ACHENI HUSDA, SHEIKH WALID ANAWEZA KUWA SH. WA MKOA, HILI NALO NI JANGA - SHEIKH MZIWANDA

Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 36

  • @Mpakistanog
    @MpakistanogАй бұрын

    Naendelea kusoma ❤allah akueke san

  • @nuriyatihgeorgekhan6042
    @nuriyatihgeorgekhan60425 ай бұрын

    Sahihi mziwanda hakika allah ana kila njia ya kumpatia mja wake ujumbe na elim asispo zinduka huyo kiumbe kuna sku allah atamuumbuwa eety kisa kaoa mtoto wa muf.....basi kamaliza angeoa mtoto wa Muhammad s.a.w ingekuwaje massage sent hahhaàa Asante mungu

  • @a.katunzi5815
    @a.katunzi5815Ай бұрын

    Maa Shaa Allah. Sauti kama ya Al marhuum Amran Kilemile. Jitahidi umrithi.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52415 ай бұрын

    Kweli mziwanda alhadi wenziwe wanasoma yy anashinda makanisani

  • @khamismohammed7500
    @khamismohammed75005 ай бұрын

    Daaa jaman muacheni sasa dini haitaki mipasho

  • @tanzaniaonmzamiloon8627

    @tanzaniaonmzamiloon8627

    5 ай бұрын

    Acha dhana we mjinga

  • @Bint1971
    @Bint19715 ай бұрын

    Mh

  • @Marjeby
    @Marjeby5 ай бұрын

    Mziwanda anapenda sana mipasho mipasho mawaidha yake asilimia 99.9999 ni mipasho tuu. Hapo mamwinyi wamekutana wanapiga zoga Mashekh wanayoipenda dunia kuliko akhera aiseee waislam tatizo letu kubwa ni uongozi na elimu ya dunia hapo wote hao waliyokaa high table la saba watupu hilo ni tatizo jamani dunia imebadilika hii mbona waislam wenye elimu zote mbili tunao wengi sanaa tuachane na hawa mamwinyi

  • @jamalishoo3802

    @jamalishoo3802

    5 ай бұрын

    Muogope Allah Acha kuwadharau watu ni kibri

  • @user-jy2lo6gl9u

    @user-jy2lo6gl9u

    5 ай бұрын

    Ni wazi kuwa maneno Yako yamekosa fikra,shekh kaongea fact, ila ni vile2 nyie mnafundishwa kuwachukia waislamu wenzenu📌🔨

  • @Marjeby

    @Marjeby

    5 ай бұрын

    @@jamalishoo3802 Hilo ndio tatizo letu waislam wengi sana so viongozi wetu katika uislama ni untouchable kivyovyote vile!?

  • @Marjeby

    @Marjeby

    5 ай бұрын

    @@user-jy2lo6gl9u Daah tunafundishwa kuwachukia waislam wenzetu acheni kurefusha porojo jadilini hoja hivi ww unayefundishwa upendo uliambiwa hao Mashekh wako hawatakiwi kukosolewa?!mie naongea nayo ongea kwa sababu hao Mashekh wote hapo hapo high table nawajua vizuri sana na wote hapo ni Darasa la saba na form four zero

  • @jamalishoo3802

    @jamalishoo3802

    5 ай бұрын

    @@Marjeby wanawachuoni ni warithi wa Mtume Mwenye kuwaheshimu amemuheshimu Mtume na mwenye kuwadharau hakika amemdharau Mtume na mwenye kumdharau Mtume hakika amemdharau Allah. Elimu waliyonayo mashekhe zetu inatosha sana Hawahitaji hata hilo la saba unalolisema kwani ktka uislamu kuna kila kitu.

  • @shawejibakarimnonopeshawej7586
    @shawejibakarimnonopeshawej7586Ай бұрын

    Vigogo vitupu hapo

  • @KhaleedMasanyika-is6cy
    @KhaleedMasanyika-is6cyАй бұрын

    mipasho wap shekhe anaongea ukweli ukiona nimipasho maana anakugusa ndio maana inawauma

  • @kylesmeight4837
    @kylesmeight48375 ай бұрын

    Kwan huu usheikh wa mkoa unatokea wp naon mikoa mengne hatuckii km kun sheikh wa mkoa 😅😅😅

  • @user-rh5ii7nb9f

    @user-rh5ii7nb9f

    5 ай бұрын

    Wew ndio hujui ndugu yangu usheikh wa mkoa upo Sana tu

  • @kylesmeight4837

    @kylesmeight4837

    5 ай бұрын

    @@user-rh5ii7nb9f me hku zanzibar cmjui sheikh wa mkoa hat mmoj hat uka mainland cwajui masheikh wa mikoa mengn

  • @kylesmeight4837

    @kylesmeight4837

    5 ай бұрын

    @@user-rh5ii7nb9f ungensaidia hat masheikh wa2 wa mikoa mengne

  • @user-rh5ii7nb9f

    @user-rh5ii7nb9f

    5 ай бұрын

    Sheikh Hassani kabeke ni sheikh wa mkoa wa mwanza

  • @user-rh5ii7nb9f

    @user-rh5ii7nb9f

    5 ай бұрын

    Sheikh Mustafa Rajabu sheikh wa mkoa wa Dodoma

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l5 ай бұрын

    Hilo dongo kwa Alhad musa anahusda

  • @tanzaniaonmzamiloon8627

    @tanzaniaonmzamiloon8627

    5 ай бұрын

    Acha dhana we mjinga jiepushe na dhana mbaya

  • @mwanaishajumamnauye7776

    @mwanaishajumamnauye7776

    5 ай бұрын

    Dhana ipi?? Alhad mussa husda nyingi sana alafu husda ya Alhad mussa aijifichi

  • @W.Engineer125

    @W.Engineer125

    5 ай бұрын

    Mtume Muhammad s a w amesema usimdhanie dhana mbaya ndugu yako akasema katika Hadith nyingine mpe udhuru ndugu yako zaidi ya mara 70 kwa maana hata mtu Akikosea mpe udhuru useme labda kateleza kwa ubinaadamu usimhukumu Moja kwa moja

  • @nuriyatihgeorgekhan6042

    @nuriyatihgeorgekhan6042

    5 ай бұрын

    Sahihi kabixa

Келесі