adhkar kumbe nakosea!ntabadilisha inshallah
@ayshazambia6509
2 ай бұрын
Mi mwenyewe nilikua nasli kama ww inshaallah nitabadilisha inshaallah
@angle3600
Ай бұрын
Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema
@SakinaSakinat-qd9rs
Ай бұрын
@@angle3600 Amiin
@MaimunaDimwe24 күн бұрын
Asalam aleykum, shukran shekhe wang , naomba dua nina mitihan shekhe
@user-rt6gt7gu3pАй бұрын
Allah atujalie wepesi inshaa Allah
@MwanapiliAthumani-zp1bs29 күн бұрын
Asalam lakm sheikwetu naomba iniombee dua na matatizo na hapa nilipo ninamtihani sana naomba dua zako insha Allah
@user-or9im6hr8lАй бұрын
Asalam alaykum shekhe niombe dua nifungue akili yangu na mambo yangu yawemepes
@Zouzumachini14 күн бұрын
Assalam alaykum ww, namushukuru muweza na kutupa sheikh anaetupenda kama wewe
@YusuphuMsangi-jo9pe2 ай бұрын
Maashaallwah Allwaakuzidishie
@neemahalima5440Ай бұрын
Mashalla
@JumaAsrajАй бұрын
Masha Allah ❤❤❤
@Muhammad-jy1vx2 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
@hanafibalozi5308Ай бұрын
Takbiii..r
@mwanamussa9650Ай бұрын
Shekh dua hiz unaweza kusoma ktk miez yoyote maana mm ndio kwanza nimekusikiliza leo shekh wangu
@ummysaabersaeedy8152
28 күн бұрын
Ndio unaweza
@user-gn9rh7sw7r
14 күн бұрын
Hujachelewa anza ndugu yangu
@EstellaNshimirimana-gw7wv2 ай бұрын
Shukran
@user-be4bq7fc1t2 ай бұрын
Aslm alkm plz nisaidie kuandika hii dua
@halimandune73172 ай бұрын
Sheikh hii nyumba nko inanifanya kwa kweli nipata ugumu a kufanya ibada.
@hassanisindi4742 ай бұрын
Salat nnaria bado sijaijua
@user-oz6uy3kj3nАй бұрын
Msaada wa hiyo sura ya mwisho mwisho ya Afia inaitwaje
@halimasaid51212 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-bv1vn2lk7q2 ай бұрын
Asalawalaykum shukran❤❤
@carolinelucky91993 күн бұрын
Kwa kiswahili shee pls ❤❤❤
@user-sk7ir2nv1z13 күн бұрын
Shekh auna vitabu
@YusuphuMsangi-jo9pe2 ай бұрын
Nikweli Mimi Huwa napenda sana kusoma Ayaatulkudsi hata nikiota ndoto mbaya najikuta naisoma usingizini
@TATUCCM5 күн бұрын
Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE
@aminakassim8312 ай бұрын
Salaam,shekh unaweza kuwafanyia watoto wako hata kama wakubwa wapo shule ya msingi?au wewe mwenyewe ukajifanyia?
@ZuhuraAbass2 ай бұрын
Hata kama umesengenya
@AmissaamiriАй бұрын
Asalaaam aleykum cheh unawez ukayitumia kwatatiz la madeni
Assalaamu waalaykum, Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA, Majibu Tafadhali.
@user-oz6uy3kj3n
Ай бұрын
Wasilatu Shafii ipo hapa hapa You tube
@halimandune73172 ай бұрын
Utanisaidiaje ?.
