othman
Allha.akupe.maisha.marefu
Mungu akuongoze,Napenda masomo yako.
Hayo masharti ni ya Mungu kweli?
Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh
Mashallah Alhamdulilh shukran kama nilivofundishwa na shke wangu❤
Assalam alykum naomba unitafute nina shida kidogo n ww Asmaa
Je unaeza okaoga maji ya kutoa hasad ndani ya bahari
Mwanamke anaruhusiwa kujifanyia mwenyewe
shida yangu kubwa nipate nambazako za sm kwakweli mungu akulipe
Haya shekhe naikiwa ni mt wa barabaran tu hamtembeleani inakuaje
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh Sheikh je kama simfahamu huyo mtu ninaweza nikayaoga hayo maji
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asalam aleikum ningependa kupata numbari zako moja Kwa moja
Yaa sheikh wakati unatowa miguu katika maji mbona yatamwagika chini ao inabidi uyakaushe kwanza mbele ya kuyachia chini
Yaani mm sheikh hizi dalili ninazo siku nyingi na sikmjui ni nani? Naomba unieleze nijitibu
Nahitaji no yako sheikh nina matatizo
Sasa kama haikutokea situation ya huyo aliyenionea kijicho akubali kufanya ivyo itakuwaje .mimi nataka kujitibu mwenyewe itakuwaje
Nauliza kuoga huku hii Hasad unaweza kuoga mara nyingi yaani Kila baada ya miezi SITA unaoga Tena.?? Kurudia imo?
Nakama aliye nimpe hasadi simjuni nafanyje
Kwani hasadi ndio nini?
Mmmmmmh asante
Pia warabu hufanya hivyo wageni wakija nyumbani vile vikombe wanavisukutua kwa maji kisha yale maji wana nyunyizia kwa nyumba na mengine wanajipaka
Hii imo ktk mafundisho ya mtume kwa kuondosha Husda kwa njia hii?.
Mimi bdo sjaelewa mwanzo
Ndio yeye Mtume Muhammad SAW aliyefundisha
Mbona sheikh ulianziya kati mimi bado sija elewa !
angalia za nyuma
We nimshirikina Allah akuongoze
Kuondoa hasadi ni ushirikina? 😅Ukipatwa hasad ufanyeje??
Allah akusamehe
Hayajakufika!na mbona ufuatilie mshirikina kama sio mwenzako🤔
😂 hahahahaha dah mwanadamu ni kiumbe pasua kichwa wallahy Dah 😂😂😂 🤣🤣🤣
Mshirikina ni wewe hapo usoulija upate kujua dini yako
Пікірлер: 37
Allha.akupe.maisha.marefu
Mungu akuongoze,Napenda masomo yako.
Hayo masharti ni ya Mungu kweli?
Wallaikum Sallam Warahamatullah Wabarakatuh
Mashallah Alhamdulilh shukran kama nilivofundishwa na shke wangu❤
@tiffanysomarriy6075
28 күн бұрын
Assalam alykum naomba unitafute nina shida kidogo n ww Asmaa
Je unaeza okaoga maji ya kutoa hasad ndani ya bahari
Mwanamke anaruhusiwa kujifanyia mwenyewe
shida yangu kubwa nipate nambazako za sm kwakweli mungu akulipe
Haya shekhe naikiwa ni mt wa barabaran tu hamtembeleani inakuaje
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh Sheikh je kama simfahamu huyo mtu ninaweza nikayaoga hayo maji
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asalam aleikum ningependa kupata numbari zako moja Kwa moja
Yaa sheikh wakati unatowa miguu katika maji mbona yatamwagika chini ao inabidi uyakaushe kwanza mbele ya kuyachia chini
Yaani mm sheikh hizi dalili ninazo siku nyingi na sikmjui ni nani? Naomba unieleze nijitibu
Nahitaji no yako sheikh nina matatizo
Sasa kama haikutokea situation ya huyo aliyenionea kijicho akubali kufanya ivyo itakuwaje .mimi nataka kujitibu mwenyewe itakuwaje
Nauliza kuoga huku hii Hasad unaweza kuoga mara nyingi yaani Kila baada ya miezi SITA unaoga Tena.?? Kurudia imo?
Nakama aliye nimpe hasadi simjuni nafanyje
Kwani hasadi ndio nini?
Mmmmmmh asante
Pia warabu hufanya hivyo wageni wakija nyumbani vile vikombe wanavisukutua kwa maji kisha yale maji wana nyunyizia kwa nyumba na mengine wanajipaka
Hii imo ktk mafundisho ya mtume kwa kuondosha Husda kwa njia hii?.
@user-pk2km5nj3f
3 ай бұрын
Mimi bdo sjaelewa mwanzo
@saedsoud9181
Ай бұрын
Ndio yeye Mtume Muhammad SAW aliyefundisha
Mbona sheikh ulianziya kati mimi bado sija elewa !
@user-we4ef8mc5x
Ай бұрын
angalia za nyuma
We nimshirikina Allah akuongoze
@maraone_techonology
6 ай бұрын
Kuondoa hasadi ni ushirikina? 😅Ukipatwa hasad ufanyeje??
@babydylanbakari998
6 ай бұрын
Allah akusamehe
@halimashaban7038
5 ай бұрын
Hayajakufika!na mbona ufuatilie mshirikina kama sio mwenzako🤔
@MakataWaMakatani
3 ай бұрын
😂 hahahahaha dah mwanadamu ni kiumbe pasua kichwa wallahy Dah 😂😂😂 🤣🤣🤣
@faridalekupe3582
3 ай бұрын
Mshirikina ni wewe hapo usoulija upate kujua dini yako