SHEIKH JONGO AMJIBU SHEIKH ALHAD WAZIWAZI MBELE YAKE BAADA YA KUPIGWA DONGO

Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 42

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pbАй бұрын

    NENDENI IRAN

  • @soudbako5925
    @soudbako59255 ай бұрын

    Bakwata bhana

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed5 ай бұрын

    Huyu Mzee Jasusi SanAa ha

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed5 ай бұрын

    Hasomekiiiii😂😂

  • @ag-rabbitzenj1379
    @ag-rabbitzenj13795 ай бұрын

    توضيح الواضحات من المشكلات 😂😂

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna82615 ай бұрын

    Mhhh watu wa bidaà, basi hawawafundishi wake zao na mabinti zao kuvaa stara vizr, yani hata kwenye mahafla yao ya maulidi wanavaa hovyoo hovyoo. Allah awaongoze. Wanawake wa kisunna maasha-Allah ni kama wake wa zama za mtume swalallahu alayh wasanlam. Allah awajaze kheri na atuongoze wanawake wote wakiislamu wajitahid kuvaa stara ktk maisha yao ya kila siku

  • @allyelbusaid9888

    @allyelbusaid9888

    5 ай бұрын

    Mnaumia kweli yani.. 😅😅 Mawahabi kwenye ubora wao

  • @iddihamisiharuna8261

    @iddihamisiharuna8261

    5 ай бұрын

    @@allyelbusaid9888 Sisi watu wa sunna tunawasikitikia watu wa bidaà, mko mbali na alivyokua mtume na maswahaba wake. Dini yenu ipo kwenye maulidi, hali yakua maulidi sio dini, kwakua mtume na maswahaba wake hawayajui. Sasa nyinyi dini yenu imebaki huko

  • @rashid3562

    @rashid3562

    5 ай бұрын

    Acha upumbavu una sunna gan ww unayo ifata ...sifa tu

  • @AdamRajab-xd3zg

    @AdamRajab-xd3zg

    29 күн бұрын

    Una upunguf wa elimu

  • @iddihamisiharuna8261

    @iddihamisiharuna8261

    29 күн бұрын

    @@AdamRajab-xd3zg Kweli kabisa watu wa bidaa mna upungufu wa elimu mkubwa. Tena wake zao ndio kabisa wamesaulika masikin kidogo wanaume utawaona maulidini wakila ubwabwa, lakini wake zao stara ni mtihan utawaona wakienda misikitin na mitandio ya kanga huku mikono kuanzia kiwikoni ipo wazi na miguu nayo yaonekana, ni mtihan mtupu hawafundishwi hata masharti ya swala

  • @user-lz6kt3dh2r
    @user-lz6kt3dh2r5 ай бұрын

    Wapo kidunia Zaidi naona na bidaa kwenda mbele tu

  • @allyelbusaid9888

    @allyelbusaid9888

    5 ай бұрын

    😅😅 Mnaumia mkiwa wapi.!?

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    Ай бұрын

    Kwel kabisa bidaaa tupu hapo

  • @abuufarsyalsalmaan7730
    @abuufarsyalsalmaan77305 ай бұрын

    Mwanachuoni gani huyoo aliesema..توضيح الواضحات من المشكلات...😂😂😂😂😂😂

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    5 ай бұрын

    Weye sio darja zako hizo. Ndio maana hujui

  • @user-mf2ll7nz5g

    @user-mf2ll7nz5g

    Ай бұрын

    أنت جاهل مركب😂

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52415 ай бұрын

    Yani alhadi mussa ajiona yy ndo anastasia kuwa shekh tu

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    5 ай бұрын

    Acha chuki

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna82615 ай бұрын

    Masheikh wa bidaa wanakula hela za watu,

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY5 ай бұрын

    Sheikh JONGO huwa ni COMEDY COMEDY tuu. Huwa hana lolote la KI ILMU.

  • @abdulsakibu

    @abdulsakibu

    5 ай бұрын

    Mbona shekhe kasema toka awali yeye kapewa jukumu la kutoa shukran tu sasa maneno gan ya kielimu ulotaka ayazungumze katika neno la shukran?

  • @user-du9kd9ks3b
    @user-du9kd9ks3b5 ай бұрын

    Duu Saudia sasa pombe tukitoka hapo sijui tutakwenda wapi yaa Rabbi

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    5 ай бұрын

    Ndugu fata utaratibu ulowekwa kwenye quran na hadith basi Saudia nao viumbe na kwa Mungu hawana utukufu wowote kama hawatamcha Mungu ivyo rufiji au wete inaweza kuwa na watu Bora kama watamcha Mungu kuliko wasaudia wataomkufuru Mungu.

  • @allyelbusaid9888

    @allyelbusaid9888

    5 ай бұрын

    😅😅 Ikitoka pombe ni Bangi nahisi

  • @allyelbusaid9888

    @allyelbusaid9888

    5 ай бұрын

    @fahad nyie si ndo mnaotuambia tufuate Saudia kwa kuwa kule ndiokitovu cha dini.!? 😅

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    5 ай бұрын

    @@allyelbusaid9888 kwenye uislam mbora ni mcha Mungu wali si utaifa wala kabila la mtu kwahiyo akili kichwani

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaibАй бұрын

    Pana maulidi hapo? Au ni commedi tu😅

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb

    @EnthusiasticAtv-gn6pb

    Ай бұрын

    Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe siku zote. Tangu mwaka 1979 Iran imekuwa kwenye vikwazo kwa vile tu iliwafukuza na kufuta Ubalozi wa Marekani na Israeli. Kitendo cha ujasiri sana

  • @banihashim5347
    @banihashim53475 ай бұрын

    JAMANI HII NDIO MAULIDI INAYOPINGWA KILA SIKU

  • @thabitjumbe6527

    @thabitjumbe6527

    5 ай бұрын

    Na ndiyo Maulidi inayoungwa Mkono Kila siku.

  • @banihashim5347

    @banihashim5347

    5 ай бұрын

    @@thabitjumbe6527 Video hii ni dalili tosha yakua MAULIDI si DINI Bali ni DILI

  • @allyelbusaid9888

    @allyelbusaid9888

    5 ай бұрын

    Wakati we unapinga wenziowanaunga mkono.. Kasome 😊

  • @twalijiismail2881
    @twalijiismail28815 ай бұрын

    ACHA wachukue hizo pesa KWANI zako? au roho mbaya tu inakusumbua.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed88745 ай бұрын

    Watu wa bidaa wanajua kuchukua pesa za watu

  • @jaulamedia9517

    @jaulamedia9517

    5 ай бұрын

    Na WA Sunna huchukua pesa za saudia

  • @allyelbusaid9888

    @allyelbusaid9888

    5 ай бұрын

    Na nyie wahabi kuchukua za mwana mfalme Bin Salman kukufurisha watu

  • @RamadhanSuleymani-yw3dq

    @RamadhanSuleymani-yw3dq

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂kweliii​@@jaulamedia9517

Келесі