@Bakia-tj2of2 ай бұрын
Shekhe muubin ndo nn mbona mm c iijui hiyo mubinn nianze kujiombea na mm
@mjaweathman6519
2 ай бұрын
Mubin iko kwenye suratul yasin
@user-gn9rh7sw7r
2 ай бұрын
Mubiin iko ktk surat yasin unapoendelea kusoma yaasin utazikuta ziko 7
@user-xr5lf6pe1n2 ай бұрын
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes Allah akubarik shekh maneno matam
@saeedsaeed73812 ай бұрын
🙏🙏🙏
@YusuphuMsangi-jo9pe
2 ай бұрын
Alhamdulilahi basi Mimi napenda snakusoma Ayaatulkudsi
@YusuphuMsangi-jo9pe
2 ай бұрын
Hatakama nipo usingizini naota ndoto mbaya basi inakuja Atomatkal kichwani
Пікірлер: 89
Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam
@MWANAKOMBONGANGAKARISA
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah Baraka'Allah Khair
@user-gn9rh7sw7r
Ай бұрын
Maashallah Maashallah Maashallah hayo unayosema ni kweli ibada ndio kila kitu,Allahsw auzidishie mardufu udumu ktk uislam in shaa Allah
@user-oz6uy3kj3n
Ай бұрын
Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah
@AdidjaKadjemba
14 күн бұрын
Haya Mimi piya
@kasatbintalib9127
5 күн бұрын
Mashaallah
Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤
Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu
@ummysaabersaeedy8152
29 күн бұрын
Hua naenda mara nyingi hafanya jumapili na jumatano
Allah (s.w) akuhifadhi pamoja na ummah wote wa kiislam inshaallah
@rashadkamugisha1070
Ай бұрын
Amiin
Allah s.w akulipeni kila la kheir sheikh Othuman,ila wengine bado lugha inaleta utata
Sheikh niko mbali lkn nafurahika na siwezi siku kupita Bila kusikiliza mawaidha yako jazakka Allah kheri
Mmungu akubarik sheikh wetu. Tumo Kujtahidi
Lailaha ilallah wahdahuu la sharika lahu lahulmulk walahul hamd yuhyii wayumitu wahuwa hayu la yumitu biyadihil khayra wahuwa aa’la kulishayin kadiir
Allah akupe kilalaheri sheikh wetu❤
Allah akubarik shekh wangu akupe maish marefu na akutimizie kila hitaj la moyo wako kwa kutupa elimu
Allaha atufanyie wepes inshallah
Shukran jazzakallahul kheir Shekhe wetu,Allah akujaze kila la kher In Sha Allah 🤲
Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi
Jazaka Allah kher sheikh wetu 😊
Shukran sheikh Allah akulipe kila lakheri
Mashaallah jazakka Allah kheri
shukran sana sheikh Jazakallah khayra!
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes Allah akubarik shekh maneno matam
Alhamdulillah yaan shekhe nimejifunza mambo mengi sana Jazzakallahu khaira Allaah akupe umri mrefu afya tele utujuze mengi
Shekh wangu mm kwa mdomo wangu mzito nikifanikiwa kuzimaliza zote ulizo sema labda nikeshe😢
Allah akuhifadh na kila lenye sharri kwako
Inshallah Allah atatufanyia wepes ktk kila gumu tunalopitia🙏
Maashaallah Allah Akufanyie wepec niombee na Mimi shehe wangu
Allah akupe urmi mrefu .uzidi kuelimisha watu .mana anayetumiya ushauri wako kama utwambiyayo .na imani anafanikisha
Shukran sana Jazaka llahu kheyr. Mombasa unakuja lini
Allohumma innaka 'afuwwun kariim tuhibbul 'afwa fa'fu 'annaa yaa kariim.
Allah akubariki shekh
Assalamu alykumu naminimuisilamu kutoka congo namina ombaileduwa
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Sheikh niombee hta mm nko Hoi taabani.Kusema kweli.Madeni maisha mangumu.
@hamidahnassoro-12
2 ай бұрын
Mungu atakutilia wepesi kila kwenye uzito ..ishaallh yatakwish
Assalam alaikum ww shekhe tuna omba dua samahani nisaindie
Shukran sheikh wetu Allah akulipe kwa malipo yake
Tunashkr Sheikh
It's very true what he said is very true😊😊😊
Allah akibarh
Basi mi huwa na anza kuswali salat haja kwanza alaf ndo naanza adhkar kumbe nakosea!ntabadilisha inshallah
@ayshazambia6509
2 ай бұрын
Mi mwenyewe nilikua nasli kama ww inshaallah nitabadilisha inshaallah
@angle3600
Ай бұрын
Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema
@SakinaSakinat-qd9rs
Ай бұрын
@@angle3600 Amiin
Asalam aleykum, shukran shekhe wang , naomba dua nina mitihan shekhe
Allah atujalie wepesi inshaa Allah
Asalam lakm sheikwetu naomba iniombee dua na matatizo na hapa nilipo ninamtihani sana naomba dua zako insha Allah
Asalam alaykum shekhe niombe dua nifungue akili yangu na mambo yangu yawemepes
Assalam alaykum ww, namushukuru muweza na kutupa sheikh anaetupenda kama wewe
Maashaallwah Allwaakuzidishie
Mashalla
Masha Allah ❤❤❤
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Takbiii..r
Shekh dua hiz unaweza kusoma ktk miez yoyote maana mm ndio kwanza nimekusikiliza leo shekh wangu
@ummysaabersaeedy8152
28 күн бұрын
Ndio unaweza
@user-gn9rh7sw7r
14 күн бұрын
Hujachelewa anza ndugu yangu
Shukran
Aslm alkm plz nisaidie kuandika hii dua
Sheikh hii nyumba nko inanifanya kwa kweli nipata ugumu a kufanya ibada.
Salat nnaria bado sijaijua
Msaada wa hiyo sura ya mwisho mwisho ya Afia inaitwaje
🙏🙏🙏
Asalawalaykum shukran❤❤
Kwa kiswahili shee pls ❤❤❤
Shekh auna vitabu
Nikweli Mimi Huwa napenda sana kusoma Ayaatulkudsi hata nikiota ndoto mbaya najikuta naisoma usingizini
Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE
Salaam,shekh unaweza kuwafanyia watoto wako hata kama wakubwa wapo shule ya msingi?au wewe mwenyewe ukajifanyia?
Hata kama umesengenya
Asalaaam aleykum cheh unawez ukayitumia kwatatiz la madeni
Ivi Burundi hicho kitab kipo
Salma shaban abubakar naomba uniombee shekhe nifunguke akili nikumbuke Quruan niweze kuyafanya mema
Sheikh wangu napenda niwe rafiki wa Alaa nifanye nini?
Mimi ninashida kubwa.kuna mda nasoma koroan nikasikia kizunguzungu kichwani,siku ingine nikaisoma nisisikiye shida ile.sasa nifanye nini sheikh ?
Sheikh.natamani.izo.dua.lakini.ni.garama..gani.napenda..sana.mimi.naitwa.Fatuma.zuberi.kutoka.songea
Assalaamu waalaykum, Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA, Majibu Tafadhali.
@user-oz6uy3kj3n
Ай бұрын
Wasilatu Shafii ipo hapa hapa You tube
Utanisaidiaje ?.
Shekhe muubin ndo nn mbona mm c iijui hiyo mubinn nianze kujiombea na mm
@mjaweathman6519
2 ай бұрын
Mubin iko kwenye suratul yasin
@user-gn9rh7sw7r
2 ай бұрын
Mubiin iko ktk surat yasin unapoendelea kusoma yaasin utazikuta ziko 7
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes Allah akubarik shekh maneno matam
🙏🙏🙏
@YusuphuMsangi-jo9pe
2 ай бұрын
Alhamdulilahi basi Mimi napenda snakusoma Ayaatulkudsi
@YusuphuMsangi-jo9pe
2 ай бұрын
Hatakama nipo usingizini naota ndoto mbaya basi inakuja Atomatkal kichwani